Kila nikiwaza kande tumekula chepe tumepiga na hata kama kafufuka shamba hatumpi😂😂😂sina mbavu mie mwingne hakumbuki kazikwa mwaka gan ila ni kama .....😂😂😂
Huyu pastor hana tofauti na wanafunzi wa Yesu, hawakuamini kama. Ni yeye kafufuka mpaka Yesu akawaambia nishikeni viganja vyangu ndo muamini mimi ndiye
😂😂😂😂wamuhoji kipindi hikihiki alichopanik ndio majibu yatakua sahihi akitulia atadanganya huyo mzee...Robertinyo umerud baba tupo pamoja mpk upate shamba lako 😅😅
Ni jambo la kufikirisha, lakini masela wana uthibitisho mpaka wa mavazi ni yale yale na pastor anathibitisha, ndugu walioshiriki pia na hata kabla ya kufariki alipataja nyumban kwao.. so wahuni , ndugu , GPS 😂 na pastor watakuwa wanashuhudia uongo mmnh hapana, wazo la kujiridhisha ni muhimu pia… kuna mahali tutakuwa tumepigwa.. 😂,, wacha ije episode 2 tuone 🙌 # New Lazarus in Town 😂😂
Sasa Ninaanza kuamin,i kuna mtu ameishawai kuniambia 70,% ya vifo vingi Dunia sio mapenzi ya Mungu ni Hila za shetani, na 20% ni ujinga na uzembe wa watu wenyewe na 10% ndio mapenzi ya Mungu.. Bila kuwa na Mungu wa kweli ni mwendo wa kupigwa viini macho tu. Sterling hafi, mwamba karudi wabaya wake waombe ardhi ipasuke wamezwe, vinginevyo kitawahusu.
Iko hivi wapendwa:Inapotokea ndugu katika famili amekufa, ikawa mmemuhifadhi mochwari, na pengine amekaa siku zaidi ya siku 2 na kuendelea mwili na viungo vya marehemu yaani ,rangi ya ngozi , sura, na hata urefu nao kidogo huongezeeka.Ndiyo maana siku ya kukabidhiwa mwili wenu kwa ajili ya kuuzika,huwa ni vizuri kuwa makini na huwa tunashauriwa ndugu wa karibu sana wawepo,yaani kunzia mtoto,mama,baba au mke,mme.tupunguze ule u kimbele mbele.Kuweni makini.Lkn ndugu zangu wa Arusha punguzeni siku za kunywa pombe na mikutano ya kisiasa.
Kwa hiyo kilichotokea hapo baada ya kuzika akachukuliwa kichawi ili aende kufanya kazi za kichawi! Lakini kwa Neema za MUNGU amemgomea yule mchawi ndio maana mnamuona! MUNGU ametaka muwajue adui zenu kwenye familia! Muhoji kwa upole atawaambia na waliyomchukuwa msukule!
Arusha,kaeni mjitafakari, kuna mahali mmemkose Mungu.Someni nyalama za nyakati.Mkiona mmeletewa hata mkuu wa mkoa ili aje awanyooshe,mjue mnalo.Sisi tunamkumbuka sana magufuli,maana kabla ya kutwaliwa zake mbinguni,alituondolea huyo mtu hapa Dar,tunaisha kama peponi.
😂hahahaha hapo walimpeperusha Robert kiuchawi kisa ilo shamba ila mungu kawaumbua mwenyewe amerudi alikuwa ajafa watu walipigwa kiini macho wkt wa kuaga, waliaga mgomba na si Robert.
Hizo nilaaana za aridhi zinawarudia Arusha watu wamekua waroho wa aridhi sn sn Sasa hata ukiangalia hapo huyo dingii anayoweru kinoma tafakari alivyoweru.
Kama umesikia tulimzika na nguo izo izo #like hapa
Welcome back mwamba tuendeleze kupambana huna baya mjomba 😂😂😂
😂😂😂
😅😅😅😅
🤣🤣
😂😅
😂😂😂
Kila nikiwaza kande tumekula chepe tumepiga na hata kama kafufuka shamba hatumpi😂😂😂sina mbavu mie mwingne hakumbuki kazikwa mwaka gan ila ni kama .....😂😂😂
😂😂😂ninecheja ai arusha my country
Nimecheka ni kama comedy 🤣 😂
😂😂😂😂 tuzaidizane kucheka yanayofurahisha ya ulimwengu huu kande tumekula na chepe kulipiga😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Yaam Robert kayashinda maut halafu ety kesi ya shamba imshinde 😂😂😂😂 Arusha ndiko niliko kulia mie 😊
Hakika upo sawa,hata kama walikosea,nikafufuka.Amina.
Umeua😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂akiwatishia kesho ataondoka nao wote kwenda kuzimu lazima wamwachie shamba
Hahaaaa hawaogopi
Welcome back brother tuendeleze mapambano 😅😅 uje utuadisie mambo ya heaven 😂 pakoje😂🙌
Hizi ni zama za mwisho' allah atupe mwisho mwemaa 🤲
Allah hakupi mwisho mwema, Bali YESU KRISTO ndo anaekupa mwisho mwema
hv Arusha ni nchi nyingn et eeeh maana duu matukio kila siku
Yaani
Mtihani
Umeona huko ni kenya tanzania bahati mbaya manake watu wamepinda huko jamani
😂😂😂😂
Robati rombo rechorombo😅😅😅😅🎉🎉🎉nakupa maua ya uhai wale chuma hiko waliokula makande nachepe wakashindilia😅😅😅
Taarifa za arusha hususan za huyu muandishi ni zakiaina yake
Kabisa😂
Upo saii
Na Kuna yule wa Geita na Mwanza
Ni zakidudu bro😂 chuga ni ya wadudu
😂😂😂@@aminmohammed4249
He is back Legend😂😂 kitawarambaaa😅
Huyu pastor hana tofauti na wanafunzi wa Yesu, hawakuamini kama. Ni yeye kafufuka mpaka Yesu akawaambia nishikeni viganja vyangu ndo muamini mimi ndiye
Mchungaji na yeye hana jicho la rohoni😅😅😅😅😅 ama kweli Arusha ni nchi ingine ndani ya Tanzania.
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahhsh😂😂😂😂 hii nchi mnachekexha! Jaman jicho la rohon likoje ko mchungaji nae n hamna k2!
hahahahaha
Duuuuu wachungaji wanazika vinyago kumbe
HAPA NILIPO NATETEMEKA WANAGOMBANA NA MAREHEMU ALIERUDI.....
MAUZAUZA JAMANI😢😢😢😢😢
Mazinga ubwa ya uchawi hayo
Ukifa kifo cha ukwel chamu mungu huwez fufuka mpaka siku ya mwishoo
Na huyo marehemu akicheza atauliwa tena 🙌
@@mariasixmund7964😂😂😂😂muhimu akaze wakimuua arud tena mpk wachoke wnyw
Wachawi ni mtihani Mungu kawaimbua
Hajafa bana labda walizika mtu si wakwao huyo alikuwa anajikuliya sembe tu bado nani kamtowa kabrin kama si unafiki😂😂😂
Karudi master sasa sterling hauwawi, naona wanapaniki Hao kazi wanayo
Baraaaaaa
Arusha shikamoo dur noma sana huyu mzee anavyo babaika kuongea mbaka nimecheka et tulimkatazs ndio kuuza shamba jaman
arusha my country❤
Mwamba hafi hadi apate chake. Welcome back
Pastor ulifanya Kazi yako Kwa uweledi mkubwa Sana...hata kama uliona hamna kitu ww haikuhusu coz ungeleta taharuki lakin haipaswi hivyo..congats
Kwani pasta aliona kuwa hakufa au
Nasema hivi kila mtu afe na chake😂😂😂 hamna kufa kizembe uache mali kwa mtu hiyo hamnagaa manzeee😅😅😅
Uchawi sio lazima sumbawanga au kigoma
Huyo mzee aliehojiwa mwanzo ,,akitulia mmuhoji vizuri
Nakuunga mko..Mzee hayupo sawa
Umenena vyema yaweza kuwa huyo mzee ni chanzo cha Mambo....
Yaan akili yangu ishamuona sio mtu mzuri kabisa
😂😂😂😂wamuhoji kipindi hikihiki alichopanik ndio majibu yatakua sahihi akitulia atadanganya huyo mzee...Robertinyo umerud baba tupo pamoja mpk upate shamba lako 😅😅
Arusha,vijana mpaka wazee bangi tupu
Karibu Tena uraiyani mwamba hakuna kufa 😂😂
😂😂😂😂
Mazinga mbwa ya msukule hayoo
😂😂😂😂😂Mzimu anataka shamba lake
😂😂😂
@@doublejmrutu8529kkkokkokooookkkllkokoklookkkkkkklķķķķķķķķķķķkklkkl
Hili ni picha la kihindi steling anakupiga hata kwenye ndoto😅😅😅
😂😂😂😂😂
Hee huyu si anatembeaga na gari ya taka huyu alikufa lini😮
😂😂nyie
😂😂 Arusha Mweee Nyumbani kumekuchaaaaa
Ningekuwa Robert ningewapiga maigizo ya kutisha nikaokota dunia nzima kwa kwenda mbele. Mpaka hapo angejitangaza yeye nabii😂😂😂😂
😅😂😂😂😂😂😂😂
Makande tulikula 😂😂😂dah Arusha 🙌
Kuna mubaba ameongea point kwamba kwenye boma wamemzika mtu ambae siyo, me nasubiri part two ya hiii stori mana lazima kaburi lifukuliwe .....
Ni jambo la kufikirisha, lakini masela wana uthibitisho mpaka wa mavazi ni yale yale na pastor anathibitisha, ndugu walioshiriki pia na hata kabla ya kufariki alipataja nyumban kwao.. so wahuni , ndugu , GPS 😂 na pastor watakuwa wanashuhudia uongo mmnh hapana, wazo la kujiridhisha ni muhimu pia… kuna mahali tutakuwa tumepigwa.. 😂,, wacha ije episode 2 tuone 🙌 # New Lazarus in Town 😂😂
Yeye kasema hakuwepo kwenye msiba Sasa angejuaje kama ndiye au siye!?
Kwan huyo robert ni nan mbona ni maajabu ya dunia
Tulimzika mtu na makande tulikulaaah yeah 🤲🤲🤲
Walimfanyia uchawi kusudi wamdhurumu shamba.
Huenda ndo ivo na ndo maaana yule mzee naona kama kachukia sana ..sasa kama dili limebuma ishakula kwake
Kwa matukio ya manji na msigwa ukiongezea na laufufuko tutasahau kuhoji jamaa alieokotwa katavi
kweli aisee
ILA HII SAYANSI YA KIAFRIKA SIJUI WANAFANYA FANYAJE HAPO😂
😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂acha tu
Lakin haiondoi maradhi umasikin na ujinga hii ni sayansi isiyo na maendeleo
Dunia imeishaa 😢😢
Umeisha wewe
HUYU MZEE NDIO ALIMPOTEZA KISHILIKINA KWA MAELEZO YAKE UYU MZEE ANAYOSEMA SHAMBA ATUMPI MNAWASIWASI NAE SANA😂😂😂
Huyo baba mdogo anajua anachofanya
Mzee mbona anaogopa sana 😂😂😂 anahojiwa huku atetemeka
Anajua kinacho endelea
Yaani kafara msukule Mungu akiamua anamtoa mtu tu bado mdogo wangu amekufa kifo cha kutatanisha tu
Nae atarud tu ameanza robby kwanza kisha na yy atakuja km hajafa kwa amri ya mungu
Huyo mzee anaesema shamba hatumpi,awe mshtakiwa number moja
Mzee Kali rudia shamba lake😊😊
Hi familia bhn inamambo mengi SEMA mpokeeni jombaa bado anataka kula ugali😊😊
𝕟𝕚 𝕟𝕪𝕒𝕜𝕒𝕥𝕚 𝕫𝕒 𝕞𝕨𝕚𝕤𝕙𝕠
Sasa Ninaanza kuamin,i kuna mtu ameishawai kuniambia 70,% ya vifo vingi Dunia sio mapenzi ya Mungu ni Hila za shetani, na 20% ni ujinga na uzembe wa watu wenyewe na 10% ndio mapenzi ya Mungu..
Bila kuwa na Mungu wa kweli ni mwendo wa kupigwa viini macho tu.
Sterling hafi, mwamba karudi wabaya wake waombe ardhi ipasuke wamezwe, vinginevyo kitawahusu.
Ndiyo maana yake!! Vingi siyo vifo vya MUNGU hata kidogoooo! Ni uchawiiiiiiii!!!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nacheko lakino naogopo...eti tutakaa nae lkn shamba hatumpi
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Subhana Allah
Daaaaaah makubwa sanaa
Duh arushaaa bahna
Hii pia inaweza kua ushahidi wa time travel. Huyu mtu katoka from the past to the future lakin alipofika future akajikuta the future him ameshafariki.
Aleluyaaaaaaaaaa
Kumbukumbu imenitoka next time 😅
Yan dah Arusha mko vzr mshindwe TU na kutengeneza pepp yenu aseee 😂😂😂😂😂
Hi nayo ni noma sana jamani
Yeah kweli hii ni live bila chenga naona kumeanza kuchangamka
Mwee 🙌🙌
Wachaw shikamoon🙌. Ila hawa manabii wa mchongo wangmpt huyu Mwamba wangpiga ela
Mzee wa ukoo anajua😀
Original kabisa 😁
Original kabisa
Uchawi upo ..mngu atulinde waja wake 😢🙏
Waambie hao akina Milad Ayo wampigie Askofu Gwajima kama mnataka kuthibitisha hiki kitu mtona! Tena wapige simu mkiwa mnasikia mtashangaaaa!!!!
Makonda ana kazi kubwa, Arusha haiiishi vituko....
NI KAMA KUNA USHIRIKINA “mtangazji “
SIO KAMA NI USHIRIKINA HII NI ORIGINAL”mzee” 😅😅😂😂😂
Arusha msitufanyie hivyo, hebu tuacheni kidogo 😂
Arusha iko tz kweli
Yes wafukue live tuone kilicho ndani ya jeneza.
Maajabu yaduniya
chuga ya wenyewe babaangu ila nini wanagu wa chuga karibu muangalie masinema huku wazee
sasa jmn akizaa mtt lin ila Arusha jmn😂😂😂😂😂
Iko hivi wapendwa:Inapotokea ndugu katika famili amekufa, ikawa mmemuhifadhi mochwari, na pengine amekaa siku zaidi ya siku 2 na kuendelea mwili na viungo vya marehemu yaani ,rangi ya ngozi , sura, na hata urefu nao kidogo huongezeeka.Ndiyo maana siku ya kukabidhiwa mwili wenu kwa ajili ya kuuzika,huwa ni vizuri kuwa makini na huwa tunashauriwa ndugu wa karibu sana wawepo,yaani kunzia mtoto,mama,baba au mke,mme.tupunguze ule u kimbele mbele.Kuweni makini.Lkn ndugu zangu wa Arusha punguzeni siku za kunywa pombe na mikutano ya kisiasa.
Haya maelezo hayajaeleweka yaweke sawa, mtaalamu
Ni kweli
Kweli kaburi iangaliwe tafazali
Af huyu jamaa n kama ukoo ulikuw umemchoka mana wanavyoviongea vinashangaza!
Wanataka kumdhulumu mali za Baba yake😢😢
Mmezika mtu ambaye sio, atafutwe familia iliyopoteza ndugu yao waje watambue mwili
😂😂haya uliechukua shamba lake mwenyew amerudi kama ulimuua uzulum utajua hujui
Mwamba huyu hapa,picha linaanza upya lazima apewe shamba lake😄😄😄😄😄
Kuna haja ya kuaga marehemu kwa kumwangalia kwenye jeneza waache tabia ya kuweka picha wanapoaga mwili
Me ndio maana napenda kuangalia habari za Tanzania 🇹🇿 lol 😄 😆 kuna maajabu kila sekta
Arusha🙌🙌🙌
Kwa hiyo kilichotokea hapo baada ya kuzika akachukuliwa kichawi ili aende kufanya kazi za kichawi! Lakini kwa Neema za MUNGU amemgomea yule mchawi ndio maana mnamuona! MUNGU ametaka muwajue adui zenu kwenye familia! Muhoji kwa upole atawaambia na waliyomchukuwa msukule!
Mch nae naona kama king'amz kinayumba!! Na yeye haelew k2 hapoo😂😂😂
KUMEKUCHA KUMEKUCHA.
shamba LA babake
Hapo ndio mtamuelewa nabii Dominic kiboko ya wachawi😢
Mwamba kaludi 🥂🦅🤔
Mwamba huyu hapaa sas😂😂
Hii ndio chuga
Duh Arusha haishi matukio!😮
Ila ndugu jamani mpaka mumuue mwenzenu
Arusha,kaeni mjitafakari, kuna mahali mmemkose Mungu.Someni nyalama za nyakati.Mkiona mmeletewa hata mkuu wa mkoa ili aje awanyooshe,mjue mnalo.Sisi tunamkumbuka sana magufuli,maana kabla ya kutwaliwa zake mbinguni,alituondolea huyo mtu hapa Dar,tunaisha kama peponi.
Sasa amefufukaje??mmmmh!!!mi nahitaji kujua zaidi
Ni kweli kufukuliwe tu tujue😮😮😮😮sababu weee
Mmmmh Arusha yangu
Jmn hv vitu vipo na vinafanyika kbs
Wanakwambia hata kama kafufuka shamba hatumpi.... chuga mna niniii😂🙌🙌
Mwamba karibu tuendelee kukatwa tozo, hakuna kutoroka tena sasaa😁😁
😅😅😅😅😅😅 kajileta mwenyewe shamba hapati
😂😂😂😂😂😂
Hata kama mlikosea kule mwochwari,huyo kafufuka,mliyemzika ndg zake lazima watakua wanamtafuta Amina
Marehem kaotesh mahindi duh kwel wat lzm wapige kande bhana 😂😂😂😅
Huyo Mwamba aulizwe kama shetani yupo au wachungaji wanatupanga daadek 😅😊
😂😂😂
@@khambhai360 😅😅😅
Yaan natamani ningekuwa mimi
Sio kweli
Ata Lazaro alifufuka kwaiyo sio ajabu
Yeye mwenyewe anasema alikua wapi baada ya kufa
😂hahahaha hapo walimpeperusha Robert kiuchawi kisa ilo shamba ila mungu kawaumbua mwenyewe amerudi alikuwa ajafa watu walipigwa kiini macho wkt wa kuaga, waliaga mgomba na si Robert.
😂😂😂😂😂😂😂 ivi mbona kizungu zungu 😂😂😂 arusha shkamoo
Mamae hii ndo arusha yangu😂😂😂
😂😂😂eti ni kweli alizikwa kwan marehemu anajua km alizikwa
Hizo nilaaana za aridhi zinawarudia Arusha watu wamekua waroho wa aridhi sn sn Sasa hata ukiangalia hapo huyo dingii anayoweru kinoma tafakari alivyoweru.