ALIYEDAIWA KUFUFUKA ARUSHA AONGEA KWA HASIRA AKIWA NA MAMA YAKE, "LAZIMA AUZE SHAMBA"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 354

  • @lovenesszedekia7814
    @lovenesszedekia7814 2 дні тому +80

    Jmn milard Ayo katika wafanyakazi wako ambao wanastahili kupokea mshahara mkubwa basi hyu Godfrey tomas anastahili pesa nyingi arusha kuna matukio mengi Sana na hyu ana kabiliana Sana na changamoto za watu jmn kama mnamkubali Godfrey nipeni like zangu na comment❤❤❤

    • @ANNATARIMO-qq1nl
      @ANNATARIMO-qq1nl День тому +2

      sio arusha tyu yan matyukio meng yupo on time apewe mauwa yake kwa kweliii

    • @MashakaMagesa
      @MashakaMagesa День тому

      Huyu mtangazaji Yuko vizuri na anaipenda kazi yake

    • @anoldjefsta177
      @anoldjefsta177 22 години тому

      Vido vidox pia

  • @RachelNathan-yv5zc
    @RachelNathan-yv5zc 3 дні тому +97

    Mimi kwaupande wangu naona huyo baba alizikwa kweri lakn sio kwamba alikufa kifo cha MWENYEZI MUNGU na mwishowake MUNGU aliamua kutowa sehem walikomfisha ili UKUU WA MUNGU uonekane kwamba uchawi sio kitu mbere ya MUNGU

    • @halunimnenwa5224
      @halunimnenwa5224 3 дні тому +2

      Miradi ayo naomba uyo robati awapele uko aliko kuwepo kipindi chote Cha msiba wake tujue alikua akiishi na nani uko

    • @ndorobocarworks-dx4pf
      @ndorobocarworks-dx4pf 3 дні тому

      Wachaw walikosea ubin haki yao kupata adhabhu

    • @StellaMwasha
      @StellaMwasha 3 дні тому +1

      Duuu kaburi kutetema coz wachawi walishindwa kumkamata

    • @esterpaul5856
      @esterpaul5856 3 дні тому

      Na walichelewa kumkata ulimi na kumpumbaza..ndo maana akatorok

    • @PendoMatemba
      @PendoMatemba 3 дні тому +2

      Kweli kabisa,, binafsi naamini unachosema

  • @JohanesFaustine-vn9sk
    @JohanesFaustine-vn9sk 3 дні тому +24

    Kati ya mwandishi anae kutana na majanga ya kihandishi ni uyu bro mwandishi wa ARUSHA

    • @FredMaulid
      @FredMaulid 2 дні тому

      Umeona eh huwa anaripoti matukio magumu na kushangaza utadhani Arusha siyo tanzania ni nchi nyingine maana wadudu wanamatukio hatari inahitaji muda mrefu kubalika pengine mazingira na malezi yamewaathiri

    • @jescaprojest7262
      @jescaprojest7262 2 дні тому

      Kabisa

  • @magefrenk6722
    @magefrenk6722 2 дні тому +10

    Mungu ameamua kujithibitisha kupitia Robert, kwakweli uchawi upo na Mungu yupo

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 3 дні тому +15

    Serikali iwape vitambulisho vya NIDA wananchi wote ili tusiwe na sintofahamu

  • @talents7934
    @talents7934 3 дні тому +11

    Yani mama anaonekana kama vile ndo mtoto wake marehem ila marehem anaonekana kama ndo baba yake na huyo mama kweli pombe inazeesha😂😂😂

    • @user-xh7xf2ki3r
      @user-xh7xf2ki3r 3 дні тому +1

      😂😂😂😂😂 kwa kweli 🙌

    • @user-et4ny5gj3p
      @user-et4ny5gj3p 2 дні тому +1

      😂😂😂😂.Pombe cyo maji jamani

    • @jescaprojest7262
      @jescaprojest7262 2 дні тому +3

      Yaan nimeangalia Zaid ya mara 10 sielew km huyu mama n mwanae 😂😂😂😂

  • @user-sv3sv4xd1q
    @user-sv3sv4xd1q 3 дні тому +9

    Mama hawezi kumsahau mwanae kama wamemuogesha na kumvalisha ndugu yao kweli washindwe kumtambua? Mama amekiri haikuwa imeharibika hapo itakuwa kuwa kuna mkono wa mtu.

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i 3 дні тому +18

    Uongo, kuna uhuni umefanyika, hilo shamba yaani hata auze kwa laki moja sinunui 😮😮😮

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 3 дні тому +16

    HahahH marehem anatugombeza😂😂 ( natania tu) ila hii duniaa😢

  • @user-tv6jj3gt3i
    @user-tv6jj3gt3i 3 дні тому +14

    Nmependa hiyo ongea ya mama apo. Et eeeeh eeeh eeeeeh eeeeh 😂😂😂

    • @chocolatekalex1631
      @chocolatekalex1631 3 дні тому +2

      😂😂😂😂heee heeee

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 3 дні тому +2

      Iyo ni kiarusha eeee eee ee kuitikia yan anajijibu ivyo yan

    • @Pretty22750
      @Pretty22750 3 дні тому +2

      Keja doii mpaka kaongea lugha ya nyumbani 😂😂😂😂😂😂eehh eehh eehh shikilia hapo hapo

    • @Zainab-qg6xv
      @Zainab-qg6xv 3 дні тому +2

      Ila mtoto kazeeka kuliko Mama

    • @novahrappertz2990
      @novahrappertz2990 3 дні тому +1

      ​@@Zainab-qg6xvsasa mtu alishakufa kaja kufufuka c lazima amzidi mama uzee😂😂😂

  • @sund2553
    @sund2553 3 дні тому +8

    Kazeeka kuliko umri alionao…….anyway itakuwa walimtengezea kifo wamzurumu hakiyake

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 2 дні тому +5

    Huyu mzee anayegoma shamba lisiuzwe,anaonekana ana ROHO MBAYA MNO! Hata ongea yake,inaonesha ni mtu mwenye roho mbaya sana na chuki. Jicho lenyewe utadhan aligongwa na katapila. Mashamba yao wameuza wakala pesa. Ila shamba la Robert ndio wanataka asiuze ajenge! Shenzi kabsa. Robert,uza shamba lako! 😡

    • @suzysam6002
      @suzysam6002 День тому

      Kilimanjaro hawana tabia ya kuuza Mashamba ya nyumbani hata ufanyaje hiyo Ni desturi yao

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 3 дні тому +7

    Kwa hiyo sio kila aliepotea inakuwa ni kweli mfano walie mzika ni marehemu Wa wapi sasa maana robart huyu hapa je aliezikwa ni Wa Kwa nani?

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 2 дні тому +2

    😂😂Jaman raha Sana duniani raha Sana, sasa huyo robat alikuwa wapi wakat wa msiba wa robat mwenzie😂😂

  • @GoodluckNjau-km3ym
    @GoodluckNjau-km3ym 2 дні тому +4

    Kufa na kufufuka sio jambo dogo ni yesu tu ndio alie weza hawa wengine ni maigizo tu wana tufanyia

  • @aby21111
    @aby21111 3 дні тому +5

    Let the higher authority deal with the situation.

  • @neemamollel6057
    @neemamollel6057 3 дні тому +4

    Wafukue ilo kaburi mi naona wmemzika mtu tofauti n.a. si yeye

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho 3 дні тому +14

    Sasa kama mwenye kaburi kakubali kaburi lake lifunguliwe kwanini hawafungui???😅

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 3 дні тому +16

    Labda nipacha bila kujua masikini 😢😢

  • @hollocolletha6519
    @hollocolletha6519 2 дні тому +4

    Aliefufuka Ni yesu pekee mwana wa MUNGU Alie hai. Huu mwingine Ni uongo tu.

    • @mwanawataifa4889
      @mwanawataifa4889 День тому

      Ulichoandika kimechanganyika ukweli na uongo
      Jifunze vizuri juu ya kufufuka hata kwenye biblia sio Yesu peke ake
      Zakayo pia alifufuka

  • @muddywatown
    @muddywatown 3 дні тому +4

    Huyu akili itakua washazichezea au kashaziacha huko 😂😂

  • @halimatutupa3149
    @halimatutupa3149 3 дні тому +2

    Robert sijafariki kabisa😅 jomn marehemu wa moto😂😂

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 3 дні тому +7

    Mungu amemsimamia na mizimu ya kwao

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v 3 дні тому +5

    😢so sad

  • @realmeamyna30
    @realmeamyna30 День тому +2

    Nilitamani kujua zaidi kuhusu yeye mfano aliondokaje na ni nn kilimfanya aondoke nyumbani vipi kuhusu familia yake mara ya kwanza kutoka nyumbani alienda kulala kwa nani na mpaka anarudi nyumbani alitoka kwa nani??? Na huko alikua haiwazi familia yake???? Na vingine vingi
    Kijana andaa maswali na ujipange kisawa sawa unapoenda kuhoji mtu bana na wewe BINAFSI NIMEKOSA VINGI NILIVYOTAMANI KUVIJUA NA MTIRIRIKO WA MASWALI..

  • @waltermachange7300
    @waltermachange7300 3 дні тому +18

    Chimbeni kaburi kama kuna mtu, tujue ndo muvi iendelee

  • @user-et4ny5gj3p
    @user-et4ny5gj3p 2 дні тому +1

    Marehem kazeeka kuliko mama yake dah.Hii noma sana

  • @teddyndungurusabnu4792
    @teddyndungurusabnu4792 3 дні тому +2

    huyo baba mdogo ashikiliwe kafanya mpango kwa kufeki Maiti ili ionekane kafa auze shamba na lengo lilikua wamsake huyo kaka aliesingiziwa kufa ili wamuulie hukohuko pasipo ndugu kujua coz walishajua wamemzika ba mdogo mpuuzi

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 3 дні тому +2

    Yule waliomwona mwochwari alikuwa Hana kovu na chanzo Cha kivo ni ajali so Robati hakufa alikuwa zake mjini familia walinda mwochwari kuchukua marehemu mwingine na kumzika

  • @user-zh8uf3wy2z
    @user-zh8uf3wy2z 3 дні тому +2

    Niseme nini mungu wangu......

  • @user-wv1pu4jo3k
    @user-wv1pu4jo3k 2 дні тому +1

    Huyo mungu anampenda ashike ibada sana

  • @IssaSandali-tk2zp
    @IssaSandali-tk2zp 2 дні тому +1

    Big up bro Godfrey

  • @chocolatekalex1631
    @chocolatekalex1631 3 дні тому +11

    Afu mimi ninavyoona jamani nipo DRC lakini ili picha lilitengenezwa n'a wale ambao wanataka kumuzulumu robert shamba maana mukifata kwa umakini alieleta habari ya kifo kwa Mara ya kwanza ni BOSCO n'a huku nyuma mama anasema kwamba...n'a yule mtoto wake bosco kwa maana kwamba bosco ni mtoto wa uyo mzee anaesema shamba aliuzwi ambae mama anasema sasa ivi Hana makao nipo DRC🇨🇩

    • @naomisamwel18
      @naomisamwel18 3 дні тому

      Robert sijasikia km unamke😅naomba nije uniowe tusaidiae kupambania shamba

    • @DM.2200
      @DM.2200 3 дні тому

      ​@@naomisamwel18 Ila nimesikia kasema yupo na watoto wawili upo tyar kuwa mamdo 😂😂

    • @lucymbena2538
      @lucymbena2538 День тому

      Bosii na babaake hawakumlipa mganga walimzulumu 😅pesa yaka 😂akaamua kurudisha mwenyeshamba ambae Ni Robert Safi Sana

  • @noahchepe8036
    @noahchepe8036 3 дні тому +3

    Sio suala la kawaida hili. Em fikiria mama ake amethibitisha kbs kua aliona maiti kbs sura ni ya mwanae.

  • @JULIUSNCHAGWA
    @JULIUSNCHAGWA 3 дні тому +4

    Hapa kuna mchezo rahisi sana umefanyika ngoja niwasanue
    1: baba mdogo na mke wake ndo wamemuogesha marehemu. Baba mdogo ndo anataka shamba so kama alitengeneza jambo hvii
    2:robart amekataa yeye hajawahi hata kugongwa na toyo
    SO JIBU HILI HAPA baba mdg alitengeneza uvumi wa kifo wakazika mtu mwingine kisha watammalizia robart huko huko alipo ila kabla hawajafanikiwa mwamba akarudiiiii😂😂😂😂😂😂

    • @user-zh8uf3wy2z
      @user-zh8uf3wy2z 3 дні тому

      Mawazo yako😅....

    • @Alexander-th3tn
      @Alexander-th3tn 3 дні тому

      Halafu jeneza lilikua linatingishika maana yake wamezika mtu ambae sie wa hiyo boma

  • @DotoLemako-np3lp
    @DotoLemako-np3lp 3 дні тому +1

    Mbona Robert ni mzee kuliko mama yake, hakufufuka aisee walizika mwili ambao sio yeye

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 3 дні тому +10

    Jamaa amezeeka kuliko Mama yake

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 3 дні тому +33

    Hlf huyu jamaa kama dishi limeyumba au ni mimi

  • @doreenemanuel6024
    @doreenemanuel6024 3 дні тому +1

    Dah

  • @waduduinctv6537
    @waduduinctv6537 3 дні тому +1

    Hatari

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 3 дні тому +15

    😂😂😂 mbavu zangu Arusha shkamooni wote!!

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi 3 дні тому +6

    Jaman eleweni arusha kuna vita sna ya mashamba mana wanauza mashamba sana ndomana wanalogana na kimazingira uyu jamaa n ndugu wamemchezea ila uyu jamaa yuko na nguvu ya mungu

  • @johnteonas3144
    @johnteonas3144 3 дні тому +2

    Mama is beautiful

  • @Yanarichbiz
    @Yanarichbiz 2 дні тому +1

    Mama ana ngozi nzuri sn

  • @user-dh6oc7um6f
    @user-dh6oc7um6f 2 дні тому +1

    Kumbe baba mdogo kauza mashamba yote sahiv anamnyima robart kuuza shamba yake kumbe kauza yake kala na mtoto wake bosco manina robart tuko na wewe lazima shamba liuzwe bt mimi sitalinunuwa hata kama unauza buku

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 3 дні тому +17

    Hata kama jamaa alifariki na akafufuka kweli,anaweza kufa tena kwa stress kutokana na changamoto alizonazo.

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 2 дні тому +1

    Sura mama jamani sura za walevi waliopindukia kama kaka robert hapo uwaga wanafanana samahani kusema hivi lakini mara nyingi uwa wanafananaga kama huyo.marehemu mliyezika na yy alikuwa chapombe lazima wafanane😂😂 tena hasa wachqga wanafanana😂😂 mmezika.mtu siye buana fudueni kaburi kwa kibalk cha serikali basi mtapata jibu DNA itajibu

  • @techsavvyswahili
    @techsavvyswahili 2 дні тому +1

    Umechukuliaje taarifa za kifo kajibu nimependa 7bu Mungu hafi. Any way naona kuna uwezekano hicho kijiji watu wengi chanel hazisomi

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l 3 дні тому +1

    Allah aqbaru

  • @chocolatekalex1631
    @chocolatekalex1631 3 дні тому +2

    Jamani mungu anisamehe inasikitisha kidogo lakini iyo heee ya maman jamani inaniweka hoi heee!!! Heee!!😂😂😂

  • @cosmatitus5509
    @cosmatitus5509 3 дні тому +10

    Jamaa anatoa majibu marahisi sana kwenye maswali magumu

  • @BIGCHENDREADLOCKS
    @BIGCHENDREADLOCKS 3 дні тому +1

    Mi naona bora ata kabla ya kufukua kabuli awapeleke uko kwa aliko kua anaishi huo mwezi mzima jaman😢😢

  • @HappyAsajile
    @HappyAsajile 2 дні тому

    Daaa sikutegemea kam ungempata uyu mwe asant sana ayo tv

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 2 дні тому

    Yaan ni maajabu sana aliezikwa anasema yeye hajawahi kufariki😢😢

  • @pendosailo1989
    @pendosailo1989 3 дні тому +4

    Huyu anaonekana ni mtu wa kilaji kile cha nanii...so kutokuwa sawa kwa mtu wa namna hiyo ni sawa. Swala la kufa au kuchukuliwa msukule sio... huyu alikuwa na misele yake huko..hawa wamezika mtu mwingine..hapo serikali ifukue wakazike kiserikali manispaa.

    • @ShukraniChomolla
      @ShukraniChomolla 3 дні тому

      Swali la kujiuliza wamuulize kipindi msiba unatokea yeye alikua wapi maana na yeye si mwanafamilia? Au huo msiba hakuusikia

    • @vickytango5591
      @vickytango5591 3 дні тому

      @@ShukraniChomolla 😂😂😂😂😂😂

  • @user-zr9sj8sf3w
    @user-zr9sj8sf3w 3 дні тому +1

    Hiyo eeh,eeeh,eeeh,eeh, sas 😂😂😂😂😂

  • @ProsperReuben-fg6uh
    @ProsperReuben-fg6uh 3 дні тому +1

    Duuh sipat picha ngwajima angekua na mkutano arusha ingrkuajee angechukua maujiko balaaa

  • @user-yt5wg3yy8b
    @user-yt5wg3yy8b 3 дні тому +1

    Huyo mzee anamdhulumu mnyonge shamba mpaka anamfanyia mazingaumbwe ya kifo ndugu yake! Dunia imeisha dhambi dhambi. Jamii iwashughulikie huyo mchawi waache dhuluma Kwa ndugu yake

  • @MsAisha-w4o
    @MsAisha-w4o 17 годин тому

    Wamezika kivuli mungu wangu duh kweli ... uchawi upo..ila mungu mkubwa..🙆🙆

  • @user-uf7oh5eu4v
    @user-uf7oh5eu4v 3 дні тому +1

    Marehemu anataka uza shambaaa😂😂

  • @sarahgilbert1084
    @sarahgilbert1084 3 дні тому +1

    Robert anaonekana cha pombe😅

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 дні тому +1

    KUMKISIA MTU ZAMBI RAKINI YULE MZEE ANAYOSEMA ATAKAMA KALUDI SHAMBA AUZI YULE MZEE BABA MDOGO WA MCHAWI NA ALIMUUA KIMAZINGALA KWA TAMAA 😂😂😂

  • @DicksonEdson
    @DicksonEdson 3 дні тому +1

    Baba yake mdogo huyo mweusi ashauza shambalake

  • @emmanuelreuben1863
    @emmanuelreuben1863 3 дні тому +1

    Msipende pesq raisi, mmeuza mashamba yenu mmemaliza pesa,sasa mnataka mashamba ya wenzenu sio vyema

  • @rosemarykipesha3898
    @rosemarykipesha3898 3 дні тому +2

    Au wamebumba Kirk chair Ili wamdhurumu shamba?

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 2 дні тому +1

    Nenden hospital kaulize kama walipokea mait uwe mchunguzi

  • @AlexKimario-be4dd
    @AlexKimario-be4dd 3 дні тому +3

    Kijana kazeeka kuliko mzazi. Ila haya mambo yanafikirisha sana.

  • @emmanuelmasemba7612
    @emmanuelmasemba7612 17 годин тому

    Wafukue kaburi , tuone kilichozikwa tujifunze kitu Kwa sababu tunaskiaga tu Imani hzo zipogo, mara saa mnazika marehem anakua kafichwa mahali pale kina kua kimvuli tu

  • @user-tk4ej5hx2q
    @user-tk4ej5hx2q 3 дні тому +1

    Arth inafanya watu watoane roho jmn

  • @CarolinaErinest
    @CarolinaErinest 3 дні тому

    🤔🤔

  • @marcelinabwakila7049
    @marcelinabwakila7049 2 дні тому +1

    Baba mdogo nae aache mbamba! Mbona mashamba take kauza

  • @user-vo3wk9yr7k
    @user-vo3wk9yr7k 3 дні тому +2

    Mbona mama anaonekana kijana kuliko mtoto wake?? Au mnaonaje jamani

  • @marcelinabwakila7049
    @marcelinabwakila7049 2 дні тому +1

    Baba mdogo nae aache mbamba! Mbona mashamba yake kauza

  • @kalangwapaschal7718
    @kalangwapaschal7718 3 дні тому +2

    Shamba ni chanzo au vipi?

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 3 дні тому +6

    Arusha Kuna matukio ,hata kiyama kitatokea kwanza Arusha,ndio Mungu ataruzu ulimwengu mzima ,haya maisha tumuishie Mungu tu,

  • @danielthomasmsigwa31
    @danielthomasmsigwa31 3 дні тому +1

    Kila linapotokea hili najitahidi ku-comment kuipuuza kauli ya biblia kunafungua milango ya mapepo; kitabu hiki muhimu sana kwa sasa "mtarudia udongo..." mwakani(2025) duniani kote masheni yatachukua maumbile ya wapendwa wetu waliofariki hata maraisi wetu tuliowapenda wataigizwa na pepo na kutuhutubia tutawashangilia. Ujumbe wao utakuwa kuiheshimu JUMAPILI

  • @RamadhanMabwabwa
    @RamadhanMabwabwa 2 дні тому +1

    Amefufuka katika wafu😂😂😂

  • @florianhenry7198
    @florianhenry7198 3 дні тому +1

    Maitu ufa na chake mpen AUZE BHANA

  • @Mzunah
    @Mzunah 3 дні тому +1

    Mara walimtengenezea kifo cha uongo ili wamdhurumu shamba tu
    Any way kabla hamjafukua ilo kaburi awapereke aliko kuwa anaishii.

  • @michaelismail5572
    @michaelismail5572 День тому

    Mtangazaji,uko sawa lkn sisi kama waganga wa Tiba Asili,hapo tu tunaona huyo Robert unamhoji lakin bado ni mtu nusu
    Ushauri maalum; wazazi watafute mganga anayejuwa dawa,robert arudishwe rasmi awekewe na kinga lasivyo hata akaishi hatakuwa na akili timamu maana wachawi wanaogopa akirudi kumbukumbu atasema yote

  • @MariamKileo-mu8rv
    @MariamKileo-mu8rv 2 дні тому +1

    Na hapo baba mdogo amehusika kabisa

  • @PendoMatemba
    @PendoMatemba 3 дні тому +1

    Huyu baba mdogo ni mchawi

  • @MinaMasha-z4p
    @MinaMasha-z4p 3 дні тому +5

    Marehem kugombeza wenzie tuu ....kuongea kistarabu aaaah😂

  • @JosephineMbelwa-jy3qy
    @JosephineMbelwa-jy3qy 2 дні тому +1

    Mama mzazi wa Robert eeeh eeeh 😂😂 unaniuwa mbavu zanu eeeh😂😂 eeeh eeeh eeeh eeeh😂😂😂

  • @user-xh7xf2ki3r
    @user-xh7xf2ki3r 3 дні тому

    😂😂😂 jaman mama kuitikia huko kunachekesha yaan

  • @salumualoyce5620
    @salumualoyce5620 23 години тому

    Mama kijana,mtoto ndo mzee.

  • @prezgal8869
    @prezgal8869 3 дні тому +1

    Mwandishi nae hamuogopi marehemu

  • @user-wv1pu4jo3k
    @user-wv1pu4jo3k 2 дні тому

    Mungu nimkubwa

  • @hosea7919
    @hosea7919 3 дні тому +2

    Mtoto anazeeka kuliko mama

  • @talents7934
    @talents7934 3 дні тому

    Halafu Ayo Tv badilisheni iyo maiki imepauka sana haileti image nzuri kwa Media kubwa kama hii🙏

  • @FloraChuja
    @FloraChuja День тому

    Hii ndo nchi ya Arusha barani Tz😂 hii ni maajabu😢

  • @championboys-mt6iu
    @championboys-mt6iu 3 дні тому +1

    👮‍♀️

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 3 дні тому +1

    😂😂😂😂Nauza nauza eeh eeh this life no balance

  • @JanethManga-c1w
    @JanethManga-c1w 3 дні тому +1

    Mchongo huo...watu wa huko tunaelewa

  • @AthumaniKachwamba
    @AthumaniKachwamba 3 дні тому

    Heeheeee hehee

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 3 дні тому +1

    Lilitingishika maana mmezika mtu ambae sio Robert fukueni kaburi muone kilichopo

  • @bensonwissa5777
    @bensonwissa5777 3 дні тому +1

    Vipi michango yetu irudishwe😅

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 2 дні тому

    Ndugu waliamua kumtungia kifo na kuzika wanacho kijua wenyewe ili wachukue shamba lake! Ndugu sio, hakuna mtu wakufufuka asee

  • @user-dh6oc7um6f
    @user-dh6oc7um6f 2 дні тому

    Nimependa sana ongea ya mama lakin hapo tunaona kabisa marehem katengenezwa hili kutokuuza shamba

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 3 дні тому +2

    Mi nahisi Arusha ni Kenya sio Tanzania. 😅