MTOTO ALIYEMLIZA NABII MKUU APEWA MILIONI 2 NA SHANGAZI YAKE - GeorDavie TV

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 сер 2024
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

КОМЕНТАРІ • 341

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Рік тому +29

    Uzuri wa huyu mwamba anarudisha kwenye jamii tofauti na Hawa wafanyabiashara za mafuta wao nikujilimbikizia mahela tu na famillia zao,Barikiwa sana mtumishi.

    • @magdalenapeter6106
      @magdalenapeter6106 Рік тому

      Hazirudi Bure kaa ukijua hilo ndugu yangu

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 Рік тому

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

    • @mashalaizer3152
      @mashalaizer3152 Рік тому

      Kweli

    • @MumtazKhan-tu4hz
      @MumtazKhan-tu4hz Рік тому

      Kabisaaa

    • @tmaafrica5927
      @tmaafrica5927 Рік тому

      Be blessed pastor what in you for seeing the talent of the child

  • @user-wz7ke8td5k
    @user-wz7ke8td5k 5 місяців тому +2

    Ubarikiwe baba katika kazi yako umewa nusuru ao wadda. Mugu akupe mayishamarefu uzidi kutunusuru uobeye nata ifakwa ujumura amani mugu aku bariki

  • @villancekeke2954
    @villancekeke2954 Рік тому +3

    Nko Kenya mtumishi wa Mungu hata mimi umenitouch, una moyo wakuinua mtu na kile ako nacho mungu akubariki sana, natamani siku nyingine nifike Tanzania tuu niguse hayo madhabahu tuu , nibarikiwe

    • @SaidWaKonde
      @SaidWaKonde Рік тому

      Ujingao madhambi hayafutwi na binadam mwenzak

    • @robertnyanje69
      @robertnyanje69 11 місяців тому

      @@SaidWaKonde santhaaa🤣🤣

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 Рік тому +2

    Baba YANGU NABII MKUU GEARDAVIE Mungu Awabariki Sana. Apostle Joseph Itangishaka Burundi Gitega capital poritike nagupenda tena nagufuata Sana 10/10

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 Рік тому

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

  • @JuliusPaulo-zf4cr
    @JuliusPaulo-zf4cr 4 місяці тому

    Mungu akupe maisha marefu na akuzidishie Roho ya kusaidia hivyo hivyo

  • @user-gd9jf6pn4c
    @user-gd9jf6pn4c 6 місяців тому

    Siku ya kwanza,,kukupata leo kwangu baba ubarikiwe sana ,,nifungue mim,niombe nyota yangu irudi baba natoka Kenya,,,nakupenda sana,,Mungu akubariki sana ,,AMEN.🎉🎉🎉

  • @AbelSM254
    @AbelSM254 Рік тому +5

    Blessed is the hand that given. More blessings flow to you our spiritual father . A good example to other pastors

  • @Reverseumbetangie
    @Reverseumbetangie Рік тому +4

    Huyu baba nimekuwa nikifuata kazi yako Mungu anaona...hapa kenya sijaona mtumishi anaye supoti waimbaji kama huyu...God bless you sir

  • @user-wz7ke8td5k
    @user-wz7ke8td5k 5 місяців тому

    Binada muwanameji wegiwa oha wanama ono umeza riwanimutumishi usijari yabinadamu❤

  • @user-do2sx6sc8h
    @user-do2sx6sc8h 11 місяців тому

    Mungu akutunze mtumish,,ila jambo kubwa,anayekusifu ww usikubali hizo sifa,mara moja anazitamka kwako nawe umpe hizo zifa Mungu,,kwan syo ww bali ni Mungu mwenyewe ndan yako,,,,watumish wengi wamekufa kimwili hata kiroho kwa kosa lakupokea sifa za Mungu kama Mungu,,,barikiwa sana zaid

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 Рік тому +7

    Nabii hakika Mungu azidi kuwa mbele yako katika shughuli zako zote

  • @JAimeNtakarutimana
    @JAimeNtakarutimana 3 місяці тому

    Umebalikiwa sana Nabii Mukuru kwasapoti unao sapoti watotowako Yusu Azidi kukuweka juuu NABII MUKUU!

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel7306 Рік тому +3

    Amen kati ya manabii nimeweza ona huyu ndo nabii wa kwanza anayetoa majibu ya kweli

  • @dedenegele4996
    @dedenegele4996 Рік тому +2

    Nampenda sana Nabii Geerdev
    Sema sina uwezo ningetoa zawadi ila basi Mungu namuachia kwake Amen

  • @marrykilyenyi8573
    @marrykilyenyi8573 Рік тому +2

    Safi Sana Mtumishi kwakusaidia watu ,kwakwer mi nabarikiwa ,huangalii sura Wala kabila ,Mungu akuinue

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Рік тому +3

    Wewe mchngaji unadhamini wanadamu wote kwa moyo wa dhati kabisa bila kujali utofati wa dini mungu akuongeze kila itwayo leo

  • @furahajastin8649
    @furahajastin8649 Рік тому +4

    God bless you papa niombee milango yangu ya mafanikio.Mungu akuzidishie mafuta mabichi.

    • @esthercharo827
      @esthercharo827 10 місяців тому

      Hutaki mafuta ya kuiva😂😂😂😂

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 10 місяців тому

    Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari zikuwe famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule tupate ada Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏🙏👏🙏🙏🙏🙏

  • @talentedboys-tv1507
    @talentedboys-tv1507 Рік тому +2

    Alooo this is supremely owesome🤝🤝🤝man of God ur more than wow.....wenye povu liwatokeee

  • @rehemaSanga-p3g
    @rehemaSanga-p3g День тому

    Unatisha baba mungu aendelee kukuinua zaidi

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 Рік тому +3

    Sifa na utukufu zimwendee Yesu Kristo.Amen

    • @mutekulwadavid2585
      @mutekulwadavid2585 Рік тому

      mungu yopo mbinguni tumsifu yeye alie iumba mbingu na nchii

  • @bonifacedeljaykay1221
    @bonifacedeljaykay1221 Рік тому +4

    Wimbo huu umeniguza kwa kweli... Tuna Imani na ww GDV. Hallelujah

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Рік тому

      ,😳

    • @rozinzowa2426
      @rozinzowa2426 Рік тому +1

      Naitwa rose Niko mbeya kiukweli namimi nakuamini baba nakufatilia Sana baba endelea kupiga mwingi

    • @rozinzowa2426
      @rozinzowa2426 Рік тому

      Tunaimani Naye

  • @user-gq9fe6dn2c
    @user-gq9fe6dn2c 2 місяці тому

    Ubarikiwe sana mtumishi naomba uduma ya maombi

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Рік тому +5

    Ameni mungu awe pamoja nawe🙏🙏

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 Місяць тому

    Mungu akubariki pastor Geodavi🙏

  • @glaury9938
    @glaury9938 Рік тому

    Hata mimi ninaamini wewe ni mtumishi wa mungu alie hai nashukuru kwa upendo uko nao nimelia by glory mayotte france

  • @jovinjoseph1438
    @jovinjoseph1438 Рік тому +6

    Nakupenda sana nakuitaji sana 🙏🙏🙏🙏

  • @elisanteqamdu
    @elisanteqamdu Рік тому

    Hatumsifii mwanadamu tunadanganywa hapo only GOD is the one who receive praise mwamini mungu siyo nabii

  • @henrymaile1121
    @henrymaile1121 Рік тому

    Mungu akubarik baba yaan natamani sana kuja ikulu kwa mfarume namuomba mungu anipe uwezo mbaka nifike nimuone baba 2

  • @geoffreytheprincemwimbaji9343
    @geoffreytheprincemwimbaji9343 Рік тому +2

    Kuna wimbo wangu ningependa. Pia utasame" TUTASIMAMA..
    TUTASIMAMA SONG ndio my best TRENDING SONG.. nisapoti

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 Рік тому +2

    Mungu akisema ndiyo, hakuna wa kumpinga

  • @jamilankaya6825
    @jamilankaya6825 Рік тому +1

    Ni kweli kabisa. Uimbiwe angalia upo hai uko sahihi nabii mkuu mungu azidi kukufungulia kibali cha imani

    • @fettsamri3835
      @fettsamri3835 Рік тому

      Anapatikana wapi ata chaneli gani nimfatilie

  • @samwelmsongoa1861
    @samwelmsongoa1861 Рік тому +2

    Baba naomba million moja ninashida

  • @user-sc5en5bi6v
    @user-sc5en5bi6v 6 місяців тому

    Jambo mutumichi wa mungu nakupendaka sana ni pasteur mugisho manegabe jean kutoka Congo

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 Рік тому +2

    Wachungaji wengine wanakamua hela za waumini lakini wewe unawabariki watu kwa pesa, hongera kwa kutoa

  • @elizabethdeus7923
    @elizabethdeus7923 Рік тому +6

    Akuna lishindikanaro kwa mungu 🙏

  • @user-gd9jf6pn4c
    @user-gd9jf6pn4c 6 місяців тому

    Mungu abariki baba wetu,,love from Kenya

  • @josephfrances1447
    @josephfrances1447 Рік тому

    Mtumishi wa Mungu hakika mimi nimekbar wewe siyo siyo mbinafsi tena hata siku nikifika kanisan kwako nikatoa sadaka yangu nitajivunia sana Kwan inarud Kwa jamii isiyojiweza, Sasa hapa ndo unampa Mungu sadaka🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 Рік тому

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

  • @emerecianawumbe2044
    @emerecianawumbe2044 Рік тому +15

    Kuzimu inakusifu kwa kupoteza wengi ukiwapoteza kwa fedha za kuzimu moto huko mbele yako.....

    • @salimkingu2108
      @salimkingu2108 Рік тому +1

      We ndo taira kweliii wap umeona emeandikwa fedha ya kuzimu

    • @annamariamakula3853
      @annamariamakula3853 Рік тому

      Afadhali huyu anayerudiaha kwa jamii wengine hawajui hata shida za jamii wananenepesha account zao tu.

    • @barikingowo1052
      @barikingowo1052 Рік тому

      Kiukweli wewe ndo shetani na maana nikikuuliza kwann unamchukia huyu Baba utasema nini?

    • @JanethMoheli-jt6cy
      @JanethMoheli-jt6cy 11 місяців тому

      Tunaimani na mungu wetu

    • @FrankShafani
      @FrankShafani 11 місяців тому

      hiyo ni.kweli.kabisa ndugu anae pasa kusifiwa ni.mungu.

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 11 місяців тому

    Ubarkiwe baba Yetu ❤ Nakupenda savabu unajali Sana shida zawatu

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 Рік тому

    Mtumishi Jo dev ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @amanisaid9863
    @amanisaid9863 Рік тому +2

    Mimi nakuita mwamba,,safiii sanaaa nakukubari sana

  • @wellofblessings.prgamaya1998
    @wellofblessings.prgamaya1998 Рік тому +1

    Mungu aliye mwingi wa neema na atufunue macho ya kiroho kujua namna ulimwengu unavyofumba kujua ajenda ya Mwovu kupitia makutano haya

    • @salimkingu2108
      @salimkingu2108 Рік тому

      Macho yako
      Tu mwili hayaon hayo koroho utayafunuaje?

    • @wellofblessings.prgamaya1998
      @wellofblessings.prgamaya1998 Рік тому

      @@salimkingu2108 Samahani, nafikiri haina haja ya kujibizana. Kama wewe umefumbuliwa basi na ufuate kile ambacho Unaamini. Barikiwa

    • @agnesngugi6973
      @agnesngugi6973 Рік тому +1

      Should they sing for you or to Jesus. brethrens open your eyes and know it's end times Jesus is coming soon

  • @officialcolofindo19
    @officialcolofindo19 9 місяців тому

    MUNGU amekuleta kwenye maisha yetu kwa MAKUSUDI

  • @ericbadu3726
    @ericbadu3726 Рік тому +1

    Tanzania tumekwisha, watu hawatafuti ufalme wa Mungu badala yake hutafuta muujiza. Kizazi kiovu na cha kizinzi kama alivyo sema mwokozi wetu Yesu.

    • @salimkingu2108
      @salimkingu2108 Рік тому

      Bila ishara na miujiza hakuna ufalme wa mungu.usiishie kumpenda yesu tu. Jifunze pia kumjua

  • @r0semaryabuga434
    @r0semaryabuga434 Рік тому

    Asante nabii wa mungu nisaidie nami kwa watoto wawili sina uwezo asante

  • @Ghislain-yl9qh
    @Ghislain-yl9qh 3 місяці тому

    Asante mtumishi,ila kwangu mimi ni na ulizo Baba, nataka nijuwe kabla ujakuwa nabii ulikuwanarndesha kazigani??,pili.naitati niwe naku nuowa kipara,yaani mimi ni kinyozi.sikumoja nikuone nikutach,.ninasababu fulani .siitaji hela ama milioni.ila nina malengo fulani.❤

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139 Рік тому +2

    amen mtumishi wa Mungu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 Рік тому

    Shetani anainua watu washidane na Yesu. Ili jina la Yesu lisisikike..lisikike la wanadam wengine. Anajua kabisa Jina la Yesu likisikika sana ni anguko lake.

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Рік тому +5

    Namm naomba milion moja baba nashida Sana Sana 😭😭

  • @ZawadiUlambo-ww8xw
    @ZawadiUlambo-ww8xw Рік тому +2

    Jamana Jaman tutende dhambi ila tukumbuke kuwa Kuna mungu juu mbinguni tuxhike neno la mungu takatifu🙏

  • @greysongodlisten7118
    @greysongodlisten7118 11 місяців тому

    Ubarikiwe mtumishi

  • @acrrehteacher4230
    @acrrehteacher4230 Рік тому

    Baba mungu akubariki na akujalie maisha marefu ili utuvushe kondoo wako

  • @florenceakinyi56
    @florenceakinyi56 Рік тому

    Shalom Baba naomba kujiunga na maombi yako asante

  • @TuelewaneSemahoro
    @TuelewaneSemahoro 5 місяців тому

    Mutumishi wa Mungu nakuomba unikubalie vifungo vilivyo juu yangu vitoke kukataliwa nawatu niwe mtukama wengine.

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 Рік тому

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma mungu akubariki sana

  • @davidmj8166
    @davidmj8166 Рік тому +2

    Wimbo umenigusa 👏👏👏👏🙏🙏🙏💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🇺🇸🇺🇸

  • @VivianMakange
    @VivianMakange 11 місяців тому

    Mungu akupe maisha marefu baba.

  • @yasinidicole4171
    @yasinidicole4171 Рік тому

    Mungu ni mwema sana kbs🔥🔥🔥

  • @kerenkanini9246
    @kerenkanini9246 Рік тому

    Aliye kuita katika huu ufalme ni mungu nakupitia kwako wengi tumebarikiwa wengi tumeponywa na mungu.

  • @apynesnzisa5045
    @apynesnzisa5045 11 місяців тому

    🙄🙄🙄eti mna Imani na na binadamu😢 yesu ndie utumia mtu kuondoa mapepo...
    God have mercy upon us😢
    Nyie, mlikuwa mwataka hela semeni ivyo tuu, acheni kutuzengua....
    Mwenye tuna Imani nae ni mungu tuu, juu yeye ndio pumzi yetu🙏🙏🙏

  • @jordankikoti1045
    @jordankikoti1045 3 місяці тому

    Unzr huyu anaishi na jamii so mwingine Kila wimbo anaona dhambi na huu ndo unabii wa kwel,Yesu mwenyewe aliishi na Kila jamii

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 Рік тому

    🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️💘💘💯💯🙏🙏🙏🙏🙏 nimekuelewa vizuri Sana 🙏💯 Mwenyezi Mungu Aendelee kukutunza

  • @Eunicemakokha-gc9ss
    @Eunicemakokha-gc9ss 5 місяців тому

    Wimbo ya baraka Tele kwa mteule WA mungu

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 Рік тому +2

    Wimbo ni mzuri sn hadi umenisisimua ♥️😍👌🔥🔥🔥

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Рік тому +1

    Kiukwel mm mwenyewe nimeupenda Sana huo wimbo hd upigaj wa kinanda

  • @mtorodioma
    @mtorodioma Рік тому +5

    Mimi nabii wangu ni muhammad (s.a.w )

  • @Bedamamwinji
    @Bedamamwinji Рік тому

    Only Mungu asifiwe si Binadamu

  • @BishopEyanae
    @BishopEyanae 2 дні тому

    Ubarikiwe

  • @johnayub7694
    @johnayub7694 8 місяців тому

    Aisee huyi nabii ❤

  • @user-xt8qy8ci5s
    @user-xt8qy8ci5s 11 місяців тому

    Good Bless you

  • @janenkata6290
    @janenkata6290 Рік тому +2

    Amen Mungu akubariki sana

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 Рік тому +2

    Yesu akubariki

  • @amoskilekwa7780
    @amoskilekwa7780 Рік тому +2

    Je écouter votre production n'a bi

  • @Foma-Tz
    @Foma-Tz 7 місяців тому

    Mungu asifiwe

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 11 місяців тому

    Kwa nn tusiwe na Imani na mungu kuliko binadamu

  • @user-xt8qy8ci5s
    @user-xt8qy8ci5s 11 місяців тому

    MUNGU akutunze Baba NABII MKUU DR GEORDAVIE Balozi wa AMANI UISHI Miaka Mingi

  • @RhodaMary
    @RhodaMary Місяць тому

    Nintap that anointing from Kenya

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Рік тому +2

    Savi sana

  • @karimpasclee4043
    @karimpasclee4043 11 місяців тому

    Ubarikiwe sana 🙏 baba

  • @hadijamatunda3691
    @hadijamatunda3691 Рік тому

    Nakupenda Nabii mkuu balozi wa amani

  • @Bedamamwinji
    @Bedamamwinji Рік тому

    Hii n ufala ak ,,,Eti kukusifu surely ,,Mmefanya huyu mtu kuwa Mungu ama ,,Kati yake n Yesu ni Nani nambii mkuu ak

  • @HenryMutie
    @HenryMutie Рік тому +1

    Akuna ajuae baraka yake itatoka wapi Mungu niwajabu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MariaJoseph-sr2le
    @MariaJoseph-sr2le 8 місяців тому

    Poleni sana mungu ni mwema

  • @Bedamamwinji
    @Bedamamwinji Рік тому

    Mko na talanta lkn itumieni kusifia Mungu,,Acheni upofu wa kiroho nyinyi

  • @user-gs2dj5hw2u
    @user-gs2dj5hw2u 10 місяців тому

    Mungu akiamua kukuinua akunaanaeweza kupinga

  • @MikeLiroko
    @MikeLiroko 10 місяців тому

    Mungu atupe uokofu

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv 10 місяців тому

    Mtumishi tunapokea upako wako kwajina la yesu

  • @maryminya
    @maryminya Рік тому

    Hongren

  • @ebenezermachange1073
    @ebenezermachange1073 Рік тому +3

    Amen

  • @magdalinamwikali7251
    @magdalinamwikali7251 Рік тому

    Mungu hakubariki na hakubariki huyo mtoto

  • @ebenezerndanyuzwe9292
    @ebenezerndanyuzwe9292 Рік тому

    Only God deserves all the glory.Have faith in Him only not a human being

  • @niyomugabojohn8329
    @niyomugabojohn8329 Рік тому

    Mimi Nina Imani nae saaaaaaaaaaaana. Amenipa kukisikia vinadamu

  • @paulandrew9965
    @paulandrew9965 Рік тому +2

    HALELUYA

  • @davidkainonge8153
    @davidkainonge8153 Рік тому

    God bless you u are the man of God 🙏

  • @Jehovarohiband
    @Jehovarohiband 7 місяців тому

    Matayo 24:24 tuwe makini sana yesu kashasema

  • @annajohn419
    @annajohn419 11 місяців тому

    Ee. Mungu tusaidie sana

  • @lovenessfrancis5547
    @lovenessfrancis5547 Рік тому

    Hakika nabii wewe ni mti wenye matunda hakika baba Mungu akusimamie kwenye huduma yako

    • @micahnjoroge3685
      @micahnjoroge3685 Рік тому

      Mchunge saana. Hakuna na bii Mkuu tena hakuna office ya Nabii. Unasifiwa. Chunga. Umefanya watu kukuabundu wewe.

  • @emmanuelbalume4088
    @emmanuelbalume4088 7 місяців тому

    Tunaitaji kanisa ya NABII MKUU ifunguliwe hapa congo ,Goma town

  • @user-cf3go3sv8z
    @user-cf3go3sv8z 4 місяці тому

    Amen baba