Hajasema baya!lkn Sio w/ume wote wa kiislam wanaweza kuuangalia mke!wapo waume wengine hata hawajui kama mke ni jukumu lake mume! Ila wao ndo wanataka mke ajue kuwa mume ndo Kila kitu kwa mume!waume ukiona mke anataka kuanza kujiangalia mwenyewe au anaomba kuachika basi ujue wewe mume hufanyi majukumu yako ipasavyo!hakuna mke hapendi kuangaliwa na kutunzwa! Ila ndani mambo hayako sawa
Hiv Kwa Nini wanawake wengi wakishapata mafanikio kidogo tuu ya kidunia hua wanaanza kujiona wanaweza kuishi bila wanaume? Sasa kipi Bora kama wewe ni Muislam huwe na Mume ustirike au ukijiskia unaitaji sex uonge Mume Hela zko Mkafanye nae Zinah?
MashaAllah MashaAllah Leyla. Mwenyezi Mungu akulinde na Shari za kila aina, akujaalie moyo na ujasiri wa kujisitiri. Nimekuelewa sana. Umejaribu ktk ndoa, haikuwezekana. Endelea na maisha. Nakupenda Bure tu.
Tusidanganyane, na yeyotete asiwadanganye, heshima yya mwanamke ni NDOA bila ya NDOA hujakamilika. Tambuweni kuwa mila binadamu amepewa MIDOMO MIWILI wa chini na wajuu yote hiyo kwa madhumuni ale ashibe, sass kama hujaolewa na hutaki kuolewa huu mdomo wa chini una upatiajei chakula? Vinginevyo ni UZINIFU.. Mimi sisemi kwa unazi hili ni andiko. Niliko masheikh wanazuoni hawajafikia . Inapendeza sana kila binti awe tajiri awe masikini NDOA ndio wajibu kwake. Itokee sababu tu ya kutopata mchumba, na hii inatokana kwa binti kutojistiri. STARA ndio kitu cha kwanza kikubwa mwanamke amepewa na Mola wake, ndio maana Bikra Mariam alimpendeza Mola wake baada ya kuvunja UNGO alidumu katika kujistiri. BIKRA ni DHAMANA KUBWA wengi hawajuwi. Mwalimu nipo Darusalaam kwa ushauli ++255715417511 na +255784417511.Ila mimi si mganga.
Kweli kabisa Leila ndoa ni Qadar ama majaliwa hakika. Ya salaam maneno yameni touch kazini at this moment !!!! Greetings from Adelaide South Australia 🦘🦘🌏
Mashallah Allah akulinde na shari za wanadamu wengi wanapatamani ulipo ata mm n mme pia ila natamani hiyo kazi cha msingi changa maadili tu na mche Allah.
Assalamu alaikum kina mama na waislamu wote lazima muelewe kua ndoa za KIISLAMU HAZINA UHUSIANO NA MALI AU BIASHARA ZA WANANDOA NA HESHIMA NDANI YA NDOA HAHARIBIKA KUTOKANA KUKOSA UCHAMUNGU someni dini inasema nini msiigie katika kulaumu ndoa na sheria za dini MTAKUFURU TAHADHARINI
Ndoa ni lazima kwa mwanamke kwa mwanaume Wanawake wengi hawadumu ktk ndoa kwa sabanu hizi 1- Huingia katka ndoa bila kujua elimu ya ndoa 2- Kujifanya anajua kuliko mwanaume 3- kujiona anaweza kutafta pesa( wanawake wote wanaojifanya wamastaa hawana wanaume) 4- wanasoma elimu ya mdoa krk mitandao nan kasema nın bıla kujua kuwa kıla ötu ana aıma ta mume wake 5- kufananısha maısha yake ma menzake kwa mumewe 6- kupaza saut anapoongea na mumewe 7- kujisahau akiwa katka ndoa na kuish tu atakavyo 7- kuisg kimazoea 8- kutokumjua aina ya mune alinaye 9-
Ndugu zanguni, haina haja ya kumtukana, kumsema vibaya nk. Hebu kuweni na moyo walau wa kumuombea dua njema kwa Mola Mtakosa nini? Waume wenyewe sasaivi ni wa sayansi na teke linalokujia !!! Mtihani mitupu.
Stara ya mke ni mume. Usijidanganye wala kupoteza wenzako. Pesa wala kazi si muhimu kuliko mume ,na ana daraja kubwa .mke radhi yke kwa mumewe. Maisha huenda na vi wili wili etc mke na mume,usipote .la muhimu maisha ni subra.
Wako wanawake tele kwenye ndoa na wameweza kutengeneza maisha ndani ya ndoa na maisha yanakwenda vizuri tu. Muandishi unataka kuwapa vichwa vikubwa hao kinadada wasiotaka ndoa tangu mapema na ujuaji mwingi. Ungewafuata na hao waliomuoa ukawahoji. Msema pweke hakosei.
Mfumo wa maisha ulivo ni kama alivouweja Allah sasa kushindana na mfumo huo bas utapotea tu. Maana inajulikana sana tu kuwa mtu akisema hataki ndoa bas Allah anajua kwa nin hasa
Huyu ndio wale wanawake wanaotaka kuchukua majukumu ya kiume ambayo sio ya kwake na kujifanya yeye ndio mwenye amri kwenye nyumba zaidi ya mumewe, . Mwanamke wa aina hii hafai kuwa mke, Atabakia kuolewa na kuachika mpaka kufa kwake. Jila lake la kipagani kwa Sasa anaitwa lala Joseph
Sio kila mwili unataka kufanya tendo hilo!amekwambia yeye mgonjwa! Mpaka hapo usha elewa,hawezani bora afanye yake maisha kama hivyo yamwendea vyema!mume ni shuuli nyingine nzito kazi juu ya kazi, ameona bora awekeze ktk anacho kuweza Alhamdullah anaweza Allah ambarik
Wewe kama unataka umalaya tafuta malaya mwenzio lakin mume kua na wivu na mke wake ndio mapenzi hayo na mtume asema haingii peponi mtu asie na wivu wewe wataka uwachiwe kama limbuzi ama lingombe na hata upate mume wa aina unayotaka bado t utamtoa kasoro kwa unavyoonekana huna shukran
U napo I taka Dunia Mungu atakupa uhangaike nayo. Nsoa ni hesbima yako na m bele ya Mola wako na mbele ya Malaika. Na hukupa heshima mbele ya jamii na familia yako. Futa usemi huo. Iwapo kweli unamtii Mwenyezi Mungu.
Kuoa au kuolewa ni maamuzi ya mtu mwenyewe , ninachoshangaa kwanini jambo hili kuwekwa ktk mitandao hali ni jambo la mtu binafsi ? Majibu yamekuja ni kwamba lengo ni jamii kuiharibu Ili waichukie ndoa na waachane na mafunzo ya dini mungu akuongozee dada yetu uzur wako huo mwisho ni dongo kaburini
Usiutukanishe uislam mama haujui dini leo unatomboka na kukashifu ndoa za uislam kwa sababu huo uhuru unaosema uko ukafirini sie waislam tunamipaka na sheria za haki ya kila mtu katika ndoa na ujue riziki anatoa Allah
Lkn msiitumie dini kuwaumiza wanawake! Siku hizi mume ndo afanya mke aweze kuwazuia maisha kama haya nyie waume mna wapresha mpaka waona bora awe na maisha yake! Kama aweza kujizuia na machafu Alhamdullah,lkn sie waume ndo tunawatumia vibaya wanawake kwa kisingizio cha dini, dini isiwe vitisho kumgandamiza mke! Tuwe nao kwa kuwapa nafasi atusaidie wakiweza Sio lazima!mpe uhuru wa mipaka asitoke inje ya mipaka yako na dini!lkn mume huna kitu cha kumlisha kumvisha mke nabadowamlazimisha aishi maisha yasiyo na furaha kisa wewe huna uwezo
Nani kasema ndoa ni Ibada? Unasema ukipata mume muislamu mwenye dini huezi kufanya unayofanya ndiposa ukaonelea ni heri uwe "singo" uwe huru kufanya utakavyo. Swali langu. Lipi unalofanya hata kuwa mume akiwa muislamu mwenye dini hatokuacha ufanye? Nasiha yangu. Angalia mume mwenye dini mbali na uislamu au bora zaidi asie na dini.
MTIHAN WALLAHI 😢😢😢😢 TUMUOGOPE ALLAH TUSOME DINI YETU PUMZI ZISITUHADAE ... "ETI SHERIA ZA DINI ZIPO TOO MUCH " HUYO BIBI HADIJA ALIFANYA BIASHARA LKN KIONGOZI WAKE ALIKUA MUMEWE MTUME WETU... WW KM HUWEZI NDOA USISHAJIHISHE ZINAA
Yeye hajaachika ili akadange!ana pesa na maisha Alhamdullah, Amejaribu ndoa mara 2,ameona hana bahati ktk Ndoa!angekuwa ataka wanaume angelioleka tena mara 3,nahata 4!lkn yeye hayuko tena huko unako waza wewe,yani hapendi kuolewa tena! amejiangalia afya yake hawezi tena!kushuulikiwa mume, Mtu wajijua yeye kwanini kumuhuku kwa kitu ambacho pengine hatafanya hayo machafu unayo muwazia, Allah amnusuru i'nsha'allah
@@aairraahseif5648 sasa ndoa ni dini so mtu mwanamke kusstilika hutaki ndoa unataka nini zaidi si kudanga atakaje bilaa matamanio sabu si malaika huyo laazima atamani si anakula na kushiba
@@aairraahseif5648 saasa maatamanio yake atatolewa na nani ikiwa mtume kasema ndoa ni jambo la kheri na ninusu ya dini anapesa anakula na kushiba hatotamani tendo la ndoa huyo
Wanawake tumcheni Allah ,waulizeni wenzenu wakike walo jifahamu malengo Makubwa ni kuridhiwa na Allah na the simplest way kupata nikupitia ndoa ,yalobakia ni mapambo tu haya saidii chochote kesho feminism is killing you silently .No one will understand this except pious one
Stara ya mke nimume! Kweli'lkn hao waume wapo?mume yeye pia angojea chako mke ili aishi, hivi leo wako hao waume unao waongelea wewe!mume ni stress kwenda mbele waweza kufa sababu ni mume! Sio waume wote waweza kutunza mke! Wachache sana tena walo jaaliwa
@@jumaseifjuma4185 unaweza usikipate hicho unachotaka kukisikia kwa mwenye ndoa! Ukweli Sio ndoa zote zinafanya na kufanikiwa! Ni watu kuvumiliana tu'ndoa nyingi ni mtihani! Furaha ya ndoa ni chache sana, huwa nipale mwanzo tu'hata mwenye ndoa akiulizwa ataficha vitu vingi kuviongea akilinda ndoa yake na kuogopa fedheha aibu,lkn ukiamua kustahimili utafaulu Aakhera lkn siyo duniani kwa pande zote mbili mke na mume, na vipo vitu vichache waweza vumilia, pia vipo vitu vizito vingi huezi stahimili kuvumilia
hutaki kuolewa lakini Zina bila shaka haikupigi chenga mche Allah umri wa binadamu ni mdogo sana akizidi sana ni sabini waliopita hapo Allah amewajalia Sasa wewe na mimi tuihesabu hapo tulipo Bado kama ishirini hivi takriban au dakika yoyote kwahivyo na kunasihi kubali hata Mimi hapa nikuoe Sina pesa na Wala sitaki zako kwa ajili ya Allah TU
Wewe cyo muislamu usituektiye eti kwa dini ya kislamu mume anatakiwa na wivu hivo ni ngumu nenda uko achana na uislamu kachaguwe kanisa uko ili uwe huru tena usijite muislamu
Ukishazoea ujahaba bad kila kitu cha ndoa utakiona kibaya ogopa sana mwanamke aliezoea mboo za wanaume wengi hutodum nae kabisa maana ukahaba kesha uzoea
Wee Abuu ndo unaonekana hujui kitu, wee wahukumu na laana juu wamtolea dada wawatu! Sasa nani mwenye afueni wewe au huyu dada?kosa lake nini hasa, kukataa kuolewa mara 3 au? Wee wayajua aliyo yapitia?mtoa hukumu ni Allah pekee,waume kama mwayaweza majukumu vizuri mke hawezi ichukia ndoa'maisha ya ndoa sasa ni mtihani ukiona mke akukalia ndani basi hana pa kwenda na hajui cha kufanya! Huyu yu jishuulisha, amesema anajiheshimu hadangi huyu!yuko busy na kazi sio busy na wanaume, Alhamdullah anajitambua Allah amuongoze mema,i'nsha'allah mashaallah anafanya mambo kuliko mwanaume, Allahhibarik
Unataka Uhuru upi Kipenzi??kweni Mume ana haki ya kukuangalia na Kukukataza kwa mabaya Mwanamke uwe na Mipaka acha kubwabwaja
Hajasema baya!lkn Sio w/ume wote wa kiislam wanaweza kuuangalia mke!wapo waume wengine hata hawajui kama mke ni jukumu lake mume! Ila wao ndo wanataka mke ajue kuwa mume ndo Kila kitu kwa mume!waume ukiona mke anataka kuanza kujiangalia mwenyewe au anaomba kuachika basi ujue wewe mume hufanyi majukumu yako ipasavyo!hakuna mke hapendi kuangaliwa na kutunzwa! Ila ndani mambo hayako sawa
Huyu mwanamke na hao wanaume walomuoa wote hawana elim ya dini wala hawana takwa na uvumilivu ndio maana kashindwa kukaa ktk ndoa
Njoo kwangu mie nkustiri
Hiv Kwa Nini wanawake wengi wakishapata mafanikio kidogo tuu ya kidunia hua wanaanza kujiona wanaweza kuishi bila wanaume?
Sasa kipi Bora kama wewe ni Muislam huwe na Mume ustirike au ukijiskia unaitaji sex uonge Mume Hela zko Mkafanye nae Zinah?
Huyu anataka kuwa na maaasiyaa
MashaAllah MashaAllah Leyla. Mwenyezi Mungu akulinde na Shari za kila aina, akujaalie moyo na ujasiri wa kujisitiri.
Nimekuelewa sana. Umejaribu ktk ndoa, haikuwezekana. Endelea na maisha. Nakupenda Bure tu.
Tusidanganyane, na yeyotete asiwadanganye, heshima yya mwanamke ni NDOA bila ya NDOA hujakamilika. Tambuweni kuwa mila binadamu amepewa MIDOMO MIWILI wa chini na wajuu yote hiyo kwa madhumuni ale ashibe, sass kama hujaolewa na hutaki kuolewa huu mdomo wa chini una upatiajei chakula? Vinginevyo ni UZINIFU.. Mimi sisemi kwa unazi hili ni andiko. Niliko masheikh wanazuoni hawajafikia . Inapendeza sana kila binti awe tajiri awe masikini NDOA ndio wajibu kwake. Itokee sababu tu ya kutopata mchumba, na hii inatokana kwa binti kutojistiri. STARA ndio kitu cha kwanza kikubwa mwanamke amepewa na Mola wake, ndio maana Bikra Mariam alimpendeza Mola wake baada ya kuvunja UNGO alidumu katika kujistiri. BIKRA ni DHAMANA KUBWA wengi hawajuwi. Mwalimu nipo Darusalaam kwa ushauli ++255715417511 na +255784417511.Ila mimi si mganga.
Mashallah Mashallah Mashallah kweli kweli alhamdulilah Allah akusimamie inshallah
Kweli kabisa Leila ndoa ni Qadar ama majaliwa hakika. Ya salaam maneno yameni touch kazini at this moment !!!! Greetings from Adelaide South Australia 🦘🦘🌏
Umenena
Pole sana amka saa nane zausiku wakati mola kataramka kwa sama umuombe kwa ikhlas inshallah shida zitaisha kwa uwezo wake
Magufuli angekuwa hai, huyo Mama angepewa u uWaziri haraka Sana. She is incredible brilliant congratulation!!
Karibu, leila, nikuoe uhuru utapewa
Naomba mimi nikuoe mlaani shaitwani fanya nikuoe kheri itapatikana Inshallah
Nipelekeeni Ombi langu basi
Mm nimekupenda .njoo kwangu .nitakupeleka kwa uhuru na hata ukisema ruto pia
Mashallah Allah akulinde na shari za wanadamu wengi wanapatamani ulipo ata mm n mme pia ila natamani hiyo kazi cha msingi changa maadili tu na mche Allah.
Kama unataka uhuru wa kumuasi mungu hapo sawa endelea na maasi Yako ,lkn kama unahitaji UTULIVU na heshima ingia kwenye ndoa
Mm binafsi nakuelewa sana nimepitia hayo pia
Utatapeliwa dada hapo ulipofika sema alhamdulillah. Simamia tu biashara zako uangalie na afya yako!
Pole sana leyla. Kaonane na Daktari, unaumwa
Assalamu alaikum kina mama na waislamu wote lazima muelewe kua ndoa za KIISLAMU HAZINA UHUSIANO NA MALI AU BIASHARA ZA WANANDOA NA HESHIMA NDANI YA NDOA HAHARIBIKA KUTOKANA KUKOSA UCHAMUNGU someni dini inasema nini msiigie katika kulaumu ndoa na sheria za dini MTAKUFURU TAHADHARINI
Unataka uhuru gani mama, pole sana Mwenyezi Mungu akuongoze jitahidi zaidi kuifahamu dini yako imekujengea mazingira yahuruma sana kuliko mawazo yako.
Sister yangu hapo umkosea kusema hutaki ndoa ni dhambi kubwa kuwa mtu scw asema mwenye hataki kuoa ajua si uma wangu
Ndoa ni lazima kwa mwanamke kwa mwanaume
Wanawake wengi hawadumu ktk ndoa kwa sabanu hizi
1- Huingia katka ndoa bila kujua elimu ya ndoa
2- Kujifanya anajua kuliko mwanaume
3- kujiona anaweza kutafta pesa( wanawake wote wanaojifanya wamastaa hawana wanaume)
4- wanasoma elimu ya mdoa krk mitandao nan kasema nın bıla kujua kuwa kıla ötu ana aıma ta mume wake
5- kufananısha maısha yake ma menzake kwa mumewe
6- kupaza saut anapoongea na mumewe
7- kujisahau akiwa katka ndoa na kuish tu atakavyo
7- kuisg kimazoea
8- kutokumjua aina ya mune alinaye
9-
@@twaibumikidadi7377 Nice comments!
Kichwa cha habari kufuru
tupu muogopeni Allah
Aache kukufuru huyo Dini inaelezea kila kitu ktk uislamu. Wacheni kuandika mambo msoyajua ya Dini.mtaja kufuru bure
Ndugu zanguni, haina haja ya kumtukana, kumsema vibaya nk. Hebu kuweni na moyo walau wa kumuombea dua njema kwa Mola Mtakosa nini? Waume wenyewe sasaivi ni wa sayansi na teke linalokujia !!! Mtihani mitupu.
😂😂😂
😂😂😂😂
Stara ya mke ni mume.
Usijidanganye wala kupoteza wenzako. Pesa wala kazi si muhimu kuliko mume ,na ana daraja kubwa .mke radhi yke kwa mumewe. Maisha huenda na vi wili wili etc mke na mume,usipote .la muhimu maisha ni subra.
Mshukuru Allah Rizki anakupa Allah
Wako wanawake tele kwenye ndoa na wameweza kutengeneza maisha ndani ya ndoa na maisha yanakwenda vizuri tu. Muandishi unataka kuwapa vichwa vikubwa hao kinadada wasiotaka ndoa tangu mapema na ujuaji mwingi. Ungewafuata na hao waliomuoa ukawahoji. Msema pweke hakosei.
@@jumaseifjuma4185 noted!
Innalillahi waina ilayhi rajiuun .Allah akutoe katika ujinga huo,pumzi zinakupa shida
Mfumo wa maisha ulivo ni kama alivouweja Allah sasa kushindana na mfumo huo bas utapotea tu. Maana inajulikana sana tu kuwa mtu akisema hataki ndoa bas Allah anajua kwa nin hasa
Fear Allah my lovely sister its fine to work
Ww acha ukinga nipe contacts zko
Mungu wangu hapa tulipo fikia tuna mtihan duuh usidhiniw tuy ndug yangu
Mwanamke akipata pesa hataki kuwa chini ya mwanamume,mume naye akipata pesa kila mwanamke yuamtaka.
Shida n kwambia
Thus true say
Huyu ndio wale wanawake wanaotaka kuchukua majukumu ya kiume ambayo sio ya kwake na kujifanya yeye ndio mwenye amri kwenye nyumba zaidi ya mumewe, . Mwanamke wa aina hii hafai kuwa mke, Atabakia kuolewa na kuachika mpaka kufa kwake. Jila lake la kipagani kwa Sasa anaitwa lala Joseph
pesa zinakutia kiburi, sheria za dini yako unasema too much, jiagalie sana haya maisha ya muda mchache,ndugu yangu
Exactly!!
Mm nikama huyu leyla pesa si kiburi mwenzagu ni bindii tu,
Na zinaa je utaikwepa kpnd hutaki NDOA
Zama za Mwisho hz Kwny Binadamu Wengi wanaangalia Mambo ya KIDUNIA na kutokuwa na hofu ya Allah Mtihani sana
Ikiwa baba yetu Adam kapotezwa n shetani, iwe huyu na mawazo yake potofu.
Sio kila mwili unataka kufanya tendo hilo!amekwambia yeye mgonjwa! Mpaka hapo usha elewa,hawezani bora afanye yake maisha kama hivyo yamwendea vyema!mume ni shuuli nyingine nzito kazi juu ya kazi, ameona bora awekeze ktk anacho kuweza Alhamdullah anaweza Allah ambarik
Kabsa ndo kilicho tutawala
Ipo wap nina viheren vya dhahabu nataka kutengeneza heren duuh
Km ni mwanaume unahis ndoa ni kifungo au mwanamke polen sana
Wewe kama unataka umalaya tafuta malaya mwenzio lakin mume kua na wivu na mke wake ndio mapenzi hayo na mtume asema haingii peponi mtu asie na wivu wewe wataka uwachiwe kama limbuzi ama lingombe na hata upate mume wa aina unayotaka bado t utamtoa kasoro kwa unavyoonekana huna shukran
Innalillah wainnailaih raajeooun!! Msiba mkubwa sana,,,,,
Pole jamani mtoto mzuri
Mtihani huu
Subhanallah,,!!
U napo I taka Dunia Mungu atakupa uhangaike nayo. Nsoa ni hesbima yako na m bele ya Mola wako na mbele ya Malaika. Na hukupa heshima mbele ya jamii na familia yako. Futa usemi huo. Iwapo kweli unamtii Mwenyezi Mungu.
Manshaa Allah ❤ ❤ ❤
Maisha ni mapito tu... pumzi zisikuhadae kuzikosoa sheria za ndoa katika dini sio sahihi
Kuoa au kuolewa ni maamuzi ya mtu mwenyewe , ninachoshangaa kwanini jambo hili kuwekwa ktk mitandao hali ni jambo la mtu binafsi ? Majibu yamekuja ni kwamba lengo ni jamii kuiharibu Ili waichukie ndoa na waachane na mafunzo ya dini mungu akuongozee dada yetu uzur wako huo mwisho ni dongo kaburini
Shida anapotosha Hana maadili kbs laanatulaah
Maa Shaa Allah ❤❤
Usiutukanishe uislam mama haujui dini leo unatomboka na kukashifu ndoa za uislam kwa sababu huo uhuru unaosema uko ukafirini sie waislam tunamipaka na sheria za haki ya kila mtu katika ndoa na ujue riziki anatoa Allah
Lkn msiitumie dini kuwaumiza wanawake! Siku hizi mume ndo afanya mke aweze kuwazuia maisha kama haya nyie waume mna wapresha mpaka waona bora awe na maisha yake! Kama aweza kujizuia na machafu Alhamdullah,lkn sie waume ndo tunawatumia vibaya wanawake kwa kisingizio cha dini, dini isiwe vitisho kumgandamiza mke! Tuwe nao kwa kuwapa nafasi atusaidie wakiweza Sio lazima!mpe uhuru wa mipaka asitoke inje ya mipaka yako na dini!lkn mume huna kitu cha kumlisha kumvisha mke nabadowamlazimisha aishi maisha yasiyo na furaha kisa wewe huna uwezo
Hiv Kwa Nini wanawake wengi wakishapata mafanikio kidogo tuu huu wanaanza kujiona wanaweza kuishi bila wanaume?
Hapo sasa ukijielewa hupati shida
Wasema sheria za dini zeme kuwa to mach chunga ulimi wako
Kama hutazini sawa. Ila kama hujiwezi tafadhali mume ni muhimu usiishi peke yako. Moto ni mkali.
Yaani hii media kuwanziya leo rasmi nachana nayo wanaleta vitu vya ovyo mno
Waislam wengi ndio wapinga ndoa, ngumu, na hawa wengine wakipata fedha kidogo wanajeuri,
Nani kasema ndoa ni Ibada?
Unasema ukipata mume muislamu mwenye dini huezi kufanya unayofanya ndiposa ukaonelea ni heri uwe "singo" uwe huru kufanya utakavyo. Swali langu. Lipi unalofanya hata kuwa mume akiwa muislamu mwenye dini hatokuacha ufanye?
Nasiha yangu. Angalia mume mwenye dini mbali na uislamu au bora zaidi asie na dini.
Huyu sio mzima awaone mashekhe wa majini wamsaidie hayo sio maisha
Hapo kwenye kulea nakujieshim kaongea ukweli haswaaa
Kuolewa ni asili ya kila mwanadamu mwenye afia
MTIHAN WALLAHI 😢😢😢😢 TUMUOGOPE ALLAH TUSOME DINI YETU PUMZI ZISITUHADAE ... "ETI SHERIA ZA DINI ZIPO TOO MUCH " HUYO BIBI HADIJA ALIFANYA BIASHARA LKN KIONGOZI WAKE ALIKUA MUMEWE MTUME WETU... WW KM HUWEZI NDOA USISHAJIHISHE ZINAA
Mume ni lazima awe na uivu
Na kama Hana atakua dayus, unapotea Kwa msingi wa dini
Sidhani kama ni kupenda kwake😢
Kadange ukatupwe motoni vzr na mungu unawaza uhuni tuu
Yeye hajaachika ili akadange!ana pesa na maisha Alhamdullah, Amejaribu ndoa mara 2,ameona hana bahati ktk Ndoa!angekuwa ataka wanaume angelioleka tena mara 3,nahata 4!lkn yeye hayuko tena huko unako waza wewe,yani hapendi kuolewa tena! amejiangalia afya yake hawezi tena!kushuulikiwa mume, Mtu wajijua yeye kwanini kumuhuku kwa kitu ambacho pengine hatafanya hayo machafu unayo muwazia, Allah amnusuru i'nsha'allah
Subuhanah Allaaaah! achakumuwazia mabaya na kumuhukumu,navyo jua mie m/mke akiwa busy huwa hana mawazo ya kimwili,anakuwa amechoka kiakili na kimwili
@@aairraahseif5648 sasa ndoa ni dini so mtu mwanamke kusstilika hutaki ndoa unataka nini zaidi si kudanga atakaje bilaa matamanio sabu si malaika huyo laazima atamani si anakula na kushiba
@@aairraahseif5648 saasa maatamanio yake atatolewa na nani ikiwa mtume kasema ndoa ni jambo la kheri na ninusu ya dini anapesa anakula na kushiba hatotamani tendo la ndoa huyo
@@AbdulIssa-o7e amesema ni mgonjwa! Labda hajataka kuweka uwazi, lkn mwanamke akiwa busy huwa hana tamaa za kimwili, huwa akili mwili Umechoka
Hana lolote ni malaya mstaarabu tena mwizi
Pamoja na maelezo yooote hayo, huyo bibie anayehojiwa hasemi ukweli kile hasa kinachomsumbua.
Wanawake tumcheni Allah ,waulizeni wenzenu wakike walo jifahamu malengo Makubwa ni kuridhiwa na Allah na the simplest way kupata nikupitia ndoa ,yalobakia ni mapambo tu haya saidii chochote kesho feminism is killing you silently .No one will understand this except pious one
Tusiifikire sana pesa hebu tujiulize walikuwepo matajiri wangapo hapo Tanzania wameshatangulia mbele ya haki ana walichokichuma kinapotea kila siku
Cha ajaabu nikwamba hawa wasiotaka kuolewa wengi wao wanazini saana mpaka na waume wa wenzio
Ndoa sio lazima. Piga kazi mume atakuja na atapenda unachokifanya.
Kwa hiyo kudanga ni kama Kawa.
@@salehaljadidi8206kwani amekuambia anadanga ? Mbona unamtafutia jambo ?
@@salehaljadidi8206 kudanga ni kujiuza. Huyu ni mfanyabiashara anayejielewa na kusaidia jamii hajiuzi. Ndoa au Ngono sio lazima kwenye Maisha
Mshenzi tu huyu
Pambana sana heshima pesa ukisaidia familia yako kwa pesa mume utateseka
Una malengo gani wewe wakati kaburi linakunyemelea muogope Allah stara ya mke ni mume.
Stara ya mke nimume! Kweli'lkn hao waume wapo?mume yeye pia angojea chako mke ili aishi, hivi leo wako hao waume unao waongelea wewe!mume ni stress kwenda mbele waweza kufa sababu ni mume! Sio waume wote waweza kutunza mke! Wachache sana tena walo jaaliwa
Kuolewa sio lazima kama anaweza kuji stiri
@@aairraahseif5648Anaehoji kaelemea upande mmoja na aende pia kwa mwanamke mwenye ndoa naye amuhoji.
@@jumaseifjuma4185 unaweza usikipate hicho unachotaka kukisikia kwa mwenye ndoa! Ukweli Sio ndoa zote zinafanya na kufanikiwa! Ni watu kuvumiliana tu'ndoa nyingi ni mtihani! Furaha ya ndoa ni chache sana, huwa nipale mwanzo tu'hata mwenye ndoa akiulizwa ataficha vitu vingi kuviongea akilinda ndoa yake na kuogopa fedheha aibu,lkn ukiamua kustahimili utafaulu Aakhera lkn siyo duniani kwa pande zote mbili mke na mume, na vipo vitu vichache waweza vumilia, pia vipo vitu vizito vingi huezi stahimili kuvumilia
Mekupenda bure hivo ndo tunataka
NDOWA MUHIMU
PESA HAINA SAMANI MBELE YA MKUYATI HALALI❤
hutaki kuolewa lakini Zina bila shaka haikupigi chenga mche Allah umri wa binadamu ni mdogo sana akizidi sana ni sabini waliopita hapo Allah amewajalia Sasa wewe na mimi tuihesabu hapo tulipo Bado kama ishirini hivi takriban au dakika yoyote kwahivyo na kunasihi kubali hata Mimi hapa nikuoe Sina pesa na Wala sitaki zako kwa ajili ya Allah TU
Msungo tu uyo mwanamke
Mh mh mh🏃🏃
Kosa lako ni kuikejeli dini tuu
Alafu mwamme mwenye akili hawezi kuwa na mke kama wewe huo mdomo peke yake janga
Leila mimi nataka kukuoa unasemaje?
Huyu dada atakua na mapepo talaka
Unataka uhuru utakwenda kuupata huko subiri
Kukataa kuolewa ni ushenzi
Wewe cyo muislamu usituektiye eti kwa dini ya kislamu mume anatakiwa na wivu hivo ni ngumu nenda uko achana na uislamu kachaguwe kanisa uko ili uwe huru tena usijite muislamu
Mwanamume asikuwa na wivu huyo Kuna kasoro
Ukishazoea ujahaba bad kila kitu cha ndoa utakiona kibaya ogopa sana mwanamke aliezoea mboo za wanaume wengi hutodum nae kabisa maana ukahaba kesha uzoea
Dada yang kachoka tu uzee😂
Sawa, ila utaamua UZINI au UPIGE PUNYETO..!.
Hawa ni wale wanawake ambao wanataka huru zao dunia ismame nishuke 😂😂
INAPOTOKEA UPUPU UMESUMBUA INAKUWAJE!
Yaonesha uko na shida wewe leila wataka ujue ndoa ni stara na ninguzo katika uwislam utaipukana na viumbe mashetani
fala ww mjinga kbs tena huna akili mbwa Allah akuadhibu hapa duniani kabla ya adhabu kali akhera ...yaani unapingana na sheria za uislam???
Wee Abuu ndo unaonekana hujui kitu, wee wahukumu na laana juu wamtolea dada wawatu! Sasa nani mwenye afueni wewe au huyu dada?kosa lake nini hasa, kukataa kuolewa mara 3 au? Wee wayajua aliyo yapitia?mtoa hukumu ni Allah pekee,waume kama mwayaweza majukumu vizuri mke hawezi ichukia ndoa'maisha ya ndoa sasa ni mtihani ukiona mke akukalia ndani basi hana pa kwenda na hajui cha kufanya! Huyu yu jishuulisha, amesema anajiheshimu hadangi huyu!yuko busy na kazi sio busy na wanaume, Alhamdullah anajitambua Allah amuongoze mema,i'nsha'allah mashaallah anafanya mambo kuliko mwanaume, Allahhibarik
Macho yake tu anaonekana mtihani tupu
Eti sheria za dini zipo too much, acha kufukuru wewe kama unaona dini ya kiislamu haikufai basi bora uanzishe dini yako isiyo kuwa na sheria.
Una Matatizo dada ndio maana ndoa zako hazitulii
Msiba huu
Unaogea ujinga ww mama mtu mzima ovyo eti nataka uhuru
Unapotosha watu wewe ni mjinga kweli
Izo pesa ndio zitakutomba au huwashwi chini
Mashamba boy tupo hapa tunawashughulikia wanawake wa sampuli hii. Anapigwa Kuni mpaka anafurahia mwenyewe😅😅
Umalaya2
Mume humuhitaji? Utakuwa ni mgonjwa. Usitoe mfano wako kwa wanawake wengine walio na afya zao kamili za mwili.
Kwahiyo ww huwashwi au unajitia madole mwenyewe
Kwasabab tibiwa dada
Acha ujinga wewe
Can I have your phone leyla