Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 гру 2023

КОМЕНТАРІ • 129

  • @AshuraZuberi
    @AshuraZuberi 2 місяці тому +1

    Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe

  • @HeriethChristopher
    @HeriethChristopher 2 місяці тому +1

    Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏

  • @MaridadiRashidilikwesoLikweso
    @MaridadiRashidilikwesoLikweso 7 днів тому

    asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 5 місяців тому +4

    Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲

  • @user-kd9et9hd7y
    @user-kd9et9hd7y 11 днів тому +1

    Allah Akbar

  • @hawashabani7896
    @hawashabani7896 6 місяців тому +16

    Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi

    • @ahmadaali4605
      @ahmadaali4605 6 місяців тому +1

      Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa

    • @user-nf8ku2bi9i
      @user-nf8ku2bi9i 5 місяців тому

      Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida

  • @MaryAmaiza-th2fo
    @MaryAmaiza-th2fo 6 місяців тому +17

    Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.

  • @arafaayubu
    @arafaayubu 6 місяців тому +1

    Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri.
    Allah akupe ujira duniani na aakhera.
    Allahumma Amiin

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 6 місяців тому +1

    Hasbun Allah wa nimal wakeel )
    Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 6 місяців тому +2

    SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 6 місяців тому +3

    MashaAllah ❤ shukraan sheikh

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 6 місяців тому

    Mashaallah shukran ❤❤❤

  • @user-gx9hg3dp1e
    @user-gx9hg3dp1e 6 місяців тому +2

    Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️

  • @user-rx9lq6kw4v
    @user-rx9lq6kw4v 6 місяців тому +3

    Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e 6 місяців тому +1

    Mashallah Tabaraka llah

  • @nuruabdi7806
    @nuruabdi7806 5 місяців тому

    Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows

  • @user-jk6xk7id3q
    @user-jk6xk7id3q 6 місяців тому

    Jazakallau kheira

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 6 місяців тому +2

    Ma shaa Allaah

  • @user-mr1hk2ed2w
    @user-mr1hk2ed2w 6 місяців тому +1

    Shukran Sheikh

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez 6 місяців тому

    Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.

  • @user-wq8lp4th2b
    @user-wq8lp4th2b 4 місяці тому +1

    Maa shaa Allah ❤❤

  • @RamadhanCongera
    @RamadhanCongera Місяць тому

    Ahsante chekhe allah akukinge nahao

  • @ArseneKyallo
    @ArseneKyallo 5 місяців тому

    Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki

  • @user-qq3gf9xn2c
    @user-qq3gf9xn2c 5 місяців тому

    Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah

  • @user-uw4cw2uc3u
    @user-uw4cw2uc3u 4 місяці тому

    Jazakallaukher

  • @SamiraBhazizane
    @SamiraBhazizane 6 місяців тому +3

    Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje

    • @smadon5638
      @smadon5638 6 місяців тому +1

      Uwe kipenzi cha ALLAH na udowe na wasiwasi na binadamu

    • @TwaliathAndrea-dm3dy
      @TwaliathAndrea-dm3dy 2 місяці тому +1

      Mswalie mtume mara nying

  • @user-il8un5ft9e
    @user-il8un5ft9e 5 місяців тому

    Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤

  • @SwaumuJuma-bc9se
    @SwaumuJuma-bc9se 6 місяців тому +1

    Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 5 місяців тому

    Allah akuhifadh ❤

  • @user-hj7io6qy9n
    @user-hj7io6qy9n 3 місяці тому

    Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako

  • @user-ok8uh3hh3w
    @user-ok8uh3hh3w 6 місяців тому +2

    Mashaa Allahu karibu kigoma.

  • @user-yr8ib5ni7c
    @user-yr8ib5ni7c 6 місяців тому

    Mashaa Allah

  • @user-dc2nv3lu9l
    @user-dc2nv3lu9l 6 місяців тому

    Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y 6 місяців тому +4

    Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.

  • @aishamohamed4823
    @aishamohamed4823 2 місяці тому

    Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo

  • @majomasliman7856
    @majomasliman7856 6 місяців тому

    Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani

  • @abdilahally6340
    @abdilahally6340 6 місяців тому

    Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 6 місяців тому +3

    Allah akbar

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y 6 місяців тому +3

    Allahu Akbar.

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 Місяць тому

    Shukran Sana Shekh wetu.

  • @user-ec8ig8nn2y
    @user-ec8ig8nn2y 6 місяців тому +1

    Allah atuhifadhi

  • @HileHile-ns9xv
    @HileHile-ns9xv 6 місяців тому

    Tabaraka Allah

  • @rachelmnyimwa4192
    @rachelmnyimwa4192 5 місяців тому

    Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na

  • @user-ou2og1ze9d
    @user-ou2og1ze9d 3 місяці тому

    Shekhe hongera sana Allah akubarik

  • @user-hy8yp9qt2o
    @user-hy8yp9qt2o 6 місяців тому +1

    Mashaallah
    Allah
    Awe
    Pamoj
    Naw
    Inshallah
    Shekh
    Wang

  • @estheretori3855
    @estheretori3855 5 місяців тому +1

    Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?

  • @DaxMarioo-rq9rs
    @DaxMarioo-rq9rs 6 місяців тому

    Ni kweri ostazi wangu

  • @SmilingCherryBlossoms-ce8md
    @SmilingCherryBlossoms-ce8md 6 місяців тому

    Maashallaah

  • @asmahasanirashid5059
    @asmahasanirashid5059 5 місяців тому

    Maashallh maashallh

  • @twalibutwaha1632
    @twalibutwaha1632 5 місяців тому

    Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo

  • @salmaassed
    @salmaassed 5 місяців тому +1

    Mashallah

  • @KIMOCHA1
    @KIMOCHA1 Місяць тому

    Allahuma Ameeen

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 5 місяців тому +1

    Leo nimepata somo kubwa sanaaaa

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 6 місяців тому

    Shukran

  • @asianramadhani8315
    @asianramadhani8315 3 місяці тому

    Hongera sana shekhe

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 5 місяців тому

    Mashallah 🙏🤲☝️

    • @LeilaShah-ib4td
      @LeilaShah-ib4td 5 місяців тому

      Asalaam aleykm,sheikh wangu,namba yasimu mandishi madogo aiyonekani vizuri ,sheikh

  • @HassanLastman-hh9sw
    @HassanLastman-hh9sw 6 місяців тому +1

    Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 6 місяців тому +2

    ALLAHU AKBAR

  • @user-le7lh1ou2d
    @user-le7lh1ou2d 6 місяців тому

    Dah Atari sana

  • @MwanajumaSaria
    @MwanajumaSaria 14 днів тому

    Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani
    ili nisaidike

  • @user-ol3pb6gt9e
    @user-ol3pb6gt9e 6 місяців тому +1

    A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho

  • @mamuumuu4999
    @mamuumuu4999 4 місяці тому

    Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma

  • @emmanuelmudachi6508
    @emmanuelmudachi6508 5 місяців тому

    Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 6 місяців тому

    BARAKALLAHU FIIK SHEIKH WETU.
    JE ikiwa si Waislamu?

  • @naswiharashid7166
    @naswiharashid7166 6 місяців тому

    Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza

  • @maryammakata7849
    @maryammakata7849 6 місяців тому

    Asalam aleykum warhama tulai wabarakat vip hali nimependa hiyo fimbo inapatikana wapi nikamchukulie mume wangu

  • @casualteenfashions8790
    @casualteenfashions8790 5 місяців тому

    Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.

  • @user-do8hi3oo1d
    @user-do8hi3oo1d 5 місяців тому

    Asallam Aleykum sheikh shukran kwa darsa yenye kuelimisha ,je vp nitamvuta huyo malaika wa aslia?

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 5 місяців тому

    Je tufanyeje kujilinda na hayo yote

  • @princessryan5676
    @princessryan5676 5 місяців тому

    A.aleikum, shukran sana kwa somo lakin je kama mtu alokupiga kijicho humjui?

  • @ahmedmuhiddin5107
    @ahmedmuhiddin5107 6 місяців тому

    Asalaam alykum ,je kama hukumjua aliesababisha hasad hiyo

  • @khadijamohammed7811
    @khadijamohammed7811 2 місяці тому

    Sheikh if you dont known the person how did kijicho utafanyeje

  • @user-ol3pb6gt9e
    @user-ol3pb6gt9e 6 місяців тому +3

    A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho

  • @JonathanKebaso-yk8le
    @JonathanKebaso-yk8le 6 місяців тому

    Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏

  • @hawaamabrouck2456
    @hawaamabrouck2456 4 місяці тому

    Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali

  • @user-hi7ry5bc9t
    @user-hi7ry5bc9t 6 місяців тому +1

    Assalaam Alaikum
    Je kama huyo mtu ameshakufa tiba yake utafanyaje?

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w 5 місяців тому

    Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani

    • @hamisimtusi1796
      @hamisimtusi1796 3 місяці тому

      Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah

  • @zitoncombo1317
    @zitoncombo1317 5 місяців тому

    Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?

  • @user-yl2ju4oc9c
    @user-yl2ju4oc9c 3 місяці тому

    Kweli

  • @bihayisefu8810
    @bihayisefu8810 18 днів тому

    Lkn shekh hujui nani kakuhusudu unafanyaje?

  • @TwaliathAndrea-dm3dy
    @TwaliathAndrea-dm3dy 2 місяці тому

    Haohao

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally3383 5 місяців тому

    Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku

  • @kharifasanto3383
    @kharifasanto3383 3 місяці тому +1

    Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga

    • @Ahmed26171
      @Ahmed26171 2 місяці тому

      Pole ndugu Yangu...

  • @user-wr6uz1rx1o
    @user-wr6uz1rx1o 5 місяців тому

    Nina maongezi yangu kidogoo

  • @user-pk2km5nj3f
    @user-pk2km5nj3f 3 місяці тому

    Ukimpiga gongo je haifai

  • @emmanuelmudachi6508
    @emmanuelmudachi6508 5 місяців тому

    Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa.
    Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote.
    Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda.
    Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi.
    Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.

    • @imanmohamed2215
      @imanmohamed2215 4 місяці тому

      Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin

    • @TwaliathAndrea-dm3dy
      @TwaliathAndrea-dm3dy 2 місяці тому

      Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur

  • @user-wr6uz1rx1o
    @user-wr6uz1rx1o 5 місяців тому

    Aslam aleykum sheikhe mim ninashida na namba yako

  • @user-zn4bo2vk8l
    @user-zn4bo2vk8l 4 місяці тому

    Sheikh nlitaka kujua t huyu mjusi ni WA rangi gani lbda manke ndani nnapoish wapo weng snaaa lkn ni weupe

  • @aminasaid6555
    @aminasaid6555 6 місяців тому +1

    Mtume (s.a.w)aliumwa nusu ya kufa?mh

    • @smadon5638
      @smadon5638 6 місяців тому

      Mungu anakupa mtihani,hata Mitume walipewa mitihani

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally3383 5 місяців тому

    Mbona huyo ako Na hivo kulia kwako

  • @angle3600
    @angle3600 6 місяців тому

    Huku kwetu ukimuambia mtu hivyo yawa kesi,siajabu mkafika kotini kaniambia mchawi

  • @user-kp7gj9xq4b
    @user-kp7gj9xq4b 5 місяців тому

    Mtu mwema anatengeneza watu wema, Ukiona nchi haina amani sio kwamba miti imevuruga amani laah asha wanaoleta amani ni watu aisee

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 6 місяців тому +1

    Mie Ninashida na namba ya huyu sheikh

    • @mwajumaissa2358
      @mwajumaissa2358 6 місяців тому

      Mbona namba hizo huzioni hapo zinaoneshwa

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 6 місяців тому

    Mhm Sasa jsmii ytu ya Sasa labda ndguyo ndo atafanya lkn mtu baki at ataka uadhirike. Chezea bnadam ww

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 6 місяців тому

    Wazee wa kisukuma hunywa maji waliyo nawe wageni wake baada ya Kula

  • @minnahdully7894
    @minnahdully7894 4 місяці тому

    Tutamjuaje uyo mjusikafir mana ni hatar

  • @MojamojaMojamoja-lw2ph
    @MojamojaMojamoja-lw2ph 5 місяців тому

    Tena wewe ungekauka mapema sheikh maana na wewe kucheka kwako na macho ni hatar😂😂😂 ila Mimi sikufanyii hasadi nasema tu😂

  • @salhajuma9761
    @salhajuma9761 5 місяців тому

    Assalam alayqum shekh mm nna swali privete sasa nitakuulizaje

    • @kalamuMedia
      @kalamuMedia  5 місяців тому

      namba za Sheikh zipo kwenye video hapo

  • @ibrahimabdul8257
    @ibrahimabdul8257 5 місяців тому

    Hawa jamaa wanavituko sanaa kwamba و أنت أرحم الراحمين tafisiri yake kwa katika wenye huruma wewe ni miongoni mwao? Masheykh wa subscribers watu wawenao makini sanaa

  • @RehemaNyela-ps1tn
    @RehemaNyela-ps1tn 4 місяці тому

    Asante shekh wenye vijicho wapo wengi tumwachie mungu apambane nao