Mwanamke Akiwa Na Sifa Hizi Tano (5) Ukioa Ujue Umeoa Matatizo // Sheikh Othman Michael
Вставка
- Опубліковано 18 чер 2024
- QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM UA-cam @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 profile.php?...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center
♥️♥️Mke wangu iko ivo pia mungu amuongoze😢😢🥰🥰🥰
Yani asilimia kubwa ya wanaume awajui matunzo kiukweli wanatufuja sana wallah mungu anawaona wanaume wote wafujaji alafu wakishamfuja mwanamke wanaangaika nnje kutafuta vizuri mke afai tena
Sio kweli hata mkipendwa hampendeki Allah anawaona nyie lakini mpo wachache mnamapenzi
Kweli kabisaa.
Mmhh masheikh hebu tusaidieni hapa kwenye hili jambo
❤❤❤ Subhana Allah 🙄🙄🙄 apo ktk siri ni kweli ,,,,lkn khs malez mmmmh apo sheikh
Muguakubarki
Kweli sheikh Dua zenu Allah atuongoze inshaallah
Mashaallah tabarakaah
Shukran Sheikh wetu mawaiza mazuri ❤
Asslm alykm warahmatullah wabarakaatuh jaman sis ni waislamu ni kitu kimoja hakuna haja ya kutukanan ikitokea shekhe kaongea maneno wew huyakubali bas kaa kimya kunyamaza si ujinga mtume katuhusia sana kunyamaza yanin kutukanan je muoslamu unamtukan muoslamu mweziyo kafir atafanyaje? Kama kwako ni upuuz mwengine kwake kaona maneno mazur tuache ikhtilaafu za kimadhhebu waislamu sis ni kitu kimoja kama mtu humkubali bas msikilize unae mkubal.
Tunakiona kitu hiko ndani ya ndoa zetu mwalimu
Siku zote ukwer unauma kiukwer asrimia kubwa mtoto anae rerewa na mm ndio wote niwazazi Ila bb nimchango mkubwa San kwakumuongoza mwanae alafu msiwe msiwe mkifananisha mitume nakarne yasasa mitume wamama wamitume waribalikiwa Bwana ukwer usemwa
Almdulillahi
maneno ya KIPUUZI,mtume صلى الله عليه وسلم amesema mama ndiye mwalimu wa watoto!!
Imaam Maaliki kalelewa na mama bila baba,imaam shafii kalelewa na mama bila baba,imaamu sunna Ahmed bin hambali kalelewa na mama bila baba!!
ongea maneno yenye dalili,dini ni aliyofundisha mtume,!!na hakuna nyanja ambayo mtume hakufundisha!!
Nikweli kbs
ila unakosea (upuuzi) erro
Nazungumziaa zama gaaani ndugu
Usiseme mwanamke mwema haachiki mwiko unatia unyonge wanawake hakuna mwanamke asotaka mume ila wanaue mnatoa talkative bila sababu ya singing ila Allah ndo mjuzi sio weye Sheikh wallahi umekosea kutamna hayo maneno makali
Mashaalla nawapendaga watu Kama ninyi Allah akuweke wape ukweli bana akhy
We othumani wewe ujuitu maisha ya watu
Shekh Sasa hivi single mom wamezidi kwa sababu wanaume wa siku hizi hawajitambui na hawataki majukuumu kwa hiyo tuwache tu tupambaneee
wanawake wanakera asa madomo
Shee ila wengine utafutaji mgumu shee unatuzalilisha
Othumani hadi wanume wako ivyo jmn
😅
Wanaume wa siku izi hata unawafanyia nini anatafuta tu njee
Siukweli mke ndio ajua kulea kuliko mume kumbuka imam mmoja alilelewa n mama akawaimamu mkubwa
Mmh kila mzaz ana nafas huwez kusem mama anaweza kulea mtoto wa kiume na kumpa malez ya kiume
Mmmmmmmhhh weweeer
Hamza kimaro maneno mbona makali
Kumbe keni kua mtume (s w a ) amesema adhabu Kali zitawapata watt wa Adam lakini kupita mababa kwaiyo hamtakiwi mtuachie wanawake t Bali na nyinyi msimame kama wanaume
hakuna kitu munajua kuhusu dini munajua kuhubiri mwanamke na mwanaume munaona kama unahubiri kitu ya maana
Sasa hii SI ndoa Kila mahubili mahali pake
Ila sheikh wengine wanajiachisha wenywe kwa kupewa maneno ya fitna na kibaya zaid unamkuta kishaposwa na hakupi hata nafasi y kukusikiliza wanamua, na hao wanaotoa fitina hawamfuat muhisikk kikubwa ni kukosa hekima na busara kwa wanawake. Allah s.w atupe subra
Ss wanawake atukatai kua kuna maimam wamelelewa na mam t ila kumbukeni enyi wanaume ss ni walezi ila nyinyi ni wasimaminzi
Shee ila wengine utafutaji mgumu shee unatuzalilisha
mbona kwenye ushoga hamjasema kama mmezalilishwa ndugu