SAFI PASTOR, Hata Mtume wetu MUHAMMAD(s.a.w) wakati akiwa na Maswahaba/Wanafunzi wake aliona Jeneza kwa mbali likipita akatoa ishara ya kuhuzunika ndipo mmoja kati ya Wanafunzi wake wakamuuliza kwanini unahuzunika wakati yule aliekufa ni Mkristo? Akawajibu; YULE PIA NI BINADAMU. MTUME MUHAMMAD ALIPENDA WATU WOTE.
Wewe ni pastor unaejua jinsi Mungu anavyotenda kazi, unajua kutenganisha Mungu anasimama wapi na Mambo ya kawaida yanatakiwa yaweje Hakuna muumin wako atakuwa mbumbumbu maana una madini ya kutosha. Nakukubali 💯
Katika wachungaji wote nlowahi kuwasikiliza hapa dunia we ni namba moja hakuna anaekufikia uwezo ulokuwa nao you are a genius i ever see, God bless you forever and ever
Umejibu vizuri, nyumba sio kanisa, muislamu unampangisha, na mkristo unampangisha. Muislamu akiwa na pesa nyingi unampangisha huchagui, binaadamu wote ni sawa, wewe ni mtu muhimu sana kwenye dini zetu, muislamu akiwa na hela nyingi unampangisha, hata maduka huchagui hili la mkristo ndio ununue hili la muislamu usinunue, maduka yote tunanunua bidhaa.
Safi Sana mch.hananja.yaaa Allah tunakuomba MTU huyu usiichukue roho yake mpaka asilimu.akutambue Wewe na akuabudu Wewe yaa Rabby.tunampenda Hekma na busara zake.yaa Rabby tunaomba aslimu huyu.aijue dini ya kweli.mtu WA mana Sana hananja
@@westmanmoses541 uyu mutumishi Wa mungu ni mu kweli mtupu ila naomba akumbuke kusema kuhusu kesi la muchungaji mbarikiwa Mwa kipesile mbona Tanzania ni kimya kuhusu kesi la mbalikiwa hâta vyombo vya habari kimya kabisa inamaana mbarikiwa ni mtu wa mbinguni kabisa kabisa sababu watu Wa hapa duniani hawaongelei ikiwa kwa wema ao kwa ubaya mbona kimya ?
Nimekuelewa “ hapo wewe ni nuru ya kweli 💪🏿🙏🏻🙏🏻👍🏿
Unajua na una hofu ya Mungu nimekupenda bule unajua kubariki moyo wangu ❤
SAFI PASTOR, Hata Mtume wetu MUHAMMAD(s.a.w) wakati akiwa na Maswahaba/Wanafunzi wake aliona Jeneza kwa mbali likipita akatoa ishara ya kuhuzunika ndipo mmoja kati ya Wanafunzi wake wakamuuliza kwanini unahuzunika wakati yule aliekufa ni Mkristo? Akawajibu; YULE PIA NI BINADAMU. MTUME MUHAMMAD ALIPENDA WATU WOTE.
Mchungaji nakubali fact zako, maisha marefu nakutakia
Barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU.Umejibu maswali ya mwandishi Kwa hekima Sana.
Dah mzee nimekuelewa sana mungu akubaliki sana ameni
Jamani Mimi Nataman sana siku moja nimuone huyu mchungaji mungu nisaidie
Wewe ni pastor unaejua jinsi Mungu anavyotenda kazi, unajua kutenganisha Mungu anasimama wapi na Mambo ya kawaida yanatakiwa yaweje
Hakuna muumin wako atakuwa mbumbumbu maana una madini ya kutosha.
Nakukubali 💯
Nimejifunza sana juu ya huyu baba!
Baba una kitu cha Mungu ambapo mtu hawezi kukuelewa,
Asante kwa maneno ya hekima
Barikiwa
Kweli kabisa
Kweli kabisa baba
Sasa umemuelewaje na haeleweki?😁😏
@@wanyooshetv9987
Wenzako tunamuelewa
Mbona unasema mtu hawezi kumuelewa wakati ameele
weka vizuri?😂
Kiukweli mchuuungaji hananja uko sahihi kabisa 🙏🏼
Na kama ingekuwa Bure isiyo na malengo basi waumini wake wote wangepewa Ist 🤗👍💪🏽🤝
Katika wachungaji wote nlowahi kuwasikiliza hapa dunia we ni namba moja hakuna anaekufikia uwezo ulokuwa nao you are a genius i ever see, God bless you forever and ever
Mchungaji nimetokea kukuelewa bure kabisa, umeongea ukweli kabisa.
Amen!!! Ubarikiwe mchungaji!!! Yaani roho inaniuma sana kuhusu shusho Yaani kapigwa upofu kwa fedha kilichonichosha zaidi akampigia magoti Geordavi
Wewe hela ni muhimu na pia elia alihudumiwa na kunguru na kupiga magoti sio kusujudu acha kuhukumu napenda uendelee kumpenda kristina by glory france
❤❤Mchungaji nakukubali sana Mungu akupe maisha malefu hapa Duniani❤❤
Mchungaji nimekukubari kwa hii interview Mungu akubariki Sana ninakuombea
Nakukubali sana mchungaji, Mungu akupe miaka mingi na Afya njema. Uendelee kutuelimisha Baba.
Nampenda huyu mchungaji, MUNGU azidi kukubariki.
Mch.Hananja cku zote anasema ukweli❤❤❤❤
❤ barikiwa mchungaji chukua maua yako baba
Umejibu vizuri, nyumba sio kanisa, muislamu unampangisha, na mkristo unampangisha. Muislamu akiwa na pesa nyingi unampangisha huchagui, binaadamu wote ni sawa, wewe ni mtu muhimu sana kwenye dini zetu, muislamu akiwa na hela nyingi unampangisha, hata maduka huchagui hili la mkristo ndio ununue hili la muislamu usinunue, maduka yote tunanunua bidhaa.
Barikiwa sana mtumishi maana nguvu ya MUNGU haiuzwi.
Baba Mungu akubark San upo sawasaw na neno.. Mungu azid kukupa upeo wa kuzibua akili za watu zilizo fungwa.. Amen
Safi Sana mch.hananja.yaaa Allah tunakuomba MTU huyu usiichukue roho yake mpaka asilimu.akutambue Wewe na akuabudu Wewe yaa Rabby.tunampenda Hekma na busara zake.yaa Rabby tunaomba aslimu huyu.aijue dini ya kweli.mtu WA mana Sana hananja
Nimekulewa mchungaji uko vizuri unafafanua kuptia bibilia unaielewa bibilia vizuri sana mungu akubariki
Watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa ..yaani wanatoa sadaka wengine wanafanya show up..barikiwa mchungaji umesema point.. mwenye sikio na asikie
Hongera mchungaji
Yes Alistair Walton language nawajua Rv anaongea maneno ya kuwasaidia watu mazuma watabaki manyumbu hongera sana Rv hananja
Aminaaa ubarikiwe sana Mchungaji Hananja unasema ukweliii.
Mzee wangu mungu akupe maisha marefu xana, Tunduma border tunakukibali xana fyeka
Alafu Usiandike mungu apana sema Mungu elufi yakwanza kubwa mungu siyo mkuu ila Mungu ndio Mkuu
Nakuelewa sanaaa na kukubali baba mchungaj
Well said pastor !
Swali hili limenisumbua kwa mda mrefu, Sasa nimejibiwa hongera sana mchungaji.
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
Kweli we ni pastor wa kweli kabisa mungu akubariki sana
Mungu akubariki sana mchungaji akupe maisha marefu.
Love Sana mzee hananja unaongea fact
Nimekuelewa sana zaidi ya saaaana.
Ubarikiwe Mchungaji kwa maneno ya busara
Wachungaji kama hawa hua hawadumu pia hua na maisha magumu kwa sababu hua wanahubir kweli wengi wanawachukia..mungu akutie nguvu
Mungu akubariki sana mchungaji akupemaish malef
Huyu mchungaji yupo vizur sana napenda uchanganuzi wake Mungu akubariki zaid 🇰🇪
Hongera mchungaji Hamanja mafundisho yako yanatosheleza na kueleweka, Fundisha zaidi,
Daaah ila huyu mzee❤❤❤❤❤
Dah huyu nimemuelewa. Mungu akubariki sana
Mchungaji ni muwazi sana ni msema kweli mungu akujaalie katika harakati zako Amin
Hananja anamuunga mkono lema
@@westmanmoses541 uyu mutumishi Wa mungu ni mu kweli mtupu ila naomba akumbuke kusema kuhusu kesi la muchungaji mbarikiwa Mwa kipesile mbona Tanzania ni kimya kuhusu kesi la mbalikiwa hâta vyombo vya habari kimya kabisa inamaana mbarikiwa ni mtu wa mbinguni kabisa kabisa sababu watu Wa hapa duniani hawaongelei ikiwa kwa wema ao kwa ubaya mbona kimya ?
Well answered my pastor
Mm nashukuru Mungu nimezaliwa kwenye diniyahaki uislamu nidni yahaki❤❤❤
Mungu akusaidie umjue Mungu
Isee dingi noma, nimekuelewa sana ubarikiwe!
Jamani huyu jamaa n genius
Daaaah kwa comments hizi za wachangiaji Bwana azidi kuwa pamoja nawe🙏 Umefunguka Live bila chenga.
Pastor may Almighty God strengthen you🙏🙏
Hongera sana mchungaji unaogea ukweli kabisa .
Be blessed, Fact is spoken
Nakupenda sana paster wewe ni mkweli kabisa asante yesu kwa huyu paster
Amen Pastor nakuelewa sana
Mungu akubariki Mtumishi.
Mungu azidi kk bariki sana kwa ukweli unavyo ogeya napenda sana mafudisho yako pastor 🙏🙏
Well say Pastor 🙌🙌🙌🙌
Well done Pastor
Nuru haiwezi kuangaza nuru yenzake, bali nuru huangaza giza, ili giza likimbie,mana nuru ikiingia giza halikai
Ameeeen
Mungu akubaliki sana unajua sana kusema kweli ubalikiwe
Mungu akulinde uzidi kutuelewesha.
Asante mchungaji napendaga mafundisho yako ya ndoa sana
Kweli mungu amlinde mchungaji hananja
Amen pastor
Kwa kwelii mm nakuelewa xana mungu akubariki xana
Allah akujaalie uwe muislam nakupenda sana pastor unaongea ukweli, inshaallah Allah akufanyie wepesi uwe muislam.
😂
Uislam Tena!
Kwa nn wewe usiwe mkristo😂
aaaaahhhhhhh aaaaahhhhh Nimepata elimu na kucheka sana
Aliyenisikitisha zaidi ni Christina Shusho,,,Mungu akupe macho ya Rohoni we mama
Amefanyaje?
Ameipenda Sana Dunia
Ni ukweli kabisa ! ALLAH akuongoze !
Kama keeling watu wanasikiliza mahubiri ya mchungaji huyu watatokana na umamuma na unyumbu hongera sana
Wakristo wamevaa nguo utafikiri wamesahau umri wao...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
Ahsanteee sana mzee
Bonge ya mtumishi! Angejengewa mnaraaa
Mtumishi Hongera sana kwa kweli
Genius Sana uyu❤
Mungu akubaliki pasta
Nakukubali sana mchungaji wangu
Barikiwa sana mtumishi
Super genius Mch Hananja nakukubali sanaaaaaaa
U
Nimekuelewa sana❤❤❤
duuuuu uyu mchungaji Kiboko nmekupenda bure alelleluyaaaaaa
Nakukubali Sana mtimishi
..hatusemi matukio yetu mabaya watu watakung'ang'ania😂😂😂😂❤hatusemi.
Aminaaaaah Aminaaaah Aminaaaaah Baba fumbuwa wa kristo macho kabisa
😂😂😂nakupendaga sana ahahahaaa wamekubaliqna kununa mafuta kwa mwamposa 😅😅ndio nakupenda sana umejibu vema wakasime biblia❤
Ubarkiw mchungaji
😂😂😂aisee huyu mchungaji nakubali sana anahekma sana😂😂😂
Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,uishi maisha marefu baba
Namkubali kiongoz huyu sana !
🤣🤣🤣🤣🤣 napenda huyu mchungaji 🤣🤣🤣 si choki kumsikiza gai 🇰🇪🇰🇪🙏.
Uko sawa paster nimeelewa sana
safi sans baba yangu wa kiroho
Safi sana mtumishi
Nampenda San jamani uyu baba
Akil nyingi mungu ambarik
Hakika nnakukubali sana. mtumish
Daaah aiseee nimecheka kinoma noma tena kwasauti kubwa, kwasababu umeongea ukweli mtupu
Mungu akubaliki sana mtumishi
Mchungaji ww ni nooma uko vizuri 🎉
Amina tena
Nakuelewa saaaana my boss
Well spoken
Mzee nice kwako ukiongeach nimekubar sana