MCHUNGAJI HANANJA AMVAA MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KUSEMA WANAONGEA NA MUNGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 бер 2023
  • HUYU HAPA MCHUNGAJI RICHARD HANANJA AKIWAJIA JUU MFALME ZUMARIDI NA NABII GEORDAVIE KWAMBA WANATAFUTA PESA

КОМЕНТАРІ • 442

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt Рік тому +17

    Nimekuelewa “ hapo wewe ni nuru ya kweli 💪🏿🙏🏻🙏🏻👍🏿

  • @NuruMbongo
    @NuruMbongo 8 місяців тому +15

    Unajua na una hofu ya Mungu nimekupenda bule unajua kubariki moyo wangu ❤

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 6 місяців тому +5

    SAFI PASTOR, Hata Mtume wetu MUHAMMAD(s.a.w) wakati akiwa na Maswahaba/Wanafunzi wake aliona Jeneza kwa mbali likipita akatoa ishara ya kuhuzunika ndipo mmoja kati ya Wanafunzi wake wakamuuliza kwanini unahuzunika wakati yule aliekufa ni Mkristo? Akawajibu; YULE PIA NI BINADAMU. MTUME MUHAMMAD ALIPENDA WATU WOTE.

  • @dastanfuraha2244
    @dastanfuraha2244 Рік тому +22

    Mchungaji nakubali fact zako, maisha marefu nakutakia

  • @kosherasengasu5093
    @kosherasengasu5093 Рік тому +17

    Barikiwa Sana mtumishi wa MUNGU.Umejibu maswali ya mwandishi Kwa hekima Sana.

  • @kambiyusufu2776
    @kambiyusufu2776 Рік тому +22

    Dah mzee nimekuelewa sana mungu akubaliki sana ameni

  • @jennyalex4542
    @jennyalex4542 Рік тому +10

    Jamani Mimi Nataman sana siku moja nimuone huyu mchungaji mungu nisaidie

  • @stanleybulla
    @stanleybulla 7 місяців тому +2

    Wewe ni pastor unaejua jinsi Mungu anavyotenda kazi, unajua kutenganisha Mungu anasimama wapi na Mambo ya kawaida yanatakiwa yaweje
    Hakuna muumin wako atakuwa mbumbumbu maana una madini ya kutosha.
    Nakukubali 💯

  • @valeriamtenga3384
    @valeriamtenga3384 Рік тому +21

    Nimejifunza sana juu ya huyu baba!
    Baba una kitu cha Mungu ambapo mtu hawezi kukuelewa,
    Asante kwa maneno ya hekima
    Barikiwa

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 Рік тому +5

    Kiukweli mchuuungaji hananja uko sahihi kabisa 🙏🏼
    Na kama ingekuwa Bure isiyo na malengo basi waumini wake wote wangepewa Ist 🤗👍💪🏽🤝

  • @stanleybulla
    @stanleybulla 7 місяців тому +2

    Katika wachungaji wote nlowahi kuwasikiliza hapa dunia we ni namba moja hakuna anaekufikia uwezo ulokuwa nao you are a genius i ever see, God bless you forever and ever

  • @aloycemisigalo3983
    @aloycemisigalo3983 Рік тому +23

    Mchungaji nimetokea kukuelewa bure kabisa, umeongea ukweli kabisa.

  • @sarafinamlomo8132
    @sarafinamlomo8132 Рік тому +16

    Amen!!! Ubarikiwe mchungaji!!! Yaani roho inaniuma sana kuhusu shusho Yaani kapigwa upofu kwa fedha kilichonichosha zaidi akampigia magoti Geordavi

    • @glaury9938
      @glaury9938 Рік тому

      Wewe hela ni muhimu na pia elia alihudumiwa na kunguru na kupiga magoti sio kusujudu acha kuhukumu napenda uendelee kumpenda kristina by glory france

  • @patrickfanuel
    @patrickfanuel 7 місяців тому +5

    ❤❤Mchungaji nakukubali sana Mungu akupe maisha malefu hapa Duniani❤❤

  • @sebastianharun800
    @sebastianharun800 Рік тому +11

    Mchungaji nimekukubari kwa hii interview Mungu akubariki Sana ninakuombea

  • @priencedamdoek508
    @priencedamdoek508 Рік тому +15

    Nakukubali sana mchungaji, Mungu akupe miaka mingi na Afya njema. Uendelee kutuelimisha Baba.

  • @user-vm2fq7ve1q
    @user-vm2fq7ve1q Рік тому +7

    Nampenda huyu mchungaji, MUNGU azidi kukubariki.

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Рік тому +9

    Mch.Hananja cku zote anasema ukweli❤❤❤❤

  • @suzandavd5213
    @suzandavd5213 7 місяців тому +6

    ❤ barikiwa mchungaji chukua maua yako baba

  • @ladymzana4511
    @ladymzana4511 Рік тому +11

    Umejibu vizuri, nyumba sio kanisa, muislamu unampangisha, na mkristo unampangisha. Muislamu akiwa na pesa nyingi unampangisha huchagui, binaadamu wote ni sawa, wewe ni mtu muhimu sana kwenye dini zetu, muislamu akiwa na hela nyingi unampangisha, hata maduka huchagui hili la mkristo ndio ununue hili la muislamu usinunue, maduka yote tunanunua bidhaa.

  • @NakembetwaKitundu-tn7xx
    @NakembetwaKitundu-tn7xx 7 місяців тому +4

    Barikiwa sana mtumishi maana nguvu ya MUNGU haiuzwi.

  • @PendoSilvester-gx3je
    @PendoSilvester-gx3je 7 місяців тому +3

    Baba Mungu akubark San upo sawasaw na neno.. Mungu azid kukupa upeo wa kuzibua akili za watu zilizo fungwa.. Amen

  • @mwanaikaomar8628
    @mwanaikaomar8628 2 місяці тому

    Safi Sana mch.hananja.yaaa Allah tunakuomba MTU huyu usiichukue roho yake mpaka asilimu.akutambue Wewe na akuabudu Wewe yaa Rabby.tunampenda Hekma na busara zake.yaa Rabby tunaomba aslimu huyu.aijue dini ya kweli.mtu WA mana Sana hananja

  • @johnsonkonyonyi2559
    @johnsonkonyonyi2559 Рік тому +5

    Nimekulewa mchungaji uko vizuri unafafanua kuptia bibilia unaielewa bibilia vizuri sana mungu akubariki

    • @shebemsala26
      @shebemsala26 Рік тому

      Watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa ..yaani wanatoa sadaka wengine wanafanya show up..barikiwa mchungaji umesema point.. mwenye sikio na asikie

    • @mariakisinda-pe7us
      @mariakisinda-pe7us 7 місяців тому

      Hongera mchungaji

  • @SephaniaSanga
    @SephaniaSanga 29 днів тому

    Yes Alistair Walton language nawajua Rv anaongea maneno ya kuwasaidia watu mazuma watabaki manyumbu hongera sana Rv hananja

  • @JSStationary
    @JSStationary 9 місяців тому +3

    Aminaaa ubarikiwe sana Mchungaji Hananja unasema ukweliii.

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 7 місяців тому +3

    Mzee wangu mungu akupe maisha marefu xana, Tunduma border tunakukibali xana fyeka

    • @barakarichOfficial1
      @barakarichOfficial1 7 місяців тому

      Alafu Usiandike mungu apana sema Mungu elufi yakwanza kubwa mungu siyo mkuu ila Mungu ndio Mkuu

  • @sekelakatitu9419
    @sekelakatitu9419 7 місяців тому +3

    Nakuelewa sanaaa na kukubali baba mchungaj

  • @kilianmalegea166
    @kilianmalegea166 Рік тому +14

    Well said pastor !

  • @dancanasenaobondo189
    @dancanasenaobondo189 Рік тому +13

    Swali hili limenisumbua kwa mda mrefu, Sasa nimejibiwa hongera sana mchungaji.

  • @EddySimonmushi
    @EddySimonmushi 7 місяців тому +1

    Kweli we ni pastor wa kweli kabisa mungu akubariki sana

  • @user-un9qw8hv2h
    @user-un9qw8hv2h 4 місяці тому

    Mungu akubariki sana mchungaji akupe maisha marefu.

  • @mangasakahuza2466
    @mangasakahuza2466 Рік тому +5

    Love Sana mzee hananja unaongea fact

  • @honestmsigwa920
    @honestmsigwa920 Рік тому +7

    Nimekuelewa sana zaidi ya saaaana.

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i 7 місяців тому +2

    Ubarikiwe Mchungaji kwa maneno ya busara

  • @user-lx6hx2wb8g
    @user-lx6hx2wb8g 6 місяців тому +1

    Wachungaji kama hawa hua hawadumu pia hua na maisha magumu kwa sababu hua wanahubir kweli wengi wanawachukia..mungu akutie nguvu

  • @user-un9qw8hv2h
    @user-un9qw8hv2h 4 місяці тому

    Mungu akubariki sana mchungaji akupemaish malef

  • @user-zt3ug9wv7f
    @user-zt3ug9wv7f 6 місяців тому

    Huyu mchungaji yupo vizur sana napenda uchanganuzi wake Mungu akubariki zaid 🇰🇪

  • @abasingaruka1872
    @abasingaruka1872 6 місяців тому

    Hongera mchungaji Hamanja mafundisho yako yanatosheleza na kueleweka, Fundisha zaidi,

  • @burilohomestudio6783
    @burilohomestudio6783 Рік тому +6

    Daaah ila huyu mzee❤❤❤❤❤

  • @florencemwanansao834
    @florencemwanansao834 Рік тому +4

    Dah huyu nimemuelewa. Mungu akubariki sana

  • @francisjohn2876
    @francisjohn2876 Рік тому +13

    Mchungaji ni muwazi sana ni msema kweli mungu akujaalie katika harakati zako Amin

    • @westmanmoses541
      @westmanmoses541 Рік тому

      Hananja anamuunga mkono lema

    • @jolemerci2155
      @jolemerci2155 Рік тому +1

      @@westmanmoses541 uyu mutumishi Wa mungu ni mu kweli mtupu ila naomba akumbuke kusema kuhusu kesi la muchungaji mbarikiwa Mwa kipesile mbona Tanzania ni kimya kuhusu kesi la mbalikiwa hâta vyombo vya habari kimya kabisa inamaana mbarikiwa ni mtu wa mbinguni kabisa kabisa sababu watu Wa hapa duniani hawaongelei ikiwa kwa wema ao kwa ubaya mbona kimya ?

    • @davidmembedalamethepsalmis2885
      @davidmembedalamethepsalmis2885 Рік тому

      Well answered my pastor

  • @tatuhamza4677
    @tatuhamza4677 8 місяців тому +2

    Mm nashukuru Mungu nimezaliwa kwenye diniyahaki uislamu nidni yahaki❤❤❤

  • @mulebyamatoke3493
    @mulebyamatoke3493 Рік тому +2

    Isee dingi noma, nimekuelewa sana ubarikiwe!

  • @burilohomestudio6783
    @burilohomestudio6783 Рік тому +3

    Jamani huyu jamaa n genius

  • @babyakasha4002
    @babyakasha4002 7 місяців тому +5

    Daaaah kwa comments hizi za wachangiaji Bwana azidi kuwa pamoja nawe🙏 Umefunguka Live bila chenga.

  • @sunnynicks8440
    @sunnynicks8440 Рік тому +20

    Pastor may Almighty God strengthen you🙏🙏

  • @devotajulius7572
    @devotajulius7572 7 місяців тому +2

    Hongera sana mchungaji unaogea ukweli kabisa .

  • @DanielJackson-vd2jw
    @DanielJackson-vd2jw 7 місяців тому +4

    Be blessed, Fact is spoken

  • @glaury9938
    @glaury9938 Рік тому +22

    Nakupenda sana paster wewe ni mkweli kabisa asante yesu kwa huyu paster

  • @janepherprince3833
    @janepherprince3833 6 місяців тому +1

    Amen Pastor nakuelewa sana

  • @user-cz7kz7cj9v
    @user-cz7kz7cj9v 6 місяців тому +1

    Mungu akubariki Mtumishi.

  • @blaisemugisha7570
    @blaisemugisha7570 Рік тому +4

    Mungu azidi kk bariki sana kwa ukweli unavyo ogeya napenda sana mafudisho yako pastor 🙏🙏

  • @christianleonard8308
    @christianleonard8308 Рік тому +2

    Well say Pastor 🙌🙌🙌🙌

  • @esperenceamris
    @esperenceamris Рік тому +9

    Well done Pastor

  • @valeriamtenga3384
    @valeriamtenga3384 Рік тому +2

    Nuru haiwezi kuangaza nuru yenzake, bali nuru huangaza giza, ili giza likimbie,mana nuru ikiingia giza halikai
    Ameeeen

  • @jamessonjoro7650
    @jamessonjoro7650 7 місяців тому +1

    Mungu akubaliki sana unajua sana kusema kweli ubalikiwe

  • @peaceappolinarygahene9646
    @peaceappolinarygahene9646 Рік тому +2

    Mungu akulinde uzidi kutuelewesha.

  • @user-tn5gf5hz2e
    @user-tn5gf5hz2e 6 місяців тому

    Asante mchungaji napendaga mafundisho yako ya ndoa sana

  • @Lukassarapaulo
    @Lukassarapaulo 15 днів тому

    Kweli mungu amlinde mchungaji hananja

  • @JulianaMisangu
    @JulianaMisangu 8 місяців тому +1

    Amen pastor

  • @user-ve7gj5my7o
    @user-ve7gj5my7o 7 місяців тому +1

    Kwa kwelii mm nakuelewa xana mungu akubariki xana

  • @ZAMYLFILM
    @ZAMYLFILM Рік тому +2

    Allah akujaalie uwe muislam nakupenda sana pastor unaongea ukweli, inshaallah Allah akufanyie wepesi uwe muislam.

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 Рік тому +4

    aaaaahhhhhhh aaaaahhhhh Nimepata elimu na kucheka sana

  • @loveme6056
    @loveme6056 Рік тому +2

    Aliyenisikitisha zaidi ni Christina Shusho,,,Mungu akupe macho ya Rohoni we mama

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 7 місяців тому +3

    Ni ukweli kabisa ! ALLAH akuongoze !

  • @SephaniaSanga
    @SephaniaSanga 29 днів тому

    Kama keeling watu wanasikiliza mahubiri ya mchungaji huyu watatokana na umamuma na unyumbu hongera sana

  • @agnessima5032
    @agnessima5032 8 місяців тому +1

    Wakristo wamevaa nguo utafikiri wamesahau umri wao...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @KhamisFundi-rb9zp
    @KhamisFundi-rb9zp Рік тому +1

    Ahsanteee sana mzee

  • @faustinejoseph7702
    @faustinejoseph7702 Рік тому +6

    Bonge ya mtumishi! Angejengewa mnaraaa

  • @user-es4jv6pb8x
    @user-es4jv6pb8x 2 місяці тому

    Mtumishi Hongera sana kwa kweli

  • @elimishanyamoga6797
    @elimishanyamoga6797 8 місяців тому +1

    Genius Sana uyu❤

  • @mucochanella1672
    @mucochanella1672 Рік тому +1

    Mungu akubaliki pasta

  • @tunsumemwajumba7149
    @tunsumemwajumba7149 Рік тому +2

    Nakukubali sana mchungaji wangu

  • @monicamsile2284
    @monicamsile2284 Рік тому +1

    Barikiwa sana mtumishi

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Рік тому +7

    Super genius Mch Hananja nakukubali sanaaaaaaa

  • @kiptoojeison
    @kiptoojeison 2 місяці тому

    Nimekuelewa sana❤❤❤

  • @juventjustinianaloyse6640
    @juventjustinianaloyse6640 Рік тому +1

    duuuuu uyu mchungaji Kiboko nmekupenda bure alelleluyaaaaaa

  • @juliusmshana7187
    @juliusmshana7187 Рік тому +2

    Nakukubali Sana mtimishi

  • @agnessima5032
    @agnessima5032 8 місяців тому +1

    ..hatusemi matukio yetu mabaya watu watakung'ang'ania😂😂😂😂❤hatusemi.

  • @TimotheoBulimwengu
    @TimotheoBulimwengu 6 місяців тому

    Aminaaaaah Aminaaaah Aminaaaaah Baba fumbuwa wa kristo macho kabisa

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 7 місяців тому

    😂😂😂nakupendaga sana ahahahaaa wamekubaliqna kununa mafuta kwa mwamposa 😅😅ndio nakupenda sana umejibu vema wakasime biblia❤

  • @JanuaryNicholas-im7ee
    @JanuaryNicholas-im7ee Рік тому +1

    Ubarkiw mchungaji

  • @jumafish233
    @jumafish233 Рік тому +2

    😂😂😂aisee huyu mchungaji nakubali sana anahekma sana😂😂😂

  • @user-up6kc5xv4n
    @user-up6kc5xv4n 7 місяців тому +2

    Heri anayesema ukweli maana huwaponya wengi,uishi maisha marefu baba

  • @andrewlkashusha135
    @andrewlkashusha135 Рік тому +2

    Namkubali kiongoz huyu sana !

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Рік тому +3

    🤣🤣🤣🤣🤣 napenda huyu mchungaji 🤣🤣🤣 si choki kumsikiza gai 🇰🇪🇰🇪🙏.

  • @williammollel97
    @williammollel97 Рік тому

    Uko sawa paster nimeelewa sana

  • @Filopolazalo
    @Filopolazalo Рік тому +1

    safi sans baba yangu wa kiroho

  • @tusekelegemonje645
    @tusekelegemonje645 Рік тому +1

    Safi sana mtumishi

  • @herriethabdallah598
    @herriethabdallah598 Рік тому +3

    Nampenda San jamani uyu baba

  • @jofisdory2108
    @jofisdory2108 Рік тому +1

    Akil nyingi mungu ambarik

  • @fredkyara6595
    @fredkyara6595 7 місяців тому

    Hakika nnakukubali sana. mtumish

  • @jofuprince2294
    @jofuprince2294 Рік тому +1

    Daaah aiseee nimecheka kinoma noma tena kwasauti kubwa, kwasababu umeongea ukweli mtupu

  • @user-zp5ho5yo8x
    @user-zp5ho5yo8x 7 місяців тому

    Mungu akubaliki sana mtumishi

  • @amanidicksoni3945
    @amanidicksoni3945 8 місяців тому

    Mchungaji ww ni nooma uko vizuri 🎉

  • @eliamtanzaniaog6380
    @eliamtanzaniaog6380 8 місяців тому

    Amina tena

  • @mathiasmhilu9436
    @mathiasmhilu9436 8 місяців тому

    Nakuelewa saaaana my boss

  • @khalilemalema3082
    @khalilemalema3082 Рік тому

    Well spoken

  • @Abdallah-hy8oh
    @Abdallah-hy8oh Рік тому

    Mzee nice kwako ukiongeach nimekubar sana