Tazama Misemo Ya Mchungaji Hananja Ilivyomvunja Mbavu Salama | SALAMA NA RICH BILIONEA PT 2

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 січ 2023
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Kipindi cha nyuma kidogo nilifanya lile ambalo huwa nafanya la kuwashirikisha rafiki zangu na team kuhusu list ya watu ambao wangependa kuwaona kwenye kiti chetu chakavu na sababu za kwanini hasa waje kwenye meza ile yenye kigae kwa juu maana tukisema tutaje majina tu bila ya sababu thabit za wao kuja pale tunaweza tukaondoa maana yenyewe ya kuwa na watu wenye story za kuvutia na kutufunza kama ambavyo tumekua tukifanya. Jina la mgeni wetu huyu lililetwa kwangu na Michael (Mx) Mlingwa na Ndugu yangu Elbogast Myaluko ndo alinipatia mawasiliano naye na kuanzia hapo mengine yamebaki kukhadithiwa kama hivi.
    Sikua namfahamu Mchungaji Richard Hananja mpaka Michael alipo niambia nami nikachukua muda wangu wa kwenda kufanya ka research kangu kabla hajaja mezani, ambacho nilijifunza ni kwamba Mchungaji alikua ni mtu mashuhuri sana ambaye ana watu wengi sana pia wanao mskiliza. Ilinichukua takriban miezi miwili kuweza kumpata maana kila weekend (mara nyingi rekodi za kipindi huwa zinafanyika weekend) yeye huwa yuko safarini. Huitwa sana sehemu mbali mbali, na sasa Serikali nayo imekua ikimuita pia katika matamasha na mikutano mbalimbali. Kwahiyo mara utamsikia yuko Dodoma, mara Moshi, mara Iringa ilimradi yuko busy. Na wakati mwengine Jumapili yake inakua ya yeye kualikwa kwenye Makanisa mbalimbali ili akatoe neno, siku hizi yeye ameshastaafu kuhubiri kanisani na sasa zilizobaki ni hizo za mialiko maalum.
    Kama kawaida mimi na wenzangu tulitaka kuanza kwa kumfahamu mgeni wetu maana kama nilivyokuambia hapo awali mimi sikua namfahamu zaidi tu ya kumuona kwenye mitandao akimwaga cheche, tulianzia kwenye kuzaliwa kwake na kukua kwake, mitihani mbalimbali ya ujana, bishara na kazi ambazo ashawahi fanya, na wakati naandika hii nimejifunza pia kuwa Mchungaji hana ambalo anaongeza chumvi maana baada ya sisi kufanya nae maongezi haya, nimeona ameenda sehemu tofauti tofauti na story yake haijawahi kubadilika.
    Ujasiri wa ziada huhitajika ili tuweze kufanikiwa kwenye maisha yetu na pia kuwa kwenye mstari ili usiingie kwenye matatizo na vyombo vya sheria. Mchungaji ananiambia jinsi ambavyo alikua ana hustle kila kona, kusafiri bila ya kibali cha kuvuka mipaka ya nchi na boxing ambayo aliifanya kwenye kipindi flani kwenye maisha yake. Boxing imemuachia kovu ambalo kila siku linamkubusha mapambano ambayo ameshawahi kuyafanya kwenye maisha yake.
    Boxing pia ndo ambayo imemfanya awe na discipline ya hali ya juu. Kwenye maisha yake ya sasa Mchungaji Hananja anatoa nafasi kwa kila aliye kata tamaa au ambae watu wamemkatia tamaa, yeye ndo huwachukua hao na kuwapa nafasi nyengine kwenye maisha yao, na amini usiamini wengi wao hunyooka na kuanza upya. Kwenye nyumba yake huko Madale Mchungaji anafanya mambo mengi ikiwa pamoja na kilimo na ufugaji. Swali langu lilianza kwa kutaka kujua hizo pesa za yeye kuweza kufanya mambo yote hayo, huwa zinatoka wapi?
    Mchungaji Hananja ni MUME, na kwa mujibu wa maelezo yake, alichelewa saana kuoa na mkewe ni Rafiki yake wa kwanza. Yangu matumaini moja mbili tulizopiga humu zitakupeleka sehemu.
    Tafadhali enjoy.
    Love,
    Salama.
    Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
    SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
    Listen our Podcast on
    Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
    ‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
    GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
    Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
    ‪UA-cam Link bit.ly/UA-camSalamaNa
    Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
    Follow:
    Twitter: / yahstonetown
    Instagram: / yahstonetown
    Facebook: / yahstonetown
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: slidedigitaltz
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 344

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Рік тому +24

    Nimepata majibu ya mengi kupitia Interview hii kuhusu maisha, uchumi, Imani na mengine mengi 🤝💪

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Рік тому +26

    Hii like 100 ni yangu natamani nilike Mara Mia Mia what an interview!

  • @ismaelmatano3571
    @ismaelmatano3571 Рік тому +49

    Aslam aleikum salama hope everything well on your side, I'm from Kenya and I really enjoyed your interview with rich billionaire and the previous interviews too.. Wanna request if possible to bring him back again coz he's educate so many people in this world. And it's gives people not to give up in life.. SALAMA we love you and Allah bless you good things happen to you. xxx

  • @sammarius2415
    @sammarius2415 Рік тому +41

    Salama , ubarikiwe sana , kutuletea mtu na nusu , bonge la elimu , billionaire ni full package abarikiwe sana 🤝🤲

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Рік тому +36

    "Shetani haonei mtu asiyekuwa na akili." 🙌🤛

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Рік тому +14

    "Umeletwa ili usaidie, siyo usaidiwe." 🙌🤛

  • @eliasmtaki8518
    @eliasmtaki8518 Рік тому +34

    Dada leo hakuna msosi wala juisi😊😊..ni nondo mwanzo mwisho. Nice interview..Mwamba sio wakuulizwa maswali meengi. Ni kumchokoza na kumwacha atambae

  • @September69able
    @September69able 5 місяців тому +4

    "Mpigania uhuru wa kiuchumi", Asante sana Mchungaji.

  • @dorinitemba8074
    @dorinitemba8074 Рік тому +17

    Hakuna kushindwa kwenye maisha,bado maisha yapo,maisha yamapambano yanakufanya uwe imara...asante Mchungaji Rich..

  • @peacemuzaliwa2563
    @peacemuzaliwa2563 9 місяців тому +5

    Uyu mzee ni Mzalendo ...i wish to meet you Mentor wa Taifa.
    Salama asante mzee ametufunza mengi.#One Love

  • @naidamwakibinga6309
    @naidamwakibinga6309 6 місяців тому +4

    Hongera sana dada mungu akubariki na Asante sana mchungaji kwa ushauri mzuri 🙏🙏🙌🙌💯❤️❤️❤️❤️🤝

  • @leahsangawe9609
    @leahsangawe9609 Рік тому +15

    Huyo baba nii was aiana yake, humble, helpful and passionate. Hatuchoki ukimsikiliza. Ujumbe wa kutosha! Tutaufanyia kazi . Thanks Salama. Good work!!

  • @saidbwanakheri1471
    @saidbwanakheri1471 Рік тому +63

    Funny, educational, humble, inspirational, loving, caring what an interview. Respect to you Salama and the billionaire.

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Рік тому +11

    "Jambo la kwanza siyo maombi. Jambo la kwanza ni Ukombozi wa fikra." 🤛🙌

  • @zaqiamhando6522
    @zaqiamhando6522 Рік тому +14

    Best interview 2023🙌 nmepata majibu ya maswali

  • @peterthadeus5550
    @peterthadeus5550 Рік тому +39

    Daah one of the best interviews from Bongo in recent times, Salama you are the best keep this up. Your interviewees give us relevant information and education and I'm sure I'm among many who appreciate this show.

  • @OmarOmar-cj9pn
    @OmarOmar-cj9pn Рік тому +5

    Dah huyu mzee kichwani yupo vizur sana ubarikiwe

  • @preneruth5110
    @preneruth5110 Рік тому +13

    The best of the best interview.....
    Sisi sote ni wa Tanzania 🇹🇿 hakuna cha udini,ukabila wala rangi.. tusigombanie maini kabla mwenye ng'ombe hajachinja

  • @drisayatosiri
    @drisayatosiri 6 місяців тому +4

    Asante Salama kwa umahiri wako ktk uandishi. Big up!

  • @user-jw8nd4qj6n
    @user-jw8nd4qj6n 6 місяців тому +4

    Ubarikiwe sana mchungaji,umetoa madini ya thamani sana.❤❤❤

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 Рік тому +15

    JAMANI TUCHICHEENI BASATA WAMPE TUZO YA KUFAFANUA KUHUSU MTU NA DINI ALIYO TOKEA... THIS IS REALLY REALLY REALLY HARD TALK

  • @ibramrzebra1675
    @ibramrzebra1675 Рік тому +19

    Masha'Allah Tabaraka'Allah
    Yani mda mdogo sana, Salama tunamuhitaj tena please

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Рік тому +12

    Salama, swali lako kuhusu imani na dini pamoja na sayansi ni zuri mno na limewagusa wengi sana, pia nashukuru kwa patience uliyonayo wakati unamuuliza maswali.

  • @iduelabu4007
    @iduelabu4007 Рік тому +14

    Nakupenda alafu najifunza sana kwako baba Mungu akutunze

  • @SarahSamson-mw2xf
    @SarahSamson-mw2xf Рік тому +6

    Interview Bora sana kwangu imenipa majibu mengi,good job salama kip it up.

  • @godifalsafa
    @godifalsafa Рік тому +8

    Nilijihisi kuwa nipo kwenye lecture room nakula nondo ❤

  • @JosephJasson
    @JosephJasson 7 місяців тому +4

    Ubarikiwe dada kwa kutuletea huyu mtumishi wa Mungu

  • @manuelykimaro9995
    @manuelykimaro9995 Рік тому +10

    Kwa kweli Aliposema kuhusu muda ameni inspire mambo mengi

  • @episonfelician7670
    @episonfelician7670 Рік тому +8

    Mtumish Nimekpenda Sana nimejifunza vtu we ni jasiri Mungu azidi kukupa nguvu na uishi miaka 10000000

  • @user-ty6lr1zq7j
    @user-ty6lr1zq7j Рік тому +10

    Yani natamani msimalize maana nabarikiwa sana nacheka hadi nashangaa najihisi mpya kwa maongezi ya MCH Hananja Mungu akulinde na akutunze mpendwa

  • @echolude
    @echolude Рік тому +21

    This man has such fidelity to humanity; nonetheless, he speaks really fast for Kenyan ears.

  • @mickmadinda110
    @mickmadinda110 Рік тому +38

    Hii ntarvew imenifunza na imeongeza kitu kwenye Maisha Yangu kupitia hii interview naenda kua tajiri huu Mwaka imenipa ujasir Zaid ya kutafuta ishi Sana Salama na Father apo rich billionea mchungaji

  • @dreusebiusjmikongoti248
    @dreusebiusjmikongoti248 Рік тому +13

    "NDANI YA UJANA KUNA UTAYARI WA KUFANYA KAZI"
    #WALK_THE_TALK

  • @nicolausalex7904
    @nicolausalex7904 6 місяців тому +4

    Hakikaaa mungu awe nawe daima mchungaji

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Рік тому +15

    "Imani siyo kuelewa, Imani ni kukubali." 🙌🤛

  • @athanawanjala3075
    @athanawanjala3075 5 місяців тому +4

    Salama ni hatari. Elimu tumepata❤

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Рік тому +10

    Wallahi nimecheka sana, pia nimejifunza kwa nondo za Hananja

  • @engfestosamson6553
    @engfestosamson6553 5 місяців тому +2

    🎉Hongera sana maneno yako mazuri

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Рік тому +8

    Tufanye ibada ndugu zangu, Mim Huwa naumia Sana napokuta mtu wa dini fulani anamchukia wa dini nyingine,

  • @khadijaymohammed4002
    @khadijaymohammed4002 Рік тому +12

    ni inspire sanaaa hyu mchungaj anatoa nondooo sanaaa mungu akuweke

  • @bernadinodnawe184
    @bernadinodnawe184 Рік тому +43

    I wish to meet this man one day, very humble, very intelligence man, he is third eye opened, he is just see life in a spiritual way. he see love 😍.

  • @kutokakutoka8730
    @kutokakutoka8730 Рік тому +13

    Salama huu mwaka umetufungulia na mazuri sana kwa kila jambo vijana tunajioliza tumepewa majibu hongera sana salama salut kwa mzee wetu mchungaji nipo KENYA nainjoi

  • @elizabethtibenda7324
    @elizabethtibenda7324 Рік тому +14

    Salama we mzur sanaaaa, na be blessed kwa kutuletea watu wa kutujenga

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Рік тому +6

    "Mnajenga majengo kutega uchumi, sisi tunajenga kutega huduma." 🙌🤛

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Рік тому +23

    Jamaniii...."Jicho lako linaona nini".. hii ni muhimu sana...

  • @Pihansmo1129
    @Pihansmo1129 6 місяців тому +1

    Huyu baba ni fighter hadi sasa anajihusisha na vinyago nafahamu vzr sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel Рік тому +10

    Nimeguswa sana sana sana na mchungaji huyu... Daah!! Barikiwa salama kwa exposure ya watu hawa!! We need this things to trend 📈 jaman

  • @user-hf4rv7bx7s
    @user-hf4rv7bx7s 4 місяці тому +1

    Huyu mchungaji anamjua kufundisha, ukweli huwezi kudai haki bill wajibu, wajibika na haki inakuja yenyewe. Asante kwa mauojiano Dada Salama

  • @furahadokela8633
    @furahadokela8633 Рік тому +5

    Hongera sana Dada Salama, Unajua sanaaaa, interview inaubora wa hali ya juu, inavutia kusikiliza. Nimejifunza sana. SHUKRANI....

  • @farajalongo4528
    @farajalongo4528 Рік тому +6

    Kule unaenda kutiwa moyo tu, muhimu FANYA KAZI. 🤛🙌

  • @reyreh
    @reyreh Рік тому +23

    In whatever he does, he sees and encourages live for one another, nampenda sana very open minded. Thanks for a great listening skill @Salama

  • @tehamaacademy
    @tehamaacademy Рік тому +10

    ... Interview Bora kabisa kutokea kwenye ubora wako #SERMON

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Рік тому +126

    Salama ni mwandishi bora... umemwacha mzee aongee,nasi tumepata elimu. Kuna waandishi wengine wangemkatisha... salama ni type ya Millard ayyo

  • @hamadysarum6862
    @hamadysarum6862 Рік тому +7

    Mimi ni muisilamu Ila uyo mzee mchungaji ,nampenda sana mafundisho yake ni bora

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 4 місяці тому

      😂😂kwani waislamu hawapendi mafundisho yake😂

  • @OG_20
    @OG_20 Рік тому +22

    Tusisifie tu interview jamani tubonyeze na kitufe cha support ....Salama you the best Kuna mengi wenye digital media zao wana cha kujifunza kwako....keep going!

  • @mussamuro752
    @mussamuro752 Рік тому +32

    This will be interview of the decade.

    • @MarcoChali
      @MarcoChali Рік тому +2

      Kabisa ✊🏾

    • @neemamoshi
      @neemamoshi Рік тому +2

      He talks real and reality.... Nice and good thanks for this fantastic show

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel Рік тому +5

    I love this pastor.. lazima nije kutoa chochote kwenye kituo chako kabla robo ya kwanza ya Mwaka huu kuisha.. Serious naguswa sana na mission hizi

    • @silverman6930
      @silverman6930 6 місяців тому +1

      Please don’t forget if you haven’t 🇬🇧😁

  • @moshimnyeda9435
    @moshimnyeda9435 Рік тому +3

    Giant wa Tanzania 🇹🇿 🤝🤝🤝👊👊

  • @jumamaganga5064
    @jumamaganga5064 6 місяців тому +4

    Maneno n mengi na hapotezi point🙌🙌

  • @cecykaitanus7873
    @cecykaitanus7873 Рік тому +10

    This is the best interview ever🙌🏽

  • @mahatakitengewamuninga1260
    @mahatakitengewamuninga1260 Рік тому +17

    Best Interview 2023..MCHUNGAJI HANANJA KIBOKO

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Рік тому +12

    Nimeangaliaaa nikajua Salama ndio anahojiwa!

  • @jacksonmacha.8613
    @jacksonmacha.8613 Рік тому +1

    am rich kid..inspired by rich bilioner..lifee is good. thanks much SALAMA JABIRI for this message ..always you are at the Top ❤

  • @irenemsacky5346
    @irenemsacky5346 Рік тому +15

    Best interview ever

  • @lukizatv
    @lukizatv Рік тому +9

    The best lesson, utoto utumwa ,ujana maswali,uzee ugonjwa

  • @salummohd4300
    @salummohd4300 Рік тому +8

    Salama umemleta mtu na nusu mwenye fact za maisha.

  • @michaelkiboya1307
    @michaelkiboya1307 Рік тому +5

    Hii ni interview bora zaidi kuwahi kuitazama.

  • @ayramaa1619
    @ayramaa1619 Рік тому +3

    Nakupenda sana maneno yko yananipa moyo nguvu na usabiti

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Рік тому +6

    Mwamba huyu hapa..anatoa sana Elimu

  • @josephinekanju9643
    @josephinekanju9643 5 місяців тому +2

    I'm blessed through this interview
    Thanks God and to U Salama and Young Rich

  • @zakariamigeto3543
    @zakariamigeto3543 Рік тому +4

    Kama mmenotice salama haonekani sana atakuwa hana mbavu muda mwing sanaaa

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Рік тому +2

    Hongera sana Salama kwa kubuni kipindi kizuri Mungu akusimamie ufike pale unahitaji

  • @andrewlyimo8950
    @andrewlyimo8950 Рік тому +2

    Tunashukuru Sana Salama kwa kumleta Pastor hakika tumepata bonge la lesson.

  • @rehemaothman2475
    @rehemaothman2475 Рік тому +4

    Salama leo umepatikama hata swali Huna nafasi ya kuuliza😆😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj 8 місяців тому +1

    Rev, hakuna kazi bila.kumshirikisha.mungu,hata.mama anajua, lazima mwejyezi mungu asimame na kila jambo.amen.

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 Рік тому +3

    Very true maisha ni kufanya kz kupambana na Iman na subra

  • @user-tz4uy1rp6f
    @user-tz4uy1rp6f 4 місяці тому

    Natamani sana vijana wote wangeisikiliza hii interview. Kwa kweli ni mafundisho muhimu kwao. Asante sana.

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Рік тому +18

    Asanteeeeeeeeee"watu huwa wanauliza mbona hunywi pombe majibu hayo"akili yangu yenyewe pombe🤣🤣🤣🤣ikinywa ni hatari

    • @rehemaothman2475
      @rehemaothman2475 Рік тому +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @ashumohd2192
      @ashumohd2192 Рік тому +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @simonrusigwa3024
      @simonrusigwa3024 Рік тому

      Hatari sana

    • @filamupictures9349
      @filamupictures9349 Рік тому +1

      Hata mimi. Najiona hivyo, kuwa sinywi pombe bado huwa najitafakari maamuzi na matumizi yangu naimagine ningekuwa mnywaji ningekuwa je sasa!! 😂😂

    • @blandinamyinga9489
      @blandinamyinga9489 Рік тому

      @@filamupictures9349 tungekuwa wehuuu😂😂😂

  • @michaeljeremiah5364
    @michaeljeremiah5364 Рік тому +3

    Mungu akubariki sana salama...,🙏🙏🙏🏆

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa8607 Рік тому +4

    Dada salama pole sana leo kwa kijasho
    Japo leo umeyakanyaga

  • @hajiiddi2531
    @hajiiddi2531 Рік тому +3

    you should be inviting smart people like these ....best pod so far💪

  • @fadhilimwala7936
    @fadhilimwala7936 11 місяців тому +3

    The best interview ever!!!

  • @Lugongam
    @Lugongam Рік тому +2

    Lifetime education from an hour interview 🙌🙌🙌,,,

  • @Nature_adventure
    @Nature_adventure Рік тому +4

    This is a masterclass!

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 9 місяців тому +1

    😊😊😊 ety Imani zingine ukifa unakamuliwa hili urudi ukiwa mtupu.

  • @agnessalon1271
    @agnessalon1271 Рік тому +5

    Best interview

  • @zeyamar1655
    @zeyamar1655 Рік тому +1

    Woow best interview....shukran dada Salama kwa interview bora na mchungaji ametuweka sawa kiakili kwa namna tofauti.... Big up!

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Рік тому +1

    Salama huyo mzee anayo iq kubwa sana.huchoki kumsikiliza na anachosema ukikifanyia kazi unakuwa mfano wa kuigwa kwenye maisha yako yote.

  • @nestoryremy8088
    @nestoryremy8088 6 місяців тому

    Mtumishi wa mungu ubarikiwe sana na mungu akupe maisha malefu uendelee kuokoa hiki kizazi kilicho sahau kazi na kubaki kutegemea miujiza kutoka kwa watumishi wa mungu

  • @RafaelKusila-yc8iq
    @RafaelKusila-yc8iq 6 місяців тому

    Asante sana salama asante hananja kwa mazungumzo wameenda vyema sana mungu awabariki nyote

  • @roseedson
    @roseedson Рік тому

    Mungu awabariki sana Kwa kutupa elimu nzuri

  • @pziragerajosefat9941
    @pziragerajosefat9941 Рік тому +1

    Nimependa sanaaa!!

  • @user-tt1by8ly2l
    @user-tt1by8ly2l 7 місяців тому +1

    M. Mungu amfishe haliyakua ksmridhia

  • @edinachuwa3701
    @edinachuwa3701 24 дні тому

    Uko vizur mzeeee

  • @agatherbaluah4862
    @agatherbaluah4862 Рік тому +3

    Hakuna kushindwa kweye maisha. Maisha ni kupambana jiamini.

  • @NonoPlatinum-on2il
    @NonoPlatinum-on2il Рік тому +4

    This guy is blessed ❤

  • @allyabdal7484
    @allyabdal7484 Рік тому +1

    kipindi cha kwanza kama hukueleweka vzr bt hiki cha pil,daaah big up sanaa

  • @ShukurumaroSaid-qp2gv
    @ShukurumaroSaid-qp2gv Рік тому

    Dah hananjaa mungu akubarik San innshaalah

  • @IsraeiMwankwasya
    @IsraeiMwankwasya 2 місяці тому

    Uko vema salama na mchungaji hananja Mungu awabariki

  • @georgepatrick1908
    @georgepatrick1908 Рік тому +3

    Hii ndio ya Yahstone town👍👍