Tazama Misemo Ya Mchungaji Hananja Ilivyomvunja Mbavu Salama | SALAMA NA RICH BILIONEA PT 2
Вставка
- Опубліковано 1 січ 2023
- #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
Kipindi cha nyuma kidogo nilifanya lile ambalo huwa nafanya la kuwashirikisha rafiki zangu na team kuhusu list ya watu ambao wangependa kuwaona kwenye kiti chetu chakavu na sababu za kwanini hasa waje kwenye meza ile yenye kigae kwa juu maana tukisema tutaje majina tu bila ya sababu thabit za wao kuja pale tunaweza tukaondoa maana yenyewe ya kuwa na watu wenye story za kuvutia na kutufunza kama ambavyo tumekua tukifanya. Jina la mgeni wetu huyu lililetwa kwangu na Michael (Mx) Mlingwa na Ndugu yangu Elbogast Myaluko ndo alinipatia mawasiliano naye na kuanzia hapo mengine yamebaki kukhadithiwa kama hivi.
Sikua namfahamu Mchungaji Richard Hananja mpaka Michael alipo niambia nami nikachukua muda wangu wa kwenda kufanya ka research kangu kabla hajaja mezani, ambacho nilijifunza ni kwamba Mchungaji alikua ni mtu mashuhuri sana ambaye ana watu wengi sana pia wanao mskiliza. Ilinichukua takriban miezi miwili kuweza kumpata maana kila weekend (mara nyingi rekodi za kipindi huwa zinafanyika weekend) yeye huwa yuko safarini. Huitwa sana sehemu mbali mbali, na sasa Serikali nayo imekua ikimuita pia katika matamasha na mikutano mbalimbali. Kwahiyo mara utamsikia yuko Dodoma, mara Moshi, mara Iringa ilimradi yuko busy. Na wakati mwengine Jumapili yake inakua ya yeye kualikwa kwenye Makanisa mbalimbali ili akatoe neno, siku hizi yeye ameshastaafu kuhubiri kanisani na sasa zilizobaki ni hizo za mialiko maalum.
Kama kawaida mimi na wenzangu tulitaka kuanza kwa kumfahamu mgeni wetu maana kama nilivyokuambia hapo awali mimi sikua namfahamu zaidi tu ya kumuona kwenye mitandao akimwaga cheche, tulianzia kwenye kuzaliwa kwake na kukua kwake, mitihani mbalimbali ya ujana, bishara na kazi ambazo ashawahi fanya, na wakati naandika hii nimejifunza pia kuwa Mchungaji hana ambalo anaongeza chumvi maana baada ya sisi kufanya nae maongezi haya, nimeona ameenda sehemu tofauti tofauti na story yake haijawahi kubadilika.
Ujasiri wa ziada huhitajika ili tuweze kufanikiwa kwenye maisha yetu na pia kuwa kwenye mstari ili usiingie kwenye matatizo na vyombo vya sheria. Mchungaji ananiambia jinsi ambavyo alikua ana hustle kila kona, kusafiri bila ya kibali cha kuvuka mipaka ya nchi na boxing ambayo aliifanya kwenye kipindi flani kwenye maisha yake. Boxing imemuachia kovu ambalo kila siku linamkubusha mapambano ambayo ameshawahi kuyafanya kwenye maisha yake.
Boxing pia ndo ambayo imemfanya awe na discipline ya hali ya juu. Kwenye maisha yake ya sasa Mchungaji Hananja anatoa nafasi kwa kila aliye kata tamaa au ambae watu wamemkatia tamaa, yeye ndo huwachukua hao na kuwapa nafasi nyengine kwenye maisha yao, na amini usiamini wengi wao hunyooka na kuanza upya. Kwenye nyumba yake huko Madale Mchungaji anafanya mambo mengi ikiwa pamoja na kilimo na ufugaji. Swali langu lilianza kwa kutaka kujua hizo pesa za yeye kuweza kufanya mambo yote hayo, huwa zinatoka wapi?
Mchungaji Hananja ni MUME, na kwa mujibu wa maelezo yake, alichelewa saana kuoa na mkewe ni Rafiki yake wa kwanza. Yangu matumaini moja mbili tulizopiga humu zitakupeleka sehemu.
Tafadhali enjoy.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
UA-cam Link bit.ly/UA-camSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz - Розваги
Nimepata majibu ya mengi kupitia Interview hii kuhusu maisha, uchumi, Imani na mengine mengi 🤝💪
Hii like 100 ni yangu natamani nilike Mara Mia Mia what an interview!
Aslam aleikum salama hope everything well on your side, I'm from Kenya and I really enjoyed your interview with rich billionaire and the previous interviews too.. Wanna request if possible to bring him back again coz he's educate so many people in this world. And it's gives people not to give up in life.. SALAMA we love you and Allah bless you good things happen to you. xxx
Salama , ubarikiwe sana , kutuletea mtu na nusu , bonge la elimu , billionaire ni full package abarikiwe sana 🤝🤲
"Shetani haonei mtu asiyekuwa na akili." 🙌🤛
Nikweli kbs
umenifanya nicheke
"Umeletwa ili usaidie, siyo usaidiwe." 🙌🤛
Dada leo hakuna msosi wala juisi😊😊..ni nondo mwanzo mwisho. Nice interview..Mwamba sio wakuulizwa maswali meengi. Ni kumchokoza na kumwacha atambae
🤣🤣🤣
❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂
Amini😂😂😂
"Mpigania uhuru wa kiuchumi", Asante sana Mchungaji.
Hakuna kushindwa kwenye maisha,bado maisha yapo,maisha yamapambano yanakufanya uwe imara...asante Mchungaji Rich..
Uyu mzee ni Mzalendo ...i wish to meet you Mentor wa Taifa.
Salama asante mzee ametufunza mengi.#One Love
Hongera sana dada mungu akubariki na Asante sana mchungaji kwa ushauri mzuri 🙏🙏🙌🙌💯❤️❤️❤️❤️🤝
Huyo baba nii was aiana yake, humble, helpful and passionate. Hatuchoki ukimsikiliza. Ujumbe wa kutosha! Tutaufanyia kazi . Thanks Salama. Good work!!
Funny, educational, humble, inspirational, loving, caring what an interview. Respect to you Salama and the billionaire.
"Jambo la kwanza siyo maombi. Jambo la kwanza ni Ukombozi wa fikra." 🤛🙌
Best interview 2023🙌 nmepata majibu ya maswali
Daah one of the best interviews from Bongo in recent times, Salama you are the best keep this up. Your interviewees give us relevant information and education and I'm sure I'm among many who appreciate this show.
Dah huyu mzee kichwani yupo vizur sana ubarikiwe
The best of the best interview.....
Sisi sote ni wa Tanzania 🇹🇿 hakuna cha udini,ukabila wala rangi.. tusigombanie maini kabla mwenye ng'ombe hajachinja
Asante Salama kwa umahiri wako ktk uandishi. Big up!
Ubarikiwe sana mchungaji,umetoa madini ya thamani sana.❤❤❤
JAMANI TUCHICHEENI BASATA WAMPE TUZO YA KUFAFANUA KUHUSU MTU NA DINI ALIYO TOKEA... THIS IS REALLY REALLY REALLY HARD TALK
Masha'Allah Tabaraka'Allah
Yani mda mdogo sana, Salama tunamuhitaj tena please
Salama, swali lako kuhusu imani na dini pamoja na sayansi ni zuri mno na limewagusa wengi sana, pia nashukuru kwa patience uliyonayo wakati unamuuliza maswali.
Nakupenda alafu najifunza sana kwako baba Mungu akutunze
Interview Bora sana kwangu imenipa majibu mengi,good job salama kip it up.
Nilijihisi kuwa nipo kwenye lecture room nakula nondo ❤
Ubarikiwe dada kwa kutuletea huyu mtumishi wa Mungu
Kwa kweli Aliposema kuhusu muda ameni inspire mambo mengi
Mtumish Nimekpenda Sana nimejifunza vtu we ni jasiri Mungu azidi kukupa nguvu na uishi miaka 10000000
Yani natamani msimalize maana nabarikiwa sana nacheka hadi nashangaa najihisi mpya kwa maongezi ya MCH Hananja Mungu akulinde na akutunze mpendwa
This man has such fidelity to humanity; nonetheless, he speaks really fast for Kenyan ears.
Hii ntarvew imenifunza na imeongeza kitu kwenye Maisha Yangu kupitia hii interview naenda kua tajiri huu Mwaka imenipa ujasir Zaid ya kutafuta ishi Sana Salama na Father apo rich billionea mchungaji
"NDANI YA UJANA KUNA UTAYARI WA KUFANYA KAZI"
#WALK_THE_TALK
Hakikaaa mungu awe nawe daima mchungaji
"Imani siyo kuelewa, Imani ni kukubali." 🙌🤛
Salama ni hatari. Elimu tumepata❤
Wallahi nimecheka sana, pia nimejifunza kwa nondo za Hananja
🎉Hongera sana maneno yako mazuri
Tufanye ibada ndugu zangu, Mim Huwa naumia Sana napokuta mtu wa dini fulani anamchukia wa dini nyingine,
ni inspire sanaaa hyu mchungaj anatoa nondooo sanaaa mungu akuweke
I wish to meet this man one day, very humble, very intelligence man, he is third eye opened, he is just see life in a spiritual way. he see love 😍.
I think he meditate
Hata mimi nimetamaani
Salama huu mwaka umetufungulia na mazuri sana kwa kila jambo vijana tunajioliza tumepewa majibu hongera sana salama salut kwa mzee wetu mchungaji nipo KENYA nainjoi
Salama we mzur sanaaaa, na be blessed kwa kutuletea watu wa kutujenga
"Mnajenga majengo kutega uchumi, sisi tunajenga kutega huduma." 🙌🤛
Jamaniii...."Jicho lako linaona nini".. hii ni muhimu sana...
Huyu baba ni fighter hadi sasa anajihusisha na vinyago nafahamu vzr sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Nimeguswa sana sana sana na mchungaji huyu... Daah!! Barikiwa salama kwa exposure ya watu hawa!! We need this things to trend 📈 jaman
Huyu mchungaji anamjua kufundisha, ukweli huwezi kudai haki bill wajibu, wajibika na haki inakuja yenyewe. Asante kwa mauojiano Dada Salama
Hongera sana Dada Salama, Unajua sanaaaa, interview inaubora wa hali ya juu, inavutia kusikiliza. Nimejifunza sana. SHUKRANI....
Kule unaenda kutiwa moyo tu, muhimu FANYA KAZI. 🤛🙌
In whatever he does, he sees and encourages live for one another, nampenda sana very open minded. Thanks for a great listening skill @Salama
... Interview Bora kabisa kutokea kwenye ubora wako #SERMON
Salama ni mwandishi bora... umemwacha mzee aongee,nasi tumepata elimu. Kuna waandishi wengine wangemkatisha... salama ni type ya Millard ayyo
Salama naangali Mtumishi ananipa raha mbavu zangu
Hakika
yes
Salama always the best interviewer
hii mimi pia nimeliona salama is professional ever
Mimi ni muisilamu Ila uyo mzee mchungaji ,nampenda sana mafundisho yake ni bora
😂😂kwani waislamu hawapendi mafundisho yake😂
Tusisifie tu interview jamani tubonyeze na kitufe cha support ....Salama you the best Kuna mengi wenye digital media zao wana cha kujifunza kwako....keep going!
Wew ushabonyeza?
This will be interview of the decade.
Kabisa ✊🏾
He talks real and reality.... Nice and good thanks for this fantastic show
I love this pastor.. lazima nije kutoa chochote kwenye kituo chako kabla robo ya kwanza ya Mwaka huu kuisha.. Serious naguswa sana na mission hizi
Please don’t forget if you haven’t 🇬🇧😁
Giant wa Tanzania 🇹🇿 🤝🤝🤝👊👊
Maneno n mengi na hapotezi point🙌🙌
Point inabaki imesimama
This is the best interview ever🙌🏽
Best Interview 2023..MCHUNGAJI HANANJA KIBOKO
Nimeangaliaaa nikajua Salama ndio anahojiwa!
am rich kid..inspired by rich bilioner..lifee is good. thanks much SALAMA JABIRI for this message ..always you are at the Top ❤
Best interview ever
The best lesson, utoto utumwa ,ujana maswali,uzee ugonjwa
Salama umemleta mtu na nusu mwenye fact za maisha.
Hii ni interview bora zaidi kuwahi kuitazama.
Nakupenda sana maneno yko yananipa moyo nguvu na usabiti
Mwamba huyu hapa..anatoa sana Elimu
I'm blessed through this interview
Thanks God and to U Salama and Young Rich
Kama mmenotice salama haonekani sana atakuwa hana mbavu muda mwing sanaaa
Hongera sana Salama kwa kubuni kipindi kizuri Mungu akusimamie ufike pale unahitaji
Tunashukuru Sana Salama kwa kumleta Pastor hakika tumepata bonge la lesson.
Salama leo umepatikama hata swali Huna nafasi ya kuuliza😆😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Rev, hakuna kazi bila.kumshirikisha.mungu,hata.mama anajua, lazima mwejyezi mungu asimame na kila jambo.amen.
Very true maisha ni kufanya kz kupambana na Iman na subra
Natamani sana vijana wote wangeisikiliza hii interview. Kwa kweli ni mafundisho muhimu kwao. Asante sana.
Asanteeeeeeeeee"watu huwa wanauliza mbona hunywi pombe majibu hayo"akili yangu yenyewe pombe🤣🤣🤣🤣ikinywa ni hatari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hatari sana
Hata mimi. Najiona hivyo, kuwa sinywi pombe bado huwa najitafakari maamuzi na matumizi yangu naimagine ningekuwa mnywaji ningekuwa je sasa!! 😂😂
@@filamupictures9349 tungekuwa wehuuu😂😂😂
Mungu akubariki sana salama...,🙏🙏🙏🏆
Dada salama pole sana leo kwa kijasho
Japo leo umeyakanyaga
you should be inviting smart people like these ....best pod so far💪
The best interview ever!!!
Lifetime education from an hour interview 🙌🙌🙌,,,
This is a masterclass!
😊😊😊 ety Imani zingine ukifa unakamuliwa hili urudi ukiwa mtupu.
Best interview
Woow best interview....shukran dada Salama kwa interview bora na mchungaji ametuweka sawa kiakili kwa namna tofauti.... Big up!
Salama huyo mzee anayo iq kubwa sana.huchoki kumsikiliza na anachosema ukikifanyia kazi unakuwa mfano wa kuigwa kwenye maisha yako yote.
Mtumishi wa mungu ubarikiwe sana na mungu akupe maisha malefu uendelee kuokoa hiki kizazi kilicho sahau kazi na kubaki kutegemea miujiza kutoka kwa watumishi wa mungu
Asante sana salama asante hananja kwa mazungumzo wameenda vyema sana mungu awabariki nyote
Mungu awabariki sana Kwa kutupa elimu nzuri
Nimependa sanaaa!!
M. Mungu amfishe haliyakua ksmridhia
Uko vizur mzeeee
Hakuna kushindwa kweye maisha. Maisha ni kupambana jiamini.
This guy is blessed ❤
kipindi cha kwanza kama hukueleweka vzr bt hiki cha pil,daaah big up sanaa
Dah hananjaa mungu akubarik San innshaalah
Uko vema salama na mchungaji hananja Mungu awabariki
Hii ndio ya Yahstone town👍👍