MAMBO 10 MUHIMU YA KIUCHUMI KWA MWANAMKE - JOEL NANAUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 58

  • @MBISUSAMIKE
    @MBISUSAMIKE 7 місяців тому +11

    Brother Joel, una maarifa sana, Mungu anazidi kukuinuia kila iitwapo Leo...

  • @sakitiyesse5973
    @sakitiyesse5973 6 місяців тому +3

    Bro Joe hii inatulenga wote Mwanaume na mwanamke ni muhimu sana kuyajua haya mapema, 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉pokea maua yako

  • @furahasweya7433
    @furahasweya7433 7 місяців тому +5

    Namshukuru Mungu sana kwa ajili kukuumba na kuwepo duniani hakukosea. Majibu ya maswali yangu asb hii nimeyapata ktk somo hili japo nimebaki na maswali mengisana kuhusu nini kifanyike wapi nianzie ili kuepuka madhara zaidi. Yotevuloyqsema ni kweli yametokea yapo na yanaendelea. Mafundisho zaidi yanahitajika kunusuru familia na kuwaokoa watoto . Mungu azidi kukupa kibali elimu inahitajika zaidi kwa wanawake walio wengi zaidi 95% wanahitaji elimu hii

  • @Sanga_jr_24
    @Sanga_jr_24 7 місяців тому +14

    Kutokana na ratiba kuwa ngumu nitapokea like 👍🏿 za kaka @Joel

  • @furahasweya7433
    @furahasweya7433 7 місяців тому +2

    Mungu azidi kukutumia kuokoa familia nyingi zimepitia na zinapitia haya .

  • @rehemamabruck
    @rehemamabruck 6 місяців тому +2

    Leo nimefunguka akili sana Asante sana bro Mungu azidi kukujaza maarifa zaid

  • @AshaSaleh-qu8rk
    @AshaSaleh-qu8rk Місяць тому

    Am a muslim manene yako yanamaana kubwa sana pokea maua yako na baraka kutoka kwa Mungu

  • @Maggie-yx8pw
    @Maggie-yx8pw 6 місяців тому +1

    Asante Mungu kwa zawadi ya Wazazi wangu. 🙌🙌🙌 RIP hakika najivunia kuzaliwa na hawa Wazazi.🎉

  • @faridamndeme2751
    @faridamndeme2751 9 днів тому

    Asante kwa somo zuri

  • @Sali-dr3xx
    @Sali-dr3xx 27 днів тому +1

    Mm unanigusa kwenye hili somo la uchumi barikiwa

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 7 місяців тому +1

    asante baba kwa mafundisho mazuri sana,,,mungu aendelee kukulinda na sisi tunaendelea kukuombea uishi maisha marefu.
    mafundisho mazuri sana,,ubarikiwe

  • @ednandanguzi1330
    @ednandanguzi1330 Місяць тому

    Barikiwa sana mtumishi kwa hekima uliyotoa kusaidia familia❤

  • @shilongo944
    @shilongo944 6 місяців тому

    Amen...its true inafanyika after mwanaume kufa...mm nilisema kutegemea binadamu siezi heri nimtegee God the creater

  • @ElizabethHamidu
    @ElizabethHamidu 4 місяці тому +1

    Nashukuru kwa darasa huru limeniinua kiufahamu

  • @nkambamgeta8186
    @nkambamgeta8186 6 місяців тому

    Asante kwa mafundisho mazuri yanayopanua uelewa wetu hasa Wanawake katika mambo ya kiuchumi. Mwenyezi MUNGU akubariki sana.

  • @irenecharles6703
    @irenecharles6703 6 місяців тому

    Leo nimeongeza maarifa makubwa sana maishani mwangu, be blessed bro

  • @ireneleonard4739
    @ireneleonard4739 3 місяці тому

    Very true ! Na ndio jamii tunayoishi! Asante kwa somo Big AMEN

  • @atkamlowe5379
    @atkamlowe5379 24 дні тому

    Nimejifunza barikiwa Mtumishi

  • @costansianelson479
    @costansianelson479 6 місяців тому

    Amen, hili somo limenigusa kwa maumivu makali sana daah! Asante sana Kaka J MWENYEZI MUNGU Akutunze sana. Nimefurahi nimepata kitu.

  • @MonicaLilai
    @MonicaLilai 6 місяців тому

    Nakushukuru Kwa maneno mazuri ila Kuna vitu umeniongezea.Ubarikiwe sana

  • @lightouma477
    @lightouma477 6 місяців тому

    Nakushukuru mnooo,naendelea kujifunza sana kupitia wewe,kiu yangu siku moja nikuone tu live nitafurahi sana

  • @iizalaw6674
    @iizalaw6674 6 місяців тому +1

    Hakika Mungu nitie nguvu na unipe hekima nitambue mume wangu anavotengeneza fedha

  • @TinaNombo
    @TinaNombo 5 місяців тому

    Ubarikiwe sanaaa Mtumishi umenitia nguvu nazidi kupambania ndoto zangu

  • @joycesangijo8691
    @joycesangijo8691 26 днів тому

    Asante kwa kunijenga🙏

  • @truthch1642
    @truthch1642 7 місяців тому

    Very trueee👏👏👏. God bless you

  • @kwangukazungu8299
    @kwangukazungu8299 Місяць тому

    Ubarikiwe sana kaka Joel

  • @tumainimwakisile4855
    @tumainimwakisile4855 7 місяців тому +2

    Nimejaribu kufosi lakini sijafanikiwa mungu aingilie kati

  • @MwanaishaMohammed-f4t
    @MwanaishaMohammed-f4t Місяць тому

    Hakika Mr @Joel 😍

  • @getrudandabita1651
    @getrudandabita1651 7 місяців тому

    Joel nachangamoto sana nahitaji kufufua kampuni yangu nifanyeje,ili filisika ikafa,ila bado Nina ndoto kubwa

    • @tumainichanya3268
      @tumainichanya3268 7 місяців тому

      Nakushauli tafuta namna ya kumfikia Joel japo hata upate number yake ili umfuate japo in box lakini ukweli ukisubili akujibu hapa inaweza chukua muda au asikujibu kabisa Joel anawatu wengi wanaomtafuta Sasa ukisubili kujibiwa hapa unaweza poteza muda

  • @jichofoundationtv6893
    @jichofoundationtv6893 7 місяців тому

    Mungu azidi kukubariki

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 7 місяців тому

    Asante sana kaka 🙏✍️✍️

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 5 місяців тому

    🙏🙏 asante

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 7 місяців тому +2

    Kaka Joel natamani hili Somo liendelee,hii Somo linatesa jamii na bado jamii haizinduki ,ndiyo maana baada ya kufiwa na waume zao wamama wengi waliokuwa waheshima wamekuwa wa hovyo sana hadi kuwa madanga bila kupenda Ila ukosefu wa kujua haya unayotujuza Leo imewapelekea kwenda makosa,wengine ndo wanalaumu wakiamini wanastahili kusaidiwa kila siku

  • @UsandaAgrovet
    @UsandaAgrovet 4 місяці тому

    Amen

  • @judithgodfrey6503
    @judithgodfrey6503 6 місяців тому

    Ameeennnnnn🙏

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 6 місяців тому

    Asante

  • @UshindiBulambo
    @UshindiBulambo 7 місяців тому +1

    Yap facts

  • @mwanaomary3034
    @mwanaomary3034 6 місяців тому

    Barikiwa broo

  • @anethpalangyo6319
    @anethpalangyo6319 6 місяців тому +1

    Asante sana,lkn nataka kujua natumia mfumo gan kuhakikisha kipato Cha mwanaume kuendelea kuingia ndan y familia pale atakapokua hayupo?

  • @BibiClassic-rl2jo
    @BibiClassic-rl2jo 4 місяці тому +3

    Wanaume wengine ukiwaeleza hii ya mke nae mfunze afanye kitu cha kuingiza pesa wkt upo hai..lkn hawaelewi ..
    Utawasikia kwani unakosa nn
    Utasikia una niombea mm nitangulie kufa
    😂
    Kukosa uweredi

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 7 місяців тому +1

    👏👏👏👏

  • @HidayaSeleman
    @HidayaSeleman 6 місяців тому +1

    Nimejifunza kitu kikubwa sn

  • @GladnessSulle
    @GladnessSulle 2 місяці тому

    Ntafanyaje kujua au kutengeneza mifumo

  • @jdm1459
    @jdm1459 7 місяців тому

  • @AnnaMgala-n6g
    @AnnaMgala-n6g 7 місяців тому +6

    Kama bado unandoto nayo ipambanie tu yote yanawezekana

    • @jonaycekiminde9256
      @jonaycekiminde9256 7 місяців тому

      Kweli anafufua ndoto zetu tulizozisahahu

    • @GLORYNGOIVA
      @GLORYNGOIVA 6 місяців тому

      carefully noted you may God bless you . The lesson is interested

    • @Emiliamercy
      @Emiliamercy 6 місяців тому

      Ameeen it gone be

  • @clarasabutoke6907
    @clarasabutoke6907 7 місяців тому

    Tunakupata

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 7 місяців тому

    💃💃💃

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 7 місяців тому

    Shukrani kaka ❤❤

  • @truthch1642
    @truthch1642 7 місяців тому

    Nimepata kitu

  • @magrethfaustine2665
    @magrethfaustine2665 6 місяців тому

    Nafosi vipi?

  • @estherkeba24
    @estherkeba24 6 місяців тому

    Hii seminar inaitwaje?

  • @MikwaloSalehe
    @MikwaloSalehe 7 місяців тому

    See at the top

  • @MBISUSAMIKE
    @MBISUSAMIKE 7 місяців тому