LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI - JOEL NANAUKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 113

  • @Srene0225
    @Srene0225 7 місяців тому +17

    Mambo ya kuzingatia kabla ya kusema ndio;-
    1. Tambua thamani yako
    2. Usiseme ndio kwa kinywa chako mahali ambapo moyo wako unasema hapana
    3. Usikimbizane na rika(peer pressure),nenda kwa speed yako mwenyewe,usifanye haraka
    4. Usiruhusu hisia zako ziharibu maisha yako
    NB:'Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana ndiko zitokako chemchemi za uzima'

  • @lestutamdota715
    @lestutamdota715 7 місяців тому +19

    Ni kweli kabisa .Baada ya kuachwa na mtu nilikuwa nampenda nilipoteza mwelekeo kabisa wa maisha sikuwa natumaini tena. Nashukuru mungu nilibahatika kupata ebook yako ya Jinsi ya kupona na maumivu ya kuhisi ulikuwa mwanzo wa kubadilisha mtanzamo . Yalikuwa si maumivu ya kimapenzi tu nilikuwa namaumivu ya toka utotoni maisha niliyoyaishi lakini pia maumivu ya kunyanyaswa kazini . Shukrani sana 🙏🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому +4

      Hongera sana kwa kufanikiwa kusimama tena🙏

    • @aminajuma1156
      @aminajuma1156 7 місяців тому +1

      Hicho kitabu kinapatikana wapi

    • @eliastanda9825
      @eliastanda9825 7 місяців тому

      Mimi ni muhanga wa mapenzi nilipata maumivu ya moyo mpk yakatokea kabisa physically Yan nyama za juu ya moyo zilikua zinauma sana ni kama moyo ulikua umejaa ni maumivu yasiyoelezeka nikaenda hospitali ila bado nikawa na maumivu hayo ila nilitafuta tafuta video za Joël nilikuta video moja inasema usinganganie mtu anayetaka kuondoka maisha mwako ilinitia sana moyo na kuinuka na maumivu yapo ila so kama mwanzo na pia nilinunua e book nikawa Bize na kujisomea saiv nashukuru Mungu sana nimebalikiwa maisha yanaenda so kama mwanzo ila yanaenda kwa namna yake ya kipekee nafurahia uwepo wangu apa duniani ushauli wangu kwako bro usiache hii kitu unaokoa watu wengi sana❤❤❤❤

    • @elishamwalongo3010
      @elishamwalongo3010 7 місяців тому

      @@joelnanauka ''????'

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 7 місяців тому +4

    Kama huna Imani na Mungu usiingie kabisa kwenye mapenzi ni hatari mno 😢

    • @aminajuma1156
      @aminajuma1156 7 місяців тому

      Kabisa unaweza kufa imenikuta😢

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 7 місяців тому +1

    Ukweli 💯 Mtupu haya mapenzi ndio yameleta vita Duniani hata mahali tunafanya kazi,ukichunguza unapata hata chuki vitina watu wanakufsnyia hata kazini unapata chanzo ni, mapenzi true chain..........................

  • @fedrickmwinuka1656
    @fedrickmwinuka1656 7 місяців тому +2

    Selection ya mpenzi kwenye maisha ya Binadamu yanasehem kubwa san

  • @Khadij-v3m
    @Khadij-v3m Місяць тому

    Mie Kuna kitu kimeniokoa nilikuwa na waza kumpa mtu moyo wangu naona siyo sahihi kwangu Bora nijipende tu menyewe kunavitu umenifanya viniponye haki shukrani mungu akubariki afya njema

  • @StellaSimon-o3t
    @StellaSimon-o3t 6 днів тому

    ,asante sana

  • @carolinekalume934
    @carolinekalume934 7 місяців тому +7

    Jamani nilikuwa nasubiri hii episode kwa hamu! Asante Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому

      Hongera naaamini umejifunza

  • @RosecharlesMollel
    @RosecharlesMollel 7 місяців тому +1

    Ubarikiwe sanaa uishi miaka mingi sanaa

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 7 місяців тому +1

    Ubarikiwe sana mwalimu.penzi nikitu kinacho kufanya uinuke ama uanghamiye amaubaki kiwete

  • @SalumuSaid-vq2kp
    @SalumuSaid-vq2kp Місяць тому

    Mapenz,yamekua yakiongoza dunia kwenye nyanja mbalimbali

  • @VickyKijazi
    @VickyKijazi 7 місяців тому

    Kweli moyo ni mdanganyifu, Mungu atusaidie nguvu za kuulinda. Barikiwa mwalm Mungu akutunze tuendelee kupona!

  • @AbeliMgula
    @AbeliMgula 7 місяців тому +1

    Ahsante sana kaka sikutarajia kama nitakuja kupata haya mafunzo kwa sababu sitaki maumivu niliyoyapataga mpaka ikafikia uamuzi nikataka nishindwe kufanya mtihani wangu wa mwisho😢😢😭😭

  • @DevothaJohnMagessa
    @DevothaJohnMagessa 7 місяців тому

    Asante sana kaka nimejifunza sana juu somo hili,yaan umegusa maisha yangu ninayopitia kwa kipindi hiki..ubarikiwe sana

  • @SilonMwakisunga-qz9xf
    @SilonMwakisunga-qz9xf 2 місяці тому

    AMEN 🙏 Mungu ni mwema sana

  • @HabibMlilima
    @HabibMlilima 7 місяців тому +1

    Thanks bro.. your biggest fan froma fb salma said.❤

  • @LakinaneMuna
    @LakinaneMuna 7 місяців тому

    Ahsante sana Brother Joel hakika nimejifunza mengi kutoka kwako

  • @JanethDotto-y1p
    @JanethDotto-y1p 6 місяців тому

    Muungu akubariki sana mkuu wangu mungu akupe nguvu zaidi

  • @gloriatoya72
    @gloriatoya72 7 місяців тому +1

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili

  • @ChristinaFlavian
    @ChristinaFlavian 26 днів тому

    Asante san kaka

  • @beatricemwita4380
    @beatricemwita4380 7 місяців тому +1

    Niliwahi kupenda mtu mpk tukapata mtoto ila hakuwahi kunijali wala kunithamini kwenye maisha yake ila mtoto akafanyika baraka na kunifungulia milango mingi sana ila mpk sasa naogopa kupenda, nimeshamsahau nalea mtoto wangu hayupo kwenye akili moyo wala maisha yangu ila sijawahi kupenda tena wala kuingia kwenye mahusiano, Ee Mungu nisaidie nipate mtu sahihi atakayenipenda Mimi na mwanangu kama nitakavyompenda yeye

    • @samwelimwanja4105
      @samwelimwanja4105 7 місяців тому

      Pole sana betric

    • @priscusaugust7251
      @priscusaugust7251 7 місяців тому

      Nan wa kukupenda wew na mwanao?

    • @beatricemwita4380
      @beatricemwita4380 7 місяців тому

      @@priscusaugust7251 atakayenipenda dear na sio lazima sababu nimeshamchagua mwanangu kama chaguo la kwanza hivyo hata asipopatikana Haina tatizo ndugu

    • @beatricemwita4380
      @beatricemwita4380 7 місяців тому

      @@samwelimwanja4105 ahsante ndugu

    • @FilbertHabashi-zn1qu
      @FilbertHabashi-zn1qu 7 місяців тому

      ​@@priscusaugust7251 Priscus August, ongeza sauti kidgo. Kiukwel kwa maisha ya sasa hakuna mtu wa kumpenda mtu na mwanae, na isitoshe mtoto atakuwa hyo kuna siku atamfata babake, so ni ngumu upate mwananume wa kuwapenda ivo. Kikubwa mtoto akifikia wakat wa kuish na baba, itakuwa rahis utafute mwanaume wa kukupenda wwe.

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 7 місяців тому +1

    Hayaa ni zaidi ya maarifa

  • @righitkileo
    @righitkileo 7 місяців тому +1

    ❤❤Joel Nanauka.❤❤❤Nakupenda sana❤unajua kufundisha❤Aisee Munqu akupe muda mrefu hapa dunian❤❤❤❤❤❤❤

  • @peacennko2003
    @peacennko2003 7 місяців тому +1

    Nondo hizi ✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨

  • @KasimBadi
    @KasimBadi 7 місяців тому +1

    Thank you brother JOEL

  • @tarsisiamwalongo6819
    @tarsisiamwalongo6819 7 місяців тому

    Ubarikiwe mno mtumishi ,japo hapo kwenye kumshirikisha mtu ni nje na mzazi au hata mzazi tu anatosha mshirikisha

  • @Carloshamis
    @Carloshamis 6 місяців тому

    Kweriii aise mapenzi hayana utani kabsa usisemee kwamba natembea naye tu basi baadaye inaweza kuktuse kabsa yan,,

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 7 місяців тому

    Daaah episode hii nzuri sana

  • @IdrissaBakar-w1u
    @IdrissaBakar-w1u 7 місяців тому +1

    Nanauka kwenye line

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 6 місяців тому

    Mr..top...haki ... doze yako...iko.. .sawa .... asante sana

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 7 місяців тому +1

    Somo🙌🔥👏🏆

  • @fawziyahassan5714
    @fawziyahassan5714 7 місяців тому

    Asante sana Kaka JOEL

  • @newking6497
    @newking6497 7 днів тому

    👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @edommdende4309
    @edommdende4309 7 місяців тому +3

    ❤️🙏

  • @ibrahimmwashinani
    @ibrahimmwashinani 7 місяців тому

    Expensive pain bro😢 shukran kaka we from far😢😢😢😢

  • @naomitheobald125
    @naomitheobald125 7 місяців тому

    Be blessed brother J.nanauka

  • @ClementLeonard-h9m
    @ClementLeonard-h9m 7 місяців тому +1

    Amna kitu kigumu kama kupata mwenza sahihi kuishi ndoto zako na kupata rafiki sahihi

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 7 місяців тому +1

    Kaka Joel barikiwa zaidi, mimi maumivu ya mapenzi yalinipa changamoto ilifika kipindi nilitamani kujiua,ila kwasasa nimepona ninapambania maisha yangu,nanimeamua kujipenda mapenzi kwa sasa hayana nafasi bado natafuta naamini ipo siku nitapata mwanaume sahihi

  • @Tonga994
    @Tonga994 5 місяців тому

    Ahsante kwa Elimu hii kaka

  • @RahabuChambalo
    @RahabuChambalo 7 місяців тому

    Ahsante kwa somo

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 7 місяців тому

    Asante sana

  • @Elishanabagingisemvayle-ob4cm
    @Elishanabagingisemvayle-ob4cm 4 місяці тому

    Ubarikiwe Sana daima, ningeli penda sana nipata kuzungumza nawe kwenye WhatsApp kama itakupendeza lakini.

  • @rosadamassawe8019
    @rosadamassawe8019 7 місяців тому

    Ubarikiwe sana kaka Joel, hakuna kitu naogopa kama kusema ndio nikiwa sina uhakika. Yesu aendelee kukutunza.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому

      Amen Rosada, ni kweli inahitaji muda🙏

  • @nasha_59
    @nasha_59 7 місяців тому

    Asant sna kwa darasan hil naomb uwek namna yakupony maumiv ya muda mref plz tlishafany makos tnatak kupiny mioyo yet ili tusj tkafany tna makos

  • @KelendoLaizer-yf8jy
    @KelendoLaizer-yf8jy 7 місяців тому

    Asante kwa somo ubarikiwe

  • @PriskilaUmbu
    @PriskilaUmbu 7 місяців тому +1

    Napitia wakati mgumu kwenye ndoa ya miezi mitano tu najuta kusema ndiyo kaka Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому +1

      Pole sana, tafuta ushauri mapema. Unaweza kuongea na msimamizi wako au kiongozi wako wa imani kwa kuanzia

    • @PriskilaUmbu
      @PriskilaUmbu 7 місяців тому +1

      @@joelnanauka ahsante kaka

  • @CleraJuliusMunishi
    @CleraJuliusMunishi 7 місяців тому +1

    Mungu akubariki my Brother❤

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому

      Ameen Ameeen

    • @zaituntembo
      @zaituntembo 7 місяців тому

      Mungu akutunze na baraka zake ziwe juu yako Milele Amina

  • @EMMANUELJOELLUHERA-lh6um
    @EMMANUELJOELLUHERA-lh6um 7 місяців тому

    Ubarikiwe san

  • @everose276
    @everose276 7 місяців тому

    Kaka sisi tuliokwisha ingia sasa na kifungo cha ndoa ndio balaa sasa jinsi ya kutoka 😊

  • @isacksolomon5309
    @isacksolomon5309 7 місяців тому

    Asante sana mwlm.

  • @abbywaziri7725
    @abbywaziri7725 Місяць тому

    Mm mtu akinisumbua kwenye mapenzi namrogaa kaka ndio michezo yangu hiyo

  • @EsterMahenge-u2s
    @EsterMahenge-u2s 7 місяців тому

    Asante kaka

  • @OmanOman-c9d
    @OmanOman-c9d 7 місяців тому

    Shukran joel ❤❤❤

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 7 місяців тому

    Shukrani kaka ❤❤

  • @HabibaJuma-w7g
    @HabibaJuma-w7g 7 місяців тому +1

    Umetisha sana asante.ukweli mtupu. 4:01

  • @saidalhabsi9257
    @saidalhabsi9257 7 місяців тому

    😢😢😢 umeniponya Asante sana kaka Joel

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому

      Nashukuru kwa Mrejesho 🙏

  • @eliasmugume254
    @eliasmugume254 7 місяців тому

    Mungu awabariki Sana tena Sana

  • @johnwangubo3342
    @johnwangubo3342 7 місяців тому

    Asante sana kaka joel nimejifunza kitu

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому

      Karibu tuendelee kujifunza🙏

  • @CleraJuliusMunishi
    @CleraJuliusMunishi 7 місяців тому +3

    Mimi mwenyewe tangu nilipokubali napitia mateso na nimepoteza thamani na kukata tamaa kabisa

  • @vanessasalema6087
    @vanessasalema6087 7 місяців тому

    Noted.

  • @MaryamHaruna-f3r
    @MaryamHaruna-f3r 7 місяців тому

    Sijatoka bure
    Shukran sana sana kaka Joel Allah akubariki

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому

      Nashukuru sana sana

    • @ZubedaVicent
      @ZubedaVicent 6 місяців тому

      ​@@joelnanaukaMm cna amani na mmewangu ambae tumezaa nae tumefunga ndoa lakin nimeishi nae bila amani mwaka1 uliopita je mm nifanyeje pastor

  • @jkifutu7936
    @jkifutu7936 7 місяців тому +1

    Absolutely 💯 💯 💯

  • @LeahLuhwavi-pd6cz
    @LeahLuhwavi-pd6cz 7 місяців тому

    Ubarikiwe Sana ujumbe huu ni mzuri Sana.🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому

      Nashukuru sana tuendelee kujifunza

    • @ZubedaVicent
      @ZubedaVicent 6 місяців тому

      ​@jpoelnanauka please help me

  • @Yonzomc01
    @Yonzomc01 7 місяців тому

    Hasante sana kaka nimejifunza kitu ambacho skuwai kujua.

    • @ahz6907
      @ahz6907 7 місяців тому

      Hongera....Kila siku tunajifunza.😊

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому

      Shukrani sana, tuendelee kujifunza🙏

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 7 місяців тому

    AHSANTE

  • @abdulfatahjuma3105
    @abdulfatahjuma3105 7 місяців тому

    More blessing

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 7 місяців тому

    Uko na copy za vitabu kwa lugha ya Kiingereza?

  • @rebeccakisale
    @rebeccakisale 7 місяців тому

    🙏🏾🙏🏾

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 7 місяців тому +1

    All in all Don't allow your emotion to destroy your life 😂😂😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 7 місяців тому +2

    Kaka Joel sikuiz husem chochote kwenye komenti,,hulaik why?

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому +1

      Najitahidi ila kuna wakati nashindwa mambo yanakuwa mengi

  • @paulmayombe4336
    @paulmayombe4336 7 місяців тому

    Mapenzi ni kama gemu flani iv jmn mtu akishajua umemp3nda ndo anaanza kukufanya anavotaka

  • @MsangoDiesel
    @MsangoDiesel 7 місяців тому

    Boss kuna namba umetoa napiga hupokei hata msg sijajua tatizo nini

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  7 місяців тому

      Karibu sana 0756-094875/ 0762 31 21 71 / 0745 25 26 70

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 7 місяців тому +1

    Ila kuhusu mapenzi dah! anyway ninaujasili wa kusema mzizi wa mapenzi kwangu uling'oka tangu nikiwa na 36year mpaka sasa namshukuru Mungu nina 46 cjawahi fikili kutamani tena kitu mapenzi au mahusiano ,nimegundua kitu mapenzi bora ni wewe mwenyewe kujipenda na kujikubali ,nilisoma kwenye biblia nafikili wimbo ulio bora imeandikwa kabisa usiyachokoze mapenzi mpaka yatakapoamua yenyewe.

  • @SilonMwakisunga-qz9xf
    @SilonMwakisunga-qz9xf 2 місяці тому

    AMEN 🙏 Mungu ni mwema sana