Mambo ya kuzingatia kabla ya kusema ndio;- 1. Tambua thamani yako 2. Usiseme ndio kwa kinywa chako mahali ambapo moyo wako unasema hapana 3. Usikimbizane na rika(peer pressure),nenda kwa speed yako mwenyewe,usifanye haraka 4. Usiruhusu hisia zako ziharibu maisha yako NB:'Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana ndiko zitokako chemchemi za uzima'
Ni kweli kabisa .Baada ya kuachwa na mtu nilikuwa nampenda nilipoteza mwelekeo kabisa wa maisha sikuwa natumaini tena. Nashukuru mungu nilibahatika kupata ebook yako ya Jinsi ya kupona na maumivu ya kuhisi ulikuwa mwanzo wa kubadilisha mtanzamo . Yalikuwa si maumivu ya kimapenzi tu nilikuwa namaumivu ya toka utotoni maisha niliyoyaishi lakini pia maumivu ya kunyanyaswa kazini . Shukrani sana 🙏🙏
Mimi ni muhanga wa mapenzi nilipata maumivu ya moyo mpk yakatokea kabisa physically Yan nyama za juu ya moyo zilikua zinauma sana ni kama moyo ulikua umejaa ni maumivu yasiyoelezeka nikaenda hospitali ila bado nikawa na maumivu hayo ila nilitafuta tafuta video za Joël nilikuta video moja inasema usinganganie mtu anayetaka kuondoka maisha mwako ilinitia sana moyo na kuinuka na maumivu yapo ila so kama mwanzo na pia nilinunua e book nikawa Bize na kujisomea saiv nashukuru Mungu sana nimebalikiwa maisha yanaenda so kama mwanzo ila yanaenda kwa namna yake ya kipekee nafurahia uwepo wangu apa duniani ushauli wangu kwako bro usiache hii kitu unaokoa watu wengi sana❤❤❤❤
Ukweli 💯 Mtupu haya mapenzi ndio yameleta vita Duniani hata mahali tunafanya kazi,ukichunguza unapata hata chuki vitina watu wanakufsnyia hata kazini unapata chanzo ni, mapenzi true chain..........................
Mie Kuna kitu kimeniokoa nilikuwa na waza kumpa mtu moyo wangu naona siyo sahihi kwangu Bora nijipende tu menyewe kunavitu umenifanya viniponye haki shukrani mungu akubariki afya njema
Ahsante sana kaka sikutarajia kama nitakuja kupata haya mafunzo kwa sababu sitaki maumivu niliyoyapataga mpaka ikafikia uamuzi nikataka nishindwe kufanya mtihani wangu wa mwisho😢😢😭😭
Niliwahi kupenda mtu mpk tukapata mtoto ila hakuwahi kunijali wala kunithamini kwenye maisha yake ila mtoto akafanyika baraka na kunifungulia milango mingi sana ila mpk sasa naogopa kupenda, nimeshamsahau nalea mtoto wangu hayupo kwenye akili moyo wala maisha yangu ila sijawahi kupenda tena wala kuingia kwenye mahusiano, Ee Mungu nisaidie nipate mtu sahihi atakayenipenda Mimi na mwanangu kama nitakavyompenda yeye
@@priscusaugust7251 Priscus August, ongeza sauti kidgo. Kiukwel kwa maisha ya sasa hakuna mtu wa kumpenda mtu na mwanae, na isitoshe mtoto atakuwa hyo kuna siku atamfata babake, so ni ngumu upate mwananume wa kuwapenda ivo. Kikubwa mtoto akifikia wakat wa kuish na baba, itakuwa rahis utafute mwanaume wa kukupenda wwe.
Kaka Joel barikiwa zaidi, mimi maumivu ya mapenzi yalinipa changamoto ilifika kipindi nilitamani kujiua,ila kwasasa nimepona ninapambania maisha yangu,nanimeamua kujipenda mapenzi kwa sasa hayana nafasi bado natafuta naamini ipo siku nitapata mwanaume sahihi
Ila kuhusu mapenzi dah! anyway ninaujasili wa kusema mzizi wa mapenzi kwangu uling'oka tangu nikiwa na 36year mpaka sasa namshukuru Mungu nina 46 cjawahi fikili kutamani tena kitu mapenzi au mahusiano ,nimegundua kitu mapenzi bora ni wewe mwenyewe kujipenda na kujikubali ,nilisoma kwenye biblia nafikili wimbo ulio bora imeandikwa kabisa usiyachokoze mapenzi mpaka yatakapoamua yenyewe.
Mambo ya kuzingatia kabla ya kusema ndio;-
1. Tambua thamani yako
2. Usiseme ndio kwa kinywa chako mahali ambapo moyo wako unasema hapana
3. Usikimbizane na rika(peer pressure),nenda kwa speed yako mwenyewe,usifanye haraka
4. Usiruhusu hisia zako ziharibu maisha yako
NB:'Linda moyo wako kuliko vyote ulindavyo maana ndiko zitokako chemchemi za uzima'
Ni kweli kabisa .Baada ya kuachwa na mtu nilikuwa nampenda nilipoteza mwelekeo kabisa wa maisha sikuwa natumaini tena. Nashukuru mungu nilibahatika kupata ebook yako ya Jinsi ya kupona na maumivu ya kuhisi ulikuwa mwanzo wa kubadilisha mtanzamo . Yalikuwa si maumivu ya kimapenzi tu nilikuwa namaumivu ya toka utotoni maisha niliyoyaishi lakini pia maumivu ya kunyanyaswa kazini . Shukrani sana 🙏🙏
Hongera sana kwa kufanikiwa kusimama tena🙏
Hicho kitabu kinapatikana wapi
Mimi ni muhanga wa mapenzi nilipata maumivu ya moyo mpk yakatokea kabisa physically Yan nyama za juu ya moyo zilikua zinauma sana ni kama moyo ulikua umejaa ni maumivu yasiyoelezeka nikaenda hospitali ila bado nikawa na maumivu hayo ila nilitafuta tafuta video za Joël nilikuta video moja inasema usinganganie mtu anayetaka kuondoka maisha mwako ilinitia sana moyo na kuinuka na maumivu yapo ila so kama mwanzo na pia nilinunua e book nikawa Bize na kujisomea saiv nashukuru Mungu sana nimebalikiwa maisha yanaenda so kama mwanzo ila yanaenda kwa namna yake ya kipekee nafurahia uwepo wangu apa duniani ushauli wangu kwako bro usiache hii kitu unaokoa watu wengi sana❤❤❤❤
@@joelnanauka ''????'
Kama huna Imani na Mungu usiingie kabisa kwenye mapenzi ni hatari mno 😢
Kabisa unaweza kufa imenikuta😢
Ukweli 💯 Mtupu haya mapenzi ndio yameleta vita Duniani hata mahali tunafanya kazi,ukichunguza unapata hata chuki vitina watu wanakufsnyia hata kazini unapata chanzo ni, mapenzi true chain..........................
Selection ya mpenzi kwenye maisha ya Binadamu yanasehem kubwa san
Mie Kuna kitu kimeniokoa nilikuwa na waza kumpa mtu moyo wangu naona siyo sahihi kwangu Bora nijipende tu menyewe kunavitu umenifanya viniponye haki shukrani mungu akubariki afya njema
,asante sana
Jamani nilikuwa nasubiri hii episode kwa hamu! Asante Joel
Hongera naaamini umejifunza
Ubarikiwe sanaa uishi miaka mingi sanaa
Ubarikiwe sana mwalimu.penzi nikitu kinacho kufanya uinuke ama uanghamiye amaubaki kiwete
Mapenz,yamekua yakiongoza dunia kwenye nyanja mbalimbali
Kweli moyo ni mdanganyifu, Mungu atusaidie nguvu za kuulinda. Barikiwa mwalm Mungu akutunze tuendelee kupona!
Ahsante sana kaka sikutarajia kama nitakuja kupata haya mafunzo kwa sababu sitaki maumivu niliyoyapataga mpaka ikafikia uamuzi nikataka nishindwe kufanya mtihani wangu wa mwisho😢😢😭😭
Pole sana
Asante sana kaka nimejifunza sana juu somo hili,yaan umegusa maisha yangu ninayopitia kwa kipindi hiki..ubarikiwe sana
AMEN 🙏 Mungu ni mwema sana
Thanks bro.. your biggest fan froma fb salma said.❤
Ahsante sana Brother Joel hakika nimejifunza mengi kutoka kwako
Muungu akubariki sana mkuu wangu mungu akupe nguvu zaidi
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili
Asante san kaka
Niliwahi kupenda mtu mpk tukapata mtoto ila hakuwahi kunijali wala kunithamini kwenye maisha yake ila mtoto akafanyika baraka na kunifungulia milango mingi sana ila mpk sasa naogopa kupenda, nimeshamsahau nalea mtoto wangu hayupo kwenye akili moyo wala maisha yangu ila sijawahi kupenda tena wala kuingia kwenye mahusiano, Ee Mungu nisaidie nipate mtu sahihi atakayenipenda Mimi na mwanangu kama nitakavyompenda yeye
Pole sana betric
Nan wa kukupenda wew na mwanao?
@@priscusaugust7251 atakayenipenda dear na sio lazima sababu nimeshamchagua mwanangu kama chaguo la kwanza hivyo hata asipopatikana Haina tatizo ndugu
@@samwelimwanja4105 ahsante ndugu
@@priscusaugust7251 Priscus August, ongeza sauti kidgo. Kiukwel kwa maisha ya sasa hakuna mtu wa kumpenda mtu na mwanae, na isitoshe mtoto atakuwa hyo kuna siku atamfata babake, so ni ngumu upate mwananume wa kuwapenda ivo. Kikubwa mtoto akifikia wakat wa kuish na baba, itakuwa rahis utafute mwanaume wa kukupenda wwe.
Hayaa ni zaidi ya maarifa
❤❤Joel Nanauka.❤❤❤Nakupenda sana❤unajua kufundisha❤Aisee Munqu akupe muda mrefu hapa dunian❤❤❤❤❤❤❤
Nondo hizi ✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨
Thank you brother JOEL
Ubarikiwe mno mtumishi ,japo hapo kwenye kumshirikisha mtu ni nje na mzazi au hata mzazi tu anatosha mshirikisha
Kweriii aise mapenzi hayana utani kabsa usisemee kwamba natembea naye tu basi baadaye inaweza kuktuse kabsa yan,,
Daaah episode hii nzuri sana
Nanauka kwenye line
Mr..top...haki ... doze yako...iko.. .sawa .... asante sana
Somo🙌🔥👏🏆
Asante sana Kaka JOEL
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
❤️🙏
Expensive pain bro😢 shukran kaka we from far😢😢😢😢
Be blessed brother J.nanauka
Amna kitu kigumu kama kupata mwenza sahihi kuishi ndoto zako na kupata rafiki sahihi
Kaka Joel barikiwa zaidi, mimi maumivu ya mapenzi yalinipa changamoto ilifika kipindi nilitamani kujiua,ila kwasasa nimepona ninapambania maisha yangu,nanimeamua kujipenda mapenzi kwa sasa hayana nafasi bado natafuta naamini ipo siku nitapata mwanaume sahihi
Pole sana dear
Nakuombbea upate alie sahihi
Ahsante kwa Elimu hii kaka
Ahsante kwa somo
Asante sana
Ubarikiwe Sana daima, ningeli penda sana nipata kuzungumza nawe kwenye WhatsApp kama itakupendeza lakini.
Ubarikiwe sana kaka Joel, hakuna kitu naogopa kama kusema ndio nikiwa sina uhakika. Yesu aendelee kukutunza.
Amen Rosada, ni kweli inahitaji muda🙏
Asant sna kwa darasan hil naomb uwek namna yakupony maumiv ya muda mref plz tlishafany makos tnatak kupiny mioyo yet ili tusj tkafany tna makos
Asante kwa somo ubarikiwe
Napitia wakati mgumu kwenye ndoa ya miezi mitano tu najuta kusema ndiyo kaka Joel
Pole sana, tafuta ushauri mapema. Unaweza kuongea na msimamizi wako au kiongozi wako wa imani kwa kuanzia
@@joelnanauka ahsante kaka
Mungu akubariki my Brother❤
Ameen Ameeen
Mungu akutunze na baraka zake ziwe juu yako Milele Amina
Ubarikiwe san
Kaka sisi tuliokwisha ingia sasa na kifungo cha ndoa ndio balaa sasa jinsi ya kutoka 😊
Asante sana mwlm.
Mm mtu akinisumbua kwenye mapenzi namrogaa kaka ndio michezo yangu hiyo
Asante kaka
Shukran joel ❤❤❤
Shukrani kaka ❤❤
Umetisha sana asante.ukweli mtupu. 4:01
😢😢😢 umeniponya Asante sana kaka Joel
Nashukuru kwa Mrejesho 🙏
Mungu awabariki Sana tena Sana
Ameen Ameen Ameen
Asante sana kaka joel nimejifunza kitu
Karibu tuendelee kujifunza🙏
Mimi mwenyewe tangu nilipokubali napitia mateso na nimepoteza thamani na kukata tamaa kabisa
Usikwahi kukata tamaaa!amka ufurahie tena,Wafilipi 4:4
Pole asee NAMI pia napitia IRA tusonge mbele
Pole sana lkn bado unayo nafasi
Pole sana
Noted.
Sijatoka bure
Shukran sana sana kaka Joel Allah akubariki
Nashukuru sana sana
@@joelnanaukaMm cna amani na mmewangu ambae tumezaa nae tumefunga ndoa lakin nimeishi nae bila amani mwaka1 uliopita je mm nifanyeje pastor
Absolutely 💯 💯 💯
Ubarikiwe Sana ujumbe huu ni mzuri Sana.🙏
Nashukuru sana tuendelee kujifunza
@jpoelnanauka please help me
Hasante sana kaka nimejifunza kitu ambacho skuwai kujua.
Hongera....Kila siku tunajifunza.😊
Shukrani sana, tuendelee kujifunza🙏
AHSANTE
More blessing
Ameen Ameen 🙏🙏
Ameenn
Uko na copy za vitabu kwa lugha ya Kiingereza?
🙏🏾🙏🏾
All in all Don't allow your emotion to destroy your life 😂😂😂
Kaka Joel sikuiz husem chochote kwenye komenti,,hulaik why?
Najitahidi ila kuna wakati nashindwa mambo yanakuwa mengi
Mapenzi ni kama gemu flani iv jmn mtu akishajua umemp3nda ndo anaanza kukufanya anavotaka
Acha tu aise
Boss kuna namba umetoa napiga hupokei hata msg sijajua tatizo nini
Karibu sana 0756-094875/ 0762 31 21 71 / 0745 25 26 70
Ila kuhusu mapenzi dah! anyway ninaujasili wa kusema mzizi wa mapenzi kwangu uling'oka tangu nikiwa na 36year mpaka sasa namshukuru Mungu nina 46 cjawahi fikili kutamani tena kitu mapenzi au mahusiano ,nimegundua kitu mapenzi bora ni wewe mwenyewe kujipenda na kujikubali ,nilisoma kwenye biblia nafikili wimbo ulio bora imeandikwa kabisa usiyachokoze mapenzi mpaka yatakapoamua yenyewe.
AMEN 🙏 Mungu ni mwema sana