Kiukweli leo nimepata kitu kipya,mimi hua nimtu wa huruma sana yani mimi kutoa pesa hua sioni tabu,kunamuda nanunua nguo au kitu bila kuwa na ratiba nanikinunua nikifika nyumbani nashangaa hakivutii ,nimekua nikidharau pesa ndogo ndogo kumbe napoteza vitu vya muhimu Asante @Joel Nanauka ❤❤
Wewe ni kocha wa kimataifa Mungu azidi kukutumia zaidi. Binafs ninajifunza mengi kila iitwapo leo. Elimu yako ni muhima sana kwangu najutia kuchewa kusoma mafunzo yako akini naamini Mungu atafanya jambo kwa wakati sahihi.
Hakika haya yote unayoyashauri kwetu endapo kama tutakuwa tunayafanyia kazi hakuna atakaeishi kwa kujutia hapa duniani.. Joel nanauka you are not only just a Life Coach you are beyond the limit... God bless you
Nikweli hata mimi nahitaji kufanya vitu vikubwa ila matumizi ni makubwa asannte sana mentor wangu brother joel I promiss this year nitafanya vitu vikubwa
Mim mwanangu nahisi anacho Iko kitu yani hawez kujizuia hisia zake kabisa yan Sasa nifanyeje?Yan akitaka chakula ndo ivyoivyo anataka iwe..Hana uvumilivu kabisa Yan..nimfanyeje? Kwamana Bado yupo mdogo kiasi..ebu nishauli kabla sijachelewa
Kama timu joel nanauka Like apaaaaa achana na vikundi visivyo na msingi 💰💰💰
Kiukweli leo nimepata kitu kipya,mimi hua nimtu wa huruma sana yani mimi kutoa pesa hua sioni tabu,kunamuda nanunua nguo au kitu bila kuwa na ratiba nanikinunua nikifika nyumbani nashangaa hakivutii ,nimekua nikidharau pesa ndogo ndogo kumbe napoteza vitu vya muhimu Asante @Joel Nanauka ❤❤
Upo Kama Mimi huruma jaman daah 😴🙌🙌
@@aboubakaribakari988 Kiukweli hii hali tuombe Mungu atusaidie
Hongera kwa kujifunza, fanyia kazi 🙏
@@shukranjulius9526Ameen
😊
Asante sana nitarudi na ushuhuda joel
My mentor stay blessed and see you at the top of Global public speakers ❤
Kuna watu wameletwa duniani kwajili ya kubadilisha watu . Nakushukuru sana masomo yamenibadilisha sanaa🙏
Ameen Ahsante sana🙏
Barikiwa sawa mwalimu , hapa unenifungua sana mungu anisaidie niishinde hali hii❤️🙏🙏🙏
Asante kwa masomo mazuri nakusikiliza Toka makongolos chunya
Wasalimie sana Makongolos Chunya
Wewe ni kocha wa kimataifa Mungu azidi kukutumia zaidi. Binafs ninajifunza mengi kila iitwapo leo. Elimu yako ni muhima sana kwangu najutia kuchewa kusoma mafunzo yako akini naamini Mungu atafanya jambo kwa wakati sahihi.
Hakika haya yote unayoyashauri kwetu endapo kama tutakuwa tunayafanyia kazi hakuna atakaeishi kwa kujutia hapa duniani.. Joel nanauka you are not only just a Life Coach you are beyond the limit... God bless you
Wewe ni kocha wangu, Mwalim wangu, na kaka yangu Kawa Baba yetu mmoja yaani Yesu Kristo, Mungu na azidi kukupeleka katika viwango vya kimataifa🙏💪💪
Ubarikiwe sana broo
Nimejifunza kitu mwalimu
Joel naomba uniambie Bei ya kitabu cha Money formula maana nakihitaji kweli
Ahsante sana
Nimejifunza asante 🙏🙏
Well said brother 💪🙏
🙏🙏🙏 àsante sana coach unazidi kubadili maisha yetu
Kwann asa hv utumii mfumo wa picha unatumia sauti tu
Kufanikiwa kwangu lazima kila ninachojifunza nakifanyia kazi barikiwa sana kakangu sijawahi acha kukusikiliza na kufuatilia unachofundisha....
Ameen, nashukuru kwa kuendelea kunifuatilia🙏🙏
Vivi ubuyu mtamu hapa
Ahsante my mentor
Naendelea kuimarika zaidi❤❤❤
Tuendelee kujifunza 🙏
Joel,nakushukuru sana, najiona kama nina deni kwako. Elimu hii kuipata just kuweka bundle naona unastahili zaidi.❤
Umesema ukweli mtupu.
Anastahili kufanyiwa muamala mara chachechache
Ameen, ahsante sana Rose 🙏
@@ImanMwakyeja-cw3tyNashukuru🙏
Joel ndo mentor ambaye tangu 2017 mpaka leo hajawahi nidisapoint
Kwakweli mimi pia toka nianze kumfatilia 2017 sijawahi juta
Nimejifunza kitu kikubwa sana kwenye hili somo kunavitu vingi natakiwa nijirekebishe mambo mengi
Nikweli mwalimu kile kidongha ndicho huzaa kikubwa.asantesana mwalimu munghu akuzidishiye
Kweli mkuu ujumbe umefika....mungu akujalie kwa maarifa hayo.🎉
Asante sana maan nimejifunza kitu maan nilikuwa moja wapo Asante san 🙏✍️👏
Asante
Mimi appetite ya Internet connection ,, 😂
Fanyia kazi🙏
Asante Mungu kupe maish marefu...Mentor wangu
Asante sana mwalimu nimeskia na nimejifunza
Hakika Joel unatufaa katika maarifa Mungu akubariki Sana see you at the top''
Ameen, See You At The Top🙏
Kaka Mungu akubariki sana kiukweli unafungua akili zangu kilasiku, naomba Mungu anisaidie niishinde hii hali
Mungu atusaidie tu
@@jozidasuperior7257 Kabisa yani
Ameen Ameen🙏
@@jozidasuperior7257🙏🙏
Be blessed my greatest mentor
Ameen 🙏
Ahsante sana kaka @joel
Wanaotaka kuonesha watu kuwa wamefanikiwa ni wengi kuliko wanaoishi maisha yao halisi😂😂😂,kweli nimeamini apendae mafundisho upenda maarifa.
Tuendelee kujifunza 🙏
Asante sana kaka kwa somo lako zuri barikiwa sana
Kaka Joel Nanauka❤❤❤
Asante nimejifunza
At the top we well see!. Umenipa mdomo bro .
Big brain nanauka
Ahsante sanaa🙏
Ubarikiwe Sana
Asante sana kaka
Asante sana kaka.
Thanks alot and be blessed
waw ❤
Thank you
Shukran kwa good presentation
NAWEZAJE KUPATA VITABU VYAKO?
🏆🏆🏆🏆
Morning speech ❤❤Ahsante sana
Tuendelee kujifunza🙏
ubaikiwe saaana👏👏
Ameen Ameen🙏
Asante Sana kwaushauri Mkubwa Mungu Akubariki Sana
Ameen Ameen🙏
Thanks
My best menter❤🙏
🙏🙏🙏
Ili darasa kubwa sana mwalimu,, ubarikiwe sana kaka Joel
Ameen, nisaidie kushare na wengine🙏
Sawa mwalimu
Nikweli hata mimi nahitaji kufanya vitu vikubwa ila matumizi ni makubwa asannte sana mentor wangu brother joel I promiss this year nitafanya vitu vikubwa
Kweli ndugu yangu, hii hali iko kwangu kunamuda nanunua kitu hata hakikua kwenye ratiba
Naamini utafanyia kazi🙏
Thanks sana Bro Barikiwa sana aise
Ameen Ameen 🙏
Thank you -from Kenya 🤞 crossed
Ahsante sana sana🙏
👏
❤
Duh bro umenena
Ameeen
So wonderful subject
Ahsante sana🙏
Mm nataka no nipate vitab vyako
Huyu ni Mimi kapisa ninaacha sasa😢😢😢
Nasubiria ushuhuda utakapoacha🙏
ubaliki we e
Mim mwanangu nahisi anacho Iko kitu yani hawez kujizuia hisia zake kabisa yan Sasa nifanyeje?Yan akitaka chakula ndo ivyoivyo anataka iwe..Hana uvumilivu kabisa Yan..nimfanyeje? Kwamana Bado yupo mdogo kiasi..ebu nishauli kabla sijachelewa
Asante