ONGEZA KIPATO KWA KUFANYA BIASHARA HIZI 5 ZITAKAZOKULIPA VIZURI KWA MTAJI WA KUANZIA ELFU 50 TU.
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- Kununua Vitabu vyangu vya Ushauri wa Maisha
1. Thubutu Kufanikiwa - 10,000
2. Mwanamke wa Thamani - 10,000
3. Siri za Kuishi Maisha ya Furaha - 15,000
Piga simu namba 0687786576.
Thanks,Mungu akubariki kwa elimu kwa uma. Keep on doing it!
Thank you dear ❤️
Thanks so much kwakunifungulia dunia kwa mawazo konki kabisa kilicho baki ni kazikwangu kuchukua hatua yani ni Mungu tu nilikua napita tu youtube sahivi ndiyo nikaona hili somo japo ulifundisha siku nyingi miezi 7 imepita Ila sihaba nimepata kitu ubarikiwe mno dada angu yani mh sijui nisemaje kwakweli be blessed indeed
Amina mpendwa. Ubarikiwe pia na Mwenyezi Mungu akufanikishe katika mipango yako.
Dada ubarikiwe sana kwa ubunifu wako na maarifa yako
Asante sana nimejifunza sasa nikuingia kwenye utekelezaji tu barikiwa sana mama
Amina dear, ubarikiwe pia.
Asante sana dadangu nmejifunza kitu kwa kupitia maelezo yako barkiwa sana🎉
Amina, asante sana ubarikiwe pia 🙏🏾
Mungu akutunze dada SoMo lako nizur naomba unifundishe jinsi yakutumia mtandao kibiashara❤
Wasiliana nami kwa namba 0687786576.
Asante sana dada kwa yshUri wake nitaufNuia kszi
karibu sana.
Umeongea vizuri sana mama💕 asante sana
@@nassoroally8473 asante dear.
Umenitia moyo sana dada angu nataman kuelekezwa jinsi ya kutumia mtandao kupost biashara msaada jamn
La kwanza, ujue unataka kuwa unapost nini hasa au bidhaa gani, kisha unaweka maelezo ya bidhaa yako, mahali inapopatikana, bei na mawasiliano yako. Ni muhimu uwe unapost kila siku na kubuni njia za kutengeneza maudhui yatakayovutia wateja wako.
Nimekupenda sana kwa utoaji wa Elimu hiyo nzuri..
Asante dear, karibu
@@annaclaireshija Asante kwa elimu
Ubarikiwe dada nimependa ushauri wako,umeongea kweli
Asante dear.
Asante sana umenifungua na umenipa nguvu
Ubarikiwe mamii. Asante sana ❤️
Asante sana dada mungu akubariki nimejifu za kitu
Amina dear 🙏🏾 Ubarikiwe.
Asante Kwa ushauli wako mzur❤❤
Karibu sana.
Asante dada kwa SoMo zuri
@@SityLuu Karibu sana. Unaweza pia kupata Vitabu vyenye mafunzo mbalimbali ambayo yatakusaidia kujipatia maendeleo 0687786576.
Asante dada nimekuelewa sana
Karibu sana.
Asante Sana ume nifundisha kitu hapo nime kuelewa
Karibu sana my dear.
Asante dada vp kuhus biashar ya vikapu
Ni nzuri tu mpendwa hasa ukizingatia sasa hivi matumizi ya mifuko ya plastic hayaruhusiwi.
Nimekuelewa sana mamaangu kipenzi Naomba uendelee kutupa seminar usichoke tafadhali.
Asante dear. Nitaendelea.
Asante Sana mama waeleweshe
Nashukuru 🙏🏾
Ubarikiwe sana mpendwa kwa kutuelim8sha
Akina dear, ubarikiwe pia kwa kutazama.
Asante kwa elim ya biashsra
karibu sana dear.
Asante Kwa ushauri dada
@@EmmanuelChinguile-t7x Karibu sana.
thanks so much mom nmeamua kitu sasa
hongera na karibu sana.
Elimu nzuri sana tafadhari mimi nimependa hasa kipengere Cha mitumba na matangazo ya biashara kupitia mtandao. So naomba kujua namna gani naweza kupata faida kupitia matangazo ya kibiashara hasa ktk kutangaza biashara ya mtu mwingine?
Asante nashukuru, matangazo ya watu wengine wanakulipa kuwatangazia biashara zao.
Asante sana. Inaelimisha sana
karibu sana dear 👍🏾
Ahsante sana dada Kwa elimu hii
karibu sana dear.
Thanks dear ❤
you are welcome ❤️
Shukran dada❤
karibu sana.
Asante sana
@@Neemaa098-yf9os Karibu dear.
Asante sana dada
karibu sana dear.
Ubarikiwe dada ❤
Amina mpendwa 🙏🏾
Asant San mung akubarik saaan
@@YongVanny-p2x Amina dear, Ubarikiwe pia.
Asant dada yangu kwa kutupa uwa kuhusu mahisha sijuw niseme nini bari mungu akuzidishiy Baraka
Amina my dia. Ubarikiwe sana.
Niko uk maneno yako no mazuri
@@peterkananda7699 Asante sana na karibu
Niko kenya dada nimependa sana maelezo yako mungu akubariki
Amina kipenzi. Karibu sana.
asnteee mama angu
@@EsterSamweli-h1n karibu dear ❤️
Dada nimeona komenti zawatu wewe mkuru gezi wasame sijajua samemashariki au nmependa ushauri wako❤
Lovely
❤️❤️❤️ thank you.
nimependa point ya chakula
Asante mamii.
Mm napenda biashara ya vinywaji nina mtaji wa 200000naomba ushari
Penda sana dada asante kwa elimu yako
Asante dear. Ubarikiwe.
Asante
Karibu sana.
❤❤
❤️❤️
Barikiwa Anna
Amina, tubarikiwe sote dear.
Safiiii goood canceling
Dada me namtaji wa elfu 700000 natamani kuuza pochi naomba nishauli
Jiunge na Darasa langu la namna ya kuagiza bidhaa China kwa Ada ya elfu 30 tu ili uweze kuagiza mwenyewe na kuanza biashara yako. Namba yangu 0687786576.
MUNGU akutunze mamy usiache kutufundisha
Amina dear. Asante sana.
Nisaidie namb yako dad
@@OmaryMayeye 0687786576.
Dada mimi niko burundi ila nimependa sana
Asante sana na karibu.
❤🎉
❤️
Ubalikiwe kwasomo zuli
Amina dear 🙏🏾
TUKO pamoja
Asante dear ❤️
❤❤🙏
❤️
Nakupenda sana dada yangu
@@annaclaireshijaje nikiuza viazi itanilipa au😂😂😂😂
Dada mm mtaji wangu 1200000 napenda sana piashara ya pafumes naomba ushauri wako jinsi ya kuifanya
Mtaji mkubwa sana huo. Karibu nikufundishe namna ya kuagiza perfume kutoka viwandani China na jinsi ya kusafirisha. Utalipia Ada ya elfu 25 na Kitabu changu kinachoelekeza mambo haya bure.
@@annaclaireshija sawa
Penda sana video yako
Asante sana na karibu.
Hbar mi mfanya biashara nauza duka la rejareja lakini kila kukicha msingi wangu unakata nifanye nin ili niweze kufanikiwa
❤❤
❤️❤️
Hamjambo,
Mimi kikweli nipo ulaya na mtaji wangu sio mdogo, naona ki kweli nipo na uwezo mkubwa. Nahitaji kufanya Biashara ya REAL ESTATE TANZANIA ila sijui nianziye wapi...
Naomba sana usaidizi...
Shukran
😅
tuwasiliane niko tarime Mara kwa rel estate hapa ardhi ipo na kilimo cha mahindi misimu miwili na soko zuri kwa nchi ya Kenya na South Sudan
Ujenzi wa nyumba na kupangisha au kuuza soko lipo tuko mpakani soko lipo
vile vile ununuzi wa dhahabu kutoka kwa wachimbaji wadogo waliowengi hapa
Mzee karibu Tz sisi tupo Mzee uwezo na uhaminifu ktk Biashara ninao na najihamini kwa Hilo japo Sina wakunibusti tuwasiliane napatikana Tanzania Bukoba Kagera
Aridhi ya kilimo Cha parachichi ninayo karibu Sana
Napenda kufanya biashara ila Sina msiñgi
Dada ubalikiwe sana kwa somo zur.mim nilikuwa naomba unisaidie kitu mim nimeajiliwa duka la vinywaj jumla.naenda kazin saa mbil asubh nalud saa mbil usiku.naomba unisaidie naweza nkafanya biashala gan mpendwa.ambayo inafaa kuanzishwa kwa mtaj waelf 50
@@NeliaAmbele Amina dear, karibu tuwasiliane 0687786576.
🙏♥️somo nzuri dada ,ubarikiwe! wengi wataelimika na kujikomboa kiuchumi kupitia wewe👏
Amina dear, tubarikiwe sote ❤️
Asante dada kwa ushaur mungu akuzidishie kwa kila jambo
@@Zuwenamuhammedy Amina, karibu sana.
Mungu akubariki kwa kazi na elimu unayo saidia vijana wenye nia yakutafuta na kujituma kupata kipato halali
Amina, ubarikiwe sana.
Dada nimekuelewa, lakini umezungumzia kwa watu walioko mjini tu, je kwa walioko vijijini?
Asante sana Mimi nitaanza na mitumba ya akina mama na icessories. Nitatangaza mtandaoni, haviozi nitauza, ubarikiwe
Sawa dear. Hongera sana kwa maamuzi.
Nashukulu dada maana nilikua nafikilia nini cha kufanya
@@TriviaEliuter karibu sana dear ❤️
Asante sana dada Mungu akubariki sana
Amina, tubarikiwe sote.
Ubarikiwe sana kwa ujumla umetoa somo zuri msingi wa mafanikio nimependa sana somo lako.
Amina, asante sana. Ubarikiwe pia.
Watsap mama mbona natuma meseji hunijibuu
Hujatuma.
Mama nimeamua kukusabscraibu
Asante sana mpendwa. Karibu.
Dada nashukur kwa somo zur
@@Ipyana-g6d karibu dear.
Madam nauuliza vp kuhsu biashara ya kuuza mayai maeneo ya chuoni
Kwanini mayai na sio kitu kingine? Yanapendwa sana Chuo au?
@@annaclaireshija ni idea tu ilinijia kichwani kwani kuna malecture na vibanda migahawa inayouza chipsi wanaweza kuorder
Nimejifunza kitu Asante
Karibu sana.
Yaan ww Dada una mawazo mazuri ya Ujasiriamali🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Asante sana na karibu.
Nikwer dada umenikosha apo kwenye kupika dada mungu akubaliki sanaaa
@@RahmaBeby-i9v amina dear ❤️ kila la heri.
Naomba no yako dada yangu
0687786576.
Unapatikana wapi dada mimi naitaji izo bidaa
Dar es salaam. 0687786576.
Me pia napenda kufanya biashara
@@saidomar9845 jambo jema 👍🏾👍🏾
Ubarikiwe sana, Mungu azidi kukutumia kufungua watu kimawazo
Amina dear, Asante sana.
Magande ni nini mimi mkenya sijui@@annaclaireshija
Asante sana kwa elimu Bure wewe ni wa maana kulikoni wanaojitahidi kusema uongo
Amina mpendwa, nashukuru.
Asante sana dada kwa somo zuri
Nashukuru 🙏🏾👍🏾
Mungu awe pamoja nawe
Ubarikiwe San dad
Amina, tubarikiwe sote dear.
Hongera sana dogo kwa exposure nzuri sana big up sana ❤❤
Barikiwe dada yangu
Amina Amina tubarikiwe sote.
Ubalikiwe dada Kwa elim uliyo itoa itatusaidia wengi hasante
Amina dear. Ubarikiwe.
Safi sana
Asante 🙏🏾
Asante dada kwa mafunzo mazuri
@@saidomar9845 Asante sana 🙏🏾
Naomba namba yako plz
0687786576.
Asnte sana mama kwa biashala ya chakula nimeipenda sanaaa
@@LucyChistopha asante kushukuru dear.
Ahsante sana dada mungu akubariki kwa ushauri mzuri
@@HappyMathias-f1d Amina dear. Ubarikiwe pia.
Madam ahsant san mommy kwa elimu yak nmepend sana naitwa samwel marembo manyasi npo mwanza
Asante sana na karibu.
Asante kwa Elim mungu akulinde
@@AnethKanza Amina dear 🙏🏾
I like
youa re welcome 👍🏾
Nimependa sana ,na nimejifunza kitu ubalikiwe
Asante sana dear.
Ubarikiwe sana❤❤❤
@@ShabaniDavidi Amina dear 🙏🏾🙏🏾
Dada niko mtwara nataka nifanye biashara ila sijui nifanye biashara gan
Nimekuelewa sana Mungu akubless
@@Paschalbalashishi-je8wm Amina, asante 🙏🏾
Naomba namba yako dada yangu. Nimependa ushaur wako nataman kujua mengi zaid
0687786576 karibu.
Ubarikiwe sana dada. Nimekupenda, Mungu akubariki sana
@@zuhurayusuph901 amina dear, ubarikiwe pia.
Ni mshauri mzuri
@@ElindaKadege Asante sana 🙏🏾
Safe sana, darasa nzuri, endelea kuelimisha jamii, nimeipenda.
Asante mpendwa. Ubarikiwe.
Ubarikiwe Sana kipenzi
❤❤
Ubarikiwe!
Asante mum wewe ni super woman ushauri wako umenijenga kiimani na kifikra pia💕😘
Asante sana dear.
ubarkiwe kwaushqur mzur Mungu akubarki sana nimeguswa nanitqyafanyia kazi
Amina dear, ubarikiwe pia.
Nimekuelewa mama mjasiriamali nimefurahishwa sana na mawazo yako
Asante sana na karibu.
Asante ubarikiwe dada
Amina mpendwa.