kaka nakukubali sana ushauri wako umenitoa sehem moja kwenda nyingine kupitia mawaz yako nilitoka kijijna elfu tano now nina milik mtaji wa laki 3 na smart pia na gheto bomba kabsa mungu akubaliki
Bro Joel umenibadilisha sana katika maisha yangu NIMEANZA kukufuatilia 2020 nimejifuza mengi mazuri kwenye video zako na kwenye vitabu vyako , Kwa kweli Mungu akubariki sana, umetuelimisha sana katika maisha yetu wengi tunajivunia Wewe . Ubarikiwe sana🙏🙏
Naaam mwalim ni kweli aisee naa nikwambie maneno yako yananisaidia sana kwenye ushauli wa wadogo zangu waliopo shule nawaambiaga kila siku nawapa amasa ya kusoma aisee!! Kwamaana nyingine ni kupuuza kijana ukishajitambua ukawa na akili ya kujitaftia lisiki unatambua ni wapi unaweza kupitia namaanisha ukatambua mzuri, mbaya wako msaidizi wako n.k asante sana mwalim joel mungu akubaliki❤🙏
Barikiwa san kak unatoa elimu kubwa sana na najifunza mamb meng xan kutok kwako hakik umekuw n mentor bora kwang.....Nawezaje kupata vitabu vyako hasa cha 1.Timiza malengo yako 2. Ishi ndoto yako
Nimekuwa nikiwavuilia sana watu na kuwajali,nimeishia kuumìzwa,sasa basi nilishaamua kuwatoa wote kwenye maisha yangu,na sasa nimesimama na Mungu basi.mtu anakupigia simu,nipikie chakula nakuja,unapika huoni mtu na hakwambii samahani pumbav sana😅😅😅
Shukrani kiongozi, ila nilikuwa na shwali unipe ushauri kaka kuna watu wasio jiweza kila wiki Nina wapaga musaada sasa ningeli hitaji unipe mwelekezo namuna ya kuishi nao katika kuwa saidia
Ahsante Sana Mr Joel nanauka Video zako zinanimalizia bando sana napostigi sana huku Status na Wadau wanakuelewa vzr sana But Mm nilikuwa naombi hivi kama kuna uwezekano wa mm kuongea na wewe Mr Joel Nanauka.. mm nipo Zanzibar
Actually nimegundua hata sisi watazamaji wako tunakuchukulia poa sababu muda wote upo unapatikana na contents zako zipo muda wowote, so hatutilii maanani ohooo . Daaah sawa
kaka nakukubali sana ushauri wako umenitoa sehem moja kwenda nyingine kupitia mawaz yako nilitoka kijijna elfu tano now nina milik mtaji wa laki 3 na smart pia na gheto bomba kabsa mungu akubaliki
U made it bro
Lightness
That's is fact 😢
Big up bro Kwa elimu yako nakufuatilia nikiwa lamu nakupenda sana bro
Bro Joel hii ni zaidi ya huduma..,Kila siku nimekua nikipata utajili wa maarifaa MUNGU akubariki sana🙏
MUNGU azidi kutufunua zaidi ya hapa 🙏
Mungu azidi kukuongezea miaka mingi hapa duniani.
Najivunia kua miongon mwa mwanafunz wako mungu akujalie maisha malefu
broo nakukubali
Bro Joel umenibadilisha sana katika maisha yangu NIMEANZA kukufuatilia 2020 nimejifuza mengi mazuri kwenye video zako na kwenye vitabu vyako , Kwa kweli Mungu akubariki sana, umetuelimisha sana katika maisha yetu wengi tunajivunia Wewe . Ubarikiwe sana🙏🙏
Wanisadia sana kwa hii elumu yako ninyayopita'Mungu akzudiahie
thanks bro for your education ,you make me feel blue
Ahsante sana kwa kuendelea kuni'alert' Pr Joel. Mungu Aendelee kukutumia.
Naaam mwalim ni kweli aisee naa nikwambie maneno yako yananisaidia sana kwenye ushauli wa wadogo zangu waliopo shule nawaambiaga kila siku nawapa amasa ya kusoma aisee!! Kwamaana nyingine ni kupuuza kijana ukishajitambua ukawa na akili ya kujitaftia lisiki unatambua ni wapi unaweza kupitia namaanisha ukatambua mzuri, mbaya wako msaidizi wako n.k asante sana mwalim joel mungu akubaliki❤🙏
Yani tokea nianze kuku fatilia 2022 maisha yangu umenibadilisha sana kiongoz ubalikiwe sana
Inauma sana kuna muda unataman hata uondolewe hisia aiseeeeee inaumiza sanaaa
ASANTE SANA MWALIM JOEL NIMEPATA KITU KIPYA LEO KUTOKA KWAKO MUNGU AKUBARIKI SANA.
Asante sana mtumishi Umekuwa Baraka sana kwangu na kwa wengine kila siku Tunajifuza , pia nimejifuza katika hili Asante
Mungu akubariki sana. Kwa sasa wapo wawili wanaonisaidia hapa duniani. Yupo Mungu na wewe.
Unaongeya kweli kabisa. Mungu Aulinde.
Hakika somo hili limenigusa sana ma brother be blessed
Daah! Huu ujumbe umenifikia kwa wakati sahihi sana kama vile umejua hali ninayoipitia kwa sasa. Asante sana Kaka @Joel Nanauka
Mungu akuzidishie Mafunuo brother shule yako mitian yangu matokeo yanatia moyo
Barikiwa san kak unatoa elimu kubwa sana na najifunza mamb meng xan kutok kwako hakik umekuw n mentor bora kwang.....Nawezaje kupata vitabu vyako hasa cha 1.Timiza malengo yako 2. Ishi ndoto yako
Asante sana mwalimu naendelea kujifunza .amen
Nimekuwa nikiwavuilia sana watu na kuwajali,nimeishia kuumìzwa,sasa basi nilishaamua kuwatoa wote kwenye maisha yangu,na sasa nimesimama na Mungu basi.mtu anakupigia simu,nipikie chakula nakuja,unapika huoni mtu na hakwambii samahani pumbav sana😅😅😅
Heshima yako bro,,
Hiyo jambo upo sawa kabisa hata mimi nipo hivyo ninaweza vumilia sana ila nikiamua kubwaga manyanga huwa siangalii upoje kwangu
Umenipa kituuuuuu...🤝🤝
Hongera sana kwa somo hili. Lina nguvu sana..
Brother nmetokea kuelewa sana somo lako
Daaaah hii ndo situation napitia Tena kwa mtu wa karibu sanaaa daaaah thnx kwa somo hili
bro mungu akupe maisha uundelee kuelimisha watu
Mungu aendelee kukuinua, Najifunza mengi sana kwako.
Asante sana ni hakika sana
Asante sana, nimejifunza kitu kikubwa sana. Ukiwapa watu vitu vya bure sana wanakuchukulia poa
Daaah😢 hii imenigusa sana kaka
🙏🙏 Shukran sana acha nijikague nianze na mm mwenyewe kujirekebisha
Asante Joel nimejifunza
Nashukuru sana ❤❤
Mm binafsi umenivusha mahalo mungu akubariki sana
Asante baba nimeongeza jambo jipya kwenye Maisha yangu
Shukrani kiongozi, ila nilikuwa na shwali unipe ushauri kaka kuna watu wasio jiweza kila wiki Nina wapaga musaada sasa ningeli hitaji unipe mwelekezo namuna ya kuishi nao katika kuwa saidia
Naendelea kujifunza, Ahsante sana Mwalimu kwa kunizungumzia.
Asante kaka Joel leo nimejifunza kitu,maana yamenikuta.na video imekuja kwa wakati
Ahsante sana, hili ni zaidi ya Darasa
Nimejifunza kitu ahsante saana kaka joel❤
Great man of God 🔥🔥🔥
Amina kweli kabisa mimi yamenikuta
Uko vzr
Naam Mungu akubariki kwa ajili ya wengine wote nasisi sote katika HUDUMA hii
asante sana kiongozi wangu
Ni kweli kabisaaa kiongozi
Exactly ukitoa vya bure sana wnakchkulia poa
Kwel kabisa yamenikuta piah,,,
Daaah umenigusa kwakweli 🙏🙏🙏🙏 napenda kujibebesha mizigo ya watu adi wanafika stage wananichukulia powa
We acha tu
Mungu akubariki Kaka
Ubarikiwe sana brother mimi nmewahi kupitia hapa
Asante bro
Ukweliii mtupuuu huu mentor 🙏 more thanks 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kaka mngu akabaliki ishi mda mwingi tuzidi kujifunza kupitia wew
Asante.
Duuh nimejifinza sana
Nakukubali sana. Mungu akubariki sana
Asante sana kaka Joel mungu akutunze
Thanks boss🎉🎉
Dedicated to you my best coach
Asante kwa hili.....
shukran brother kwa ujumbe🙏
Asanteee sana kaka
Asante xana kaka munguakubariki
Appreciate
❤Ujumbe mzuri huo
Asante sana 🎉
Shukran joel❤❤❤
Kuanzia leo nazima data kwenye kichwa changu ili nithaminiwe nimekuelewa teacher 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mm pia kipenz yan sitasikiliza la mtu tena
exclusive ❤❤❤❤❤❤
Good speech
Ahsante Sana Mr Joel nanauka Video zako zinanimalizia bando sana napostigi sana huku Status na Wadau wanakuelewa vzr sana
But Mm nilikuwa naombi hivi kama kuna uwezekano wa mm kuongea na wewe Mr Joel Nanauka.. mm nipo Zanzibar
Unyama san
Ahsante sana
KAKA MUNGU AKUBARIKI SANA
Hapo kweri
Jmn yamenikutaa saaaana mi
Life wisdom series
Rolemodal forever💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊💊
Mm yamenikuta tena kwa ndugu wakaribu Yani nimeanza kulia upya
We achabtu ndugu yangu ! Yamenikuta kwa ndugu zangu ndugu zanguuuù.uwiii jamani
Joel nanauka 📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌
Good
🔥🔥🔥🔥
Naomb namb yako y sm tafadhal
Brooo joel vitabu vyako naweza pataje
Tuko pamoja kaka
Kwa kweli wewe ni kiumbe Muhimu.
"Elimu ni chakula pekee cha akili."
👏👏💪🎉🙏
Najivunia MUNGU aliyekusimamisha leo ufundishe hili u
Ni kweli kabisa unachosem bro tujifunze tusipende kuwachukulia watu poa n tujiepushe n kuchuliw poa na tujaliane pia✍️✍️✍️✍️✍️
🙏🙏
🙌🤝
I wish ningekuwa Tz ningekuja jamani
❤❤
Nina 2 months tangu nikujuwe ila umenibadilisha sana
💪
Kaka joel mindset watu wa sigma inaezabadilishwa aje
Mazoe
Actually nimegundua hata sisi watazamaji wako tunakuchukulia poa sababu muda wote upo unapatikana na contents zako zipo muda wowote, so hatutilii maanani ohooo . Daaah sawa