Habari ya asubuhi mchana na jioni ikitegemea unasoma comment hii mda gani. Pitia Video yangu itakayokufanya uone upande wa pili wa sarafu ambayo hukuwahi kuonyeshwa. Much love uwe na siku njema
Yaani Kwa mtu anayepambana hapa lazima anukuu kitu ila Kwa mtu eankawaida hanaweza kuona kama anaongea tu. Ila namshukuru sana ananipa Nguvu katika maisha
Mr Joel am running to be at the top am humbly waiting that video sijawahi kosa video yako hata Halafu kuna kitabu nilikutafta nikakutumia whatsapp unisaidie kunielekeza kitu since mwaka jana hujanijibu kaka joel please naomba unifanyie hvyo
Sina Cha kukulipa bro MUNGU AZIDI KUKUBARIKI. Masomo Yako yamenifanya nikue sana kibiashara. Na nimeajiri vijana wengi na tunakuwa Kwa Kasi, yoote haya nimeyafanikisha under 40yrs.
kaka nashukulu sana kaka mungu akubalik akuongeze maalifa zaidi asante
Ahsntee sanaa Kakangu Joely Joely Mungu akubariki sanaaaa 🙏🙏🙏🔥
Hakika wewe ni mwalimu 🙏🙏🙏
Bravo Joel, I am learning a lot from you on daily basis. Blessings Always❤
Habari ya asubuhi mchana na jioni ikitegemea unasoma comment hii mda gani. Pitia Video yangu itakayokufanya uone upande wa pili wa sarafu ambayo hukuwahi kuonyeshwa. Much love uwe na siku njema
Inaitwa aje kiongozi
@@user-bx7zk7to8k Pitia UA-cam yangu kwa jina la Festamir
Yaani Kwa mtu anayepambana hapa lazima anukuu kitu ila Kwa mtu eankawaida hanaweza kuona kama anaongea tu. Ila namshukuru sana ananipa Nguvu katika maisha
Mr Joel am running to be at the top am humbly waiting that video sijawahi kosa video yako hata
Halafu kuna kitabu nilikutafta nikakutumia whatsapp unisaidie kunielekeza kitu since mwaka jana hujanijibu kaka joel please naomba unifanyie hvyo
Nmejifunza kitu ahsante 😊
Kaka Joel ili somo kubwa sana,,Mungu aendelee kukubariki wakati wote.
Ubarikiwe kaka unanifungua sana❤❤❤
somo zurii hilii🙏💯
Mungu akubariki sana nimeanza kukusikiliza na kukufuatilia mwaka huu ila unanielimishaa sana
Tupo wengi
@@realemma2312 tuendelee kujifunza
Thanks you
Appreciate
Nimejifinza
🎉
Nimejifunzs
Nimejifunza mwalimu
Nakukubal bro
Ahsante
🎉🎉🎉
Kweli mwalimu marafiki kwabiashara nisumu na watu wafamilia .kwaujumula uliyoyasema niyaukweli
❤
💯🙏
Sina Cha kukulipa bro MUNGU AZIDI KUKUBARIKI. Masomo Yako yamenifanya nikue sana kibiashara. Na nimeajiri vijana wengi na tunakuwa Kwa Kasi, yoote haya nimeyafanikisha under 40yrs.
Sarut..mkuu
Asante kaka.Swali langu je,ninauwezowa kutengeneza biashara eneo moja kwa wakat mmoja katika eneo moja?