Ndugu mtangazaji, nafikiri hiri swala la sintoelewa kati ya Congo na Rwanda ni DRC kutotiria maanani kujua historia na geographia , aitha kwa kupuuzia au kutofahamu. Wa Congoman wanaozungumza kinyarwanda wamekuwa DRC kwa sababu ya ukoroni kukata mipaka myaka ya 1895 na 1905
Mzozo Huu hautaisha kwasababu hata wa tangazaji hamutaki Ku sema ukweli.tatizo ni KAGAME anatumikishwa Na wazungu ili wapore Mali ya mashariki mwa Congo bila kulipa Kodi.
Mbona hatujasikia Tanzania na Kenya wanazozana kwa sababu ya makabila ya Masai na waluo waliopo pande zote mbili au wasomali waliopo Kenya na Somalia n.k nafikiri DRC inapuuzia makusudi. M23 wanahaki wanayo pigania
Ni kwasababu tutsi elites, hasa, ya Rwanda, ilikubali kua mercenaries wa ma beberu katika strategies za kudhoofisha Congo, ili isiwe ngumu kuibia mali ya madini na vingine. M23, CNDP, RCD, FRF, Gumino, etc vyote ni vikundi vinavyo undwa na Rwanda, huku Rwanda nayo ikisapotiwa na kampuni za ma beberu wa marekani, uingereza, and so on ili kudhoofisha Congo na kujipenyeza katika jeshi na vyombo vya serikali ya Congo.
Tatizo ni Mali tu hakuna ugomvi hapo wenyewe wanajua. Mwambieni Kagame amalize huyo. Uhuru Kenyatta amemaliza mda bado museveni. Ni uroho tu hakuna vita hapo
Raia wanaozungumza kinyarwanda, kwa hari hiyo hiyo ya mipaka iriyo wekwa na wakoroni bila kujari aridhi ya asili ,utakuta wanaozungumza kinyarwanda huko Uganda sehemu za kisoro na Ankole. Mbona Uganda inawatambua kama waganda wenye asili ya Rwanda
nyinyi wachambuzi acheni kumumunya maneno sehemu kuna ukweli usemwe sio kudanganya raia mzee wetu nimchokozi hana mfano lakuiga huwezi mlinganisha na nyerere, lumumba, toma sakara, Mandela, anaungozi wakufitinisha watu akifariki kabila lake itaonyeshewa vidolo kila pepe zafrica, alikorofiana na Tanzania tena burundi na uganda mwisho congo, hiyo historia anataka kuandikisha Africa eti yeye ni mbabe asisahau kifo, mobutu yuko wapi albhashir yuko wapi kadhafi yuko wapi ni wengineo wazungu wakisha kutumikisha wanakutapika.
Mtachoka na vita tu,wa congomani hawana watusi,watusi wako rwanda,Rwanda, burundi,uganda,Uganda, wagomani ni wengi nawapendana sana,nahayo makundi yameundwa na Familia ya kabila mzee mtoto ,
Wasio juwa ukweli kuusu hali ilioko huko mashariki mwa Kongo. Swali nchi gani ya Afrika mashariki ambayo Paul Kagame wa Rwanda haja zozana nayo? Rwanda imekuwa na ugomvi na Tanzania kwa awamu ya 4 KIKWETE. Rwanda na Uganda ugomvi, Rwanda ugomvi na Burundi, nchi ambayo haijawai kuwa na mgogoro na Rwanda ni Kenya na Sudan ya kusini. Ukweli Paul Kagame anatatizo.
wewe ndo ungeulizwa hiyo swali kwanini mzozo unaendelea, mi sipendi kuona watu wanakuwa madui na lakini kwakila moyo mwawatu sio vizuri mzee wetu kagame asisahau kuna kifo.
Mzee you are missing the most important points. You have a small brain. Rwanda hata awasaidie hawawezi kamata Congo sababu Congo ni ya wa Congo na siyo ya wanyarwanda
Ndugu mtangazaji, nafikiri hiri swala la sintoelewa kati ya Congo na Rwanda ni DRC kutotiria maanani kujua historia na geographia , aitha kwa kupuuzia au kutofahamu. Wa Congoman wanaozungumza kinyarwanda wamekuwa DRC kwa sababu ya ukoroni kukata mipaka myaka ya 1895 na 1905
Wanapenda tu vitu vya wizi ya Mali ya congo,kagame ni mwizi
Mzozo Huu hautaisha kwasababu hata wa tangazaji hamutaki Ku sema ukweli.tatizo ni KAGAME anatumikishwa Na wazungu ili wapore Mali ya mashariki mwa Congo bila kulipa Kodi.
Nje ya hayo madini....haki ya watusi wa Congo kila kukicha wanaonekana si wa Congo je haki yao ya uraia unaiweka wapi
Wakongo hawawatengi watusi tatizo ni kwamba kupitia hao kagame na mabeberu wanashambulia nakuiba madini.
Mbona hatujasikia Tanzania na Kenya wanazozana kwa sababu ya makabila ya Masai na waluo waliopo pande zote mbili au wasomali waliopo Kenya na Somalia n.k nafikiri DRC inapuuzia makusudi. M23 wanahaki wanayo pigania
Tanzania na kenya tunajielewa ndomana atugombani
Ni kwasababu tutsi elites, hasa, ya Rwanda, ilikubali kua mercenaries wa ma beberu katika strategies za kudhoofisha Congo, ili isiwe ngumu kuibia mali ya madini na vingine.
M23, CNDP, RCD, FRF, Gumino, etc vyote ni vikundi vinavyo undwa na Rwanda, huku Rwanda nayo ikisapotiwa na kampuni za ma beberu wa marekani, uingereza, and so on ili kudhoofisha Congo na kujipenyeza katika jeshi na vyombo vya serikali ya Congo.
Congo itapata amani kagame museveni wakufe amani itakuwa
Tatizo ni Mali tu hakuna ugomvi hapo wenyewe wanajua.
Mwambieni Kagame amalize huyo. Uhuru Kenyatta amemaliza mda bado museveni.
Ni uroho tu hakuna vita hapo
Huyu mchambuzi hajui vzr mgogoro wa mashariki ya Kongo😄😂🤣
Watutsi huko Kongo wanabaguliwa
Raia wanaozungumza kinyarwanda, kwa hari hiyo hiyo ya mipaka iriyo wekwa na wakoroni bila kujari aridhi ya asili ,utakuta wanaozungumza kinyarwanda huko Uganda sehemu za kisoro na Ankole. Mbona Uganda inawatambua kama waganda wenye asili ya Rwanda
True huu jama anasema ukweli m23 inapingania haki
nyinyi wachambuzi acheni kumumunya maneno sehemu kuna ukweli usemwe sio kudanganya raia mzee wetu nimchokozi hana mfano lakuiga huwezi mlinganisha na nyerere, lumumba, toma sakara, Mandela, anaungozi wakufitinisha watu akifariki kabila lake itaonyeshewa vidolo kila pepe zafrica, alikorofiana na Tanzania tena burundi na uganda mwisho congo, hiyo historia anataka kuandikisha Africa eti yeye ni mbabe asisahau kifo, mobutu yuko wapi albhashir yuko wapi kadhafi yuko wapi ni wengineo wazungu wakisha kutumikisha wanakutapika.
Umeongea point moja kubwa ila umenikosea kidogo pale umetaja kuwa Gaddafi alitumiwa :.
Hawawezi tena,Ile yaMobutu vilification Waconia wameungana sasa
Kongo inakufa maliyake mutiwenye matunda zoweya mawe congo ju yamandini ndovita
Uyo mzee ajui chochote unaogopa rais wa rwanda. Wele ni wakimbizi tu.
Huyu mzee mchambuzi Abdulkarim Atiki Azam TV mmemtoa wapi?? hahaha.
Mnaongea msicho kijua.familia zenu zingekua pale mngeongea vizuri.
Kongo kagame anajifanya anaendesha kongo. Kwa mnasahau kua kongo inamajerani 9.
Hatutohacha vita Sisi n'a wanyarwada ikiwa hawajahondoa wanyarwada mu kongo
Da pale
Kagame tatizo vita
Aya mambo yana Tengenezwa.
*NI JINSIA GANI YA KUSABABISHA NJAA MAZIWA MAKUU = JIBU NI VITA*
Vita itasasabisha njaa kuu, na kupelekea vifo vingi.
Kama ahujuwiahujuwi mzee sio hivyo ahuja gusa sababu yavita yacongo
Mnafiki ww
Mtachoka na vita tu,wa congomani hawana watusi,watusi wako rwanda,Rwanda, burundi,uganda,Uganda, wagomani ni wengi nawapendana sana,nahayo makundi yameundwa na Familia ya kabila mzee mtoto ,
Wasio juwa ukweli kuusu hali ilioko huko mashariki mwa Kongo. Swali nchi gani ya Afrika mashariki ambayo Paul Kagame wa Rwanda haja zozana nayo? Rwanda imekuwa na ugomvi na Tanzania kwa awamu ya 4 KIKWETE. Rwanda na Uganda ugomvi, Rwanda ugomvi na Burundi, nchi ambayo haijawai kuwa na mgogoro na Rwanda ni Kenya na Sudan ya kusini. Ukweli Paul Kagame anatatizo.
Asante sana👍ukweli uliofichwa
👍
wewe ndo ungeulizwa hiyo swali kwanini mzozo unaendelea, mi sipendi kuona watu wanakuwa madui na lakini kwakila moyo mwawatu sio vizuri mzee wetu kagame asisahau kuna kifo.
🤣🤣🤣🤣🤔🤔🤔
Mzee na wewe unaongea usiyoyajuwa bora unyamaze.
Mchambuzi unasema usiyo yajuwa you're totally wrong
Acha kuonge mavi wewe unaongeya nini wongo mutu
Mzee you are missing the most important points. You have a small brain. Rwanda hata awasaidie hawawezi kamata Congo sababu Congo ni ya wa Congo na siyo ya wanyarwanda
Bila hao, Mobutu angeendelea kutawala .....hivyo maneno yako ni yanepitwa na wakati, wao waliisha ikamata
@@johnrutagonya9020 mbona Kagame na museveni wametawala miaka mingi. Nao inaomba watoke kama vile Mobutu alitokaka. Ndiyo?
Huyu anatetea ndugu zake,wanaofanya mauaji congo ni wanajeshi wa Rwanda na misheni yao ni kuitawala africa ya kati.