Ni maneno ya Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiwa Rwanda alikokwenda kufanya ziara ya siku mbili kuanzia April 6 2016
Mpendwa MH.JOHN POMBE MAGUFULI wanaokualika Ulaya Waambie waje Tanzania kukutembelea ili walete hizo dollars zao kwa ajili ya manufaa ya watanzania masikini.wakatembelee mbuga za wanyama na kupanda mlima KILMANAJARO fahari ya TANZANIA na AFRICA pia .
muheshimiwa wewe ni baba wa Taifa ni baba wa Tanzania hongera sana mungu akuweke daima
nakupenda rais wangu upo vizuri sana mungu akuweke
😂😂😂😂safi snaa mkuu yani unanimalizaje
hio ya kubana matumiz nimeipenda .....asante maguful
umetisha maguful
babaa swadakta😘
bana baba
😂😂😂 wallahi bana matumizi baba alopita alisafiri vya kutosha💃💃💃
Good
Mpendwa MH.JOHN POMBE MAGUFULI wanaokualika Ulaya Waambie waje Tanzania kukutembelea ili walete hizo dollars zao kwa ajili ya manufaa ya watanzania masikini.wakatembelee mbuga za wanyama na kupanda mlima KILMANAJARO fahari ya TANZANIA na AFRICA pia .
Bana tu uko vizur
JPM uko fiti sana kamanda wangu!