КОМЕНТАРІ •

  • @nuhuallyzsung
    @nuhuallyzsung 7 днів тому +5

    Hongera sana mheshimiwa hakika wew ni muungwana sana! Sijui chalamila anajiskiaje na kauli yake ila anatukumbusha tukipewa dhamana tusijisahau tukatoa Siri za serikali au watu wengine

  • @lindatogether
    @lindatogether 7 днів тому +3

    Very humble man. Live long Jakaya

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv 8 днів тому +7

    Duuu dunia inamengi sana

  • @user-fs7bs6gy4z
    @user-fs7bs6gy4z 8 днів тому +3

    Congratution former president kikwete always I do apreciate him long live mr ,you live with all people friendly .

  • @stn4873
    @stn4873 8 днів тому +8

    Miraji Mrisho Kikwete sio mtu wa camera ni mtu wa juu kwa juu yani😂😂😂

    • @Coffted
      @Coffted 6 днів тому

      Chakaram sana

    • @stn4873
      @stn4873 6 днів тому +1

      @@Coffted Since wayback.

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 День тому

    Tunakutakia maisha marefu baba yetu Dr jakaya kikwete Rais mstaafu
    Umejaa hekima busara itoshe kusema asante baba

  • @samgaya
    @samgaya 7 днів тому +5

    Jk yuko humble sana

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 8 днів тому +3

    Hongera sana

  • @RamadhaniAyubu-nv5qz
    @RamadhaniAyubu-nv5qz 8 днів тому +4

    Mzee hongera sana umelea wengi

  • @shabanrufumbo3701
    @shabanrufumbo3701 8 днів тому +3

    daaah mzeee yupo real sana muungwana sana

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 5 днів тому

      hana uungwana wowote so called mwanae amekaa jela mwaka mzima hakwenda kumuona hata siku moja

  • @abednego3876
    @abednego3876 8 днів тому +5

    Raisi wa matajiri bwn.

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 5 днів тому +1

    Kumbe alikuwa anauwa vijana na madawa kwakuwa alikabidhiwa ngao kumbe!tushukuru kwakuwa mwazi

  • @AndrewMtweve-pm7gl
    @AndrewMtweve-pm7gl 7 днів тому +1

    Stori nzuri japo ya kuskitishaaaa

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu2076 7 днів тому +3

    Allah amsamehe makosa yake aliyofanya kwa siri na dhahiri amfanye wepesi ktk safari ammyn yaraby

  • @OmariZayo
    @OmariZayo 5 днів тому

    Mungu akupe maisha marefu jakaya

  • @WahidaHilaly
    @WahidaHilaly 7 днів тому +2

    😢😢

  • @hassanimlacha8479
    @hassanimlacha8479 4 дні тому +1

    Wakaloleni Moshi tz aksante jambo Tanzania nimeamka nanyi niipe pole familia iliyopoteza Yusuphu manji kwakweli poleni mno aksante jambo tz

  • @RahimhalmasRahimhalmas
    @RahimhalmasRahimhalmas День тому

    Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr

  • @raphaelondego7703
    @raphaelondego7703 8 днів тому +3

    Mbona hakujimwambafy!!, wakati ule, siku kujenga ikulu, sg, mwendo kasi, msukosuko wa manji, pia hata cocoa beach😂

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 8 днів тому +1

      Kufa usifiwe ndugu, aliteseka sana bila sababu Mungu ampumzishe kwa Amani

  • @DM_15
    @DM_15 12 годин тому

    Ooh kumbe alikua bado kojana kbsa

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n 8 днів тому

    Allahumma Ameen

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban1203 8 днів тому

    Poleni sana familia

  • @hilarymark7583
    @hilarymark7583 8 днів тому +3

    Mehbub wewe utaweza kuvaa vizuri viatu vya mzee wako. Inaonekana kijana Muungwana kabisa

  • @denismasele4130
    @denismasele4130 6 днів тому +2

    Kuna comment naitafta siioni😢

  • @georgesolos344
    @georgesolos344 7 днів тому +4

    Pesa zako umeficha sana upande huo, business zake wewe ulikuwa nyuma yake. Pesa alizokopà kwenye mabenki na kukimbilia Marekani, mpaka Samia alilalamika sana.

    • @edithamboya5016
      @edithamboya5016 5 днів тому

      We ungekataa? Punguza makasiriko !!

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 4 дні тому

      ​@@edithamboya5016 Kikwete no baba yako au kujipendekeza

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 8 днів тому

    👍✌️🙏

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk 8 днів тому +1

    Innalillah wainna ilayhi Rajuun

  • @RamadhaniAyubu-nv5qz
    @RamadhaniAyubu-nv5qz 8 днів тому +2

    Makubwaaa

  • @VenitaRugemalila
    @VenitaRugemalila 5 днів тому

    Pumzika kwa amani mtani wetu wa jadi.

  • @maylusasi1239
    @maylusasi1239 8 днів тому

    Chakaramu sana 😂😂😂

  • @njemamehuna9821
    @njemamehuna9821 2 дні тому

    Hapo ndo utaelewa kwa nini Manji alikuwa mfadhili wa Yanga na sasa hiyo kazi anafanya GSM

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j 5 днів тому

    Mbona ya madawa husemi?

  • @gaspermatovu2899
    @gaspermatovu2899 4 дні тому +1

    Yusufu rafiki wa MIRAJI!!!!!
    Yusufu papa wa hadaway ya ......
    Ndege wa ranging moja hutembea pamoja.
    Za mbayuwayu changing na zako.

  • @user-pj7ng8il4t
    @user-pj7ng8il4t 5 днів тому

    Kwenye utawala wako ufisadi ulizidi nchini ccm ilikaribia kufa mikononi mwako, wagonjwa walilazwa chini hospitalini lakini wewe ni kupanda ndege kila wakati. Halafu marafiki zako mbona ni wapigaji kama rostam aziz.

  • @RahimhalmasRahimhalmas
    @RahimhalmasRahimhalmas День тому

    Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr