Very humble man. Live long Jakaya
Duuu dunia inamengi sana
Congratution former president kikwete always I do apreciate him long live mr ,you live with all people friendly .
Tunakutakia maisha marefu baba yetu Dr jakaya kikwete Rais mstaafu
Umejaa hekima busara itoshe kusema asante baba
Hongera sana
Mzee hongera sana umelea wengi
daaah mzeee yupo real sana muungwana sana
hana uungwana wowote so called mwanae amekaa jela mwaka mzima hakwenda kumuona hata siku moja
Raisi wa matajiri bwn.
Kumbe alikuwa anauwa vijana na madawa kwakuwa alikabidhiwa ngao kumbe!tushukuru kwakuwa mwazi
Stori nzuri japo ya kuskitishaaaa
Allah amsamehe makosa yake aliyofanya kwa siri na dhahiri amfanye wepesi ktk safari ammyn yaraby
Mungu akupe maisha marefu jakaya
😢😢
Wakaloleni Moshi tz aksante jambo Tanzania nimeamka nanyi niipe pole familia iliyopoteza Yusuphu manji kwakweli poleni mno aksante jambo tz
Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr
Mbona hakujimwambafy!!, wakati ule, siku kujenga ikulu, sg, mwendo kasi, msukosuko wa manji, pia hata cocoa beach😂
Kufa usifiwe ndugu, aliteseka sana bila sababu Mungu ampumzishe kwa Amani
Ooh kumbe alikua bado kojana kbsa
Allahumma Ameen
Poleni sana familia
Mehbub wewe utaweza kuvaa vizuri viatu vya mzee wako. Inaonekana kijana Muungwana kabisa
Kuna comment naitafta siioni😢
Pesa zako umeficha sana upande huo, business zake wewe ulikuwa nyuma yake. Pesa alizokopà kwenye mabenki na kukimbilia Marekani, mpaka Samia alilalamika sana.
👍✌️🙏
Innalillah wainna ilayhi Rajuun
Makubwaaa
Pumzika kwa amani mtani wetu wa jadi.
Chakaramu sana 😂😂😂
Hapo ndo utaelewa kwa nini Manji alikuwa mfadhili wa Yanga na sasa hiyo kazi anafanya GSM
Mbona ya madawa husemi?
Yusufu rafiki wa MIRAJI!!!!!
Yusufu papa wa hadaway ya ......
Ndege wa ranging moja hutembea pamoja.
Za mbayuwayu changing na zako.
Kwenye utawala wako ufisadi ulizidi nchini ccm ilikaribia kufa mikononi mwako, wagonjwa walilazwa chini hospitalini lakini wewe ni kupanda ndege kila wakati. Halafu marafiki zako mbona ni wapigaji kama rostam aziz.
Mi napenda sana kumsikiliza kikwete anaongea vzr
Hongera sana mheshimiwa hakika wew ni muungwana sana! Sijui chalamila anajiskiaje na kauli yake ila anatukumbusha tukipewa dhamana tusijisahau tukatoa Siri za serikali au watu wengine