CHEKECHE || DRC Kuyakosoa jeshi la kikanda EAC
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- DRC Kuyakosoa jeshi la kikanda EAC maana yake nini?
Rais Felix Tshisekedi amekuwa gumzo baada ya kudai kuwa jeshi la kikanda la Jumuiya ya Afrika Mashariki halina msaada kwa nchi yake ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Ametoa madai hayo akiwa ziarani Botswana, akieleza kuwa malengo ya kurejeshwa kwa utulivu mashariki mwa DRC hayajafikiwa mpaka sasa, akihisi jeshi la kikanda limekuwa na uswahiba na waasi wa M23.
Hayo yanajiri wakati ambapo Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC nayo ikiazimia kupeleka vikosi mashariki mwa DRC kusaka utulivu.
Ni kwa namna gani madai ya Rais Tshisekedi yana uhalisia?
#azamtvupdates
#Chekeche
hauko sawa
Tuchambuliye ule uchaguzi wa turkey na hatma ya Erdogan
Erdogan atashinda tu
Mrisho Kikwete alikua shujaa sana alipenda wa kongo sana lakini samia ni mnafki
Aec watoke kizegedi ni kichaa
Kipindi kinachewa
Ruto ni mbaya piya
Kisegedi ni panga pangua ataumiya
Wanakwenda kupora wamelinda wana inchi kivipi?
Anae ripoti kutoka congo ajui chochote kabisa kinacho endelea uwanja wa mapambano ao anaweza akajuwa ila anaogaopa kuongea ukweli, kisekedi sio kichaa kuamua kwenda SADEC, majeshi ya Africa mashariki yanashirikiana pakubwa na M23 asilimia 83% na ndomana raia awataki kikosi hicho, kaeni kimya kama amjafanya utafiti wowote.
Chubi acha uhuni bwana
Kwa nini umesema wanajigamba kuwa wazalendo?imeonekana wewe uko shabiki ya m23ao?