CHEKECHE || Finland kujiunga na NATO ni pigo kwa Urusi? Ni ushindi kwa Marekani?
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Aprili 4 mwaka hu Finland ilijiunga rasmi na Jumuiya ya Kujihami ya Nchi za Magharibi (NATO) na kuzua mjadala mpya kuhusu hali ya amani kwenye ukanda huo huku rais wa Urusi Vladmir Putin akionya Finland isikubali ardhi yake kutumika kuweka kambi za jeshi za NATO.
Je, hatua ya Finland kuingia NATO itamaliza mgogoro wa Ukraine na Urusi?
Je, hatua hii inachochewa na Marekani? Moses Mohamed akiwa na Ibrahim Rahbi na John Kenene wanaangalia hili katika CHEKECHE.
Kupigana na Urusi ni sawa na kupigana na nguvu ya mungu muumba mbingu na ardhi. SIO Finland tu Hata dunia nzima tujiunge na NATO bado hatutoboi labda tutoboe matundu ya choooooooo.
😂😂😂
Rab upo sawa unajua sana
Putin Yuko pekee yake anapigana na nchi nyingi kweli Putin ni kidume kabadilisha mchezo
Acha kuwa mwongo putin hana ubavu wa kupigana na nato
@@jumalihumako-uf3yb subili mechi utajua usiweke ushabiki
Nato ni ya marekani na ipo kusimamia maslahi ya marekani tu na SI vinginevyo.
Aaa kama NATO ni tishio imeshindwaje mpaka leo kumaliza mzozo wa Ukraine? sasa NATO inakimbilia vita na China wakati imegharamika DOLLAR nyingi .kwani NATO nini ni Ulaya na marekani. Ambazo tayar zimeshashindwa ukraine
hahahahahahahahah mzee umetoa maoni kwa chuki saana!!!
Jarani mwovu dawa yake ni kipigo
Marekani anatumia akili sio nguvu tulieni muone shoo shoo mrusi kaingia chakikeee mwenye akili anaenda taratibuuu kumbuka vita ya pili ya Dunia kama sio marekani angepigwa na hitlaa mtafunga midomo yenuu💪💪
Safi sana tunapenda uchambuzi kama huu
Mtupe na faida za NATO Toka kuwepo
Marekani namuona Sasa anapoteza ushawishi wake maana hata raisi wa ufaransa amesema Sasa ulaya tufate misimamo yetu na tuwe huru katka maamuzi yetu bila ya kuegemea upande wowote bila ya kueka utegemezi kwa marekani.... Mwisho wa kunukuu... Hutuba hii imewauma Sana wamarekani
Rahbi umeongea kitu point sana hii serikali mpya iliyoingia itatuletea balaa
Kabla ya yote Kwanza yatupasa kujuwa kwamba katika NATO na marekani na washirika wao wote hakuna hata mmoja anaweza kufikia nusu ya nguvu za kijeshi za urusi hiyo ni behind the seen. Wajinga hawataelewa hapa ila hiyo ndio sababu ya kuuangana nchi zaidi ya 30 na bado wameshindwa kumuondowa mrusi ugenini na ndio mwanzo anaongeza maeneo mengine nje ya ile mikoa 4. Na pia tambueni urusi ana washirika wenye nguvu kuliko hao manyangau na bado haoni umuhimu wa kuwatumia kwa maana yeye anajiweza kikamilifu kabisa manyangau ni majambazi hayawezi kumzidi putin mwenye mali?
Naona unaongea kimihemko kuisifiae urusi! Lakini Nato ina nguvu sana, mrusi haingii hata nusu
@@johnmichaellukindo21 pole maana wewe ndio mwenye mihemko usiejuwa kitu. Urusi kavamia Ukraine na kuchukuwa zaidi ya mikoa 4 sasa kama nato ana nguvu hatubishi anazo sasa afanye jambo moja TU amnyanganye mrusi ile mikoa 4 tu itatosha kuonyesha yeye ni mwenye nguvu basi hakuna sababu ya kuandikia mate peni ipo. Acha ujinga marekani anaiogopa urusi kuliko jambo lolote duniani na kama angekuwa anamuweza mrusi sahz mngeongea mengine kuhusu Putin yuko wapi gadafi? Yukowap sadam na wengine wengi wa aliyowaweza sasa mashabik ndio mnambwela ila yeye mwenyewe anajuwa urusi ni kiatu saizi nyingine yeye hawez kuvaa ndio maana anataka dunia nzima imsaidia apigane na Putin na keshafeli Russia ndio mkombozi wa kweli wa dunia hii
@@johnmichaellukindo21 WW UNAESIFIA NATO HUNA AKIRI NATO IMEUWA WAAFRIKA WANGAPI NA BADO INATULETEA USHOGA BADO MNAISIFIA
Dah! Kweli we jamaa ni chizi yani mimi Mmarekani namchukia lakini usijidanganye ndugu yangu Marekani tu peke yake anatosha bado Urusi hawezi kuifikia kwa nguvu za kijeshi
Dah! Kweli we jamaa ni chizi yani mimi Mmarekani namchukia lakini usijidanganye ndugu yangu Marekani tu peke yake anatosha bado Urusi hawezi kuifikia kwa nguvu za kijeshi
Urusi alisha shindwa vita akubali tu aende kujipanga tena vizuri
Nawafuatilia nikiwa hapa Helsinki Finland 🇫🇮🇫🇮👁️👁️
Lakini kw nn NATO ingali hai ilhali madhumuni ya kuundwa NATO ni sababu usssr, so far usoviet ulianguka, mbona NATO nayo wasiivunje NATO
Putin alisha sema **Finland sio tisho kwa Urusi** unajua kwanini? Finland amekubaliana na Putin kuto ingiza jeshi la NATO na kuweka silaha za Nyuklia. Hayo ni makubaliano, sasa ikitokea Finland kavunja, basi Finland itapotezwa ktk ramani ya dunia
hahahahahahahah unakumbaka vita ya 1939 kati ya Urusi na
Finland?
Hawa wachambuzi hawajui kuwa vita ni siraha ,vita sio ardhi tu
majid mjengwa ningefurahi sana angekuwepo pia tusikie maoni yke.
Amna vita ya dunia wana malizana wenyew
Ni uchokozi kweli
Putin anapigana na mamluki wa kimagharibi Hilo jeshi la ukraine halipo Tena lishapotezwa mda2
ahsante Chekeche umetuletea wataalam ambao wanajadili na kutupa elimu kwa utulivu na uchambuzi mzuri sana.
Adui anapigika
Mnaongea hoja nzito aisee.
Rais wa ufarasa kafwata nini China?
Huyo mchambuzi mwenye kanzu hajui anachoongea anaongea bila kufanya uchambuzi wa ndani
Na wewe kachambuwe tukuone
Ss unaonaje naww ukaomba kutafuta media ukatutolea uchambuzi wko ulioufanyia kazi
Neto au nato?
Safi filand kwa kujiunga na nato
Ivi mpaka sasa Urusi hapigani na NATO. ?
Groly russia
Kifungu cha tano hata siku moja **Hakiwezi kufanya kazi** . Iyo ni danganya toto, Urusi anaweza kuishambulia Finland na NATO wakaishia kupiga kelele
Ikija kinyume nawashambuliaa wakuu😂😂😂.
Hamna chochote
Neto au Nato bwana moses?
Nyie hamna kitu nivibaraka tu
Je wewe
Zelencyk kapata nguv
Kenene hua anaidharau sana urusi
Sio anaizarau Urusi ni underdog sana kwa Mmarekani watu wanafanya reseach mjomba ndo wanakuja ubaoni Wakiwa na fact zote sio unashabikia tu kama simba na Yanga Marekani tunachukua ndio kwa ushenzi wake lakini jamaa yuko vizuri kila idara ndo maana anadharau kwa Urusi na Uchina anafanya anachojisikia na anajua hakuna atakae mgusa
Mfano mtu anatangaza kabisa hazarani kwamba nasaidia siraha na feza kwa ukrain ambayo inapigana na taifa hatari la Urusi ilitakiwa Urusi moja kwa moja apige Marekani maana apo kashajiingiza kwenye vita mazima sasa mbona hujaribu anaogopa nini? Kama yeye ni mwamba? Pili Uchina walipiga biti kuvamia msafara wa Nansi pelos spika wa bunge mstaafu wa Marekani kwenye ziara yake kule taiwan unakumbuka Marekani alichojibu na mbona spika alienda na akarudi salama waliogopa nini kumvamia? Ile ndo Marekani supa power jamaa ana kila kitu
Apo nguvu imezid
Kanene we ni chawa tuu
raby we ni kibaraka wa mabeberu
God bless Russia
Nyambafu nyinyi america kwisha story mashoga tu
hahahahahahah maoni ya chuki saaaana
Ukraine strong
huyo jamaa mbona mnampenda sana nyie azam tv kana kwamba hamna mchambuzi wengine jamaa toka mwanzo haongei facts kabisa anaegemea upande hamsomi comment
Tatizo wewe ndo ahumuelewi kwa sababu upo upande umoja yeye iko wazi kabisa
Urus ni wakawaida kama mayai
Hujui kitu kabisa wewe,Mmarekani mbona haendi kukabiliana nae? Russia is not somebody to mess with....yupo vitani na bado kasamehe deni lote zaidi ya dollar bilion 20 kwa nchi za Africa
Putin akamatwe
😅😅😅Putin akamatwe sio indeed hakuna ushindi juu ya damu za watu wasio na hatia,,,nakuunga mkono
hawamkamati wanaogomba wanajua kitakacho wakuta wanakijua lamda waje wamkamate samia
Inawezekana kumkamata Putin kabisa ila wakumkamata bado hajazaliwa na sina uhakika kama mimba yake ishaanza kutungwa. Putin is nonstopable
Kamkamate wewe,USA anaogooa....vp Bush na Obama, Blair,kwa nn wasikamatwe???jiulize kwanza