#kivumbi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лип 2024
  • LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA

КОМЕНТАРІ • 163

  • @MichaelMatiku-v7o
    @MichaelMatiku-v7o 5 днів тому +1

    Rema ni mwanasiasa wa karine yetu ni mwanasiasa ambae kila mtz mwenye akiri timamu anapaswa kujivunia yeye hana tamaa wala uchu wa madaraka ni mkweli binafs najivunia yeye mwenyez mungu akuongoze kaka watanzania tunatambua mchango wako katika taifa hili

  • @mackrankagenzi5236
    @mackrankagenzi5236 28 днів тому +26

    Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 28 днів тому

      Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni

    • @graysonpastory1918
      @graysonpastory1918 27 днів тому

      Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.​@@ndogoroedson199

    • @nyerere1259
      @nyerere1259 27 днів тому

      Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 27 днів тому +4

      ​@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 27 днів тому

      Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?​@@TegemeaFutemakatifu

  • @allyalijai7143
    @allyalijai7143 15 днів тому +2

    Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 28 днів тому +10

    Point god bless lema

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 28 днів тому +7

    Mashaaalah lema,huna baya,

  • @Anordgration
    @Anordgration 27 днів тому +3

    Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia

  • @shikuhata
    @shikuhata 24 дні тому +1

    Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 26 днів тому +5

    #TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.

    • @olivermwakikuti
      @olivermwakikuti 26 днів тому

      Oyeeeeeeeeeeeeeeee

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 22 дні тому

      Oyeeeee CCM oyeee Msigwa oyeeee mama Samia oyeee Makonda oyeee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 28 днів тому +6

    Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 5 днів тому

    Msingwa kuhamia ccmu kama anaroho wa mungu atajihikumu mwenyewe ametukosea watanzania sanaaa tulimpenda Sasa mmmmm

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 28 днів тому +5

    Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!

    • @ShamteMaganga
      @ShamteMaganga 28 днів тому

      Subiri kampeni zianze

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 28 днів тому

      Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba.
      Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct 28 днів тому +8

    Nakukubali Mwamba

  • @thomasrobert-bf1mf
    @thomasrobert-bf1mf 27 днів тому +3

    mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh 28 днів тому +4

    Hongera kwa mawazo mazur

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t 25 днів тому +2

    Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni 28 днів тому +3

    Hogera sana kiongozi makini

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari 28 днів тому +10

    Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 28 днів тому +9

    Nenda ccm lema,chadema utafulia sana

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 28 днів тому +1

      Hakuzaliwa hivo

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 28 днів тому

      Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 28 днів тому

      @@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 22 дні тому

      Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣

  • @user-kc6hg1se7b
    @user-kc6hg1se7b 26 днів тому

    Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 28 днів тому +2

    Mbalikiwe Mungu ndugu zangu

  • @user-od1pl6ox5m
    @user-od1pl6ox5m 26 днів тому

    Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏

  • @carloschikawe3244
    @carloschikawe3244 27 днів тому +1

    Aisee Mungu atusaidie

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 28 днів тому +17

    Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu

  • @abubakarimchani8362
    @abubakarimchani8362 26 днів тому

    Iko sawa mkuu wangu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 28 днів тому +10

    ila hawa wapinzani wameteseka kweli

  • @user-qh5lq7gx2b
    @user-qh5lq7gx2b 26 днів тому

    Hongera sana kamanda lema

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 28 днів тому +4

    Leo wanasema Tanzania ya viwanda

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 28 днів тому +13

    Lema umeongea jambo sahihi sana

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 28 днів тому +7

    Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 28 днів тому

      Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 28 днів тому

      Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya

  • @edgeredson9691
    @edgeredson9691 25 днів тому +1

    Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 27 днів тому +1

    Upo sawa

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 28 днів тому +7

    Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu

  • @ngwandukadama4229
    @ngwandukadama4229 28 днів тому +2

    Kwa hiyo

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi 28 днів тому +10

    Nabii ikulu ni yenu #CHADEMA# WANAMAPINDUZI.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 28 днів тому +3

      Thubutuu kwa huyo mkimbizi wa saccos ya mfalme mbowe makengeza?

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 28 днів тому +4

    Great visionary

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 28 днів тому +3

    Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo

  • @heriethmsambili5711
    @heriethmsambili5711 25 днів тому

    😂😂😂hapo kwenye tunaongozwa na machiziiiii😅😅😅

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py 28 днів тому +2

    kichwa san mwamba

  • @godhelpmassam3480
    @godhelpmassam3480 25 днів тому +1

    Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.

  • @edsonmoris
    @edsonmoris 28 днів тому +1

    Nimekuelewa lema

  • @MohamedHamsini
    @MohamedHamsini 27 днів тому +2

    LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?

    • @ericlowasa3097
      @ericlowasa3097 24 дні тому

      Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 28 днів тому +2

    Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.

  • @UmmyDaud
    @UmmyDaud 24 дні тому

    Sema lema inatakiwa tushikamane hakuna kujali kitu😂

  • @eliasnshashi3196
    @eliasnshashi3196 28 днів тому

    Upon sawa

  • @emmanuelmashishanga7141
    @emmanuelmashishanga7141 28 днів тому +3

    Nisuala la muda tu

  • @sadicksingogo260
    @sadicksingogo260 27 днів тому +1

    Unasikika mwanaume

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc 28 днів тому +2

    Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu

  • @user-rk9gr9yf3i
    @user-rk9gr9yf3i 28 днів тому +1

    Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara4210 28 днів тому

    ✌️✌️✌️

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld 28 днів тому +1

    Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo

  • @azizimangara9024
    @azizimangara9024 28 днів тому +4

    Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b 28 днів тому

      Viongozi

    • @noelyhaule5695
      @noelyhaule5695 28 днів тому +2

      wew n hasara kwa taifa

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 28 днів тому +1

      Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm

    • @pennymahombo9528
      @pennymahombo9528 28 днів тому

      Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,

  • @mwaramimbuya5443
    @mwaramimbuya5443 20 днів тому

    amina ccm mwamba

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 28 днів тому +2

    Kwa hiyo tukudaidie.nini

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 28 днів тому +1

    kweli chadema mnazidiwa na mwamposa

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 26 днів тому +1

    Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame

  • @samwelsimon7392
    @samwelsimon7392 28 днів тому +1

    umesahau na kesi ya mkeo

  • @daudibukuku6490
    @daudibukuku6490 28 днів тому +4

    Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 28 днів тому +3

    Mungu mbariki Makonda

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 27 днів тому

      Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 27 днів тому +1

    Lema zuri gani umewafanyia watanzani?

  • @AnaniaBulaya-rc3jv
    @AnaniaBulaya-rc3jv 28 днів тому +2

    Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 28 днів тому +1

    Napita tu...ila njaa mbaya

  • @thomasrobert-bf1mf
    @thomasrobert-bf1mf 27 днів тому +1

    mbona ujawai kuongelea bungeni

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 28 днів тому +3

    Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 27 днів тому +1

    Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini

  • @MeshackKaboja
    @MeshackKaboja 28 днів тому +2

    Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 28 днів тому +3

    Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 28 днів тому +1

      chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri

  • @emmanuelkyandochali990
    @emmanuelkyandochali990 27 днів тому +1

    Mnatoa wap pesa

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 10 днів тому

    Water table yake ni maji.

  • @MajaliwaTalali
    @MajaliwaTalali 27 днів тому

    ❤⁹ooo😊

  • @user-px1tc1nj1w
    @user-px1tc1nj1w 28 днів тому +2

    Unachongea tu

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 28 днів тому

    Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani

  • @ProsperMsemwa-g8n
    @ProsperMsemwa-g8n 6 днів тому

    Chadema ndio chama sahihi kinaonekana

  • @sarikielimbise447
    @sarikielimbise447 27 днів тому +1

    Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l 28 днів тому

    nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 28 днів тому +3

    Hiyo kauli ya magufuli umeiba

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 27 днів тому

      Kauli Gani? Au Kauli zikigongana ni kosa? Acheni Ushamba nyie ma Ccm

  • @hamiltonmzee6120
    @hamiltonmzee6120 28 днів тому

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @user-bj9nb1yh3o
    @user-bj9nb1yh3o 24 дні тому

    Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 28 днів тому

    Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya

  • @DanielManumbo
    @DanielManumbo 24 дні тому

    😅😅

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 28 днів тому

    Kenya demokrasia sasa inawatesa.

  • @athumanmtunguja4412
    @athumanmtunguja4412 27 днів тому

    tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 27 днів тому

    Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw 28 днів тому +1

    Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 28 днів тому

    Tunawaomba Karagwe jamani

  • @NusraMwalyawa
    @NusraMwalyawa 24 дні тому

    Wachane hao

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 26 днів тому

    Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?.
    Au ndo kusema mpaka serikali

  • @ombenipenieli1432
    @ombenipenieli1432 26 днів тому

    Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo

    • @ZakayoYohana
      @ZakayoYohana 26 днів тому

      Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 28 днів тому

    Yeye amepata wapi?

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 28 днів тому

    Chadema mna Kura nyingi

  • @TonyTrans-xw3bb
    @TonyTrans-xw3bb 28 днів тому

    Hapa wapi?

  • @nasibuabasi4701
    @nasibuabasi4701 27 днів тому

    Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?

  • @lorubaadvocates
    @lorubaadvocates 28 днів тому +1

    Business

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620 28 днів тому +1

    Lema wewe ni mzalendo

    • @kiyabolnjemu9646
      @kiyabolnjemu9646 28 днів тому +2

      Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?

    • @YassinRajabu
      @YassinRajabu 28 днів тому

      😂😂😂😂😂​@@kiyabolnjemu9646

  • @ShamteMohmed-ed2kk
    @ShamteMohmed-ed2kk 28 днів тому +1

    Ruzuku kazi yake nini?

  • @abuuawalina2625
    @abuuawalina2625 26 днів тому +2

    Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine

    • @olivermwakikuti
      @olivermwakikuti 26 днів тому

      Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan

  • @samsongazika8908
    @samsongazika8908 26 днів тому

    Unatembea faida yako nn

  • @user-px1tc1nj1w
    @user-px1tc1nj1w 28 днів тому +1

    Sasa hapo kuna sera gani

  • @NDEWARA
    @NDEWARA 28 днів тому +1

    CHADOMOOOO 😂😂

  • @MichaelEliasmwampamba
    @MichaelEliasmwampamba 25 днів тому

    Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar 28 днів тому

    🥹