LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA
Rema ni mwanasiasa wa karine yetu ni mwanasiasa ambae kila mtz mwenye akiri timamu anapaswa kujivunia yeye hana tamaa wala uchu wa madaraka ni mkweli binafs najivunia yeye mwenyez mungu akuongoze kaka watanzania tunatambua mchango wako katika taifa hili
Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤
@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha
Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie
Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya
Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish
Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!
Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo
Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine
Rema ni mwanasiasa wa karine yetu ni mwanasiasa ambae kila mtz mwenye akiri timamu anapaswa kujivunia yeye hana tamaa wala uchu wa madaraka ni mkweli binafs najivunia yeye mwenyez mungu akuongoze kaka watanzania tunatambua mchango wako katika taifa hili
Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤
Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni
Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.@@ndogoroedson199
Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar
@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha
Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?@@TegemeaFutemakatifu
Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.
Point god bless lema
Mashaaalah lema,huna baya,
Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia
Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti
#TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.
Oyeeeeeeeeeeeeeeee
Oyeeeee CCM oyeee Msigwa oyeeee mama Samia oyeee Makonda oyeee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie
Salute bro
Msingwa kuhamia ccmu kama anaroho wa mungu atajihikumu mwenyewe ametukosea watanzania sanaaa tulimpenda Sasa mmmmm
Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!
Subiri kampeni zianze
Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba.
Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu
Nakukubali Mwamba
mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika
Unamfaham vzr alipokuwa bungeni
Hongera kwa mawazo mazur
Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili
Mh
Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali wewe
Hogera sana kiongozi makini
Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.
Nenda ccm lema,chadema utafulia sana
Hakuzaliwa hivo
Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!
@@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu
Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣
Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss
Mbalikiwe Mungu ndugu zangu
Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏
Aisee Mungu atusaidie
Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu
Iko sawa mkuu wangu
ila hawa wapinzani wameteseka kweli
Hongera sana kamanda lema
Leo wanasema Tanzania ya viwanda
Lema umeongea jambo sahihi sana
Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka
Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮
Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya
Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish
Upo sawa
Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu
Kaka ikilu ipi ,kwa katiba gani?
Kwa hiyo
Nabii ikulu ni yenu #CHADEMA# WANAMAPINDUZI.
Thubutuu kwa huyo mkimbizi wa saccos ya mfalme mbowe makengeza?
Great visionary
Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo
😂😂😂hapo kwenye tunaongozwa na machiziiiii😅😅😅
kichwa san mwamba
Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.
Nimekuelewa lema
LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?
Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ
Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.
Sema lema inatakiwa tushikamane hakuna kujali kitu😂
Upon sawa
Nisuala la muda tu
Unasikika mwanaume
Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu
Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo
✌️✌️✌️
Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo
Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!
Viongozi
wew n hasara kwa taifa
Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm
Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,
amina ccm mwamba
Kwa hiyo tukudaidie.nini
kweli chadema mnazidiwa na mwamposa
Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame
umesahau na kesi ya mkeo
Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!
PAMBANENI. KARIBU KUNAKUCHA
Cha msingi watu wajiandikishe tukutane kw sanduku la a kura
Mungu mbariki Makonda
Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana
Lema zuri gani umewafanyia watanzani?
Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?
We ni mpuuzi tu
Napita tu...ila njaa mbaya
mbona ujawai kuongelea bungeni
Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako
Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini
Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa
Zero brain ww
Kuwa na hakili kidog
Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika
chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri
Mnatoa wap pesa
Water table yake ni maji.
❤⁹ooo😊
Unachongea tu
Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani
Chadema ndio chama sahihi kinaonekana
Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi
nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi
Hiyo kauli ya magufuli umeiba
Kauli Gani? Au Kauli zikigongana ni kosa? Acheni Ushamba nyie ma Ccm
😢😢😢😢😢😢😢
Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani
Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya
😅😅
Kenya demokrasia sasa inawatesa.
tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake
Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa
Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm
We ndo hamna k2
@@KudraWanguvu-em1xw wewe ndio zaidi
Tunawaomba Karagwe jamani
Wachane hao
Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?.
Au ndo kusema mpaka serikali
Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo
Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri
Yeye amepata wapi?
Chadema mna Kura nyingi
Hapa wapi?
Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?
Business
Lema wewe ni mzalendo
Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?
😂😂😂😂😂@@kiyabolnjemu9646
Ruzuku kazi yake nini?
Haitoshi ndugu
Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine
Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan
Unatembea faida yako nn
Sasa hapo kuna sera gani
CHADOMOOOO 😂😂
Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe
🥹