POLISI DSM YAWANASA WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA DSM

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 14 лип 2019
  • Jeshi la polisi kupitia kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya kinawashikilia watu watatu wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya. Mkuu wa Kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Salim Kabaleke ameeleza mbele waaandishi kuwa walipokea taarifa kutoka kwa raia wema kuwa huko maeneo ya Mbezi Kwember Dar es salaam kuna nyumba ambayo imehifadhi mzigo wa dawa za kulevya zinazosambazwa katika maeneo mbalimbali ambapo baada ya kuweka mtego waliwakamata watu watatu akiwemo mlinzi wa nyumba hiyo.

КОМЕНТАРІ • 255

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba1204 5 років тому +13

    KAZI NZURI MKUU SAFI SANA,KEEP IT UP JESHI LETEU LA POLISI.

  • @samanthaali873
    @samanthaali873 5 років тому +3

    Hongera mweshimiwa ww muislam kweli malipo yako kwa Allah

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 5 років тому +7

    Etiii walio kamatwa majina mmetaja tena kwa msisitizo kbs lkn anaetuma mmetajiwa lkn jina linahifadhiwa mhhhj

  • @hadija846
    @hadija846 5 років тому +8

    Hivi yule bosi wa biashara ya madawa ya kulevya aliekakamatwa magomeni lesi yake inaendeleaje? Na hao sio mabosi ni vibaruwa tu. Mabosi wapo serikalini na hao wakiwataja family zao zitatekwa na watu wasiojulikana Haahaaaahaaaaa hatari tupu ❌

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Рік тому +1

    Safi sana kazi nzuri

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi 5 років тому +8

    Mkuu wa Kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Salim Kabaleke Allah atakulipa kwa kazi yako njema unayoifanya. Ni aibu kubwa kubwa sana kwa Muislamu yoyote kujihusisha na madawa ya kulevya, ikiwa pombe tu ambayo ni halali nchini lakini kidini yetu tukufu tumekatazwa na hatujihusishi kabisa itakuwaje hawa ndugu zetu waislamu ndio weko mbele mbele kuhusika na madawa haya haramu ??? Mzee Salim Allah akupe ujasiri na ulinzi mkubwa uweze kupambana nao vilivyo InshaAllah serikali nayo izidi kukuwezesha kufanya kazi hii muhimu sana kwa jamii nzima, HII NI KAZI YA MUNGU MUNAFANYA NA YEYE NDIE ATAKAE WALIP INSHAALLAH

  • @tiktokTviral
    @tiktokTviral 5 років тому +54

    HAO NI CHAMBO TU,
    WAKUBWA WENYEWE BADO.
    INASIKITISHA SANA HAO WANOONESHWA HAPA WAMECHOKA NA HAWANA HATA SURA ZA PESA..
    ETI NDIO WANAITWA WAUZA MADAWA YA KULEVYA..
    WAPI NA WAPI NYIEE..
    TUONESHENI HAO WAKUBWA WAO AMBAO WANAWATUMIKISHA HAWA VIJANA..🔫🔪💣💉💊🚬

    • @manyotaskipper5765
      @manyotaskipper5765 5 років тому +4

      Ellysomeboy PLatnumz hadi umfikie muuza madawa THE DON SIO KAZI RAHISI ILA HAWA HAWA CHAMBO WATASAIDIA KUWATIKISA MADON NA WENGI WAKIONA HIVYO MADON HUKIMBIA NCHI

    • @aishakhamis2996
      @aishakhamis2996 5 років тому

      Ellysomeboy PLatnumz hahaha

    • @anelkaking9342
      @anelkaking9342 5 років тому

      Safi kabisa.kamata kambare sio dagaaa.

    • @hadija846
      @hadija846 5 років тому +1

      Harafu ni vijana wadogo sana wauza unga mabosi wapo serikalini hawa ni wafanyakazi wao ni vibaruwa tu. Na hawa wakubwa wao wakiwataja family zao zitatekwa na watu wasiojulikana

    • @dazuuhmd819
      @dazuuhmd819 5 років тому

      Kweli kabisa hao watawaonea tu

  • @Daniel-ug6fi
    @Daniel-ug6fi 5 років тому +10

    hahaha aliesikia ACT badala ya IST like apa

    • @fetychina3273
      @fetychina3273 3 роки тому

      Mwacha kamanda wangu jamani menoyake yana matatizo😁😁😁😁😁💃🏼

  • @venstonvedasto
    @venstonvedasto 5 років тому +5

    Bongo hamna kumyongwa ingekuwa njee aiseee

  • @peterkyese4516
    @peterkyese4516 5 років тому +12

    Wakati huu was mjomba mnauza madawa kweli mnajipenda nyieee...doooh🙄🙄🙄🙄Bora mnge eenda mkalime

  • @franklwehela7595
    @franklwehela7595 5 років тому +13

    Kama shule ngumu tukalime tuu!!😄😄

    • @priscasiame9179
      @priscasiame9179 5 років тому

      Wenzio maboss we baki kucoment ushuwaini tu

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 5 років тому +2

    Yaani hapo ishu ni kwamba kuna mwenzao ndo katoboa siri tuu. Na hii kitu haitakiwi muwe wengi kwenye mchongo.

  • @morganventure292
    @morganventure292 5 років тому +12

    Ukiwa unatafuta maisha huwez kuogopA jela!!! Ni sehem ya kujifunza

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 5 років тому +6

    mie mwenyewe MTU akitaka tufanye nae kazi mie nipo tayari kwa haya maisha bora tu lawama na jela ila ule good time kidogo nimevurugwa

  • @dronemiguel2230
    @dronemiguel2230 5 років тому +36

    Kama umesikia saa nane alfajir 😂😂😂tujuane

    • @smarty1064
      @smarty1064 5 років тому +1

      Dr One Minguel nadhani amewaiga waingereza na wamarekani ndo lugha yao, saa tisa usiku wanasema 3 in the morning

    • @calvinqatar4321
      @calvinqatar4321 5 років тому

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @consumingfire1824
      @consumingfire1824 5 років тому +2

      Mambo ya kiintelijinsia, ya kiume hyo!

    • @roinajohnson9788
      @roinajohnson9788 5 років тому

      Hahahaa

    • @younggenious6376
      @younggenious6376 4 роки тому

      unadha AM inaanza saa ngap?!!!

  • @tatualbadri4131
    @tatualbadri4131 5 років тому +12

    Na uyo abaye una sema ushuguz una enderea ujue ni mkubw wa serkar uyo Ndio mahn amja mtaja tuna jua san

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 5 років тому +1

    Hongera sana

  • @greatiq8234
    @greatiq8234 5 років тому +2

    So, mnaingiza pesa. Mnatajirika kutokana na kuharibu nguvu za mwili na akili za binaadamu wenzenu!? Poleni sana!

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 років тому +20

    Maskini mtu namuhurumia huyo mlinzi manake ye kazi yake ni kulinda jengo usiku kucha akiwa ame acha familia yake bila mlinzi. Kwa,mrazamo wangu wasinge muonyesha huyo mlinzi hadharani

    • @rukaiyasalim1019
      @rukaiyasalim1019 5 років тому +1

      Kabisaaa maana hapo hausiki na chochote kile InshaAllah M.Mungu atamsimamia

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 5 років тому +1

      Kweli kabisa mlinzi hausiki kbs

  • @priscasiame9179
    @priscasiame9179 5 років тому +3

    Wamezulumiana ndo wametajana lkn b4 awajazulumiana walikuwa wanakula nakusaza

  • @norman4332
    @norman4332 5 років тому +4

    💥💥 NJOO UONE JINSI MTU ANAVYOVULIWA NGUO NA KUVALISHWA NYINGINE BONYEZA PROFILE PICHA YANGU HAPO KUSHOTO 👈

  • @user-br4tl7jv9j
    @user-br4tl7jv9j 5 місяців тому +1

    Ila mm Napenda hii kazi sijui kwann jaman🙌🙌

  • @pujimontanapachino4958
    @pujimontanapachino4958 5 років тому +4

    Kama umesiki Toyota Act gonga like 😂

  • @adillhabib2006
    @adillhabib2006 5 років тому +1

    hongeren sana police na polen sana

  • @robertdaud9894
    @robertdaud9894 5 років тому +8

    Hii biashara ilimshinda ad godfather wa madawa Escobar njoon tulime tutachelewa lakn tutatoka tu

    • @muhinasundi1439
      @muhinasundi1439 5 років тому

      Yap!

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 5 років тому

      Robert Daud Kuna binadamu wameumbwa wabishi , hawaamini jambo mpaka liwakute , Awamu hii unga hauuziki , wangeuacha tu juu ya dali wakashika majembe wakalime uziguani huko
      Ha ha ha .

    • @snawtasnota6708
      @snawtasnota6708 5 років тому

      Escobar haikumshinda ila alijiharibia alivyojiingiza kwenye siasa kwasababu alivyokataliwa kugombania akaanza vita na serikali hilo ndo tatizo.

  • @yotehery4368
    @yotehery4368 5 років тому +1

    Mungu awafanyieni wepec maboc wangu

  • @sarahissike6182
    @sarahissike6182 5 років тому +11

    Rama weweeeee!!!! Baba alikusomesha kwa shida umekuja kumlipa kwa kuuza madawa jmn,so sad yani nimeumia sana kukuona apa, daaahh!!! Inauma sn kweli TAMAA MBAYA

    • @shafiisaidygongoro7181
      @shafiisaidygongoro7181 4 роки тому +1

      Kwenye kutafuta dada

    • @tysonphilip2094
      @tysonphilip2094 4 роки тому

      Bongo kweli ngumu vijana wadogo ndo jera inamuusu kiulaini pole sana dada

    • @missbartanzania688
      @missbartanzania688 3 роки тому

      Ni harakati za kutafuta

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 10 місяців тому

      Na huyo mbwa shetani ni wa kunyonga tu Tanzania ianze kuwanyonga hawa mashetani kama Singapore wanaharibu sana ndugu zetu

  • @deadcrush
    @deadcrush 5 років тому +6

    Kwenye pevs....vv...vpc... hahaha!

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 2 роки тому +1

    Jaman

  • @40kstore
    @40kstore 5 років тому +23

    Ukutakiwa kusema ni mwiisilamu,hakuna sababu

    • @myself4128
      @myself4128 5 років тому +2

      Lazima aseme

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 5 років тому +2

      😄😄😄😄

    • @consumingfire1824
      @consumingfire1824 5 років тому +1

      mimi mkristo, lakin huyu jamaa ana kera, dini ya nn hapa, au dini ndo imewatuma waibe? hayo majina tu, huenda ata msikitini hawajawai kukanyaga. Acheni ushabiki wa chuki zidi makundi ya watu? Uloooooofaaa huo mzee.
      Menoo machafuuuu, hapo harufu tu yako ni madawa ya kulevya, unatakiwa ushikwe na ww

    • @40kstore
      @40kstore 4 роки тому

      @Change Mindset hawatakiwi kusema wakristu pia,yaan haina haja ya kutaja dini,labda kama sijui sababu ya kutaja dini unisaidie jamaa

    • @40kstore
      @40kstore 4 роки тому

      @@myself4128 kwasababu gani,tusaidie tusio jua,me sioni sababu ya kutaja dini

  • @husenimsumba8391
    @husenimsumba8391 3 роки тому +1

    Duuu! Muheshimiwa tarehe hiyo,

  • @saumukaisi3996
    @saumukaisi3996 5 років тому +4

    Watatuka tu jmn fahadi jmn mbona bado kijana mdg sn Fanya kz broo acha tamaa jmn😭mlinzi utapotea BABA

  • @susanraphael5894
    @susanraphael5894 3 роки тому +1

    Jamani eeh Mungu tuhurumie

  • @belamicheal3353
    @belamicheal3353 5 років тому +3

    Huyo mlinzi hana hatia yoyote

  • @mohamedomar4037
    @mohamedomar4037 5 років тому +3

    Mheshimiwa una maana gani kusema alfajiri saa nane ungesema saa nane usiku sio saa nane alfajiri tufafanulie

  • @dedankimathi4087
    @dedankimathi4087 5 років тому +7

    Big fish hawapo hapo ongeza bidii mkubwa!!!

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x 5 років тому +1

      Hii biashara imepitwa na wakati vijana wenzengu tafuteni kazi nyingine lakini hamtaki kusikia kabisa sasa mumeona faida ya kutaka hela kirahisi bila hata kutoa jasho hii awamu ya tano ni nyingine huyu ni magu na cyo kikwete

    • @anelkaking9342
      @anelkaking9342 5 років тому

      Sure

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 5 років тому +2

    Sio Kesi hyo WANATOKA HAO UMEENDA KUWAKAMATIA KWAO WAMELALA

  • @estherjohn953
    @estherjohn953 5 років тому +2

    Muachieni mlinzi ana atia akatafute kazi nyingine

  • @japhetbarton8268
    @japhetbarton8268 5 років тому +2

    Hapo ndege wooote pwaaaaaa ni mbio tu

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 3 роки тому +1

    Mh!watoto wadogoooo

  • @khdijaahmed8458
    @khdijaahmed8458 5 років тому +1

    Jamani kaka zangu mbona hiyvo jamani kz ziginee jamani achenii 😭🤔🤔

  • @adelphinusbikonya8534
    @adelphinusbikonya8534 5 років тому +2

    Huyo Fad kafanana sana na msanii SWEBE jamani

  • @gdesiandimbo5363
    @gdesiandimbo5363 2 роки тому +1

    Maskini makonda unajipalia kuni

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 5 місяців тому

    Hata Machawa Machawa Wachunguzwe Ivi Mtu Kuwa Mmbea Ndio Apate Hela Nyingi Uchunguzi Muhimu

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 5 років тому +1

    Mtihani wacheni mambo hayo

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 5 років тому +1

    Safi sana
    Kazi nzuri kitengo mmefanya

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 4 роки тому +1

    Serikali inafanya vyema saana katika kupambana na vita hii' ni wakati sasa serikali kupanga kanuni na sheria maalum ili wapate wanacho stahili kisheria kulingana na uhalifu walio tenda. Ila utowaji wa maelezo juu ya kadhia hii na kutoa nukta ya upelelezi,. Ulivyo kuwa ukifanyoka hii ni hatari kwa usalama wa hao walio kamatwa kwanza. Busara itumike

  • @jamesgustav196
    @jamesgustav196 5 років тому +3

    Hv hii vita dhidi ya madawa ya kulevya itaisha kweli hapa bongo? Maana kila siku wanaokamatwa ni vibaraka na sio wakubwa wenyewe ambao laiti wangepatikana ingekuwa Bonge moja la breaking news hapa nchini! Mtandao wa ki intelijensia hapa kwetu bado sana, wacha tuemdelee kupiga picha tu hizo nyumba zao

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 4 роки тому

    Duuuuh nihatar madawa hapa Tanzania hatuyahitaji na hayana nafasi kamata hao na wakubwa wao wasakwe jinga sn sisi tunapambana na corona na madawa tena watusumbue.

  • @shakurfaith
    @shakurfaith 5 років тому +14

    Unamuonyeshaje mlinzi mahali unapokaa? Hawa madogo walikuwa wazembe sana.

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 5 років тому +1

      Prince Shaks
      La kushangaza wanauza madawa yote hayo alafu wanaishi kwa Mama ILALA BUNGONI .
      Mama kasema ndio wamo ndani , kawaamsha , wametiwa mikononi .

    • @shakurfaith
      @shakurfaith 5 років тому +3

      Inthenameoflove Ecoy, platoon 3 section 1. Op Magufuli! Ukiwa mjanja utaelewa. Ila bado nasema hawa madogo walikuwa wazembe

    • @shakurfaith
      @shakurfaith 5 років тому +1

      Chayo Gasperi naona bado wadogo wa akili na umri ndo mana wazembe. Tena unaishije kwa mama! Dah

    • @aureliabernadi4170
      @aureliabernadi4170 5 років тому

      Prince Shaks mama nae kiazi kwe

    • @aureliabernadi4170
      @aureliabernadi4170 5 років тому +1

      Mama nae kiazi kwelkwel

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 років тому +5

    MBONA MSICHUNGUZE ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU.

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 4 місяці тому

    Ingekua irani hao kwaheri laki hao hapa kwetu kesho wapo mtaani hao waumize watanzania

  • @ahmadmuhammadnguri1770
    @ahmadmuhammadnguri1770 5 років тому +2

    Kwa nn usimtaje au we pia unausika

  • @mohamedrajabu9055
    @mohamedrajabu9055 5 місяців тому

    Washatambulika tia jela au ikiwezekana nyonga nyumba wapo wazee au watto mayatima waishi

  • @user-xy8mh5id1l
    @user-xy8mh5id1l 4 роки тому +2

    Da polen sana vijana

  • @shankalimauno5786
    @shankalimauno5786 5 років тому +5

    navyojua hii awamu ya tano ya raisi magufuli si maisha mapya hayo gerezani. arafu wanaonekana vishada tajiri hapo ayupo

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 10 місяців тому

    Tanzania mngekuwa mnanyonga wauza madawa ya kulevya hawa ni mashetani hawastahili kuishi!

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 5 років тому +4

    Huyo ambaye hujamtaja ni mkristo ndio maaana umemuhifadhi

  • @nackynyone5514
    @nackynyone5514 5 років тому +1

    Mnafanya kazi nzuri ila bangi mnaichoma tunaona mbona madawa ya kulevya hamfanyi hivyo

  • @oyay2821
    @oyay2821 4 роки тому +1

    Kijana anatoa tumbo kumbe madawa

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 5 років тому +4

    mheshimiwa tunakupongezeni kwa juhudi zenu ila haina haja ya kusema mtu dini yake ni mwislam au mkristo.

    • @shaabanhaji2014
      @shaabanhaji2014 5 років тому

      Kwanini isisemwe???

    • @shaabanhaji2014
      @shaabanhaji2014 5 років тому

      Kwanini??

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 5 років тому +3

      @@shaabanhaji2014 kwasababu mtu akifanya mabaya hayahusiani na dini yeyote.Dini zote zinakataza mabaya kuitwa ally au john ni majina tu na mtu anakuwa muumini kwa vitendo vyake vizuri na si kwa jina lake zuri.

    • @rukaiyasalim1019
      @rukaiyasalim1019 5 років тому

      @@abuyunusmohamed6961 Naaam

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 3 роки тому

    shamim mwasha na mmeo mmewapeleka jela na hao wapeleken jela

  • @danielx8
    @danielx8 5 років тому +2

    Muachieni mlinzi

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Рік тому

    Kabla ya kutenda jiulize kitachotokea ukikamatwa.

  • @daprince7545
    @daprince7545 5 років тому +1

    Bado kazi hujafanya apo umeshika vichuzi . Tafuta maboss wenyewe hao ndio tunatapa kuwaona kwa sura zao. Hii mambo ya madawa Kuna watu wako kwa serikali wanajua hii biashara hata hao ndio wausika wakubwa .

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 4 місяці тому

    Unajuaje wamesha ingiza kiasi gani hao

  • @eddojunior5378
    @eddojunior5378 5 років тому +1

    Yaan unakimbilia kuita media ili taarifa zisambae wakat wahusika hawajakamatwa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 10 місяців тому

    Wewe mkuu na sapoti yako Mtalipa hii Asala Au Utapata kwako na family yako tutaona 😭💰💵

  • @aboumsouth6498
    @aboumsouth6498 5 років тому +4

    Fahadi Rama machizi wangu tufanye kazi wanangu acheni hizo mambo😥

  • @nickolatharwelamila776
    @nickolatharwelamila776 Рік тому

    Miaka 24 anamiiki mjengo

  • @pioustrevol3468
    @pioustrevol3468 9 місяців тому

    Mnachozingua Mbakamata Watu msiotaka wafanye lakini Manguli Wakuuza Izo Dawa Mnawaacha, Still Bd N Bullshit tu

  • @asiasalimkapalato7463
    @asiasalimkapalato7463 5 років тому +2

    Mmemuone mlizi yy anuhusika nini sasa pumbavu zako

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 5 років тому

    Saizi halingum amna ajila vijana wana shawishika

  • @tysonphilip2094
    @tysonphilip2094 4 роки тому

    Dooh kijana mdogo unaenda jera pole sana ila ndo life

  • @ombenikisunga5059
    @ombenikisunga5059 5 років тому +1

    Mlinzi hana kosa

  • @goldboysun6635
    @goldboysun6635 4 роки тому

    Huyo mtanzania uliyemfich jina ndo umtaje, hao unawadharirisha cz hawana hela, au mnasubir ten percent

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 5 років тому +5

    sasa hayo madawa nyie hua mwisho wa siku mnayapelekaga wapi ?

  • @StoneMsaku-zb9ym
    @StoneMsaku-zb9ym 5 років тому

    la haulaaa!

  • @tevintevin1884
    @tevintevin1884 5 років тому

    Mbona wote waislam sasa

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid6839 5 років тому

    Bendera ya marekani kwann mbona nyie wazembe mno

  • @DominicMyumbilwa
    @DominicMyumbilwa 5 років тому

    Duu, 21Kg

  • @ahmedibrahim-bg2uz
    @ahmedibrahim-bg2uz 5 років тому +3

    Hawo chabo wengi wakubwa polisi feki masifa mengi peya

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 5 років тому

    Hata pesa zilizojenga ni za unga ndo waliofanya watoto wetu mataila

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 роки тому

    Wanajiamini Sana aisee hawana hata was was

  • @HASASON
    @HASASON 5 років тому +1

    Hivi mbona hii biashara imetawaliwa na maalshabibi sana? Tokea nimeanza kufuatilia hawa wafanyabiashara wa madawa wote ni maalshabibi

    • @aboudmsonde886
      @aboudmsonde886 5 років тому +2

      Unaweza kutoa ushahidi wa hilo unalo hiandika????

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 3 роки тому

    Washapoteaaa hawa

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 4 роки тому

    Toyota a si ti duu tumesoma wapi,

  • @minmaxc485
    @minmaxc485 3 роки тому

    intelligence imeendaje kuhusu hii

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji 5 років тому +3

    Hio pendera ya marekani hapo imekuaje?
    Nauliza tu.

  • @niasanga2373
    @niasanga2373 5 років тому

    Vijana wanzur lkn duuh

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 роки тому

    Jamani Selekari haitaki Mbona hamuelewi

  • @leonardmrope9528
    @leonardmrope9528 5 років тому

    Duuh!! ni vijana wdogo wanaenda kumalizia ujana wao Gerezani aisee!! kinachouma wanaawacha mademu zao wazuli wazuli duuh,!!

    • @lamecktheonest225
      @lamecktheonest225 5 років тому

      Leonard Mrope wakome wanafanya vijana wengi wanakua kama mandondocha, wao wala baga wenzao vibisukuti ukoko zaid hapo mkate

  • @mubarakaritorn358
    @mubarakaritorn358 5 років тому +3

    SIJAONA HAKI KUMPIGA PICHA MLINZI MAANA AMESAIDIA UPELELEZI.

    • @jeffkabara
      @jeffkabara 5 років тому

      Kabisa coz ndo kasaidia upelelez afu tayar kawa mtuhumiwa na alkua ajui kinachofnyika .. ila kama alikua ni mtu binafs ata angaika sana ila kama ni kampuni ya ulinzi kidgo atakua na ka unafuu

  • @zakayosilas6963
    @zakayosilas6963 5 років тому +1

    Bado hamjawakamata vigogo

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 4 роки тому

    Waliosikie kilo 21 point sitini na saba .. hesabu bhana

  • @joachimchaula7254
    @joachimchaula7254 4 роки тому

    Fahady na Rama sina La kusema Mungu awasaidie sana

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 5 років тому +1

    Mwanamme aliekamilika hawezi kuingilia mambo yasiomuhusu ukiona mwanamme wa namna hiyo lazima anakasoro wewe ndio ulianza mimi sijakuandikia wewe kila mtu anaandika anavojisikia nakushangaa unarukia mambo yasokuhusu unawashwa pimbavu wewe katafute wa kukukuna acha na mimi nguruwe wewe

  • @mohamedalaraimi6813
    @mohamedalaraimi6813 5 років тому

    Na kwani madawa ya kulevya yanakatazwa ee

  • @onyaman7336
    @onyaman7336 5 років тому +1

    Sasa mtaenda kuyachoma moto lini

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif667 5 років тому

    je wanaachiwa lini ?nauliza tu