POLISI DSM YAWANASA WAUZAJI WA DAWA ZA KULEVYA DSM
Вставка
- Опубліковано 14 лип 2019
- Jeshi la polisi kupitia kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya kinawashikilia watu watatu wanaodaiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya. Mkuu wa Kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Salim Kabaleke ameeleza mbele waaandishi kuwa walipokea taarifa kutoka kwa raia wema kuwa huko maeneo ya Mbezi Kwember Dar es salaam kuna nyumba ambayo imehifadhi mzigo wa dawa za kulevya zinazosambazwa katika maeneo mbalimbali ambapo baada ya kuweka mtego waliwakamata watu watatu akiwemo mlinzi wa nyumba hiyo.
KAZI NZURI MKUU SAFI SANA,KEEP IT UP JESHI LETEU LA POLISI.
Hongera mweshimiwa ww muislam kweli malipo yako kwa Allah
Etiii walio kamatwa majina mmetaja tena kwa msisitizo kbs lkn anaetuma mmetajiwa lkn jina linahifadhiwa mhhhj
Hivi yule bosi wa biashara ya madawa ya kulevya aliekakamatwa magomeni lesi yake inaendeleaje? Na hao sio mabosi ni vibaruwa tu. Mabosi wapo serikalini na hao wakiwataja family zao zitatekwa na watu wasiojulikana Haahaaaahaaaaa hatari tupu ❌
Safi sana kazi nzuri
Mkuu wa Kitengo cha kuzuia na kupambana na dawa za kulevya, Salim Kabaleke Allah atakulipa kwa kazi yako njema unayoifanya. Ni aibu kubwa kubwa sana kwa Muislamu yoyote kujihusisha na madawa ya kulevya, ikiwa pombe tu ambayo ni halali nchini lakini kidini yetu tukufu tumekatazwa na hatujihusishi kabisa itakuwaje hawa ndugu zetu waislamu ndio weko mbele mbele kuhusika na madawa haya haramu ??? Mzee Salim Allah akupe ujasiri na ulinzi mkubwa uweze kupambana nao vilivyo InshaAllah serikali nayo izidi kukuwezesha kufanya kazi hii muhimu sana kwa jamii nzima, HII NI KAZI YA MUNGU MUNAFANYA NA YEYE NDIE ATAKAE WALIP INSHAALLAH
HAO NI CHAMBO TU,
WAKUBWA WENYEWE BADO.
INASIKITISHA SANA HAO WANOONESHWA HAPA WAMECHOKA NA HAWANA HATA SURA ZA PESA..
ETI NDIO WANAITWA WAUZA MADAWA YA KULEVYA..
WAPI NA WAPI NYIEE..
TUONESHENI HAO WAKUBWA WAO AMBAO WANAWATUMIKISHA HAWA VIJANA..🔫🔪💣💉💊🚬
Ellysomeboy PLatnumz hadi umfikie muuza madawa THE DON SIO KAZI RAHISI ILA HAWA HAWA CHAMBO WATASAIDIA KUWATIKISA MADON NA WENGI WAKIONA HIVYO MADON HUKIMBIA NCHI
Ellysomeboy PLatnumz hahaha
Safi kabisa.kamata kambare sio dagaaa.
Harafu ni vijana wadogo sana wauza unga mabosi wapo serikalini hawa ni wafanyakazi wao ni vibaruwa tu. Na hawa wakubwa wao wakiwataja family zao zitatekwa na watu wasiojulikana
Kweli kabisa hao watawaonea tu
hahaha aliesikia ACT badala ya IST like apa
Mwacha kamanda wangu jamani menoyake yana matatizo😁😁😁😁😁💃🏼
Bongo hamna kumyongwa ingekuwa njee aiseee
Wakati huu was mjomba mnauza madawa kweli mnajipenda nyieee...doooh🙄🙄🙄🙄Bora mnge eenda mkalime
Bongo kesi za madawa----poa malizia
Kama shule ngumu tukalime tuu!!😄😄
Wenzio maboss we baki kucoment ushuwaini tu
Yaani hapo ishu ni kwamba kuna mwenzao ndo katoboa siri tuu. Na hii kitu haitakiwi muwe wengi kwenye mchongo.
Ukiwa unatafuta maisha huwez kuogopA jela!!! Ni sehem ya kujifunza
Pwenty
Ni waanze kuwanyonga hawa mashetani !
mie mwenyewe MTU akitaka tufanye nae kazi mie nipo tayari kwa haya maisha bora tu lawama na jela ila ule good time kidogo nimevurugwa
Khadija ww
hata mm niko tayar kufanya kaz ya madawa ya kuevya kwa mwenye dili hizo anichek
Ebana si uwe Malaya tu
Umeeleweka na litafanyiwa kazi.
Kama umesikia saa nane alfajir 😂😂😂tujuane
Dr One Minguel nadhani amewaiga waingereza na wamarekani ndo lugha yao, saa tisa usiku wanasema 3 in the morning
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mambo ya kiintelijinsia, ya kiume hyo!
Hahahaa
unadha AM inaanza saa ngap?!!!
Na uyo abaye una sema ushuguz una enderea ujue ni mkubw wa serkar uyo Ndio mahn amja mtaja tuna jua san
Tatu Albadri hebu mtaje wewe basi
Janana
Hongera sana
So, mnaingiza pesa. Mnatajirika kutokana na kuharibu nguvu za mwili na akili za binaadamu wenzenu!? Poleni sana!
Maskini mtu namuhurumia huyo mlinzi manake ye kazi yake ni kulinda jengo usiku kucha akiwa ame acha familia yake bila mlinzi. Kwa,mrazamo wangu wasinge muonyesha huyo mlinzi hadharani
Kabisaaa maana hapo hausiki na chochote kile InshaAllah M.Mungu atamsimamia
Kweli kabisa mlinzi hausiki kbs
Wamezulumiana ndo wametajana lkn b4 awajazulumiana walikuwa wanakula nakusaza
💥💥 NJOO UONE JINSI MTU ANAVYOVULIWA NGUO NA KUVALISHWA NYINGINE BONYEZA PROFILE PICHA YANGU HAPO KUSHOTO 👈
Ila mm Napenda hii kazi sijui kwann jaman🙌🙌
Kazi gani hiyo fafanua
Kama umesiki Toyota Act gonga like 😂
hongeren sana police na polen sana
Hii biashara ilimshinda ad godfather wa madawa Escobar njoon tulime tutachelewa lakn tutatoka tu
Yap!
Robert Daud Kuna binadamu wameumbwa wabishi , hawaamini jambo mpaka liwakute , Awamu hii unga hauuziki , wangeuacha tu juu ya dali wakashika majembe wakalime uziguani huko
Ha ha ha .
Escobar haikumshinda ila alijiharibia alivyojiingiza kwenye siasa kwasababu alivyokataliwa kugombania akaanza vita na serikali hilo ndo tatizo.
Mungu awafanyieni wepec maboc wangu
Rama weweeeee!!!! Baba alikusomesha kwa shida umekuja kumlipa kwa kuuza madawa jmn,so sad yani nimeumia sana kukuona apa, daaahh!!! Inauma sn kweli TAMAA MBAYA
Kwenye kutafuta dada
Bongo kweli ngumu vijana wadogo ndo jera inamuusu kiulaini pole sana dada
Ni harakati za kutafuta
Na huyo mbwa shetani ni wa kunyonga tu Tanzania ianze kuwanyonga hawa mashetani kama Singapore wanaharibu sana ndugu zetu
Kwenye pevs....vv...vpc... hahaha!
Jaman
Ukutakiwa kusema ni mwiisilamu,hakuna sababu
Lazima aseme
😄😄😄😄
mimi mkristo, lakin huyu jamaa ana kera, dini ya nn hapa, au dini ndo imewatuma waibe? hayo majina tu, huenda ata msikitini hawajawai kukanyaga. Acheni ushabiki wa chuki zidi makundi ya watu? Uloooooofaaa huo mzee.
Menoo machafuuuu, hapo harufu tu yako ni madawa ya kulevya, unatakiwa ushikwe na ww
@Change Mindset hawatakiwi kusema wakristu pia,yaan haina haja ya kutaja dini,labda kama sijui sababu ya kutaja dini unisaidie jamaa
@@myself4128 kwasababu gani,tusaidie tusio jua,me sioni sababu ya kutaja dini
Duuu! Muheshimiwa tarehe hiyo,
Watatuka tu jmn fahadi jmn mbona bado kijana mdg sn Fanya kz broo acha tamaa jmn😭mlinzi utapotea BABA
Hata hiyo pia kaz si wanapata hela
Jamani eeh Mungu tuhurumie
Huyo mlinzi hana hatia yoyote
Mheshimiwa una maana gani kusema alfajiri saa nane ungesema saa nane usiku sio saa nane alfajiri tufafanulie
Big fish hawapo hapo ongeza bidii mkubwa!!!
Hii biashara imepitwa na wakati vijana wenzengu tafuteni kazi nyingine lakini hamtaki kusikia kabisa sasa mumeona faida ya kutaka hela kirahisi bila hata kutoa jasho hii awamu ya tano ni nyingine huyu ni magu na cyo kikwete
Sure
Sio Kesi hyo WANATOKA HAO UMEENDA KUWAKAMATIA KWAO WAMELALA
Muachieni mlinzi ana atia akatafute kazi nyingine
Hapo ndege wooote pwaaaaaa ni mbio tu
Mh!watoto wadogoooo
Jamani kaka zangu mbona hiyvo jamani kz ziginee jamani achenii 😭🤔🤔
Huyo Fad kafanana sana na msanii SWEBE jamani
Maskini makonda unajipalia kuni
Hata Machawa Machawa Wachunguzwe Ivi Mtu Kuwa Mmbea Ndio Apate Hela Nyingi Uchunguzi Muhimu
Mtihani wacheni mambo hayo
Safi sana
Kazi nzuri kitengo mmefanya
Serikali inafanya vyema saana katika kupambana na vita hii' ni wakati sasa serikali kupanga kanuni na sheria maalum ili wapate wanacho stahili kisheria kulingana na uhalifu walio tenda. Ila utowaji wa maelezo juu ya kadhia hii na kutoa nukta ya upelelezi,. Ulivyo kuwa ukifanyoka hii ni hatari kwa usalama wa hao walio kamatwa kwanza. Busara itumike
Hv hii vita dhidi ya madawa ya kulevya itaisha kweli hapa bongo? Maana kila siku wanaokamatwa ni vibaraka na sio wakubwa wenyewe ambao laiti wangepatikana ingekuwa Bonge moja la breaking news hapa nchini! Mtandao wa ki intelijensia hapa kwetu bado sana, wacha tuemdelee kupiga picha tu hizo nyumba zao
True
Duuuuh nihatar madawa hapa Tanzania hatuyahitaji na hayana nafasi kamata hao na wakubwa wao wasakwe jinga sn sisi tunapambana na corona na madawa tena watusumbue.
Unamuonyeshaje mlinzi mahali unapokaa? Hawa madogo walikuwa wazembe sana.
Prince Shaks
La kushangaza wanauza madawa yote hayo alafu wanaishi kwa Mama ILALA BUNGONI .
Mama kasema ndio wamo ndani , kawaamsha , wametiwa mikononi .
Inthenameoflove Ecoy, platoon 3 section 1. Op Magufuli! Ukiwa mjanja utaelewa. Ila bado nasema hawa madogo walikuwa wazembe
Chayo Gasperi naona bado wadogo wa akili na umri ndo mana wazembe. Tena unaishije kwa mama! Dah
Prince Shaks mama nae kiazi kwe
Mama nae kiazi kwelkwel
MBONA MSICHUNGUZE ALIYEMPIGA RISASI TUNDU LISSU.
Ingekua irani hao kwaheri laki hao hapa kwetu kesho wapo mtaani hao waumize watanzania
Kwa nn usimtaje au we pia unausika
Washatambulika tia jela au ikiwezekana nyonga nyumba wapo wazee au watto mayatima waishi
Da polen sana vijana
navyojua hii awamu ya tano ya raisi magufuli si maisha mapya hayo gerezani. arafu wanaonekana vishada tajiri hapo ayupo
Tanzania mngekuwa mnanyonga wauza madawa ya kulevya hawa ni mashetani hawastahili kuishi!
Huyo ambaye hujamtaja ni mkristo ndio maaana umemuhifadhi
Mnafanya kazi nzuri ila bangi mnaichoma tunaona mbona madawa ya kulevya hamfanyi hivyo
Kijana anatoa tumbo kumbe madawa
mheshimiwa tunakupongezeni kwa juhudi zenu ila haina haja ya kusema mtu dini yake ni mwislam au mkristo.
Kwanini isisemwe???
Kwanini??
@@shaabanhaji2014 kwasababu mtu akifanya mabaya hayahusiani na dini yeyote.Dini zote zinakataza mabaya kuitwa ally au john ni majina tu na mtu anakuwa muumini kwa vitendo vyake vizuri na si kwa jina lake zuri.
@@abuyunusmohamed6961 Naaam
shamim mwasha na mmeo mmewapeleka jela na hao wapeleken jela
Muachieni mlinzi
Kabla ya kutenda jiulize kitachotokea ukikamatwa.
Bado kazi hujafanya apo umeshika vichuzi . Tafuta maboss wenyewe hao ndio tunatapa kuwaona kwa sura zao. Hii mambo ya madawa Kuna watu wako kwa serikali wanajua hii biashara hata hao ndio wausika wakubwa .
Ndio
Unajuaje wamesha ingiza kiasi gani hao
Yaan unakimbilia kuita media ili taarifa zisambae wakat wahusika hawajakamatwa
Wewe mkuu na sapoti yako Mtalipa hii Asala Au Utapata kwako na family yako tutaona 😭💰💵
Fahadi Rama machizi wangu tufanye kazi wanangu acheni hizo mambo😥
umechelewa kashaingia hatiani
Yan mungu awatangulie
Miaka 24 anamiiki mjengo
Mnachozingua Mbakamata Watu msiotaka wafanye lakini Manguli Wakuuza Izo Dawa Mnawaacha, Still Bd N Bullshit tu
Mmemuone mlizi yy anuhusika nini sasa pumbavu zako
Saizi halingum amna ajila vijana wana shawishika
Dooh kijana mdogo unaenda jera pole sana ila ndo life
Mlinzi hana kosa
Huyo mtanzania uliyemfich jina ndo umtaje, hao unawadharirisha cz hawana hela, au mnasubir ten percent
sasa hayo madawa nyie hua mwisho wa siku mnayapelekaga wapi ?
la haulaaa!
Mbona wote waislam sasa
Bendera ya marekani kwann mbona nyie wazembe mno
Duu, 21Kg
Hawo chabo wengi wakubwa polisi feki masifa mengi peya
Hata pesa zilizojenga ni za unga ndo waliofanya watoto wetu mataila
Wanajiamini Sana aisee hawana hata was was
Hivi mbona hii biashara imetawaliwa na maalshabibi sana? Tokea nimeanza kufuatilia hawa wafanyabiashara wa madawa wote ni maalshabibi
Unaweza kutoa ushahidi wa hilo unalo hiandika????
Washapoteaaa hawa
Toyota a si ti duu tumesoma wapi,
intelligence imeendaje kuhusu hii
Hio pendera ya marekani hapo imekuaje?
Nauliza tu.
Mapoyoyo tu haya
Kabisaa najiuliza na Mimi hapa Dubai UAE
Ukoloni mamboleo
Vijana wanzur lkn duuh
Jamani Selekari haitaki Mbona hamuelewi
Duuh!! ni vijana wdogo wanaenda kumalizia ujana wao Gerezani aisee!! kinachouma wanaawacha mademu zao wazuli wazuli duuh,!!
Leonard Mrope wakome wanafanya vijana wengi wanakua kama mandondocha, wao wala baga wenzao vibisukuti ukoko zaid hapo mkate
SIJAONA HAKI KUMPIGA PICHA MLINZI MAANA AMESAIDIA UPELELEZI.
Kabisa coz ndo kasaidia upelelez afu tayar kawa mtuhumiwa na alkua ajui kinachofnyika .. ila kama alikua ni mtu binafs ata angaika sana ila kama ni kampuni ya ulinzi kidgo atakua na ka unafuu
Bado hamjawakamata vigogo
Vigogo hawakamatiki
Waliosikie kilo 21 point sitini na saba .. hesabu bhana
Fahady na Rama sina La kusema Mungu awasaidie sana
Hamna Mungu atawasaidia mashetani hao ni wa kunyonga tu
Mwanamme aliekamilika hawezi kuingilia mambo yasiomuhusu ukiona mwanamme wa namna hiyo lazima anakasoro wewe ndio ulianza mimi sijakuandikia wewe kila mtu anaandika anavojisikia nakushangaa unarukia mambo yasokuhusu unawashwa pimbavu wewe katafute wa kukukuna acha na mimi nguruwe wewe
Mariam Faki mmmmmh vip tena
Na kwani madawa ya kulevya yanakatazwa ee
Sasa mtaenda kuyachoma moto lini
Hata me najiuliza
je wanaachiwa lini ?nauliza tu