🅻🅸🆅🅴 TUNDU LISSU NA PETER MSIGWA WANAUNGURUMA KIJIJI UGHANDI -SINGIDA KASKAZINI
Вставка
- Опубліковано 4 чер 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Msigwa anatrma sumu ase uko vzr kamanda✌️✌️✌️✌️✌️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Safi sana Msigwa kwa kutoa elimu nzuri kwa wananchi.
Jumbe uko vizuri umeongea vitu vya point Sana Dodoma na singida ndo mibuyu ya ccm wanapopoa tu
Ccm ni zaidi ya jambazi ukiwaangalia ni kama watu lakini siyo watu
@@lukasmnyeti3016wewe pia unaonekana ni jambazi,Malaya na mwenye roho mbaya kama ccm
Salaam sana Wana Ughandi tupo nanyi sambamba katika mapambano yanayoongozwa na Tundu Lissu
Hongereni sana wakuu🔥🔥🔥🔥🔥
Hongereni kufka ughandi
Msigwa ahsante kwa kunifungua🔨🔨🔧🛠️🗝️🗝️🗝️
safi sana
Msigwa umefanya vizuri weka maslahi ya chama mbele, huo ndio ukomavu.
Duh msingwa ameshusha nondo za hatari mnooo... Wengi tulikuwa hatuna elimu hii
Mi hofu yangu ni kwa huyu askofu mwanamapinduzi hv neno la mungu na siasa wapi na wapi ameacha kanisa anapiga misele jamani duu hii kali
Hali ishaharibika tayari tundu vita tayari mbowe hakutaki anataka yeye awe mwenyekiti wa maisha asiwe na mpinzani atakae mpinga msigwa washampiga na chini bado wewe tuu
Kwani Msigwa walompiga Chini nani? Kwani nyie Ccm Wenyeviti wa Mikoa wanadum milele? Au hujui Msigwa Alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Nyasa?
Uliyetoa hiyo comment hujitambui,unaloloma tu
Msigwa tena jamani! Smetokaapi mbona juzi tu alikuwa anajipaka mavi mwenewe kule jimboni kwake?!!
Inaitajika elimu kama hii ya mheshimiwa lisu maana inaamusha mioyo ya watu kukata tamaa kunaisha ujue sehemu nyingine wanaona hata wakipiga kula kwa mugombea wa chadema anatangazwa wa ccm hali hii inakatishana tamaa kuendelea kupiga kula lakini kwa elimu hii ya lisu naona watu wanapata matumaini tena na nguvu ya kupiga kula
Sera nzuri sana lakini bado tunatawaliwa na uoga
mpiga picha use unaonesha na watu waliopo kwenye mkutano unammwonyesha tu anaeongea hii siyo sawa
Mpiga picha nihana uzoefu anajifunza kamaanauzoefu awe anawaonyesha na umati wa watu aunijamii ya ccm
Enzi za Nccr mageuzi Kuna askofu alisema mrema akishinda anaacha uaskofu tusijisaulishe
Kwa hiyo rufaa ya Msigwa imeshasikilizwa au ni kutaka kuwagombanisha Lissu na Mbowe?!
Wenye akili hawagombani wanapishana tu. Bali mpumbavu ndo hugombana
Mmmm jambo tv siwaelewi mmekaza camera jukwaani tu wananchi hamuwaonyeshi au mkutano hauna watu?
Ccm kama freemason kila dhambi wanazo . Mungu atawaangamiza Kwa kuibeba dunia
Leo nimefurahi Sana kukuona nilijuwa basi tena unatuacha msigwa niliumia Sana juzi nakuomba usihame chadema kama uliweza kukataa hela za mwendazake Leo hii unaanzaje bado tunakuhitaji mzee
Tena na kodi za majengo kukatwa kwenye umeme kila mwezi 1500 zinaenda wapi nyumba ngapi zina katwa tozo za majengo pesa inafanyia nini
Asanteni kwa kutufungua akili
CCM mnatuangamiza . Mnapeleka wapi fedha za kodi mnazokusanya na mnazokopa . Malori yenu yanauwa sana watu MBEYA. Barabara ya kuchepusha malori yasipite mjini mmezungumza miaka mingi sana. Oneni aibu kulaghai wananchi miaka mingi huku wakiendelea kupoteza ndugu zao. Ajali kila kukichwa, inasikitisha sana.
Msigwa elimu imekaa vizuri
Unajuwa chama hiyo hawo wote wanapig kerere tu hakuna mgombea uenyekit cham hiyo ya watu okooooooo
Kimenuka
Huo ndo ukomavu wa siasa ccm walitoa mimacho kuwa tayar twapta nae juu Kwa juu
Uyoooo Chawla WA CCM akili kama matope ; waTanganyika tulishaamka
Kwanini CCM hawasemi ukweli, kwanini wanatuona hatuna akili?
Mwenye.ki.cha dema.mshimiwa.mbowe.mwe.pamojq.vushq.taifa.lina.angamia.asante
Hiyo njaa.utafanya nini?
Apo msigwa umenena jambo LA maana sanasana mtendaji mkurugenZi mkuu wa wilaya mkuu wa mkoa jaji mkuu msajili wa vyama IGP wanapatikana _?
Hivi kwaniniii? Jambo camera yenu huwa inaonyesha viongozi pekeee? Kwanini huwa hamuonyeshi wananchii wanaosikiliza mkutanoooo??
Ta,nga
Za
Posho.kwa
Wenye.viti.vijiji.wameonewa.mwaka
Mingi
Huwezi kuchukua mtihani wa mtoto hulipe Hera ya mrizi majengo maji na umeme
Usiyetosha niwewe Chawla WA ccmmshenzi ww
Polisi mmepiga kikokoto unatarajia afanye nini. Yaani hayo yataendelea hadi 2025. Mwakani ccm mtapigwa tu
Toeni elimu tatizo watu wetu hawaelewi
Mbona ninyi miccm mlisema mkipoteza watu polisi wasiwatafute? Kwani yule fala polisi wamemkamata?
Mpiga picha hutufai. Mbona huonyeshi watu unaonyesha anae ongea tu? Mikutano yenu haina watu?
CCM si simu tunisawa na kunywa maji ya betrii
Kwa ujumbe huu wa baba Askofu ccm atareta vita ya kimbari ya Zanzibar na tanganyika tutauuwana kwa ubaguzi wake huyu mrembo Mh peekee tz ajawai tokea toka inchi izariwe
waTanganyika bwana hatutaki Tena kusikis Tanzania
Mimi simwiti mama namuita mzanzibar na sio mtanganyika haruhusiwi kuishi tanganyika ni mwanamke hafaii kutuongoza waisramu duniani labda wakristo watampenda wana manabii wakee
Kweli
Mbona wewe mrundi unaishi Tanzania na hakuna anayekughasi mkundu wewe
Serikali inatukomoa afadhali kuliko kuishi na viongozi Matapeli
Ww chakufanya muwachague viongozi wengi kutoka chadema (upinzani) af utaona
Kwani huyo aliyeshindwa uenyekiti Nyasa kaja huko Kuna Nini?
kwahiyo akishindwa uchaguzi haruhusiwi tena kuhudhuria mkutano wala kuongea ?? akili za kiccm hizo
Mambo mengine bwana? Tumeambiwa Msigwa kajoin ccm sasa hapo kwa Lissu ametafuta nini? Msituchanganye, mnafanya watu wasipige kura
Hajashindwa, wamepokezana Madaraka, huko yupo anatumikia Chama Chake,Nini kimekushangaza?
😮vijini.posho.wapate.nguvu
Minikajua mishahara kwa wenye viti
Hivi wewe nimwana siasa au nini huko upande gani?
Basi ni wachumba hao
Askofu wa kanisa ganiiiii ushapotea wewee
angekuwa amevaa shati la kijani angekuwa hajapotea? aliyepotea ni Gwajima aliyeoba kura posho za ubunge zimemfanya akae kimya huku watanzania wengi tukiumia
Nimeshangaa askofu kuhamasisha vita, polisi mko wapi?
Ni kweli ndugu ila usitishike,huyu siyo askofu bali ni wale majambazi wanaokimbilia katika siasa
Asikofo anatetea maslahi yake njaa kali unliabisha Kanisa lo aibu gani sasa kwa taarifa unatetea upumbavu inachosema ni upumbavu mtupu hampati kitu hamshindi ngo
Pole
Chedema
Wenye.viti.vijij
Ndio
Wenye.nguvu.rais.mawa ziri.wote.toka.:vliji ni.watangazwe.pos ho
Ndio.chazo
Askofu unajihusisha na siasa mshenz we
Mbona Ma Askofu wanaoshiriki Ccm hamuwashangaagi?
Matusi haya utoayo yanamuhusu na Askofu wenu Gwajima na wengine mlionao huko CCM?
Kweli maisha ni magumu sana tena sana lakini hizo sela za matusi hazikubaliki kumwambia mtu hana akili hiyo siyo sera hayo ni matus
Unajua unacho kiongea askofu?
Askofu hata kama Kuna tatizo kubwa vipi huwezi kuhamasisha vita hapo hakuna askofu kabisa
Wakishiriki mikutano ya Ccm mnawashangilia, wakishiriki ya Upinzani mnawashambulia, Poleni
Mkuu mzingwa uko safi oijana wetu
Amehamasisha vita gani?
Kwa sasa hatutaki kuchezewa... na MaCCM, dah ni zaidi ya miaka 60 mtu amezeeka.
Askofu kwenye uaskofu hutoshi na kwenye siasa hutoshi. Bahati mbaya hujui kwamba hutoshi !
Anatosha kote kote
Askofu Mwanamapinduzi anatosha kotekote..."in fact," anatosha na kupitiliza! Hongera Askofu mwanamapinduzi!
@@ephraimkalanje7105anakutosha wewe na mama yako,pia nasikia analala kwenu
Jaman
Ya.bwana.iwe
Pa m oja.msitoane.mamba.mabaya.yesu.yu.ndani
Yetu
Ss
Sote
Basi ni wachumba hao