🅻🅸🆅🅴 TUNDU LISSU NA PETER MSIGWA WANAUNGURUMA KIJIJI UGHANDI -SINGIDA KASKAZINI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 чер 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►UA-cam: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

КОМЕНТАРІ • 87

  • @pauloisso5815
    @pauloisso5815 Місяць тому +4

    Msigwa anatrma sumu ase uko vzr kamanda✌️✌️✌️✌️✌️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 Місяць тому +3

    Safi sana Msigwa kwa kutoa elimu nzuri kwa wananchi.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Місяць тому +6

    Jumbe uko vizuri umeongea vitu vya point Sana Dodoma na singida ndo mibuyu ya ccm wanapopoa tu

    • @lukasmnyeti3016
      @lukasmnyeti3016 Місяць тому +1

      Ccm ni zaidi ya jambazi ukiwaangalia ni kama watu lakini siyo watu

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Місяць тому

      ​@@lukasmnyeti3016wewe pia unaonekana ni jambazi,Malaya na mwenye roho mbaya kama ccm

  • @rastheunique
    @rastheunique Місяць тому +2

    Salaam sana Wana Ughandi tupo nanyi sambamba katika mapambano yanayoongozwa na Tundu Lissu

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 Місяць тому +2

    Hongereni sana wakuu🔥🔥🔥🔥🔥

  • @markmuna1276
    @markmuna1276 Місяць тому +3

    Hongereni kufka ughandi

  • @user-nr2ux1cm5b
    @user-nr2ux1cm5b Місяць тому

    Msigwa ahsante kwa kunifungua🔨🔨🔧🛠️🗝️🗝️🗝️

  • @PastorBiluko-wl1ex
    @PastorBiluko-wl1ex 28 днів тому

    safi sana

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel6980 Місяць тому +2

    Msigwa umefanya vizuri weka maslahi ya chama mbele, huo ndio ukomavu.

  • @fredypastoryutd4864
    @fredypastoryutd4864 Місяць тому +1

    Duh msingwa ameshusha nondo za hatari mnooo... Wengi tulikuwa hatuna elimu hii

  • @imanimaulid8304
    @imanimaulid8304 24 дні тому

    Mi hofu yangu ni kwa huyu askofu mwanamapinduzi hv neno la mungu na siasa wapi na wapi ameacha kanisa anapiga misele jamani duu hii kali

  • @bongo39
    @bongo39 Місяць тому +2

    Hali ishaharibika tayari tundu vita tayari mbowe hakutaki anataka yeye awe mwenyekiti wa maisha asiwe na mpinzani atakae mpinga msigwa washampiga na chini bado wewe tuu

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Місяць тому

      Kwani Msigwa walompiga Chini nani? Kwani nyie Ccm Wenyeviti wa Mikoa wanadum milele? Au hujui Msigwa Alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Nyasa?

    • @dionismutayoba3542
      @dionismutayoba3542 Місяць тому

      Uliyetoa hiyo comment hujitambui,unaloloma tu

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Місяць тому

    Msigwa tena jamani! Smetokaapi mbona juzi tu alikuwa anajipaka mavi mwenewe kule jimboni kwake?!!

  • @veronicaadrof8244
    @veronicaadrof8244 Місяць тому +1

    Inaitajika elimu kama hii ya mheshimiwa lisu maana inaamusha mioyo ya watu kukata tamaa kunaisha ujue sehemu nyingine wanaona hata wakipiga kula kwa mugombea wa chadema anatangazwa wa ccm hali hii inakatishana tamaa kuendelea kupiga kula lakini kwa elimu hii ya lisu naona watu wanapata matumaini tena na nguvu ya kupiga kula

  • @NkoTya9
    @NkoTya9 Місяць тому +1

    Sera nzuri sana lakini bado tunatawaliwa na uoga

  • @bennymatinde4514
    @bennymatinde4514 Місяць тому +2

    mpiga picha use unaonesha na watu waliopo kwenye mkutano unammwonyesha tu anaeongea hii siyo sawa

    • @HenryCastuli-jz3cx
      @HenryCastuli-jz3cx Місяць тому

      Mpiga picha nihana uzoefu anajifunza kamaanauzoefu awe anawaonyesha na umati wa watu aunijamii ya ccm

  • @imanimaulid8304
    @imanimaulid8304 24 дні тому

    Enzi za Nccr mageuzi Kuna askofu alisema mrema akishinda anaacha uaskofu tusijisaulishe

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 Місяць тому +2

    Kwa hiyo rufaa ya Msigwa imeshasikilizwa au ni kutaka kuwagombanisha Lissu na Mbowe?!

    • @deohank5995
      @deohank5995 Місяць тому

      Wenye akili hawagombani wanapishana tu. Bali mpumbavu ndo hugombana

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 Місяць тому +1

    Mmmm jambo tv siwaelewi mmekaza camera jukwaani tu wananchi hamuwaonyeshi au mkutano hauna watu?

  • @AlfredAlfred-yd2mg
    @AlfredAlfred-yd2mg Місяць тому

    Ccm kama freemason kila dhambi wanazo . Mungu atawaangamiza Kwa kuibeba dunia

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Місяць тому +4

    Leo nimefurahi Sana kukuona nilijuwa basi tena unatuacha msigwa niliumia Sana juzi nakuomba usihame chadema kama uliweza kukataa hela za mwendazake Leo hii unaanzaje bado tunakuhitaji mzee

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Місяць тому

    Tena na kodi za majengo kukatwa kwenye umeme kila mwezi 1500 zinaenda wapi nyumba ngapi zina katwa tozo za majengo pesa inafanyia nini

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Місяць тому

    Asanteni kwa kutufungua akili

  • @willymgaya7618
    @willymgaya7618 Місяць тому

    CCM mnatuangamiza . Mnapeleka wapi fedha za kodi mnazokusanya na mnazokopa . Malori yenu yanauwa sana watu MBEYA. Barabara ya kuchepusha malori yasipite mjini mmezungumza miaka mingi sana. Oneni aibu kulaghai wananchi miaka mingi huku wakiendelea kupoteza ndugu zao. Ajali kila kukichwa, inasikitisha sana.

  • @MataighaTiro
    @MataighaTiro Місяць тому

    Msigwa elimu imekaa vizuri

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 Місяць тому

    Unajuwa chama hiyo hawo wote wanapig kerere tu hakuna mgombea uenyekit cham hiyo ya watu okooooooo

  • @rutambivalentine
    @rutambivalentine Місяць тому +1

    Kimenuka

  • @LinusAmanimbeye
    @LinusAmanimbeye Місяць тому

    Huo ndo ukomavu wa siasa ccm walitoa mimacho kuwa tayar twapta nae juu Kwa juu

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Місяць тому

    Uyoooo Chawla WA CCM akili kama matope ; waTanganyika tulishaamka

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365 Місяць тому

    Kwanini CCM hawasemi ukweli, kwanini wanatuona hatuna akili?

  • @evelina9621
    @evelina9621 Місяць тому

    Mwenye.ki.cha dema.mshimiwa.mbowe.mwe.pamojq.vushq.taifa.lina.angamia.asante

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i Місяць тому

    Hiyo njaa.utafanya nini?

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Місяць тому

    Apo msigwa umenena jambo LA maana sanasana mtendaji mkurugenZi mkuu wa wilaya mkuu wa mkoa jaji mkuu msajili wa vyama IGP wanapatikana _?

  • @deogratiusdonald5123
    @deogratiusdonald5123 Місяць тому

    Hivi kwaniniii? Jambo camera yenu huwa inaonyesha viongozi pekeee? Kwanini huwa hamuonyeshi wananchii wanaosikiliza mkutanoooo??

  • @evelina9621
    @evelina9621 Місяць тому

    Ta,nga
    Za
    Posho.kwa
    Wenye.viti.vijiji.wameonewa.mwaka
    Mingi

  • @user-mo3ik6go6r
    @user-mo3ik6go6r Місяць тому

    Huwezi kuchukua mtihani wa mtoto hulipe Hera ya mrizi majengo maji na umeme

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Місяць тому

    Usiyetosha niwewe Chawla WA ccmmshenzi ww

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Місяць тому

    Polisi mmepiga kikokoto unatarajia afanye nini. Yaani hayo yataendelea hadi 2025. Mwakani ccm mtapigwa tu

  • @user-zy4rr9iv3m
    @user-zy4rr9iv3m Місяць тому +2

    Toeni elimu tatizo watu wetu hawaelewi

  • @FelixAbel-fm8lq
    @FelixAbel-fm8lq Місяць тому

    Mbona ninyi miccm mlisema mkipoteza watu polisi wasiwatafute? Kwani yule fala polisi wamemkamata?

  • @tzonespices9734
    @tzonespices9734 Місяць тому

    Mpiga picha hutufai. Mbona huonyeshi watu unaonyesha anae ongea tu? Mikutano yenu haina watu?

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Місяць тому

    CCM si simu tunisawa na kunywa maji ya betrii

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm Місяць тому

    Kwa ujumbe huu wa baba Askofu ccm atareta vita ya kimbari ya Zanzibar na tanganyika tutauuwana kwa ubaguzi wake huyu mrembo Mh peekee tz ajawai tokea toka inchi izariwe

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Місяць тому

    waTanganyika bwana hatutaki Tena kusikis Tanzania

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm Місяць тому

    Mimi simwiti mama namuita mzanzibar na sio mtanganyika haruhusiwi kuishi tanganyika ni mwanamke hafaii kutuongoza waisramu duniani labda wakristo watampenda wana manabii wakee

  • @enockfumbuka6843
    @enockfumbuka6843 Місяць тому

    Serikali inatukomoa afadhali kuliko kuishi na viongozi Matapeli

    • @faustinebahenobi3412
      @faustinebahenobi3412 Місяць тому

      Ww chakufanya muwachague viongozi wengi kutoka chadema (upinzani) af utaona

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Місяць тому +1

    Kwani huyo aliyeshindwa uenyekiti Nyasa kaja huko Kuna Nini?

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Місяць тому +1

      kwahiyo akishindwa uchaguzi haruhusiwi tena kuhudhuria mkutano wala kuongea ?? akili za kiccm hizo

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 Місяць тому

      Mambo mengine bwana? Tumeambiwa Msigwa kajoin ccm sasa hapo kwa Lissu ametafuta nini? Msituchanganye, mnafanya watu wasipige kura

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Місяць тому

      Hajashindwa, wamepokezana Madaraka, huko yupo anatumikia Chama Chake,Nini kimekushangaza?

  • @evelina9621
    @evelina9621 Місяць тому

    😮vijini.posho.wapate.nguvu

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Місяць тому

    Minikajua mishahara kwa wenye viti

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i Місяць тому

    Hivi wewe nimwana siasa au nini huko upande gani?

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 Місяць тому

    Basi ni wachumba hao

  • @bonifacemkanga6302
    @bonifacemkanga6302 Місяць тому +1

    Askofu wa kanisa ganiiiii ushapotea wewee

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Місяць тому

      angekuwa amevaa shati la kijani angekuwa hajapotea? aliyepotea ni Gwajima aliyeoba kura posho za ubunge zimemfanya akae kimya huku watanzania wengi tukiumia

  • @maruhe1958
    @maruhe1958 Місяць тому

    Nimeshangaa askofu kuhamasisha vita, polisi mko wapi?

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Місяць тому

      Ni kweli ndugu ila usitishike,huyu siyo askofu bali ni wale majambazi wanaokimbilia katika siasa

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d Місяць тому

    Asikofo anatetea maslahi yake njaa kali unliabisha Kanisa lo aibu gani sasa kwa taarifa unatetea upumbavu inachosema ni upumbavu mtupu hampati kitu hamshindi ngo

  • @evelina9621
    @evelina9621 Місяць тому

    Chedema
    Wenye.viti.vijij
    Ndio
    Wenye.nguvu.rais.mawa ziri.wote.toka.:vliji ni.watangazwe.pos ho
    Ndio.chazo

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn Місяць тому

    Askofu unajihusisha na siasa mshenz we

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Місяць тому

      Mbona Ma Askofu wanaoshiriki Ccm hamuwashangaagi?

    • @ephraimkalanje7105
      @ephraimkalanje7105 Місяць тому

      Matusi haya utoayo yanamuhusu na Askofu wenu Gwajima na wengine mlionao huko CCM?

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 Місяць тому

    Kweli maisha ni magumu sana tena sana lakini hizo sela za matusi hazikubaliki kumwambia mtu hana akili hiyo siyo sera hayo ni matus

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i Місяць тому

    Unajua unacho kiongea askofu?

  • @user-rw7ww2yd7i
    @user-rw7ww2yd7i Місяць тому

    Askofu hata kama Kuna tatizo kubwa vipi huwezi kuhamasisha vita hapo hakuna askofu kabisa

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Місяць тому

      Wakishiriki mikutano ya Ccm mnawashangilia, wakishiriki ya Upinzani mnawashambulia, Poleni

    • @LuciaAgustino-pt5mg
      @LuciaAgustino-pt5mg Місяць тому

      Mkuu mzingwa uko safi oijana wetu

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Місяць тому

      Amehamasisha vita gani?

    • @gangan4618
      @gangan4618 Місяць тому

      Kwa sasa hatutaki kuchezewa... na MaCCM, dah ni zaidi ya miaka 60 mtu amezeeka.

  • @silasngoya9422
    @silasngoya9422 Місяць тому

    Askofu kwenye uaskofu hutoshi na kwenye siasa hutoshi. Bahati mbaya hujui kwamba hutoshi !

    • @makobamasawemangu4122
      @makobamasawemangu4122 Місяць тому

      Anatosha kote kote

    • @ephraimkalanje7105
      @ephraimkalanje7105 Місяць тому

      Askofu Mwanamapinduzi anatosha kotekote..."in fact," anatosha na kupitiliza! Hongera Askofu mwanamapinduzi!

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Місяць тому

      ​@@ephraimkalanje7105anakutosha wewe na mama yako,pia nasikia analala kwenu

  • @evelina9621
    @evelina9621 Місяць тому

    Jaman
    Ya.bwana.iwe
    Pa m oja.msitoane.mamba.mabaya.yesu.yu.ndani
    Yetu
    Ss
    Sote

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 Місяць тому

    Basi ni wachumba hao