MAKONDA AWATUMBUA WATUMISHI WA JIJI LA ARUSHA WAJIKOROGA
Вставка
- Опубліковано 30 тра 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
UA-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Am not Tanzanian but the problem this man is confronting is everywhere in Africa. Corrupt officers are not different from terrorists like Alshabab or Boko haram. It retrogresses and stagnates states and perpetually condemning citizenry to abject poverty and humiliation. May God help this gentleman to clean up the human dirt.
Watumishi mmepatikana mwaka huu 😂😂😂
Bado masaki kilimani kunamzungu anauza baga Anachimba choo barabarani na manispa ya kinondoni wana uangalia tuu mh waziri wa ardhi uje uone
😅😅😊😅😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😅😅😅😅😅😊😊
Spanaaaa
Hon.Makonda congrats for good job pigs sparna kbxa
Makondaaaaaa nakukubali snaa
Team makonda tujuane basìi
Watanzania tumelala sana hawafanyi kazi kabisa piga spana wote
Mikutano na wananchi naamini ndio mikutano sahihi kwa DC na RC,ili kuwaambia watendaji shida iko wapi wasaidie wananchi kwa yale yanayobainika.Hongera sana Makonda kuitendea haki nafasi yako.RC na DC hili unalolifanya ndio sahihi kama kweli nafasi hizi mbili zipo kwa ajili ya wananchi,Ikiwa Ma RC na Ma DC watafanya hivi,hizi kero hazitakuwepo na huu umati hauwezi kuonekana maana hakuna mtendaji atapenda kuwekwa hadharan kwa kuika taratibu,Mungu Akutunze kwa ajili ya wengine Makonda❤
🛠️
Wanyoshe wara rushwa awoooo mweshimiwa wanakura tu era zetu
Mwenyezimungu alimde huyu kiongozi
yaani kama wakuu wote wamikoa wangekuwa kama wewe makonda nnchi ingekuwa mbali sana
Ukweli ni kwamba tangu Mwenyezi Mungu amchukue aliyekuwa kipenzi cha watanzania kwa watumishi wa serikali mafisadi PAKA KAONDOKA PANYA AMETAWALA.WAPIGWE SPANA TU!
Mh. Makonda oyeee wewe ni mtetezi wa wanyonge endelea hivo na tunaendelea kukuombea ili mungu akuepushe na waovu wasiopenda haki saidia wanyonge na mungu siku moja atakulipa ujira.
Duuuh hao majambazi wanaitaji spaner
Watu wazima wanapigwa spana😂😂😂
Kweli makonda atawanyoosha
Makonda anaweza tumuombee zaidi
very good mkuu wa mkoa
Hapa kazi tu mkonda
Respect
Hayo maozo yapo nchi nzima
Huu ndio mwenendo wa watendaji wa serikali katika mikoa yote nchini. Hali hii imejengeka kutokana na mgawanyo wa madaraka kuyumba,kuteua watu kwa vimemo bila vigezo,mradi ni wa kijani tu. Dawa ya kudumu ni kubadili mfumo tu badala ya zoezi la kuteua watu kwa maelekezo ya muda ambayo hayadumu tena ni gharama kubwa zaidi ya kuweka mambo katika sheria na utaratibu. Hawa wazembe bado watalipwa stahiki zao, na kuajiri wapya kwa mfumo uleule. Tuje pamoja,mkuu wa nchi aone umuhimu wa kugatua madaraka, kupunguza ukubwa wa serikali,na kuondoa giza upatikanaji wa katiba mpya baada ya miaka 63.
Hii ni aina corruption kubwa kuliko rushwa yenyewe. Ndiyo sababu wanaharibu elimu ili wanainchi waendelee kudanganywa kila siku kuanzia enzi watu wamefanywa mbumbu kiasi kwamba hawajielewi. Wakipata mjanja mmoja tu kwa kuwadanganya basi wanaona wamifika na wanadhani kuwa wanasaidiwa, kumbe hakuna msaada wo wote bali anawachang'anya watu tu.
Mh Rais 😅😅😅😅😅😅😅kula chuma hiyo
Huyo ni mwizi pia
Hujama mama angempa hata uwaka wamwezi moja tuu aweraisi anipigie spana zakutusha asee minakupa mauwa yako❤
Nchi yetu wananchi Wana shida na matatizo mengi lakini Ina viongozi kibao tena wasomi lakini elimu Yao haiwasaidii wananchi
Daaah mnyakyusa mwenzangu kakamatwa
Wakapiga kelele wakasema "asulubiweeeeee.....". Hizi spana izi
Ezi zile ilikua tumbua majipu, safari hii hii spana
Vzr
Madonna.leo
Piga kazi kaka
Huyu mtu Mungu amuepushe na mabalaa
Amina
@@faustinaurio3703 Ameen
Piga ngwara wote hao pumbafuuuuuuuu.
Tunataka viongozi wa aina yako ili nchi isonge mbele
Jembe hilo
Natamani uje morogoro makonda
Huyu Mh. Makonda ndio anatakiwa kuwa Rais baada ya mama yetu mpendwa. Maana kusema ukweli mwenye macho haambiwi tazama.
Akika nakuombea Kazi yakoni bora
Mheshimiwa rais tunaomba utupe wakuu wa mikoa yote wa aina hii ,hii nchi ni tajiri sana,baadhi ya viongozi sio wazalendo kabisa tukipata wa aina hii mikoa yote kazi imeisha
Huyu ni mwamba
Mbona ham comment chochote kuhusu mkuu wa mkoa Mimi naona anafata nyayo za mzee magu hataki mbambaaaa
Huwezi ku comment bila kusikiliza mpaka mwisho
@@shabaniihassanii955 ndo hao wa kukurupuka hajaelewa chochote anakimbilia ku comment😆😆
Makonda tunakuomba uifatirie mbarari SSM viongozi wameifanya kua Kinga yamabaya hata wewe razimishi kuwaripa warimu kauriyao waarimu wakujitorea
Uogouna wasaidiya nini
Makonda mambo mengi yanavurugwa na watendaji, wenye viti wa CCM haya yote yako chini ya chama cha CCM na serikali. Kwani CCM inashindwa vipi kuhakikisha kuwa wenye viti CCM kuweka mambo sawa kumbe ndiyo wala rushwa. Watendaji wa serikali wanashindwaje kufanya kazi vizuri kama chama cha CCM wanakazi gani basi? Hii show off na kujaribu kuwahadaa wanainchi kuwa kuna kazi inafanyika kumbe kama CCM walivyoziea kuwadanganya wanainchi mnaendelea kuwadanganya.
Nakuamini kabisa kabisa mweshiwa Paul makonda unaweza
Hawakuombei chochote,wanafki hao na hata wakikupa ndizi usiile miyoni mwao wanamakubwa kuhusu ww ya kukuhusudu!washindwe na waregee kwa jina la Allah,fanyakzi kijana maombi yetu yako juu yako,hao ndio wanao fanya mama aonekane nitatizo kwa huruma yake akuwapa kazi ,piga SIPANA MZEEEEEEEEEEEEEEE.
Piga spana wote mungu akubariki makonda Mimi chadema
Hua nawashangaa sana wananchi mnaposhangilia mtumishi kuhamishwa,yaan mnachofurahia hapo ni nini?,mtumishi anapohamishwa analipwa mamilioni ya fedha za uhamisho nyie mnafurahia akati mtu bado yuko kazn
Sasa ndugu yangu tukihama tuhame kwa heshima lakini siyo kwa staili hii hata kama utalipwa unakuwa umepigwa chapa na doa kibwaa
Wewe Wacha ujinga pesa ya umma huna uchungu nayo,ama pia wewe ni mmoja wa mafisadi
Ama hutoi ushuru
Mama kweli makonda imetuchagulia aongezewe ulinzi ananikumbusha wazalendo WA taifa nashukuru mueshimiwa raisi kwa makonda namuona mtangulizi wako makufuri jembe hakufanya kosa kuku teua wewe na makonda tungependa wakuu WA mikoa wote wangekuwa kama makonda
Yaani makonda ungeteuriwa kwetu mbarari Kuna madudu hukuuu
Hapan kaz TU jembe la magufuli
Huyo ni mwizi pia
Acha ujinga wewe ndo mwizi