MAKONDA AWATUMBUA WATUMISHI WA JIJI LA ARUSHA WAJIKOROGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 тра 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    UA-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

КОМЕНТАРІ • 66

  • @georgeikinya2779
    @georgeikinya2779 2 місяці тому +8

    Am not Tanzanian but the problem this man is confronting is everywhere in Africa. Corrupt officers are not different from terrorists like Alshabab or Boko haram. It retrogresses and stagnates states and perpetually condemning citizenry to abject poverty and humiliation. May God help this gentleman to clean up the human dirt.

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 2 місяці тому +5

    Watumishi mmepatikana mwaka huu 😂😂😂

  • @DeoKimbe-gt4op
    @DeoKimbe-gt4op 2 місяці тому +11

    Bado masaki kilimani kunamzungu anauza baga Anachimba choo barabarani na manispa ya kinondoni wana uangalia tuu mh waziri wa ardhi uje uone

    • @AkundaeliMbise
      @AkundaeliMbise 2 місяці тому

      😅😅😊😅😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😅😅😅😅😅😊😊

  • @user-mm4uy7cy9w
    @user-mm4uy7cy9w 2 місяці тому +2

    Spanaaaa

  • @IsaackmugoMugo
    @IsaackmugoMugo Місяць тому

    Hon.Makonda congrats for good job pigs sparna kbxa

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 2 місяці тому +1

    Makondaaaaaa nakukubali snaa

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Місяць тому

    Team makonda tujuane basìi

  • @user-jl1rw6ij7j
    @user-jl1rw6ij7j Місяць тому +1

    Watanzania tumelala sana hawafanyi kazi kabisa piga spana wote

  • @namsifumihungo8504
    @namsifumihungo8504 2 місяці тому

    Mikutano na wananchi naamini ndio mikutano sahihi kwa DC na RC,ili kuwaambia watendaji shida iko wapi wasaidie wananchi kwa yale yanayobainika.Hongera sana Makonda kuitendea haki nafasi yako.RC na DC hili unalolifanya ndio sahihi kama kweli nafasi hizi mbili zipo kwa ajili ya wananchi,Ikiwa Ma RC na Ma DC watafanya hivi,hizi kero hazitakuwepo na huu umati hauwezi kuonekana maana hakuna mtendaji atapenda kuwekwa hadharan kwa kuika taratibu,Mungu Akutunze kwa ajili ya wengine Makonda❤

  • @zubeiramlanzi2480
    @zubeiramlanzi2480 2 місяці тому +4

    🛠️

  • @user-jm9og2wh5o
    @user-jm9og2wh5o Місяць тому +1

    Wanyoshe wara rushwa awoooo mweshimiwa wanakura tu era zetu

  • @user-mm4uy7cy9w
    @user-mm4uy7cy9w 2 місяці тому +3

    Mwenyezimungu alimde huyu kiongozi

  • @MwanaidyHamis-rg1pu
    @MwanaidyHamis-rg1pu 21 день тому

    yaani kama wakuu wote wamikoa wangekuwa kama wewe makonda nnchi ingekuwa mbali sana

  • @aureliantemba9830
    @aureliantemba9830 Місяць тому

    Ukweli ni kwamba tangu Mwenyezi Mungu amchukue aliyekuwa kipenzi cha watanzania kwa watumishi wa serikali mafisadi PAKA KAONDOKA PANYA AMETAWALA.WAPIGWE SPANA TU!

  • @OscerShop
    @OscerShop Місяць тому

    Mh. Makonda oyeee wewe ni mtetezi wa wanyonge endelea hivo na tunaendelea kukuombea ili mungu akuepushe na waovu wasiopenda haki saidia wanyonge na mungu siku moja atakulipa ujira.

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Місяць тому +1

    Duuuh hao majambazi wanaitaji spaner

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 2 місяці тому +2

    Watu wazima wanapigwa spana😂😂😂

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Місяць тому +1

    Kweli makonda atawanyoosha

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 2 місяці тому +1

    Makonda anaweza tumuombee zaidi

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 2 місяці тому

    very good mkuu wa mkoa

  • @user-jm9og2wh5o
    @user-jm9og2wh5o Місяць тому

    Hapa kazi tu mkonda

  • @ildephoncekalemera7758
    @ildephoncekalemera7758 Місяць тому

    Respect

  • @geofreybakina6010
    @geofreybakina6010 Місяць тому

    Hayo maozo yapo nchi nzima

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 місяці тому +1

    Huu ndio mwenendo wa watendaji wa serikali katika mikoa yote nchini. Hali hii imejengeka kutokana na mgawanyo wa madaraka kuyumba,kuteua watu kwa vimemo bila vigezo,mradi ni wa kijani tu. Dawa ya kudumu ni kubadili mfumo tu badala ya zoezi la kuteua watu kwa maelekezo ya muda ambayo hayadumu tena ni gharama kubwa zaidi ya kuweka mambo katika sheria na utaratibu. Hawa wazembe bado watalipwa stahiki zao, na kuajiri wapya kwa mfumo uleule. Tuje pamoja,mkuu wa nchi aone umuhimu wa kugatua madaraka, kupunguza ukubwa wa serikali,na kuondoa giza upatikanaji wa katiba mpya baada ya miaka 63.

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому

    Hii ni aina corruption kubwa kuliko rushwa yenyewe. Ndiyo sababu wanaharibu elimu ili wanainchi waendelee kudanganywa kila siku kuanzia enzi watu wamefanywa mbumbu kiasi kwamba hawajielewi. Wakipata mjanja mmoja tu kwa kuwadanganya basi wanaona wamifika na wanadhani kuwa wanasaidiwa, kumbe hakuna msaada wo wote bali anawachang'anya watu tu.

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e 2 місяці тому +1

    Mh Rais 😅😅😅😅😅😅😅kula chuma hiyo

  • @SinguMahona-gh8ct
    @SinguMahona-gh8ct Місяць тому

    Huyo ni mwizi pia

  • @MaryShayo-tg4vq
    @MaryShayo-tg4vq 2 місяці тому

    Hujama mama angempa hata uwaka wamwezi moja tuu aweraisi anipigie spana zakutusha asee minakupa mauwa yako❤

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa 2 місяці тому +5

    Nchi yetu wananchi Wana shida na matatizo mengi lakini Ina viongozi kibao tena wasomi lakini elimu Yao haiwasaidii wananchi

  • @mwansasu
    @mwansasu 2 місяці тому

    Daaah mnyakyusa mwenzangu kakamatwa

  • @safielkabonda295
    @safielkabonda295 2 місяці тому +2

    Wakapiga kelele wakasema "asulubiweeeeee.....". Hizi spana izi

    • @safielkabonda295
      @safielkabonda295 2 місяці тому +1

      Ezi zile ilikua tumbua majipu, safari hii hii spana

  • @ShinjeKusekwa
    @ShinjeKusekwa Місяць тому

    Vzr

  • @user-qj3zi9ko7l
    @user-qj3zi9ko7l Місяць тому

    Madonna.leo

  • @DRBISHOPJERICO
    @DRBISHOPJERICO Місяць тому

    Piga kazi kaka

  • @KelvinAlfred-rc1hq
    @KelvinAlfred-rc1hq 2 місяці тому +3

    Huyu mtu Mungu amuepushe na mabalaa

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga 2 місяці тому +1

    Piga ngwara wote hao pumbafuuuuuuuu.

  • @paulonshulo6435
    @paulonshulo6435 2 місяці тому +1

    Tunataka viongozi wa aina yako ili nchi isonge mbele

  • @sudymohamedy9717
    @sudymohamedy9717 2 місяці тому

    Jembe hilo

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz Місяць тому

    Natamani uje morogoro makonda

  • @OscerShop
    @OscerShop Місяць тому

    Huyu Mh. Makonda ndio anatakiwa kuwa Rais baada ya mama yetu mpendwa. Maana kusema ukweli mwenye macho haambiwi tazama.

  • @oseasimpasa-bj5ds
    @oseasimpasa-bj5ds 2 місяці тому

    Akika nakuombea Kazi yakoni bora

  • @adamzachariakinyekile6948
    @adamzachariakinyekile6948 2 місяці тому

    Mheshimiwa rais tunaomba utupe wakuu wa mikoa yote wa aina hii ,hii nchi ni tajiri sana,baadhi ya viongozi sio wazalendo kabisa tukipata wa aina hii mikoa yote kazi imeisha

  • @AishaJuma-wd8xd
    @AishaJuma-wd8xd 2 місяці тому

    Huyu ni mwamba

  • @JohnMakao-is9fm
    @JohnMakao-is9fm 2 місяці тому +7

    Mbona ham comment chochote kuhusu mkuu wa mkoa Mimi naona anafata nyayo za mzee magu hataki mbambaaaa

    • @shabaniihassanii955
      @shabaniihassanii955 2 місяці тому +1

      Huwezi ku comment bila kusikiliza mpaka mwisho

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 місяці тому

      @@shabaniihassanii955 ndo hao wa kukurupuka hajaelewa chochote anakimbilia ku comment😆😆

  • @leonardmwayeya13
    @leonardmwayeya13 2 місяці тому

    Makonda tunakuomba uifatirie mbarari SSM viongozi wameifanya kua Kinga yamabaya hata wewe razimishi kuwaripa warimu kauriyao waarimu wakujitorea

  • @SadaMussa-hi4yk
    @SadaMussa-hi4yk Місяць тому

    Uogouna wasaidiya nini

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Місяць тому

    Makonda mambo mengi yanavurugwa na watendaji, wenye viti wa CCM haya yote yako chini ya chama cha CCM na serikali. Kwani CCM inashindwa vipi kuhakikisha kuwa wenye viti CCM kuweka mambo sawa kumbe ndiyo wala rushwa. Watendaji wa serikali wanashindwaje kufanya kazi vizuri kama chama cha CCM wanakazi gani basi? Hii show off na kujaribu kuwahadaa wanainchi kuwa kuna kazi inafanyika kumbe kama CCM walivyoziea kuwadanganya wanainchi mnaendelea kuwadanganya.

  • @paulonshulo6435
    @paulonshulo6435 2 місяці тому

    Nakuamini kabisa kabisa mweshiwa Paul makonda unaweza

  • @user-bc2wd1sq3k
    @user-bc2wd1sq3k Місяць тому

    Hawakuombei chochote,wanafki hao na hata wakikupa ndizi usiile miyoni mwao wanamakubwa kuhusu ww ya kukuhusudu!washindwe na waregee kwa jina la Allah,fanyakzi kijana maombi yetu yako juu yako,hao ndio wanao fanya mama aonekane nitatizo kwa huruma yake akuwapa kazi ,piga SIPANA MZEEEEEEEEEEEEEEE.

  • @Benose12Selapio
    @Benose12Selapio Місяць тому

    Piga spana wote mungu akubariki makonda Mimi chadema

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 2 місяці тому

    Hua nawashangaa sana wananchi mnaposhangilia mtumishi kuhamishwa,yaan mnachofurahia hapo ni nini?,mtumishi anapohamishwa analipwa mamilioni ya fedha za uhamisho nyie mnafurahia akati mtu bado yuko kazn

    • @bakarikasimu-gn8xj
      @bakarikasimu-gn8xj 2 місяці тому +3

      Sasa ndugu yangu tukihama tuhame kwa heshima lakini siyo kwa staili hii hata kama utalipwa unakuwa umepigwa chapa na doa kibwaa

    • @stephenmsanzu9850
      @stephenmsanzu9850 2 місяці тому

      Wewe Wacha ujinga pesa ya umma huna uchungu nayo,ama pia wewe ni mmoja wa mafisadi

    • @stephenmsanzu9850
      @stephenmsanzu9850 2 місяці тому

      Ama hutoi ushuru

  • @user-tn6iw6dm5z
    @user-tn6iw6dm5z Місяць тому

    Mama kweli makonda imetuchagulia aongezewe ulinzi ananikumbusha wazalendo WA taifa nashukuru mueshimiwa raisi kwa makonda namuona mtangulizi wako makufuri jembe hakufanya kosa kuku teua wewe na makonda tungependa wakuu WA mikoa wote wangekuwa kama makonda

  • @leonardmwayeya13
    @leonardmwayeya13 2 місяці тому

    Yaani makonda ungeteuriwa kwetu mbarari Kuna madudu hukuuu

  • @TadeoEmanuele
    @TadeoEmanuele Місяць тому

    Hapan kaz TU jembe la magufuli

  • @SinguMahona-gh8ct
    @SinguMahona-gh8ct Місяць тому

    Huyo ni mwizi pia