ISMAIL JUSSA AFICHUA SIRI -ACT WAZALENDO: UHUSIANO NA CCM,MUUNGANO NA KUMSOMAMISHA ZITTO KABWE 2025

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" UA-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 41

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 3 місяці тому +13

    Hongera Mh. Ismail Makamo Mwenyekiti wa ACT wazalendo

  • @MohdIkra-d7s
    @MohdIkra-d7s 3 місяці тому +6

    Naam kaabbisa kabbisa Hatuhitaji ghorofa tunahitaji zanzibar moja zanzibar mpya mamlaka kamili nasio ajira JKU au Kufagia manispaa hapana tunahitaji kujenga zanzibar bandari kua freeport tunahitaji elimu ya juuu tunahitaji sarafu yetu jeshi letu bendera yetu haaaa
    Ahaaa kabbissa kabisa tunahitaji uhaniaji sawasawa

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim 3 місяці тому +9

    Jussa sisi wazanzibar tunakua hatuchoki kukuskiliza

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 3 місяці тому +4

    Hakika wazanzibari tunachotaka ni mamlaka kamili ya Zanzibar sio kuombewa misaada na Tanganyika ndio Zanzibar ijenge barabara, hospitali na maji tunataka Zanzibar tujitegemee wenyewe sio leo mpaka tuombewe na mkoloni Tanganyika.

  • @bintqassimidarous1636
    @bintqassimidarous1636 3 місяці тому +7

    Mtangazaji sauti yako kama Ahmed Ally wa simba 😂

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 місяці тому +6

    Excellent interview

  • @MohdIkra-d7s
    @MohdIkra-d7s 3 місяці тому +8

    Jamanii huyu anaezuungumza ndio yule alie pigwaaa akavunjwaa vunjwa mbona inaonekanaa anaipenda nchi yakeee ya zanzibar kwanini alipigwa kwanini alifanyiwa yale mbona haonekani kua anakisasi anaonekana anaukunjufu wa moyo wake mtu huyu anapendeza sana mpeni nguvu na umoja huyu mtu pia inaonekana anatetea watu wakeee eti jamaniii

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 3 місяці тому +4

      Ni mtu makini sana, anajua zipi siasa za jukwaanina zipi siasa za mahojiano na siasa majadiliano. Yupo smart

    • @NassorRashid-g9y
      @NassorRashid-g9y 3 місяці тому +1

      Huyo bwana ndie Mh Ismail Jussa Ladu aliefunzwa siasa na Maallim akafunzika.

    • @LatifaAley
      @LatifaAley 2 місяці тому

      Akiwekacho Mungu Binaadamu hukiondowi kaza buti Jussa tupo na wewe

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 місяці тому +4

    Please mhe tunataka ugombee jimbo la malindi Please Please please

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 місяці тому +2

    Nakupenda Jussa kwa ajili ya ALLAH buure❤❤❤

  • @NabilAchimid
    @NabilAchimid 2 місяці тому +1

    Wakat nashuka ndege Canada naenda migration nikakutana na Maigration mzungu kabica akaniuliza unatoka tanzania bara au visiwani nikamjib visiwani akaniuliza neno moja tu ismail jussa unamjuwa ndio ni our leader alinijib neno moja tu yap.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 місяці тому +1

    Kuna haja ya kubadiishwa huu mfumo wa katiba unaosema Rais ndio muwamuzi wa mwisho hili jambo ndio linaowapa kibur marais wa Zanzibar ingewekwa maamuzi ya Raisi wakubaliane na washauri wake enough

  • @HajjNgwali
    @HajjNgwali 3 місяці тому +4

    Kinach nifurahisha nikwmb wana shukran kw mam ni jamb zur San

  • @salyali7807
    @salyali7807 3 місяці тому +5

    Respect mh Jussa ... you are Zanzibarians hero

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 3 місяці тому +3

    Jussa nakupa heshima kwenye muungano, lakini kuhusu zito anaetaka kazi na bata hachaguliki hata kwa sawa. Labda ubunge wa kigoma. Kipindi kigumu tulikipenda kwa sababu wizi wa fedha za Uma, rushwa, matumizi mabaya ya mali za Uma yalipungua sana. Nakubali JPM hakuwa mtume huenda alikosea kwenye mambo ya demokrasia. Lakini Mali za Uma rushwa matumizi mabaya ya mali za Uma, ulinzi wa lasilimali za nchi na wizi wa Mali za Uma alifanya kazi hiyo kwa hali kubwa na kujitoa. Ndio maana watanzania wa ya chini anaowatetea jussa ndio wapenzi wakubwa wa ile hali iliyokuwa ngumu kwa wanasiasa ilikubalika na watanzania walio wengi. Lakini vile vile ndugu yangu jussa ufisadi wa mwinyi nzanzibar hauna tofauti na ufisadi wa Samia kwenye muungano hebu tuwe wakweli ili ufisadi uishe Bara na Visiwani!

    • @MohdIkra-d7s
      @MohdIkra-d7s 3 місяці тому

      Mawazo yako mazuri tena inafaa wote wawe na fikra zinazotokana na wewe maana zinajenga hazibomoi

  • @Zanzibar-e4h
    @Zanzibar-e4h 3 місяці тому +2

    Sawa jembe mm nikimuona jussa naona km maalim seif

  • @jovankishamba9424
    @jovankishamba9424 3 місяці тому +3

    Mzee Jusa umeeleweka vizuri sana.

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 28 днів тому

    JUSA NI INTERNATIONAL 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤

  • @LatifaAley
    @LatifaAley 2 місяці тому

    Sawa Makamo

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p 3 місяці тому +2

    ❤❤❤❤❤

  • @KhalidAli-nk5qh
    @KhalidAli-nk5qh 3 місяці тому +1

    Jussa uwemwema kwenye maongezi uwe na hikma busara

  • @WahidMuhidin-g5e
    @WahidMuhidin-g5e 3 місяці тому

    Tupo pamoja na ACT

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 3 місяці тому +1

    MARAISI WA MUUNGANO BAADO WANAFUWATA MILA NA ITIKADI ZILEZILE ZA DR NYERERE

    • @salyali7807
      @salyali7807 3 місяці тому

      Umekusudia mchonga meno nyerere sio dr.

  • @YahyaOthman-et2ki
    @YahyaOthman-et2ki 3 місяці тому

    Hongera kiongoz wetu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 місяці тому

    ✌️👍👊.

  • @fahadabdalla8194
    @fahadabdalla8194 3 місяці тому

    Uraaaaa

  • @clemencemarcelli3365
    @clemencemarcelli3365 3 місяці тому

    Zito haaminiki ndumilakuwili

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 3 місяці тому

    😮 SADAQTA 😢

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 3 місяці тому

    🎉🎉🎉

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 3 місяці тому

    Ufisadi upo ndani ya familia,

  • @MkungwaNgwarumbwa
    @MkungwaNgwarumbwa 3 місяці тому +1

    Elewa neno mwana-siasa, aongelei uhasilia eti serikali ya ubadhiribu na ufisadi tema mate chini ww, miradi ya viwanja vya ndege na bandari inaendelea bila kusita huo ndio ufisadi, mufilisi wa sera kichwani jussa...

    • @bakarsuleiman3989
      @bakarsuleiman3989 3 місяці тому +2

      Ww una wazimu kijana hujui unacholiongea wizi umekithiri kwa mgongo wa maghorofa wananchi walipa kodi ni maskini pesa zinapigwa

    • @nassorseif7907
      @nassorseif7907 3 місяці тому

      Muheshimiwa mutashinda vp 2025 wakati Mwinyi kakataa kubadilisha muundo wa Tume ya uchaguzi na wo wanategemea huko kubadilisha matokeo au kufuta kabisa matokeo mmejipanga vp na hili mkurengezi mpk saiv ni yule yulemuaji Faina kuraya mapema sheria haijabadilishwa baraza la wawakilishi vp unaaminisha watu ushindi wa 2925 muheshimiwa??

    • @cath-ef7wd
      @cath-ef7wd 3 місяці тому

      Wewe matako

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 2 місяці тому

      Acha ujinga.