AFISA ARDHI ATIWA NGUVUNI JUU KWAJUU NA RC MAKONDA LIVE AKIPOKEA RUSHWA YA MILIONI 5

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 27 тра 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    UA-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
    Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

КОМЕНТАРІ • 36

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 2 місяці тому +9

    Hakika ww ni jembe mh makonda udumu miaka mara dufu❤❤❤❤

  • @boazmaobe7245
    @boazmaobe7245 Місяць тому +4

    Mungu akupe maisha marefu...huku kenya mbona hamna viongozi kama hawa??? Wezi tu

  • @samirsamson3996
    @samirsamson3996 Місяць тому +3

    This Man is so brighter keep it up Hon Makonda piga supana kaka

  • @williamwanga2126
    @williamwanga2126 22 дні тому

    Unafanya kazi nzuri Arusha DC hakufai

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 2 місяці тому +4

    T M U
    Mungu azidi kuwalinda....kaazi yeenu ni ngumu zaidi ya kawaida.

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 Місяць тому

    Mkuu wa mkoa ni mmoja tu tazania Master Makonda.

  • @OmaryChipeta-mh2wi
    @OmaryChipeta-mh2wi 2 місяці тому +4

    Wote 2pa ndan

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 2 місяці тому +3

    Makonda hoyeeeeeeeee

  • @liliankayoka5892
    @liliankayoka5892 2 місяці тому +2

    Safi sana mh mkonda uje na njombe mkuu

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 Місяць тому

    Wakipatikana kina makonda10 nchi inanyooka 😢😢😢

  • @pascalmsechu6874
    @pascalmsechu6874 Місяць тому

    Dada Mzito kwel

  • @TumainMwambombo
    @TumainMwambombo Місяць тому

    Safi sana makonda karibu songwe

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee7 2 місяці тому +1

    😅😅😅😂😂😂 uyo dada kigugumizi dah noma sana

  • @witnessmollel149
    @witnessmollel149 2 місяці тому +3

    Mungu amlinde jmn, anafanya kazi nzuri

  • @amanisereni1708
    @amanisereni1708 Місяць тому

    Makondo wewe ni nyundo mungu akupe nguvu zaidi ya kuwapiga nyundo.

  • @user-qd2bz1ik8g
    @user-qd2bz1ik8g Місяць тому

    Nawingi lake mungu wangu dada anajuta kuwa kwenye kitengo hicho

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Місяць тому

    Huyo dada anakiburi sana, anavoonekana. Mh piga spana tu.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 місяці тому +2

    Sukuma ndani majambazi wote Ao😂😂😂

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Місяць тому +1

    Huyu hana akili yaani kabisa unaona kabisa mambo sio bado unathubutu kupokea hela?
    Kweli za mwizi 40

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 Місяць тому

    Sasa nakubali, na kweli vinakaa kama vinatafuta mchumba,

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 2 місяці тому +1

    CHUMA KIKO ARUSHA

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 2 місяці тому +1

    Ukienda ofisini wanakuangalia tu

  • @jacksonsilaa415
    @jacksonsilaa415 2 місяці тому +1

    Mfumo mfumo mbaya hauwezi pata kitu chema

  • @user-cq2lt6ho5w
    @user-cq2lt6ho5w 2 місяці тому +1

    Million mia600 duh

  • @josephnemgosi8804
    @josephnemgosi8804 2 місяці тому +2

    Tatizo mfumo

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 2 місяці тому

    ASKARI AKIONGEA HATA NDEGE WALISEMA AMNGANI MWONGO MWOOONGO 😅😅😅 MNASHINDW kumpata😅😅😅

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 2 місяці тому +1

    Kaimu wa magufuli oyeeeeeee!!; chapa kazi.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 місяці тому +2

    Ccm hii nchi imewashinda

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 місяці тому

      Ilikuwa CCM ifanyeje?

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 2 місяці тому

      ​@@hajihassan5433watengeneze mifumo ya kila mtu kushtakiwa chini ya katiba akiwemo Rais

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 2 місяці тому +2

    Muheshimiwa makonda.. huyo ocd anakwambia mtuhumiwa amekaa siku kumi lock cup . Hakuogopi kweli kuna sheria ya kumuweka mahabusu mtu siku kumi ?

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 2 місяці тому

      😂😂😂 wewe jamaa bhna unafatilia sana ishu za makonda

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd 2 місяці тому

      Yaan unawekwa ndani ili usiharibu uchunguzi

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 місяці тому +1

      Ni kweli sheria ipo hivyo lakini unaweza kumuweka ndani mtu technically kwa zaidi ya mwaka yaani kila siku unamkamata upya na siku inaaza hapo. Hoja hapa ilikuwa useme RC hana mamlaka ya kuingilia wala kuwapa amri yoyote Polisi kwa sababu kila mteule wa Rais ana mamlaka kwenye eneo moja tu. RC anamuwakilisha Rais kwa upande wa Serikali tu. Rais ana mamlaka 3, mkuu wa Serikali, Mkuu wa nchi (hii haikasimiwi) na Mkuu wa Majeshi.

    • @khaliphaabubakar9466
      @khaliphaabubakar9466 12 днів тому

      @@hajihassan5433na RC ni mwakilishi wa raisi.Hizo lele mama ndio maana nchi inadorora.