AFISA ARDHI ATIWA NGUVUNI JUU KWAJUU NA RC MAKONDA LIVE AKIPOKEA RUSHWA YA MILIONI 5
Вставка
- Опубліковано 27 тра 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
UA-cam : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Hakika ww ni jembe mh makonda udumu miaka mara dufu❤❤❤❤
Mungu akupe maisha marefu...huku kenya mbona hamna viongozi kama hawa??? Wezi tu
This Man is so brighter keep it up Hon Makonda piga supana kaka
Unafanya kazi nzuri Arusha DC hakufai
T M U
Mungu azidi kuwalinda....kaazi yeenu ni ngumu zaidi ya kawaida.
Mkuu wa mkoa ni mmoja tu tazania Master Makonda.
Wote 2pa ndan
Makonda hoyeeeeeeeee
Safi sana mh mkonda uje na njombe mkuu
Wakipatikana kina makonda10 nchi inanyooka 😢😢😢
Dada Mzito kwel
Safi sana makonda karibu songwe
😅😅😅😂😂😂 uyo dada kigugumizi dah noma sana
Mungu amlinde jmn, anafanya kazi nzuri
Makondo wewe ni nyundo mungu akupe nguvu zaidi ya kuwapiga nyundo.
Nawingi lake mungu wangu dada anajuta kuwa kwenye kitengo hicho
Huyo dada anakiburi sana, anavoonekana. Mh piga spana tu.
Sukuma ndani majambazi wote Ao😂😂😂
😂😂😂 sukuma ndani
Huyu hana akili yaani kabisa unaona kabisa mambo sio bado unathubutu kupokea hela?
Kweli za mwizi 40
Sasa nakubali, na kweli vinakaa kama vinatafuta mchumba,
CHUMA KIKO ARUSHA
Ukienda ofisini wanakuangalia tu
Mfumo mfumo mbaya hauwezi pata kitu chema
Million mia600 duh
Tatizo mfumo
ASKARI AKIONGEA HATA NDEGE WALISEMA AMNGANI MWONGO MWOOONGO 😅😅😅 MNASHINDW kumpata😅😅😅
Kaimu wa magufuli oyeeeeeee!!; chapa kazi.
Ccm hii nchi imewashinda
Ilikuwa CCM ifanyeje?
@@hajihassan5433watengeneze mifumo ya kila mtu kushtakiwa chini ya katiba akiwemo Rais
Muheshimiwa makonda.. huyo ocd anakwambia mtuhumiwa amekaa siku kumi lock cup . Hakuogopi kweli kuna sheria ya kumuweka mahabusu mtu siku kumi ?
😂😂😂 wewe jamaa bhna unafatilia sana ishu za makonda
Yaan unawekwa ndani ili usiharibu uchunguzi
Ni kweli sheria ipo hivyo lakini unaweza kumuweka ndani mtu technically kwa zaidi ya mwaka yaani kila siku unamkamata upya na siku inaaza hapo. Hoja hapa ilikuwa useme RC hana mamlaka ya kuingilia wala kuwapa amri yoyote Polisi kwa sababu kila mteule wa Rais ana mamlaka kwenye eneo moja tu. RC anamuwakilisha Rais kwa upande wa Serikali tu. Rais ana mamlaka 3, mkuu wa Serikali, Mkuu wa nchi (hii haikasimiwi) na Mkuu wa Majeshi.
@@hajihassan5433na RC ni mwakilishi wa raisi.Hizo lele mama ndio maana nchi inadorora.