HATARI: MPINA AJITOA MUHANGA AFICHUA MAMBO YAKUTISHA USIKU HUU/ NIPO TAYARI KWA LOLOTE HATA MKINI...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 13 чер 2024
  • HATARI: MPINA AJITOA MUHANGA AFICHUA MAMBO YAKUTISHA USIKU HUU/ NIPO TAYARI KWA LOLOTE HATA MKINI...
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #hatari #mpinaajitoamuhanga #afichuamamboyakutisha #usikuhuu
    #mpina #bashe #mpinavsbashe #luhagampina #husseinbashe
    #mwigulu #atajasababuyakutumbuliwa #uwaziri #magufuli #mwiguluvsmagufuli #bungelabajeti
    #kinachoendeleasimba #bilioni20 #pesazipowapi
    #halimamdee #mwigulu #halimavsmwigulu #wabunge #simbasc #yangasc #simbaleo #yangaleo
    #rcmakondaarumeru
    #ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 50

  • @FrankoLugendo
    @FrankoLugendo 4 дні тому +3

    Kanda ya ziwa Kuna watu wazalemdo sana my brother God bless you ♥️♥️

  • @user-jy4pm3hh9s
    @user-jy4pm3hh9s 6 днів тому +6

    Mpina always is My best friend❤❤

  • @WinfridaCreitus-bf3zn
    @WinfridaCreitus-bf3zn 6 днів тому +5

    Yes, Mpina you are the hero, tunataka tuone action maana spika nikama alikua anakupiaa mkwara kumlinda, lkni kwa facts hizi hachomoki hapa. Ni Mpigaji tu huyo jamaa.

  • @emanuelamosi9008
    @emanuelamosi9008 5 днів тому +4

    Msukuma mmoja noma sana

  • @elibarikiMremi
    @elibarikiMremi 5 днів тому +2

    Mpina! Mungu Akulinde, na Akupe Kibali zaidi.

  • @user-df6dt8hu4z
    @user-df6dt8hu4z 6 днів тому +5

    Duniani kuna watu mmojawapo ni Mpina!

  • @user-lx7ez3rq4c
    @user-lx7ez3rq4c 3 дні тому +1

    Namuona Magufuli akiishi bado

  • @JosephKilawe
    @JosephKilawe 5 днів тому +3

    Safi sana tunaitaji watu kama nyie msiokuwa na mzaa na mtu

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 5 днів тому +2

    Tukijenga taifa la watu wengi wenye kujiamini ,kukosoa ,kujenga hoja na wabunifu taifa letu litakuwa madhubuti kwa kuwa hata tukipata viongozi dhaifu na wenye uwezo mdogo kiutendaji kutokana na ukosoaji atakaa sawa na nchi itanyooka.safi sana mpina.

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 5 днів тому +4

    Tatizo viongozi wanaosema kweli na wazalendo hawatakiwi,wapigaji ndo wanalindwa hatari sana

  • @WazaeliStefano
    @WazaeliStefano 5 днів тому +2

    Ccm mnaijadili chadema jee hililinawapendezaa mungu wangu

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 6 днів тому +3

    Du mpina wew ni hazina kwenye nchi hii

  • @BennyKazinza
    @BennyKazinza 5 днів тому +1

    Safi sana

  • @mashakankagi2851
    @mashakankagi2851 6 днів тому +3

    Rais Samia chukua hatua kwa hawa mawazili.kama ulivyochukua kwa RC wa simiyu alipomwingilia kinyume na maumbile kama alivyoelekeza mungu tuingiliane mwanafunzi wa chuo mwanza

  • @RamaKimbeu-tw4po
    @RamaKimbeu-tw4po 5 днів тому +4

    SWALI LANGU VIBALI VYA KUAGIZA SUKARI WALIVYOPEWA WENYE VIWANDA VYA SUKARI WALIAGIZA?NAKUAMUA HAWAKUAGIZA WW ULITEGEMEA NN KWA WATANZANIA

    • @NdekejaKamuli-sh5pe
      @NdekejaKamuli-sh5pe 8 годин тому

      Ok baada ya kupewa vibali wenye viwanda kuingiza na hata kama haeakuingiza je yeye waziri mwenye dhamana alifanya nn? Je wew unahisi nani analipenda taifa kati ya Bashe na Mpina?

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 8 годин тому

    Duuuh mpka dak hii Mpina ni mshindi lkn vile viongozi kubebana Bashe atabebwa tu

  • @eliaskitundu7377
    @eliaskitundu7377 День тому +1

    Mpina ww ni jembe kaa vizuri na bajeti ya mwigulu

  • @POWERMANGWANA
    @POWERMANGWANA 6 днів тому +2

    Hi mh. Rais, huyo waziri annsubiri nn kuachia hicho kiti???!

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 5 днів тому

    My member of parliament Mh. Mpina

  • @pauloluziga1440
    @pauloluziga1440 День тому

    Upo sahihi kabisa, tunataka na kwenye mbolea ya ruzuku achunguzwe

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 4 дні тому +1

    Ndugu Mpina,unatusaidia ambao hatupo Bungeni na ndani ya serkali kuona utendaji wa viongozi wetu ulio na upungufu mkubwa.Kuna haja ya kumsaidia kiongozi huyu.

  • @lucasshirima2880
    @lucasshirima2880 6 днів тому +1

    Sukari haijawahi kumuacha mtu salama...kwa mnakumbuka linakuja kufanana na ile ya Iddy Simba

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 5 днів тому +1

    Wanapiga kwaulefu wa kamba zao,Tanzania😢

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv 5 днів тому

    Huyo waziri Hana uchungu na nchi yetu anajijua mwenyewe anachotaka kufanya

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sf 6 днів тому +2

    Mpina sio mpinzani ndio inavyotakiwa mbunge awe kama mpina

  • @mwitamhono6499
    @mwitamhono6499 19 годин тому

    Mpina nmzarendo period,hawa wengine chumia tumbo

  • @EdwardMayila
    @EdwardMayila 5 днів тому

    Kila mmoja akifanya majukumu yake na kuacha ubinafsi kama uliosemwa, nchi hakika ingekuwa mbali sana.
    Kumbe ushahidi ni nafasi nzuri
    Heko LJMpina

  • @AlbertRemmy
    @AlbertRemmy 5 днів тому

    Haya mambo yanahitaji elimu kama ya mpina. ndio maana wabunge wa darasa la saba huwa siwakubali kabisa.

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 5 днів тому

    Basheeee

  • @rehemakayuga7051
    @rehemakayuga7051 5 днів тому

    Ipo Siku Ukweli Wako Tutaukumbuka

  • @imanuelmalya1511
    @imanuelmalya1511 14 годин тому

    Tumsikie Bashe naye anasemaje

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 5 днів тому

    Inasikitisha kabisa kwamba Mh. Rais anamuacha Bashe kuendelea kuwa Waziri wa wizara husika. Sielewi kwanini Rais hachukuwi hatua haraka

  • @mjemamjema9695
    @mjemamjema9695 5 днів тому

    LALALA LALALAÀAAAA MPIRA UKO KWENYE GOLI HAPA NI HATARIÌ.

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 4 дні тому

    Hayo NI maneno tu hakuna kitu apo bashe piga kazi

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv 5 днів тому

    Tungekua na bunge la wabunge sitini TU kama mpina wangetosha na tungefika mbali kuliko kuwa na wapiga Makofi bungeni Kila kitu hata kama ni kibaya Kwa taifa letu

  • @NicolasiLuhende
    @NicolasiLuhende 5 днів тому

    Kumbe mamamaaaa

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 6 днів тому +1

    Mpina has capacity drilling reality underground but mostly of this call themselves palament member they are bise difend green uniform not difend national problems

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 5 днів тому

    Toa Bashe weka abuduli si ndionavyotaka?. Toa Bashe weka mwigulu Basi.

  • @nassibhussein6150
    @nassibhussein6150 5 днів тому

    Kawazili bashe ni kajizi sana kama ukikasikiliza kanavoongea utafikili ni kakweli kaongo kajizi sana na hapo katalindwa mtaona kama kitaendelea kitu hapo mama hao ndio anawapenda

  • @stevenmengo8356
    @stevenmengo8356 4 дні тому

    Tabaaaaaa

  • @andersonshimbi1378
    @andersonshimbi1378 5 днів тому

    Mpina ni mbunge mkweli na anafanyiwa mizengwe ili kudhoofishwa

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 5 днів тому

    Mpna komaa nao usiogope hao wapigaji ogopa my gu peke take.

  • @VenanceMbanga
    @VenanceMbanga 5 днів тому

    Huyu jamaa ni msomali hawezi kuwa mzalendo ccm itatuua tudai Tanganyika yetu wasomali na wazanzibari

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 5 днів тому

    Hivi wabunge nyie wa sisiemu huwaga mnfikiria Nini mkimuona mpina Ana asesiment hivi maovu ya serikali na mawxiri feki wake?nafikiliaga Nini na makofi yenu TU
    MAANA hatuonagi HATA mmoja kumuunga mkono LABDA tabasamu kwa mbaali.mlaaniwe nyie

  • @SanziNzige
    @SanziNzige 5 днів тому

    Shetani alishushwa duniani kufanya Nini? Si sngeshushwa kwa sisiemu tuu? she sense nao jehanam .MAANA sisiemu wote kuacha magufuli na mpina Tuu. Engine wote NI group la shetani.tu msukuma nato mhu

  • @asingizibwejacobkalokola7351
    @asingizibwejacobkalokola7351 6 днів тому +1

    Safi sana