MWENYEKITI AMVIMBIA LAIVU MAKONDA, CHEKI WALIVYOCHENJIANA MBELE YA WANANCHI 'NIFUNGE PINGU'

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 чер 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

КОМЕНТАРІ • 118

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 24 дні тому +25

    Pole sana ndugu mwenyekiti. Hayo yanayokukuta nimatokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa yaliyopita. Ulipowekwa uliona raha sasa hivi utamu umekua shubiri.

    • @user-qz2sk3is9c
      @user-qz2sk3is9c 16 днів тому +2

      Umenena vyema lakini nae hakuwa makini kwenye kiti chake

  • @Juke995
    @Juke995 20 днів тому +8

    Mie ningekuwa mwenye kiti ningezimia tu 😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-rc8zw6jp2y
    @user-rc8zw6jp2y 19 днів тому +3

    Hongera mh Makonda ,Mungu Akuepushe na mabaya yote

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 14 днів тому +3

    Ukiskia responsible citizen ndo huyu sasa

  • @deohank5995
    @deohank5995 18 днів тому +3

    Nimeamini wananchi wa Tanzania siyo WAJINGA ni MUDA TU , hongera Mh. Makonda

  • @sebastianmusyebi-yv1hm
    @sebastianmusyebi-yv1hm 23 дні тому +10

    Mwenyekit labda alipita bila kupingwa hyu hata kaz hajui

  • @user-qz2sk3is9c
    @user-qz2sk3is9c 16 днів тому +4

    Makonda oyeeeeeee

  • @Jey-zh9tk
    @Jey-zh9tk 22 дні тому +5

    Uyo kaka apewe ulinz plz na ntamlipa bodyguard wake.

  • @robertempire9542
    @robertempire9542 25 днів тому +9

    Kweli kwa style hii tutafika tu Mana spana ikikugonga unapewa na huduma ya kwanza... Makonda piga kazi❤

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 14 днів тому +2

    Leadership is not about age, is about wisdom

  • @anethmollel6564
    @anethmollel6564 16 днів тому +1

    Ahsante kaka Makonda wewe ni mwanga wa jamii

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 14 днів тому +3

    Mtoa kero apewe cheo

  • @harunarashid6404
    @harunarashid6404 21 день тому +4

    😂😂😂mwenyekiti kauguwa

  • @BoisDonkoil-rk8lr
    @BoisDonkoil-rk8lr 5 днів тому

    Inanifunza kuwa ukitumia nguvu, siku moja ipo siku itatolewa kwa nguvu hiyo hiyo,,, Mungu atusaidie tusiwe wakujipenda kwa kujisahau🇰🇪

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s 23 дні тому +9

    Wewe unae sema tumpe urais unajitambua au maigizo Aya ndicho kipimo Cha urais wasiojukikana ukiwapa nchi matokeo yake nini

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha 21 день тому

      Huyu kama si Makonda basi ni chawa nene lakini lisilojitambua wala kuwatambua wengine. Hata hivyo, tangu urais ugeuke urahisi, hata kuku anauweza kwa sababu hakuna kuwajibika. Kama rais mzima anatetewa na chawa unategmea nini tena? Kama mazwazwa kama Mwigulu na PhD zao feki ndo washauri wakuu wa rais, untegemeani?

  • @DorikasiMwakabela
    @DorikasiMwakabela 22 дні тому +4

    Hiyo nikweli kabisa mtawala nimchungaji

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 13 днів тому +1

    Makonda piga kazi tunakuombeab Mungu atakuongoza

  • @NewadyNzuyu
    @NewadyNzuyu 19 днів тому +3

    Uje na uku kwet makonda iringaa

  • @nicodemuswidambe5132
    @nicodemuswidambe5132 21 день тому +4

    Hii staili ya kuongoza kwa nchi hii ni ngumu. Hiki kitu kinatoka wapi?

  • @DottoMalago
    @DottoMalago 24 дні тому +6

    Tatizo ni wananchi wenyewe,kufanya ushabiki kwenye kuchagua viongozi,bila kukumbuka kwamba,wanapomchagua kiongozi,wanachagua mtu anayewaamilia waishi vipi,ktk kipindi cha uongozi wake,sasa akiwa si mkweli au hajui anachokifanya,hasara ya miaka mitano,akiwa mchapakazi ni faida kwa miaka mitano,hivo unapofika wakati wa uchaguzi,tuache kuwa vipofu ghafla na tuache ushabiki wa kijinga,

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 14 днів тому +1

    Magodaoni yote ya enzi za Nyerere mengi sana yameuzwa

  • @MabulaMboje-yp1xb
    @MabulaMboje-yp1xb 17 днів тому +2

    Tunamuomba poo Makonda aje kutumikia mkoa wa geita

  • @joshuason557
    @joshuason557 11 днів тому +1

    Uyo mwanainchi apewe uwongozi ,anaweza 👏🏿✌🏿🇺🇬

  • @spiderelexander9977
    @spiderelexander9977 13 днів тому +1

    Waliopita bila kupingwa matokeo yake ndo hayo

  • @editorlais5185
    @editorlais5185 22 дні тому +2

    Mwenyekiti hajuy Kazi zake

  • @musaamos2431
    @musaamos2431 16 днів тому +1

    Ilitakiwa mwenyewekiti akimbie😂😂😂

  • @mussaharun7257
    @mussaharun7257 14 днів тому +1

    Jamaa ana D ya Civics

  • @barikiringo6311
    @barikiringo6311 22 дні тому +2

    Mwananchi huyo ana haki ya kuwa mwanaharakati na diyo kiongozi! Akiwa kiongozi atapumbazwa

  • @user-pt5rn5nj2f
    @user-pt5rn5nj2f 24 дні тому +6

    Ila jamaa mtoa hoja nae anapenda sifa jamn😂😂

  • @geofreymilinga2965
    @geofreymilinga2965 23 дні тому +2

    Mwananchi mtata kweli kweli

  • @barikiringo6311
    @barikiringo6311 22 дні тому +4

    System ya Magufuli ya kupitishwa viongozi bila kupingwa

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 24 дні тому +3

    Mifumo yetu ya usimamizi wa kazi na rasilimali haufanyi kazi inabidi sasa tufanye kazi kwa kutumia mikutano ya hadhara. Nani kawaweka hao watumishi wanaolalamikiwa? Hivi kwa staili hii tutafika kweli?

  • @iddimiraji6551
    @iddimiraji6551 8 днів тому

    Wishoo boy they halaaaaaa

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 24 дні тому +7

    Mama kapanik huu mchezo hautaki hasira 😊😊

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 23 дні тому +3

      Wala hajapanic maana anaevidence na title mkononi ilikua haina haja hata yakuongea wametesewa miaka 30 alafu huyu jamaa sio mwenyekiti ni raia na nimuongo yy aitwe kama nani wakati mwenyekiti na diwani ndo wasisimiamia zoezi yakutoa godown na mkuu wa wilaya ndo aliamuru itolewe sasa yy kama nani alitaka aitwe

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 22 дні тому +2

      ​@@najmanuru2021Mkuu wa Mkoa amebasse kwenye kufurahisha wananchi wenye visasi na yeye kaungana nao badili ya utawala wa sheria na haki.Mama anasema nyumba ni ya Kaka yake hasikilizwi kwa sababu ya kufurahisha watu wenye chuki .Huo sio uongozi

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 17 днів тому

      @@leokamil6284 kabisa alafu huyu jama ni mdogo kwa huyu mama na sio mzaliwa wa kisongo kahamia miaka ya juz sasa historia ya kiwanja cha watu unaingiliaje wakati wanatitle ya 1958 hapo yule mzee abel nae anadai kiwanja ambao hawa hawa viongozi wamechukua ndo angefaa kumuelezea ukweli wa eneo ya hao kina mama anawajua vizur lkn sio huyo kijana yani muongo kweli

    • @shabanikavula1304
      @shabanikavula1304 День тому

      ​@@leokamil6284uko kamili

    • @shabanikavula1304
      @shabanikavula1304 День тому +1

      Uko kamili

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 12 днів тому +1

    Brother auna point mama ana title

  • @jamesmaneno2281
    @jamesmaneno2281 23 дні тому +3

    Uyo Mzee alie ongea apo apewe cheo kichwa sana

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 17 днів тому

      Cheo gani cha kuongea uwongo kuhusu kina mama wawatu walioteseka kupata haki yao miaka 30

  • @user-yk8zp8zr5b
    @user-yk8zp8zr5b 22 дні тому +3

    Huyu mwenyekiti hana tofauti na mwenyekiti wetu ukienda akuandikie hati anamuita mtoto wake ndio anaandika hajui kusoma wala kuandika na ukienda unashida pesa mbele 😂😂😂 magu hapo alituweza

  • @JuliusHatari
    @JuliusHatari 25 днів тому +2

    Duh

  • @victoriaMwashiuya
    @victoriaMwashiuya 22 дні тому +1

    Ninashida na hela

  • @user-lp3pv2wi5p
    @user-lp3pv2wi5p 21 день тому +1

    Wasomalia Wana tabu

  • @JumaLugome
    @JumaLugome 21 день тому +1

    Mm

  • @awazimwanshuli5250
    @awazimwanshuli5250 23 дні тому +3

    Uyooo jamaa anavisa vyake kwa uyoo mama,mama kesha SEMA ana hati ya eneo saxa iweje anaulzwa maswal ya kumpankisha

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 23 дні тому +2

      Kweli kabisa ata hawampii nafasi yakujibu vzuri

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 22 дні тому

      Mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe nashangaa hata Mkuu wa Mkoa hataki kumsikiliza kwa kufurahisha wanakijiji walio changanya chuki za kipato. Amemwambia Mkuu wa Mkoa kuwa hiyo mali ni ya urithi na kwamba Kaka yake ndio mwenye upande ulozidi.Nilitegemea Mkuu huyo angemuita muhusika hata Ofisini kwake ili ampe kauli ya kuvunja matokeo yake anamuamuru asiyehusika infact yeye anabasse kwenye chuki za wananchi ili awafurahishe anaamua kumkandamiza Raia mmoja hiyo sio njia sahihi ya uongozi bali ni uongozi wa visasi

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha 22 дні тому +5

    Makonda analazimisha na kutaka sifa. Kwanini asitumie taratibu za kiofisi badala ya kujimwabafy? Bado anaishi kwenye zama za mwendazake ambaye naye alikuwa na mazabe yake. Hili jinga linamzuiaje mtu kuchukua fomu wakati ni haki ya kila mtanzania? Yeye alichukua fomu Kigamboni akachemsha pamoja na kuonywa lakini hakuzuiliwa. Makonda ni wa hovyo japo wengi wanamuona anafaa. Mteule wa rais anapata wapi mshipa kumzuia mtu kuchukua fomu? Kwanini huyu zwazwa anawaumiza wananchi kutaka kufanya kampeni baada ya muda unaoruhusiwa kisheria? Ona anavyojisifu na kuwatuhumu mambo ambayo hata hana ushahidi nayo. Samia amekuwa wa hovyo au asiyefuatilia hadi anakuwa na watu wa hovyo kama Makonda ambao walishavuruga wakati wa yule aliyewatengeneza.

    • @damianjeremia3821
      @damianjeremia3821 21 день тому

      Wewe uko idara gani au ulishawahi kuongoza hata mtaa

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha 21 день тому

      @@damianjeremia3821 Onglea tunayemuongelea. Mie umeniingizaje. Mie ni mtaaluma wa kawaida tu aishiye ughaibuni na nina safu kwenye gazeti la Mwananchi kila jumatano

    • @Gloria-vh5bz
      @Gloria-vh5bz 12 днів тому

      WENYE akili Kubwa Km yako wachache sn watanzania wepesi kusahau kuwa HUYU wanaemuita mukombozi wao ndio moja ya Watu wasiojulikana waliotoa ROHO nyingi zisizona hatia ,Leo hii wanasahau kwa maigizo haya

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha 12 днів тому

      @@Gloria-vh5bz Nakubaliana nawe kuwa ni criminal wa kawaida japo sikubaliani nawe kusema watanzania wanasahau wakati wewe nami ni watanzania hao hao.

    • @BukuruBahizi-go3fi
      @BukuruBahizi-go3fi 9 днів тому

      Huyu nikati yawala haki zawatu ndiyomana anamuona makonda wetu kua anatumia ubabe kutatua kero hasa eti alipandizwa tabia za MAGU ndug makonda piga kz

  • @kemmymartine4884
    @kemmymartine4884 5 днів тому

    😂ila wananch ni wagumu hahah

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 24 дні тому +7

    Wanyoshe, makonda MUNGU akuinue ktk taifa hili

  • @user-qz2sk3is9c
    @user-qz2sk3is9c 16 днів тому +3

    Huyu mtoa kero apewe maua yake jamani

  • @diegoshanga8184
    @diegoshanga8184 23 дні тому +1

    Risasi au bunduki nikuvurugwa!!

  • @nurukacharia6838
    @nurukacharia6838 22 дні тому +1

    He

  • @addymsola4625
    @addymsola4625 22 дні тому +1

    Makonda safi bwana nimekukubali kaka

  • @bettyjimmy9007
    @bettyjimmy9007 21 день тому +1

    Uled yuko wap

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 24 дні тому +3

    Mheshimiwa RC MAKONDA huyu. Mama ni mwuongo.Wasomali wamevamia kwasababu wa uwezo wapigwe nyundo haowameingilia eneo la Soko.

    • @khatrarage4445
      @khatrarage4445 23 дні тому +2

      Nani alie kuambia wasomali wamevamia eneo la soko wakati hati ipo kabla y kuweka soko wao wameuza eneo la soko ss wakangangania eneo la watu acha zarau kama hujui

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 23 дні тому +2

      Kama muongo mbona makonda asiwafukuze coz anajua wanahati milikii kwanzia 1958

  • @sundayndabaga9837
    @sundayndabaga9837 18 днів тому +1

    Uyu mwananchi ana DATA hatar,,, anafaa kuwa Chairman wa local government project development

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 25 днів тому +4

    Huyu muibua Hoja ndiyo anatakiwa awe Mwenyekiti.

  • @sylverbutamanya8588
    @sylverbutamanya8588 22 дні тому +1

    Huyu jamaa ajengewe Sanam hapo kijijini

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 17 днів тому

      Sanamu yakupewa rushwa kusema uwongo au ?

  • @BeatriceKitembe-gs9si
    @BeatriceKitembe-gs9si 23 дні тому +1

    Mungu atazidi kukuinua.... Zidi kutenda haki Mungu azidi kukutunza na kukulinda 🙏

  • @user-nc9kh8zi6x
    @user-nc9kh8zi6x 20 днів тому +2

    Mm kama mwananchi cheo cha mwenyekiti apewe huyu jama a

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 17 днів тому

      Muongo huyu kwenye vingine katunga

  • @piuskusenge-jf2ob
    @piuskusenge-jf2ob 25 днів тому +2

    Huyu jamaa anaposema apigwe pini anaelewa kweli😂😂😂

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 25 днів тому +2

    Spana+Spana+Spana

  • @user-wh7ds5ys7y
    @user-wh7ds5ys7y 24 дні тому +5

    Huyu tumpe uraisi anafaa sana tu

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 24 дні тому +2

    Mwenyekiti mlimweka wenyewe sasa tena mnamsulubisha hadharani

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 22 дні тому +1

    Huyo mama anaonekana ni k8buri Cha pesa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 22 дні тому +2

      Umewahi kuzungukwa na wasio na uwezo wa kulingana?huwa ni hivi mwenye nacho huumizwa na asienacho kwa kigezo cha kuwa anacho hivyo anaonekana anajigamba.Kifupi usiombee uzungukwe na wato waliokuwa hawalingani kipato na wewe utajuta

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 17 днів тому +1

      Wala hana pesa ulizeni na fatilieni ukwel kabla yakushutumu mtu kama angekua na pesa inakuaje yy ndugu zake wameteseka miaka 30 bila kupata haki yao pka magufuli ndo wakapata swali rahisi sana hilo jiulize magufuli alikua mtetea haki ndo maana wakapewa eneo Lao ww unamskiliza huyu jama anvisa vyake ametumwa kusema uongo

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 24 дні тому +3

    Wasomalia hawo

    • @Zainab_salat
      @Zainab_salat 24 дні тому +2

      Na nani? Mm ni msomali na nimezaliwa Tanzania😮😮😮😮😮😮, unasemaje?

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 23 дні тому

      Kwahyo akiwa msomali kazaliwa tz shida nini

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 23 дні тому

      Na wanahaki 💯 maana eneo ni Lao tangu 1958

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 23 дні тому +1

      Msomali ana haki ya kuishi hapa Tanganyika kama wewe mi ni mslomali nimezaliwa Arusha je mi sio raia, acha ubaguzi

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 23 дні тому

      @@MiriamAbdallah kweli kabisa embu muambie maana kule Somalia wapo watu wa tanga walipelekwa na wanaishi paka Leo wala hawatukaniwi lakini huku kutwa kututaja wasomali wasomali

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 24 дні тому +1

    Full spana DADEKI....Makonda❤..spana na Matibabu

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op 25 днів тому +2

    Uenyekiti w nn kazi isiyo na malipo

    • @selemanimasatu2421
      @selemanimasatu2421 25 днів тому

      Wenyeviti wanapata pesa mno tofauti na unavyofikili ndugu, kuna jamaa yangu M/kiti mpaka kanunua na Prado na majumba anajenga kwa kasi kubwa sana.

    • @zeelamipango
      @zeelamipango 25 днів тому

      😂😂😂😂

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 25 днів тому +3

    serikali mkinyanganywa kitu mnakuwa wakali kama wamechukua chao nyinyi ni only 1.5m mbona mnakuwa wakali

    • @najmanuru2021
      @najmanuru2021 23 дні тому +1

      Sindio hapo yani wao wamenyanganywa na serekali eneo Lao miaka 30 Leo yao 1.5 ni hatua moja ya unalalamika kwa rc mkuki kwa nguruwe kwa bindamu mchungu tena wangetakiwa hawa kina mama walipwe fidia yakuteseka miaka 30

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 22 дні тому

      Point

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 22 дні тому +1

      Asante na kuna sehemu nyingi walinyanganya na hawajalipa fidia

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 23 дні тому +1

    We makonda ni zawad toka kwa mungu kwanz una huruma hicho kitendo cha kumwambia mwenyekiti atibiwe ni heshima kubwa umeonyesha kwa wananchi

    • @nkwazigatsha
      @nkwazigatsha 22 дні тому +1

      Unajua maana ya zawadi au uchawa na ujinga vinakusumbua?

  • @JuliasiSatoti
    @JuliasiSatoti 22 дні тому +1

    Baba makonda vanya kasi ya Mungu usiogope

  • @RamsonOmmy-ie2um
    @RamsonOmmy-ie2um 22 дні тому +1

    makoñda anakazingumu sana