🅻🅸🆅🅴 LISSU, MSIGWA NA MWANAMAPINDUZI WANAUWASHA MOTO SINGIDA MJINI
Вставка
- Опубліковано 7 чер 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►UA-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Daa! Kama kweli serekali mnayafanya haya si,sawa mwenyezi Mungu anawaona mnavyowaumiza wananchi maskini ipo siku Mungu atakuja kuwahukumu na vizazi vyenu ktk Jina la Yesu Amin
We need our Tanganyika, wazanzibar wanatuuza. Tanganyika open your eyes our grandkids will judge us. It is shame
Mkurugenzi singida mini kaufyata Mimi nipo hapa pangechimbika.
Happy birthday Mchungaji Msigwa🎉❤
HAPPY BIRTHDAY MCHUNGA MSIGWA MUNGU AKUPE MAISHA MAREFU UTUPIGANIE NA KUTUELE.MISHA
Mungu anakutumia vyema Askofu mapinduzi siasa sio zambi kuchanganywa na dini siasa ni maisha na dini ni maisha
Safi sana Msigwa ila nilitaka nishangae ulivoshitaki kuanguka nyasa wewe jembe tunakupenda bado utapa cheo kingine wewe kamanda
LA SIVYO MSIAPIE KWA QRWAAN AU BIBILIA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
Nakukubali mzee, piga kazi haki ipatikane ❤
Tumbo la lisu kama mimba ya chura..kiboko sijui😂😂
Sasa hiyo inakusaidia nini🤣
NIMEKUELEWA
Watu wa Singida Sura zimechoka na shida
PAMOJA SANA LISSU.
Mungu awabariki sana Wapigania haki
MSIGWA KAPAKWA MAFUTA NJE YA CHUPA CHEZEA VIONGOZO WA JUUUU CHADEMA WEWEEE ! . . . 🤣🤣🤣
Hawazi wote kuwa viongozi, alichokilalamikia msigwa. Ni kansa ya taifa letu. Lakini historia ya ANC ya South. Kuna viongozi ambao wamo kwenye historia, hawajawai kushika wadhifa wowote. Ila walichangia kuangusha utawala wa kibaguzi
Chadema kwakweli inavichwa kweli kweli
Mageuzi.sasa
happy birthday to you
Wapen makavu mpaka waelewe hao maccm
Kidamali oyeee
Nl kweli kufuatana na kauli yako nimekubali ni bora kumfathili mbwa bina andamu hana fathira Daaa Tundu Lissu si ulikuwa unamsifia mama Samua Suluh Hassan kwa kuja kwake Huspiali Nairobi leo ameshakuwa mbaya kweli
KAHONGE WANAOHONGEKA!""SHENZIWEWE 😅😅😅😅😅
Haki itendeke
Ccm.imezeeka
Wewe.ndio.huna.hoja.ati.lisu.kama.nn.mogope.mungu.waliomfanya.hivyo.adhamu.ipo.inawangoja.eendelea.kutukana
NEMBO YA CHAMA CHA
MAPINDUZI
Hata nembo ya Bendera ya Chama Cha Mapinduzi ni silaha mbili zenye umbo kama---------?
Hoja hio kwa rais wetu ajae
Naona wazee wanachukua taarifa hapo kwa maandishi
Wapi mkurugenz!!
Na bado wanasema Tuwaombee wezi wa malinya umma
Wangojeni waumini kanisani
Waje waungame sio kwenye siasa
Mchungaji
😂😊
Mm nawaona kama waganga njaa km siasa Ni maneno km hayo namm na anzisha chama changu nipate fuzuku maana sera Hakuna mnabwabwanya
We chawa wa ccm hujui hata kuandika unasema fuzuku badala ya ruzuku
Ww fala wa ccm shule nishida afu unatetea hata kuandika shida wahovyo kweli
ww jamaa fara kwel unasema hakuna sera kwa maana hiyo ww husikii kinacho semwa hapo nabado ccm mtajuta siku inakuja
Kalimee wewe kichwa majii usihelewa kinachohendelee ivo kalime mbuzii wew wama yahii 🖕🖕🖕
Ukimbezs lissu na wenzake utakua mjinga na mpimbavu kwani kwako erimu sio muhimu wewe ni nimufu uliisha kufa kitambo
Ongea kinyiramba na Kinyaturu punguza Mdomo kwa ulopokajikuna siku utawauzi wasikilizaji utatembelea Magoti maana umeshindwa kulima yaani nyinyi mpate nchi ni NDOTO za mchana ila mnatafuta RUZUKU inatakiwa ifutwe hiyo inaleta uzembe watu hawalimi kusingizia eti ni wanasiasa
Ruzuki ilifutwa vyama vya siasa vinakufa. Mzee mwinyi alisema kuna mchwa unabungua. Unaona nguzo imesimama kumbe imebunguliwa. Yesu alisema yule anayedhani kasimama na ajiangalie asianguke. Vyama vitakufa.
Hivi Hawa Watu wanaomsikiliza Lisu huwa hawana kazi za kufanya??
Wewe uliyemsikiliza hata ukatoa hii comment huna kazi?
Wewe mwenyewe huna akili uliekuja kusikiliza UA-cam tofauti yako na wao nn
Wanaomsikiliza Tundu Lissu wana njaa ya HAKI na hawataki DHULUMA za CCM na SAMIA asiyetaka suluhu ya kupigania rasilimali za Tanganyika.
Ndiyo hawana kazi zakufanya maana walikuwa wafanyakazi wa bandari Sasa wamefukuzwa na kupewa Waarabu. Hivyo heri wakamsikilize anayewatetea.
Jitahidi kuwazuia basi kama uwezo unao
CCM OYEEEE
Ukiwa punbavu lazima uwe CCM
Samia anapenda kukopa sana
Angekubali kubadili katiba mwakani ndio ingekuwa mwisho wa ccm tanzania
Wakolon.wafunga.vilago.wakaenda.mama.anawarudisha. nani.kati.nyerere.samia.mazuri.wakoloni.mambo.leo
TULISHINDWA KUENDESHA VIWANDA BORA TUBINAFSISHE
Tu.mechokaccm