MCHUNGAJI KIMARO ASAMEHEWA, ABUBUJIKWA MACHOZI KANISANI "UMESAMEHEWA ENDELEA KUTAFAKARI"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 лют 2023
  • ‪@millardayoTZA‬

КОМЕНТАРІ • 599

  • @lydiahbhoke2284
    @lydiahbhoke2284 Рік тому +23

    Mchungaji Kimaro wewe ni wa juu wewe ni wa juu nasema wewe ni wa juu subiri Mungu atakupandisha viwango vingine vikubwa sana wewe ni dhahabu wewe ni Lulu you are of another level

  • @meshackshirima6047
    @meshackshirima6047 Рік тому +28

    Mi binafsi ni mroma lakini nampeda bure huyu baba🙏

  • @Mapishinatibatv
    @Mapishinatibatv Рік тому +31

    Watu wa Mungu kweli wanaongozwa na Roho wa Mungu 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @janethjohnmrsjoseph2171
    @janethjohnmrsjoseph2171 Рік тому +17

    Ahsante bwana yesu kwa kusikia sala na maombi yetu juu ya mchungaji wetu 🙏🙏😭😭😭😭

  • @joycemollel7698
    @joycemollel7698 Рік тому +25

    Kumcha bwana ni chanzo Cha maarifa,ubarikiwe sana mchungaji kimaro, Mungu yu nawe siku zote.

    • @joycesanga4378
      @joycesanga4378 Рік тому

      Huyu ndo mchungaji sasa anayekubali majaribu maana alijuwa haya ni mapito yatapita tu siyo wale kanisa likitikiswa kidogo tu wanahama kanisa hongera mtumishi wa Mungu napendaga sana mahubiri yako

  • @euphrasiantawatawa1510
    @euphrasiantawatawa1510 Рік тому +12

    Haleluyaa,shujaa umerudi karibu sasa ",Let be light",Glory to God.

  • @tumainikaluwa8133
    @tumainikaluwa8133 Рік тому +51

    Namwona Mungu anamwandaa Mchungaji Kimaro, kutokea KKT kuwa mtumishi mkubwa Tanzania na kwa mataifa

    • @pastorcarolicarlostokunmbo826
      @pastorcarolicarlostokunmbo826 Рік тому

      Umemwonaje Mungu

    • @barakamachard1944
      @barakamachard1944 Рік тому +1

      Kwan saiv sio mtumishi mkubwa Tanzania

    • @mwajumamohd7930
      @mwajumamohd7930 Рік тому +3

      Wacha uongo hawezi tokea KKKT,hapo tu wameshampiga stop,kama atahuburi kwa spidi ile Tena,Niko paleeee nimekaa nakunywa Pepsi ya baridi

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 Рік тому +3

      Tuendelee kumuombea!

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 Рік тому

      @@mwajumamohd7930 Kama nimemuelewa ni kua atakua mkubwa akiondoka KKKT, hapo kweli amepigwa speed gavana

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Рік тому +10

    Asante baba Malasusa kwa hekima zako. Pia Kimaro Mungu akujaze siku kwa ajili ya kondoo wa Mungu na hekima uliyonayo na unyenyekevu mkuu sana. We real miss you 😭😭😭. My heart hunger

    • @janethmalaika5241
      @janethmalaika5241 Рік тому

      @anthonychaula6362nyinyi ndo tatizo kubwa sana kama alivyosema askofu kuna waumini wa kweli na wasio hao kazi yao nikuleta tatizo tuepukane nao na kamuonya Kimaro kwa ajili ya hao waumini we mmoja wapo .Do not touch my annointed ones unapataje nguvu ya kuongea sentence kama hio instead ya kusema asante Mungu kwa hili unataka kuanza kebehi as a christians tujitafakari sana

  • @eliashagai7920
    @eliashagai7920 Рік тому +7

    Nakushukuru kwa mtumishi wako mchungaji Eliona kurudi kazini,Mungu umwema Sana.Wskati Askofu anaongea nimejikuta machozi yananibubujika.Asante Mungu wetu wa mbinguni

  • @jardinemwasi8123
    @jardinemwasi8123 Рік тому +11

    From Kenya. Hakika wacheni Mungu aitwe Mungu. Mungu anasikia maombi ya watu wake. Asante kwa unyenyekevu wa mtumishi kimaro. Na pia asante kwa watumishi wote wa kkkt kwa kumsamehea mchungaji,kweli hii ni ishara ya upendo mbarikiwe nyote pamoja na kanisa lote.

  • @vero57
    @vero57 Рік тому +41

    Haya sasa na sisi tuwasamehe wezutu, tuazie hapa, MUNGU ni mwema sana 🙏🏾🙏🏾

  • @nerryabel7512
    @nerryabel7512 Рік тому +42

    Am happy for you Mch Kimaro,mahubiri yako ni mazuri na ya kisasa endelea mbele baba Mungu ni mwema sana🙏🙏

    • @lindakapongo8421
      @lindakapongo8421 Рік тому +3

      hata mimi nimelia kwa ushindi yesu kashinda amani yabwana kwa asikofu mama kimaro kwa ushauri muzuri ubarikiwe mke mwema

    • @maryamconstantine2232
      @maryamconstantine2232 Рік тому +2

      @@lindakapongo8421 sorry lkn km utojal Yesu na Bwana sio yesu

    • @gracevicent510
      @gracevicent510 Рік тому +2

      Asante Yesu

    • @elitulizampangule2999
      @elitulizampangule2999 Рік тому +2

      Mungu ni mwema🙏

    • @jamesraphaelmdima4729
      @jamesraphaelmdima4729 Рік тому +1

      Mahubiri ya kisasa ndio maandiko yanasema siku za mwisho watu watapenda mafundisho lainilaini!

  • @christamanyalla264
    @christamanyalla264 Рік тому +2

    Hallelujah hallelujah hallelujah mwanakondoo ameshinda Hallelujah! Tunamshukuru Mungu kwa ajili yako Mchungaji Kimaro, kwa mara nyingine tena kwa vitendo umetufundisha unyenyekevu, Mungu azidi kukuinua.

  • @chiwaligojoseph8529
    @chiwaligojoseph8529 Рік тому +51

    Nimeshtuka nimetetemeka nimefurahi changanya hizo hali zote kwa pamoja, cjui hata ninajisikiaje nikiwa miongoni mwa watu wanaompenda sana mtumishi huyu wa bwana.

    • @deborahmuhanda5561
      @deborahmuhanda5561 Рік тому +1

      Ameni

    • @benjaminsimiyu4420
      @benjaminsimiyu4420 Рік тому +1

      All honor and glory belong to our good God.

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 Рік тому +3

      Watu wenye Mungu ,hujinyenyekeza na kujishusha ,hutii viongozi hata kipindi kigumu

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 Рік тому +2

      Yaani machozi yamenitoka + huo mvurugano ulioutaja. Yaani hata sijielewi. Huyu mtu wa Mungu amekua baraka sana kwa wengi. Pia mwingi wa hekima. Mungu tutunzie huyu kiumbe wako

    • @erickgeneration
      @erickgeneration Рік тому +2

      Kwani alifanya kosa gani?

  • @fredrickonchokanimrods9631
    @fredrickonchokanimrods9631 Рік тому +11

    from Kenya,kwa kweli Mungu n mwema,we love you Mr Kimaro

  • @sophiamumbe888
    @sophiamumbe888 Рік тому +2

    Mimi ni muislamu ila nimependa sana mlivyo sameheyana amekukosea na yeye akajuwa.akakuomba msamaha na ukasamehe mbarikiwe nyote AMEEN

  • @christianlutego1288
    @christianlutego1288 Рік тому +9

    Mchungaji Kimaro MUNGU amekuinua zaidiii, pito hilo lilikuwa la kukuinua, hata tusio walutheri sasa tumekujua sasa wewe ni mchungaji sahihi wa nyakati hizi

  • @obadiansato1898
    @obadiansato1898 Рік тому +8

    Nimefurahi sana mch Kimaro kurudi hakika nimebubujikwa na machozi

  • @highlighttz3321
    @highlighttz3321 Рік тому +1

    Hongera sana baba askofu kwa kuachilia msamaha kusamehe sio kitu rahisi hongera mchungaji kimaro

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Рік тому +26

    Haki hadi nimebubujikwa na machozi, tumuache Mungu aitwe Mungu🙏🙏

    • @solsimaniakanam7843
      @solsimaniakanam7843 Рік тому

      Ameen yesu ni mwema tumeshukuru na.musamaha mubarikiwe watumishi wahusikawote thanks

    • @niceayuma7256
      @niceayuma7256 Рік тому

      Amen Baba askofu Kwa hekima uliyotumie

    • @niceayuma7256
      @niceayuma7256 Рік тому

      Amen

    • @landiismollel4075
      @landiismollel4075 Рік тому

      Acha umaandazi wewe, yaani ulie wewe kisa mwingine 😂😂🚮🚮

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 Рік тому +4

    Mungu ni mwema, asante Yesu maombi yetu yamejibiwa. I can't wait. 🙏

  • @arubalydia224
    @arubalydia224 Рік тому +2

    Kilicho cha Mungu bila Shaka kina lindwa na Mungu, Yesu anakupenda baba 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️

  • @margaretnamubi4565
    @margaretnamubi4565 Рік тому

    Mchungaji komaro
    God is preparing you to high ranks
    .b come God is on your side
    Am bless6 with ir preachings

  • @annamachaki3644
    @annamachaki3644 Рік тому +7

    Mungu ww ni Ebenezer asante kwa mtoto wko Eliona kama lilivo jina lake Eliona maana yake Mungu Angalia na akaangalia Asante Mungu usiesinzia ukampa mwanao kutokutetereka kwa yaliyotokea ukamshikilia hakutangtang kutamani kulihama kanisa🙏🙏 hadi leo tunaendelea nae pole sana Kimaro asanteni watumishi wa Mungu🙏🙏🥰

    • @rehemamusa8199
      @rehemamusa8199 Рік тому

      Mtumishi.songa.mbele.usiangarie.kulia.wala.kushoto.asante.kushuka.na.kuyeyekea.bazikiwe.sana

    • @marygorethkazungu7739
      @marygorethkazungu7739 Рік тому

      Mungu akutunze, ana makusudi na wewe, majaribu yasikurudishe nyuma, hata mwanae Mungu aliyapitia na akayashinda, usilie , mtumikie Mungu mpaka mwisho wa dahari. Amina

  • @jescarlema8098
    @jescarlema8098 Рік тому +2

    Sijui hata kwa nini machozi yananitoka nimefurahi sana kwa ajili ya mchungaji Kimaro Mungu azidi kumuinua

  • @marthanyamburasamuel5706
    @marthanyamburasamuel5706 Рік тому

    Am really grateful to God almighty 🙌 let your Holy name be uplift Lord for the humbleness that uve put upon your servant more blessings protection provision as you do the work of God,,I love you man of God am greatful to God almighty 🙏

  • @maryr4033
    @maryr4033 Рік тому

    Heri wapatanishi Kwa maana hao wataitwa waana wa Mungu! Pole sana baba Kimaro Jesus loves You. Roho mtakatifu akufundishe zaidi ktk njia zake. Nawapenda Baba na Mama Kimaro!

  • @eliamanmollel5085
    @eliamanmollel5085 Рік тому +9

    Amen, Glory to God Almighty 🙏

  • @sophiandumbaro1709
    @sophiandumbaro1709 Рік тому

    Pastor Kimaro wewe ni bonge la mtumishi wa Mungu,umeonyesha unyenyekevu mkuu,huku jiinua na MUNGU akujalie neema.

  • @abeidsabuni5026
    @abeidsabuni5026 Рік тому

    Mchungaji kimaro anaongea point sana..... Hakuna mkamilifu ila Mungu atazidi kukupigania na kutupigania sote Amen

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Рік тому +5

    We love you rev Kimaro welcome back

  • @monicamtenga
    @monicamtenga Рік тому +1

    Mchungaji kimaro Mungu akulinde kwenye huduma yako utafika mbali Sana

  • @esterkiyongo2316
    @esterkiyongo2316 Рік тому +7

    Pr Kimaro Pole kwa Pito hili

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 Рік тому

      Ni kweli mungu ni mkuu hakuna kilichoshindikana kwake Asante baba wa mbinguni wote tuu wakosaji ndo maana baba alisema tuombe Toba Kila tuombapo asb mchana na jioni tuombe tuu yamkini umekosea mtu na hujitambui km ni dhambi

  • @msechutimotheo4830
    @msechutimotheo4830 Рік тому +11

    Am very happy for you father Pastor Kimaro till crying 😢

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 Рік тому +15

    Afadhali alivyojishusha kweli analipenda sana kanisa lake kkkt.Mungu ambariki mchg Kimaro😍.Kasameheana ni vizuri sana Agizo la KRISTO YESU ❤️

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Рік тому

      Sio tu kulipenda kanisa lake bali ndo sehem yake ya biashara yake angekula wap sasa...

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 Рік тому +2

      Watu wenye roho ya Mungu ,siku zote ni wanyenyekevu. Hongera baba Kimaro kwa unyenyekevu wako. Hii ndio kweli ndani yako

    • @janengaga2928
      @janengaga2928 Рік тому

      @@MtuSafi 😃🤣🙋

    • @mariamgodfrey53
      @mariamgodfrey53 Рік тому

      @@MtuSafi 😂😂😂 Halafu kweli

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 Рік тому

      @@MtuSafi unawaza kula tu, kazi ya Mungu mi zaidi ya kula na kunywa.

  • @willahalinga9053
    @willahalinga9053 Рік тому +3

    Nimefurahii kumuona tena baba yetu,. Mungu aendelee kukupigania ktk yotee

  • @phadminkeadminkenia6192
    @phadminkeadminkenia6192 Рік тому +3

    Nafurahia sana kutoka Kenya kkkt kinyelezi nikanisa langu Mungu yupo na anatupenda sana

  • @devothatraziasmshumbus
    @devothatraziasmshumbus Рік тому

    Mungu akuinue zaid....pole sn Rev Kimaro napenda sn mahubir yako

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 Рік тому +10

    Tu samehewe kama tunavyowasamehee wengine waliotukosea,. Asante Baba Askofu kwa hekima yako kwa kizazi hiki.Heri wenye moyo safi maana watamuona Mungu. 🙏🏻🙏🏻

  • @saadamartin8866
    @saadamartin8866 Рік тому +1

    Utukufu wote ni wako Mungu, mchungaji umeonesha mfano mzuri Sana kwa Jamii, kweli wewe ni mchungaji, Mungu akubariki

  • @romanafrancis265
    @romanafrancis265 Рік тому +2

    Mungu ni mwema , mchungaji kimaro hongera endelea kumtumikia Mungu kwa nguvu zote barikiwa sana

  • @gracemusa31
    @gracemusa31 Рік тому

    Huyu mchungaji kimaro anaonekana ni mnyenyekevu Sana Mungu atazidi kumuinua viwango vya juu sana

  • @sayunimunuo2429
    @sayunimunuo2429 Рік тому

    Mungu ni mwema Mchungaji zidi kumuomba Sana na kuvunja Mipango yote ya Ibilisi, Kwani Juzi nilikua kwenye dalala Kuna watu walikuwa wakikukandamiza na kuongea maneno mabaya Mungu akutane nao Kwa Jina la Yesu, Siku zote Dhahabu ili ing'ae lazima ipite kwenye moto Songa Mbele mtazame Mungu Pekee🙏
    Askofu Mungu Akulinde Asante Kwa hekima aliyokupa Mungu, awalinde Watumishi Wote🙏

  • @tumsifumballaga824
    @tumsifumballaga824 Рік тому

    MUNGU ni mwema hakika nimependa hekima za baba askofu malasusa huo ndio ukristo kusameheana he is such a man of GOD am happy too kwa kimaro mafundisho yake huwa yananibariki sana.

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Рік тому +2

    Glory to God....lipo la kujifunza hapo👏🤝

  • @justinmnkeni7691
    @justinmnkeni7691 Рік тому

    Kama kuna waliosifiwa kuwa na tabia nzuri ni kwa utukufu wa bwana na waendeleze tabia nzuri na wanaojitambua kuwa na mapungu tumo tumuombe mungu atubadilìshe kwa damu ya yesu.mchungaji hakutaja jina la mtu na yeye si msemaji wa KKkT na kila mtumishi anatumiwa na roho kwa namna tofauti kufikisha ujumbe .Tumshukuru MUNGU kwa nguvu ya msamaha.Tusiende kwa kukosoana bali kuelekezana na kuchukuliana mizìgo.

  • @jescamwakipesile5339
    @jescamwakipesile5339 Рік тому +5

    Mungu ni mwema na mwaminifu sana, mwingi wa Rehema. Msamaha ni muhimu. MUNGU wabariki Watumishi wako wote, asante kwa hekima iliyotumika.

    • @mwajumamohd7930
      @mwajumamohd7930 Рік тому

      Msamaha kwa kosa lipi?? Na kama Kuna kosa inamaana washirika walikuwa wanaandamana huku wakijua makosa ya mchungaji wao??? Hii ni funika kombe mwanaharamu apite

    • @gladyelia8630
      @gladyelia8630 Рік тому

      Amen

  • @naomigodwinmagenge6342
    @naomigodwinmagenge6342 Рік тому +1

    Ashikuliwe Mungu wa mbinguni, nimelia sana Kwa furaha Kwa kuona mchungaji huyu kasemahewa na aendelee na kazi ya kituelimisha. Nimemuona mkono wa bwana ni kweli bwana hutenda Kwa wakati wake.

  • @catherinegimbika1545
    @catherinegimbika1545 Рік тому

    Mungu akuinue zaidi mch Dk Eliona, uishi maisha marefu sana umtumikie yeye , na mwisho tufike mbinguni.

  • @neemaloy889
    @neemaloy889 Рік тому

    Asante yesu kwa kumtetea kimaro,japo naomba viongozi wa kkkt muwe na hekima na HOFU ya Mungu mnapofanya maamuzi,Kimaro mlitaka tu kumshika miguu lakn Yesu amemtetea,huduma ni ngumu sana mnapoona mwenzeni anainuka mshikeni mkono

  • @maryyohana4586
    @maryyohana4586 Рік тому

    Amen Asante kwa Hekima kubwa Baba Nuru na giza vinapingana mimi namshukuru Mungu kwa Hekima Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.

  • @mariamlugula136
    @mariamlugula136 Рік тому

    Binafsi Nampenda sana Mchungaji Kimaro, Mungu Akusimamie katika neno na kweli Barikiwa mnoo

  • @amanimapenzi571
    @amanimapenzi571 Рік тому +1

    Gosh! Ile kulia nimelia jamani!!! Eeh napenda kuwa mkatoliki mimi!!! Tunaunganishwa na msamaha wa kristo

  • @fabiolashirima7278
    @fabiolashirima7278 Рік тому +4

    Glory be to God 🙏♥️

  • @teddymagori3779
    @teddymagori3779 Рік тому +1

    Asanteee yesu kiristo we wa haki mbele za wanadam na mbel za wanym pia jina lko litukuzwe

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 Рік тому +2

    Jamani nimetokwa na machoz Hakika Mungu anawafaham walio wake pole baba futa machoz songa mbele😭😭😭

  • @matildah2080
    @matildah2080 Рік тому

    So,so happy to hear that Mungu ni Mungu tu hata maadui wakupangie nini atabaki kuwa Mungu,🙏🙏

  • @janechengula2833
    @janechengula2833 Рік тому +5

    Asante Mungu wetu 😭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @leahmzundu9374
    @leahmzundu9374 Рік тому +1

    Mungu ni mwema kila wakati. Karibu Mtumishi Injili isonge mbele

  • @mary3714-hss
    @mary3714-hss Рік тому

    Asante Mungu wa Utatu Mtakatifu,wewe ni Mungu usiyeshindwa na hakika hutenda kwa wakati huchelewi wala huwahi.Maandalizi mema ya kipindi cha Kwaresma.

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Рік тому +7

    😭😭🙏🙏🙏🙏🤝🤝 Am so happy for this moment! Welcome our father in Christ!

  • @beatricejoseph2347
    @beatricejoseph2347 Рік тому +1

    Mungu atabaki kuwa Mungu hakuna wa kufananishwa na yeye na ,Mungu yupo anatenda ,kusudi lake lazima litimie.🙏🙏🙏

  • @wilfredaxwesso7394
    @wilfredaxwesso7394 Рік тому +1

    GLORY TO GOD .Hili ndilo nililotarajia kuwa Mch Eliona atashinda hii vita kwa kutambua kuwa maneno yake hayakuwa afya kwa wakristo na ukristo pia japo hakuwa na lengo baya.Washarika tusiwe mashabiki hasa waliokuwa wakiandamana,kiukweli walikuwa hawajui kuandamana kwao ni kumtukuza shetani.Mahubiri mbele kwa mbele Dr eliona.Ameen.

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Рік тому +3

    In God.I trust.Amen

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Рік тому +3

    Hallelujah Hallelujah ASANTE MUNGU kwa kujibu maombi yetu🙏🙏🙏🙏😭😭

    • @lucymussaabinego1753
      @lucymussaabinego1753 Рік тому

      Kwani slifanya nini? Shetani alimpitia wakafanyaje? Tujuzwe hatukujua kama alifanya makosa tulikuwa ni likizo tu

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Рік тому +8

    Maaskofu waliona kimeumana, mtu kawekwa kwa bango, inabidi tumsamee.

    • @magrethminja1309
      @magrethminja1309 Рік тому +1

      Dunia ilitambua na mbingu zikadhibitisha,Mungu mwema,naamin Kuna nguvu ya ziada imeobgezeka Kwa Pastor kimaro embe emagine wachungaji waliompiga mawe n kumpaka mavi kesho Yao bado hawJaijua(/¯◡ ‿ ◡)/¯ ~ ┻━┻

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 Рік тому +1

    Utabaki kuwa Mungu ! Umewajibu watoto wako! Hakika Bwana Mungu nashangaa kabisa nikitazama jinsi ulivyo😭🙏🙏🙏

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Рік тому +4

    Huu ndio ukristo wa kweli. Sometimes inabidi tujishushe na tunyenyekee alafu tuache mkono wa Mungu ukatende. Yeye ndio muamuzi wa kweli. God bless you our Brother in Jesus Dr Kimaro🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇺🇸

  • @agustinocharles2650
    @agustinocharles2650 Рік тому +2

    Wow GOD is good 👏👏👏👏👏👏

  • @naisaitoti644
    @naisaitoti644 Рік тому

    Ni kweli kabisa Baba Askofu Wakristo linavyotokea jambo ndani ya Kanisa tusiwe mashabiki bali tuwe mstari wa mbele kusawazisha ilo Kanisa lisipate doa maana ndani ya Kanisa wapo washabiki wa Imani

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 Рік тому +2

    Mungu ni mwema siku zote na tumeomba na Mungu huwa achelewi siku zote yeye ni mwanzo na mwisho na yeye afananishwi na mtu huduma ya Mch.kimaro iendelee mbele watu wa Mungu tuendelee kumuombea mtumishi wa Mungu amen

    • @rodamasanja6601
      @rodamasanja6601 Рік тому

      Mungu ni mwema baba endelea na kazi mtumishi wa Mungu

  • @eliethmwanguya7118
    @eliethmwanguya7118 Рік тому

    Jamani nampenda Mch.Kimaro mpaka Shetani anaona wivu, Mungu amsaidie katika yote, hakika nguvu ya Mungu imeshinda.

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 Рік тому

    Tunamshukuru sana Mungu wangu kwa Hekima iliyofanyika kumsamehe Mchangaji Kimaro Mungu akubariki sana Malasusa

  • @sundaystanley5322
    @sundaystanley5322 Рік тому

    Mungu ni mkuu sana,makanisa mengine yaige mfano kwa kkkt,nimeipenda sana hii.Baba askofu nakupongeza sana

  • @colethachaula592
    @colethachaula592 Рік тому

    Mmemuumiza saizi mnasema pole Sana, kimaro saizi najua Mungu atakuweka ktk viwango vingine usijar songa mbele

  • @elizatete1452
    @elizatete1452 Рік тому

    Ahsante Mungu kwaajili ya mchungaji wetu kimaro

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 Рік тому +2

    Amina nimefurahi sana kuweka tofauti pembeni. Huo ndio ukomavu ktk imani. Mungu awabariki sana

    • @nerryabel7512
      @nerryabel7512 Рік тому

      Wameona waumini na wamechachamaa mno,wakaona wamsamehe tu arudi kazini

  • @lucythomonja7302
    @lucythomonja7302 Рік тому +7

    Glory to God

  • @samhadas788
    @samhadas788 Рік тому

    Mungu akulinde
    Irua Ave naiwe nshungaji
    Aba ikuda inini la Irua

  • @rehemamwamundela2717
    @rehemamwamundela2717 Рік тому

    Mungu awabariki sn watumishi wa Mungu baba Askofu Malasusa na mch Kimaro

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Рік тому

    Wewe ni MUNGU unaetenda Tena na Tena, lusifa umeanguaka lusifa umeaibika, Asante YESU kwa kuwa ulisema hutatuacha yatima Asante MWOKOZI wetu

  • @heavensent2526
    @heavensent2526 Рік тому

    Safi sana Baba Askofu na Mchg Kimaro hii ndo maana halisi ya upendo tuliofundishwa na BWANA YESU...
    Shetani kaaibika mchana kweupeee

  • @beatusmchau1556
    @beatusmchau1556 Рік тому +3

    Hongera nyingi kwa Askofu mtarajiwa wa KKKT imedhihirisha wazi hilo halina mjadala ila muda utaongea Amen

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Рік тому +1

    Mungu nimwema nakufatilia Sana Mchungaji Kimario

  • @panchovalentino3576
    @panchovalentino3576 Рік тому +1

    Mchungaji Kimaro Yuko vzur Sana 💯🔥

  • @isaacnyongesa4690
    @isaacnyongesa4690 Рік тому

    Na jina la Mungu ainuliwe siku zote....mitokapo kenya 🇰🇪 Mwenyeenzi Mungu anisamehe!! Forgive me Lord ...

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Рік тому +1

    UYO NDIE MUNGU MKUU KULIKO Miungu THANKS GOD YEHOVA

  • @cosmasissackmatata9186
    @cosmasissackmatata9186 Рік тому

    Asante baba askofu hakika hii imenibariki mno.

  • @monicamtenga
    @monicamtenga Рік тому

    Asante Yesu nimefurahi sana,Mungu wetu ni mwema kila wakati.

  • @janetsemahimbo8083
    @janetsemahimbo8083 Рік тому +2

    Ahsante mchungaji Kimaro Kwa kujishusha pia Kwa kukaa kimya Kwa kipindi chote hiki bila kujitoa kwenye media kuongelea haya yaliyotokea. Ubarikiwe sana Mchungaji Kimaro. Pia nakupongeza askofu Malasusa Kwa kutoa msamaha Kwa Mtumishi wako hiyo inaonyesha jinsi gani ulivyokuwa na upendo. Mbarikiwe wote

    • @georgenorasco1705
      @georgenorasco1705 Рік тому

      Chanzo n nn et

    • @gwamakangwala6468
      @gwamakangwala6468 Рік тому

      He really practiced what he preaches.

    • @issayashesha9403
      @issayashesha9403 Рік тому

      Good say.AMEJISHUSHA SANA ASUBIRI MUNGU MWENYEWE ATAMPANDISHA Binadamu NI Nani ? akuyangazie MSAMAHA wa kutengenezewa

    • @janetsemahimbo8083
      @janetsemahimbo8083 Рік тому

      @@issayashesha9403 Hiyo ni kukubali yaishe Issaya. Duniani hakuna haki, haki IPO mbinguni

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 Рік тому

    Hii ni shirki kubwa sana, yani msamaha wa mtu unakua na nguvu kama msamaha wa Allah. Islam will always be my Way of life.

  • @mariakibwana3700
    @mariakibwana3700 Рік тому +5

    Mimi sijui kosa lake lilikua nini.

    • @aisibomaimu5901
      @aisibomaimu5901 Рік тому

      Shetani ana nguvu, Nipo lilipotokea giza kupigana na nuru, giza likaleta mafanikio, watu wa MUNGU tulipomgaragaza sheta akashindwa, nuru ikatokea tena. USHINDI ukapatikana kwa jina la YESU. Nina rahaaaaaaa

  • @andrewmmassy5204
    @andrewmmassy5204 Рік тому

    Thanx god for kimaro

  • @christinamnzava9689
    @christinamnzava9689 Рік тому

    God Bless u Mch Kimaro..

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 Рік тому

    Hii ndio dini ilio safi.
    Mtumishi wa Mungu Ongera sana.WATU WANAO MTUMIKIA MUNGU AWAWEZI KUTIKISIKA WATAKUWA KAMA MLIMA SAYUNI.

  • @valentinovenant1568
    @valentinovenant1568 Рік тому

    Katika kazi ya mungu vikwazo lazima viwepo....simama baba Piga injili kupitia Hilo imani yako imezidi kuimarika.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Рік тому +5

    Ameomba msamaha Kwa kosa gani?

  • @habibajohn8967
    @habibajohn8967 Рік тому +1

    Pol sana mungu Yuko pamoja na wewe🥰🥰🥰

  • @marysona9999
    @marysona9999 Рік тому

    Kikubwa mchungaji ni mnyenyekevu sana!!! Nimejifunza.

  • @angelben5291
    @angelben5291 Рік тому

    Barikiwa kwa kushuka , Mungu akutunze zaidi