Mchungaji Kimaro wewe ni wa juu wewe ni wa juu nasema wewe ni wa juu subiri Mungu atakupandisha viwango vingine vikubwa sana wewe ni dhahabu wewe ni Lulu you are of another level
Huyu ndo mchungaji sasa anayekubali majaribu maana alijuwa haya ni mapito yatapita tu siyo wale kanisa likitikiswa kidogo tu wanahama kanisa hongera mtumishi wa Mungu napendaga sana mahubiri yako
Asante baba Malasusa kwa hekima zako. Pia Kimaro Mungu akujaze siku kwa ajili ya kondoo wa Mungu na hekima uliyonayo na unyenyekevu mkuu sana. We real miss you 😭😭😭. My heart hunger
@anthonychaula6362nyinyi ndo tatizo kubwa sana kama alivyosema askofu kuna waumini wa kweli na wasio hao kazi yao nikuleta tatizo tuepukane nao na kamuonya Kimaro kwa ajili ya hao waumini we mmoja wapo .Do not touch my annointed ones unapataje nguvu ya kuongea sentence kama hio instead ya kusema asante Mungu kwa hili unataka kuanza kebehi as a christians tujitafakari sana
From Kenya. Hakika wacheni Mungu aitwe Mungu. Mungu anasikia maombi ya watu wake. Asante kwa unyenyekevu wa mtumishi kimaro. Na pia asante kwa watumishi wote wa kkkt kwa kumsamehea mchungaji,kweli hii ni ishara ya upendo mbarikiwe nyote pamoja na kanisa lote.
Hallelujah hallelujah hallelujah mwanakondoo ameshinda Hallelujah! Tunamshukuru Mungu kwa ajili yako Mchungaji Kimaro, kwa mara nyingine tena kwa vitendo umetufundisha unyenyekevu, Mungu azidi kukuinua.
Nimeshtuka nimetetemeka nimefurahi changanya hizo hali zote kwa pamoja, cjui hata ninajisikiaje nikiwa miongoni mwa watu wanaompenda sana mtumishi huyu wa bwana.
Yaani machozi yamenitoka + huo mvurugano ulioutaja. Yaani hata sijielewi. Huyu mtu wa Mungu amekua baraka sana kwa wengi. Pia mwingi wa hekima. Mungu tutunzie huyu kiumbe wako
Mchungaji Kimaro MUNGU amekuinua zaidiii, pito hilo lilikuwa la kukuinua, hata tusio walutheri sasa tumekujua sasa wewe ni mchungaji sahihi wa nyakati hizi
Mungu ww ni Ebenezer asante kwa mtoto wko Eliona kama lilivo jina lake Eliona maana yake Mungu Angalia na akaangalia Asante Mungu usiesinzia ukampa mwanao kutokutetereka kwa yaliyotokea ukamshikilia hakutangtang kutamani kulihama kanisa🙏🙏 hadi leo tunaendelea nae pole sana Kimaro asanteni watumishi wa Mungu🙏🙏🥰
Mungu akutunze, ana makusudi na wewe, majaribu yasikurudishe nyuma, hata mwanae Mungu aliyapitia na akayashinda, usilie , mtumikie Mungu mpaka mwisho wa dahari. Amina
Am really grateful to God almighty 🙌 let your Holy name be uplift Lord for the humbleness that uve put upon your servant more blessings protection provision as you do the work of God,,I love you man of God am greatful to God almighty 🙏
Heri wapatanishi Kwa maana hao wataitwa waana wa Mungu! Pole sana baba Kimaro Jesus loves You. Roho mtakatifu akufundishe zaidi ktk njia zake. Nawapenda Baba na Mama Kimaro!
Ni kweli mungu ni mkuu hakuna kilichoshindikana kwake Asante baba wa mbinguni wote tuu wakosaji ndo maana baba alisema tuombe Toba Kila tuombapo asb mchana na jioni tuombe tuu yamkini umekosea mtu na hujitambui km ni dhambi
Tu samehewe kama tunavyowasamehee wengine waliotukosea,. Asante Baba Askofu kwa hekima yako kwa kizazi hiki.Heri wenye moyo safi maana watamuona Mungu. 🙏🏻🙏🏻
Mungu ni mwema Mchungaji zidi kumuomba Sana na kuvunja Mipango yote ya Ibilisi, Kwani Juzi nilikua kwenye dalala Kuna watu walikuwa wakikukandamiza na kuongea maneno mabaya Mungu akutane nao Kwa Jina la Yesu, Siku zote Dhahabu ili ing'ae lazima ipite kwenye moto Songa Mbele mtazame Mungu Pekee🙏 Askofu Mungu Akulinde Asante Kwa hekima aliyokupa Mungu, awalinde Watumishi Wote🙏
MUNGU ni mwema hakika nimependa hekima za baba askofu malasusa huo ndio ukristo kusameheana he is such a man of GOD am happy too kwa kimaro mafundisho yake huwa yananibariki sana.
Kama kuna waliosifiwa kuwa na tabia nzuri ni kwa utukufu wa bwana na waendeleze tabia nzuri na wanaojitambua kuwa na mapungu tumo tumuombe mungu atubadilìshe kwa damu ya yesu.mchungaji hakutaja jina la mtu na yeye si msemaji wa KKkT na kila mtumishi anatumiwa na roho kwa namna tofauti kufikisha ujumbe .Tumshukuru MUNGU kwa nguvu ya msamaha.Tusiende kwa kukosoana bali kuelekezana na kuchukuliana mizìgo.
Msamaha kwa kosa lipi?? Na kama Kuna kosa inamaana washirika walikuwa wanaandamana huku wakijua makosa ya mchungaji wao??? Hii ni funika kombe mwanaharamu apite
Ashikuliwe Mungu wa mbinguni, nimelia sana Kwa furaha Kwa kuona mchungaji huyu kasemahewa na aendelee na kazi ya kituelimisha. Nimemuona mkono wa bwana ni kweli bwana hutenda Kwa wakati wake.
Asante yesu kwa kumtetea kimaro,japo naomba viongozi wa kkkt muwe na hekima na HOFU ya Mungu mnapofanya maamuzi,Kimaro mlitaka tu kumshika miguu lakn Yesu amemtetea,huduma ni ngumu sana mnapoona mwenzeni anainuka mshikeni mkono
GLORY TO GOD .Hili ndilo nililotarajia kuwa Mch Eliona atashinda hii vita kwa kutambua kuwa maneno yake hayakuwa afya kwa wakristo na ukristo pia japo hakuwa na lengo baya.Washarika tusiwe mashabiki hasa waliokuwa wakiandamana,kiukweli walikuwa hawajui kuandamana kwao ni kumtukuza shetani.Mahubiri mbele kwa mbele Dr eliona.Ameen.
Dunia ilitambua na mbingu zikadhibitisha,Mungu mwema,naamin Kuna nguvu ya ziada imeobgezeka Kwa Pastor kimaro embe emagine wachungaji waliompiga mawe n kumpaka mavi kesho Yao bado hawJaijua(/¯◡ ‿ ◡)/¯ ~ ┻━┻
Huu ndio ukristo wa kweli. Sometimes inabidi tujishushe na tunyenyekee alafu tuache mkono wa Mungu ukatende. Yeye ndio muamuzi wa kweli. God bless you our Brother in Jesus Dr Kimaro🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇺🇸
Ni kweli kabisa Baba Askofu Wakristo linavyotokea jambo ndani ya Kanisa tusiwe mashabiki bali tuwe mstari wa mbele kusawazisha ilo Kanisa lisipate doa maana ndani ya Kanisa wapo washabiki wa Imani
Mungu ni mwema siku zote na tumeomba na Mungu huwa achelewi siku zote yeye ni mwanzo na mwisho na yeye afananishwi na mtu huduma ya Mch.kimaro iendelee mbele watu wa Mungu tuendelee kumuombea mtumishi wa Mungu amen
Ahsante mchungaji Kimaro Kwa kujishusha pia Kwa kukaa kimya Kwa kipindi chote hiki bila kujitoa kwenye media kuongelea haya yaliyotokea. Ubarikiwe sana Mchungaji Kimaro. Pia nakupongeza askofu Malasusa Kwa kutoa msamaha Kwa Mtumishi wako hiyo inaonyesha jinsi gani ulivyokuwa na upendo. Mbarikiwe wote
Shetani ana nguvu, Nipo lilipotokea giza kupigana na nuru, giza likaleta mafanikio, watu wa MUNGU tulipomgaragaza sheta akashindwa, nuru ikatokea tena. USHINDI ukapatikana kwa jina la YESU. Nina rahaaaaaaa
Mchungaji Kimaro wewe ni wa juu wewe ni wa juu nasema wewe ni wa juu subiri Mungu atakupandisha viwango vingine vikubwa sana wewe ni dhahabu wewe ni Lulu you are of another level
Mi binafsi ni mroma lakini nampeda bure huyu baba🙏
Watu wa Mungu kweli wanaongozwa na Roho wa Mungu 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ahsante bwana yesu kwa kusikia sala na maombi yetu juu ya mchungaji wetu 🙏🙏😭😭😭😭
Kumcha bwana ni chanzo Cha maarifa,ubarikiwe sana mchungaji kimaro, Mungu yu nawe siku zote.
Huyu ndo mchungaji sasa anayekubali majaribu maana alijuwa haya ni mapito yatapita tu siyo wale kanisa likitikiswa kidogo tu wanahama kanisa hongera mtumishi wa Mungu napendaga sana mahubiri yako
Haleluyaa,shujaa umerudi karibu sasa ",Let be light",Glory to God.
Namwona Mungu anamwandaa Mchungaji Kimaro, kutokea KKT kuwa mtumishi mkubwa Tanzania na kwa mataifa
Umemwonaje Mungu
Kwan saiv sio mtumishi mkubwa Tanzania
Wacha uongo hawezi tokea KKKT,hapo tu wameshampiga stop,kama atahuburi kwa spidi ile Tena,Niko paleeee nimekaa nakunywa Pepsi ya baridi
Tuendelee kumuombea!
@@mwajumamohd7930 Kama nimemuelewa ni kua atakua mkubwa akiondoka KKKT, hapo kweli amepigwa speed gavana
Asante baba Malasusa kwa hekima zako. Pia Kimaro Mungu akujaze siku kwa ajili ya kondoo wa Mungu na hekima uliyonayo na unyenyekevu mkuu sana. We real miss you 😭😭😭. My heart hunger
@anthonychaula6362nyinyi ndo tatizo kubwa sana kama alivyosema askofu kuna waumini wa kweli na wasio hao kazi yao nikuleta tatizo tuepukane nao na kamuonya Kimaro kwa ajili ya hao waumini we mmoja wapo .Do not touch my annointed ones unapataje nguvu ya kuongea sentence kama hio instead ya kusema asante Mungu kwa hili unataka kuanza kebehi as a christians tujitafakari sana
Nakushukuru kwa mtumishi wako mchungaji Eliona kurudi kazini,Mungu umwema Sana.Wskati Askofu anaongea nimejikuta machozi yananibubujika.Asante Mungu wetu wa mbinguni
From Kenya. Hakika wacheni Mungu aitwe Mungu. Mungu anasikia maombi ya watu wake. Asante kwa unyenyekevu wa mtumishi kimaro. Na pia asante kwa watumishi wote wa kkkt kwa kumsamehea mchungaji,kweli hii ni ishara ya upendo mbarikiwe nyote pamoja na kanisa lote.
kwani alikosea nini jmn😳
Nimelia nimelia Yesu nashukuru kwa upendo
Haya sasa na sisi tuwasamehe wezutu, tuazie hapa, MUNGU ni mwema sana 🙏🏾🙏🏾
Kwa kwel
11
Am happy for you Mch Kimaro,mahubiri yako ni mazuri na ya kisasa endelea mbele baba Mungu ni mwema sana🙏🙏
hata mimi nimelia kwa ushindi yesu kashinda amani yabwana kwa asikofu mama kimaro kwa ushauri muzuri ubarikiwe mke mwema
@@lindakapongo8421 sorry lkn km utojal Yesu na Bwana sio yesu
Asante Yesu
Mungu ni mwema🙏
Mahubiri ya kisasa ndio maandiko yanasema siku za mwisho watu watapenda mafundisho lainilaini!
Hallelujah hallelujah hallelujah mwanakondoo ameshinda Hallelujah! Tunamshukuru Mungu kwa ajili yako Mchungaji Kimaro, kwa mara nyingine tena kwa vitendo umetufundisha unyenyekevu, Mungu azidi kukuinua.
Nimeshtuka nimetetemeka nimefurahi changanya hizo hali zote kwa pamoja, cjui hata ninajisikiaje nikiwa miongoni mwa watu wanaompenda sana mtumishi huyu wa bwana.
Ameni
All honor and glory belong to our good God.
Watu wenye Mungu ,hujinyenyekeza na kujishusha ,hutii viongozi hata kipindi kigumu
Yaani machozi yamenitoka + huo mvurugano ulioutaja. Yaani hata sijielewi. Huyu mtu wa Mungu amekua baraka sana kwa wengi. Pia mwingi wa hekima. Mungu tutunzie huyu kiumbe wako
Kwani alifanya kosa gani?
from Kenya,kwa kweli Mungu n mwema,we love you Mr Kimaro
Mimi ni muislamu ila nimependa sana mlivyo sameheyana amekukosea na yeye akajuwa.akakuomba msamaha na ukasamehe mbarikiwe nyote AMEEN
Mchungaji Kimaro MUNGU amekuinua zaidiii, pito hilo lilikuwa la kukuinua, hata tusio walutheri sasa tumekujua sasa wewe ni mchungaji sahihi wa nyakati hizi
Hakika
Nimefurahi sana mch Kimaro kurudi hakika nimebubujikwa na machozi
Hongera sana baba askofu kwa kuachilia msamaha kusamehe sio kitu rahisi hongera mchungaji kimaro
Haki hadi nimebubujikwa na machozi, tumuache Mungu aitwe Mungu🙏🙏
Ameen yesu ni mwema tumeshukuru na.musamaha mubarikiwe watumishi wahusikawote thanks
Amen Baba askofu Kwa hekima uliyotumie
Amen
Acha umaandazi wewe, yaani ulie wewe kisa mwingine 😂😂🚮🚮
Mungu ni mwema, asante Yesu maombi yetu yamejibiwa. I can't wait. 🙏
Kilicho cha Mungu bila Shaka kina lindwa na Mungu, Yesu anakupenda baba 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️
Mchungaji komaro
God is preparing you to high ranks
.b come God is on your side
Am bless6 with ir preachings
Mungu ww ni Ebenezer asante kwa mtoto wko Eliona kama lilivo jina lake Eliona maana yake Mungu Angalia na akaangalia Asante Mungu usiesinzia ukampa mwanao kutokutetereka kwa yaliyotokea ukamshikilia hakutangtang kutamani kulihama kanisa🙏🙏 hadi leo tunaendelea nae pole sana Kimaro asanteni watumishi wa Mungu🙏🙏🥰
Mtumishi.songa.mbele.usiangarie.kulia.wala.kushoto.asante.kushuka.na.kuyeyekea.bazikiwe.sana
Mungu akutunze, ana makusudi na wewe, majaribu yasikurudishe nyuma, hata mwanae Mungu aliyapitia na akayashinda, usilie , mtumikie Mungu mpaka mwisho wa dahari. Amina
Sijui hata kwa nini machozi yananitoka nimefurahi sana kwa ajili ya mchungaji Kimaro Mungu azidi kumuinua
Am really grateful to God almighty 🙌 let your Holy name be uplift Lord for the humbleness that uve put upon your servant more blessings protection provision as you do the work of God,,I love you man of God am greatful to God almighty 🙏
Heri wapatanishi Kwa maana hao wataitwa waana wa Mungu! Pole sana baba Kimaro Jesus loves You. Roho mtakatifu akufundishe zaidi ktk njia zake. Nawapenda Baba na Mama Kimaro!
Amen, Glory to God Almighty 🙏
Pastor Kimaro wewe ni bonge la mtumishi wa Mungu,umeonyesha unyenyekevu mkuu,huku jiinua na MUNGU akujalie neema.
Mchungaji kimaro anaongea point sana..... Hakuna mkamilifu ila Mungu atazidi kukupigania na kutupigania sote Amen
We love you rev Kimaro welcome back
Mchungaji kimaro Mungu akulinde kwenye huduma yako utafika mbali Sana
Pr Kimaro Pole kwa Pito hili
Ni kweli mungu ni mkuu hakuna kilichoshindikana kwake Asante baba wa mbinguni wote tuu wakosaji ndo maana baba alisema tuombe Toba Kila tuombapo asb mchana na jioni tuombe tuu yamkini umekosea mtu na hujitambui km ni dhambi
Am very happy for you father Pastor Kimaro till crying 😢
Afadhali alivyojishusha kweli analipenda sana kanisa lake kkkt.Mungu ambariki mchg Kimaro😍.Kasameheana ni vizuri sana Agizo la KRISTO YESU ❤️
Sio tu kulipenda kanisa lake bali ndo sehem yake ya biashara yake angekula wap sasa...
Watu wenye roho ya Mungu ,siku zote ni wanyenyekevu. Hongera baba Kimaro kwa unyenyekevu wako. Hii ndio kweli ndani yako
@@MtuSafi 😃🤣🙋
@@MtuSafi 😂😂😂 Halafu kweli
@@MtuSafi unawaza kula tu, kazi ya Mungu mi zaidi ya kula na kunywa.
Nimefurahii kumuona tena baba yetu,. Mungu aendelee kukupigania ktk yotee
Nafurahia sana kutoka Kenya kkkt kinyelezi nikanisa langu Mungu yupo na anatupenda sana
Mungu akuinue zaid....pole sn Rev Kimaro napenda sn mahubir yako
Tu samehewe kama tunavyowasamehee wengine waliotukosea,. Asante Baba Askofu kwa hekima yako kwa kizazi hiki.Heri wenye moyo safi maana watamuona Mungu. 🙏🏻🙏🏻
Amina,,, 🙏🏽🙏🏽
Amen
@@subiramussa1428 Amen
Utukufu wote ni wako Mungu, mchungaji umeonesha mfano mzuri Sana kwa Jamii, kweli wewe ni mchungaji, Mungu akubariki
Mungu ni mwema , mchungaji kimaro hongera endelea kumtumikia Mungu kwa nguvu zote barikiwa sana
Hawezi tumikia kivile tena
Huyu mchungaji kimaro anaonekana ni mnyenyekevu Sana Mungu atazidi kumuinua viwango vya juu sana
Mungu ni mwema Mchungaji zidi kumuomba Sana na kuvunja Mipango yote ya Ibilisi, Kwani Juzi nilikua kwenye dalala Kuna watu walikuwa wakikukandamiza na kuongea maneno mabaya Mungu akutane nao Kwa Jina la Yesu, Siku zote Dhahabu ili ing'ae lazima ipite kwenye moto Songa Mbele mtazame Mungu Pekee🙏
Askofu Mungu Akulinde Asante Kwa hekima aliyokupa Mungu, awalinde Watumishi Wote🙏
MUNGU ni mwema hakika nimependa hekima za baba askofu malasusa huo ndio ukristo kusameheana he is such a man of GOD am happy too kwa kimaro mafundisho yake huwa yananibariki sana.
Glory to God....lipo la kujifunza hapo👏🤝
Kama kuna waliosifiwa kuwa na tabia nzuri ni kwa utukufu wa bwana na waendeleze tabia nzuri na wanaojitambua kuwa na mapungu tumo tumuombe mungu atubadilìshe kwa damu ya yesu.mchungaji hakutaja jina la mtu na yeye si msemaji wa KKkT na kila mtumishi anatumiwa na roho kwa namna tofauti kufikisha ujumbe .Tumshukuru MUNGU kwa nguvu ya msamaha.Tusiende kwa kukosoana bali kuelekezana na kuchukuliana mizìgo.
Mungu ni mwema na mwaminifu sana, mwingi wa Rehema. Msamaha ni muhimu. MUNGU wabariki Watumishi wako wote, asante kwa hekima iliyotumika.
Msamaha kwa kosa lipi?? Na kama Kuna kosa inamaana washirika walikuwa wanaandamana huku wakijua makosa ya mchungaji wao??? Hii ni funika kombe mwanaharamu apite
Amen
Ashikuliwe Mungu wa mbinguni, nimelia sana Kwa furaha Kwa kuona mchungaji huyu kasemahewa na aendelee na kazi ya kituelimisha. Nimemuona mkono wa bwana ni kweli bwana hutenda Kwa wakati wake.
Mungu akuinue zaidi mch Dk Eliona, uishi maisha marefu sana umtumikie yeye , na mwisho tufike mbinguni.
Asante yesu kwa kumtetea kimaro,japo naomba viongozi wa kkkt muwe na hekima na HOFU ya Mungu mnapofanya maamuzi,Kimaro mlitaka tu kumshika miguu lakn Yesu amemtetea,huduma ni ngumu sana mnapoona mwenzeni anainuka mshikeni mkono
Amen Asante kwa Hekima kubwa Baba Nuru na giza vinapingana mimi namshukuru Mungu kwa Hekima Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.
Binafsi Nampenda sana Mchungaji Kimaro, Mungu Akusimamie katika neno na kweli Barikiwa mnoo
Gosh! Ile kulia nimelia jamani!!! Eeh napenda kuwa mkatoliki mimi!!! Tunaunganishwa na msamaha wa kristo
Glory be to God 🙏♥️
Asanteee yesu kiristo we wa haki mbele za wanadam na mbel za wanym pia jina lko litukuzwe
Jamani nimetokwa na machoz Hakika Mungu anawafaham walio wake pole baba futa machoz songa mbele😭😭😭
So,so happy to hear that Mungu ni Mungu tu hata maadui wakupangie nini atabaki kuwa Mungu,🙏🙏
Asante Mungu wetu 😭🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu ni mwema kila wakati. Karibu Mtumishi Injili isonge mbele
Asante Mungu wa Utatu Mtakatifu,wewe ni Mungu usiyeshindwa na hakika hutenda kwa wakati huchelewi wala huwahi.Maandalizi mema ya kipindi cha Kwaresma.
😭😭🙏🙏🙏🙏🤝🤝 Am so happy for this moment! Welcome our father in Christ!
Mungu atabaki kuwa Mungu hakuna wa kufananishwa na yeye na ,Mungu yupo anatenda ,kusudi lake lazima litimie.🙏🙏🙏
GLORY TO GOD .Hili ndilo nililotarajia kuwa Mch Eliona atashinda hii vita kwa kutambua kuwa maneno yake hayakuwa afya kwa wakristo na ukristo pia japo hakuwa na lengo baya.Washarika tusiwe mashabiki hasa waliokuwa wakiandamana,kiukweli walikuwa hawajui kuandamana kwao ni kumtukuza shetani.Mahubiri mbele kwa mbele Dr eliona.Ameen.
Kwa kweli
In God.I trust.Amen
Hallelujah Hallelujah ASANTE MUNGU kwa kujibu maombi yetu🙏🙏🙏🙏😭😭
Kwani slifanya nini? Shetani alimpitia wakafanyaje? Tujuzwe hatukujua kama alifanya makosa tulikuwa ni likizo tu
Maaskofu waliona kimeumana, mtu kawekwa kwa bango, inabidi tumsamee.
Dunia ilitambua na mbingu zikadhibitisha,Mungu mwema,naamin Kuna nguvu ya ziada imeobgezeka Kwa Pastor kimaro embe emagine wachungaji waliompiga mawe n kumpaka mavi kesho Yao bado hawJaijua(/¯◡ ‿ ◡)/¯ ~ ┻━┻
Utabaki kuwa Mungu ! Umewajibu watoto wako! Hakika Bwana Mungu nashangaa kabisa nikitazama jinsi ulivyo😭🙏🙏🙏
Huu ndio ukristo wa kweli. Sometimes inabidi tujishushe na tunyenyekee alafu tuache mkono wa Mungu ukatende. Yeye ndio muamuzi wa kweli. God bless you our Brother in Jesus Dr Kimaro🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇺🇸
Amen
Wow GOD is good 👏👏👏👏👏👏
Ni kweli kabisa Baba Askofu Wakristo linavyotokea jambo ndani ya Kanisa tusiwe mashabiki bali tuwe mstari wa mbele kusawazisha ilo Kanisa lisipate doa maana ndani ya Kanisa wapo washabiki wa Imani
Mungu ni mwema siku zote na tumeomba na Mungu huwa achelewi siku zote yeye ni mwanzo na mwisho na yeye afananishwi na mtu huduma ya Mch.kimaro iendelee mbele watu wa Mungu tuendelee kumuombea mtumishi wa Mungu amen
Mungu ni mwema baba endelea na kazi mtumishi wa Mungu
Jamani nampenda Mch.Kimaro mpaka Shetani anaona wivu, Mungu amsaidie katika yote, hakika nguvu ya Mungu imeshinda.
Tunamshukuru sana Mungu wangu kwa Hekima iliyofanyika kumsamehe Mchangaji Kimaro Mungu akubariki sana Malasusa
Mungu ni mkuu sana,makanisa mengine yaige mfano kwa kkkt,nimeipenda sana hii.Baba askofu nakupongeza sana
Mmemuumiza saizi mnasema pole Sana, kimaro saizi najua Mungu atakuweka ktk viwango vingine usijar songa mbele
Ahsante Mungu kwaajili ya mchungaji wetu kimaro
Amina nimefurahi sana kuweka tofauti pembeni. Huo ndio ukomavu ktk imani. Mungu awabariki sana
Wameona waumini na wamechachamaa mno,wakaona wamsamehe tu arudi kazini
Glory to God
Mungu akulinde
Irua Ave naiwe nshungaji
Aba ikuda inini la Irua
Mungu awabariki sn watumishi wa Mungu baba Askofu Malasusa na mch Kimaro
Wewe ni MUNGU unaetenda Tena na Tena, lusifa umeanguaka lusifa umeaibika, Asante YESU kwa kuwa ulisema hutatuacha yatima Asante MWOKOZI wetu
Safi sana Baba Askofu na Mchg Kimaro hii ndo maana halisi ya upendo tuliofundishwa na BWANA YESU...
Shetani kaaibika mchana kweupeee
Hongera nyingi kwa Askofu mtarajiwa wa KKKT imedhihirisha wazi hilo halina mjadala ila muda utaongea Amen
Ameni
Mungu nimwema nakufatilia Sana Mchungaji Kimario
Mchungaji Kimaro Yuko vzur Sana 💯🔥
Na jina la Mungu ainuliwe siku zote....mitokapo kenya 🇰🇪 Mwenyeenzi Mungu anisamehe!! Forgive me Lord ...
UYO NDIE MUNGU MKUU KULIKO Miungu THANKS GOD YEHOVA
Asante baba askofu hakika hii imenibariki mno.
Asante Yesu nimefurahi sana,Mungu wetu ni mwema kila wakati.
Ahsante mchungaji Kimaro Kwa kujishusha pia Kwa kukaa kimya Kwa kipindi chote hiki bila kujitoa kwenye media kuongelea haya yaliyotokea. Ubarikiwe sana Mchungaji Kimaro. Pia nakupongeza askofu Malasusa Kwa kutoa msamaha Kwa Mtumishi wako hiyo inaonyesha jinsi gani ulivyokuwa na upendo. Mbarikiwe wote
Chanzo n nn et
He really practiced what he preaches.
Good say.AMEJISHUSHA SANA ASUBIRI MUNGU MWENYEWE ATAMPANDISHA Binadamu NI Nani ? akuyangazie MSAMAHA wa kutengenezewa
@@issayashesha9403 Hiyo ni kukubali yaishe Issaya. Duniani hakuna haki, haki IPO mbinguni
Hii ni shirki kubwa sana, yani msamaha wa mtu unakua na nguvu kama msamaha wa Allah. Islam will always be my Way of life.
Mimi sijui kosa lake lilikua nini.
Shetani ana nguvu, Nipo lilipotokea giza kupigana na nuru, giza likaleta mafanikio, watu wa MUNGU tulipomgaragaza sheta akashindwa, nuru ikatokea tena. USHINDI ukapatikana kwa jina la YESU. Nina rahaaaaaaa
Thanx god for kimaro
God Bless u Mch Kimaro..
Hii ndio dini ilio safi.
Mtumishi wa Mungu Ongera sana.WATU WANAO MTUMIKIA MUNGU AWAWEZI KUTIKISIKA WATAKUWA KAMA MLIMA SAYUNI.
Katika kazi ya mungu vikwazo lazima viwepo....simama baba Piga injili kupitia Hilo imani yako imezidi kuimarika.
Ameomba msamaha Kwa kosa gani?
Pol sana mungu Yuko pamoja na wewe🥰🥰🥰
Kikubwa mchungaji ni mnyenyekevu sana!!! Nimejifunza.
Barikiwa kwa kushuka , Mungu akutunze zaidi