Jeshi kweli tamu 3:06 Aigwererere haiyaiya Aigwererere haiyaiya kazi ya jeshi kweli morali unahitaji uvumilivu. Mungu ibariki Tanzania. Msange 823KJ 2014
Tanzania Wachina wame kava karibu kila sehemu ujenzi wa mabarabara ndoo balaa, elimu, Mafaunzo ya kijeshi kama ivi, juzi kati hapa meli zao 2 za kivita zilitia nanga bandarini(TPA) Viwanda ndoo usiseme Mkoa wa pwani woote umekuwa wakwao kwaajiri ya viwanda wanajenga atari aisee safi saana asaiv ajira zipo pwani
Wara siwaerewi wanajengwa iri kuja kupiga raiya wa hari ya chin mateke wakati mari za inch zinaondoka raisi kauwawa mchanaaa da mungu kwa nn umenishusha tanganyika raiya uerewa mdogo sana mtu nbaya kwao mwema mwema kwao nbaya sasa sijui ii lugha ii tunayo iongeya imetaniwaa wakenya msiongee ii lugha mtaraniwa na nyinyi si mnaona mnatumiya kiingereza mrivyo na umoja
Hilo ni moja ya tatizo msingi la Taifa. Hata pale ambako tuna uwezo wa tz hujiona hatuwezi. Sisi ni wa kuhurumia au kupewa. Hili ni taifa haramia walikuwa wanateka meli uliwasikia tena. Kabla ya askari wa tz. Walishinda mataifa makubwa. Isitoshe kitabu cha kujifunza kupigana ni kimoja tu. Unategemea raia wako wana uzalendo kiasi gani. Vietnam marekani alipatashida kwa sababu raia walikuwa na uzalendo wa hali ya juu.
Jeshi kweli tamu 3:06 Aigwererere haiyaiya Aigwererere haiyaiya kazi ya jeshi kweli morali unahitaji uvumilivu. Mungu ibariki Tanzania. Msange 823KJ 2014
Umeimis yombo mbola....au kwa bororo😂😂😂
Proud of 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mwenyezi MUNGU bariki nchi yangu na wakuu wetu wote siku zote.Inshallah
Proud JWTZ🔥🔥🔥🔥
Nilitamani sana hii kazi sema haikuwa rizk
JWTZ oyeeeee
Wewe kama mimi
@@PhilipoMwita-b2x Kajifunze mafunzo ya jeshi la akiba kisha unazama chomboni
Atakuja kuingia mwanao Mungu mwema wakati wote sema amina 🤲🏽🤲🏽🤲🏽
Hiinsiyo KAZI ya kutamani ndugu yangu
Wapen vijana vifaa vya kisasa hlafu muonne moto wao hakuna wakufata huo moto najivunia jeshi la la nchi nyangu mungu awabariki
Kazi ya jeshi kweli molaliiiiiii makamanda wote gonga like kwa niaba ya TPDF
Nimependa sana muanzishaj wa huobwimbo safi sana.
我爱坦桑尼亚,我爱中国,我中坦
Mungu ibariki Tanzania
Safi sana jeshi langu/letu.Safi sana mkuu wa majeshi
Tanzania nakubariki
Waooo Iko vizuri
Kuna jamaa tall Hilo limeonekana pale cheza kikomando 🎉
Good job, supreme army higher discipline....
Nimependa helmets mpya za jeshi heko mama Samia,
Jeshi la kujenga Taifa,amani na upendo
Wanajeshi wa china wananidham aisee
Imenifikirisha sana mbwembwe za wanakeshi wetu.Au ndio kuonyesha morali iko juu.
Good and excellent 👍👍👍🙏👏
Tanzania Wachina wame kava karibu kila sehemu ujenzi wa mabarabara ndoo balaa, elimu, Mafaunzo ya kijeshi kama ivi, juzi kati hapa meli zao 2 za kivita zilitia nanga bandarini(TPA) Viwanda ndoo usiseme Mkoa wa pwani woote umekuwa wakwao kwaajiri ya viwanda wanajenga atari aisee safi saana asaiv ajira zipo pwani
SENGWILE MAKAMANDA
Good job JWTZ
Ngoja Nishike Nyimbo Za Wachina Nije Niwaimbishe Jamaaah Zangu 😂😅
Lakin kila cku watu wanatekwa
Inapendeza stres zote zinakwisha
Congo 🇨🇩 hatujawaona
Usjali mungu wetu wote jirani
Tunataka na jeshi la urusi lije kutoa mafunzo Kwa wanajeshi wetu sio kila miaka hao na marekani,mara India
Mpaka muache uchawa😢😢 na USA
Jesh la urusi mafunzo yak sio ya kitoto😂😂kama mwanaume nahisi ukitoka mafunzo huwezi kuwa na mke tena😂
🤠🤠🤠🤠🤠🤠 tenaaa@@YustaMfugale
Wara siwaerewi wanajengwa iri kuja kupiga raiya wa hari ya chin mateke wakati mari za inch zinaondoka raisi kauwawa mchanaaa da mungu kwa nn umenishusha tanganyika raiya uerewa mdogo sana mtu nbaya kwao mwema mwema kwao nbaya sasa sijui ii lugha ii tunayo iongeya imetaniwaa wakenya msiongee ii lugha mtaraniwa na nyinyi si mnaona mnatumiya kiingereza mrivyo na umoja
Jeshi liko vzri tunaitaji Sila nzito kwelikweli .
China wanaimba kwa hisia sana ila Tz,du!! Aaaah
Huyu nae
Waimbe kwahisia kwan wako vitani hapo
Tanzaniaaaa
Nipeni like
mungu libaliki jeshi letu
Tukawasaidie kongo na sudan bas, maana hali zao ni mbaya watoto wanapata tabu sana
Vikosi vyetu viko huko chini ya Umoja wa mataifa UN
Embu fanya Kama umekosea njia upite mbele yao
Kdogo angalao naona mrengo wa china cyo mbaya
Tuwaombe mechi ya kirafiki😂😂😂
Kiukweli inapendeza sana
Like
wa kwanza
Twende tukaikombee ukreine
2:47 2:49
Kama nimesikia huraaaaaaaa,,,au maskio yang yanazingua
Huraaa ni mvua
Usengwire makamanda maana yake mbarikiwe au asante makamanda
Jeshi letu linatumia silaa zakizamani sana tubadilike
Hili Jeshi hulijjui wewe
@@obedkiswaga2790 wewe unalijuaje?
Unauhakika na unachokiongea?
Ndiyo Nina hakika@@rajabumshana8167
@@rajabumshana8167 uhakika gani unaotaka?
My army
Uongo wanajeshi wachina waje kufanya nn wote hao
Upelekwe mirembe wew kwahiyo huo ni modoli
❤
Lakini kule Mozambique kumeshindikana ni warwanda tu ndio wameweza kuwazuia Waaasi inakuwaje hapa
Hujui kitu kuhusu Mozambique Kaz imefanyika
Proud of Tanzania
Hii siyo simba na yanga bro we kula kiepe ukalale ya wanaume waachie wanaume wavulana endeleeni kujumuika na mama na watoto
Jwtz heko ongezeni helmets mpya na bunduki za kisasa tutoke kwenye ak47 tumiliki hizo qubiz,m4 carbine na drones za kutosha
@@israel1331😂😂😂 kazi kuomba omba hatujui kutengeneza
Mbwembwe tu
Hakuna maarifa hapo
Kutananeni na mmarekani ndiyo mtajua kama mmeiva kimazoezi au ni cha mtoto
China yenyewe inasalimu amri kwa USA 🇺🇸
We Nini acha ushamba huu huyo marekani ni mungu mungu pekee ndo hawezakani
Bwenge kwel wewe
然而只有prc的pla给你们提供装备和训练。中国什么时候投降了美国?中国要投降就不需要做着一切
Marekani walikimbia sudan tu apo
Molari hawana hao bangi tu
Kuna jeshi la chama na wanajesh wanaojielewa si machawa wanatumia akili kuliko nguvu
😮😮😮 4:31
Mimi nawaona tu kama wasani 😂😂😂
Panya ww😂
Tena Bukuuu panyaa 😂😂😂
Mbwe mbwe zimeshapitwa na wakati jeshi linatakiwa jeshi la kasasa siyo mihemuko na mbwembwe
Umemskiliza mkunda lakini
@@innocentrichard2945kasemaje
@@innocentrichard2945 siasa tu
😮
Usikute awa ni Wanamgambo wa china 😂😂😂
Awamu ijayo waleteni urusi au Cuba au Irani sio wale wanao owana mwenye kwawenyewe
😭😭😭😭😭😭
Miladiayo naomba inter vyuuu jamani Ili nitoke
Ili uende wapi
MUNGU ILINDE TZ
marekani alaani mazoez ya pamoja😂😂😂😂
Kuna nanga mmoja nimemuona hapo
Hahaha mananga hawakosekanagi mike
Moraliii
Nimeskia mwano wa kiskuma aloooo
Hakukuwa na vifaru hayo. hizo ni Armoured vehicle
China wapeni drone tz na makombora ya kisasa!
Aliekwambia hawana nani jeshi mambo yote ni Siri ayatangazwi ovyo
😂😂😅 drone na makomboraa, Tz ni nchi ya Amani 😅
Ulitaka utangaziwe kama vipo 😂😂
@@nurumwita9034
Acha upuuzi ingekua silaha za jeshi ni siri ww ungejuaje kama kuna Nuclear bomb duniani
@@nassirali7499 nimeshasema full stop Sina muda wa kujieleza sana
The morale💪🔥🔥🔥
Imbeni mtoto analilia nini,mtoto analilia Jeshi, mwache ataona mwenyewe😂😂😂
😂😂
Sure 😂
Sisi kutawaliwa rahisi sana, hatuzitambui hatari kabisa na bahati mbaya tunazikaribisha wenyewe!
Wew hakili huna kama wakubwa wanashirikiana na wao kwa wenyewe kwa nin sisi tusifanye joint military cooperation 😅😅
Unawaza kutawaliwa tu😅😅😅
si tukawachokozeni wakenya sasa
Hula hula hulaaaaaaaaa🦾⛔
Viongozi wetu tuaomba Russia special forces nao waje🪖💚🏹💪
Viva Tanganyika....
Morali✊
Mafinga au mapinga ?
Pinga one
Acha kukariri
Jeshi la tz ni futuhi tupu😂, wapo busy kubuni nyimbo na dance badala ya kununua vifaa vya kivita nasisi tuogopeke Africa😅
@@badirashid4668 nani kakuambia sijapita jeshi?
Vita yenyewe iko wapi? Unahisi siku wakinunua vifaa watakuja kukuamsha we na mkeo kukwambia sasa tushanunua vifaa majitu mengine hovyooo
@@badirashid4668bora umsaidie 😢😢😢
Wakinunua waje wakwambie tumia akili kidogo
@@saitotigeorge654 jamn acha ulimbukeni huna lolote kaoge ulale aliepita jeshini haongei ovyo
😮😮😮😮
Mbona hawashiriki kutengeneza simu hapa tz Ili ckoja tusinunue kwao
Kwasababu hamna akili 😂😂
WATU wenye akili wapi wengi. Kama kuna kitu Mungu kakigawa kwa ulinganifu ni vipawa vya watu. Tatizo leadership tu.
Kwa nn wasiende kupigana huko Ukraine kama wao ni wanoma?
Makuma nyinyi mavi enu
Huna nidhamu kuanzia kwenye shina lako la ukoo,endelea kutukana na hivyohivyo,na hakuna
Hawa ndio watu wakufanya nao kolabo sio wamarekani
Nafasi zina toka lini jamani 😢
Mwezi huu wa nane jiandae tu
@@Mzawaoddszonentumy no zako please
@@Mzawaoddszonentumy no zako please
Tuombe kolabo na Kenya tuone nan atafunika😂😂😂
Wanatuzia vitu feck
🇹🇿🇹🇿🫡
Hapo sjamuona mwanajeshi wa china mwenye kitambi ila angalia wanajeshi wetu wenye vitambi ni wangapi 😂😂😂
Kwahiy hap umemuon nan anakitsmb😂😂😂😂
🤗🤗🇨🇳💓🤲💓🇹🇿🤗🤗
Jwt mtuwekee chadema serikali
Yaani JWTZ hawana silaha nyingine zaidi ya AK??
😂😂 💪💪
LOL...china low level military equipment...no ACOG and night vision googles in the helmet...LOL
😂😂😂 wanachekelea kupata element mpya za zamani kwishaa😅😅😅
This comment section is sad men it's cringe how my country Men feel inferior
Hilo ni moja ya tatizo msingi la Taifa. Hata pale ambako tuna uwezo wa tz hujiona hatuwezi. Sisi ni wa kuhurumia au kupewa. Hili ni taifa haramia walikuwa wanateka meli uliwasikia tena. Kabla ya askari wa tz. Walishinda mataifa makubwa. Isitoshe kitabu cha kujifunza kupigana ni kimoja tu. Unategemea raia wako wana uzalendo kiasi gani. Vietnam marekani alipatashida kwa sababu raia walikuwa na uzalendo wa hali ya juu.
Mumamayo😅😂😂😂huujinga tunao jikalibishia 🎉🎉🎉😂🎉matatizo....😂😂😂😂FBI..CIA😂😂😂😂
😂😂😂😂Mujing niww unaocomment
@@VeronicaAdam-lx8ydAu ni ww 😂😂
Mwenyezi MUNGU bariki nchi yangu na wakuu wetu wote siku zote.Inshallah
🫡