Asante Mchungaji kwa moyo wa unyenyekevu. Hakuna aliye mnyenyekevu alishidwa kitu/ mahali popote na siku yoyote. Mungu akuongezee mchungaji kimaro. Hiyo sio adhabu, ni Muda wa kumtafuta Mungu 🙏🏻🙏🏻💕💕❤️❤️🔥🔥👍🏽👍🏽💪🏽💪🏽💪🏽 Mungu asikupungie kwa moyo wa upendo na Kuwaheshimu wakubwa na viongozi. Heri wenye moyo safi maana watamuona Mungu.Asante baba Askofu kwa hekima yako.
Heshima na unyenyekevu, utii na uvumilivu ni silaha nguzo muhimu sana kwa binadamu. Hakika Mungu azid kutukuzwa na Hongera sana baba mchungaji Kimaro kwa unyenyekevu na ustahimilivu uliouonesha, Baba mchungaji Malasusa pia hongera sana 💛🙏🙏
Eliona kweli wewe umeiva kiroho! Hongera sana hujakosea hata nukta,msema kweli daima ni mpenzi wa Mungu! Ni lazama uhubiri kwa mifano ya kweli,Endelea kusema kweli
Mungu akubariki mchungaji Kimaro kwa ushujaa ambao Mungu ameujazandani yako lkni pia niseme Askofu Malasusa kunakitu kikubwa cha kujifunza toka kwako ubarikiwa katika hili wewe pamoja na familia yako ukarimu upendo na unyenyekevu vizidi ishi nafsini mwako barikiweni washarika wote
Heri wanyenyekevu wa moyo mana watamwona bwana mch kimaro MUNGU anapenda watu kam ww njia ya mbinguni sio rahic na ww umemshinda shetan ubarikiwe na huduma yako YESU ailinde amen🙏🙏
Mchungaji kimaro uko vizuri Sana hakuna kitu kuzuri Kama kujielewa nimependa Sana unyenyekevu wako,umejishusha sana, ubarikiwe mno utafika mbali Sana..
Amina 🙏, anaheshimu maelekezo ya roho mtakatifu na ndo yalimfanya adui aamue kumuona kama yeye ni mkosa, lakini tunamshukuru Mungu kupitia roho mtakatifu na vipaji vyake Kwa kumpa hekima na busara kuomba msamaha ili yaishe.
Mchungaji Mungu akubariki sana wewe ni mnyenyekevu sana na ndani ya unyenyekevu wako kuna unyenyekevu pia. Kweli utii ni bora kuliko sadaka. Mungu akuongeze zaidi ya maradufu ya ulivyo kuwa mwanzo mtumishi wa Bwana Mchungaji Kimaro
Mmm mungu ni mwema.asante mchungaji kimaro mungu akubariki na azidi kukuinua Kwa kazi ya mungu. Asante maaskofu wote Kwa kumsamehe mchungaji kimaro mbarikiwe sana
Mtumishi WA kweli lazima awe na BUSARA na HEKIMA na UNYENYEKEVU ndio maana nakupenda Mchungaji Eliona Kimaro. Barikiwa sana, we miss you on Morning Glory.
Sijawahi kukomenti ila leo nimetoa machozi ya furaha kumuona huyu mtu anaomba msamaha nimependa ameonyesha unyenyekevu wa hali ya juu .nyenyekea tu mungu atakukweza tu kwa viwango vikubwa zaidi ya hvyo.kweli umemsikiliza mungu
@@hamzaswaibu9470 pole sana ndugu ,hata kuquran katk shahada zile tatu yesu ndiye atakayekuja kuhukumu dunia ,pia yeye ni njia ya ukweli na uzima . Ndugu endelea kukaa huko huko kwenye uislam ndio baadaye utajua kumbe na wewe ni mpinga kristo 😊🤣
Sasa kwa vile nyinyi ndio mna control aseme nini basi hatakuwa free kuhubiri akihubiri mtampa adhabu adhabu tena haya kuanzia sasa muwe mnamuandikia cha kusema maana akisema kingine mnamfungia Yani dunia hii watu wanapenda ku control Mungu ndio mkuu anapenda mtu aongee ukweli haijalishi kamkwaza nani hamna kuremba
Bwana yupo maguguu na ngano zitaonfolewa tuuu kafanya kosa gani mpka yafikiye mchungajii anaomba msamhaa kama MTOTO mdogo yupo MUNGU anawaona huo usharika wenuu
Huyo aliyekaa kwako masaa 4 ndiye aliyetumwa akwambie uombe radhi lakini ukweli ulishausema huna baya mchungaji na mwenye kusamehe ni Mungu nasi askofu piga kazi maisha yaendelee usiache kusimamia ukweli
Hongera Sana ndugu yangu kwa kukiri ambalo ulikua unalijua lililo kusababishia na kutafakari nawala sio kwa mihemko ya mitandao yetu kazi ya mungu iendelee kusonga mbele Amina
Bwana Yesu asifiwe. Tunaamini Mungu ana njia nyingi za kumprove mtumishi wake. Hakuna asiyejaribiwa swala ni jinsi gani mwanadamu anavyolipokea hata Yesu alijaribiwa. Na watu wa duniani waliongea sana na hawakujua Ndani ya Yesu kuna Mungu. Utii ni Mungu yuko pamoja na mtiifu. Shetani Ameshindwa. Hallelujah
Pia apunguze kuyaandama makanisa mengine ya kikristo si vema kujihesabia haki sana na kujihisi kuwa ni bora kuliko wengine. Sisi wote ni wa Mungu mmoja wewe tumika kwa Mungu kama ulivyo wito wako ulioitiwa na Mungu.
Mungu awabariki mno. Ni maamuzi mazuri sana na yanatuonyesha ni jinsi gani maisha na mafundisho ya Yesu mwenyewe alivyotufundidisha. Sasa ninyi mmekuwa nuru kwa ulimwengu. Mch Kimaro ameonyesha mfano mzuri. Sii wengi wanaweza kufanya hivyo. Baba Askofu. Mungu akubariki mno. Hiyo uliyotumia sii hekima ya kibinaadamu bali ni hekima kutoka kwa Mungu mwenyewe. Ubarikiwe sana. Ila sasa, kanisa lifundishe upya suala la uaminifu. Hili si la kufumbia macho. Mbarikiwe
Wenye macho ya rohoni tushajua kabsaa kasimama hapo chukizo la uharibifu, ila kimaro umetumia vema ujumbe usemao usishinde na waovu, wewe ni jembe kimaro na tunajua mungu anasema ndani yako, bariwa saana hapa kz moja tu tutazidi kumwambia mwenye dunia yake afanye jambo flan tu
Your one called of God almighty keep on seeking the will of God our God is faithful in your doing the work of God the Lord shall give you his will and guides upon his work,,more grace ed blessings upon your life in Jesus mighty name
Mti mzuri lazime upigwe mawe huo msemo mbona hauna shida baba karibu shusha nondo nakukubali baba kimaro uwasamehe maana Mungu anahuruma na rehema waachilie wote walio inuka kwa ajili yako injili ya Yesu iende mbele barikiwa na familia yako
Let me clarify this, If you are pastor, Your responsibility is to bring your people and your community on the rights path, It was complete mistake to talk to things while you self as pastor and as leader of church you need to promote and educate your own society and praise them as you are living with them, if you any mistake on them, educate and train them and assist them on clear path, also as a Christian we have many fundamental pillars and principe in Bible how to guide a Christian in true path it does not need comparison to any other religion as Bible is full of book of knowledge and there is doubt on it period. I respect Kumario, He was mistakenly wrong to say things as his pastor he need to be an example on his community and protect his community and advocate them on how to live on true principal as Christian. Love you people and respect them and help them thus how we Christian we are. Any mistake your see or overseen rectify and assist your community don’t put them on flam e as it’s jeopardizing their faith. Lastly being truthfully is not only religion, it’s to follow the Holy Bible and it’s scripture and follow the example of our prophet how they live. Have a bless Sunday ! And God be with you and praise always to Jesus. To finish it’s not religion of the colonizer, Please do research Christian religion has been there and read Kebra Nagst, The book of Ethiopian it explain well Christianity and teaching of Jesus.
Mbarikiwe watumishi wa Mungu maaskofu wote na pia niwapongeze kwa hekima hiyo. Pia nimpongeze mchungaji Kimaro kwa unyenyekevu Mungu akutunze akulinde ktk Jina la Yesu Kristo Bwana amina .2Thesalonike 3:5,16-18
Ameshakiri pengine hicho ndio kitu ambacho dini hazitaki ukweli anaosema mchungaji. Dini hazitaki ukweli, ni ufala tu dini zenyewe za wakoloni ndio tunahangaika nazo Waafrika sisi
Ujue MUNGU hana dini mbinguni ni watakatifu tu kimaro endelea kujitakasa umeshinda jaribu mbingu sio ya mtu ni Yesu ni mtakatifu hana dini sheria za duniani zitapita ila ninalojua mbingu ni takatifu watakatifu walipko duniani ndio walio bora hao ndio watakaomuona Mungu sio dili iliyoko duniani ASANTE Yesu unawajua walio wako
Asante Yesu. Hakika ni Roho Mtakatifu aliyekuwa anamsemesha. Ashukuriwe Mungu HAJAFUTA WALA KUKANA UKWELI ALIOUSEMA AWALI,. Kuomba msamaha na kujishusha kwa aina hii ni hekima na rehema za Mungu, kapaka asali kidonge cha chloroquine ili kimezeke vizuri, Mungu akubariki. Hata Askofu anapenda ukweli na yamkini kamshauri asiufute ila aulainishe ili Wakristo WOTE tumeze.
Baba mungu akuinue kihuduma sana majaribu ni mtaji somo lako imenifanya leo naedelea na kaz maana ulifudisha kunyenyea naona mungu ananiinua somo langu ni isaya 60;11
Wewe Mtumishi wa Mungu Dr. Kimaro, acha unyonge Mbinguni hakiingiagi kilicho kichonge. Wewe ulikuwa shujaa kwa kufundisha ukweli! Imekuwaje umegeuka nyuma? Shetani amewezaje kukufadhaisha wewe chombo kiteule cha Bwana? Umetshwa na waandishi na Mafarisayo wa dini yako! Pole sana, wanakuzuia kwenda Mbinguni ile hali wao wenyewe hawataingia! Inaniuma sana.
Shetani anawatafuta hao wachungaji, awapotoshe wawe wake. Hongera Mchu.Kimaro umemshinda shetani Amen
Asante Mchungaji kwa moyo wa unyenyekevu. Hakuna aliye mnyenyekevu alishidwa kitu/ mahali popote na siku yoyote. Mungu akuongezee mchungaji kimaro. Hiyo sio adhabu, ni Muda wa kumtafuta Mungu 🙏🏻🙏🏻💕💕❤️❤️🔥🔥👍🏽👍🏽💪🏽💪🏽💪🏽 Mungu asikupungie kwa moyo wa upendo na Kuwaheshimu wakubwa na viongozi. Heri wenye moyo safi maana watamuona Mungu.Asante baba Askofu kwa hekima yako.
Heshima na unyenyekevu, utii na uvumilivu ni silaha nguzo muhimu sana kwa binadamu. Hakika Mungu azid kutukuzwa na Hongera sana baba mchungaji Kimaro kwa unyenyekevu na ustahimilivu uliouonesha, Baba mchungaji Malasusa pia hongera sana 💛🙏🙏
Wakristo tuendelee kujitafakari kwenye suala la uaminifu. Kazi ya mchungaji si kusifia bali kusema neno ili tupone.
Huo ni unyenyekevu wa hali ya kimbingu kwa kweli. Mungu akubariki sana mjoli wa Bwana Kimaro.
Amina 🙏
Heri wenye moyo safi mana wao watamwona Bwana. Mchungaji Kimario umefanya kitu kikubwa sana mbele za Mungu. Unyenyekevu ndio ukristo. Barikiwa sana.
Tuna kitu cha kujufunza kwa mchungaji huyu
Daah!,Nimeipenda sana hii,Hongera sana Mch.Kimaro kwa utulivu wako kipindi hiki,na hongera Baba Askofu Malasusa kwa kutuliza KANISA.
Eliona kweli wewe umeiva kiroho! Hongera sana hujakosea hata nukta,msema kweli daima ni mpenzi wa Mungu! Ni lazama uhubiri kwa mifano ya kweli,Endelea kusema kweli
Ubarikiwe sana mchungaji. Wewe ni mchungaji wa mfano. Nilihisi utaibuka na kanisa jipya. Umemshinda shetani kwa nguvu zote!!!
Daaaaaaaaaaaah mpaka namuonea wivu mchungaji kimaro yaani naona baraka nyingi sana kutoka Kwa Mungu Ongera Sana kwa usindi mnono umemushinda shetani.
Mungu akubariki mchungaji Kimaro kwa ushujaa ambao Mungu ameujazandani yako lkni pia niseme Askofu Malasusa kunakitu kikubwa cha kujifunza toka kwako ubarikiwa katika hili wewe pamoja na familia yako ukarimu upendo na unyenyekevu vizidi ishi nafsini mwako barikiweni washarika wote
The only thing I like most from you Dr Kimario is your maturity.Keep going the future is promising.
Heri wanyenyekevu wa moyo mana watamwona bwana mch kimaro MUNGU anapenda watu kam ww njia ya mbinguni sio rahic na ww umemshinda shetan ubarikiwe na huduma yako YESU ailinde amen🙏🙏
Pole mchungaji wetu tunakupenda, hujakosea, watu Wana tafsir tofauti
Amen man of God nimekuelewa unaunyenyekev San baba Mungu akuinue na kukulinda san
Hongera sana Baba Mchungaji kwa moyo wa ushujaa hakika wewe ni mpakwa mafuta wa Mungu.
hakika nimefarijika sana,
Mungu Awabariki wakuu wote na Mch. kimaro Blesss
Baba mnyenyekevu Sana huyu jamani loh.Mungu akutunze tu..
Ama kwel mwenye hekima habishani. Hongera sana pastor kimaro MUNGU atakuinua utashangaa.
Umeona eeeeeh! Mungu alichompa ni kikubwa Sana huyu ni full package, busara na hekima mbele, ndo maana anafunza maadili mema
Amina sana lkn kazi ya Bwana kweri ni wito huna budi kuitika na huna budi kufunika kombe....
hongera na pole sana Rev Kimaro
Mchungaji kimaro uko vizuri Sana hakuna kitu kuzuri Kama kujielewa nimependa Sana unyenyekevu wako,umejishusha sana, ubarikiwe mno utafika mbali Sana..
Mungu anakupenda sana. Endelea kumtumikia Mungu wako aliyekufikisha hapo ulipo na kuheshimu maelekezo ya Roho Mtakatifu.
Amina 🙏, anaheshimu maelekezo ya roho mtakatifu na ndo yalimfanya adui aamue kumuona kama yeye ni mkosa, lakini tunamshukuru Mungu kupitia roho mtakatifu na vipaji vyake Kwa kumpa hekima na busara kuomba msamaha ili yaishe.
Mchungaji Mungu akubariki sana wewe ni mnyenyekevu sana na ndani ya unyenyekevu wako kuna unyenyekevu pia. Kweli utii ni bora kuliko sadaka. Mungu akuongeze zaidi ya maradufu ya ulivyo kuwa mwanzo mtumishi wa Bwana Mchungaji Kimaro
His Voice is in pain but umefanya vizur kuna Cha Kujifunza Mungu anakupenda na Tunakupenda.
He's in pain Kwa sababu anajua inside out hana kosa ila ni bora atumie BUSARA yaishe.
Mmm mungu ni mwema.asante mchungaji kimaro mungu akubariki na azidi kukuinua Kwa kazi ya mungu. Asante maaskofu wote Kwa kumsamehe mchungaji kimaro mbarikiwe sana
NDANI YA MOYO WAKO MUNGU ANAISHI.KWELI MUNGU NI MKUU SANA
Mtumishi WA kweli lazima awe na BUSARA na HEKIMA na UNYENYEKEVU ndio maana nakupenda Mchungaji Eliona Kimaro. Barikiwa sana, we miss you on Morning Glory.
Nimelia sana leo japo mimi ni mkatoliki lakini nampemda sana mchungaji Eliona kimaro.
Umehonae mpendwa ata na mimi pia hakika mungu yu mwema kila wakati
Mchungaji anajiamini mpaka raha.
Mungu ni mwema wivu fitina hasikuwa. Na nafasi mbele za Mungu machozi ya wanawake yatima wajane yalikuwa mengi Sana Asante Mungu. Kwa yote
Ukomavu mkubwa wa imani huu, barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Asante baba Askofu mungu awe nawe daima sku zote za mahisha yako 🙏🙏🙏
Shida sisi wakristo hatupendi kuambiwa ukweli. Kalini ukweli utatuweka huru. Wenzetu waislamu wametuzidi kwa mengi.
Kweli nimeamini Mch Kimaro unahekima sana na unajua kujishushaa Mungu atusaidie sana wotee tufike Mbinguni
Hii ndo Mungu anataka kusameheana Mungu akubariki askofu Malasusa Kwa msamaha
Ubarikiwe mchungaji kimaro mungu akubariki
Sijawahi kukomenti ila leo nimetoa machozi ya furaha kumuona huyu mtu anaomba msamaha nimependa ameonyesha unyenyekevu wa hali ya juu .nyenyekea tu mungu atakukweza tu kwa viwango vikubwa zaidi ya hvyo.kweli umemsikiliza mungu
Eti huyu mtu anaitwa mchungaji Kimaro ,tuache figisu Ni wakati wa kupindeka na kuvunjika Zab:51 :17
Mungu sio mungu
@@beatricehenry6776 Una maana gani?
ila anae samehe dhambi ni Yesu peke yake 😭😭😭nimelia ila Mungu anajua kwanini nimelia watu hawapendi ukweli wanapenda unafiki
Yesu hawezi kusamehe dhambi anayesamehe dhambi ni Mungu mmoja tu
@@hamzaswaibu9470 pole sana ndugu ,hata kuquran katk shahada zile tatu yesu ndiye atakayekuja kuhukumu dunia ,pia yeye ni njia ya ukweli na uzima . Ndugu endelea kukaa huko huko kwenye uislam ndio baadaye utajua kumbe na wewe ni mpinga kristo 😊🤣
@@hamzaswaibu9470 Yesu ni mwana wa Mungu nafsi ya pili ya Mungu
Ooh Lord! Thank you kwa matendo yako makuu. Your alive Almighty
Sasa kwa vile nyinyi ndio mna control aseme nini basi hatakuwa free kuhubiri akihubiri mtampa adhabu adhabu tena haya kuanzia sasa muwe mnamuandikia cha kusema maana akisema kingine mnamfungia Yani dunia hii watu wanapenda ku control Mungu ndio mkuu anapenda mtu aongee ukweli haijalishi kamkwaza nani hamna kuremba
Kabisaaa. Tutakosa lile neno alilopewa na Mungu kwa kuogopa adhabu. Eee Mungu tusaidie tupate wengine km KIMARO
Bwana yupo maguguu na ngano zitaonfolewa tuuu kafanya kosa gani mpka yafikiye mchungajii anaomba msamhaa kama MTOTO mdogo yupo MUNGU anawaona huo usharika wenuu
Huyo aliyekaa kwako masaa 4 ndiye aliyetumwa akwambie uombe radhi lakini ukweli ulishausema huna baya mchungaji na mwenye kusamehe ni Mungu nasi askofu piga kazi maisha yaendelee usiache kusimamia ukweli
Umeonaaa
Kweli kabisa hakuwa na kosa alisema ukweli unaoumiza
You are blessed, heritage wenye moyo safi maana ufalme wa Mungu ni wao..🙏🏾❤️
Hongera kwa unyenyeke mtumishi ,Yesu ndiye mwl wa unyenyekevu barikiwa sanaaaaa
Hongera Sana ndugu yangu kwa kukiri ambalo ulikua unalijua lililo kusababishia na kutafakari nawala sio kwa mihemko ya mitandao yetu kazi ya mungu iendelee kusonga mbele Amina
Hajakiri kosa na wala Hana kosa ni Kwa hekima na busara zake ameona bora yaishe. Hata kosa kuwafundisha vijana maadili mema
Kuna bro mmoja hapo mbele amevaa miwani suti nyeusi na tai ya blue i bet ni mnafiki sana huyo
Hahaaaaz kumbe umemwona eee ww ni mm kabisa
We are happy because God is with you and with us Go Go Go kimaro
Asante yesu mungu yu mwema hakika umejibu mahombi yetu nikupe nini mungu chakukupendeza Asante yesu 🙏🙏🙏🙏🙏
Bwana Yesu asifiwe.
Tunaamini Mungu ana njia nyingi za kumprove mtumishi wake. Hakuna asiyejaribiwa swala ni jinsi gani mwanadamu anavyolipokea hata Yesu alijaribiwa. Na watu wa duniani waliongea sana na hawakujua Ndani ya Yesu kuna Mungu. Utii ni Mungu yuko pamoja na mtiifu. Shetani Ameshindwa. Hallelujah
Mr kimaro pastor umekomaa kiroho, ila ulisema ukweli, hata iwe vipi vijana wakikristo wanahitsji ukombozi
Ukweli haukai katika kundi. Ukweli siku zote husimama peke yake. Message sent
Ukweli ukisemwa ni kosa. Inapaswa tubadilikee. Sioni kosa hapooo la kuomba msamaha
Ukweli unaumaaa
Binafsi sioni kosa.
Hii nikama ule msamaha wa nape na mwenda zake.
Kuna mda inabidi ukubali tu maisha yaendelee
Amen, barikiwa, Mungu wetu anawajua waliowake, hawezi kukuacha tulikumiss
Inauma sana.mlimdharirisha sana mchungaji. Kwani alikosea wapi ktk hayo maneno. Alikuwa anatuweka wazi . Mwacheni aseme ukweli
Hujaelewa alichoongea mchango. Kimaro
Ulikuwa sawa Sema tuuu hawataki kuambiwa ukweli
Safi sana una akili sana.
Nimefurahi sanaaaaaa na nimefurahi sanaaaaaaa tena sanaaaaaaaa Mungu akubariki sanaaaaaa
Hiyo ndiyo hekima ya Kimungu. Mungu wetu ameinuliwa. Shetani ameshindwa.
Amina Acha. Mungu aitwe mungu
Pia apunguze kuyaandama makanisa mengine ya kikristo si vema kujihesabia haki sana na kujihisi kuwa ni bora kuliko wengine. Sisi wote ni wa Mungu mmoja wewe tumika kwa Mungu kama ulivyo wito wako ulioitiwa na Mungu.
Mungu akubariki
Mungu wetu ashukuriwe kwa hekima yao na Mch wetu kukubali kushuka na viongozi kumtangazia Msamaha Amaniii tunayo sasa Mungu ametenda
🙏
Mungu awabariki mno. Ni maamuzi mazuri sana na yanatuonyesha ni jinsi gani maisha na mafundisho ya Yesu mwenyewe alivyotufundidisha. Sasa ninyi mmekuwa nuru kwa ulimwengu. Mch Kimaro ameonyesha mfano mzuri. Sii wengi wanaweza kufanya hivyo. Baba Askofu. Mungu akubariki mno. Hiyo uliyotumia sii hekima ya kibinaadamu bali ni hekima kutoka kwa Mungu mwenyewe. Ubarikiwe sana. Ila sasa, kanisa lifundishe upya suala la uaminifu. Hili si la kufumbia macho. Mbarikiwe
Wenye macho ya rohoni tushajua kabsaa kasimama hapo chukizo la uharibifu, ila kimaro umetumia vema ujumbe usemao usishinde na waovu, wewe ni jembe kimaro na tunajua mungu anasema ndani yako, bariwa saana hapa kz moja tu tutazidi kumwambia mwenye dunia yake afanye jambo flan tu
Ila kiukweli wakristo wengi tumepoteza uamifu sana , na haya lazima tuyakemee kama viongozi.
Na kama hatutaki kukubali ndo hivyo tena, ni ngumu kujirekebisha. Mungu atusaidie Kwa kweli
Amina hiyo ndio hekima mungu akubariki
Ubarikiwe sana Mtumishi wa MUNGU Hata iweje unyenyekevu pekee unamfanya MUNGU amuinue mtu endelea kunyenyekea tuu na MUNGU akuinuektk huduma yako amen
Amina Mungu akubariki sana mch kimaro
Mungu amejibu maombi, aibu kwa shetani na baraka wake.
Uyu mchungaji nimempenda sana.
Maana Alisema kweli.
Kikubwa ni kuiga tabia za wenzetu. Ili kujiletea maendeleo ya taifa.
Kumuoga muisilamu sio vibaya
Umeiva kiroho,na Mungu ataendelea kukupa wakvu,Tulikuombea mno kwa kuwa ulikuwa unatuelekeza ktk Nuru na ukweli wa neno la Mungu.
Jamn watu awapendi kuambiwa ukwel.hapo hakuna makosa.ukwel usemwe popote tuache unafki
Kumbe... mimi ni Christian..ndugu zangu katika Kristo tuseme ukweli. Itoshe kwa leo
Nasubiria recap ya pastor Nanja kama kawaida 😁😁😁😁🤣
MUNGU akukumbuke mchungaji Eliona. Mimi binafsi Bado sijaona kosa lako.
Mungu akuongezee hapana kosa
Hata Mimi sioni kosa lake lakini ni bora yaishe, mtu mwema huwa na busara na hekima.
BABA ASKOFU DR.ALEX MALASUSA,JESHI LILILOPO UPANDE WAKO NI KUBWA SANA... KULIKO HILI USIOGOPE MUNGU YUPO PAMOJA NAWE AKUOKOWE ISAYA 41:10-16.
Shetani atafungua kesi polisi mwaka huu💪🏾💪🏾Jina la Bwana lihimidiwe🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Glory to be God Amen ❤💕
Nimekupenda tu kwakuwa mnyenyekevu ila zaidi endelea kuutafuta uso wa Mungu 🙏
Amen
Your one called of God almighty keep on seeking the will of God our God is faithful in your doing the work of God the Lord shall give you his will and guides upon his work,,more grace ed blessings upon your life in Jesus mighty name
Nimekupenda tu kwa kuwa mnyenyekevu na zaidi kutumia Muda huu kutafuta USO wa Mungu
Utukufu kwa Mungu,...hiyo ndio hekima
Case closed..
Amen 🙏🙏🙏 ubarikiwee Sana mtumishi wa BWANA YESU kristo.hongera Sana.
Sifa na utukufu ni kwa Mungu aliyeenda kusimama na kumwonekania Dr Kimaro
Bado ipo siku utasema ukweli zaidi Kimaro endelea kumwamini Mungu umenynyekea lakini usisahau kusudi la Mungu ndani yako
Mungu Ufanya yaliyotushinda.
Amen
Makosa sana Aya hiii Nini sasa kanisa inapotea kweli Yani mutu kusema ukweli nimakosa duuuu pole sana mchungaji
Mungu awe nawe mchungaji Mimi mkatoriki lkn napenda mafundisho yako.heri ajishushae atakwezwa
Mti mzuri lazime upigwe mawe huo msemo mbona hauna shida baba karibu shusha nondo nakukubali baba kimaro uwasamehe maana Mungu anahuruma na rehema waachilie wote walio inuka kwa ajili yako injili ya Yesu iende mbele barikiwa na familia yako
Let me clarify this, If you are pastor, Your responsibility is to bring your people and your community on the rights path, It was complete mistake to talk to things while you self as pastor and as leader of church you need to promote and educate your own society and praise them as you are living with them, if you any mistake on them, educate and train them and assist them on clear path, also as a Christian we have many fundamental pillars and principe in Bible how to guide a Christian in true path it does not need comparison to any other religion as Bible is full of book of knowledge and there is doubt on it period. I respect Kumario, He was mistakenly wrong to say things as his pastor he need to be an example on his community and protect his community and advocate them on how to live on true principal as Christian. Love you people and respect them and help them thus how we Christian we are. Any mistake your see or overseen rectify and assist your community don’t put them on flam e as it’s jeopardizing their faith. Lastly being truthfully is not only religion, it’s to follow the Holy Bible and it’s scripture and follow the example of our prophet how they live. Have a bless Sunday ! And God be with you and praise always to Jesus. To finish it’s not religion of the colonizer, Please do research Christian religion has been there and read Kebra Nagst, The book of Ethiopian it explain well Christianity and teaching of Jesus.
Hujafany kosa
Kuna siku mungu atafanya yake
Sema wewe hujaona kosa, ila wengine na viongozi tumeona na amefanya vizuri kuomba radhi.
Na hili ndio Raha na heshima ya kuwa na kanisa kama taasisi...sio kanisa La mtu mmoja..
Baba wewe Ni kiongozi uliye letwa na mwenyezi mungu.Bwana yesu Akuifadhi chini ya mbawa zake.Amen&Amen
Ukweli utabaki ukweli omba msamaha lakini uliyosema yanaukweli nawakubwa wanapenda hivyo kuomba msamaha siyo dhambi
Mbarikiwe watumishi wa Mungu maaskofu wote na pia niwapongeze kwa hekima hiyo. Pia nimpongeze mchungaji Kimaro kwa unyenyekevu Mungu akutunze akulinde ktk Jina la Yesu Kristo Bwana amina .2Thesalonike 3:5,16-18
Ameshakiri pengine hicho ndio kitu ambacho dini hazitaki ukweli anaosema mchungaji. Dini hazitaki ukweli, ni ufala tu dini zenyewe za wakoloni ndio tunahangaika nazo Waafrika sisi
Kweli Dini hazitaki kuambiwa ukweli ndo tatizo
Ujue MUNGU hana dini mbinguni ni watakatifu tu kimaro endelea kujitakasa umeshinda jaribu mbingu sio ya mtu ni Yesu ni mtakatifu hana dini sheria za duniani zitapita ila ninalojua mbingu ni takatifu watakatifu walipko duniani ndio walio bora hao ndio watakaomuona Mungu sio dili iliyoko duniani ASANTE Yesu unawajua walio wako
Umehonae yani yote tumwachie anajibu 🙏🙏🙏
Asante Yesu. Hakika ni Roho Mtakatifu aliyekuwa anamsemesha. Ashukuriwe Mungu HAJAFUTA WALA KUKANA UKWELI ALIOUSEMA AWALI,. Kuomba msamaha na kujishusha kwa aina hii ni hekima na rehema za Mungu, kapaka asali kidonge cha chloroquine ili kimezeke vizuri, Mungu akubariki. Hata Askofu anapenda ukweli na yamkini kamshauri asiufute ila aulainishe ili Wakristo WOTE tumeze.
Ukweli kusema dini hii waaminifu dini hii sio waaminifu, embu tueleze. Huo ni ukweli wa wapi
Dhahabu imepita kwenye moto inang'aa
Mungu akutunze baba
Mungu angehesabu maovu nani angesimama
Baba Askofu Mungu akubariki sana akupe moyo wa uvumilivu ktk mambo Magumu
Baba mungu akuinue kihuduma sana majaribu ni mtaji somo lako imenifanya leo naedelea na kaz maana ulifudisha kunyenyea naona mungu ananiinua somo langu ni isaya 60;11
Wow jambo Jema sana Mungu amelifurahia.Oo Glory to God
MUNGU.Nimuweza.mchungaji.🙏🙏😭😭
Kimaro Mungu atakuinua kila iitwapo leo,wewe ni mshindi
Wewe Mtumishi wa Mungu Dr. Kimaro, acha unyonge Mbinguni hakiingiagi kilicho kichonge. Wewe ulikuwa shujaa kwa kufundisha ukweli! Imekuwaje umegeuka nyuma? Shetani amewezaje kukufadhaisha wewe chombo kiteule cha Bwana?
Umetshwa na waandishi na Mafarisayo wa dini yako! Pole sana, wanakuzuia kwenda Mbinguni ile hali wao wenyewe hawataingia! Inaniuma sana.
Amegeuka nyuma kivipi? mwenyewe amejua alipokosea ndo maana ameomba msamaha.
Unyenyekevu Ni jambo jema
Haya ndo mamlaka ya Ponsio Pilato,Mungu akujalie moyo wa unyenyekevu zaidi Rev.Kimaro