Mimi ni RC naishi Kibaha, nimekuwa nasikiliza sana mahubiri ya Mchungaji Kimaro. Nimefuatilia sana matukio yote yaliyompata. Leo amerudi tena Kijitonyama; nimefurahi sana pamoja na waumini wote wa KKKT. Nami nampenda, Mungu aendelee kumsimamia.
Nimeurahi sana, Mungu awe nawe daimu awe nawe daima. maiti imeshindwa kwa jina la daima. Kabla ya likizo yakealiyyopewa ! Niliota hi uyo mchangaji be amefariki na matangazo yake ya look awa yanatolewa kwenye vyombo vya habari nikawa nashangaa. , Najiuuliza mchungaji amefariki!!!¡ Jamani kumbe ilikuwa ni hili tukio. Mauti ya huduma imeshindwa ktk jina la yesu
Kama kweli wewe ni muislamu uliyefundishwa dini ya khaki usingeweza kusema hayo maneno kamwe nisingependa kusema maneno mengi hapa ila rejea mafundisho ya mtume juu ya unaswara na itikadi ya mungu mmoja tujiepushe na ushabiki wa itikadi iliyokinyume na mafundisho sahihi ya Allah
Rejea mafundisho ya imani yako ya Islam maana huwezi kusema unapenda mafundisho yake wakati ni kinyume na itikadi yako ya dini ya haki mfano unafundishwa usiseme utatu na mafundisho ya upande wa pili kuna mafundisho ya namna hiyo je ni sawa ww kusema ni muislamu
Baba Askofu wa nashukuru sana kumrudisha Dr kimaro kijitonyama 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻💕💕, Mungu ni mwema sana kwa maisha yangu ya kiroho, nilikuwa nangojea sana Mchungaji kimaro arudi tuendelee kupata na kukusikiliza kila jumapili. Mungu amawalinde Baba Askofu and Dr kimaro.
I'm from the Pentecostal Assemblies of God (Tanzania). I give God glory and honor to see Pastor Kimaro returning to the same church, Kijitonyama, as their pastor. God bless Kimaro, God bless the Leadership of Diocese of DMP and the Usharika of Kijitonyama for working together as one team!
Mungu atukuzwe mno kwa kanisa kutambua umuhimu wa kusamehe. Mchungaji Kimaro bila shaka kuna jambo amejifunza. Unyenyekevu huleta neema. Namuomba Mungu atakase Kinywa cha mchungaji Kimaro ili aeneze uzima nakua makini na kauli zake . Ukristo juuuuuuu juu zaidi. Sifa zote kwa Yesu Kristo Bwana wetu
Hongera sana kwa kupewa nafasi tena, ila ni wakati wa kujiangalia sana asianguke maana ukikubalika sana adui hutumia mlango huo kwa ajili ya kukuporomosha kwa kiburi. Nakutahadharisha sana mchungaji Kimaro uweze kushinda roho ya kiburi baada ya kusifiwa
Wanawake ni watu wa hisia sana bila tafakari ya matokeo ya matendo hayo. Binadamu tunapita, bali jina la Kristo ataishi Milele.. Viongozi wa dini tuache kuchochea hisia za watu..wafundishe kweli ya Mungu
Mwacheni MUNGU aitwe MUNGU, ametenda makuu SAAAANA sifa na utukufu ni kwake yeye apitaye falme zote. KARIBU BABA YETU MCHJ DR ELIONA KIMARO KKKT KIJITONYAMA KUENDELEA KUTUONGOZA TENA NA TENA, MAFUNDISHO YAKO YAMEWAJENGA WENGI KIROHO, KIUCHUMI NA KIMWILI. BARIKIWA SAAAAANA MCHJ NA MAMA NA FAMILIA YAKO. AMEN
Sifa heshima na utukufu ninakurudishia Mungu kwa ajili ya mtumishi wako huyu. Ambaye Mungu anaenda kutumika tena madhabahuni Pako. Damu yako ikaendelee kunena mema katika utumishi wake Amina
Mungu uliye hai utukufu na heshima ni vyako milele na milele karibu tena baba yetu na hongera Sana kwa uvumilivu wako kwa kipindi chote hekima Yako na unyenyekevu wako umewashangaza wengi Mungu akuinue zaidi unastahili kuwa mkuu wa kanisa na KKKT Sasa sio mchungaji tena na hakika nakuombea Mungu akufikishe huko🎉🎉🎉❤
Dr na mchungaji kimalo kiukweli hekima unyenyekevu busara ulio nawo Mungu akubariki sana na akulinde naungana na wanna kijito nyama kwa furaha hii Kipekee nawashukuru maaskofu wote pia marasusa
2020 alikuja na unabii wa start your Impossible aisee alinipa nguvu ya kufungua shule,,, akaja na I'm in to win it bado kwangu ikafanya kazi,,, akaja na i connect to collect Mungu akanikonect na watu sana,,,,leo tupo na tutavuka na mbao...... ooohhh this man amebeba mafunuo makubwa sana ya KIMUNGU kwa mwenye imani na Mungu. Glory to Jesus aisee
Yaani mchungaji hunaga ubaguzi na dini ya MTU,halafu mungu akuinue sn,yaani riziki ya MTU huwezi ifunga,hakuna mkamilifu duniani eti unamfungia MTU asifanye neno la mungu kiss kasema ukweli ndo SBB mungu kayatenda haya ukweli utabaki kuwa ukweli congratulations mchungaji Fanya kazi ya mungu tupo nyuma yako
Kwel wanampenda mchungaji wao kutoka moyon wamefurahi sana yule adui aliyetaka kumthalilisha bila sababu ya msingi akiona hili shangwe ni kama mkiki unamchoma kwenye moyo
Glory to our Almighty God!!My heart is full of joy!!! I love you with the love of God Man of God.Endelea kuifanya kazi ya bwana kwa uaminifu mkubwa!!🙏🙏
Waooooo baba yangu wa kiroho Mungu akutunze, ❤❤❤❤ nikikusikiliza Mara zote mahubiri yako unaniponya nafsi, nilishakata tamaa Sana kupitia youtube unaniponya nafsi Mungu akulinde nakupenda sana mafundisho yako, Mungu wa mbinguni nilinde siku moja nije kukuona live nitafurahi sana sana
Mungu Akubariki sana mchg Kimaro. Nimefurahi sana kwa jinsi ulivyojishusha na kuomba msamaha. Na Mungu akakujibu. Nakuombea maisha marefu katika kazi ya BWANA
Maji hayazuiliwi Kwa ukuta🥰yatatoboa na kupenya tu😂😂😂Anacho kibali!! kama Mungu alimchagua hakuna binadamu atakaezuia, wamuache atumike🥰Mungu Atukuzwe sana🙏🙏🙏
Sifa na utukufu ni kwa Bwana Mungu aliyeziumba mingi na nchi.Mbarikkwe watumishi na waumini wa Mungu. Yesu ndiyo kiongozi wangu.Kumfuata Yeye ni furaha.
Asante kwaajili ya Baba Mchungaji Kimaro Bwana akupe maisha mm Catherine Gabone umefanyika Baraka katika maisha yangu Bwana akulinde na famili yako Amen
Yaani.machozi yananitoka kabisa. Mungu ni jibu. Washarika wa Kijitonyama hongereni Sana. Askofu Malasusa tuliza kichwa na mawazo kwa Wachungaji wenye Karama. Waheshimu. Usharika huu ungekufa kabisa kwa maamuzi yasiyo na Busara. Iwe funzo kwa wengine. Uelewe tu kuwa sharika siku hizi zinakua au kufa kwa sababu ya Mchungaji aliyepo. Msirudie makosa
Mungu ni mwema Dr kimaro, nimefurahi sana , naungana na washirika kutoka 🇺🇸, nikisema yesu, yesu, yesu, yesu 🙌🏾🙌🏾👏🏽👏🏽👍🏽👍🏽
Mimi ni RC naishi Kibaha, nimekuwa nasikiliza sana mahubiri ya Mchungaji Kimaro. Nimefuatilia sana matukio yote yaliyompata. Leo amerudi tena Kijitonyama; nimefurahi sana pamoja na waumini wote wa KKKT. Nami nampenda, Mungu aendelee kumsimamia.
Hatamimi nampenda sana huyu Mch Kimaro
Tendeni haki hakima BWANA atawainua
Yaani Mimi ni Crip zake nyingi. Hasta shuhuda mbalimbali. Ananibariki sana.
Nikweli kabisa
Nami nampenda Sana baba huyu jamani niliumia kusimamishwa kwake maana anachohubiri Ni sahihi kaabisa
Nimeurahi sana, Mungu awe nawe daimu awe nawe daima. maiti imeshindwa kwa jina la daima. Kabla ya likizo yakealiyyopewa ! Niliota hi uyo mchangaji be amefariki na matangazo yake ya look awa yanatolewa kwenye vyombo vya habari nikawa nashangaa. , Najiuuliza mchungaji amefariki!!!¡ Jamani kumbe ilikuwa ni hili tukio. Mauti ya huduma imeshindwa ktk jina la yesu
Nikiona mchungaji Kimaro anaogea, na washirika wa kijitonyama napata furaha na kujua kumbe wokovu wa kweli ninao ujua bado upo, 💕💕💯💯
I'm Islamic but I love this man of God for sure,napenda sana mafundisho yake,hongereni wana Kijitonyama endeleeni kumuombea Dr.Kimaro
God bless you
Kama kweli wewe ni muislamu uliyefundishwa dini ya khaki usingeweza kusema hayo maneno kamwe nisingependa kusema maneno mengi hapa ila rejea mafundisho ya mtume juu ya unaswara na itikadi ya mungu mmoja tujiepushe na ushabiki wa itikadi iliyokinyume na mafundisho sahihi ya Allah
Rejea mafundisho ya imani yako ya Islam maana huwezi kusema unapenda mafundisho yake wakati ni kinyume na itikadi yako ya dini ya haki mfano unafundishwa usiseme utatu na mafundisho ya upande wa pili kuna mafundisho ya namna hiyo je ni sawa ww kusema ni muislamu
@@stevenmwenda3005umeumia sana
@@stevenmwenda3005 we mwenyewe unayapenda sana..maana usingekuja huku...Pona kwa jina la Yesu
Nabarikiwa sana kwajili yako bba Mchungaji Mungu azidi kukuweka kwajili ya watu wake
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Karibu tena Mchungaji Kimaro ❤
Jamani kila mtu na neema yake hatu fanini.huyu mchungaji ana neema yake Mungu akuinuwe zaidi
Baba Askofu wa nashukuru sana kumrudisha Dr kimaro kijitonyama 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻💕💕, Mungu ni mwema sana kwa maisha yangu ya kiroho, nilikuwa nangojea sana Mchungaji kimaro arudi tuendelee kupata na kukusikiliza kila jumapili. Mungu amawalinde Baba Askofu and Dr kimaro.
Yesu Yesu 👏
It may be unpleasant to many of you,
But I have to say this that ,
We shouldn't glorify Pastor Kimaro !
All the glory be to GOD !
even him said so
Ninaungana na wana kijitonyama kufurahi pamoja nanyi kwa ajili Mchungaji wetu 🙏🙏
Ashukuriwe Mungu kwa mema yote!hakika wewe ni mtumishi pendwa na Mungu azidi kukutumia.
Machozi ya furaha yananitoka jamani kumuona Mch Kimaro tena.Mungu alitunze kanisa lidumu katika umoja na upendo 🙏
I'm from the Pentecostal Assemblies of God (Tanzania). I give God glory and honor to see Pastor Kimaro returning to the same church, Kijitonyama, as their pastor.
God bless Kimaro, God bless the Leadership of Diocese of DMP and the Usharika of Kijitonyama for working together as one team!
Na wewe ubarikiwe pia kwa kuandika ung'eng'e umeongeza furaha😂
@@annehk8185 😂
Mie nilishasema kuwa sitakanyaga teta Kijitonyama,kusali, sasa narudi tena, Asante Mungu kwa kumurudisha Dr Kimaro 🙏🙏🙏❤
Mungu atukuzwe mno kwa kanisa kutambua umuhimu wa kusamehe. Mchungaji Kimaro bila shaka kuna jambo amejifunza. Unyenyekevu huleta neema. Namuomba Mungu atakase Kinywa cha mchungaji Kimaro ili aeneze uzima nakua makini na kauli zake . Ukristo juuuuuuu juu zaidi. Sifa zote kwa Yesu Kristo Bwana wetu
Hongera sana kwa kupewa nafasi tena, ila ni wakati wa kujiangalia sana asianguke maana ukikubalika sana adui hutumia mlango huo kwa ajili ya kukuporomosha kwa kiburi.
Nakutahadharisha sana mchungaji Kimaro uweze kushinda roho ya kiburi baada ya kusifiwa
This is beautiful
Glory to God
My heart is full ❤
Mungu atukuzwe mnooo katika Jina la Yesu
Asante MUNGU kwa kutuludishia mchungaji wetu KIMARO alleluyaaaaah ❤
Nakupenda SANA Kimaro achana na Ananja hata yeye alikosea akatolewa Moja Kwa Moja. We endelea kumshukuru Mungu
Glory be to God, how happy I am to see the man of God back, karibu sana sana. Judy from Kenya
Tell them agekam huku tupotee na yeye he comforter me a lot
Wanawake ni watu wa hisia sana bila tafakari ya matokeo ya matendo hayo. Binadamu tunapita, bali jina la Kristo ataishi Milele.. Viongozi wa dini tuache kuchochea hisia za watu..wafundishe kweli ya Mungu
We love you Pastor Kimaro
Ahsante Mungu kwa ajili ya huyu mtumishi wako uzidi kumlinda na umpandishe viwango vya juu kabisa mafundisho yake yamebadilisha maisha ya wengi 🙏🙏
Mungu ni mwema,asante Mungu kwa kumrudisha tena Mch Kimaro🙏🙏
God is good all the time.
Anza tena na Bwana.... Tunakupendaaaa
Hatimaye Dorcasiiiiiiiiiiiiiii kuongezewa miaka mingine. Oh! Mungu ni mwema sana, nimefurahi mnoooooo kurudi kwa mchungaji.
Hongera kwa kurejea Kijitonyama mtumishi wa Mungu.
Mungu, akuongoze tena!
Hakika huu niukuu wamungu tunauona mbele yetu mungu hawezi kukiacha peke yako asante bab umesimama naye ukuu wa mung❤❤🙏🙏
Mungu wetu ni final say karibu tena mtumishi wa Mungu nadikia furaha na amani sana
Jamani Dsm Kijitonyama mmebarikiwa na huyi Baba sawa na sisi tulivyobarikiwa na Mwl Mwakasege.
Mwacheni MUNGU aitwe MUNGU, ametenda makuu SAAAANA sifa na utukufu ni kwake yeye apitaye falme zote. KARIBU BABA YETU MCHJ DR ELIONA KIMARO KKKT KIJITONYAMA KUENDELEA KUTUONGOZA TENA NA TENA, MAFUNDISHO YAKO YAMEWAJENGA WENGI KIROHO, KIUCHUMI NA KIMWILI. BARIKIWA SAAAAANA MCHJ NA MAMA NA FAMILIA YAKO. AMEN
Anajibu Maombi X2 Bwana twakuabudu. Asante Mungu WA Utatu Kwa Kujibu Maombi yetu. Asante Uongozi DMP Kwa Uamuzi huu .
Tunakupenda sana baba yetu,umekuwa mnyenyekevu sana ktk yote,tunaamini Mungu amekupandisha kiwango kingine,ubarikiwe baba
Sifa heshima na utukufu ninakurudishia Mungu kwa ajili ya mtumishi wako huyu. Ambaye Mungu anaenda kutumika tena madhabahuni Pako. Damu yako ikaendelee kunena mema katika utumishi wake Amina
Huyu ndiye Mungu atendaye matendo makuu ya kuogofya... Tunamshangilia Bwana...
Tuliimis sauti hiyo ya mamlaka ya kumfyatua shetani kazi iendelee Mchungaji
Mimi Ni FPCT Lakin mchungaji Kimaro Ni mchungaji wangu nimpendaye sana
Mimi ni Mkatoliki..........Tunakupenda Baba saaaaaaana .........Karibu saaaaaaaaana Baba Mchungaji.
Mungu uliye hai utukufu na heshima ni vyako milele na milele karibu tena baba yetu na hongera Sana kwa uvumilivu wako kwa kipindi chote hekima Yako na unyenyekevu wako umewashangaza wengi Mungu akuinue zaidi unastahili kuwa mkuu wa kanisa na KKKT Sasa sio mchungaji tena na hakika nakuombea Mungu akufikishe huko🎉🎉🎉❤
Dr na mchungaji kimalo kiukweli hekima unyenyekevu busara ulio nawo Mungu akubariki sana na akulinde naungana na wanna kijito nyama kwa furaha hii
Kipekee nawashukuru maaskofu wote pia marasusa
Kuna mtu anakata vitunguu hapa🙏🙏🙏 to God be the Glory
Nimefilahi sana mutu wa Mungu umerudi ktk hema takatifu Mungu akuongoze milele
Wow mungu akutunze mtumishi umechaguliwa hakika hakuna ulimi utakaoinuka juu yako tena 🙏❤️
We love you pastor kimaro Mungu Ndio anajua
Shetani amegalagazwa chaliiiiiiiiiii Yuko hoi kwa paaaaale.:O😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
2020 alikuja na unabii wa start your Impossible aisee alinipa nguvu ya kufungua shule,,, akaja na I'm in to win it bado kwangu ikafanya kazi,,, akaja na i connect to collect Mungu akanikonect na watu sana,,,,leo tupo na tutavuka na mbao...... ooohhh this man amebeba mafunuo makubwa sana ya KIMUNGU kwa mwenye imani na Mungu. Glory to Jesus aisee
Ila marasusa Mungu anakuona , kimario ww ni mnyenyekevu Sana Mungu akufikishe mbali Zaidi mtu wenye matunda ndio unapigwa mawe siku zote
Marasusa amekosa nini
Acha ujinga Ask. Malasusa, ana kosa gani nyau wewe.....
🥺🥺🥺😟😟😟😳😳😳
Yaani mchungaji hunaga ubaguzi na dini ya MTU,halafu mungu akuinue sn,yaani riziki ya MTU huwezi ifunga,hakuna mkamilifu duniani eti unamfungia MTU asifanye neno la mungu kiss kasema ukweli ndo SBB mungu kayatenda haya ukweli utabaki kuwa ukweli congratulations mchungaji Fanya kazi ya mungu tupo nyuma yako
Usilaani mpendwa.
Tuombene.
@@judicalosika7642 Amina mpendwa
Mwenyezi Mungu ambariki mtumishi wake na aendelee kuikuza karama yake
Karibu tena mpendwa wetu Dr Kimaro , tunakupenda saana
Kimaro kimaro Nakuombea uishi baba uishi uishiiiii Tena uishiiiii wewe hakika Na jemedari WA kanisa
From Saud, God is good 👍 🙏 🙌 ❤
Ooooh Saa 10 alfajiri watu wamemsubiri MCH Kimaro kanisani ooooh
Sifa na Shukrani nakurudishia Eee Mungu Baba ulie Hai
Mimi ni mwana ufufuo na uzima lkn pastor kimaro namkubali na kumfatilia Sana tena karibu Sana Baba kijitonyama
Mungu asante kwa kujibu maombi yetu jina lako libarikiwe sana 🙏 Karibu Mchungaji kuna kitu Mungu kaweka ndani yako🔥🔥🔥
Wamtumainio bwana ni kama mlima Wa sayuni hautatikisika milele,
Hallelujah
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯🙌🙌🙌🙌 Amina aminaaaaa Hata Sasa Bwana anatenda. Sasa macho yangu yameamini
Huyu mgefaya one mistake uiii Kenya ingemchukua Kaa ugari moto we love this man of God
ASANTE SANA YESU KWA UPENDO WAKO KWA MTUMISHI WAKO ELIONA KIMARO.
Glory be to God Jesus🙌🙌
Hadi raha Mungu ni mwema 🙏🙏🙏
Kwel wanampenda mchungaji wao kutoka moyon wamefurahi sana yule adui aliyetaka kumthalilisha bila sababu ya msingi akiona hili shangwe ni kama mkiki unamchoma kwenye moyo
Aminaaaaaa kubwaaaaaa
Wanawake kila sehemu mnaongoza kha nami nimefurahi sana kwa baba mchungaji kurejea ni muislam lkn nampendaga
Mungu azidi kukuinuaaaa sana Mch Kimaro.. Mafundisho yako yanatujenga sana sana
Glory to our Almighty God!!My heart is full of joy!!! I love you with the love of God Man of God.Endelea kuifanya kazi ya bwana kwa uaminifu mkubwa!!🙏🙏
Waooooo baba yangu wa kiroho Mungu akutunze, ❤❤❤❤ nikikusikiliza Mara zote mahubiri yako unaniponya nafsi, nilishakata tamaa Sana kupitia youtube unaniponya nafsi Mungu akulinde nakupenda sana mafundisho yako, Mungu wa mbinguni nilinde siku moja nije kukuona live nitafurahi sana sana
Jaman nami nafurah kwamachozi Asante mungu.barikiwa
Mungu akutunze sana Baba.....keep on going ....we love you!!!
Mungu atukuzwe Sana jmn nimefurah Sana, Baba tunakupenda tunakupenda Tena. Unatubariki mnooo
Mungu Akubariki sana mchg Kimaro. Nimefurahi sana kwa jinsi ulivyojishusha na kuomba msamaha. Na Mungu akakujibu. Nakuombea maisha marefu katika kazi ya BWANA
May God bless you so much beloved Rev . pastor Eliona Kimaro Kwa utumishi mwema,Amen
Hallelujah hallelujah hallelujah!!! Sifa na utukufu ni kwa Mungu
Mungu wewe ni wa ajabu sana...Mungu aendelee kukutumia tubarikiwe
Nimefurahi sana mpaka nimelia machozi ashukuriwe MUNGU alie juu🙏🙏 ooh Asante YESU
Mungu wetu ni mwema 🙏 Hakika ni furaha kubwaaaaa mnooooo🙏
Jumapili hakika hapatatosha kanisani, Mungu atamuonesha baba askofu Malasusa ukuu wa Mch Kimaro
Mch Kimaro tunakupenda kwa kuwa unajua kutuombea kwa Mwenyezi Mungu. Tunamwomba Mwenyezi Mungu asikie maombi yako uliyomuomba kwa ajili yetu. Amen.
Sifa na utukufu ni kwako Mungu wetu,ulinzi wako ukawe juu ya mtumishi wako Eliona Kimaro
Mama mchungaji oyeeee 🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Utukufu ni kwako ee mwenyezi mungu
Mungu akubariki mch. Kimaro
Maji hayazuiliwi Kwa ukuta🥰yatatoboa na kupenya tu😂😂😂Anacho kibali!! kama Mungu alimchagua hakuna binadamu atakaezuia, wamuache atumike🥰Mungu Atukuzwe sana🙏🙏🙏
Sifa na utukufu ni kwa Bwana Mungu aliyeziumba mingi na nchi.Mbarikkwe watumishi na waumini wa Mungu. Yesu ndiyo kiongozi wangu.Kumfuata Yeye ni furaha.
Aliyeziumba mbingu.. sio aliyeziumba mingi. Samahani
Asante kwaajili ya Baba Mchungaji Kimaro Bwana akupe maisha mm Catherine Gabone umefanyika Baraka katika maisha yangu Bwana akulinde na famili yako Amen
Nguvu ya umma haijawahi feli..congole Wana kijitonyama
Asante sana mchg huwa na barikwa mahubiri yako
Karibu tena Mungu akutumie kama apendavo
Endelea na kazi baba shetani umeshindwa kwa Jina la Yesu
Wapiiii mchungaji Hananjaaaaaa
Amen mtumishi wa Mungu tupo pamoja ktk bwana 🙏
Jamani na Watch na nyie kutoka Uingereza hata machozi yamenitoka Penye haki hapapungui kitu
Ubinadamu wetu usitufanye tukatae vile vitu Mungu alivyoweka kwa maana maalum kwa watu wengine
Amen such a humble man Yesu ni mwema
Tunamshukuru Mungu Kwa ajili ya huyu mtumishi
I really moved and happy to see you again
Yaani.machozi yananitoka kabisa. Mungu ni jibu. Washarika wa Kijitonyama hongereni Sana. Askofu Malasusa tuliza kichwa na mawazo kwa Wachungaji wenye Karama. Waheshimu. Usharika huu ungekufa kabisa kwa maamuzi yasiyo na Busara. Iwe funzo kwa wengine. Uelewe tu kuwa sharika siku hizi zinakua au kufa kwa sababu ya Mchungaji aliyepo. Msirudie makosa
Ebenezer amewezesha. Amen
Damu ya Yesu iendelee kinena mema kwenye maisha yako
Glory to the highest Thank u God for what u have done. For us Ua warm welcome Pastor we miss u a lot.
Najikuta najikuta nabubujika machoz yafuraha
Mungu ni mwema. Sana
Nimejikuta nalia tu Kwa furaha