oya acha kashfa kwa manara yeye ndiyo kazi iliyomwajiri na ally kamwe alikaimu baada ya kufungiwa kama hujui uliza uambiwe , ally kamwe amefanya vizuri sana apewe kazi nyingine ili awepo yanga
Manara ana uzoefu na umahiri mkubwa. Ni mtu mwenye uwezo wa kujibadili badili. Kwa mfano kuonekana Mzee na kuonekana kijana tena kijana mtukutu akaleta furaha kwenye kadamnasi. Kwa ukweli ni Mahiri sana. Huyu ana kipaji kikubwa sana. Lakini Ally Kamwe naye ni mzuri ana staili zake. Basi wote wawe pamoja tutakuwa na Klabu kubwa siyo tu kwa wachezaji bali hata wasemaji.
Daah wee jamaa mkariakoo mwenzangu nakupenda kama binadamu mwingine yoyote yule but sipendi hata kigodo kukuona ndani ya YANGA yetu hata kidogo. Ally Kamwe anatosha sana kwanza wewe umri wako umeisha kwenda aiseee ona aibu
Yanga bingwaaa 😂😂thanks . Anae bisha akufeeeeee😊
The return of champion
Kweli kabisa iyo iko sawa Ali kamwe yuko pw❤
Hiyo ndio Yanga ❤❤ yanga
Hongereni sana wana wa Jangwani tunawapenda sana
uko powa sana nakuelew
🎉🎉🎉 Yanga hatuna Malumbano wanaopitisha maneno ya kamwe na manara washindwe
Aaah ukituliza kichwa huyu jamaaa yuko vizuuuriii mnooo mashineee ya kuongea😂😂😂
Hiyo ndio Yanga ❤❤ naipenda mpaka naumwa
Nimefurahi sana Ally kamwe kuendelea kuwa msemaji wa jangwani.
Buggati manara namba moja duniani
❤❤❤❤❤
Hatar saana
Haji manara una hekima sana 👍🏽💚💛
Mr.Manara,Hammjui sawasawa,HUYU HAAMINIKI,Mwaka 2025 Atarudi Simba tena.PERIOD.
Khaji Sande Mannara ni Afisa muhamasishaji na Ally Shabani Kamwe ni Afisa habari
Manara anaweza kuhamasisha mataahira tu.
@@MzansiDiski27 hahaha. Matahira wenzake
Pole sana kolo wizard,wivu huo@@MzansiDiski27
Tuliza kijambio@@MzansiDiski27
Tuliza boll
Wananchiiiiiiiiiiii,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
Professor
Bugart karibu tena jangwan
Professional
Hata jeshi tutafwatua wanayanga
Hatushindwi
YANGA oeeeeeeeeeeeee
Tuimzoea sn kamwe anajua sn hana panick
NJAA MBAYA
Manara arudi itakuwa poa sanaaa
Ali kamwe awe msemaji huyo manara,hafaiii
❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mmecheza na kikosi cha watoto wadogo wa Kaizer chiefs
Upo vizuri Hajjy Sunday Manara.
Tunawapenda wote sisi sio wanafiki yanga ya upendo
Nashauri .... jitahidi kutulia kwenye kiti. Too much swinging unaharibu concentration ya wasikilizaji
Ushakuwa msemaji mzee tunataka vijana kizazi hiki ni Cha gz
Wewe manara ndio bora
Old is gold
Jaribu naww uone kenge mlima
Waje BAYERN MUNICH
Mi namkubari manara jamaa hatarii uyu
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Bukati kama.Bukati msemaji Afrika
mnafiki
aweee Tena IPO nayo sawa kaka
Karibu tena Bughat...
Yanga inaendelea kushinda
Kila wakati na zama zake hizi zama za ally kamwe huu usemaji wa kupayuka payuka umeshapita tyr
Manala hongela sana unaju kuhamasisha
😊😊
Ni shidaaaaaaaa
Ali kamwe ni bora kuliko manara
uongo huo uongo huo
Kila mtu ana Karama yake!
Unazeeka vibaya we mzee
Tunamuitaj Ali kamwe ndo awe msemaj wetu
Kwa hiyo yeye ni Nani?
Wewe ni chavichavi
Ulikurupuka Serena hotel. Sasa mabosi wamekuambia karekebishe makohozi uliyoyatema
Yanga wakimuacha kamwe wamebugi bugati kashapoteza mvuto
Hata wewe umeona ee
kama ni nzuri fanya wewe
kenge maji
Yanga inanikuna kunako
Young mabingwa tenaa 2:21
Nane shekh
Yanga ni tanuru acheni wafanye kazi
Kwakweli Haji huwa anaongea vizuri kuliko Ali
acha kutembelea nyota ya ally kamwe
oya acha kashfa kwa manara yeye ndiyo kazi iliyomwajiri na ally kamwe alikaimu baada ya kufungiwa kama hujui uliza uambiwe , ally kamwe amefanya vizuri sana apewe kazi nyingine ili awepo yanga
Upo sahihi manara n shida
Big team
Bugati kama bugati ally kamwe pamoja wote waaajiwa wa yanga
KAMA ALI KAMWE HAYUPO HATUJI
😂😂😂mzee wa madem huyo
Hi
Arrbaah. Bin. Sufuurr
Naona Leo hajaja na twiga
haji manala ni influencer na ally kamwe ni msemaji
We rudi simba umeanza kumuchokonoa ally kamwe wetu
🎉🎉🎉
Ha ha h..yanga..raha sanaaaaa
Manara atafutiwe kazi nyingine ndani ya yanga,saiz amwachie dogo kamwe aendeleze alipoishia
Yanga waanzishe kurugenzi ya wanachama/wanachama/wapenzi, na iongozwe na haji manara. Usemaji wa mambo timu abaki Ally kamwe
Haji ni na pale yanga?
Acha stori nyingi maelezo marefu
Mmechemka mmetafta kibonde hamna lolote...
Manara ana uzoefu na umahiri mkubwa. Ni mtu mwenye uwezo wa kujibadili badili. Kwa mfano kuonekana Mzee na kuonekana kijana tena kijana mtukutu akaleta furaha kwenye kadamnasi. Kwa ukweli ni Mahiri sana. Huyu ana kipaji kikubwa sana. Lakini Ally Kamwe naye ni mzuri ana staili zake. Basi wote wawe pamoja tutakuwa na Klabu kubwa siyo tu kwa wachezaji bali hata wasemaji.
❤❤❤❤❤❤
Manara hii ni karama yake.
Huyu ndio mtu nilikuwa namsubiri mnoo..arudi kwenye hili soka letu sasa baasiii..mmekwishaaa..😂😂😂🙌🙌
Kaisha nan?
Mashine ya kuongea hiyoo😂
Namkubali sana huyu jamaa akiamia timu yoyote na Mimi ni bendera fuata upepo
Ww ni simba sema wana kusaka tonge wezako
Kaizer amesha potea ndiyo anajitafta kurudisha makali yake nafasi ya 10 msim uliopita wamedrop sana
Daah wee jamaa mkariakoo mwenzangu nakupenda kama binadamu mwingine yoyote yule but sipendi hata kigodo kukuona ndani ya YANGA yetu hata kidogo.
Ally Kamwe anatosha sana kwanza wewe umri wako umeisha kwenda aiseee ona aibu
Kila mtu amesimama kweny cheo chake.. unataka ukienda hela ukirud mke hawez kuw wako?
Kama umeona pua kama matundu ya choo like hapa
Pua zako kama za kiboko!!! Acha kutukana wewe ndo umemuumba😣😣
Haji nakukubali sana… unaongea kwa mpangilio 🎉
Wote awa wanashindana na mtu mmoja au basi
Manara bhn linajua
Sàsa kama waliwaita waandishi why wasiwaulize maswali? Hakukua na ulazima wa kuwaita hao waandishi
Broo mwachie dogo usemaji bakia na ile biashara ya kuoa na kuacha
Mimi yanga damu awe Ali kamwe au Dila Boss Bugatti wote vyuma
Nilidhan kombe kumbe kikombe😂😂😂
Kiti ndo kinazuguka au mara ndo anazungusha
Inshallah kwa uwezo wake rabuka tutafika huko
kamwe mic u sana mzeee nakukubal
Du hii NI dhambi
Kichwa cha habar unauliza?au unatuambia
wanachama wanamsikiliza mwana chawa manara huko hutakiwi wala hawakuelewi mwachie ally kamwe mtoto huyo usimtoe roho baba acha kupanda gari la watoto
umepoteza muelekeo manara😂😂
Kwahyo hapo anaongelea mapishi ama yupo chooni kama kweli amepoteza muelekeo?? Je ww ulishawah kuwepo hapo alipo?
Maneno umemaliz simba huna la kuongea muachie mwenyewe kamwe kitu chke uto ww
Kabisa
Sanaaaa mabingwaaas
Mbona kama kaamka na faida
Napenda haji akiongea
Muludishe dogo kamwe Hilo
Kamwe mbona hajielewi jamani
Dawa yenu inawiva.
Ali pale kivuli tu..habar zote unazsema ww
HATAKIWI ANANG ANG ANIZA BAFASI ATA ISIYOKUWEPO YANGA....
ATAKUWA MC TU HABARI TUNAZO
Huna jipya mzee retire upishe watoto waendeleze gurudumu
Mzee wa kufungiwa 😂😂😂😂 tibua tibua
❤❤❤ KUMBE MANARA BADO N FIRE WANASIMBA KAZ MNAYO TUNAWAGONGA KUANZIA KWA WASEMAJ MPAKA UWANJAN😂😂😂