Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
Rais wa Zimbabwe amlilia PUTIN ‘Marekani inawasaidia Zambia na Malawi kutukomesha, njoo utusaidie’
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 6 чер 2024
- Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
КОМЕНТАРІ • 249
Наступне
Автоматичне відтворення
ISRAEL yaishambulia LEBANON na kuua watu 10, Hezbollah yajibuSimulizi Na Sauti
Переглядів 7 тис.
MREMBO wa KISUKUMA awashangaza kwa kucheza na PIKIPIKI kubwa, ajiandaa kwenda SHINYANGA kwa pikipikiSimulizi Na Sauti
Переглядів 901
ULAYA - JORAMU NKUMBI asimulia MAZITO alioyaona akiwa huko, aogopa haya ya KUTISHA, asifia MAZURISimulizi Na Sauti
Переглядів 14 тис.
Максим Бородін & Zlata Ognevich - Без тебе | Прем'єра 2024Максим Бородін
Переглядів 241 тис.
«Зайшли п*дорам в тил у перший день штурму» #україна #війна #зсу #окупантиСлідство.Інфо | Розслідування, репортажі, викриття
Переглядів 797 тис.
Арестович: Операция ВСУ в Курской области. @A.ShelestAlexey Arestovych
Переглядів 2,9 млн
GHARAMA ya DRONES na Mabomu ya IRAN/URUSI si Mchezo! Mchambuzi Ally ajibu Maswali ya Wana SnSSimulizi Na Sauti
Переглядів 68 тис.
Hiki ndicho kilimpeleka Bilionea ELON MUSK nchini CHINA, aitosa INDIASimulizi Na Sauti
Переглядів 38 тис.
Korea Kaskazini imewezaje kujenga mijengo bora hivi! Wanapewa bure! Jionee Mapinduzi ya Kim Jong UNSimulizi Na Sauti
Переглядів 44 тис.
MBUNGE wa UJERUMANI akimbilia URUSI kwa kumuunga mkono PUTIN, serikali ilitishia kuwachukua WANAESimulizi Na Sauti
Переглядів 32 тис.
I was deported from the UK after they stole my military plane idea | Tuko TVTuko / Tuco - Kenya
Переглядів 26 тис.
When A Gang Leader Confronted Muhammad AliBoxing After Dark
Переглядів 7 млн
RAIS WA MALAWI ALIYEFARIKI TANGU 1994 'ANAISHI KISHUA'?/UMEME HAUJAWAHI KUKATIKA KABURINI KWAKEDar24 Media
Переглядів 205 тис.
Dr. Subhash Kak: Vedanta, Computer Science, AI, Yoga, Consciousness | Abhijit Chavda Podcast 9Abhijit Chavda
Переглядів 377 тис.
Ni Vita: HEZBOLLAH yarusha roketi 200 kuishambulia ISRAEL baada ya kamanda wake kuuawaSimulizi Na Sauti
Переглядів 26 тис.
Знищені колони та десятки полонених: останнє про Курський прорив. Донбас, удари, бої | Свобода LiveРадіо Свобода
Переглядів 407 тис.
ПОМОГЛА НАЗЫВАЕТСЯ😂Chapitosiki
Переглядів 25 млн
Курск и Суджа России НЕ НУЖНЫ? ПОЗОР Ахмата | Антизомби 2024 - 30 полный выпускТелеканал ICTV
Переглядів 540 тис.
Replacing a valve on a full water tank! 🫣💦 - 🎥 the_ladyplumberUNILAD
Переглядів 131 млн
Идеально повторил? Хотите вторую часть?⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 17 млн
ЗСУ в Суджі надали місцевій бабусі можливість вільно висловитися про путіна #shorts #суджа #путинАпостроф TV
Переглядів 783 тис.
«Путін почав це, надеріть йому зад»: американські сенатори про операцію ЗСУ в Курській областіРадіо Свобода Україна
Переглядів 671 тис.
Алексей Воробьев - Всё остальное - лишь товар. «Профессор Тод Лебен» (лекция №5) Автор - А.ВоробьевАлексей Воробьев
Переглядів 3,8 млн
Magufuli alikuwa mwanaume,gonga like hapo.
Acha utoto ww
@@KassimAlly-xp4dzmbona alikuwa anakopa sana china??
Ww itakua Chadema bila shaka@@KassimAlly-xp4dz
Safi sana Zimbabwe twenzetu kwa putn🎉
Mungu ibarik Zimbabwe
Africa kwa ujumla 🎉
Aibariki kwa lipi hasa.Huyo rais ni mkoloni mweusi.Tulitoa wakoloni weupe na kuwaingiza wakoloni weusi.
@@MathewNathan-yb2bzkama wa kwetu 🤔🤔
Amen kwa Rais wa Zimbabwe
Afadhali kwa mrusi kuliko wa magaribi.
Anapenda nchi yake na anataka iwe huru
WATAMLAMBA
KAM WENGIN MARAIS
Anafanya vizuri saaaaana.
Na we ni jinga tu mbona hapo anajikomba kwa putin anataka kuwa kuloni la urusi
@@George-jz3jg wewe ndie jinga hukufunzwa na wazazi wako, unatukana watu kwa nini?
@@allahisone6386siyo lahisi kwa maana kaungana na mwanaume wa shoka m babe wa dunia
Hongera rais wa Zimbabwe
Hili ndo tunalisubiri wa Congo pia litokee.
Hongera sana ndugu yangu
Kama hatotokea kwa Congo ntawaona kweli mambumbumbu. Wao ndio wanatakiwa wawe msitari wa mbele kuikomboa nchi yao wamenyonywa vimetosha.
@@mwawekomiuda9779 Rwanda inachukuwa Mali na kuuwa kwa ajili ya wa magaribi, wapi uliskia Mrusi anachukuwa Mali ya watu na kuuwa???
Congo ita kombolewa na sisi wenyewe atuitaji taifa yoyote ile it time to make it happen
@@robertamsini1256 ulisha komboa mikoa ngapi ??
Huyu raisi ni mwanaume rijali maana shoga hawezi kuwa muwazi hv
yuko sawa namkubali
Huyu mh rais.amekumbukaalikotoka.uhruwetu waafrica ulichangizwa nasananaurus.ukipata nfasihiiadimu itumie.kwanimfichauchi hazai.hongerasana mh.rais wa zimbabwe
Uhuru gani unaouzungumzia ww?Hii nchi ingekuwa bado inatawaliwa na wakoloni ingekuwa mbali sana.Nyerere alifanya kosa kudai uhuru mapema.
Huyu raisi ana akili sana zaidi ya sana
Akili Gani? Kurekodiwa akiomba ulinzi na chakula? Kwa kuwasema vibaya majirani ZAKE? Katia aibu,,,
Oi wanangu umasikini mbaya jamani daah
Sasa ubaya upo wapi mashoga wanaona wivu tu Zimbabwe has heen under sanctions for decades and at least Russia and china stood with them all along up to where they are today,so what would you want him to say??? Wanaomlaumu hawajuwi chochote kuusu Zimbabwe
Ni kweli anatafuta support LKN wazimbabwe WENGI wamechafukwa RAIS WAO kuomba hadharani ulinzi na chakula IMEKUA haibu,,,kingine alipaswa kuomba YEYE kama YEYE na sio kuihusisha Malawi au Zambia HATA wazambia wameshangaa kwani juzi TU RAIS WAO ALIKUA na RAIS WA Zimbabwe
Mamba love from uk
Yeah we love you mnangagwa so much!big up Zimbabwe homosexual and gay marriage has no chance in africa.like from Tanzania.
Safi Zimbabwe
😎rais wa Zimbabwe yupo sawa kbs. Wamepitia kipindi kigumu sana jmn bora atafute rafiki mpya.
Putin siyo mjinga anajua kuwa hii ni sounds
Fact
Yaani mtihani mkubwa aongee mambo ya ushirikiano sio kuomba omba tu ..Africa bdo safari ndefu mno kujipeleka wenyewe wakati tuna resources kibao
Amefanya vizur sana uyo raisi wa zimbabwe.
Hii ni aibu kwa bara la afrik ,hv kwl tunashindw kujiendesh bil hawa wazungu?
huko sahii kabisa ni aibu kwenda kulilia kwa wa zungu wakati nchi yao ina utajiri!
@@TradersEasyWay hatuwez kujiongoza
Malawi na Zambia wamekubali Ushoga
Acha shobo kila kitu ushoga ,mamb ya maendeleo unalet ushoga ,masikin unawz negative siku zote mbwa ww
@@user-jh9yv1zp1lmbona umeongea kwa hasira sana mzee au Manula kaenda kushambulia
Unayajua masharti ya wamagharibi baada yakuchukua mikopo yao@@user-jh9yv1zp1l
Zambia na Malawi wamepata fursa nzuri ya kuikwamua nchi yao na umaskini.Ukitaka kupata maendeleo kaa na tajiri akuelekeze mbinu.Ww unaesema malawi na zambia wamekubali ushoga una uwezo mdogo wa kufikiri ni mjinga sana.
Wa Tanzania Wana roho mbaya sana ndio maana hamna maana kama hizo pesa zenu
Mwanzo sikumwelewa Rais mnangagwa.... Saiv namwelewa kumbe anapenda nchi yake... Rais wapiganie watu wako wako mwamba wa wazungu ashalala babu Mugabe chuma
Wananchi wake wanateseka kwa ujinga wa hawa viongozi
Ni haibu kwakweli,,,YAANI mamemrekodi anavyoomba halafu mnamsifia,,,,kulikua na haja gadi ya kurekodiwa kama sio Nia ovu
Yani viongozi wetu bado wanawategemea wazungu.. Yani waafrika milele tunabaki watumwa
Watu wanasifia LKN hawajui aibu aliyowatia wazimbabwe,,,kwanini isingekua Siri? HALAFU kunaaja Gani kuomba KITU KWA kuwasema majirani?
Ibrahim Traore he saying about don't do that to beging always president from Africa stop that magufuli he was working in Tanzania he never go anywhere to ask dneshen
Amezingua
Kazinguaje? Shida zake ni shida zetu sote Africa
Body posture ya Putin vs ya Mnagwagwa say alot..😊
Putin body posture yake inasema i am excited about the intro topics give me in brief and so as we can start ASAP, Mnagangwa body posture " i feel exhausted i need your help i am in critical depressed state as a president and for my nation
Thats what he pretty much said my friend. Its not a secret.@@mrjohn4446
@@mrjohn4446if the whole world hated you and your country because you took your land from whites you too would be depressed.
😂😂😂😂😂
@@mrjohn4446 And it worked. He gave us weapons and more scholarships for our children. Works all the time.
Africa bado haijawa na uwezo wa kujisimamia, inahitaji kuwa chini ya wazungu, inahitaji kutawaliwa tena mpaka pale tutakapozinduka!
Nyinyi mapimbi wa zimbabwe Raisi wenu kafunguka ukweli wamarekani wanataka kuwangusha
Putin akili nyingi
Ukishabanwa na m'babe inaitaji kutafuta m'babe mwingine akusaidia na ukishapata msaada ukawa free kwaiyo utajua jinsi yakujipanga
It's a shame kuona marais wetu wanaacha utajiri then wanaenda kuomba omba kwa watu ambao hawana hata madini
Mbn unasm jambo uclolijua
Kwa taarifa yko urusi ndio mchi ya kwanza dunian kwa uchmaji wa dhahabu
Ndio nchi ya kwanza kuzalisha mafuta safii
Ffuatlia takwim za kimatifa ndio uandke
Urusi ndio nchi yenye natural resources nyingi kuliko nchi zote duniani kama ulikuwa hujui
@@rumdeesonsoa1811CONGO NDIO BABA WA DUNIA KWA NATURAL RESSOURCES ANAYEWEZA KULISHA NCHI YOYOTE ILE NA KUSAZA. Marekani yenyewe na washirika wake hawataki kuiacha uhuru unajua ni kwanini.
Simu na computers 95 % zinatumiwa na madini ya Congo.
Lazima Congo yangu nimpe Putin.
@@AbelDelaGenese Ni natural resources zipi ambazo Congo DRC inazo halafu Urusi haina?
He is right
Mkombozi was Africar putn
Putin kakaa kama paka anamwangalia jamaa ana vyo sound hahaaa
Putin amemshangaa coz ameomba msaada moja kwa moja bila kusema kwenye sekta ya kilimo amefikia wapi anaomba msaada
Marais wa afrika acheni kuwa ombaomba putin sio mungu pambana kivyenu Msaada wa mwanadamu ni laana
Mh nangagwa anaona mbali achana na huyu wa kwetu anatembea na kapu kukopa na kutuletea ushoga na mambo ya ajabu
😂😂😂
Rais wetu anaakili kwa hili hatuingizi kwenye matatizo anakua neutral na ndo tubaki hivo nchi yetu haitoingia vitani kikinuka
kwel kaenda klia😢😢😢
Uzee na utoto tofauti ya mwaka mmoja ni kubwa sana SKY.............
Uyu ndie Rais anayejitambua
Urusi ni rafiki wa kweli kwa waafrika
Anaenda kuinamiya wazungu , ndio wzangu watazidi kututumiya vibaya kwasababu vyongozi kwenda kwa wazungu
Sky 💪👏👍🙌
Rais yupo sahii Sana Zimbabwe muda mwingi imepita kwenye kipindi kingumu dunia yote inajua ilo tuna taka Marais wenye ujasiri kama awa Marais wote wa afrika utia huruma kama huyu lsema Kwa sababu maongezi rais huu ya mewkwa wazi
Kuua waafrika wenzao na kuiba kura kwenye uchaguzi dhidi ya waafrika wenzao huo ndio ujasiri?ujinga tu
Hata ukiomba kwa siri au hadharan wew ushaomba tu omba kk😂😂😂
CHINA NDO ANATUMIA AKILI KUSHIDANA NA MAREKANI KIUCHUMI, PUTIN NI KICHWA MAJI ANAJUA AKIWA NA NUCLEAR NDO KUSHINDANA NA MAREKANI, NYIE KAENI VIKAO MTAPIGWA MFEE 😂😂
KABISA,,,
Yap kichwa maji huyo huyo ndie alisababisha marekani asiweze kuweka mkataba WA mafuta Saudia Arabia na bado akitoka kwenye mafuta anawekewa vikwazo ndipo utajuwa huyo Putin anaakili au Hana
Wana sms vipi Iran hawajamchagu raisi wao Toka Ibrahim raisi afariki
Tukitaka tuwe huru tuwe na ushirikiano sis wenyew wa Africa la sivyo kila Mmoja atachagua wapi akimbilie apate msaada
Mwamba mpee msaada mnangagwa
Putin mwenyewe maskini atampa nini mnangagwa
@@MathewNathan-yb2bzhuoti lakini
Mohamed sio kwa jibu hilo 🙌🙌🙌😂
@@MohamedAhmada-ie7ke😅😅😅😅😅
@@MathewNathan-yb2bzmasikini ni wewe akili huna unaye shikilia ushoga
Safi sana
anaachaje kumsaidia mshkaji wake😂
Mwaisaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Yeye angeenda kwa xhida zake
Shida zake ni shida zetu sote Africa
Umaskini ni utumwa
Yani time yote mtu anaongea yeye tu na mwenzie kimya kimya umasikini mbaya sana asee
Sasa Muombaji na muombwaji nani anapaswa kusikiliza?
@@user-dl1mg2qf4nkwanini wamrekodi akiomba? Katia aibu vitu vingine ni aibu sio kusifia
Zimbabwe itakuwa mbali saaana siku nyingi maana huyo mwamba anaeongea nae ni mtu na nusu
Ametia aibu,,,kunanamna ya kuomba LKN sio kuwasema majirani vibaya,,,kuomba chakula? TENA unarekodiwa,,,HAPO hakuna jema
Mwamba kweli jasus aliekubuhu katulia tuu anasikiliza huku kichwani kwake anapangua majibu nakupanga
Kwanini wame mrikodi mazungumzo yake yalipaswa kuwa mazungumzo ya faraga😢
Ndiooo_🤦🏿♀️
Kabisaa ni haibu KWA RAIS wa nchi kuomba hadharani
😂😂 Mkubwa ni mkubwa tu! Ni sawa na mwanamke anayetaka kupendwa kuliko mwingine, anavyojipendekeza!
waafrika sisi kazi yetu ni kulia lia tu kwa wazungu hatuna tunaweza kufanya bila kulia lia pesa ikipatikana inakuwa na watu wachache wenye nguvu mpaka sasa eti kuna watu wanaamini et Russia, marekani,china na nnchi za ulaya et wanatutakia mema kitu wanacho kifanya wao ni kugombania soko la Africa akuna mtu amae weza kukusaidia bure kwa kodi za wana nnchi wake
Shame to african leaders. Africa is not independent yet
Your not even leading your family your never be able to understand what leading a country is. Brother managing the whole country in africa with sanctions from USA its not easy
point of correction SNS! haitwi Emmanuel Mnangangwa, anaitwa Emmason Mnangangwa. Please next time do research before giving us wrong names!
Sema mnangawa waga munafiki saana haaminiki coz serikali yake imejaa ufisadi Though Kwel uchumi wa zimbabwe km wasingelikua na sanctions Aisee hawa wako level moja na SA
Hyu jasus mstaafu vladimir putin sio muongeaj ndomana marekan wameshindwa kimuepewa yy ni mtendaji
tatizo nchi zetu za kiafrican Zina Mali sana alafu ndo wananchi maski nahao wazungu awana lolote die wanachukua Mali kutoka kwa African wanatajirika wao Mali iliko toka mnaskia
Putin saidia huyo mzee.
Africa wanabadilsha mabwana tu wa kizungu au magharibu au ulaya mashariki
Daaaaa bado safari tunayo kwaiyo amekwenda kusema kwa baba
HHHH🏃🤦🏿🏃 HHHHH
NDIOOO_🤦🏿♀️ KWA BAB WA HURUM
Afazali kwa mrusi kuliko kwa wa magaribi
@@Visionofeagle9689yes afadhari LKN unarekodiwa ukiwasema majirani vibaya na pia ukiomba huoni ILO ni TATIZO?
@@josephwilliam5813 yeye ndie Raisi anaona mengi, kwani yeye ndo wakwanza kuwaaema? mbona inchi zinakashfiana??
Utoto huo kwa waafrika. Sasa karnda kuchongea alafu kiwe nini? Wawe mashujaa kama magufuli Afrika tabadilika. Wachape kazi na wafanye exchange ya bizaa kazi kwisha kukomesha masikini. Not tok tok tok
🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Africa sasa hivi ndio wakati wa kujikomboa kifikra kwanza wakati Vlamidir Putin yuko na Brics currency iko njiani tuipokee.Kwa ufupi lakini maana yake ni kubwa
Huyu mnangagwa yupo sawa kabisa ila naona watu wengi hawajui Dunia inavoenda anafuata nyayo za mgabe safi sana
Kurekodiwa ukiomba ILO ni SAWA?
Kwanini yachukuliwe maelezo ya upande mmoja tu? Je rais putin alisema nini kwa nangagwa? Au lengo kumchafua rais nangagwa?
Hii ndio faida ya kuwa na nguvu mbili ambayo america hapendi anapenda yeye awe super power pekee
Fact
Uwepo wa Putin kwa dunia hii ya sasa ni neema kubwa kwa viongozi wa ki Africa watakaojielewa.
Rais wenu mwanamke angeweza kuongea ayo
Duh! Tunajipeleka wenyewe. Aidha uende US side ama Russia side
Nchi za africa zote ndio zpo hvyo hakuna yenye nguvu ukiona ya zimbambwe tambua na ww rais wako akienda ulaya ana kuwa hvyo hvyo huo ndio mfano wa nch zetu za third country ww una msema rais unahs ww ukiwa rais utafanya nn zaid ya hvyo ni kuchagua upande tu
Shida zake huko ZIMBABWE ndo shida zetu sote AFRICA hakuna utofauti anaemuona kazingua basi hajui lolote
Jamaa ana mwomba kama vile ana mwomba Mungu bila majibu toka mdomoni kwa Putin ila watu bana 😭😭😭
Malawi ni puppet s kitambo
Acha kuongea utumbo mbwa ww pumbavu
Waafrika ooo wenyewe tunaweza tunaweza wapii...ukoloni utatutesa saana unatoka kwa mkoloni huyu unaenda kwa yule😂😂😂
Nataman kusikia nini kinaendelea au wamefikia wapi swala la de-dollarilization (brics)
Putin akili kubwa🇷🇺🇷🇺
Nikwel Zimbabwe imetengwa tena namajiran malaishilin ya dhaman ya shiling yetu nihak nawao alipambanie taifa lao acha wazazlilike ila ipo siku tuta waeshim
Yuko sahihi kwa kutaka heshima zaidi ya yote 😂
kwani ukiomba msaada kwa kuzungumzia tu mambo yako haitoshi
Mbaya ZAIDI unarekodiwa ukiomba hii ni fedheha
Tusiwe na tabia ya kuombaomba sisi afrika.
Tutakua omba omba Kwa sababu hatuna ushirikiano
Mimi nipo hapa nimekaa Wacha nione
R.i.p Robert Mugabe
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺
Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇰🇪
Hapa sasa Africa itakua na vita tofauti sababu za biashara ya wazungu Africa tutakufa ovyo Kama Gaza soon majibu yataongea
🇹🇿❣️🇷🇺
Bora Zimbabwe kwenda kwa puttin kuliko wakenya kwenda kwa biden maana ushoga hautakwisha kenya ili asaidiwe lazima atii mashart
Anyone who sees the body language of Putin speaks alot.drop your like please.
Watu wako huru kusema lolote juu ya huyu Rais wa Zimbabwe ,lakini wanayopitia ni magumu, Wamerekani na Wamagharib wakiiwekea Nchi vikwazo huwa vinaleta madhara makubwa mno, hakuna international bank transfer na mengi husitishwa, kuwa Kiongozi Nchi kama Zimbabwe ni msongo wa mawazo tosha
Ndio arekodiwe akiomba KWA kuwasema majirani vibaya? Hakuna mgogoro bainabyake na majirani LKN KWA video hii HATA majirani wameshangaa,,,kushirikiana koote kule kumbe mwenzetu anatuona adui?
Diplomasia anaongea mmoja mmoja sio kujibizana, huyo aliyekosa ni mjinga
Mimi sioni ubaya wa raisi ata wewe na mimi ukikutana na mtu amabaya anaweza kukusogeza pahali mungu amekuletea lazima uonge kero zako zote ❤❤❤❤❤❤😂 hyu n mimi kabsa najua kucheza na fursa
Unaongea kero au shida? JE ni sahihi kuomba ukirekodiwa? Think twice