Hiki ndicho kilimpeleka Bilionea ELON MUSK nchini CHINA, aitosa INDIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

КОМЕНТАРІ • 72

  • @saliieking7279
    @saliieking7279 4 місяці тому +7

    Wachina kwenye biashara siwapingi

  • @daisythetech
    @daisythetech 4 місяці тому +4

    ameenda china sababu soko la gari zake za umeme zimeshuka kimauzo mbele ya gari mpya za gari za umeme za china ...so amekwenda kucheki namna ya kufix iyo issue

    • @muhamadharun9432
      @muhamadharun9432 4 місяці тому

      Baada ya mauzo kushuka wamefanya hivi Unajua tesla wametoa blueprint kwa makampuni yote ya. Magari ya namna gari zao za umeme zimecontain nini na namna imeundwa na yeye kafanya hvyo ili kuuza hyo software yao

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 4 місяці тому +19

    Mimi huwa naona wazungu kama Wana aina ya maisha Yao nashindwa kuwekeza south Africa wakati Wana law materials zote platinum na chuma na mengine ila Tu hawana technologia

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 4 місяці тому +1

      Kama uwekezaji upi Kwa mfano 🙏🇿🇦

    • @nishimwelambert8377
      @nishimwelambert8377 4 місяці тому +3

      Bro wewe ukitaka kuwekeza vizuli south Africa hakuna chakuwekeza wewe!ila utanunua piki piki fanya uwe ma delivery wawe wanakupa pesa ya rent ila hakuna kitu unaweza kuwekeza south Africa ao ununuw contain ufunguw salon

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 4 місяці тому +1

      @@nishimwelambert8377 MiMi nachukua bidhaa south Africa nafanya biashala nchi zingine MiMi pia nilitamani lakini nilishindwa 🙏

    • @namaraalexmbeikya1491
      @namaraalexmbeikya1491 4 місяці тому

      China ndiyo soko kubwa zaidi duniani sababu ya ukubwa wa uchumi wao na idadi kubwa. Pia ina idadi kubwa ya wasomi ambao ndiyo wanahitajika katika viwanda.
      Pia kuna umeme wa uhakika tofauti na South Africa

    • @migosmigo8099
      @migosmigo8099 4 місяці тому +1

      Utawekeza na Hr ya kipumbavu kama hii,uzembe kila kona ,wazungu wana ujinga huo?labda waje kubeba raw materials

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa4928 4 місяці тому +6

    Dunia inenda kasi sana mwaka 2028 inatarajiwa Autonomous ship itaanza kufanya kazi yaan meli isio na crews

  • @user-xv4yk1it4q
    @user-xv4yk1it4q 3 місяці тому +1

    Hiyo technology ni ya kawaida sanaaa TU.

    • @dandara008
      @dandara008 3 місяці тому

      😂😂 ya kawaida akati elon ndo no 21 st centuary rich innovator unadhani tesla ni toyota ukipata ajali unapoteza mikono adi pete ya mkeo😂

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c 3 місяці тому +2

    Sky naomba usimulie story yangu nijicheke 😂😂

  • @olaycereuben419
    @olaycereuben419 4 місяці тому +3

    Lakini hyo sio tech mpya magari ya umeme ya wachina yanayo hyo kitambo

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 4 місяці тому +3

    ✌️👊👍.

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 4 місяці тому +9

    Eron amechanganyikiwa na campuni ya magari ya umeme ya china inaoda nyingi sana duniani.

  • @hemedshalua2002
    @hemedshalua2002 4 місяці тому +4

    Don't underestimate India they are in a good move.

    • @Soon815
      @Soon815 4 місяці тому +2

      A move!!!!!😂😂😂 It will take them years to be where china is right now.

    • @CamilasJohn-ik6cr
      @CamilasJohn-ik6cr 4 місяці тому +1

      It will take them a life time 😂

  • @venancnjau680
    @venancnjau680 4 місяці тому +2

    Unyamaa

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 місяці тому +2

    Tesla noma xna

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj 4 місяці тому +5

    Miaka inayokuja ajira za udereva ni kama zitakuwa hamna, kwa dunia inapoelekea.

  • @Fessmac
    @Fessmac 4 місяці тому +1

    my rolemodel$$$

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 4 місяці тому +2

    Waymo imekuja pia

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 4 місяці тому +2

    Ninunue gari yangu niiamini ikajipaki!!😂😂nitakua humo humo

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 місяці тому +1

    India wane yko speed

  • @mananzizaabdul2689
    @mananzizaabdul2689 4 місяці тому +3

    Brother unaaribu simulizi kiukweli hatupendi kuingesa watu wengine kwanye mazungumzo yako wew unasauti nzuri saana hadi watu wengi tunapenda kuskia sauti kwahiyo jaribu kuwa unazungumza mwenyew.

    • @godichua4457
      @godichua4457 4 місяці тому

      Wewe unadai sauti nzuri kwa mwanaume wewe ni mwanamke au mwanaume? Naomba kwanza kuuliza

  • @AbeleBausingi
    @AbeleBausingi 4 місяці тому +1

    Tesla inatengenezwa china kwaiyo ellon kuja china ni kila cku sbb mali zake zipo uko

    • @its_khalidy_46
      @its_khalidy_46 4 місяці тому

      Ulivo serious kama una uhakika 😂

    • @its_khalidy_46
      @its_khalidy_46 4 місяці тому

      Ulivo serious kama una uhakika 😂

  • @EdisonAndrea-c5o
    @EdisonAndrea-c5o 4 місяці тому +2

    Mzunguyukojuu tofautina mchina

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km 4 місяці тому +1

      Huna akili wewe bwabwa

    • @Luzwiro27
      @Luzwiro27 4 місяці тому +1

      Acha kukulili ndugu yangu fuatilia mambo usisikilize mambo ya vijiweni

  • @AliAli-hs8si
    @AliAli-hs8si 4 місяці тому

    Kweli kabisa mimi
    Nipo wa bmw 5 inajiendesha na kujipaki kujitoa kwa pack ukiwa haulo ndani mfano watu wamekufinya hauwezi kuongia kwa gari unawasha na kuipeleka mbele toka kwa packing inajiendesa na inajipack ukilala ukiwa unaendesha gari bmw the real

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 4 місяці тому +1

      Magari ya hivo kweli yapo ila sio bmw 5 mkuu, uache uongo

  • @AmissaKunguru
    @AmissaKunguru 4 місяці тому +3

    China wana tayari wana self drive taxis, kila kitu inafanya gari. Kuanzia kupaki na kila kitu. Mbona mtoa habari anaonesha kama ndio kitu kipya kwa China?

    • @Ayoubsambo
      @Ayoubsambo 4 місяці тому +3

      Afu mtoa habar ameshndwa kutuleza lengo kuu lilo mpeleka elon china 🇨🇳,ila kiufup nikwamba elon alienda kuomba technology aid

    • @ELLYTECH
      @ELLYTECH 4 місяці тому

      Yeah but ya china imewekwa kwenye public transport, tofauti na tesla wao wanatumia kwa private Vehicle, kwahyo lazima atafute usaidiz zaidi

    • @ELLYTECH
      @ELLYTECH 4 місяці тому

      Yeah but ya china imewekwa kwenye public transport, tofauti na tesla wao wanatumia kwa private Vehicle, kwahyo lazima atafute usaidiz zaidi

  • @paskalijanja7925
    @paskalijanja7925 4 місяці тому +3

    China ni nchi yenye watu wengi hata mishahara yao iko chini nawafanyakazi niwengi

    • @Ayoubsambo
      @Ayoubsambo 4 місяці тому +3

      Nikwel lakn upo nje ya maada

  • @AmissaKunguru
    @AmissaKunguru 4 місяці тому +2

    Mbona China wana taxi zinazojiendesha zenyewe kila kitu gari linafanya, kuanzia kupaki na kila kitu. Mbona hapa mtoa habari anaonesha kama ni kitu kipya kwa China?

  • @bakarimakomola
    @bakarimakomola 4 місяці тому

    We unataka sauti au taarifa sahihi?

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 4 місяці тому +1

    Bro nieleweshe kidogo tu hapo.
    Elon anaomba kibali cha nn kama yeye ndie muanzilishi wa hiyo kitu? Nimeskiliza vzr ila cjajua kibali ni kwaajir ya nn

    • @user-ks8rq5wp3z
      @user-ks8rq5wp3z 4 місяці тому

      Kibali Cha Kuanzisha Teknolojia Ya Software Nchini China Ili Kuwezesha Kukamilika Kwa Hiyo Huduma Mpya Kwenye Kampuni Yake Ya TESLA, ili Kuboresha Features Zilizopo Sasa Kuongezea Nyingine, mfano Auto Sensors Kwaajili Ya Kupunguza Spidi Automatically Kulingana Na Mwendo, Auto Sensors Kwaajili Ya Gari Kuchagua Mahali Sahihi Pa Kupaki Lenyewe Bila Dereva, Though Sio 100% Iyo Gari Itakuwa Ikijiendesha Bali Lazima Uwepo Wa Dereva... Kwa Uelewa wangu Mdogo Ni Hivyo Mkuu

    • @danielmkama24
      @danielmkama24 4 місяці тому

      @@user-ks8rq5wp3z ahsante mkuu

  • @GodahMartin
    @GodahMartin 4 місяці тому +2

    Nchi ya CHINA ina magari yenye uwezo wa hali ya juu kuliko ya kampuni ya elon musk kwaio yeye hana jipya hapo sema ameenda kupata usharika wa kibiashara na maswala ya automation hata BMW NA BENZ wanayo kitambo tu NI VITU VYA KAWAIDA, sio kwamba wao marekani ndio wa kwanza.

  • @user-ky7ps2qc4b
    @user-ky7ps2qc4b 4 місяці тому

    Sky tuletee makara ya Otuoma yuule mkenya

  • @universalenergy8060
    @universalenergy8060 4 місяці тому +1

    Siku aliyoenda China the Tesla stock went up to the moon.It was a snub to India. Prime minister wa India alipanga kuitumia visit & investment za Musk kwenye campaign za kupata kura.Kutokwenda kwa Musk imewaumiza sana tena Musk akaenda kwa adui yao 😂

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 місяці тому

      Within a week 34 b usd imeongezeka in tesla stocks a record gain.

    • @universalenergy8060
      @universalenergy8060 4 місяці тому

      @@thefactbook...1607 we Acha tu kuna watu wana nguvu duniani.Life is very unfair

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 4 місяці тому

      @@universalenergy8060 yeah tesla inamfutia loss aliyoipata from twitter investment.

  • @robertkisasa1346
    @robertkisasa1346 4 місяці тому +2

    Bongo pale kkoo itafany kaz kwel😂😂😂data collection ina load mara bodaboda huyu hapa😂😂

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 4 місяці тому

    Mabingwa wa dunia

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f 4 місяці тому +1

    Na uyu jmaa anaasl y china

    • @jeffyasin2977
      @jeffyasin2977 4 місяці тому

      Ni kweli

    • @Almuharmiii
      @Almuharmiii 4 місяці тому +2

      Samahani haupo sahihi
      Asili yake Afrika kusini

    • @jeffyasin2977
      @jeffyasin2977 4 місяці тому

      Huyu tunajua alizaliwa SA Pretoria ila asili yake ni China kuzaliwa sehem haimaanishi ndo asili yako ni kama mtu ashike mimba akiwa UK akazalie marekani

  • @AmissaKunguru
    @AmissaKunguru 4 місяці тому +4

    Mbona China wana taxi zinazojiendesha zenyewe kila kitu gari linafanya, kuanzia kupaki na kila kitu. Mbona hapa mtoa habari anaonesha kama ni kipya kwa China?

    • @maroahkissiry4863
      @maroahkissiry4863 4 місяці тому

      Hawana!

    • @AmissaKunguru
      @AmissaKunguru 4 місяці тому +2

      BYD na Huwawei wana self driving cars. Ishu ni kwamba Elon Musk anataka kupata kibali tu kwa sababu kuna wateja wa Tesla wanaotaka magari ya Tesla ambayo ni self driving. Na hawajaanza leo. Usiwe mvivu ingia UA-cam

    • @harry5395
      @harry5395 4 місяці тому

      Sure zipo toka 2021 kampuni ya Didi ilizindua hyo program na zikauzika sana. Yutong pia wanatengeneza hizo gari maiaka 3 imepita after COVID-19 walisimama.