RAIS WA MALAWI ALIYEFARIKI TANGU 1994 'ANAISHI KISHUA'?/UMEME HAUJAWAHI KUKATIKA KABURINI KWAKE
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Kamuzubanda #Malawi #Nyasabigbullets
Mtangazaji umefanya kazi nzuri sana, hongera mnoo
Makala nzuri sana, mtangazaji umeitendea haki hii makala
Tunaishi kwenye dunia ambayo wafu wanaishi katika majumba mazuri lakini maskini ya Mungu ambao ni wazima wanaishi katika vibanda vya nyasi
Hao wanao ishi kwenye nyasi, kwanini na wao wasiishi kwenye nyumba nzuri
Sio shida zao😄
Safi sana, Mtangazaji umeweka maneno vyema
Nic story you work had
Broo respect
Hongera xana boss
Asante mtangazaji kuna baadhi ya viongozi wanajuwa waitaishi milele kwa aliyofanyia binaadam wenzie kuwauwa bila hati Mwenyeezi Mungu ndie anae juwa hukumu yake unajuwa ukiwatesa sana watu lazima wakuombee mabayaa au ufe yote kwa yote tunamshukuru Rais wetu hayat Mwl Julias Kambarage Nyerere kwa kuitetea nchi angekuwa mzembe Tanzania ingekuwa ndogo sana alipambana sana kila aliyekuwa anataka kuimega nchi
Mtangazaji unajua mpk unajua Tena kongole brother 👊
Kvkv
Nice
My boy😃😂😃
Africans yaani jitu limewatesa na kuwaua bado wanalijengea kaburi zuri.. waafrika macho yetu yafunguke
I have been at this place
Hatareeeeee huyo mzee
Huo mjengo ulipaswa kwahuku tz🇹🇿 ajengewe kipenzi magufuli
Halafu iweje??? kabrii linajengwa kwa matendo mema na ucha mungu tu ayo mapambo hayasaidii chochote ndugu yangu.
Daaah
Hatali sana aisee afrika watawala niwabinafs sana
Safi sana
Akachezewe vizuri huko aliko
asante sana kaka kwa muda wako na kutuletea habari ambazo tulikuwa hatuzijui...Ubarikiwe sana..ila humu duniani kuna watu wengine wamekufa lkn bado wana enjoy maisha...very beatiful place..mm nilidhani kanisa...lkn sio mbaya ni kivutio kwa watalii pia...kaka nenda Zimbabwe utuletee taharifa za mugabe na mahali alipozikwa...maana hawa wote historia zao zinafanana...
madaktari wa Queen waliominywa mmmh nani iiii... naogopa kusema
😄
Niko hapa ujerumani na nzi zipogo tu hasa summer season ..nashangaa eti kashangaa lugha yake mmmh unaanzaje
Huyu alikuwa muhuni tu tena siyo m.malawi ni mu ghana.walipipigwa nyundo
Mmalawi pure. Watu walikuwa wanazusha tu kwasababu aliishi sana nje na alisoma sana
Uyo rais alikuwa mshenzi aliuwa watu Sana na pia alikufa bila mke
Walimfanyia kitu mbaya Waingereza kwenye mfumo wake wa uzazi😂😂, maana alikua daktari hodari
Alikuwa ni mchawi hatari
@@TM.Sullusi walimfanyaje 😂😂😂😂😂 walimfinya pumbu nini
Atari babu alikimbia uwo utawala najua Tanzania 😭😭😭 nchi ya aman
Mimi nikiwa kijijini kwetu,miaka ya 1980 hadi miaka ya 1989 nilishuhudia watanzania wakitakiwa kua na kadi za ccm ili kupata huduma mbalimbali za kiserikali,na ilikua ni lazima uwe mwanachama wa ccm ili uhudumiwe vizuri,kwahio hata ubinafsi unaoendelea kwa watawala wa tz,ni matunda yaliostawishwa na ccm.
Ilikuwa upinzani bado was vyama vya siasa kipindi inco
Tanzania ilikuwa na Chama kimoja tu CCM so zamani ilikuwa kama sheria ni kama kuwa na kitambulisho Cha NIDA sasa
@@lucasmhagama8166 kweli ilikuwa hamna upinzani kipindi incho
Haya yapo afrika tu huwezi kuta ulaya wanachezea pesa kujenga makaburi
#Somba umetisha mwanangu kwenye hii simulizi. ukishawahi kumuhoji MH. JK kwake Msoga
Kamuzu banda alikua ajui lugha yoyote ya Malawi ajua English tu ni wa kutoka Ghana kapewa zawadi na queen Elizabeth
Hiyo habari nzuri kweli.
Naukubali Sana natamani namimi nije nione
Same as Tanu party during Nyerere
Napafahamu hapo....
Ila ukifa hakuna kuishi kishuwa
Kufa ni kufa tu hata ujengewe kabuki la ghorofa 100 juu
Ngoja nisablakilabu
Somba Ni samaki kwa kwetu uku Zambia Ila hongera Sana somba
Na kota ni zile nyumba za kupanga ndogo ndogo huku kwetu Tanzania 😂😂😂😂
@@khadijajacobo4660 🤣🤣🤣 umenishinda
Wamuyaya yaani wamilele
Hata kwetu Makete somba ni samaki tena zikitokea ziwa Nyasa na ni tamu kweli.
@@dicksonkilupa2258 🤣🤣🤣 uwongoooo
Masikini... Alikua mtana shati, lakini leo yuko chini uchafu huo huo
Ingekuwa ukiua mtu unaishi milele watawala wengi wasingekufa, yafaa nini kuuwa watu then nawe unakufa
Pamoja na fahari zote lakini kaishia kuzimu
Kwa historia yake hakupaswa kupoteza vitu vya thamani kumjengea hivyo. Mmeviharibu bure vingetumika kwa watu waadilifu. Ni kama kupuliza perfume jalalalani ukitaka linukie.
Kweli kabisa ! Shida hiyi IPO has a Afrika
safi sana somba
Maajabu haya
Duuuuuuuuuh hii yenyewe na limekula gharama kubwa
Haya tuone yario ya dunia🤳
But nimesikia kuwa hajawai kuwa na mke !?
Kama ume sikia kama Mimi nipe kongole 👍👍👍
Siri ya Huko aliko aijua yeye mwenyewe. Adhabu za mungu ni kali zinatisha
Alikuwa wa mansion
Huyo aliyetengeza kaburi ali haribu pesa za nchi maana hakuwa kiongozi mzuri
Somba unajua sana, kazi ya kiwango hii..
tupe historia ya Rais Jomo Kenyatta wa Kenya tafadhali tunaomba Kolumba
elimu mzuri
Ok ndoma na kwetu z'bar hii sera ya kama huna kadi ya chama tawala hupati kazi serekalini kumbe wamechukua malawi kwa huyu mjeda du!
KARUME MNYASA.
Hizi sera za Zanzibar zilitoka Malawi kwani karume alitokea Malawi ndio kwao
Sasa maana gani ya kua na iyo Mali yote na huna bibi, watoto ,kuumiza tu raiya wenzako weusi
Innaa lillaahi wainnaa ilayhi raajiuun,Jamaa alikuwa aaswi kwelikweli
Tufanye ibada
Nazarethmwandi
Pamoja na ubabe na ukatili yuko chini ya udongo sasa, viongozi acheni ukatili maana sote tu wapitaji akuna mbabe mbele ya kifo
Pumbavu,tangazo
Mbona Wamekosea miaka ya Kuzaliwa,,?
All is vanity,hawezi amka ata kwa hizo garama zote
Huyu mzee arikuwa katili sana alikuwa akija kwenye mikutano wananchi wote walitakiwa kukaa chini hakuna kusimama
Matumizi mabaya ya. Fe
Izo ndo tunataka hbr kama izi
Lakini ndiyo keshakufa Yote hayo hayana Maana
KAmuzu alijifanya mudhungu akasahau alipotoka
Watu walio hai wanaushi kwenye vibanda marehemu wanamlaza sehemu nzuri ya kishua😏😏😏😏
Huyo sio mtu wa kukumbukwa, hiyo kaburi inatakiwa kumbomolewa na kusahaulika.
Hee! Nimeogopa ulivoingiza huo mkono hapo kwenye nondo kutuonesha alipalala Simba wa Malawi. Mara ghafla usikie unavutwa kwa ndani, mamaaaaa...🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Nazl
somba hiyo!
I don't understand Swahili very well but I tried to Google translator for the comments to my surprise everyone is negative about him, that's very wrong. He was way better than you are thinking about him and so developmental than any of the president malawi has ever have
una uhakika gani?
@@ikwisamwakatobe4460 atakua mwana familia huyu🤣🤣🤣
Waliokuwa wanamlinda waliokuwa wajinga
Wajanja kama wewe waliuliwa kama nguruwe kwa kukosa kumsikiliza
Alikuwa mchawi
Sasa hayo yote yanamasidia nn?kama hakuwa na matendo mama imekula kwakwe,harafu chakushaza wamemuwekea umeme juu ya kaburi vp khs ndani ya kabuli?wakristo bwana akili zao ni ndogo sana wanahisi kwakufanya hivyo labda ndio itamsaidia.
Kube c Kenya pekee Raise wa kwanza Jakawai zikwa ! From 1978 now 2022
Yafaa nini SAsa hizo pesa si wangenunulia matreka tu
Eti unaupiga mwingi😂😂 kwahiyo hizi ni kauli za watu machawa
Madikteta wote walikuwa washirikina
Sasa huyu c alikuwa Malaya tu kashidwa kuwa na mke kisa umalaya wake
HUYU ANGETUPWA KAMA TUNAVYOTUPWA WENGINE HAKUFAA KUJENGEWA HIVI KABISA🤣🤣
Dah huyu mwamba alikua adiko yaan hajawai kung'oa demu
Alikuwa anagonga ila udikiteta ndo ulikuwa unamsumbua
Yan kwakwel,,, tajir mfu anaish ktk jengo lakifahar,,,,, lililotumia garama kubwa, lakin maskin anaish ktk kibanda kilichoezekewa nyas,,,, nakimachovuja,,,
Unaua binadamu wenzio kisha na wewe unakufa inasaidia nini, thus watawala wa kiafrica wapo kuzimu, Hakuna aliyeenda mbinguni hata mmoja, sababu wananuka damu za watu
Wengi wao wanakuwa ni wachawi thus wanaua watu
Aise uliendaje huko
☝️❤️❤️♥️😂😂
Maisha ya duniani si zaidi ya kula na kunywa
Hawa ndio watangazaji sasa
Hakuna nafsi ambayo Haitaonja Mauti
Haha kaburi TU wanaxhea pesa
Bado tu kufufuka mbona
dictator huyo
Yote no ubatiri mtupu Yuko wapi sasa
Huyu Ali kuwa sio malawi mbwa kabisa
Dunia ina mambo ndugu mabwenyenye hayo ndio yamekalipia nchi ziingine cha muhimu ni mungu tu
Saf Sana somba
Mbona unaongea uku unakunja sura
Yani mupaka leo tunamu kumbuka san
Kamuzu kafa mwaka gani unasema??1994???
Kasema 1997
Mugabe, banda, savimbi, hawa ni waafrika wapumbavu walifanya mambo kama awajakwenda shule. Walitumia vibaya Sana elimu zao kuzibomoa nchi zao.
Umesahau mmoja kikulacho
Wewe acha kumuingiza Mugabe kwenye uozo wako huo
@@bazilkisibo5811 kipi cha maana alichofanya kwa elimu yake, zaidi ya kuubomoa uchumi wa nchi yake. Wapigania UHURU walipigania maslai yao binafsi na sio maslai ya waafrika wote thus wao ni matajiri waafrika ni masikini.
Viongozi wa kiaafrika balaa tu
Julian ngus
Tunavyo ona maraisi wa wenzetu na wa kwetu wanaonekana hivyo hivyo , tulikua tunakaa foleni ya unga wa muhogo nili tupwa lockup kwa kuonekana na sabuni moja ya Lux niliyo pewa zawadi.
Dah pole
Kweli kabisa
Umenikosha mkuu mwaka 2014 nilitembelea hapa Hakika haujakosea
Nazarethmwandi