"MMEIONA HELIKOPTA NA NIMEAMUA KUPITA KWENYE VUMBI" MAGUFULI AKIWA NJIANI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 вер 2020

КОМЕНТАРІ • 219

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 3 роки тому +28

    Jembe Magufuli nakukubali sana Rais wangu. Mungu atupe nn watanzania. Love mingi mingi sana kwako

  • @ghostelmendez7206
    @ghostelmendez7206 3 роки тому +38

    Like kwaa. Baba wa taifa hili john pombe Joseph magufuli. Kwa kazi nzuri

    • @masongaofficial
      @masongaofficial 3 роки тому +1

      ua-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/v-deo.html

    • @JohnWick-tl6zt
      @JohnWick-tl6zt 3 роки тому

      Leo Ni SIKU nzuri 🌹 nawe Ni Mtu wa Muhimu sana, nina Imani una Bando . pata Kisa Cha Nyerere 🎇 ua-cam.com/video/4TlVwbmMr3Y/v-deo.html

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 роки тому +20

    Magufuli hoyee utashinda kwa kishindo kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu 💯💯💯💯
    Ccm hoyee 💯💯💯

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      Yes. Upinzani wataaibika na vibaraka wao. Wale wanaosahau mema ya JPM ni wakati wa kujitafakari sana na kufanya uamuzi wa akili na siyo kwenda kwa msisimko na mkumbo. Tutakuja kujuta sana.

  • @jullipusoe7838
    @jullipusoe7838 3 роки тому +28

    Unatupenda na tunakupenda MUNGU akulinde na Mabeberu

  • @saidomar6806
    @saidomar6806 3 роки тому +31

    Jembe Magu la watu wengi hongera kiongoz

  • @nelsonzakayo496
    @nelsonzakayo496 3 роки тому +35

    Tunampenda hivyo hivyo hata mkimponda

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      Asantee N. Cheers! Tunakumbuka JPM alikotutoa. Tunajua haya yote ni pressure kutoka magharibi. Siunakumbuka ilivyokuwa Libya na Venezuela? Rais walidanganywa kwa kila namna hadi Marekani ikawa inawarubuni wananchi kwa misaada, wakati huohuo imeiwekea nchi vikwazo vya kiuchumi. Ulishaona wapi kitu kama iko? Ujue mataifa ya ughaibuni yana lengo moja tu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Tanzania. JPM alikuwa amesema NO. Sasa dalali wao kajivika mavazi ya kuwatakia mema wananchi. Huo ni uongo. Angekuwa hivyo, asingepinga ile sheria ya madini. Asingejihusisha katika ukamataji wa ndege zetu SA na Canada. Asingeizodoa nchi yetu katika kipindi cha korona. Huo siyo uzalendo ni usaliti. JPM kajitoa kwa dhati kuipigania nchi yake usiku na mchana.

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 роки тому +24

    Barikiwa baba yetu Dr.John Pombe Joesph Magufuli, historia yako kwetu TZ haitakaaa ifutike mpaka juu mbinguni. Umetutoa gizani nchi mzima. Tunakuombea USHINDI MKUBWA MNOMNO.

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +4

      Thanks my dada. Ameifanya nchi imerudi kwenye ramani. Madini ya Tanzanite walikuwa wanachimba kilo 300 kwa mwaka. Baada ya JPM kuweka ukuta, sasa ni kilo zaidi ya 4000. Kutoka ndege moja mbovu hadi ndege 11 kubwa.

    • @masongaofficial
      @masongaofficial 3 роки тому +1

      ua-cam.com/video/zuPzr5WXG5A/v-deo.html

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 роки тому +19

    Chapa kazi mzee wasio kuelewa watakuelewa tu

  • @braveliontv935
    @braveliontv935 3 роки тому +19

    Hautasahau john , pia na Pope ao Magufuri nani hafunge na Magufuri nyumbani , baba huu 👍👍👍👍👍👍

  • @jandpelectronics363
    @jandpelectronics363 3 роки тому +16

    WAPIGAJI WOTE HAWAWEZI MPENDA JPM

    • @shangwehalisi7659
      @shangwehalisi7659 3 роки тому

      Ukwel ndio huo

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +2

      Umeonaeee JPM ni mzalendo wa kwanza. Alisema They thought I would be part of them. Never!

    • @michaelwillombe1794
      @michaelwillombe1794 3 роки тому +2

      Umetonesha kwenye kidonda. Ukweli ndo huo. Walifanya siasa ni dili akaja mzalendo asiependa ujinga, akabana mirija ya unyonyaji mpaka kwa wazungu, leo eti hatumtaki amaa kweli bora ukweli mchungu kuliko ungo mtamu maana mwisho wa siku majuto ni maumivu makali. Wavivu wa kufikiri na wavivu wa kufanya kazi ndo utawaona wanataka mpaka vitambulisho vya umachinga eti vitoweke, sasa mapato kwa kuiendeleza nchi yenu mtatoa wapi? Majibu ni kwenda kuiuza nchi kwa kuweka rehani madini raslimali za taifa na kuomba mikopo ambayo mwisho wa siku itashindikana kuilipa na kuiuza nchi. Jamani hakuna binadamu alie mkamilifu sawa ila Magufuli kafanya ya uzalendo wa kweli kaonyesha jinsi gani anaipenda Tanzania 🇹🇿 kwakweli mtu anaebeza basi hata malezi ya kwao hayakua safi hakufundishwa neno Asante. Ingekua marais nao wanasajiliwa na mataifa mbali mbali kama wachezaji mpira, yaani Magufuli angeshanunuliwa kwa pesa nyingi sana ili akafanye kazi nchi nyingine. Tunambeza sisi wakati ni tunu ya taifa letu. Akina mbowe na lisu wanapigana risasi eti ni magufuli, wanaanguka wanategua miguu eti ni Magufuli aibu kwenu viongozi waongo hata mkipewa nchi mtaiongoza kwa uongo uongo. MUNGU tuvushe tukinge na ufedhuli huu na uchafu huu kama ulivyotukinga na CORONA kwa kumpa hekima na busara kiongozi wetu wa Tanzania. MUNGU ibariki Tanzania MUNGU mbariki Magufuli Amen!!!!!

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +2

      @@michaelwillombe1794 Dah! Asante sana kaka. Binadamu ni wepesi sana kusahau. Nchi hii ilikuwa kama shamba la bibi. Watumishi hewa. Wanafunzi na mikopo hewa. Vyeti feki. Wizi wa makinikia. Mikataba mibovu. Miundombinu duni. Mashirika kama ATCL yalikuwa yamekufa kabisa. Meli? Hospitali CT-SCAN na dawa kuibiwa au kuharibiwa kwa makusudi. Wale jamaa waliokuwa wanakula mishahara ya mamilioni. Mafuta ghafi/petroleum. Safari nyingiii za nje ya nchi. Jamani wahenga walisema: usiache mbachao kwa msala upitao.

    • @michaelwillombe1794
      @michaelwillombe1794 3 роки тому +2

      @@missangela6720 Asante dadaangu. Kuelewa wanaelewa sana sema fikra ndo bado hazijakomaa. Wanataka aje rais aseme nchi hii bado masikini yule aliesema nchi hii tajiri alikua muongo ili waanze kutupiga za uso. Bila Magufuli mataifa mengine mpaka leo wangekua gizani kuhusu suala la CORONA lakini MUNGU kafanya ufunuo kwetu tanzania. Leo hatuogopi mikusanyiko tupo huru na maisha yanaendelea. Ndugu zangu watanzania tuache uvivu hakuna mtu atakaekuletea maendeleo zaidi ya wewe mwenyewe, serikali inarahisisha kila mmoja wetu afikie malengo kwa haraka kwa kununua ndege, meli, kutengeneza barabara za lami, kutengeneza mabwawa ili tuwe na umeme wa uhakika nakadhalika. Biashara ziende haraka kutoka kwenye vyanzo vya uzalishaji mpaka sokoni kwa haraka. Pia tusibweteke sio ukisoma mpaka ma degrees na ma masters lazima ukaajiriwe. Angalieni matajiri wa tanzania na nchi nyingine niwafanya biashara sio waajiriwa jamani tuwe na initiatives tuwe watu wakufanya research hakuna alie masikini umasikini ni tabia ya kila mmoja mvivu. Hakyna atakaekuletea chakula na hela mezani brethren. Let us be creative.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 3 роки тому +22

    RAISI WE2

  • @kabonakabona8121
    @kabonakabona8121 3 роки тому +15

    Chumaaaaaa ✔️💯

  • @ibrahimmwendo5076
    @ibrahimmwendo5076 3 роки тому +11

    Sawa baba wapinzani kila kitu wanapinga bungeni Sasa Afanyeje? Bajeti wanapinga shida Sana chagua CCM no MOJA DAIMA

  • @jacksonkiganda9656
    @jacksonkiganda9656 3 роки тому +8

    MAGUFURI NDO RAISI WA WANYONGE NAUNGA MKONO MIAKA 5 TENA

  • @kashiagrosama3952
    @kashiagrosama3952 3 роки тому +5

    Kwanini uwaombe kura.kura zote ni za kwako

  • @magrethmvungi2516
    @magrethmvungi2516 3 роки тому +4

    Magu anjielewa sana anatakiwa awafanyie nini kwa watz ndio maana anafanya, wasiomuellewa kwa sababu zao watajijua mwenyewe na chuki zao piga kaz mzee baba usijali wanafiki

  • @tumbwenekilale6962
    @tumbwenekilale6962 3 роки тому +8

    JPM OYEEEEE
    CCM oyeeeee

  • @robertterry8909
    @robertterry8909 3 роки тому +7

    Jpm namba moja

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      True. Unaambiwa huko kwa wenzetu kila mtu anasema: we want our president to be like Magufuli of Tanzania

  • @newsongcelebration6994
    @newsongcelebration6994 3 роки тому +5

    Magufuli baba lao💪

  • @janethmrishi5370
    @janethmrishi5370 3 роки тому +3

    Umepata baba ccm oyeeee

  • @pilisadiki1972
    @pilisadiki1972 3 роки тому +12

    Ccm oyeeeee

  • @zeranchimbi2808
    @zeranchimbi2808 3 роки тому +7

    Umepita

  • @sanifumedia9614
    @sanifumedia9614 3 роки тому +1

    TUNDU LISSU AKIIPATA HII VIDEO SIJUI ITAJUWAJE? NABII TITO AMCHAFUA HADHARANI BILA WAGA
    ua-cam.com/video/z_gKZGWdaQs/v-deo.html

  • @teacherd
    @teacherd 3 роки тому +1

    MASWALI HAYA LAZIMA YATOKE KWENYE MTIHANI WAKO
    ua-cam.com/video/x9UTZnq5GWw/v-deo.html

  • @lovenessmlinda1347
    @lovenessmlinda1347 3 роки тому +4

    Yule mlemav wa miguu ana kaz Sana kwakoo Mzee, anajikaza tuuu

    • @muhdsseif5785
      @muhdsseif5785 3 роки тому

      Usiseme mlemavu. Ni sisi ccm tulompiga risasi. Hapa unampaka matope baba magu

  • @millardyleonardy7296
    @millardyleonardy7296 3 роки тому +13

    NAKUBALII KAZ ZAKO MKUU BIG UP SANAAA AISEEHH ILA EMAIL YNGU BADO HUJA REPLY MKUU🙏🙏🙏💪💪💪💪

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +3

      @@maribaisack2097 Ujue hamjui vile wapinzani wanavyofanys hujuma ili wasipewe maendeleo ili wapate visongizio kwamba serikali imeshindwa kutekeleza ilani. Kama mtu anaweza kusingizia alivamiwa na kuteguliwa mguu, atashindwaje hizo figisu? Mbona Arusha walijichomea ofisi ya chama?

    • @saitielmlay1855
      @saitielmlay1855 3 роки тому

      @@bajajre6638 unapatikana wapi??

  • @augustinomwamasinga2200
    @augustinomwamasinga2200 3 роки тому +8

    Safiiiii

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 3 роки тому +5

    Raid Wa maana JPM hooyeeeee,!!

  • @magrethmvungi2516
    @magrethmvungi2516 3 роки тому +2

    Naamini IPO siku wasiojua uwepo wako wataujua na watakuwa njia moja na we we, endelea kupiga kaz wakisutuka tuko mbali kwamba were ndiwe sahihi

  • @evasaimon2101
    @evasaimon2101 3 роки тому +3

    Safii Sana💯✔️

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 3 роки тому +1

    Safi Sana jembe, utapita

  • @nadhifunadhifu9501
    @nadhifunadhifu9501 3 роки тому +1

    Lov u magu😘

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 3 роки тому +2

    Baba lao Magufuli ni Wewe tu Mungu yuko upande wako kabisaa

  • @benjaminulanga6749
    @benjaminulanga6749 3 роки тому +4

    Hii ya kutumia Luga zingine mbona TUME imetoa sheria na imekataza wagombea wasitumie Lugha zingine sasa mbn uyu mgombea anatumia au ni kwa baadhi ya wagombea tu alafu mbona kuna wakt anasemaga maendeleo hayana chama alafu anakuja anasema tusipochagua ccm aweki maendeleo hii inachanganya sana

    • @ibrahimmwendo5076
      @ibrahimmwendo5076 3 роки тому +2

      Hao wengine wanakataa bajeti Sasa maendeleo jimboni yatakwendaje? MAGU Yuko sahihi kabisa Safi sanaaa

    • @chale0ify
      @chale0ify 3 роки тому

      Hapo sasa

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +1

      @@ibrahimmwendo5076 Bungeni wanataka kwenda, maendeleo hawataki. Sasa tuwaeleweje, kwa mfano?

  • @abdullahsultani4377
    @abdullahsultani4377 3 роки тому +1

    Kwa ubaguzi huu hutopata kura

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 3 роки тому +1

    Alafu ukisikia Yanga wanaisema sana Simba wamezidiwa. CCM msiwaseme sana CHADEMA majukwaani watu wengi walikuwa hawajui CHADEMA ni kina nani nyie ndio mnawapandisha chart wajulikane. Kila kukicha CHADEMA mnawaogopea nini haswa kwa kuwa wana MAKAMANDA.

  • @ababuumwanazanzibar4908
    @ababuumwanazanzibar4908 3 роки тому +3

    Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      Yep! Umenikoshaaaa nimekuoenda bureee. JPM will always be remembered as the President who made our country great again. Hapo upoooo?

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.

  • @gabrielbisekwa5238
    @gabrielbisekwa5238 3 роки тому +3

    Five Tena

  • @ozybizness3914
    @ozybizness3914 3 роки тому +1

    Hatunywi sumu hatunyongi ccm mbele Kwa mbele
    MAGUFULI Baba lao

  • @muhdsseif5785
    @muhdsseif5785 3 роки тому +1

    Japi ni kweli umefanya ufisadi na wizi mkubwa wa rasilimali zetu baba tutakupa miaka 5 maana wewe umetuwezesha kuwaona diamond. Tulikuwa hatujawahi baba. Sisi tunajua inabidi watu wapigwe risasi na hata wengine wafe ili mabeberu waogope baba. Hiyo copta panda na siku moja utatupakia ukiongeza miaka 10 mengine ya urais

  • @chajanevatv4546
    @chajanevatv4546 3 роки тому +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ulungongo gugasate nadume nulugulya bhugale bhujiku da! Hatali 🔥 jamani magufuli wangu

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 3 роки тому +3

    We ni jembe , Hata upande wa pili wanajua wewe ni Jembe

  • @leahsimba7159
    @leahsimba7159 3 роки тому +6

    Woyoooo

  • @marianamontoedi2333
    @marianamontoedi2333 3 роки тому +1

    Umepita baba wetu tumeshakupitisha 5 tena

  • @lamecksaimon6494
    @lamecksaimon6494 3 роки тому +5

    Noooma xana

  • @nurdinahmada5213
    @nurdinahmada5213 3 роки тому +1

    Mitano tena kwa Dr J P M

  • @chandeabdallah275
    @chandeabdallah275 3 роки тому +1

    Wangap walilio sikia kulia kushoto

  • @michaeljbkubugu7331
    @michaeljbkubugu7331 3 роки тому

    kwahayo maneno mbona nikama unafanya siasa hadi kwenye ukwer mbona ulisikika ukisema maendeleo hayana chama kwahiyo hapo umeongea nini? acheni kujisahauliaha

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 3 роки тому +2

    Ubaguz Sana

  • @tabufredmakunga8436
    @tabufredmakunga8436 3 роки тому +1

    Amina amina

  • @evelynebwire7684
    @evelynebwire7684 2 роки тому

    Daaaaaaah,
    Hivi ni kweli baba umelala,
    Pumzika kwa amani CHUMA

  • @iddyrashid1009
    @iddyrashid1009 3 роки тому +1

    Umepita mheshimiwa

  • @saidwayawaya5356
    @saidwayawaya5356 3 роки тому +1

    Lkini mzee wangu. Mm nauliza suali moja. Kwa nn hizo Gari Mumeweka rangi za CCM.

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +3

      Kwa sababu ni mali ya CCM

    • @georgegodfrey4776
      @georgegodfrey4776 3 роки тому

      Hata angeweka rangi ya ACT ungeuliza tu

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +1

      @@georgegodfrey4776 Kuuliza si ujinga. Aheri huyu kuliko wale wanaotukana. Anayeuliza huwa anataka kuelewa

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 3 роки тому

    Gud saana

  • @bableeyzabdalla531
    @bableeyzabdalla531 3 роки тому +2

    Hilo vumbi ni utawala wenu mbaya WA ubaguzi

  • @paulmkawa4456
    @paulmkawa4456 3 роки тому +1

    Eti upendo, watu tunalipa kodi we mzee acha kutufanya mateka wako sisi sio sawa na watoto wako sisi ni watanzania walipa kodi

    • @kambamazig02024
      @kambamazig02024 3 роки тому

      Je kuna nchi gani duniani hawalipi kodi? Bila kodi hakuna maendeleo. Sawa zamani kodi zilikuwa zinalipwa lakini zilikuwa hazifanyi kazi zinazolengwa.

    • @paulmkawa4456
      @paulmkawa4456 3 роки тому

      Hujanielewa ww

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 3 роки тому +1

    Ubaguzi huo kwa vyama pinzani sio wanachi? Na pesa za nan?

  • @jamessichimata3100
    @jamessichimata3100 3 роки тому +4

    Najisikia raha kusikia sauti yako Raisi wangu

  • @kentkihongole8235
    @kentkihongole8235 3 роки тому +1

    Washaur mmushaur kusema kaul hzo n ubaguz

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.

  • @danieltungira3837
    @danieltungira3837 3 роки тому +1

    Mzee wewe ni kiongozi in real,siyo kiongozi maneno

  • @kentkihongole8235
    @kentkihongole8235 3 роки тому +1

    Hatukupiiiiiiiiiiii

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      Ahahss kakufsnyaje? Wengine tunampa hata kama hajawahi kufika huku kwetuuu. Maana aliyoyaganya hakuna Mtanzania ambaye hajafaidi matunda yake mazuri. Unaambiwa ile makinikia ilikuwa miradi ya mabepari na wanagawana na madalali wao humo nchini. Magufuli kapiga stop. Utaavhaje kumpigia kura kimfano??????

  • @angelntandu661
    @angelntandu661 3 роки тому +4

    Isije ikaleta madhara kama miaka iliyopita ilitupa majonzi

  • @johnyty498
    @johnyty498 3 роки тому +1

    makufuli hayana nafas tanzania

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.

  • @kingwatabata4230
    @kingwatabata4230 3 роки тому

    LIRAISI LETU ILO JPM LIKAMANDA LIBABALAO💪

  • @barakakomba6171
    @barakakomba6171 3 роки тому +1

    Tutembelee na sisi huku ludewa mheshimiwa

  • @richardboaz-mashagospel2346
    @richardboaz-mashagospel2346 2 роки тому

    Huyu hakuwa Raisi wa helicopter kama waliopo leo

  • @husseinmiraji1321
    @husseinmiraji1321 3 роки тому +3

    Ulijenga wewe unahela ya kutujengea kutoka mfukoni kwako ?kujenga zahanati na Barbara siyo msaada mkuu wangu

    • @eyumededu2948
      @eyumededu2948 3 роки тому +1

      Wewe ulitaka upewe nini kijana mvivu????

    • @t1910j
      @t1910j 3 роки тому +1

      Ulitaka afanye nini? Ulitaka ajenge na pesa zake? Mbona akili finyu jamani? Nenda kampigie kura Lissu wenu na Zitto. Tuache sisi.

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      JPM atakumbukwa daima kama Rais mcha Mungu, mzalendo, mchapakazi, makini sana na mweledi, ambaye yuko radhi kutumia juhudi na akili yake yote katika kupigania maendeleo ya uchumi wa kujitegemea na uhuru wa kweli Tanzania dhidi ya ukoloni mamboleo unaofanywa na nchi za mabepari na vibaraka wao. Itakuwa kituko cha karne kutompigia kura au hata kumpinga kiongozi shupavu kama huyu.

  • @flova7022
    @flova7022 2 роки тому

    Siasa kweli utumwa WA files mweeee!

  • @amedeusjerome5050
    @amedeusjerome5050 3 роки тому

    Rudini nyumbani kwa lisu kumenoga

  • @johnyty498
    @johnyty498 3 роки тому +1

    eti ulijenga ww, hela zetu useme umejenga ww?? watanzania wanakubali tu eti

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +1

      Jiulize kwa nini hawakujenga miaka yote, ukipata jibu niambie. Hapo upooo???

  • @farajamwamahonje856
    @farajamwamahonje856 3 роки тому +1

    Mambo

  • @hassanngolo1670
    @hassanngolo1670 3 роки тому +1

    Magu kwa Igagala zote zako!!!!!!

  • @chazyteshakimaro4659
    @chazyteshakimaro4659 3 роки тому +2

    Ubaguzi wa chama hatutaki nilikuwa nakuheshim lakini mhhhh

    • @danielbaraka8903
      @danielbaraka8903 3 роки тому

      kweli kabisa mbaguzi uyo

    • @danielbaraka8903
      @danielbaraka8903 3 роки тому

      Eti ndio mzalendo uyo

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +1

      Hukumwelewa JPM kaka. Alisema wapinzani wanakataa kupitisha bajeti na kupinga kila kitu na kitukana. Sasa maendeleo ya majimboni mwao wanayapatejee kimfano???? Wear uwe ndo baba halafu mtoto akutukane halafu anataka umlishe, inakujaaaa? Mbona waungwana majimbo yao yanang'aa freshi tuuuu

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 роки тому

      @@danielbaraka8903 je yule pimbi?

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 3 роки тому

    Kwaiyo bila kiongozi wa ccm jimbo lake huwezi kufanya maendeleo wakati wewe ndio kiongozi wa tanganyika sio wabunge wala madiwani wewe fanya maendeleo wasiokupenda wakupende wachakutaka watu wote wapende ccm bila upinzani huwezi kufanya maendeleo hata maisha yetu y majumbani tunapambana n wapinzani

  • @nyamwekomatoke9951
    @nyamwekomatoke9951 2 роки тому

    Basi tu

  • @jumailinje3145
    @jumailinje3145 3 роки тому +3

    Huwezi kumpa mtoto wa jirani chakula na familia yako ina njaa.😂😂😂 Ubaguzi haujawahi kuicha salama ccm.

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +2

      Ili tujifunze kuunga mkono bajeti na kushirkiana na serikali katika kuendeleza gurudumu la maendeleo majimboni. Jinsi viongozi wenu walivosusia bunge waksti wa korona, ndo sera yenu ya kukataa kila kitu ili ionekane serikali ya JPM haifanyi kazi. Pamoja na kuwa mmejifunza kulenga shabaha zenu bila kukosea, wenzenu tumejifunze kuruka juu angani bila kutua. Hahahaha Tukutane Oktoba 28 my kaka. Cheers

    • @jumailinje3145
      @jumailinje3145 3 роки тому

      @@missangela6720 Bora wasuse, maana hata awamu ya 4 wabunge wa uoinzani waliimba sana tunaibiwatunaibiwa ccm wanagonga meza tu na kuchapa usingizi huku bunge likiendelea, ameingia rais magufuli imekuwa wabunge wa upinzani wanasusia wakati ashatoa maelekezo kwa spika wakiongea wafukuze, wakitoka nje nitawashufhulikia, mnafulahia meza kugongwa hata kama kilichoongewa ni pumba, mfano bunge lililoisha mh mlinga yeye alikuwa ni mbunge wa taarifa, na kukejeli waoinzani, wengine wakiomba wabunge wafanyiwe tohara ndio levo mnazozipenda.

    • @jumailinje3145
      @jumailinje3145 3 роки тому

      @@missangela6720 Bora wasuse, maana hata awamu ya 4 wabunge wa uoinzani waliimba sana tunaibiwatunaibiwa ccm wanagonga meza tu na kuchapa usingizi huku bunge likiendelea, ameingia rais magufuli imekuwa wabunge wa upinzani wanasusia wakati ashatoa maelekezo kwa spika wakiongea wafukuze, wakitoka nje nitawashufhulikia, mnafulahia meza kugongwa hata kama kilichoongewa ni pumba, mfano bunge lililoisha mh mlinga yeye alikuwa ni mbunge wa taarifa, na kukejeli waoinzani, wengine wakiomba wabunge wafanyiwe tohara ndio levo mnazozipenda.

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому +2

      @@jumailinje3145 Bunge letu limerekebisha mikata mibaya ya madini iliyokuwa inatunyonya, wakati huo tulikuwa tunapata mrabaha wa asilimia 4 tu! Na hata hiyo nne hatukuwa tumelipwa tangu 1998! JPM amefanya mabadiliko makubwa, sasa hivi wachimbaji wa ndani na wachimbaji wadogo2 wamepewa vipaumbele kwenye sekta ya madini. Pia lazima wananchi wa eneo husika la madini wafaidike kwa uchimbaji wa madini: fidia, biashara, miundombinu, huduma kama vile vituo vya afya, shule, nk. Tatizo la upinzani ni kupinga kila kitu, hata yale ambayo yangepaswa kuungwa mkono na kila Mtanzania. Hilo ni kosa kubwa sana. Halafu pili, kama wao ni kupinga kila kitu basi hawastahili kuchaguliwa na wananchi kuwa wawakilishi wao. Kwa namna hiyo, wakiendelea kukataa kila kitu, na kupinga na kutukana, hawawezi kuleta maendeleo katika majimbo yao. Ndiyo maana JPM anawatahadharisha wananchi wawe makini wasiwachague viongozi ambao hawajitambui wala hawatangulizi maslahi mapana ya nchi.

    • @maikomwaryobawaryoba3804
      @maikomwaryobawaryoba3804 3 роки тому

      @@jumailinje3145 tatzo cdm hawaeleweki kipndi cha JK walipga mambo mengi saivi wanamsifu JK vp hapo ww unaelewa nn kwenye chama hawajawai kuptisha bajet yoyote inayo letwa bungen unaelewa nn kwenye chama kama hicho ingekua uchaguzi ukipta wanaunga bajeti na kuahilikiana kwenye maendeo hapo sawa walisema shilika la ngege limekufa JPM kalifufua saiv wanapnga ndo nn tuwaelewe

  • @oscarkasalile5058
    @oscarkasalile5058 2 роки тому

    Wewe ulikuwa mzalendo wa kweli kweli.

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 роки тому

    Pombe mhh ayo majina tu kweli tutakoma

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 3 роки тому +4

    Jembe LA kazi Magufuli, pendaaa Sana wewe!!!!

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      Kumbe tuko wengi sana. JPM anatakiwa kuongoza miaka ka buku. Hahaha Sasa hivi hakuna tena migogoro ya wakulima na wafugaji, hakuna kudhulumiwa ardhi, umeme vijiji zaidi ya 8000. Dah! 2015 umeme ulikuwa wa mgaoooooooooooo

  • @tz7976
    @tz7976 3 роки тому

    Tatizo wapinzani kinacho wafanya mumchukie Magufuli ndicho tunacho mpendea bora mjikatae2

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 3 роки тому +1

    Ubnafsi mzee

  • @karanijunior1257
    @karanijunior1257 3 роки тому

    Kwei. Magufuli. Uko. Raba. Sana. Tena. 10

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 3 роки тому

    Wawa na mama yu utaisoma namba mwaka huu

  • @azmhamza8484
    @azmhamza8484 3 роки тому

    Sio kila mmoja atakupenda na sio atakae kuchukia sio mtanzania ubaguzi kwa muongoza nnchi sio mzuri Tanzania nimoja mtu akupende asikupende bado ni raia wa Tanzania ana haki yakufanyiwa kinacho staili kama mwanannchi

  • @ericndonde5471
    @ericndonde5471 3 роки тому

    John Pombe Magufuli ww ni mfano wa Moses aliye watoa wana wa Israel kwenye utumwa

  • @alistidiusjohnkaroly7920
    @alistidiusjohnkaroly7920 3 роки тому

    Kwa hoja hizi bora mfumo wa majimbo

  • @karimchindema9823
    @karimchindema9823 3 роки тому +2

    Mmmmh!

  • @alistidiusjohnkaroly7920
    @alistidiusjohnkaroly7920 3 роки тому

    Kumbe wewe si mpenda Maendeleo badala yake wewe ni mpenda ccm kwa maana hii mfumo huu sio kabisa

  • @alexmwanry4342
    @alexmwanry4342 2 роки тому

    No

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 3 роки тому

    Tumeiona, ndo inayokwenda chato hii?

  • @hasniaa3575
    @hasniaa3575 2 роки тому

    💚💚🖤😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 3 роки тому +1

    Mh

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 3 роки тому

    Watanzania tumchagua Lissu atukombowe.tumeteseka sna kipindi cha magu

    • @Duniakuu25
      @Duniakuu25 3 роки тому

      Fara wewe umeteseka kwa lipi,we na wapigaji wengine mtakiona

    • @sponsor7882
      @sponsor7882 3 роки тому

      @@Duniakuu25 sasa basi..ibeni kura muone cha mtema kuni

  • @hasniaa3575
    @hasniaa3575 2 роки тому

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲

  • @nyasikelvin2206
    @nyasikelvin2206 3 роки тому

    Wajumbeeeeeeeeew

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 роки тому +10

    Ndio rais wa kwanza kutangaza ubaguzi wa maendeleo kutokana na vyama. Kina kikwete hawakua hivi. Nilimpenda ila kwa kauli hii wengi wata mchukia

    • @raffeiystar2870
      @raffeiystar2870 3 роки тому

      Mm bado nampenda na usemayo si kweli,

    • @symonfrank8361
      @symonfrank8361 3 роки тому

      Pekeako labda

    • @siromyhemed9464
      @siromyhemed9464 3 роки тому +3

      Watu wanachaguliwa na wananchi zikija bajeti za maendeleo wanapinga .......ungekuwa ungefanyaje? Hizo kauli anaongea ila wawakilishi wengi wabunge wanakimbia hawasemi matatizo ya wananchi wao.....

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 3 роки тому

      @@siromyhemed9464 . Hawasemi kivipi wakati wanapingwa kwakua ni opposition. Kwani hamsikii anacho kisema

    • @salmaramadhan5386
      @salmaramadhan5386 3 роки тому +2

      Hata usemeje nampenda hivyo hivyo

  • @dannyford6355
    @dannyford6355 3 роки тому +5

    Maendeleo hayana chama leo unakataa maendeleo kwa wapinzani

    • @sahachi397
      @sahachi397 3 роки тому +1

      Tatizo ya wapinzani hawana shukurani vichaaaa.

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 3 роки тому +1

      Wanakula ruzuku matapeli hao hasa chadomooo hafai hata kuishi na binadamu wahuni wale

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      @@sahachi397 Kabisa. Wana lengo la kumvurugia Anko ili ionekane hafanyi kitu. But hawatafanikiwa

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 3 роки тому +2

    Amedhihirisha majimbo ndiyo wakati wake. Ina maana sisi upinzani ndio basi Tena. Tumemsoma

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 3 роки тому +1

    Maendeleo hayana chama
    Kwann wewe mbaguzi hivyo
    Yaani juma kapuya ndo kakufanya ujenge barabara!!!!!!
    Ajabu Sana.

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 3 роки тому +5

    Kwa hivyo Hakuna upinzani Tanzania si mseme tu

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 3 роки тому +1

      @bjzee, upinzani wa nini tanzania kwanza, wapi uliona upinzani kabla ya maendeleo ya nchi, democrasia dunia nzima hawakuwa nayo mpaka walipo jijenga MAGUFULI OYEEE

    • @perpetuambizo1518
      @perpetuambizo1518 3 роки тому

      Thanks

    • @perpetuambizo1518
      @perpetuambizo1518 3 роки тому

      Thanks

    • @budakassim2191
      @budakassim2191 3 роки тому

      Yaani ni tabu tupu

    • @missangela6720
      @missangela6720 3 роки тому

      @@mzalendomzalendo2567 Mfumo wa vyama vingi ni mpango wa mabepari kuendelea kuinyonya bara la Afrika na kuzidisha umaskini wa wananchi. Imagine chama kimoja cha ACT kimepewa 18,000,000,000 /bilioni 18 kwa ajili ya kampeni tu. Hapo kuna vyama zaidi ya 13. Bado Tume ya uchaguzi. Karatasi za kura tu zenyewe tunachaps kwa bilioni 44 South Afrika.