AISEE! MAGUFULI AMECHUKIA - "KICHWA Kama GN, KAKAE Nisijekutoa MAAMUZI MENGINE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 січ 2021
  • AISEE! MAGUFULI AMECHUKIA - "KICHWA Kama GN, KAKAE Nisijekutoa MAAMUZI MENGINE"
    RAIS Dkt John Magufuli, leo Januari 19, amezindua kiwanda cha maziwa kilichopo wilayani Karagwe mkoani Kagera...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

КОМЕНТАРІ • 173

  • @shizaarfred4059
    @shizaarfred4059 3 роки тому +16

    Najikuta nishakumishii shujaa wangu kama umeondoka mwaka mmoja nyuma Kumbe ndo kwanza leo ulikuwa umetembelea uwanja wa uhuru kwa mara ya mwisho .ndomana napitia hotuba zako pengine zitanifariji Aki 😭😭😭 wa TZ tumeumia mioyo yetu imepasuka 💔💔👋👋

    • @mwajumamussa8848
      @mwajumamussa8848 3 роки тому +1

      Yaan acha tuu jmn.. mwenyew napitia hotuba zake kujifariji kama bado yupo maana akil na moyo vimekataa kabisa kukubali kama Maguful ndio katuacha hivyoo jmn Moyo unaniuma saana kila nikiona picha yake ikiwa namaandish R.I.P 😭😭😭

  • @rodgersodhiambo1892
    @rodgersodhiambo1892 3 роки тому +17

    Currently addicted to watching Magufuli's clips..
    RIP Magufuli

  • @josephnjamasi549
    @josephnjamasi549 3 роки тому +23

    Mzee uwe unatembea na fimbo

  • @missangela6720
    @missangela6720 3 роки тому +20

    Waafrika mpaka fimbo ndipo kieleweke tu jamani

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 роки тому +16

    Mungu aendelee kukutumia raisi wetu kwa Taifa letu la Tanzania mpaka tutaelewana tu

  • @emmanuelmohammed1294
    @emmanuelmohammed1294 3 роки тому +15

    Mzee mda mwingine nakuhurumia Sana, kazi za kawaida wanasubiri mpaka Rais aseme, duuhhh!

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 роки тому +22

    katiba sio msahafu,ibadilishwe na utawale milele

    • @bukheribukheri798
      @bukheribukheri798 3 роки тому

      Mnhuuuuu!!!!! Akili ni nywele hata ndevu ni nywele pia

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 3 роки тому +9

      @@bukheribukheri798 najua mafisadi watachukia tu.Watanzania tunataka Rais wa wanyonge magufuli atawale muda mrefu

    • @andulilemwakihabha2048
      @andulilemwakihabha2048 3 роки тому +4

      @@abuyunusmohamed6961 kweli kabisa mafisadi majizi na mivivu ndio hawataki kabisa kusikia hizi habari na watanyooka tu

    • @kingcopper_tz
      @kingcopper_tz 3 роки тому

      umevuta bangi leo?

    • @upendotarimo9324
      @upendotarimo9324 3 роки тому

      @@abuyunusmohamed6961 Kweli mafisadi, wezi, wazembe na wavivu ndo wanaomchukia magu maana yuko kinyume na wao

  • @shebaminde7656
    @shebaminde7656 3 роки тому +17

    Mkuu wanyooshe hao lazma itifaki izingatiwe,wasikuletee vichwa kama GN 😂

  • @rithapaschal8141
    @rithapaschal8141 3 роки тому +8

    Mh MUNGU atakulipa kwa kazi nzuri unajitahidi sana ,lkn hakuna anayefanana na wewe watendaji wako sio wazuri wanakuangusha wananchi tuna shida sana hatupati msaada tutaishi kwa kuvizia misafara yako mpk lini? Du rais wetu MUNGU akutunze unapambana sana

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 3 роки тому +16

    WASIO KUPENDA JPM WAFE TU MKUU

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 3 роки тому +8

    Magufuli your the best president in our generation. Mungu akubariki

  • @viootanzania9080
    @viootanzania9080 Місяць тому +3

    7/7/2024 bado tunamfatilia raisi wa watu raisi wa wanyonge,raisi anaejitambua mwenyez mungu amjaalie pumziko la milele amina❤

  • @sophialaurent2406
    @sophialaurent2406 3 роки тому +17

    Nimecheka sana Jaman, kichwa kama GN😂😂😂😂😂😂😂

  • @kayugumyajoozey6679
    @kayugumyajoozey6679 3 роки тому +10

    i feel great to have this mindset, focused, committed, jah bless Tanzania

  • @gosbertireneus5558
    @gosbertireneus5558 3 роки тому +9

    Hawa wazilankende wanajuia GN????
    Kichwa kama GN,sijui ni kichwa gani hiki...
    Hapo ndo kazi itafanyika

  • @johnmasinde1875
    @johnmasinde1875 3 роки тому +5

    JPM, come vie in Kenya. We'll elect you

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 3 роки тому +5

    "Sema kweli japo ni uchungu" Amesadikisha Rasuulullah SAW

  • @insanecliipz-2794
    @insanecliipz-2794 3 роки тому +6

    Mungu akuweke kwa amani mzee ❤️

  • @peterkamana1265
    @peterkamana1265 3 роки тому +3

    Baba yetu magufuli uendeleee mpaka miaka 25 Sisi waelewa na vijana wazarendo wa Tanzania tuko nyuma yako,asante

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 3 роки тому +3

    Anachoka mpaka akili huyu mzee kwa kweli..... good job JPM

  • @twaibutwabibu8809
    @twaibutwabibu8809 3 роки тому +4

    Afu unamkuta MTU ety Magu afai

  • @user-cr9mf7dg4k
    @user-cr9mf7dg4k 3 роки тому +2

    Tanzania imeondokewa NA kiongoz

  • @emiryfaida2437
    @emiryfaida2437 3 роки тому +3

    Tutakumic sana jpm watanzani wenye mapenzi mema na inchi yetu

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 3 роки тому +10

    Hahaaa jamani nimecheka kweli kweli kichwa kama GN, Baba Askofu nimefanya dhambi kweli hahaaaaa hii ni kali kabisa

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 3 роки тому +3

    Swali utamaliza lini? Siyo ndani ya mwaka huu.

  • @geopolitics94
    @geopolitics94 3 роки тому +5

    Mungu akulinde Rais wetu 🇹🇿 🙏🏽

  • @adamgobeka5664
    @adamgobeka5664 3 роки тому +10

    Gud presdaaa

  • @husseinking2346
    @husseinking2346 3 роки тому +3

    Daaaah mung katuondolea shujaa sana yan daah

  • @mossyfimbo3577
    @mossyfimbo3577 3 роки тому +2

    Mungu azidi kukutia nguvu Rais wetu

  • @rajabungereza8755
    @rajabungereza8755 3 роки тому +1

    Magufuli Rais wawanyonge Ila tunaomba uje huku wilaya ya kilindi kuna matatizo mengi sana ila hatujui tuseme kwa nani tunakuomba uje kilindi nako ,wanakilindi wanakupenda sana

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim5884 3 роки тому +3

    Reginal managers wote wa barabara wanatoka chato mzee

  • @ericksonsosion7044
    @ericksonsosion7044 3 роки тому +1

    Ukweku Tanzania mmepotesa kiongozi wakazi ,poleni ,na mungu atube kiongozi kama bombe hapa Kenya nayo ni Ruto .

  • @eliakimchaiikobellah358
    @eliakimchaiikobellah358 3 роки тому +2

    Yaan
    Viongozi huko chini mna shida gani nyie
    Hadi bakola au ndo mmezoea kukuna vitambi ofisini

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 роки тому +5

    Hahahaha watakuelewa tu mzee kazi njemaaaa

  • @pascalmstaarabu4372
    @pascalmstaarabu4372 3 роки тому +2

    Tz haijawahi kutoa Rais kama huyu

  • @vascojuma2158
    @vascojuma2158 3 роки тому +3

    Jmaaa kapone kwenye tundu la sindano

  • @mandalorian_4.11
    @mandalorian_4.11 3 роки тому +1

    naanza kukumbuka maneno yako ( ipo siku mtanikumbuka ) yes we do Mr President 😢😢😭😭😭😭

  • @fredyphilimon38
    @fredyphilimon38 3 роки тому +1

    Tanzanian, stil watching all over the event involved by JPM. We will miss you so much.

  • @angeljohannes8630
    @angeljohannes8630 3 роки тому +1

    Kabisa Baba kiboko kiwe Karibu yako ili utendakazi ufanyike Vyema nakwahaki,

  • @sabrinaiboma2444
    @sabrinaiboma2444 3 роки тому +1

    HOTUBA ZAKE ZOTE ndiyo husikiliza zanipa Moyo kwa kweli ...MAGUFULI JEMBE 💔🇹🇿😭

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 3 роки тому +1

    DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
    Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
    1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
    2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
    3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
    4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
    5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
    6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
    7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
    8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
    9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
    🔟 Inarutubisha mayai
    NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
    Epuka aibu hii tumia" ALKALINE " ndio kiboko yao
    Karibuni sana ofisini kwetu msaada zaidi
    Wasiliana kwa 0622945360 /whatsapp 0719174248

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed8047 3 роки тому +1

    Daraja fupi kama hilo miaka mitatu some people are not serious

  • @jamesakhabuhaya6194
    @jamesakhabuhaya6194 3 роки тому +3

    Baba asante nakuelewa sana

  • @paulrwechungura4958
    @paulrwechungura4958 3 роки тому +1

    Rais wetu Mungu akulinde,

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 3 роки тому +2

    Baba yangu R.I.P 😭😭😭😭😭😭

  • @jacintabati6238
    @jacintabati6238 3 роки тому +3

    Mheshimiwa JPM hoyeeeee🔥🔥🔥🔥

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 3 роки тому +1

    Nataka kuamini kuwa hawa watendajibwengi wanajuwa kuiba tu utendaji wa kaxi 000Tu wanafanya makusudi yote hiyo aonekane jpm hafanyi kazi ya harali piga chini mkuuuu

  • @nicksongreyson1759
    @nicksongreyson1759 3 роки тому +2

    Mheshimiwa tutembelee hata kyerwa tunakuhitaji

  • @sabrinaiboma2444
    @sabrinaiboma2444 3 роки тому +1

    JEMBE nakumiss mnoo daah kichwa kama GN Nani kama Wewe??? Hakunaaaaa kama wewe...Moyo wangu upo kwako Hata kama wamekutanguliza bado unanipa nguvu kwa hotuba ZAKO ✍️💔🇹🇿😭

  • @wmmtztv6963
    @wmmtztv6963 3 роки тому +9

    🤣🤣🤣🤣kichwa kama GN

  • @neemamtega737
    @neemamtega737 3 роки тому +1

    Tulikupenda magufuli ulikua mkweli mpenda maendeleo

  • @aokinsindi6948
    @aokinsindi6948 3 роки тому +1

    Na huku mwasanga mbeya jiji tangu mwaka juzi mwezi wa kumi tumekuwa kisiwani japo mbunge mkuu wa mkoa mkuu wa wilaya mkurugenzi wote wapoo!!wanasubiri turushe kwenye mitandao uone bila hivyo hawaendi hujakosea kichwa kama GN kweli tuone na mwasanga na huku yawezekana tatizo GN,,

  • @mathiasnicodemus7531
    @mathiasnicodemus7531 3 роки тому +2

    kichwa kam GN

  • @rajmkonje7149
    @rajmkonje7149 3 роки тому +1

    Yani sasaivi ukiniuzi kichwa kama gn

  • @johnsangida5158
    @johnsangida5158 3 роки тому +1

    God is Great for my Nation and leader

  • @denisrukangula7086
    @denisrukangula7086 3 роки тому +1

    kwakweli barabara ya kyerwa ni mbovuuuu

  • @paschaltsaxara2376
    @paschaltsaxara2376 3 роки тому +3

    Engineer anafeliiii

  • @lauriannicas401
    @lauriannicas401 3 роки тому +1

    Hii ina uma sana, alimwambia mkandarasi mpaka tarehe 1.6.2021. Na sasa ni tarehe 7.6.2021 simsikii tena Magufuli wangu, heart break 😭

  • @user-qv2tg9cz8c
    @user-qv2tg9cz8c 5 місяців тому

    Kwakweli acheni Mungu aitwe Mungu!!Rais wetu mpendwa pumzika kwa Amani

  • @eliakimchaiikobellah358
    @eliakimchaiikobellah358 3 роки тому +1

    😀😀😀
    Acha nicheke tu

  • @benjaminabisemba5331
    @benjaminabisemba5331 3 роки тому +1

    RIP mzee wetu JPM 😭😭😭

  • @sajojonas
    @sajojonas 3 роки тому +1

    3:27

  • @evanstum5032
    @evanstum5032 3 роки тому +1

    Addicted with this clips, rest in peace Pan Africanist.

  • @emmiesulee4620
    @emmiesulee4620 3 роки тому +1

    Goooo baba😭😭😭😭
    Umetuweza🙏

  • @ahmedmalick1898
    @ahmedmalick1898 3 роки тому +1

    Magufuli mitano tena baada ya 2025 kuisha

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 3 роки тому

    Kuwa raisi tz ni kazi ngumu Sana nashangaa wanaopigania kuwa raisi. Wanaomkwamisha magufuri ni viongozi kwenye sector mbalimbali na nafasi mbalimbali ambazo wamepewa ela zinapigwa kwenda mbele haingii akilini fedha za mradi zipo lakini kazi haifanyiki na hiyo ni nchi nzima. Kwanza ona anavyobabaika. Wazee Kama hawa ukiwakuta kwenye cheo chake Hana muda wa kukusikiliza na miwani yake.

  • @bahatihappy5693
    @bahatihappy5693 3 роки тому +1

    RIP magufuli

  • @a.a.a.s8322
    @a.a.a.s8322 3 роки тому +1

    Endeleza Mapambano mzee.

  • @allylameck2940
    @allylameck2940 3 роки тому +4

    🤣🤣🤣🤣 mzee wewe et ushambss

  • @yusraswalah4734
    @yusraswalah4734 3 роки тому

    No one will replace your party in Tanzania

  • @valeriaveda7519
    @valeriaveda7519 3 роки тому

    Tutakumiss baba ehee! Mungu umetupiga kiboko kwakwelii

  • @mohamedbabu6977
    @mohamedbabu6977 3 роки тому +3

    Kazikazi

    • @salummachaku3218
      @salummachaku3218 3 роки тому +1

      Mheshiwa rais watu wako wanakuangusha wilaya yakibamba shule yamsingi tegeta ( A) au goba mpakan wanafunzi wanakaa chini madarasa mabov tulichangishwa elfu 10 kila kichwa kwaajiri yaujenz toka mwaka jana mwez watisa mpaka leo hakuna chochote kilicho fanyika tusaidie mheshi miwa

  • @fredymugha6697
    @fredymugha6697 3 роки тому

    Hotuba za Raisi yaani akili tupu ivi mtu akifa na akili zake amezikwanazo jamanii!!

  • @user-un9gr1tk3u
    @user-un9gr1tk3u 5 місяців тому

    🤲

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 роки тому +1

    🙏🙏

  • @davidtemba4893
    @davidtemba4893 5 місяців тому

    😢

  • @edsonmunuo7112
    @edsonmunuo7112 3 роки тому

    Good Mr president viva Tanzania viva JPM

  • @mchinafamily-cg9ky
    @mchinafamily-cg9ky Рік тому

    Mkojani

  • @saymon2pack408
    @saymon2pack408 3 роки тому +1

    Kichwa kama GN😂

  • @kasumbapaulo9228
    @kasumbapaulo9228 3 роки тому

    Nilikuwa namkubari Sana mtemi we2 Wa nchi

  • @user-kb4kn3jb1e
    @user-kb4kn3jb1e 4 місяці тому

    😢dar ,nnchi yetu ingekuwa nnzur sna Yan sio Kama SS iv magu ninoma ,kimsaau ,inakuwa ngumi ,Yan

  • @abdallahrajabu4401
    @abdallahrajabu4401 3 роки тому

    Nakupenda saaaaaaaaana

  • @amininassoromirambo5610
    @amininassoromirambo5610 3 роки тому

    SHUKRANI ALLAAAH

  • @shd12m55
    @shd12m55 3 роки тому

    Uyo ndio JPM

  • @youngdevy5326
    @youngdevy5326 3 роки тому +1

    😂😂😂😂😂kichwa kama GN

  • @BarakaSegu-pd9lx
    @BarakaSegu-pd9lx 2 місяці тому

    ❤❤❤❤❤

  • @imocymusic
    @imocymusic 5 місяців тому

    Rip magufuli😢

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 3 роки тому +2

    Hiiiiiiiiiiiiiiiii🤣

  • @kulwamashauri5668
    @kulwamashauri5668 2 роки тому

    Salamanca

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 3 роки тому +1

    Raisi unapiga kazi na hongera. Lakini jaribu kuongea na watu wazima kama watu wazima punguza kuwadhalilisha . Kauli Mali.

    • @petromtakati2975
      @petromtakati2975 3 роки тому +1

      Wafanye kazi bhana mambo mengine wanajizalilisha wao sio lawama kwa raisi

    • @shantalismailhassan9878
      @shantalismailhassan9878 3 роки тому

      Kufanya kazi kupo pale pale ndugu ila kuna namna ya kuongea na watu wazima wenzake. Kumwambia mtu kichwa kama GP si fresh ktk lugha ya kiutu uzima na si mara ya Kwanza . Kusema kwamba raisi ni mchapa kazi na anataka watu wawe wachapakazi na wakweli hilo halina mjadala linaonekana na ni vizuri ktk kuleta maendeleo lakini sio tiketi ya kuwadhalilisha watu.

    • @shijamakoye6013
      @shijamakoye6013 3 роки тому +1

      Mimi sijaona kibaya hapo kama yeye angekuwa ametenda majukum yake ipasavyo wala Rais asingekasilishwa nakupelekea kuongea hayo maneno aliyoongea maana tunapewa logic za kishamba kweli yani daraja 25 mita then three years, and you still defending the offender siwezi support this stupidities, for real acha Rais awafokee tu cause it seems his supporters are nothing at all, yani Rais anapambana but these guys are letting him down, so let him imbalance them, maybe they will change and back on the track

  • @blessingsgeneral93
    @blessingsgeneral93 3 роки тому +1

    🙏🏿☀️🙏🏿🌻

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 3 роки тому

    CHUMAAA 😥😥😥😥😥😥😩😩😩😩😩😩

  • @sabrinaiboma2444
    @sabrinaiboma2444 3 роки тому

    Moyo wangu huwa waniuma mnooo nakutoa machozi nikiona hiki chombo ya kazi....hivi ni kweli baba umetuacha kweli???💔🇹🇿😭

  • @mjtz7778
    @mjtz7778 3 роки тому

    Huyu rais atawale mpaka achoke mwenyewe

  • @nadyamohd6820
    @nadyamohd6820 3 роки тому

    Makufuli baba lao

  • @Smartmoneymakerz
    @Smartmoneymakerz 5 місяців тому

    Mwaka 2024 still watching Magufuli🥺

  • @daudmtange8005
    @daudmtange8005 3 роки тому

    Mama Samia suluhu mzee kashatangulia fatilia na mwezi wa sita daraja likamilikee

  • @eliuthamangula1791
    @eliuthamangula1791 3 роки тому +1

    Hahah my president

  • @hassanussein1817
    @hassanussein1817 3 роки тому

    kama Raisi Magufuli amumpendi mtupeni Burundi tutampokea

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 роки тому

    Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii