ONA RAIS MAGUFULI AKIONDOKA NA GARI YAKE BINAFSI BAADA YA KUCHUKUA FOMU
Вставка
- Опубліковано 16 чер 2020
- ONA RAIS MAGUFULI AKIONDOKA NA GARI YAKE BINAFSI BAADA YA KUCHUKUA FOMU
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Duh,,,iloo garii laiti kama wananchii wangejua Kama JPM yumo ndani bhaac vibe lingeanzaa maanaa watu TUNAMPENDA SANAAA HUYU JAMAA,,,,UNCLE MAGU,,,JUU,,😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍 NO ONE LIKE YOU,
Mpende Mungu wako wewe
@@gomatzchannelgoma4803 kwani nimeandikaje
Wa Tanzania tumshukuru Mungu kwa kutupatia rais magufuli
Nchi yetu anaipeleka pazuri zaid
Sifa zake zinazidi kupaa nje ya nchi
Tumuombee mungu ampatie afya
Amina
kwa kweli Mungu wa mbinguni apewe sifa sana..Ashukuriwe kuliko maelezo yetu jmni. Eh Mungu tunakuomba sana Mungu wetu Ushukuriwe..Tunakuomba sana Uchukuwe shukurani zetu Watanzania. walikuomba kwa kilio sana kuhusu nchi yetu kupata mtu ataekuwa na moyo na nchi yetu kama vile ni mwanae..Mungu Hukusita ukasikia kilio cha waja wako na sio vile sie watanzania ni watu wema sana lahasha ni kwa sababu umejaa huruma an upendo mwingi mno. ni kwavile wewe Mungu ni mwema na mzuri. Asante sana Mungu wetu. Utukuzwe milele na milele
Haswa Mr
After
Acheni zenu
Hio fomu ya miaka 5 au 20 maana 5 mimi naona kidogo sana kwa hili jembe . Huyu sio RAIS huyu ni KIONGOZI maana maraisi wamepita wengi TZ ila kiongozi ndio kapatikana sasa . You are the best MAGU and the most we love you sana
Safi sana Rais wetu.tunakupenda, Mwenyezi Mungu azidi kukulinda na akupe afya njema.Amina.
Dhania hana ulinzi afu ujichanganye ndo utaelewa maharagwe ni mboga 🤣
Godfrey James 😅😅
@@advocatekarama4917 hahaaa
😉😂😂😂😂😂😂
😃😃😃😃
@Godfrey James 🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi ni mzanibar tz ni nchi yetu moja nnachosema uyu mzee atawale milele tz, kwanini na huku zenji hatupati mbaba mwema kama huyu, huyu zaidi ya raisi.
Ungesema mimi Mtanzania wa Zanzibari. Tusijigawe saaaana. Pamoja tu.
@@jayjay4313 sawa ndugu nimekuelewa kama ninavyo muelewa raisi magufuli,, sikia iyo sasa mimi ni mtanzania
Kwani huyu si anatawala mpaka huko 'huyo mnayemwita raisi huko kwenu ni sawa na mkuu wa mkoa tu
Anakuja Hussein Ali Hassan mwinyi baada ya magufuli, kwa mtazamo wangu. Legacy ya nyerere. Sijui kama mutamchagua rais wa zanzibar mwaka huu? Much love from Kenya.
@@alanami2846 Hapo sasa kiume zaidi. Si unakumbuka Mzee wetu mwinyi, mpaka leo kama mpya tu. Watanzania bara na visiwani maraisi wetu wapo pamoja hata kama hatuoni. Ila round ya pili natumaini JPM atafanya mambonmpaka visiwani. Muda ulikuwa mfupi sana na mambo nimengi. Msife moyo watanzania wa Zenji. Pamoja sana na bendera yetu sore nimoja tu ya pili ya chama.
Aliyeona Trafic anashangaa twende sawa
Wana maelekezo hao ndio maana mkata umeme mmoja alishuka akawa anaongoza magar
Hako kanyimbo 💪👌
Rais wa Tanzania,njoo huhu kwetu Kenya,,,,, Nakupenda bure.Kiongozi wa wanyonge...
Ungetawala miaka 40 ingependeza naona km miaka inaenda haraka 😭😭😭😭
Wewe pimbi kweli hiyo katiba ya miaka 40 umeitunga wewe na mumeo?
Tunashukuru Mwenyez Mungu kutupatia Rais Makini Mh JPM hakika yeye ni mfano wa kuigwa na kujivunia
Wee tena asaivi ndo analindwa balaaa .wee ona kama yuko peke ake
Mungu amjaalie afya
Nampenda Rais Wangu Joseph John Pombe Magufuli 👑 👑 👑
Mungu akupigania
Umetuondolea aibu nchi safiii Kama pamba
Hongera magufuli
Safi Sana JPM baba.. uliebadilisha mchanga kuwa dhahabu..., Ni mwendo wa kibabe T 694 DKX full tinted hadi raha...ikulu inawenyewe waliopewa na MUNGU mbele kweupeee kazi uliyoifanya imeonekana baba, hakuna nyumbu yoyote wakukwamisha maendeleo ya bongo hata Kama mashetani yamelipoti kuzimu (Ulaya) alieupande wetu Ni mkubwa MUNGU yuko pamoja nasi, Tuko nyuma yako baba
Haki nimeshindwa kuelewa kabisa msafara wake+na hiyo folen,,,, viva magufuli Mungu akupe nguvu zaid
Gusa unate,huo ni Moto haulambwi kwa ulimi
Safi sana Mzee wetu mungu akubariki sana
God bless our president we are proud of u Father
Asante Baba Mungu kwa kiongozi huyu....aendelee tenaa
Dah magu nimekuelewa htr
Wakuu wapo nyuma hapo
NAJA NA KUPIGA KURA TZ HAIJALISHI HATA KAMA MM NI WA 254🇰🇪 na sitaki mwaswali eti oh kura unampa nani hiyo ni siri but bora KWANGU YEYE ANGALI ANATAWALA. +966
Hakuna siri ni Magu tuuu
Karibu jirani
MUNGU MBARIKI Mwee Rais wetu kipenzi Utulindie Mpendwa wetu Mzalendo wa kweli wa NCHI yetu TANZANIA 👏🙏❤
Kwa uwezo wa mungu inshaallah utapata tena🙋♂️
Mwenyezi mungu yuko pamoja nawe hivyo bado anahitaji kukutuma kazi zingine. Ni wewe tu uliyetimiza umri wa kuweza kuyafikia mambo anayoyataka mola wako.
Respect JPM
Asante sana mwenyezi MUNGU mkuu
Jembeeeeeee
Nimejikuta natabasamu tu hongera sana mheshimiwa Rais wewe ni wakipekee sana pongezi kwako
Mungu akutangulie Mheshimiwa Rais kwa kweli tunaenda kuandika historia tena
Nakupenda sana j.p.m
Masha Allah
Viva Magufuli
Rais msaidie itolewe ndan ya mto wami ni mwananch wako hiyo atashukur sana
Viva baba ......JPM😍
Yupo peke yake mungu mjalie magu
Makufuli mm nakupenda ila tunaomba uchaguzi uwe wahuru tu tugommbezanzibar yetu tumechokakutwaliwa
Sem hii Dodoma inabadilik aiseee💥
Mzee hakuhitaji hata msafara na ving'ora
Ndo maana inabd tufanye kaz tununue magar na sio vyombo vya usafiri
🙌🙌😂🤣😂
Hahahahahhahaaaaaa
We jidanganye halindwi now yani pengine ata hizo haice za abiria ukute ni maafisa wa usalama wapo huko kama abiria na hiyo bodaboda unayoiona pengine sio bodaboda ni usalama serekali sio ya mchezo mchezo!
🤣🤣🤣🤣my friend utajua hujui
Yaan hapo kwanzia ofisi za chama mpaka anapofikia kote wamejaa kama sisiminzi mzee wako tayar kwa lolote full equipped...,... Huyo traffic sijui daladala hizo vijiwe vya kahawa vyote kila kona
Maana ameenda kwa ajilibya chama tu ndo maana msafara hajachukua ila ndo wamejipanga kwa aina nyingine
problem yetu waganga wa kienyeji wengi yaani kila mtu anajua kitu
Wimbo mzuri
Dah! Kwa mara ya kwanza naona rais wa nchi anasubiri foleni, ninacho mkubali JPM hanaga mbwembwe huyu baba, Mungu ampe afya na maisha marefu kwa kweli wapinzani wamekaa kaaa 😃😃👏👏🇹🇿🇹🇿🖐🖑👍
Mungu amulinde maana katumwa na mwenyezi Mungu
Yani natama ikewezekana tukuogezee miaka 10 tena baba
Hapana hii sio sawa kabisa . .Huyu bado ni Rais wa Jamhuri ya Tz..sio hiari kumlinda ni Lazima alindwe kwa wakati wote Jamani
✋️😊😊😊👏👏👍
Najiuliza hapo walipotanua kulia halafu trafic akawasimamisha sijui ingekuwaje
WW NI JEMBE C TUNAKUOMBEA HERI KWA MUNGU UTUONGOZE TENA MUNGU AKUPE AFYA.
Hongera
Mungu mbariki huyu mtu
Nimeipenda sana hiyo raisi mungu azidi kuuinda 🙏
Nimeipenda sana hii viva Tanzania viva mh,magufuri
Duh huyu jamaaa nomaaaaaaa duh cjui nani atakaweza kufuata nyayo zakeee kuangalia maslahi kwanzaaaaaa ubinafs badae🤔🤔🤔🤔😔
Haaa hawajui Kama Ni raisi anapita
Magufuli Oyeeeeeeeee💪💪
Tatizo moja tu kwa uyu baba kuwa MSUKUMA tu angekua MZARAMO ingekua poa sana
Ukweli nikwamba watu tunampenda JPM. Lakini litakua swala la kusikitisha kama tutaishia tu kumsifia bila kwenda kumpigia kura hiyo October. Niombe watu twende tukampigie kura huyu rais wetu jamani, tusiongee tu. Yaani apate kura mpaka dunia isimame.
Watanzania hakuna zawadi au fadhila tunayoweza kukulipA Zaidi Ya Kukuongezea Muda Tu Wa Kukaa Madarakani. Mungu atusaidie tulifanikishe hili
Mh,watanzania tunamkosea Mungu nimesoma komenti karibia nyingi nikagundua hatusomi maneno ya Mungu na Mungu aturehemu,siku moja kila mmoja aliyekoment hapa bila hofu ya Mungu atanikumbuka.
Dereva kwenye zebra anaosha tu tz kila Dereva bado hazingatii sheria
Mungu akutunze rais wetu
Weee!!! Kwangua hiyo gari ndio uone yupo pekee yake au na walinzi wake!!!!
Mungu mbariki Magufuli .
MAGUFULI BABA LAO kwa maendeleo ya Watanzania 🇹🇿
Acha ujinga maendeleo yapi?wakati kuna watu wanalala na njaa
NANI KAREKODI HII CLIP?
Kurugenzi ya mawasiliano ikulu kuna gari lipo kwa nyuma
Hongera sana rais wangu tunakupenda
Wimbo huu bomba kuliko zote mana unacheza kiukakamavu, yaani hai hai kama askari vile
Amini yani imetulia
Unaweza kuta usalama wa taifa wengine ndio hao kwenye bike na wengine wako kwenye hizo daladala haahha
Tumeliona Hilo Gari jamani.Watanzania acheni kujionyesha
Magufuli nakupenda mpaka sana wewe unamtegemea mungu mpka raha
Hiki chumaaa bwanaaa
Thanks president magufuli likini drive wako anatebeza garivibaya
Ni kweli rais wetu umefanya mambo mengi mazuri ila awa was chini yako sio wema kabisa
Rais
Hai mama hai mama
Saaaafi wala hkn noma ... Gud saba
Magufuli Umejua Kutufurahisha Wa Tz Wengi Tu Chapa Kazi Sisi Tuko Pamoja Na Ww Bega Kwa Bega Tanzania Ya Sasa Imesonga Mbele
Kwahyo saiv halindwi kama zaman?
Ww auna mpizani,tz tunakuombea kwa mungu kila lisaa
em kajaribu kumvamia tuprove kama halindwi
Ulinzi ni Kama kawaida huyo ni rais mpaka either akabizi kwa mwingine ndo ulinzi unapungua ,hapo alikuwa anakwenda kuchukua fomu ndo mana hakutaka shobo Sana amepiga mishe ya kimyakimya
Safi
Najua mhula huu atachukuwa bila kipingamizi, ila mhula huubukiisha 2025 tukamchulie sisi bado tunamwihitaji Sana Sana san
Kila la khery baba Magu
Najivunia kuwa TZ na my prezdaJPM
Hayupo umo sio kawaida still przda
Naskia wapinzani wamejipanga kumshusha wataweza kweli
Huyundie Rais wapekee mchamungu hayupomwingine Labuda kudanganyanatu
Hahahahah raha sana,utadhani yupo yeye na dreva tu,jichanganye sasa ndo utajua kwann bata hata akila kokoto lazima aharishe,Mungu akujalie uzima president wangu,itabidi tuandamane utawale miaka 30,hatuhitaji mwingine,wewe tu unatosha baba!viva magufuli,wewe subiri kuapishwa tuuuuu
Mbona akukaa kwenye foleni
Najua CIA awako mbali ilo aliwezekani😅😁😁😁😁CIA Sha Wana apo😁😃
Nabii Magufuli
Magufuli unadhamila ya dhati ya kuipeleka nchi mbele tatizo wanao kukwamisha ni wateule wako sio wote badhi yao wameshindwa kuwalinda Wana nchi ili kila mtanzania apate kunufaika na rasilimali za nchi wamegeuka kuwadhulumu na kuwabambika kesi za uhujumu uchumi hasa kwa wale walioko maeneo yanapochimbwa madini ya dhahabu police wametufanya miladi
Ulinzi upo nyie hamja muona mtu akimbia hpo mbelee anatngulia. Ahsanteeeeee baba JPM
Magu rais wa wanyonge, rais mwenyewe huruma, muonee huruma yule mama gari yake iliotumbukia wami hii nch niya kwako MPE msaada baba.
Wimbo hatariii
Hatar
Mwingine athubutu ukisogelea hiyo fomu cha moto akione
Un beliavable
Hahahaha katanua