Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

MWANANCHI WA CHAANI AMPONGEZA WAZIRI MAZRUI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лип 2024

КОМЕНТАРІ • 56

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 Місяць тому +2

    Msimchezee mbungooo Jussa hamumuweziii

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l Місяць тому

      WACHA UJINGA JUSSA NANI KWENYE NCHI HII. SI BASI TU

  • @user-gw4jj5nn2n
    @user-gw4jj5nn2n 28 днів тому

    Wewe nadir mnafiki mwishowako mbaya

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 Місяць тому +2

    Wazanzibari kiu ni kuwa na Zanzibar yenye mamlaka kamili kk

  • @KHAMISMOHAMMED-fj4bs
    @KHAMISMOHAMMED-fj4bs Місяць тому +1

    Nimechelewa kuchangia nilimuamini sana huhu ila ndio mnafiki lazima ajitokeze kapigwa sana huyu na mm namuahidi Mazurui nitampinga milele tayari anaonesha ndio walokua wanamzunguka Malimu Seif

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Місяць тому +1

    Mazrui anajitambua

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678 Місяць тому +2

    Kwahiyo hamna la kusema sasa Kila mmoja mazurui mbona mlipo mpiga hamkumpa pole Wala kwenda kumkagua ninachokiona kwenu CCM ni unafiki TU na ni watu wa sifa yaani msifiwe TU mkikosolewa manongwa

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Місяць тому +1

    Dr. Hussein ungewapata MaWarizi watano tuu tokea hapo mwanzo kutoka ACT Wazalendo basi ungekuwa huna wasiwasi kwenye Serikali. Sifa kubwa kwa Waziri Nassor AlMazroui kutoka ACT Wazalendo kwa uwaminifu kwenye kazi yake.

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Місяць тому +2

    Wewe kumbaro ndio mwenye ubaguzi nakila mzanzibar anakujua umepewa unaibu uwaziri umebaki kusifia kila pabovu

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l Місяць тому

      JUSSA NDIE KUMBARO MKUBWA MUUZA VYUNGU ONZA NA YEYE KWANZA

  • @sultanmohammed4157
    @sultanmohammed4157 Місяць тому +1

    Zuzu huyo ajijenga kwa mwabwana zake.

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Місяць тому +2

    Nadir shika adabu yako tafadhali,maana sasa unazidi kutovukwa na adabu,jitathmini

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Місяць тому +2

    Wewe chawa ,,usiniharibie siku

  • @salyali7807
    @salyali7807 Місяць тому +2

    Mazrui kasema yote hayo kwasababu ya kuogopa CCM isije kumpiga na kumpoteza tena ... Hasbiyallah waneemal wakeel

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 Місяць тому +2

    Nyinyi kk nadir mnajua dhati kwamba viti mulivyokalia kwamba hamukukaa kwa ridhaa ya wananchi wa Zanzibar

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 Місяць тому +1

    Hayo hakufanya mwinyi kk aliyefanya ni rais dkt Samia suluhu Hassan na sie mwinyiiii

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Місяць тому +1

      Asante Rais wa Muungano wa jamhuri ya Tanzania 🇹🇿 Samia Suluhu.

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Місяць тому

    Wewe hiyo sekta unayo ongoza kipi kipya wizara zenye kufanya vizuri sana zote mbili mawaziri ni ACT wazalendo

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr Місяць тому

    Mambo gani kazienu unaguzi tu Pba hamuifanyii haki

  • @salyali7807
    @salyali7807 Місяць тому

    Wewe Nadir lazima umsifu Mwinyi kwasababu alipoingia tu Juma wa Juma kapotezwa ukae wewe ... funika kombe shetani apite

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 Місяць тому +3

    Kichwa km belungi

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Місяць тому +1

    Kumbaro kumbaro unampongeza mtu kwa maslahi

  • @TajoSeif
    @TajoSeif Місяць тому +1

    Unataka kukodi mabasi wakati jimboni kwako watu hata mlo mmoja hawapati

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Місяць тому +1

      Jamani ni ushamba mkubwa😂😂😂😂 Aibu khasa kwa hapo Zanzibar mtu kusema hivyo……akodi mabasi kwa ajili ya watu kwenda kutizama 🏥 hospitals imekuwa kama makumbusho… amakweli spitali zimekuwa kitu cha AJABU hapo Unguja na Pemba. 😂😂😂

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge Місяць тому +1

    Hujielewi ww unouza znz Kwa kupewa uwazir haliyakua watu wanateka kwanjaa ww umeshiba unaju tunaishi vipi jilewe ww acha ujinga unashadidia TU tumechoka na ccm kilasiku Barabara kula basi kamazinalika

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr Місяць тому +1

    Lakini ww unam domo sana ww ukisimama kwenye majikwaa una ubaguzi bakuzi falini hivi jamii ina kupenda lakini anglia mdomo wako

  • @AA-yr7sr
    @AA-yr7sr Місяць тому

    Usipitali zinajengwa kweli lakini huduma hakuna wagonjwa wa Sugar kila siku wana okotwa barabarani kwa sababu hawana uwezo kununua vipima sugar ilitakiwa wa gonjwa wa sugar wapewe bure ili wanapotembea njiani wakijisikia tafurani waweze kujipima sugari

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 Місяць тому +2

    Mazurui aogopa kuchapwa

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Місяць тому +1

    Mabasi wakodiye wewe kumbaro mjinga

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Місяць тому +1

      😂😂😂😂😂 maajabu ya Zanzibar baada ya Beit la Jaibu. Hizo Spitali.

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4np Місяць тому

    kama siw alie kua saa zotee anawachamba ccm leo umepewe cheo yanakutoka tuh

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman Місяць тому +1

    Muongo kumbaro

    • @user-xv4tl8iv4l
      @user-xv4tl8iv4l Місяць тому

      MKWELI NANI. TULIAMBIWA TUTAFURAHI SIKU MBILI TU. MBONA HUKUMWAMBIA NI MUONGO

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 Місяць тому +1

    Mazrui kama anampigia kampeni mwinyi

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 Місяць тому

    Hahahaha kumbe dozi kk nadir huwa zinawafikaaa 😂😂😂😂

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 Місяць тому +1

    Usijitie kutaja mungu wajulikanwa

  • @user-dc8hf8lj8w
    @user-dc8hf8lj8w Місяць тому +1

    na ww ni miongn mwa wtu wanafiki wanao tia chuku n ubaguzi ktk nchi yetu

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Місяць тому

    Hayo yote. Kama unataka Wana Wanchi wawe radhi basi uchaguzi uwe wa haki hapo Zanzibar. Kama unavyo sema wewe Muislam. Na unajuwa hapo Zanzibar siku za uchaguzi kunakuwa vita. Watu wanaomba uchaguzi uwe wa haki na salama bila yakuuliwa Wananchi na atakae shinda ndio ashike Nchi.

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 Місяць тому +1

    Nyote wafanya biashara marogi

  • @faykasalum9725
    @faykasalum9725 Місяць тому +1

    Nyie kwasababu mna maslahi yenu ktk ccm muna mabiashara yenu hamuna wasi wasi na maisha yenu jee hamu wafikirii watu wasio kuwa na kitu hata mlo mmoja mtu unamshinda makodi makubwa makubwa mkisha pata nyie ndio watu wote wamepata?

    • @faykasalum9725
      @faykasalum9725 Місяць тому +1

      Munafikiria matumbo yenu na familia zenu Tu hao wengine waende wapi na hapo ndio kwao?

  • @user-xv4tl8iv4l
    @user-xv4tl8iv4l Місяць тому

    WELL DONE. DEPUTY MINISTER, KEEP IT UP

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Місяць тому +1

    Muuaji ,unakula dhulma tu ,ila itakutokea puani io , na akili zenu za kuku izo

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr Місяць тому

    Wewe Kallie ukalale

  • @salyali7807
    @salyali7807 Місяць тому

    Haya yote wanafanyiwa wazanzibara kwasababu wao ndio wenye nchi sasa .. wazanzibari wote wanahama kwa dhulma ya kusudi ili nchi iwashinde wahame kwao

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 Місяць тому

    Aah huyu

  • @salyali7807
    @salyali7807 Місяць тому

    Nadir yuko wapi Juma wa Juma? Usituletee porojo hapa

  • @salehkhalfan7345
    @salehkhalfan7345 Місяць тому

    Imekua Ajenda Rasmi sasa

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 2 дні тому

    Wewe ni Mjinga namba moja kazi yako matusi tu jifunze kutoka Kwa wenzio Fisadi wewe ni Muislam mbona unasema uongo fisadi wewe nyamaza

  • @salyali7807
    @salyali7807 Місяць тому

    Watu wa Chaani tunakuuliza Nadir YUKO WAPI JUMA WA JUMA?

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 Місяць тому

    Huyu jamaa ndume la kuwili saivi anasifia serekali