GWAJIMA ATAKA MAMLAKA YA RAIS YAFUNGWE KISHERIA | KUNA SIKU TUTAANGUKIA PUA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 чер 2024
  • Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ameshauri mamlaka ya kisiasa ya Rais yafungwe ili Rais yeyote atakayekuwa madarakani asitoke nje ya mipango iliyowekwa na nchi ili kuepusha hali ya kila Rais kuwa na vipaumbele vyake.
    Askofu Gwajima amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Serikali na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2024/25 ambapo amesisitiza kwamba nchi isipofanya hivyo "kuna siku itaangukia pua."
    Aidha, amesisitiza umuhimu wa mipango ya wizara na taasisi mojamoja pamoja na ilani za vyama za uchaguzi kuakisi malengo yaliyomo kwenye Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa muda mrefu.

КОМЕНТАРІ • 88

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x День тому +1

    Umeongea pointi Moja nzuri sana kaka Gwajima
    Raisihatakiwi aanzishe mpango wenye interest za kwake, raisi anapaswa kusimamia mpango wa Serikali na taifa Kwa ujumla.

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 7 днів тому +18

    Huyu jamaa anasema kila siku hili swala, lakini CCM vipofu na viziwi wapigania tumbo tu.

  • @newbornhaule
    @newbornhaule 7 днів тому +19

    Mungu ajalie uwe sehemu ya waamuzi wa hatima ya Taifa letu siku moja

  • @essauyusuph6552
    @essauyusuph6552 2 дні тому +2

    Hongera sana Pastor Gwajima na Mungu akubariki kwa maono mazuri

  • @boscoafikile4737
    @boscoafikile4737 6 днів тому +9

    Hongera sana Askofu, una mawazo yenye maono.

  • @saidmushehe
    @saidmushehe 4 дні тому +5

    Wazo nzuri....ni kama ulaya na marekani tuwe mipango endelevu na kuwekea Sheria Kila raise ajaye apite humo

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 2 дні тому +1

    One of Big brain men in the Parliament,,,but some never seen b4

  • @babarungurallyteam2754
    @babarungurallyteam2754 День тому

    Ahsante Sana KAKA Gwajima.

  • @LeonardEdward-fb2bn
    @LeonardEdward-fb2bn 21 годину тому

    Gwajima wasio kuelewa leo very soon watakuelewa ,,coz you're the Next

  • @juliusmsegu3347
    @juliusmsegu3347 4 дні тому +5

    Heshima ni very Big 🧠 Brain

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 2 дні тому +2

    Hii hoja nilikua naisubiri siku nyingi mno.Kila Rais anayeingia anaanza upya utadhani uhuru tumepata jana

  • @clarencejr2023
    @clarencejr2023 3 дні тому +3

    Anaongea sijui mara ya nne hii

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 3 дні тому +2

    Naunga mkono 🤝 kama taifa atuna maono tunaongozwa na Maono ya Rais anaekua madarakani👏👏

  • @user-tt3jh1mq5y
    @user-tt3jh1mq5y 6 днів тому +4

    ✊️✊️✊️ umezungumz kitu kizur sana

  • @EmanuelElito
    @EmanuelElito 7 днів тому +4

    Safi Sana gwajima

  • @francisdeomassawe6307
    @francisdeomassawe6307 14 годин тому

    Safi sana mkuu ❤

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald34 День тому

    I support you my brother !
    Our passed experience is clear study case. The presidency can even put aside the constitution of our nation in order to push his agenda unchecked. It has happened before our eyes (while the governing authority is protected by the same same constitution)Taarifa ya waziri is out of point, wakati Prof. anaongelea ushirikishwaji kutoka chini hadi kwa waziri wa mipango, wewe unaongelea ushirikishwaji wa mamlaka za kisekta(wizara) zinazowakilisha maeneo yote muhimu ya maisha ya watanzania kama maji,chakula, afya, mahusiano na mataifa mengine n.k.

  • @naimunaimu2312
    @naimunaimu2312 4 дні тому +3

    Nenda direct Tu kwenye katiba mpya Acha kumumunya maneno

  • @forkasa5459
    @forkasa5459 7 днів тому +4

    great thinker...

  • @user-kw6bv9qp4e
    @user-kw6bv9qp4e 4 дні тому +3

    Aaah tokeni hapa gwajima asinge liongelea mngesema mbaka mkumbushwe...

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 3 дні тому +1

    Maoni mazuri sana Gwajima ila muarobaini wa haya yoooote KATIBA mpya ili kupunguza majukumu kwa Raisi Chama pinzani wamekuja na hoja za majimbo na kumpunguzia uzito wa madaraka bila Katiba mpya sawa sawa na kelele za vuvuzela za uwanjani

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 2 дні тому

    Good idea

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd 8 днів тому +3

    Very good I askofu

  • @payomedia8916
    @payomedia8916 2 дні тому

    Good kabisa

  • @innocentinyasi9198
    @innocentinyasi9198 7 днів тому +2

    Excellent

  • @luciasteven3314
    @luciasteven3314 2 дні тому

    Tangu ajiunge n siasa nilimpoteza kabisa yaan😢

  • @mtanzaniahalisi9500
    @mtanzaniahalisi9500 6 днів тому +4

    Katiba mpya

  • @musatalange4587
    @musatalange4587 2 дні тому

    Saw kbs

  • @jodama_tv
    @jodama_tv 2 дні тому

    Askofu tunakuhitaji sana na tunakuombea MUNGU akusimamishe zaidi katika eneo hili. Na sisi tunakuja huko sio muda mrefu
    Tanzania umebarikiwa

  • @goshenprayersministries
    @goshenprayersministries 2 дні тому

    Good idea God bless you all

  • @user-wl6zs4sf5p
    @user-wl6zs4sf5p 2 дні тому

    Hii ni sahihi kabisa yaani hatuna dira kabisa

  • @frolencejovenary667
    @frolencejovenary667 8 днів тому +2

    I call him master mind, na nchi za ulaya, marekani na kadharika ziko ivyo na mipango yao ya muda mrefu

  • @MashakaKalamba
    @MashakaKalamba 3 дні тому

    Brilliant - absolutely 👍

  • @mickyjoseph5492
    @mickyjoseph5492 7 днів тому +2

    Hayo majizi yanayowaza matumbo yao yanamuona kama anapiga kelele tu,gwagima hapo hakuna mtu anaeifikiria tanzania ya miaka hamsini au hata miaka ishirini bali yanafikiria familia zao tu

  • @smilemediatz
    @smilemediatz 7 днів тому +3

    Wasukuma wanajua sana

    • @hapaupdates9277
      @hapaupdates9277 5 днів тому +1

      Yani hawa ndo maboya vibaya SIO wote lkn

  • @pascalkadege7511
    @pascalkadege7511 День тому

    wachache sana watakao elewa lakini kuna kitu juu ya haya maneno

  • @Famasialacommed-vv8yb
    @Famasialacommed-vv8yb 2 дні тому

    Vizuri sena waelimishe neno scope huenda shule zilipita kushoto japo ni educated at extra

  • @Alphonce-em2xi
    @Alphonce-em2xi 7 днів тому +1

    Safi saaaaaaaaana

  • @user-jf2mt5tr4j
    @user-jf2mt5tr4j 2 дні тому

    gwajima Yuko vizuri

  • @yassinkimolo2943
    @yassinkimolo2943 3 дні тому +1

    Ndio maana tunaitaka katiba mpya

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky64 7 днів тому

    Point Gwajima
    Nchi Kama bendera Kila mtu na mipango yake miaka 10 akimaliza imeisha

  • @FatumaBenitho
    @FatumaBenitho 2 дні тому

    Saf xan

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 День тому

    Apo wapigaji hawawez kukuelewa ata kiduchu

  • @CaptainJim-
    @CaptainJim- 18 годин тому

    Fundi sana

  • @leonardkazimoto6339
    @leonardkazimoto6339 5 днів тому +2

    Sasa si ndio katiba

  • @nchembaa
    @nchembaa 7 днів тому

    Amen amen

  • @leinaamos
    @leinaamos 7 днів тому

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena548 День тому

    Mwigulu mungu akulinde maana watanzania hawakukubali Mzee

  • @bahatiisaimbega88-md1mw
    @bahatiisaimbega88-md1mw 3 дні тому

    umeongea poit kwer kaka kwamba kila rais anatakiw kuingia madalakani kutekeleza

  • @mariahmollel1258
    @mariahmollel1258 3 дні тому

    Smartest

  • @Expedito2512
    @Expedito2512 3 дні тому

    Sasa Gwajima ndugu yangu hiyo si ndiyo katiba mpya? Acheni unafiki wenu! Wenzenu kila siku wanaongelea hayo hayo yawekwe kwenye katiba mpya mpo kimya tu. Kama kweli mpo ok tamkeni moja kwa moja mnataka katiba mpya

  • @richardjafu7404
    @richardjafu7404 3 дні тому

    Haya mambo yalisemwa zamani sana tangu enzi za jakaya, na magufuli. CCM ndiyo hawataki. Simamieni Hilo Kwa nguvu zote. Haiwezekani kila awamu tunaanza upya

  • @JafariKiduko-ft4wg
    @JafariKiduko-ft4wg 3 дні тому

    Huyu Jamaa ni very talented

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 19 годин тому

    Chukua fom mzee.

  • @ShannyBrowntz
    @ShannyBrowntz 3 дні тому

    Amna kitu hapo msaniii 2

  • @nurdinmvellah4032
    @nurdinmvellah4032 День тому

    Hiki kichwa kweli kweli, hakijawahi kuacha kutoa mchango tofauti na huo. Ni mawazo ya akili kubwa Sana, endelea kusema gwajima IPO siku yatatekelezwa na ni vision kubwa kwa Tanzania ijayo.

  • @user-ny2cd9dt1d
    @user-ny2cd9dt1d 2 дні тому

    Hayo maono umeyapigia debe mda mlefu. Ila wamezima macho na mashikio hawakuelewi Gwajima. Maonao kama hayo ndio yanaitawala China na mataifa makubwa kama US. Ila sisi Africa tunangojea kupangiwa cha kufanya na Wamagharibi ni Aibu kubwa kwetu.

  • @user-gv8pf6if9m
    @user-gv8pf6if9m 6 днів тому +1

    Na hayo mamlaka amepewa na katiba

  • @abelchacha5977
    @abelchacha5977 18 годин тому

    Inaanziaje chini wakati wananchi hawajui chochota. Kama inaanzia chini lazima ibebe vision ya hao wa chini. Vision tumazoziona hazina muunganiko ma wTu wachini. Hiyo ndo shida. Ni vitu rahisi tu ila nyie viongozi mna mambo yenu ambayo hatuwaelewi.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 5 днів тому

    Mna maono gani wabunge wengi ni wezi lazima kizazi kijacho kije na maono mazur sio maono yenu ya sasahv ya vipofu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 дні тому

    SASA WIZARA XOT HIXO ZA NINI?. MIAKA HAMSINI MINGI SANAA BWANA.

  • @YasiniMkakile
    @YasiniMkakile 3 дні тому

    Inatakiwa kila muhimili wa serikali uwe na mamlaka na nguvu yake kama bunge,Jeshi na mahakama,pia raisi akimaliza muda wake achunguzwe ili nchi iwe na mwenendo mzuri kama vile marekani,China, na urusi

  • @aniki7232
    @aniki7232 3 дні тому

    Huyu mzee baba namuona kama zaidi ya RAIS kwa michango yake.

  • @official_masud
    @official_masud 3 дні тому

    Kipindi cha magu aliufyata😂

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt 3 дні тому

    Tupa jiwe gizani 😅

  • @bonsondavid5756
    @bonsondavid5756 4 дні тому +1

    Hakuna msukuma mshamba,wote ni perfect brain

    • @paulmathias810
      @paulmathias810 3 дні тому

      Kabisa, Wasukuma wangepewa waongoze tu maana wanajielewa

    • @bonsondavid5756
      @bonsondavid5756 3 дні тому

      @@paulmathias810 Magufuli,Makonda,Msukuma, Gwajima wote wasukuma alafu nchi inawaelewa sana pima upepo uone

  • @PatrickJulius-uy3yb
    @PatrickJulius-uy3yb 2 дні тому

    Ivi gwajima ira nahic mda uja fika ira naamini wewe ni rahic ajae mimi kama kijana mtanzania natamani uongoze taifa hili

  • @sadih5333
    @sadih5333 2 дні тому

    Mawanzo mazuri lakini ulitakikana uyatoe vipindi ambacho bwana somba somba alipo kua anajenga Chatto kwa a lot of money for nothing .

    • @ramadhanrobin-st6hh
      @ramadhanrobin-st6hh День тому

      Kwan chato si Tanzania ata akiijenga watakao fanikiwa n watanzania ko sioni ubaya wa ilo na kukumbuka nyumban n muhmu sana ndugu zile barak zitakutunz milele upte amani na furaha

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o 8 днів тому +1

    Najivunia kuwa na mbunge wangu kama huyu

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri 3 дні тому

    GWAJIMA KATI YA BUNGE KISUKUMA WEWE UNAAKILI SANAA HAUYUMBU WEWE KWELI NI MZALENDO WA KWELI SIYO NDUMI LAKUWILI HATA WAKATI MAGUFULI ULIONGEA UKWELI HATA WAKAT LIGANGA NA MCHUCHUMA ASANTE SANA

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 6 днів тому

    Ameongea Jambo kubwa

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 4 дні тому

    Wewe tunakudai chuo cha uvuvi na boti kawe ...Pia safari ya kujifunza ya vijana Birmingham vipi ..Chasimba bado mafuriko tatizo na barabara hazipitiki ..
    Hayo maono unayojimwambafai yalete huku jimboni sasa ''!!! au tukutane kwa wajumbe

    • @DenisRukangula
      @DenisRukangula 3 дні тому

      Yeye sio chanzo mwamuzi mkuu
      Kuna idara inayotekeleza kile unacho mdai Gwajima..
      Kama hawezi kupewa sapoti
      Afanyeje .. au unadhani kuondoa mafuriko ni kusema tu , Kuna fumula

  • @bonifaceelias9287
    @bonifaceelias9287 2 дні тому +1

    Kuna wabunge wapo huko ndani kwaajili kuomba taarifa 😮😮

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan8093 5 днів тому

    Gwajima anakurupuka tu kwan c vyote hvyo vimeshajumuishwa kwenye mpango na lazima washirikishwe kutoka chini mpaka wizaran

    • @mvukiedavid4332
      @mvukiedavid4332 4 дні тому

      Umemuelewa point yake lakini au umecomment TU?

    • @KokoloLambinguni
      @KokoloLambinguni 3 дні тому

      Gwajima ni kichwa cha familia ilo jambo ni jepesi kwa wanaojua namanisha nini na taifa letu MUNGU ameinua watu kama awa ili kutuvusha kutoka kwenye vifungo vya umasikini

    • @YoshuaSeverino
      @YoshuaSeverino 3 дні тому

      Mipango gani hiyo ya miaka 50?