Asante sana MKUU, ila mwanza Bado tuna matatizo mawili makubwa, Jengo la uwanja wa ndege la aboria japo ni dogo na aliendani na hadhi ya mji wa mwanza lakini halijakamilika, pili maegesho ya magari hapa mjini ni shida sana, kuegesha magari pembezoni mwa brbr ni jambo hatarishi sana
Ni aibu kubwa sana kw nchi yetu, mji wa pili kwa ukubwa na uzalishaji kukosa Aiport. Kila kitu kimesahalika. Angalia CCM Kilumba. mji ulio kando ya ziwa kubwa duniani wananchi wake kuwa na tatizo la maji ni aibu isiyo na kiwango. Huu ni ukweli na siyo majungu.
Hili soko kwa kiongozi huyo litafika mpaka mwaka kesho litakuwa bado . Uwongo ndio kipao mbele pamba wewe ndio umeipandisha? Mwanza itapitwa hata na shinyanga kimaendeleo kwa viongozi kama hawa
@@BMGOnlineTV Mfano mzuri serekali imetumia kiasi kikubwa sana kutengeza nyamungoro kwa ajili ya magari makubwa lakini mpaka Leo haitumiki na wanaendelea kuharibu Barabara za mjini mbazo haziimili uzito hii yote inatokana na kiongozi kama huyu. BMG fanya utafiti wako wa miradi ya mwanza isiyokuwa na kasoro utapata jibu. Na hii inatokana na viongozi kama huyu na hawezi akasema yeye ni mgeni mza ndio huwa visingizio vyao . Hii ndio mza linalo wezekana huwa haliwezekani
Mwanza jiji miradi mingi inasuasua katika utekelezaj tunaanza na ujenzi wa jengo la abiria airport Hadi Leo kimya pili ujenzi wa barabara kutoka buhongwa Hadi kishiri Tena ss soko kuu yaan miradi ya mwanza ni full danadana
Mwanza ❤❤❤
Jiji la kuvutia TZ
Asante sana MKUU, ila mwanza Bado tuna matatizo mawili makubwa, Jengo la uwanja wa ndege la aboria japo ni dogo na aliendani na hadhi ya mji wa mwanza lakini halijakamilika, pili maegesho ya magari hapa mjini ni shida sana, kuegesha magari pembezoni mwa brbr ni jambo hatarishi sana
Sahihi kabisa
Enzi za jpm hilo soko lingekua limeishaa kitambo
RC kasema atasimamia likamilike
Daraja tu lenyewe harijaisha itakua soko😢
Wamesema Disemba linaanza kutumika
Kweli limeisha au porojo
Bado asilimia chache tu
Tumewachoka kigongo ferry daraja bado
Kazi Inaendelea huko
uwanja wa ndege siyo wa kimkakati Bazo? mbona huutaji?
Nao wa kimkakati. Tumeutaja sana mara kadhaa
Ni aibu kubwa sana kw nchi yetu, mji wa pili kwa ukubwa na uzalishaji kukosa Aiport. Kila kitu kimesahalika. Angalia CCM Kilumba. mji ulio kando ya ziwa kubwa duniani wananchi wake kuwa na tatizo la maji ni aibu isiyo na kiwango. Huu ni ukweli na siyo majungu.
Nini kifanyike mdau?
Hili soko kwa kiongozi huyo litafika mpaka mwaka kesho litakuwa bado .
Uwongo ndio kipao mbele pamba wewe ndio umeipandisha? Mwanza itapitwa hata na shinyanga kimaendeleo kwa viongozi kama hawa
Kwa nini una mtazamo huo?
@@BMGOnlineTV Mfano mzuri serekali imetumia kiasi kikubwa sana kutengeza nyamungoro kwa ajili ya magari makubwa lakini mpaka Leo haitumiki na wanaendelea kuharibu Barabara za mjini mbazo haziimili uzito hii yote inatokana na kiongozi kama huyu.
BMG fanya utafiti wako wa miradi ya mwanza isiyokuwa na kasoro utapata jibu.
Na hii inatokana na viongozi kama huyu na hawezi akasema yeye ni mgeni mza ndio huwa visingizio vyao .
Hii ndio mza linalo wezekana huwa haliwezekani
Mwanza jiji miradi mingi inasuasua katika utekelezaj tunaanza na ujenzi wa jengo la abiria airport Hadi Leo kimya pili ujenzi wa barabara kutoka buhongwa Hadi kishiri Tena ss soko kuu yaan miradi ya mwanza ni full danadana
na kupanga jiji upya
Livutie zaidi
Mtanda ni jembe, hapendi ubabaishaji.
Kabisa