Kwa jiji la Mwz, ni kawaida hapo lango moja, Hiyo Sehemu ni finyu kwa mapokeo ya Maji. HAYO maji ya natoka Mabatini na milimani, mengine ya natoka kona zote za Buzuruga. Poleni sana Wana Mwz jiji.
Wala siyo Mungu ni miundo mbinu ondokeni huko msimsingizie Mungu kila kitu Mungu amewapa akili madini kila kitu mmeshindwa alafu mnamsema Mungu wetu asee
Watu wa mabatini walishahamidhwa Kwa tamko la raisi mstaafu hayati Benjamin Mkapa wahamie Nyamhongolo enzi hizo waligoma kwenda kule Kwa dai kuwa ni porini. Wamesahau.
Hz mvua Ni za kawaida sema bongo hakuna mipango mini watu wamejenga ovyoovyo tu Kama mwanza mpaka juu kwenye mawe nyumba ikitokea shda utamlaumu Nan?mitaro nayo miji mingi bongo hakuna
Kuna maeneo hapo Kauli za Chalamila kuwa maji huwa yanarudi nyumbani ni sahihi.Tuwe watu wakuchukua tahadhari ya unenzi wa miundombinu maeneo ya mabondeni
Pole sana ndg Zang mungu azd kuwapa wepes.
Jaman mungu atsaidie
Kwa jiji la Mwz, ni kawaida hapo lango moja, Hiyo Sehemu ni finyu kwa mapokeo ya Maji. HAYO maji ya natoka Mabatini na milimani, mengine ya natoka kona zote za Buzuruga. Poleni sana Wana Mwz jiji.
Duniani Boss ni 1. Nimungu tu Kila mutu ana itaji musada wa mungu
Jamani tuendelee kumwomba mungu sana na pia poleni sana
Poleni Sana ndugu zangu
Poleni mwanza
hatari mno allah atuepushie polen sana wana mwanza
Poleni sana jaman duuuuuh
Pole sana jamani mwanzaa,mungu awanusuru ,
Polen Sana Wana lango
Poleni Sana watu wa mabatini.....
Poleni Sana dungu zangu
Poleni ndugu zangu Mungu atwanusuru na maafa
Poleni sana Mungu awape faraja
Mungu atusaifie
Nikiona hivi huwa napata nguvu bora nimtukuze mwenyezi mungu sikuzote kuliko kukumbatia dunia na mali.
Ulikiandika ndicho, Mungu kwanza hivi vyote vinapita.
Wee nimvivutuu
Hii ni la muda tshukuru Mungu kwa kila jambo kuliko lawama
Polen Sana watu wa mwanza Mungu awasaidie
poleni sana
Subuhanna llah Allah alete kheri zake wallah maana mvua za mwaka huu hatari
Pole sana wapendwa
Da hii inchi iko tofaut
Mungu atunusuru
polen sana
Polen jamn
Polen sana
Tumuombe ALLAH Atunusulu na Mvua hizi . Atuletee Mvua zisizo na Madhala.Amiina.
Sasa mafuriko ki vipi na wakati maji yanapita kwwnye njia yake.
Poleni
Mungu alinde huko mawe yasije yakaanza kupolomoka
Uendelee kumuomba Mungu atusaidie na atunusuru na mafuriko haya jamani
Kuna watu wapo juu ya paa la gest house ila Mungu aendelee kutulinda sana
Dah poleni ndg zangu wa mabatini
Wala siyo Mungu ni miundo mbinu ondokeni huko msimsingizie Mungu kila kitu Mungu amewapa akili madini kila kitu mmeshindwa alafu mnamsema Mungu wetu asee
Duuu mungu atunusuru
Duuuuuue, kz ipo Kwa kweli, Cha muhimu tuwe na subla na tuyaheshimu sana maji.
Wewe Mwandishi, unajifunza kutoa habari
Mungu atuhurumie kwa kweli
Pole
Tubuni yesu tu mulangni
Poleni sana
God help you
Mateso yesu
Mvua za mwaka huu hatar sana
Jaman.naomba kuuliza wakati wa jpm mavuliko hakutokea hiv daa tuombe sana kwa mungu jakati hizi ngum
Polen
kuna kitu tunaonywa kwakweli MUNGU tusamehe
Mi mwenyewe jna nilikuwepo hapo,Yani Yehova ametuokowa
Polnsana watu.wa.mwanza
Mvua mwaka huu imenyesha karibu kila nchi duniani. Je munakumbuka?.
Mulikeni miundombinu jamani ya mwanza ni mibovu sana
Miundo mbinu inahusiana nini na mafuriko ?
Kwa hio hata hapa Dar miundo mbinu mibovu? Vipi Arusha na Morogoro? Maana kote uko mafuriko yametokea
Mshapewa fidia hatamki kutoka
Yani mabatini mwee
Polen jaman
Mafuriko manyara
😢😢😢😢poren san
Watu wa mabatini walishahamidhwa Kwa tamko la raisi mstaafu hayati Benjamin Mkapa wahamie Nyamhongolo enzi hizo waligoma kwenda kule Kwa dai kuwa ni porini. Wamesahau.
Ndo shida ya wanainchi hiyo.
Walipelekwa Mahina sio Nyamohongolo
@@magigesabai8674
Asante Kwa kunikumbusha typing error
Balaa
Manyara
Hz mvua Ni za kawaida sema bongo hakuna mipango mini watu wamejenga ovyoovyo tu Kama mwanza mpaka juu kwenye mawe nyumba ikitokea shda utamlaumu Nan?mitaro nayo miji mingi bongo hakuna
Kuna maeneo hapo Kauli za Chalamila kuwa maji huwa yanarudi nyumbani ni sahihi.Tuwe watu wakuchukua tahadhari ya unenzi wa miundombinu maeneo ya mabondeni
Mvua kubwa ina maanisha neema na mtu mkubwa atakuja ndani ya nchi ya Tanzania kuna mtemi mkuu aja
Mtemi ni Yesu kristo.
Hapo kama unatoka town kuelekea Kisesa bora uzunguke Nyasaka au Bugarika Mahina
Live
Tunaomba msaidie kumulika miundo mbinu ya mwanza haifai kama jiji
Asante kwa maoni yako tumeyapokea
Mafuriko yanaathiri hata mataifa yenye miundonbinu ya kisiasa kama Marekani,China n.k. isiwe meepesi wa kulaumu, majanga asili ni kitu kingine.
Duh
Polen sana
Ghafla ikawa usiku Ikea jion
👁️👁️🇫🇮🤝
Dalodi
Poleni Sana ndugu zangu
Mungu atusaidie
Polen sana
Duuu mungu atunusuru
Mshapewa fidia hatamki kutoka