KARIBU MWANZA: Jionee kisiwa kiitwacho "SAA NANE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Wakati tukiisubiria FIESTA 2017 Mwanza September 23, Sept 19, 2017 Reporter wako wa nguvu Millard Ayo alitembelea moja ya visiwa vinavyopatikana Mwanza Tanzania, kinaitwa SAA NANE ambacho pia ni Mbuga ya Wanyama.

КОМЕНТАРІ • 57

  • @makiniswingadventures3517
    @makiniswingadventures3517 7 років тому +5

    kazi nzuri kaka Millard

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Місяць тому

    Jaman ndomarayakwanza kukisikia nipo mwanza nimekulia mwanza

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 5 років тому +1

    Miaka miiingii sijafika huko nimekumbuka utoto wangu..lkn siku zile kulikua n wanyama wengi kiboko/ twiga/ Tembo(ndovu) simba..hata kwenye uwanja wa saba saba kulikuwepo banda la simba..mungu ibariki Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Місяць тому

    Ndomna hawana ayo wakitoa taarifa au matukitukio yoyote watu tunaamini kuliko ledio zote

  • @pilimtandika9390
    @pilimtandika9390 7 років тому +4

    hongera sana Millard kwa kazi nzuri

  • @basicbongo9322
    @basicbongo9322 7 років тому +10

    huyo jamaa yuko deep sana kwenye utaliii.. yuko njema sana inaonekana ni Msukuma huyo jamaaa.

    • @hamidmakamejuma3518
      @hamidmakamejuma3518 7 років тому +1

      jamaa yupo vizuri na kazi yake

    • @makiniswingadventures3517
      @makiniswingadventures3517 7 років тому +1

      karibu kaka 0756389949

    • @makiniswingadventures3517
      @makiniswingadventures3517 7 років тому

      karibu kaka 0756389949

    • @sirialemmy37
      @sirialemmy37 7 років тому

      MAMBO TV
      You have to appreciate the knowledge of others. Hajakariri ila anayo uelewa dhabiti Kwa Kazi yake, habahatishi. Ni furaha kwetu kama nchi na pia ni mkarimu sana on my view!
      Good job Millard & good job the hoster on the island

    • @makiniswingadventures3517
      @makiniswingadventures3517 7 років тому

      Asante sana kwa maoni yako Siria Lemmy,karibu sana 0756389949

  • @jerrykasekasebula5107
    @jerrykasekasebula5107 7 років тому +2

    Huyu mselaa yuko deep saaana

  • @lukachove3793
    @lukachove3793 7 років тому +2

    Nimeipenda hii hakika Tanzania imebarikiwa

  • @modestmassawe_tangatz
    @modestmassawe_tangatz 6 років тому +2

    Ase ukisikia millard is the best ni vitu ka iz tunapewa. Lait media zingine wangekua wabunifu ka ivi tungeiona nchi yetu sehem nyingine sio kiutalii tu kwenye nyanja zoote za kijamiii. Millard big u kaka utanijuza we ni kabila gan nikaowe huko mnaakili sana ninyi watu

  • @makiniswingadventures3517
    @makiniswingadventures3517 7 років тому +2

    kazi nzuri kaka Millard

  • @geofleyshiuga2487
    @geofleyshiuga2487 6 років тому +1

    Mhuuu @Millard ni kiboko big up

  • @hasanially9384
    @hasanially9384 Рік тому

    Muonggeze wanyama

  • @rehemafungo5042
    @rehemafungo5042 2 роки тому

    Je?sokwe hayapo?

  • @gemkachar
    @gemkachar 7 років тому +1

    safi sana mahali pa kurelax. Internet connection na huduma za umeme zikoje huko kisiwani ? Vyakula aina gani vinauzwa ? Mko na website au FB page ? Wasafiri kutoka nchi za jirani wanalipishwa hela ngapi kuingia na accomodation ?

  • @violetkirita6089
    @violetkirita6089 7 років тому +1

    Kazi Nzuri Millard 👏🏽👏🏽👏🏽

  • @Myright888
    @Myright888 6 років тому +1

    So beautifully jamani lol!

  • @user-elektra
    @user-elektra 3 роки тому

    Hiyo historia ya huyo mzee ya uongo saa nane ni babu yetu wafatilie vizuri

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti 7 років тому +1

    nmependa xna maelezo yako kaka ayoub, i hav to com there, coz napaskiaga

  • @makiniswingadventures3517
    @makiniswingadventures3517 7 років тому +1

    kazi nzuri kaka Millard

  • @dominickshoo9214
    @dominickshoo9214 7 років тому +1

    Big Up Chalii ya R-Chuga

  • @muhammadaljabery4530
    @muhammadaljabery4530 3 роки тому

    A mwenzangu Mimi nina ishi Karibu na saa nane nimesha enda sana

  • @zainabuyasin8189
    @zainabuyasin8189 6 років тому

    kisiwa mwake jmn sijui nami nitafika lini ninavyoogopa maji.jmn nomaa

  • @dr_toyota.3371
    @dr_toyota.3371 5 років тому

    yup , nko MZA but cjawah fka broo, I wish ntapachek

  • @p.kasongot979
    @p.kasongot979 7 років тому

    Ivi millard waja kunihowa lini haaa 😍😘😂

  • @manjimufungo9658
    @manjimufungo9658 7 років тому

    oy millard usisahau sangara mzee

  • @emilyvngoma4911
    @emilyvngoma4911 7 років тому

    Napaona home Butimba paleeeee!

  • @amoscharz5606
    @amoscharz5606 7 років тому

    Ni shilling ngapi kutalii Hapo?

  • @odasmasimango362
    @odasmasimango362 7 років тому

    bro hiyokofia inakutoa kinoma noma

  • @abbasmwacheeabbasmwachee5533
    @abbasmwacheeabbasmwachee5533 7 років тому

    Kisiwa kizuri sana Mashallah

  • @thompsonjohn9988
    @thompsonjohn9988 6 років тому

    yah soon Tsh 8800/ from trhe 26-28oct 2018

  • @willembanila4455
    @willembanila4455 7 років тому

    kazi nzuli miladi

  • @inclyrics4384
    @inclyrics4384 7 років тому

    safi sana Millard nmependa the way umekeep humble

  • @perepetuamhagama238
    @perepetuamhagama238 6 років тому

    Kazi nzuri

  • @kushahalabani7069
    @kushahalabani7069 6 років тому

    Milladi ayo inaonakana wewe nimusukuma maana mwanza unatangaza sana

  • @sabrinaali8810
    @sabrinaali8810 7 років тому +2

    Mic San home kwetu

  • @omaniph9313
    @omaniph9313 4 роки тому

    Very nice place

  • @pierreadams3114
    @pierreadams3114 7 років тому

    I was there back to the days

  • @tkvlogs3969
    @tkvlogs3969 7 років тому +1

    Beautiful

  • @simonmajigop5890
    @simonmajigop5890 7 років тому

    big up dogo

  • @morisbarakah5292
    @morisbarakah5292 7 років тому

    good job

  • @jac9495
    @jac9495 7 років тому

    Beautiful

  • @jovinajovin4637
    @jovinajovin4637 6 років тому

    Eti pimbi😂😂😂😂😂😂