TAHARUKI!!! SHUHUDIA MAFURIKO Mwanza, watu wanasa majini

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 42

  • @barakaaman2668
    @barakaaman2668 8 місяців тому

    Daraja la Masai kanoni Mwanza tandamu la Mangarama Bunda pazuro

  • @suzyjohn6885
    @suzyjohn6885 8 місяців тому

    Mabatini hapo kawaida yake mafriko ni kawaida hapo ila watu huwa hawa sikii kuhama hawataki

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 8 місяців тому

    Watengeneze dalaja wakati wanaona bola wafanye usafi

  • @AkimuWaziri
    @AkimuWaziri 5 місяців тому

    Acheni uzinzi. Ushoga mungu amechukia

  • @omarysaidmangara3333
    @omarysaidmangara3333 8 місяців тому +1

    Binfisi sina mashaka simba ni hi ushindi upo pale pale wapenzi longido tupo na timu yetu matumani yapo

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 8 місяців тому +2

    Mwanza sehemu gani?

  • @pendopeter9075
    @pendopeter9075 8 місяців тому +1

    Sauti haisikiki wakt ni kituo kikubwacha habari

  • @BeatriceSaid
    @BeatriceSaid 8 місяців тому +1

    Mafuriko na mpira wapi nawapi huyu nae😂😢😢😢

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx 8 місяців тому

    Poleni sana

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli9697 8 місяців тому +1

    Mungu awalinde wapendwa

  • @stemarcely7493
    @stemarcely7493 8 місяців тому +2

    MUNGU wangu...

  • @JoharikabonaKabona
    @JoharikabonaKabona 8 місяців тому +1

    Alhamdulilah nilihama hili eneo niliteseka sana

  • @protusmushi7162
    @protusmushi7162 8 місяців тому +1

    Hapo inabidi kikosi cha uokoaji kiwahi haraka.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 8 місяців тому +1

    Mungu tuhurumie na utusamehe

  • @JoyceMigwata-lu9le
    @JoyceMigwata-lu9le 8 місяців тому

    Polen sana

  • @AnnaMunisi
    @AnnaMunisi 8 місяців тому

    Cjc

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk 8 місяців тому +1

    Duh ni hatari xna

  • @EmanuelMaliti
    @EmanuelMaliti 8 місяців тому +1

    Hatari sanaa

  • @marymgimwa
    @marymgimwa 8 місяців тому

    Kipindi cha nuhu lkn wala hatuna habari na mungu aliyetuumba🎉

  • @csato9415
    @csato9415 8 місяців тому

    Jamani sasa hao waliosimama juu ukuta, wana uhakika gani kuwa uko imara.

  • @tirigimusiba3815
    @tirigimusiba3815 8 місяців тому

    Poleni sana ndg zetu .

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 8 місяців тому

    Uokowaji wako wapi?

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 8 місяців тому +1

    Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.

    • @josephkulija293
      @josephkulija293 8 місяців тому

      Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 8 місяців тому

      Mipango Miji amkeni. Fanyeni kazi zenu

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 8 місяців тому

      Nchi gani duniani amba haipatwi na mafuriko?

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 8 місяців тому

      Hat huko kweny miundombinu bora kuna mafuriko pia usisahau

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 8 місяців тому

      Two wrongs does not make it a right

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli9697 8 місяців тому

    Yote tumwachie mungu

  • @SophiaLubinsha-g4m
    @SophiaLubinsha-g4m 8 місяців тому

    Hatari sana

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 8 місяців тому

    Hii sijui kama siio mto mirongo

  • @HasaniShija-ye5xg
    @HasaniShija-ye5xg 8 місяців тому

    Dah niatari sana

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 8 місяців тому

    Hii hatar

  • @aliyuabdallah3210
    @aliyuabdallah3210 8 місяців тому

    Hii hatar

  • @dee4144
    @dee4144 8 місяців тому

    Daraja la masai

  • @ThomasNdaki
    @ThomasNdaki 8 місяців тому

    Poleni sana ndg zetu kwa mafuliko

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os 8 місяців тому +1

      "Mafuliko" ni kitu gani wewe andika kiswahili kinachoeleweka la sivyo acha kabisa kupotosha😠

  • @edinamadebele973
    @edinamadebele973 8 місяців тому

    Huyu anaeishauri serikali mbona kama kaweka ugolo mdomoni😂

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 8 місяців тому +1

      We unaangalia ugoro au unasikiliza ujumbe alioutoa?

    • @BeatriceSaid
      @BeatriceSaid 8 місяців тому

      Angalia ujumbe acha ushamba

  • @MilembeMagashi
    @MilembeMagashi 8 місяців тому

    Mwanza sehem gani

    • @dee4144
      @dee4144 8 місяців тому

      Daraja la Masai