TAHARUKI!!! SHUHUDIA MAFURIKO Mwanza, watu wanasa majini

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Malori yaliyosheheni bidhaa yamenusurika kusombwa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Mwanza kwa zaidi ya Saa 4.

КОМЕНТАРІ •

  • @tirigimusiba3815
    @tirigimusiba3815 Рік тому

    Poleni sana ndg zetu .

  • @JoharikabonaKabona
    @JoharikabonaKabona Рік тому +1

    Alhamdulilah nilihama hili eneo niliteseka sana

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx Рік тому

    Poleni sana

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli9697 Рік тому +1

    Mungu awalinde wapendwa

  • @HasaniShija-ye5xg
    @HasaniShija-ye5xg Рік тому

    Dah niatari sana

  • @AkimuWaziri
    @AkimuWaziri 9 місяців тому

    Acheni uzinzi. Ushoga mungu amechukia

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Рік тому +1

    Mungu tuhurumie na utusamehe

  • @JoyceMigwata-lu9le
    @JoyceMigwata-lu9le Рік тому

    Polen sana

  • @stemarcely7493
    @stemarcely7493 Рік тому +2

    MUNGU wangu...

  • @EmanuelMaliti
    @EmanuelMaliti Рік тому +1

    Hatari sanaa

  • @marymgimwa
    @marymgimwa Рік тому

    Kipindi cha nuhu lkn wala hatuna habari na mungu aliyetuumba🎉

  • @ThomasNdaki
    @ThomasNdaki Рік тому

    Poleni sana ndg zetu kwa mafuliko

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os Рік тому +1

      "Mafuliko" ni kitu gani wewe andika kiswahili kinachoeleweka la sivyo acha kabisa kupotosha😠

  • @suzyjohn6885
    @suzyjohn6885 Рік тому

    Mabatini hapo kawaida yake mafriko ni kawaida hapo ila watu huwa hawa sikii kuhama hawataki

  • @barakaaman2668
    @barakaaman2668 Рік тому

    Daraja la Masai kanoni Mwanza tandamu la Mangarama Bunda pazuro

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk Рік тому +1

    Duh ni hatari xna

  • @BeatriceSaid
    @BeatriceSaid Рік тому +1

    Mafuriko na mpira wapi nawapi huyu nae😂😢😢😢

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Рік тому +2

    Mwanza sehemu gani?

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja Рік тому +1

    Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.

    • @josephkulija293
      @josephkulija293 Рік тому

      Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Рік тому

      Mipango Miji amkeni. Fanyeni kazi zenu

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 Рік тому

      Nchi gani duniani amba haipatwi na mafuriko?

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Рік тому

      Hat huko kweny miundombinu bora kuna mafuriko pia usisahau

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Рік тому

      Two wrongs does not make it a right

  • @csato9415
    @csato9415 Рік тому

    Jamani sasa hao waliosimama juu ukuta, wana uhakika gani kuwa uko imara.

  • @pendopeter9075
    @pendopeter9075 Рік тому +1

    Sauti haisikiki wakt ni kituo kikubwacha habari

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli9697 Рік тому

    Yote tumwachie mungu

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Рік тому

    Hii sijui kama siio mto mirongo

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 Рік тому

    Uokowaji wako wapi?

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 Рік тому

    Watengeneze dalaja wakati wanaona bola wafanye usafi

  • @omarysaidmangara3333
    @omarysaidmangara3333 Рік тому +1

    Binfisi sina mashaka simba ni hi ushindi upo pale pale wapenzi longido tupo na timu yetu matumani yapo

  • @protusmushi7162
    @protusmushi7162 Рік тому +1

    Hapo inabidi kikosi cha uokoaji kiwahi haraka.

  • @aliyuabdallah3210
    @aliyuabdallah3210 Рік тому

    Hii hatar

  • @AnnaMunisi
    @AnnaMunisi Рік тому

    Cjc

  • @domina22
    @domina22 Рік тому

    Daraja la masai

  • @MilembeMagashi
    @MilembeMagashi Рік тому

    Mwanza sehem gani

  • @edinamadebele973
    @edinamadebele973 Рік тому

    Huyu anaeishauri serikali mbona kama kaweka ugolo mdomoni😂

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 Рік тому +1

      We unaangalia ugoro au unasikiliza ujumbe alioutoa?

    • @BeatriceSaid
      @BeatriceSaid Рік тому

      Angalia ujumbe acha ushamba

  • @SophiaLubinsha-g4m
    @SophiaLubinsha-g4m Рік тому

    Hatari sana

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Рік тому

    Hii hatar