Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.
Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.
Daraja la Masai kanoni Mwanza tandamu la Mangarama Bunda pazuro
Mabatini hapo kawaida yake mafriko ni kawaida hapo ila watu huwa hawa sikii kuhama hawataki
Watengeneze dalaja wakati wanaona bola wafanye usafi
Acheni uzinzi. Ushoga mungu amechukia
Binfisi sina mashaka simba ni hi ushindi upo pale pale wapenzi longido tupo na timu yetu matumani yapo
Mwanza sehemu gani?
Sauti haisikiki wakt ni kituo kikubwacha habari
Mafuriko na mpira wapi nawapi huyu nae😂😢😢😢
Poleni sana
Mungu awalinde wapendwa
MUNGU wangu...
Alhamdulilah nilihama hili eneo niliteseka sana
Hapo inabidi kikosi cha uokoaji kiwahi haraka.
Mungu tuhurumie na utusamehe
Polen sana
Cjc
Duh ni hatari xna
Hatari sanaa
Kipindi cha nuhu lkn wala hatuna habari na mungu aliyetuumba🎉
Jamani sasa hao waliosimama juu ukuta, wana uhakika gani kuwa uko imara.
Poleni sana ndg zetu .
Uokowaji wako wapi?
Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.
Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.
Mipango Miji amkeni. Fanyeni kazi zenu
Nchi gani duniani amba haipatwi na mafuriko?
Hat huko kweny miundombinu bora kuna mafuriko pia usisahau
Two wrongs does not make it a right
Yote tumwachie mungu
Hatari sana
Hii sijui kama siio mto mirongo
Dah niatari sana
Hii hatar
Hii hatar
Daraja la masai
Poleni sana ndg zetu kwa mafuliko
"Mafuliko" ni kitu gani wewe andika kiswahili kinachoeleweka la sivyo acha kabisa kupotosha😠
Huyu anaeishauri serikali mbona kama kaweka ugolo mdomoni😂
We unaangalia ugoro au unasikiliza ujumbe alioutoa?
Angalia ujumbe acha ushamba
Mwanza sehem gani
Daraja la Masai