Niliota nimekwenda mahali tulikuwa wengi, nawengi wao ni wanafamilia wa tumbo moja, sasa hiyo nikaenda kusaidia nikakuta chooni ni kuchafu sikujisaidia, nikaenda sehemu nyingine hicho ndio kimjaa na wadudu wengi, nikatoka nikaanza kutafakari na kujiuliza nitafanyaje na nimeshikwa na haja, bahati nzuri nikatupa jicho nikaona niko karibu na eneo ambalo nilikuwa ninafanya kazi maana sasa hivi ni mstaafu nikaona niende kujisaidia, ghafla nasikia watu wanaongea kwa nje huyu yuko wapi, halafu ni usiku, nikatoka, wale watu wakaniambia unatafutwa sana na wale ndugu zako wamesema wanaingia watakiacha, bahati nikakutana nao mlangoni wakaanza kama kunilaumu nikawaambia huko siendi ninyi nendeni mara nikastuka kutoka kwenye ndoto, ina maanisha nini?
Nikwel kbsa mtumishi nimeota nipo chooni nachungulia kinyesi baada ya hapo nikaoga nakutoka nje ....najitahid sana kuomba. Nina maadui wengi kunamda ninaroho yakukataliwa nawatu pia napitia magum kwenye ndoa yangu mwanaume amenikimbia mwaka mzima na hakuna sababu yamsingi yakuniacha nilee watoto peke yangu naumia mnoo nakitahid sana kuomba ila bdo sijafanikiwa naomba uniweke kwenye maombi namm
Habari mtumishi Mie nimeota nipo ndani nimelala nikachukua kopo nikajisaidia kinyesi kisha nikawa nataka kukitoa nje watu wakawa wapo nje nikawa wavizia watu wasione nimetoka na kinyesi ndani
Amen mm apo nyumba nilikua naota sana nimeingia chooni lkn imejaa kila mahali mpaka akuna penye unakanyaga lkn sikuizi uwa sioti tena kwa sababu nimeachia mungu mambo yangu yote
Nmeota nmeenda kwa choo nikakuta kuna tundu limebomoka kinyes kinaonekan na kina funza wengi nikawa naziba lile tu nkaliziba lote hii ina maan gan naomba kujua
@@shiningstarheavenlyembassyMm nimeota nimemaliza kujisaidia kila nikijisafisha kinyesi hakiishikikawa kinadondoka nikakimbilia kwenye maji mengi hii ina maana gani?
@@shiningstarheavenlyembassy mtumishi niliota nimepoteza viatu high heels na raba nikakuta vimetupwa porini raba zimechafuka nin maana yake,then nikaota tena natembea nimevaa raba zilezile ni nyeupe ila zimechafuka msaada maana yake. Niliota siku tofauti
Nimekusikiliza vyema laminitis mimi niko tofauti nikota kinyesi au kimenizunguka hua nafanikiwa sana nanitashika ela sana
Barikiwa mtumishi , asante Sana Kwa maneno ya Mungu
Asante baba ubarikiwe mno
Ameniii mjugaji nimeota nimetapa choo inakinyezi na maji ilijaa Kwa choo nanikaosha na mtoto akakuja inaanaana gani
Amen mtumishi
Ameen..mtumishi m nliota naenda haja kubwa alaf baadae nkaoga pia Io inamaanisha nn
Niliota nimekwenda mahali tulikuwa wengi, nawengi wao ni wanafamilia wa tumbo moja, sasa hiyo nikaenda kusaidia nikakuta chooni ni kuchafu sikujisaidia, nikaenda sehemu nyingine hicho ndio kimjaa na wadudu wengi, nikatoka nikaanza kutafakari na kujiuliza nitafanyaje na nimeshikwa na haja, bahati nzuri nikatupa jicho nikaona niko karibu na eneo ambalo nilikuwa ninafanya kazi maana sasa hivi ni mstaafu nikaona niende kujisaidia, ghafla nasikia watu wanaongea kwa nje huyu yuko wapi, halafu ni usiku, nikatoka, wale watu wakaniambia unatafutwa sana na wale ndugu zako wamesema wanaingia watakiacha, bahati nikakutana nao mlangoni wakaanza kama kunilaumu nikawaambia huko siendi ninyi nendeni mara nikastuka kutoka kwenye ndoto, ina maanisha nini?
Mi ni
Habari ,niliota mwanangu anajisaidi kwa kuharisha na kukojoa kwa kwa kuvirusha kwa mbali nini maana ake
Nikwel kbsa mtumishi nimeota nipo chooni nachungulia kinyesi baada ya hapo nikaoga nakutoka nje ....najitahid sana kuomba. Nina maadui wengi kunamda ninaroho yakukataliwa nawatu pia napitia magum kwenye ndoa yangu mwanaume amenikimbia mwaka mzima na hakuna sababu yamsingi yakuniacha nilee watoto peke yangu naumia mnoo nakitahid sana kuomba ila bdo sijafanikiwa naomba uniweke kwenye maombi namm
Amen
Habari mtumishi Mie nimeota nipo ndani nimelala nikachukua kopo nikajisaidia kinyesi kisha nikawa nataka kukitoa nje watu wakawa wapo nje nikawa wavizia watu wasione nimetoka na kinyesi ndani
Bwana Yesu asifiwe Mtumishi
Nisaidie kwa tafsiri pls nimeota kwa choo panaja uchafu mwingi sana maana yake nini
ISHARA ya DHAMBI na ROHO CHAFU kukufuatilia
@@shiningstarheavenlyembassy Asante nashukuru kwa tafsiri mubarikiwe na Bwana
Hi..Mimi Niliota majirani wangu wanakuja kijisaidia kwa choo changu ...yani majirani kona zote wanakuja chooni mwangu nimeshtuka😢🙄
Asante mimi baada ya kufunga maombi ya toba nmeota namfuta mama yangu mavi mara mbili
Amen mm apo nyumba nilikua naota sana nimeingia chooni lkn imejaa kila mahali mpaka akuna penye unakanyaga lkn sikuizi uwa sioti tena kwa sababu nimeachia mungu mambo yangu yote
Niliota nimekunya kwa chumba changu .inamaana ngani?
Mm nimeota nasafisha choo Cha wazngu lakini inavitu vingi vichafu naosha mpk bs
Nasimu kuwanguka choo
Nmeota nmeenda kwa choo nikakuta kuna tundu limebomoka kinyes kinaonekan na kina funza wengi nikawa naziba lile tu nkaliziba lote hii ina maan gan naomba kujua
Ukiota unafukiwa kwa choo ?
Na kueda haja kubwa kwa kiti????
Ukiota unakuwa mavi,inamaanisha nini
Yaani WEWE unageuka kuwa mavi au unakula mavi?
Unakula mavi,inamaanisha nini
@@shiningstarheavenlyembassyMm nimeota nimemaliza kujisaidia kila nikijisafisha kinyesi hakiishikikawa kinadondoka nikakimbilia kwenye maji mengi hii ina maana gani?
@@Teshy23 ACHA MAISHA ya DHAMBI, ni ISHARA ya AIBU nakupoteza heshima na utukufu WA MUNGU
@@shiningstarheavenlyembassy mtumishi niliota nimepoteza viatu high heels na raba nikakuta vimetupwa porini raba zimechafuka nin maana yake,then nikaota tena natembea nimevaa raba zilezile ni nyeupe ila zimechafuka msaada maana yake. Niliota siku tofauti