UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
Вставка
- Опубліковано 18 чер 2020
- UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
#MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NyumbaYatibaNaDua
Jamani bando litaisha kabla kuskia maana ya ndoto, kuwa na kauli fupi fupi . Una strori nyingi Sana
Ustadh unatafsir vizur san lakin unazunguz san yaan unaelez huk na kul unawez ukamsif allah nakumsalia mtum juu yake rehm na aman nakuingia moj kwa moj kweny mad inshallah
UNAONGEA SANAAA
Shukrani shekhe
Shukrani sana mualimu somo adhimu kabisa mungu akulinde milele daima
Unakera sana unamaneno mengiunatumalizia muda hatuhitji kiarabu hicho jalibu kupunguza maneno
Allah akubariq san ustadh wangu nimekuwa nikioa japo mara moj kwa mwez subhanallah
Safi sana kwa kuelewesha jamii kuhusu njozi tunaoya
Shekhe unachelewa sana mazungumzo ya akuwa mengi Sana tafadhali shekhe🤝
Peleka mbele
Baarakallah fiika
Shukuran sana sheikh,,Allah akujalie kheri🙏
Walaykum salama warhmatullahu wabarakatuh sheikh
Shukran
Shukrani
Amiina yaarabbi
Asante Kwa kutufundisha
Uko vizuri maalim
Shukran sna sheikh wetu
asante kwa tafsri hyo, mmi niliota nakusanya kinyesi sjui itakuw na maan gan hyo ndoto samhn lkin
صلى الله عليه وسلم
Maneno ni mengi mnoo ungekuwa unaenda straight to the point
Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik
Amina yaarabiy
Akika unafanya kazi vzr Sana Kaka,
Allahu akbaru
Asalam alekum. Shukran sheikh kwa kutupa elimu allha akubariki na akutie katika pepo yake kwa rehma zake mimi nimeota nimejisadia kwetu njee ya choo lakini kwenye yale mabakuli ya watoto lakini lilikua kubwa na hiyo haja kubwa haina harufu yoyote
Ameen
Barikiwa sana sheikh kwa mafunzo yako
Amina yaarabiy
Barikiwa saana shikh mafunzo yako Mimi nimeota mtoto mdogo ambae ni alubino ananialishia kwa mfurulizo kama mpolomoko maana yake nini
Sitori nyingi tatizo Hira ni nzur
Warrykum Salam wallahmatullah wabarakat
Il
Unahadisi mpaka hamu ya kusikiliza inaisha punguza maneno
Maneno mengi zungumza lilokusudiwa
👌👍
Allah atujaalie salama inshaallah
Je anayeota kunya ofisini maana yake Nini?
Baba unazunguukaa Sana, mpaka kero, nenda moja moja kwenye Mada, unapoteza mb zetu
😂😂😂
Pekeka mbele
peleka mbele vidio😂😂😂
😂😂
Shekh hebu kuwa unaeleza wapenda kurudia kitu mara Kwa mara wengine hku Yuko nchi za watu time y kusikiza unavyo jieleza hatuna
😂😂
Kuota njozi shekh na watoto wadogo wanasoma qulani kwa furaha ndani ya moy
Mm nimeota nimemkuta mume wangu anajisaidia haja kubwa choon nyingi Sana kufungua mlango akastuka
Nimeota ndoto kuhusu kinyesi lakn nimefatilia kuhusu tafsiri ...kila mmoja ana tafsiri ya pekeake mpaka sasa sijapata tafsiri sahihi.
Nataka kujua maana y ndoto yangu, nimeota nikienda chooni n familia n hapali penyewe ni pachafu sana, alafu baba yangu pia ametoka chooni n mmi nimeingia hadi nashindwa kujisaidia juu y uchafu n naona wengine wanarusha maji chafu y choo n mkono, mmi nikatafuta maji y kujisafisha nikapata maji y mvua ikitoka kwa mabati nikatumia kujiosha nikiwa nimesimama n nikaanza kutawadha pia nao
❤❤❤
A,aleykum shekhe,m nimeota mtoto wangu kajisaidia haja kubwa kitandan kwenye mashuka nikawa nakusanya kuyatowa haja ikawa imenitapakaa na mm,nn maana yake
Mm Nikita hivyo napata pesa nyingi sana
maneno mengi shekhe tafadhal
Mbona me nilishoota najisaidia mara kwa mara ila sijwi kupwa na mikosi hiyo me kwanza ndio huwa napta pesa sana
Mimi ndoto za mavi najua ni kupata pesa
Mimi mwenyewe nikiota mavi lazima nipate pesa
Sadakta na mm ndo napata pesa naota nimeingia mavi gauni langu napata pesa
@@Ashsultana kweli mm nikiota lazima napata pesa hahahaha
Hizi tafsir mungu atusaidie Kila mtu anatafsir zake sijui tumwamin nan
Unafanya vzr shekhe lkn punguza Hadith kwa maana ya mda na bando letu
Mimi nimeota mara ya 2 sasa mara ya kwanza nakunya kitandani na kuna watu waliyapokea lkn ckuwaona na nikashtuka mara ya 2 nimeota nimeenda shambani nikaona mavi nikayaruka nikanya pembeni mara4 sehemu tofauti
😅😅😅
Na ww mala nne zooooooote jaman
Mimi nimeota nimeona haja kubwa kwa shimo la choni na alofanya hiyo haja kubwa ni ndugu ya wa kiume na kwenye hiyo haja kubwa iko miguu ya kuku.
Ok
TAtizo la huyu jamaa anazunguka sana
tatizo huendi kwenye poit unazunguka saaaana
mtu anashindwa kukusiliza mpaka ,mwisho
Mim nimeota boss wangu akijisaidia haja kubwa chooni.inamaana gani
Asante xana sheikh lakini ukiota umepata haja kubwa kwa nyumba
Assalam aleikum..samahani kaka mimi nimeota watu wamebeba mithili ya jeneza halikai kama jeneza unavyoliona ila limebebwa juujuu kama watu wanavyobeba jeneza kumaanisha ilo ni jeneza lkn sijui kama ndani mna mtu wala hamna na watu waliolibeba hawapokezani kama watu wanavyofanya limeenuliwa juujuu na watu kama watatu hivi kisha wengine wanatembea tu kando huku wakiongea stori zao na kucheka..naomba unitafsirie
Mafunzo poa.but mimi uota nikiona watu wakijizaidia au mtoto wangu amejizaidia kwa sahani na plis sijui maana yake.naomba kujua
Nenda kwenye hoja ya msingi,
Huyu bwana anakula mb kwakitu kidooigo had hovyo jirekebishe bwana
Shukran Sheikh,,,JazzakaAllahu Kheyr,,Na Kama Umeota Umepigana Na dadako Inamaanisha Nini Sheikh,?
Hiyo ni amali ya shetani
@@nyumbayatibanadua737 amali yake kivpi inamaana iyo ndoto sio nzuri shekhe
Ana imanisha Hainaut maana ni naoto tu ya shetani
Shekhe naomba unijibu Mimi niliota najisaidia chooni ila choni kwenye we ni chumbani ninapo lala ila hapana choo. Yani ni chumba NA choo chake ila sikwenda chooni nilijisaidia chumbani ila najuwa nipo chooni BOSI wangu akaingia NA mtoto wake mdogo akaniita Mimi sikuitaka ila alivyo ingia chumbani akaniona nimekaa katika choo yule mtoto akataka kunifwata ila mama yake akamwambia nipo najisaidia chaajabu kulikuwa hakuna halufu baosi akatoka Mimi nikawa najiuliza kwanini sukuenda kujisaidia chooni nipo hapa chumbani.. Naomba unijuzee
Story ndefu sana naweee aah
😁😁😁
Ad anaboa
Tafuteni pasipo stori basi Nyie vipi
Shekhe mm nimeota najisaidia chumbani kwangu chini ya sument kisha nikaizoa kwenye karatasi nyeupe nikawa naipereka chooni ila nilipofika ukumbini ikadondoka nikaizoa tena ila nikaacha kidogo pare chin ukumbin kisha nikaenda kuipereka chooni inamaana gani iyo
Nenda kwenye tropic mbwe mbwe nyingi mpaka mtu unachoka
Kabisaa.
Shukran
Ahsante
SHEHE UNATUFUNZA SANA LAKINI JITAHIDI KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO JARIBU KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO
anamaneno mengi kisha anaongea polepole
Shekhey Mimi najisaidiy ndani
Punguza maneno mengi twende kwenye
Mimi nimeota hajakubwa inanitoka lkn nnanguo zang watu wananishangaaa lkn mimi naenda mbio kubwa na ona haya jeee inamana gani
Shida unaongea snaaa hapa utapoteza wafatiliaji
Mimi nimeota najisaidia kwenye sinki la choo lkn liko wazi ila nilihisi hamna anaye niona kumbe nilionekana nikasahau kuflash nikaondoka baadae nikapita tena maeneo hayo watu wakanivaa na kunichamba kisa cjaflash choo niliona aibu Sana na kuwaomba msamaha kwamba kichwa kinamamambo mengi nilijisahau wakanielewa
Punguza simulizi, elekeza kwenye lengo husika
Mm nimeota nakunya na wenzangu walikuwa kisha nikaifunika vizuri. Haikunuka na n mingi mapunde matatu
Ustaz nimeota ngamia mweupe anatoka juu anakimbia anakuja kama chn
usthani mm mara ya kwanza niliota nanguka choni ama shimo la choo lakini nikaingiya mguu moja Kisha nikang'ana nikatoka mara ya pili najaita najisaidiya lakini kando ya lile shimo la choo mara ya tatu nikaota najisaidiya pahali ambapo sipajui Kali nilikuwa na rafiki yangu Kisha akakifinika kile choo alafu nikamka lakini choo kile kimekuwa kama muharooo
Duh stor ndefu had nasinzia
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
tatizo unamaelezo meengi hadi tunaishiwa kifurushi hata mada hatujaiskia
Ewe nawe waongea sana,kitambo ufikie hu
Nzur lkn stori nyingi😁😁
Anazuuka
Anazunguuka
Kweli apunguze misemo atafanya watu wawe wanavuka clip zake
Hadi inachosha😆
Mazali mshamjuulia si mnapelek mbele silazim muskiliz iz story zke
A. Alkm... Shekh mm nimeota najisaidia haja kubwa huku natapika..... Inamaana gani?
Nimeota nimejisaidia haja kubwa nikazoa kwa mikono yote miwili nikatia kwenye mfuko nikatupe lkn sikuwai kwenda kutupa
Assalam alaykum
Mimi nimeota kma mwanangu anajisaidiza afu Mimi njoo nakizowa mana yke Nini??
Asalam aleykum shekhe nimeota nimenyewa kinyesi na mtoto nilie mbeba mwli mzima
Nimeota watu wengi wanajisaidia kwenye mchanga mm nikazoa kwa mkono nikatia kwenye mfuko mweupe nikaondoka nayo ile haja kubwa zenyewe zilikuwa ngumu zingine lain lakin sio sana zote nimebeba nikaondoka uku nacheza yani nachekerea na ule mfuko nimeubeba nn maana yake
Hela hizooooooo jmn ukishazifuma nistue
She tunakuomba ukiamuwa ktoa maana ya ndoto basi nenda moja Kwa moja kwenye ndoto SS wengine tunakusikiliza hata humallizi kutowa maana bando linaisha Kwa maneno mengi na m pozi
Asalam alykum m nliota dada wa mama alkwa anaenda haja kubwa ya laini alafu mama anayakinga kwa mkebe na kila akiendesha ndo anapata nafuu coz alkwa hawezi na sehemu alkwa anafanya haja napajua lkn nyumba ndo ilkwa imechakaa sana je sheikh ii ndoto inamaana gani
16:30
Uje na yakuota mtu kajisaidia stand ya magar mafungu 3 ya haja kisha akayaacha na kupanda gari
Ukiota umepata haja kisha ukaisangaa
Sheikhe je ukiota nyuki
Assalam alaykum Sheikh mtu akiota anajisaidia haja kubwa kipindi anafany mapenzi(tendo la ndoa) nini maana yake
Sheikh Mimi nimemuota mtu kajisaidia kwenye siruali halafu nikakisafisha
Punguza story shekh unaboa
Niliota napewa nguo nivae nilipo vaa nikajisaidia haja kubwa hainuki ikiwa watu wanakuja nikawa najificha watu wasione! Maana yake
napenda chanel yako ila me nimelia kwa kumuhurumia mjukuu wa dada yangu ambaye n mgonjwa ila nkamuona anajichoma sindano mwenyewe maeneo ya pajani ndio nikaanza kubujikwa na machozi huku nkisema Allah atamfanyia wepec
Mm nimeota marehemu alokufa zamani ndo amehara kwenye sinki jeupe
Asalmalaykum jee ukiota unafanya haja kubwa lkn nivitu vatoka kama mpira w watoto
Me nimeota nimeona kinyesi ndan kwangu
Asate
Salam aleikum mmi nimesha wota ninekwenda sehem nikauta Iyo fasi pakubwa pote Pana haja kubwa Ila ayato harufu
ACHA UJINGA SHEKHE WEWE...MJINGA WEWE. UNASOMA QURAN UTAFIKIRI UMEMEZA MAV
Mmmh unamatatizo .ndg yang pole sana.
Nimeota ninakula kinyesi Cha mwanangu tafadhali nisaidie
Mim jamanii nimeota sehem ninayoijua mavi yamezagaa yani nimeng ila hayatoi harufu.. sijui maana yake nin
Mimi nimeota Niko majini nakutana na mafungu mengi mengi ya kinyesi Cha binadamu kando kando ya mto
Mbona hamna ndoto ya kujisaidia chooni kama kawaida tu je ina maana gani?
Me naotak najisaidia alafu simalizi alaf najisaidia masungu mafung yani sijixaidii sehem moja
Asalamu Aleikumu Allahu akuhifadhi,nauliza ukiota umebeba choo kwakichwa naiko nakinyesi ndani manayake nini?
Magonjwa ya kichwa au mawazo ayatakusumbua