UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 чер 2020
  • UKIOTA UNAJISAIDIA HAJA KUBWA | AU UMEIONA | HII NDIO MAANA YAKE | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
    #MasjidMtoroTv #NasahaZanguTv #NyumbaYatibaNaDua

КОМЕНТАРІ • 217

  • @Matiherbalist
    @Matiherbalist 2 роки тому +25

    Jamani bando litaisha kabla kuskia maana ya ndoto, kuwa na kauli fupi fupi . Una strori nyingi Sana

  • @nzirubusakhamissi3329
    @nzirubusakhamissi3329 2 роки тому +10

    Ustadh unatafsir vizur san lakin unazunguz san yaan unaelez huk na kul unawez ukamsif allah nakumsalia mtum juu yake rehm na aman nakuingia moj kwa moj kweny mad inshallah

  • @saidjoka1282
    @saidjoka1282 Рік тому +15

    UNAONGEA SANAAA

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu 7 днів тому

    Shukrani shekhe

  • @anliomaromar7163
    @anliomaromar7163 2 роки тому +4

    Shukrani sana mualimu somo adhimu kabisa mungu akulinde milele daima

  • @AntoniaRyoba
    @AntoniaRyoba Місяць тому +1

    Unakera sana unamaneno mengiunatumalizia muda hatuhitji kiarabu hicho jalibu kupunguza maneno

  • @alimussahimidi8185
    @alimussahimidi8185 Рік тому +1

    Allah akubariq san ustadh wangu nimekuwa nikioa japo mara moj kwa mwez subhanallah

  • @africansmile101
    @africansmile101 2 роки тому +3

    Safi sana kwa kuelewesha jamii kuhusu njozi tunaoya

  • @mkingaboy550
    @mkingaboy550 Рік тому +1

    Shekhe unachelewa sana mazungumzo ya akuwa mengi Sana tafadhali shekhe🤝

  • @uthmanihimbawe5244
    @uthmanihimbawe5244 3 роки тому +4

    Baarakallah fiika

  • @WinifridaKabelege-ip4dq
    @WinifridaKabelege-ip4dq 8 місяців тому

    Shukuran sana sheikh,,Allah akujalie kheri🙏

  • @shadiahborandi2687
    @shadiahborandi2687 4 роки тому +4

    Walaykum salama warhmatullahu wabarakatuh sheikh

  • @mariammariam642
    @mariammariam642 4 роки тому +1

    Shukrani

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 роки тому +5

    Amiina yaarabbi

  • @redymbuba111
    @redymbuba111 3 роки тому

    Asante Kwa kutufundisha

  • @ronasapura3517
    @ronasapura3517 3 роки тому +2

    Uko vizuri maalim

  • @noorynmohammedy6063
    @noorynmohammedy6063 4 роки тому +1

    Shukran sna sheikh wetu

  • @lushingeemmanuel1088
    @lushingeemmanuel1088 3 роки тому

    asante kwa tafsri hyo, mmi niliota nakusanya kinyesi sjui itakuw na maan gan hyo ndoto samhn lkin

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 3 роки тому +6

    صلى الله عليه وسلم

    • @rosemerengary1834
      @rosemerengary1834 3 роки тому

      Maneno ni mengi mnoo ungekuwa unaenda straight to the point

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 4 роки тому +5

    Asante Shekhe mwenyezi mungu akubarik

  • @anthonycleophace8064
    @anthonycleophace8064 3 роки тому +1

    Akika unafanya kazi vzr Sana Kaka,

  • @muragizinourah1042
    @muragizinourah1042 Рік тому +1

    Allahu akbaru

  • @rahmaabdulrahmaabdul1781
    @rahmaabdulrahmaabdul1781 3 роки тому +2

    Asalam alekum. Shukran sheikh kwa kutupa elimu allha akubariki na akutie katika pepo yake kwa rehma zake mimi nimeota nimejisadia kwetu njee ya choo lakini kwenye yale mabakuli ya watoto lakini lilikua kubwa na hiyo haja kubwa haina harufu yoyote

  • @user-ij2bf8of8h
    @user-ij2bf8of8h 4 роки тому +3

    Barikiwa sana sheikh kwa mafunzo yako

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 4 роки тому

      Amina yaarabiy

    • @fatumastani2712
      @fatumastani2712 3 роки тому

      Barikiwa saana shikh mafunzo yako Mimi nimeota mtoto mdogo ambae ni alubino ananialishia kwa mfurulizo kama mpolomoko maana yake nini

  • @khamismtoma4902
    @khamismtoma4902 Рік тому +2

    Sitori nyingi tatizo Hira ni nzur

  • @shadidashafiu1965
    @shadidashafiu1965 2 роки тому +2

    Warrykum Salam wallahmatullah wabarakat

  • @anethzephulin490
    @anethzephulin490 3 роки тому +6

    Unahadisi mpaka hamu ya kusikiliza inaisha punguza maneno

  • @alawahmad7848
    @alawahmad7848 2 роки тому +4

    Maneno mengi zungumza lilokusudiwa

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 3 роки тому

    👌👍

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 3 роки тому +3

    Allah atujaalie salama inshaallah

  • @hawaynatimam982
    @hawaynatimam982 3 роки тому +6

    Baba unazunguukaa Sana, mpaka kero, nenda moja moja kwenye Mada, unapoteza mb zetu

  • @SamiraSalim-sx7ie
    @SamiraSalim-sx7ie 8 місяців тому +1

    Shekh hebu kuwa unaeleza wapenda kurudia kitu mara Kwa mara wengine hku Yuko nchi za watu time y kusikiza unavyo jieleza hatuna

  • @MalikiHashim-bb6uh
    @MalikiHashim-bb6uh 11 місяців тому

    Kuota njozi shekh na watoto wadogo wanasoma qulani kwa furaha ndani ya moy

  • @user-vy6yy6ic2u
    @user-vy6yy6ic2u 6 місяців тому

    Mm nimeota nimemkuta mume wangu anajisaidia haja kubwa choon nyingi Sana kufungua mlango akastuka

  • @elizabethg.mwaijande5030
    @elizabethg.mwaijande5030 2 роки тому +6

    Nimeota ndoto kuhusu kinyesi lakn nimefatilia kuhusu tafsiri ...kila mmoja ana tafsiri ya pekeake mpaka sasa sijapata tafsiri sahihi.

  • @karimbhai1980
    @karimbhai1980 5 місяців тому

    Nataka kujua maana y ndoto yangu, nimeota nikienda chooni n familia n hapali penyewe ni pachafu sana, alafu baba yangu pia ametoka chooni n mmi nimeingia hadi nashindwa kujisaidia juu y uchafu n naona wengine wanarusha maji chafu y choo n mkono, mmi nikatafuta maji y kujisafisha nikapata maji y mvua ikitoka kwa mabati nikatumia kujiosha nikiwa nimesimama n nikaanza kutawadha pia nao

  • @OmanOma-xi3hm
    @OmanOma-xi3hm 7 місяців тому

    ❤❤❤

  • @fatmasaiderick1935
    @fatmasaiderick1935 4 роки тому +5

    A,aleykum shekhe,m nimeota mtoto wangu kajisaidia haja kubwa kitandan kwenye mashuka nikawa nakusanya kuyatowa haja ikawa imenitapakaa na mm,nn maana yake

  • @mariamkizanga9573
    @mariamkizanga9573 8 місяців тому +2

    maneno mengi shekhe tafadhal

  • @janethmunisi5024
    @janethmunisi5024 4 роки тому +13

    Mbona me nilishoota najisaidia mara kwa mara ila sijwi kupwa na mikosi hiyo me kwanza ndio huwa napta pesa sana

    • @Ashsultana
      @Ashsultana 3 роки тому +1

      Mimi ndoto za mavi najua ni kupata pesa

    • @catherineelias5108
      @catherineelias5108 3 роки тому

      Mimi mwenyewe nikiota mavi lazima nipate pesa

    • @husnamohammed8199
      @husnamohammed8199 3 роки тому

      Sadakta na mm ndo napata pesa naota nimeingia mavi gauni langu napata pesa

    • @husnamohammed8199
      @husnamohammed8199 3 роки тому +1

      @@Ashsultana kweli mm nikiota lazima napata pesa hahahaha

    • @leahleverian
      @leahleverian 4 місяці тому

      Hizi tafsir mungu atusaidie Kila mtu anatafsir zake sijui tumwamin nan

  • @hamismfinanga8633
    @hamismfinanga8633 Рік тому +1

    Unafanya vzr shekhe lkn punguza Hadith kwa maana ya mda na bando letu

  • @aysherkitoi1845
    @aysherkitoi1845 3 роки тому +2

    Mimi nimeota mara ya 2 sasa mara ya kwanza nakunya kitandani na kuna watu waliyapokea lkn ckuwaona na nikashtuka mara ya 2 nimeota nimeenda shambani nikaona mavi nikayaruka nikanya pembeni mara4 sehemu tofauti

  • @asmasaid-ln2fc
    @asmasaid-ln2fc 2 місяці тому

    Mimi nimeota nimeona haja kubwa kwa shimo la choni na alofanya hiyo haja kubwa ni ndugu ya wa kiume na kwenye hiyo haja kubwa iko miguu ya kuku.

  • @royalroyal8633
    @royalroyal8633 2 роки тому

    Ok

  • @allymuhammad325
    @allymuhammad325 2 роки тому +1

    TAtizo la huyu jamaa anazunguka sana

  • @tzinvestigate5002
    @tzinvestigate5002 7 місяців тому +1

    tatizo huendi kwenye poit unazunguka saaaana
    mtu anashindwa kukusiliza mpaka ,mwisho

  • @user-dg1is7rz1c
    @user-dg1is7rz1c 2 місяці тому

    Mim nimeota boss wangu akijisaidia haja kubwa chooni.inamaana gani

  • @nusratbintabdullah5713
    @nusratbintabdullah5713 3 роки тому +1

    Asante xana sheikh lakini ukiota umepata haja kubwa kwa nyumba

  • @MariamMavuo-yq4zc
    @MariamMavuo-yq4zc 10 місяців тому

    Assalam aleikum..samahani kaka mimi nimeota watu wamebeba mithili ya jeneza halikai kama jeneza unavyoliona ila limebebwa juujuu kama watu wanavyobeba jeneza kumaanisha ilo ni jeneza lkn sijui kama ndani mna mtu wala hamna na watu waliolibeba hawapokezani kama watu wanavyofanya limeenuliwa juujuu na watu kama watatu hivi kisha wengine wanatembea tu kando huku wakiongea stori zao na kucheka..naomba unitafsirie

  • @adamsnyakundi4427
    @adamsnyakundi4427 3 роки тому

    Mafunzo poa.but mimi uota nikiona watu wakijizaidia au mtoto wangu amejizaidia kwa sahani na plis sijui maana yake.naomba kujua

  • @hamiduahmadi3854
    @hamiduahmadi3854 11 місяців тому +1

    Nenda kwenye hoja ya msingi,

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b 3 місяці тому +1

    Huyu bwana anakula mb kwakitu kidooigo had hovyo jirekebishe bwana

  • @qwnlynuzlah3115
    @qwnlynuzlah3115 4 роки тому +4

    Shukran Sheikh,,,JazzakaAllahu Kheyr,,Na Kama Umeota Umepigana Na dadako Inamaanisha Nini Sheikh,?

    • @nyumbayatibanadua737
      @nyumbayatibanadua737 4 роки тому

      Hiyo ni amali ya shetani

    • @qwnlynuzlah3115
      @qwnlynuzlah3115 4 роки тому

      @@nyumbayatibanadua737 amali yake kivpi inamaana iyo ndoto sio nzuri shekhe

    • @seifbashir6393
      @seifbashir6393 4 роки тому

      Ana imanisha Hainaut maana ni naoto tu ya shetani

  • @hidayah1295
    @hidayah1295 3 роки тому +1

    Shekhe naomba unijibu Mimi niliota najisaidia chooni ila choni kwenye we ni chumbani ninapo lala ila hapana choo. Yani ni chumba NA choo chake ila sikwenda chooni nilijisaidia chumbani ila najuwa nipo chooni BOSI wangu akaingia NA mtoto wake mdogo akaniita Mimi sikuitaka ila alivyo ingia chumbani akaniona nimekaa katika choo yule mtoto akataka kunifwata ila mama yake akamwambia nipo najisaidia chaajabu kulikuwa hakuna halufu baosi akatoka Mimi nikawa najiuliza kwanini sukuenda kujisaidia chooni nipo hapa chumbani.. Naomba unijuzee

  • @gorretmarynasike9803
    @gorretmarynasike9803 3 роки тому +14

    Story ndefu sana naweee aah

  • @azizahassan939
    @azizahassan939 2 роки тому

    Shekhe mm nimeota najisaidia chumbani kwangu chini ya sument kisha nikaizoa kwenye karatasi nyeupe nikawa naipereka chooni ila nilipofika ukumbini ikadondoka nikaizoa tena ila nikaacha kidogo pare chin ukumbin kisha nikaenda kuipereka chooni inamaana gani iyo

  • @ahmadally243
    @ahmadally243 3 роки тому +2

    Nenda kwenye tropic mbwe mbwe nyingi mpaka mtu unachoka

  • @asiaissa976
    @asiaissa976 4 роки тому

    Shukran

  • @ayubugeorge2168
    @ayubugeorge2168 2 роки тому +2

    SHEHE UNATUFUNZA SANA LAKINI JITAHIDI KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO JARIBU KUPUNGUZA UREFU WA VIDEO

  • @habari5802
    @habari5802 11 місяців тому

    Shekhey Mimi najisaidiy ndani

  • @timotheomakenz6795
    @timotheomakenz6795 5 місяців тому +1

    Punguza maneno mengi twende kwenye

  • @bbb6nnn561
    @bbb6nnn561 3 роки тому

    Mimi nimeota hajakubwa inanitoka lkn nnanguo zang watu wananishangaaa lkn mimi naenda mbio kubwa na ona haya jeee inamana gani

  • @happymasao6677
    @happymasao6677 11 місяців тому +2

    Shida unaongea snaaa hapa utapoteza wafatiliaji

  • @dianarichardkiri1318
    @dianarichardkiri1318 2 роки тому

    Mimi nimeota najisaidia kwenye sinki la choo lkn liko wazi ila nilihisi hamna anaye niona kumbe nilionekana nikasahau kuflash nikaondoka baadae nikapita tena maeneo hayo watu wakanivaa na kunichamba kisa cjaflash choo niliona aibu Sana na kuwaomba msamaha kwamba kichwa kinamamambo mengi nilijisahau wakanielewa

  • @suzyjoseph2367
    @suzyjoseph2367 Рік тому +1

    Punguza simulizi, elekeza kwenye lengo husika

  • @maryshiko2380
    @maryshiko2380 Рік тому

    Mm nimeota nakunya na wenzangu walikuwa kisha nikaifunika vizuri. Haikunuka na n mingi mapunde matatu

  • @ruqaiyyalema2945
    @ruqaiyyalema2945 4 роки тому

    Ustaz nimeota ngamia mweupe anatoka juu anakimbia anakuja kama chn

  • @user-ip1pn4wy8o
    @user-ip1pn4wy8o 4 місяці тому

    usthani mm mara ya kwanza niliota nanguka choni ama shimo la choo lakini nikaingiya mguu moja Kisha nikang'ana nikatoka mara ya pili najaita najisaidiya lakini kando ya lile shimo la choo mara ya tatu nikaota najisaidiya pahali ambapo sipajui Kali nilikuwa na rafiki yangu Kisha akakifinika kile choo alafu nikamka lakini choo kile kimekuwa kama muharooo

  • @elestinadagadaga1706
    @elestinadagadaga1706 3 роки тому +1

    Duh stor ndefu had nasinzia

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Рік тому

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mariamkitwana6148
    @mariamkitwana6148 2 роки тому +1

    tatizo unamaelezo meengi hadi tunaishiwa kifurushi hata mada hatujaiskia

  • @sarahwanjiru6121
    @sarahwanjiru6121 Рік тому +1

    Ewe nawe waongea sana,kitambo ufikie hu

  • @fatumathabit6498
    @fatumathabit6498 3 роки тому +18

    Nzur lkn stori nyingi😁😁

  • @nurumsellem8375
    @nurumsellem8375 4 роки тому

    A. Alkm... Shekh mm nimeota najisaidia haja kubwa huku natapika..... Inamaana gani?

  • @mariamumakala6146
    @mariamumakala6146 2 роки тому

    Nimeota nimejisaidia haja kubwa nikazoa kwa mikono yote miwili nikatia kwenye mfuko nikatupe lkn sikuwai kwenda kutupa

  • @tantinebahati8031
    @tantinebahati8031 3 роки тому +1

    Assalam alaykum
    Mimi nimeota kma mwanangu anajisaidiza afu Mimi njoo nakizowa mana yke Nini??

  • @halimafimbo4890
    @halimafimbo4890 Рік тому

    Asalam aleykum shekhe nimeota nimenyewa kinyesi na mtoto nilie mbeba mwli mzima

  • @azizahassan939
    @azizahassan939 2 роки тому

    Nimeota watu wengi wanajisaidia kwenye mchanga mm nikazoa kwa mkono nikatia kwenye mfuko mweupe nikaondoka nayo ile haja kubwa zenyewe zilikuwa ngumu zingine lain lakin sio sana zote nimebeba nikaondoka uku nacheza yani nachekerea na ule mfuko nimeubeba nn maana yake

  • @harousali7578
    @harousali7578 Рік тому +1

    She tunakuomba ukiamuwa ktoa maana ya ndoto basi nenda moja Kwa moja kwenye ndoto SS wengine tunakusikiliza hata humallizi kutowa maana bando linaisha Kwa maneno mengi na m pozi

  • @zaitunichibako1214
    @zaitunichibako1214 4 роки тому

    Asalam alykum m nliota dada wa mama alkwa anaenda haja kubwa ya laini alafu mama anayakinga kwa mkebe na kila akiendesha ndo anapata nafuu coz alkwa hawezi na sehemu alkwa anafanya haja napajua lkn nyumba ndo ilkwa imechakaa sana je sheikh ii ndoto inamaana gani

  • @ZawadiBenjamin
    @ZawadiBenjamin 26 днів тому

    16:30

  • @NaimaMassam
    @NaimaMassam 17 днів тому

    Uje na yakuota mtu kajisaidia stand ya magar mafungu 3 ya haja kisha akayaacha na kupanda gari

  • @theresiandumbaro7862
    @theresiandumbaro7862 10 місяців тому

    Ukiota umepata haja kisha ukaisangaa

  • @hawamohamed4281
    @hawamohamed4281 4 роки тому +1

    Sheikhe je ukiota nyuki

  • @abbytozzy8294
    @abbytozzy8294 2 роки тому +2

    Assalam alaykum Sheikh mtu akiota anajisaidia haja kubwa kipindi anafany mapenzi(tendo la ndoa) nini maana yake

  • @latifasuleiman7527
    @latifasuleiman7527 10 місяців тому

    Sheikh Mimi nimemuota mtu kajisaidia kwenye siruali halafu nikakisafisha

  • @mr.macintosh5687
    @mr.macintosh5687 2 роки тому +1

    Punguza story shekh unaboa

  • @elpinarichard1884
    @elpinarichard1884 2 роки тому +1

    Niliota napewa nguo nivae nilipo vaa nikajisaidia haja kubwa hainuki ikiwa watu wanakuja nikawa najificha watu wasione! Maana yake

  • @SharifaWaridu
    @SharifaWaridu 5 місяців тому

    napenda chanel yako ila me nimelia kwa kumuhurumia mjukuu wa dada yangu ambaye n mgonjwa ila nkamuona anajichoma sindano mwenyewe maeneo ya pajani ndio nikaanza kubujikwa na machozi huku nkisema Allah atamfanyia wepec

  • @zaituniabdallah
    @zaituniabdallah Рік тому

    Mm nimeota marehemu alokufa zamani ndo amehara kwenye sinki jeupe

  • @hafswaabdallah5241
    @hafswaabdallah5241 3 роки тому

    Asalmalaykum jee ukiota unafanya haja kubwa lkn nivitu vatoka kama mpira w watoto

  • @jenniferevaris5216
    @jenniferevaris5216 10 місяців тому

    Me nimeota nimeona kinyesi ndan kwangu

  • @AsiaRamadhan-dr2uu
    @AsiaRamadhan-dr2uu Місяць тому

    Asate

  • @aishaha3890
    @aishaha3890 3 роки тому

    Salam aleikum mmi nimesha wota ninekwenda sehem nikauta Iyo fasi pakubwa pote Pana haja kubwa Ila ayato harufu

  • @aminimirambo2452
    @aminimirambo2452 2 роки тому

    ACHA UJINGA SHEKHE WEWE...MJINGA WEWE. UNASOMA QURAN UTAFIKIRI UMEMEZA MAV

  • @shaaniathumani1323
    @shaaniathumani1323 2 роки тому +1

    Nimeota ninakula kinyesi Cha mwanangu tafadhali nisaidie

  • @kanyundojunior2362
    @kanyundojunior2362 3 роки тому

    Mim jamanii nimeota sehem ninayoijua mavi yamezagaa yani nimeng ila hayatoi harufu.. sijui maana yake nin

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 3 роки тому

    Mimi nimeota Niko majini nakutana na mafungu mengi mengi ya kinyesi Cha binadamu kando kando ya mto

  • @user-ov5xc2sy3q
    @user-ov5xc2sy3q Місяць тому

    Mbona hamna ndoto ya kujisaidia chooni kama kawaida tu je ina maana gani?

  • @salhamuhidini9911
    @salhamuhidini9911 2 роки тому

    Me naotak najisaidia alafu simalizi alaf najisaidia masungu mafung yani sijixaidii sehem moja

  • @nadiaharoon9648
    @nadiaharoon9648 Рік тому

    Asalamu Aleikumu Allahu akuhifadhi,nauliza ukiota umebeba choo kwakichwa naiko nakinyesi ndani manayake nini?