KAMA UNATAKA KUFANIKIWA JIFUNZE JINSI ya KUWA PEKE YAKO
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- #kuwapekeyako #powerofbeingalone #nguvuzauniverse Kuna faida kubwa sana katika kuwa peke yako. Ukichangamana na watu kabla ya kujua namna ya kuwa peke yako,uharibifu mwingi utatokea kuliko suluhisho. Tazama video hii mpaka mwisho ujifunze jinsi ya kuwa peke yako na faida zake.
Jinsi ya kuwa peke yako
nguvu ya kuwa peke yako
power of being alone
nguvu ya universe
@NGUVUZAUNIVERSE
Amina dada mimi ni mtu mwenye aman na mafanikio makubwa sana katika maisha yangu hapa duniani ,Ameen
Kwa jina la Yesu hakuna kitu kilichoshindikana,Amen...
Hayo ninayoyasikia kutoka kwako muda mfupi uliopita nilikuwa ninaongea na mtu kuhusu kuwa peke yako hata kuishi hiyo staili kuwa peke yangu nimeanza kama miaka miwili hivi nimeona faida zake. Hongera sana.ninachokifiria na wewe ndio hivyo unayosema nina amini nguvu za ulimwengu.100 parsent
Hongera sana, Nakutakia mafanikio tele 🤝❤️
Naamini katika nguvu za Ulimwengu nipo tayari kubadilika Amen
Amen asante sana kwa mafundisho hiyi kwani inanijenga sana Niko tayari kwa mabadiliko makubwa Mazurie katika maisha yangu kwani naamini nguvu za universe piya n'a nguvu za MUNGU zilizo ndani mwangu
Fantastic idea i like it,kupitia nguvu za ulimwengu nashukueu sana
Mimi ni mshindi hapa Dunia najikubali katka nguvu za universe
Ktk jina la yesu mm ninamafanikio makubwa amina
Asante hakika Mimi ni WA thamani mbele za Mungu na wanadamu. Nafanya mambo makubwa duniani
Ama kweli Kwa hakika Leo umenijenga kabisa dada Asante kabisa 👍
Asante sana dada yangu mimi tajiri mukubwa hapa duniyani nina Ku salimu sana❤❤❤❤
🤝❤️
Hakuna kinacho shindikana kwa jina la Yesu kristo 🙏🙏 ubalikiwe sana dada yetu kwa somo nzuri
Amen 🙏❤️
Dada nakukuli mungu akubariki sana Kwa Neema aliyokupa
Asante naamini nguvu za ulimwengu Kwa Sasa Mambo yangu Yako vizuri nilikuwa na matatizo kwenye familia lakini baada ya kutumia nguvu za univers kwasasa kunamabaditiko makubwa
Kwq jina la yesu hakuna kitu chochote kisicho wezekana🙏🙏
Hakuna linalo shindikana chini ya jua Allah yuko nami daima nimepokea baraka kutoka kwa nguvu za ulimwengu nakwasasa niko vizuri nguvu mbaya ambazo zilikua zikinivamia usiku nimelala tangu nianze spell mbali mbali ambazo hua unatufunza kila siku wallahy nimekua tofauti sana kwangu kumetulia yani kuna amani ambayo haina mfano hakika mimi nitajiri hapa duniani ninaamini hivi karibuni milango ya mafanikio yangu yanafunguka nakupenda sana dadaangu❤❤❤❤ulimwengu uwe nami daima
🤝❤️
Ahsante sana dada yangu kipenzi wewe ni baraka kwa wengi kupitia wewe maisha yangu na mtazamo wangu ni chanya MUNGU wa mbinguni akupe maisha marefu❤😇🙏
Amiiin my dear,,,,,uzidishiwe baraka zaidi ya hizo ambazo unazo sasa,, Mimi ni mimi napokea mabadiliko makubwa mwaka huu 2024,,Nguvu za ulimwengu , Nguvu za uumbaji hazitoniacha kamwe.
Amiiin me tajili katka ulimwengu huu wa universe
Ukabarikiwe dada yangu niombee milango yangu ya baraka ifunguke amina🙏🙏
Amina,, milango itafunguka 🙏❤️❤️
@@NGUVUZAUNIVERSE Amina🙏
Amina
Nimeshinda
Mimi napenda sana hii mavundisho lakini kila spell zifaulu maisha yangu inaendelea kuwa ngumu nisidie, NAmini nguvu ya universe
Mungu azidi kukubariki na kukuinua viwango vya juu kila kuitwapo leo❤❤❤
Amen,barikiwa pia 🙏❤️❤️
Asante Kwa mafunzo mazuri mungu hakuongoze sana aminaa
Amin dada .. ume tubadulisha sana mungu akuweke kwa ajiki yetu
Mimi ni najiamin na ninajikubali ni mshindi hapa dunian
Hakika leo nime njuwa kwamba mimi ni mimi, Mimi sio mutu mwengine yeyote yule. Asante sana Dada. Nina kupenda sana. Hakika punde tu ninapo kufwata nimekuwa na mabadiliko sana.
🤝❤️
hakuna mazala kweli dad
Ukweli mwingi ❤❤
Nitafanikiwa katk maisha yngu Amina🙏
Amina. Asante Dadangu. Mimi ndio mimi na wa kipekee. Mimi ni mshindi na nina mahusiano mazuri na nafsi yangu.
Ubarikiwe sana mwalimu wetu mungu akubariki sanaa
🙏❤️❤️
Mimi nimebadirika mimi nguvu za ulimwengu zimenibariki katika mabadiliko yang mimi ni tajiri nine Afya njema mimi nimefanikiwa mimi nitajiri pesa kwangu siotatizo pesa zinanitafuta ulimwengu umenibariki Asante
🤝❤️
Naipenda nafsi yangu,na mm ni mimi sifanani na yeyete katika Dunia hii,mimi ni Tajiri sana
Mimibakushukuru sana tangunimeanzakukufatilia nimekuwa tofauti sana nimefurahiya maisha yangu Asante
Ktk jina la yesu mm ninamafanikio makubwa amina naomba mafanikio zaidi ya haya
Amina 🙏
Amina mamaangu ubalikiwe
Blessed up madam, Mungu akubariki sana sana
Dada hili somo limenigusa saaaaaaana Sana Kuna mda kufanikiwa nataman kampan lakini nikikaa natafakari naweza bila mtu yyte nawaza peke angu kupitia nguvu za ulimwengu nawezaa🎉🎉🎉
Dada nakupenda sana kutoka moyon japo bado sijafanikiwa lkn moyo wangu unasema nisijal ipo siku nitafurah ❤❤❤
Jamani asante sana,nami nakupenda mnoo 🙏❤️❤️
Mimi ni wa kipekee sana hapa duniani na ninanafasi yangu muhimu sana hapa duniani
Mi nilikuwaga na hasira sana na watu wengine ila nikagundua unavyokuwa na ubaya ndani yako una attract negative energy mikosi,vitu kupotea ghafla,Mambo ayaendi lakini ukiamua kuchagua maisha ya furaha na amani bahati na Mambo mazuri vyote vinakufuata kila siku hakuna atakekuchukia
Ni kweli kabisa, Hongera kwa kulifahamu hilo 🤝❤️
Amina Amina, Asante sana dada. Barikiwa Kwa Hilo somo.
Amina dad yetu
🙏❤️❤️
Mimi ni mtu Bola na najiamini nakujipenda.... Najikubali na kujipenda
Amina dada yangu nakupenda sana nonafalijka kupitia wewe
Ninajiamini ni mshindi katika maisha yangu kwakupitia nguvu za ulimwengu katika jina la yesu
Ahsante sana dada
Ahsante sana kwaelimu barikiwa mno my dear
Amen 🙏❤️❤️
Hakuna zaidi ya mm . Amin
Ahsante kpz nakupenda kwaajili ya allah
Asante kwa somo zuri dada mungu akubariki sana ❤
Ulikuwa wapi sikuzote tunateseka na maishan ubaliliwe naamini Sasa mm nitajiri mkubwa
Asante sana dada nimejifunza sana
Asant dada. Nitavifanyia kazi balikiwa sana dada🤝🏾❤
Amina mimi ni mshindi NAJIAMINI NA ASANTE
Aminaa balikiwa sana
Mm ni mm sitakuwa na kapakani ya watu waovu mungu nisaindie milango yangu ikafunguke yote niliyapangiwa na mwenyezi mungu asante mungu
Ahsante Kwa Elimu
Asante sana dada
🤝❤️
Asante
Asante kwa mafundisho mazuri
Asante dada
Nimejifunza mengi sana asante
Mwenyezi mungu akubariki sana dadaangu umenitengeneza upya🙏
Hakika mm ni mshindi ktk Kila kitu
Amina dada...mimi nina nguvu,mimi ni shujaa mimi ni tajiri
Hakika 🤝❤️
@@NGUVUZAUNIVERSE 🙏🙏🙏
Nguvu za univers ikubariki
🙏❤️❤️
Ameni
Ameen
Mimi sistahili kuwa masikini.
Nipo tayari kupokea muujiza wangu.
Kweli mimi nimimi na hakuna kma mimi
Amen
mimi.ni tajiri mkubwa sana na nina imani na nguvu za ulimwengu.inshala
Ameeen dad
Asante kwa somo zuri nina swali apa dada naomba uniambie maana ya hihi namba 1717 na 1818
Ahsante sana❤
Thank you my sister for your teachings,, intact unanibariki sana.
You are welcome my dear 🤗❤️
Amina kweli mimi ni shujaa
Asante sana amina
Asante Unvers
Asant sana
Kweli kabisa
Kweli kabisa ❤❤
Nimesoma
Isha allah 🙏🙏
THANK YOU 🙏❤❤❤❤❤❤❤
Ameen dadagu
Aminaaaa
Aminaa. Mimi ni mimi ninajiamini.
Mungu akupe miaka mingi dada
Amen 🙏❤️❤️
Nikweli Mimi ni Mimi na ninaweza kufikia malengo yangu.
Kwa jina la yesu mmi ninaweza
Hakika Mimi nimejitambua ktk Maisha yangu nitafanya mabadiliko
Naipenda nafsi yangu
Naamini katika nguvu za ulimwengu nipo tayari kubadilika anina
Mimi ni mshindi apa duniani kwa jina la yesu kristo
Ahsante,Mimi ni wathamani sana
Ameeeeen
Napenda kukaa peke yangu sana....am a loner
Dada mungu akulind saaan , mm sitaki kua masikin ombilangu kwako
🙏❤️❤️