Oooh Mungu nisaidie, ndoto zote nimeziota sana! Na jana niliota mwanamke ninae mfaham alikua ananiingilia kinyume na ana maumbile ya kiume nilishituka nilikua namaumivu sehem hiyo, nikakamata huo nikautoa kwangu , nikaamka yapata sa nane usiku!
Tamka Kwa SAUTI mara 3 Kwa jina la YESU KRISTO. NYOTA yangu njoo HARAKA ⚠️. Kwa jina la YESU KRISTO na Kwa NGUVU za ROHO MTAKATIFU. Tuma MAOMBI 3 HUMU. Na Kuna vitabu vya KUKUSAIDIA HARAKA ⚠️ tunakutumia Whatsapp HARAKA
Shalom baba mtumishi mimi niliota nilikua na mama mmoja wa kanisani tukawa tunatembea maporini mara kinyonga akaniralua yule mmama akanipaka dawa za kijani kwenye ile michirizi mpaka leo nimechoka sina nguvu za kufanya kazi nini maana ya hii naomba nisaidie namna ya kuomba baba ahsante kwa kutuletea msaada
Mungu akubariki baba niombee niliota nguo zangu zimechanwachanwa tena zile nzuri ninazoziamini kumbe ilikuwa ni taarifa kuwa kazini kuna mahali nimechafuliwa.
Fast for 3 or 7 days 12hrs Shukuru Mungu Kuomba rehema kusamehewa dhambi na kusamehe wengine Omba neema ya Yesu kristu akusaidie kuepuka mitego ya shetani Kitabu cha Isaiah 60:1-28 Hesabu 23:23 Sabuli 118:17 Kitabu cha kuhalipu mipango ya giza👇👇 Isaiah 44:24-25 Kitabu cha kufuta nyota Isaiah 60 Matayo 5:16 Kumbukumbu la torati:28:1-14 Matayo 2:9-12 Hesabu 2:6-9 Isaiah 45:3 Shukuru kwa Sabuli 113 117 150
Mutumishi langu sikuota nilimuona muganga kwa umbali anakuja akitazama maandiko ya Kila duka na alikuwa amevaa kiuganga roho akaniambia ananitafu nikaingia ndani ya duka yangu nikikemea kesho yake akaja kwa duka akiwa amevaa suit akaniambia dada nimefutiwa na hii mpesa ngapi nkamjibu akasema ila hiwesi mvaa mtu ninaye mnunulia nkamuambia siku ngine basi akaniambia muuso muzuri akaenda. Sasa mutumishi anawesa kuwa aliniipia nyota
Ni ADUI anaye fuatilia KUHARIBU MAISHA YAKO. Kuwa MAKINI naye na OMBA Sana. Anza kuwa msafi na Mtakatifu. Acha dhambi. Samehe wote waliokukosa na kukuloga, usiwahukumu. Omba rehema kwa mungu kwa dhambi ulizotenda na hata waombee wote kwenu rehema kwa zaburi ya 51 na 103. Omba roho mtakatifu akusaidie kwa jina la Yesu. Mshukuru kwa zaburi ya 100, 113,117,150. Na funga mfungo wa siku 3 masaa 12. Ombea haya 1. Rehema 2.imani 3.mapenzi ya Mungu kwako yani mpe Mungu moyo wako Na waombee maadui zako baraka mathayo 5:44 na mathayo 7:1 Mungu akubariki sana. Lakini pia tuna vitabu vizuri sana sana vya kiroho, roho mtakatifu, vya ndoto, kujua kipawa chako, kukuza karama za kiroho, kujua kusudi la Mungu maishani mwako, na Kujijua wewe ni nani ili uwe mkuu na nyota duniani kirahisi, maombi na mfungo sahihi, kuharibu nguvu za giza, vya utajiri na mafanikio na vya mahusiano, ndoa, malezi watoto, kutatua migogoro ndani ya ndoa na kumrudisha mwenzi mloachana kirahisi. Usivikose vitakusaidia sana kukukomboa
Asante sana mtumishi mimi Kuna ndoto naota sana ila cja wai kuilewa naota nafukuzwa na watu wengi sana pale wanapo nikalibia tu mi naanza kupaa kwenda juu wale watu Nita kuwa nawaonea chin mda mwingine nabaki naimba nyimbo za din mpaka Nita kapo amka ,
Nyingine naota ndugu zangu marehem walio kufa mda nikiwa nasoma shule ya Msingi hao marehem nilikuwa naishi nao kalibu sana Sasa nawaota wakinipa Hela ya kwenda nayo kuitumia wakati saiz ni mtu nzima na familia yangu japo Kwa Sasa hii ndota nikama miaka 4 ime pita ila kuota ila dhaman ili nitesa sana mda mwingine nilikuwa napokea mda mwingine ana tokea mtu kati kati ana ipushi Ile Hela Ina dondoka
Kabla ya kuomba chochote Mshukuru Mungu na kwa ukuu wake na kuwa Amesha kujibu maombi yako na anakusikia na huwa anakusikia siku zote soma isaya 65:24 Baada ya shukrani. Yafaa ujioshe na kujitakasa kwa damu ya Yesu Kristo. Pia teka fikra zako zimtii kristo na kuruhusu elimu ya Mungu na Mapenzi yatawale maisha yako hapa duniani kama huko mbinguni. Anza kuwa msafi na Mtakatifu. Acha dhambi. Samehe wote waliokukosa na kukuloga, usiwahukumu. Omba rehema kwa Mungu kwa dhambi zako zote ulizotenda unazozijua na usizozijua na pia badilika kabisa na maanisha na hata waombee wote kwenu rehema kwa zaburi ya 51 na 103. Omba roho mtakatifu akusaidie kwa jina la Yesu. Mshukuru kwa zaburi ya 100, 113,117,150. Na funga mfungo wa siku 3 masaa 12. Ombea haya 1. Rehema 2.imani 3.mapenzi ya Mungu kwako yani mpe Mungu moyo wako. Ruhusu moyo wako upondeke na kuvunjika mbele ya Mungu. Na waombee maadui zako baraka mathayo 5:44 na mathayo 7:1 Ukimaliza maombi mshukuru Mungu kwa majibu na ukuu wake. Usio wa kawaida. Mungu akubariki sana. Lakini pia tuna vitabu vizuri sana sana vya kiroho, roho mtakatifu, vya ndoto, kujua kipawa chako, kukuza karama za kiroho, kujua kusudi la Mungu maishani mwako, na Kujijua wewe ni nani ili uwe mkuu na nyota duniani kirahisi, maombi na mfungo sahihi, kuharibu nguvu za giza, vya utajiri na mafanikio na vya mahusiano, ndoa, malezi watoto, kutatua migogoro ndani ya ndoa na kumrudisha mwenzi mloachana kirahisi. Usivikose vitakusaidia sana kukukomboa
Kabla ya kuomba chochote Mshukuru Mungu na kwa ukuu wake na kuwa Amesha kujibu maombi yako na anakusikia na huwa anakusikia siku zote soma isaya 65:24 Baada ya shukrani. Yafaa ujioshe na kujitakasa kwa damu ya Yesu Kristo. Pia teka fikra zako zimtii kristo na kuruhusu elimu ya Mungu na Mapenzi yatawale maisha yako hapa duniani kama huko mbinguni. Anza kuwa msafi na Mtakatifu. Acha dhambi. Samehe wote waliokukosa na kukuloga, usiwahukumu. Omba rehema kwa Mungu kwa dhambi zako zote ulizotenda unazozijua na usizozijua na pia badilika kabisa na maanisha na hata waombee wote kwenu rehema kwa zaburi ya 51 na 103. Omba roho mtakatifu akusaidie kwa jina la Yesu. Mshukuru kwa zaburi ya 100, 113,117,150. Na funga mfungo wa siku 3 masaa 12. Ombea haya 1. Rehema 2.imani 3.mapenzi ya Mungu kwako yani mpe Mungu moyo wako. Ruhusu moyo wako upondeke na kuvunjika mbele ya Mungu. Na waombee maadui zako baraka mathayo 5:44 na mathayo 7:1 Ukimaliza maombi mshukuru Mungu kwa majibu na ukuu wake. Usio wa kawaida. Mungu akubariki sana. Lakini pia tuna vitabu vizuri sana sana vya kiroho, roho mtakatifu, vya ndoto, kujua kipawa chako, kukuza karama za kiroho, kujua kusudi la Mungu maishani mwako, na Kujijua wewe ni nani ili uwe mkuu na nyota duniani kirahisi, maombi na mfungo sahihi, kuharibu nguvu za giza, vya utajiri na mafanikio na vya mahusiano, ndoa, malezi watoto, kutatua migogoro ndani ya ndoa na kumrudisha mwenzi mloachana kirahisi. Usivikose vitakusaidia sana kukukomboa
Shalom , mchungaji nishaota mara mbili eti nimepostiwa mtandaoni niko uchi , nishaota mara nyingi nafanya mapenz ndotoni , nishaota mara nyingi tuu niko nakula , nakumbana na vitu vya ajabu mpaka nahisi kama nyota yangu washagaiziba kbs
Namushukuru mungu kwa elimu juu ndoto ya kwanza hadi ya tisa zote Nisha ziota zingine na rudia Kila mara naomba mungu nisaidie nyota yanyu urudi
Amina ubarikiwe mtumishi Asante kwa haya maarifa
Amen MUNGU akubariki mtumishi wake Kwa mafundisho mazuri
Amen, ubarikiwe milele mtumishi naamini ya kwamba nime okolewa na yesu kwa kusikiya mafundisho hiyo
Asante sana. Hizi ndoto tangu ya kwanza (1) mpaka nane (8) naziona mara mingi. Shukrani kwa mashauri. Amen
Kuwa serious na MUNGU rafiki yangu Ili YESU KRISTO AKUSAIDIE
Amen,ubarikiwe milele mtumishi wa mungu nataka muniombeye niolewe
Tuma MAOMBI 3 HUMU
Oooh Mungu nisaidie, ndoto zote nimeziota sana! Na jana niliota mwanamke ninae mfaham alikua ananiingilia kinyume na ana maumbile ya kiume nilishituka nilikua namaumivu sehem hiyo, nikakamata huo nikautoa kwangu , nikaamka yapata sa nane usiku!
Cancel ROHO ya KISHETANI HIYO! Kwa jina la YESU KRISTO. Jitahidi KUACHA dhambi na kuomba rehema Kwa KUFUNGA
Asante 🙏
Daaa eee yesu wangu naomba unisaidie nimeotaka nagolewa meni niliskia maumivu sanah
Pastor niliota mnyama akinipanda mabegani na wengine warefu wakinifuata
@@gatwiriderrick shambulizi la KIROHO. OMBA
Ameni Mtumishi wa bwana. Mungu akubariki sana
Amen barikiwa sana Mtumishi wa Mungu siku hizi naota lakini nashindwa kueleza nmeota nini
Kwa kweli mtumishi wa Mungu unatupa maarifa MUNGU atakubariki
Amen ubarikiwe mtumishi niombee baba na mimi naota ndoto hizi ili mungu anilejeshee nyota yangu
Tamka Kwa SAUTI mara 3 Kwa jina la YESU KRISTO. NYOTA yangu njoo HARAKA ⚠️. Kwa jina la YESU KRISTO na Kwa NGUVU za ROHO MTAKATIFU. Tuma MAOMBI 3 HUMU. Na Kuna vitabu vya KUKUSAIDIA HARAKA ⚠️ tunakutumia Whatsapp HARAKA
AMINA.
MUNGU AKUBARIKI.
Shalom baba mtumishi mimi niliota nilikua na mama mmoja wa kanisani tukawa tunatembea maporini mara kinyonga akaniralua yule mmama akanipaka dawa za kijani kwenye ile michirizi mpaka leo nimechoka sina nguvu za kufanya kazi nini maana ya hii naomba nisaidie namna ya kuomba baba ahsante kwa kutuletea msaada
Shalom mtumishi wa mungu,Nahitaj ichor kitabu nakipataje??pia nahitaj maombi
Amen.Mbingu zikubariki sana.shawahi ota nipo kanisan nanyolewa nywele
Sasa apo Mtumishi Ina maana wakanisan ndo walininyoa ama ko wanatumia nyota angu
Mimi niliwai kupoteza nguo zangu n adi sasa sijui zilizopo
Mungu akubariki baba niombee niliota nguo zangu zimechanwachanwa tena zile nzuri ninazoziamini kumbe ilikuwa ni taarifa kuwa kazini kuna mahali nimechafuliwa.
Tuma MAOMBI 12 Whatsapp
Nuliota tuko wawili tunakimbizwa na punda
Asante sn Mtumishi
Niombe mtumishi wa mungu
Asante sana mtumishi
Amina mtumishi wa Mungu
Asante sana mtumishi wangu umenifungua macho mana naota ndoto za ajabu
Thanks very much apostle,God bless you 🙏
Hallelujah 🙏🙏🙏
Amen mtumishi
Fast for 3 or 7 days 12hrs
Shukuru Mungu
Kuomba rehema kusamehewa dhambi na kusamehe wengine
Omba neema ya Yesu kristu akusaidie kuepuka mitego ya shetani
Kitabu cha
Isaiah 60:1-28
Hesabu 23:23
Sabuli 118:17
Kitabu cha kuhalipu mipango ya giza👇👇
Isaiah 44:24-25
Kitabu cha kufuta nyota
Isaiah 60
Matayo 5:16
Kumbukumbu la torati:28:1-14
Matayo 2:9-12
Hesabu 2:6-9
Isaiah 45:3
Shukuru kwa
Sabuli 113 117 150
Good 👍 God bless YOU
asante sana hizi ndoto zote nimeziota
Asante Kwa mafundisho, niombee ndoa yangu ina changamoto , imefika mahali Sina interested nayo , simtaki mwenzangu kabsa nahisi kumchukia
Tafadhali niombee
0768275795 nitafute
Amen asante Sana mtumishi
Eee Mungu wangu tuokowe bwana tusaidie Baba ndotoni
Mutumishi langu sikuota nilimuona muganga kwa umbali anakuja akitazama maandiko ya Kila duka na alikuwa amevaa kiuganga roho akaniambia ananitafu nikaingia ndani ya duka yangu nikikemea kesho yake akaja kwa duka akiwa amevaa suit akaniambia dada nimefutiwa na hii mpesa ngapi nkamjibu akasema ila hiwesi mvaa mtu ninaye mnunulia nkamuambia siku ngine basi akaniambia muuso muzuri akaenda. Sasa mutumishi anawesa kuwa aliniipia nyota
Mungu nisaidie mm naota nko harusini lkn harusi hiyo ungeuja nikawa mazishi nifanyeje
OMBA rehema na kuacha DHAMBI
Jaman🙆♂️ vipi ukiota aliyekupiga risasi unamfaham? Inamaanisha yeye ndiyo adui wako kwenye uhalisia?
Ni ADUI anaye fuatilia KUHARIBU MAISHA YAKO. Kuwa MAKINI naye na OMBA Sana.
Anza kuwa msafi na Mtakatifu. Acha dhambi. Samehe wote waliokukosa na kukuloga, usiwahukumu. Omba rehema kwa mungu kwa dhambi ulizotenda na hata waombee wote kwenu rehema kwa zaburi ya 51 na 103. Omba roho mtakatifu akusaidie kwa jina la Yesu. Mshukuru kwa zaburi ya 100, 113,117,150.
Na funga mfungo wa siku 3 masaa 12.
Ombea haya
1. Rehema
2.imani
3.mapenzi ya Mungu kwako yani mpe Mungu moyo wako
Na waombee maadui zako baraka mathayo 5:44 na mathayo 7:1
Mungu akubariki sana.
Lakini pia tuna vitabu vizuri sana sana vya kiroho, roho mtakatifu, vya ndoto, kujua kipawa chako, kukuza karama za kiroho, kujua kusudi la Mungu maishani mwako, na Kujijua wewe ni nani ili uwe mkuu na nyota duniani kirahisi, maombi na mfungo sahihi, kuharibu nguvu za giza, vya utajiri na mafanikio na vya mahusiano, ndoa, malezi watoto, kutatua migogoro ndani ya ndoa na kumrudisha mwenzi mloachana kirahisi. Usivikose vitakusaidia sana kukukomboa
@@shiningstarheavenlyembassy amen🙏
Asante sana mtumishi mimi Kuna ndoto naota sana ila cja wai kuilewa naota nafukuzwa na watu wengi sana pale wanapo nikalibia tu mi naanza kupaa kwenda juu wale watu Nita kuwa nawaonea chin mda mwingine nabaki naimba nyimbo za din mpaka Nita kapo amka ,
Nyingine naota ndugu zangu marehem walio kufa mda nikiwa nasoma shule ya Msingi hao marehem nilikuwa naishi nao kalibu sana Sasa nawaota wakinipa Hela ya kwenda nayo kuitumia wakati saiz ni mtu nzima na familia yangu japo Kwa Sasa hii ndota nikama miaka 4 ime pita ila kuota ila dhaman ili nitesa sana mda mwingine nilikuwa napokea mda mwingine ana tokea mtu kati kati ana ipushi Ile Hela Ina dondoka
@@DianaLiving-vt1lo ROHO ya MAUTI na HASARA inakuandama. Yule anayeipush ikaanguka ni Malaika WA bwana Ili kukuepusha na ROHO ya kigiliska na hasara
@@DianaLiving-vt1lo Yohana 10;10
MASHAMBULIZI, ila ROHO MTAKATIFU ANAKUSAIDIA kukuepusha na SHETANI
Asante mtumishi wa mungu
Ameen amen 🙏
Mimi naota sana sana na spiritual husband ni sadie pastor
Nliota nipo na mganga anataka kunifanyia dua
Kataa ROHO ya KICHAWI INATAKA kuiba NYOTA YAKO. ACHA DHAMBI OMBA rehema Kwa Mungu HARAKA ⚠️
Mungu akubariki sana
Azifiwe Mugu Naitaja Maopi Kwa Ajili Ya Dowa Ya Dada Yagu Iwenaamani Amejaribudowa Nyiki Kiladowa Ajawayi Kuwana Amani Nasasa Ameolewa Tena Lakiniana Amani Maopiyenu Itamuba Amani Dada Yaku Phanice Nagila Wanyonyi
Mmmh hiz ndoto za kula kutembea peku uchi mifelej ya dam niliwahi kuota nanyolewa nywele na mganga akanpaka dawa
Omba sana giza likuache
Kabla ya kuomba chochote Mshukuru Mungu na kwa ukuu wake na kuwa Amesha kujibu maombi yako na anakusikia na huwa anakusikia siku zote soma isaya 65:24
Baada ya shukrani. Yafaa ujioshe na kujitakasa kwa damu ya Yesu Kristo.
Pia teka fikra zako zimtii kristo na kuruhusu elimu ya Mungu na Mapenzi yatawale maisha yako hapa duniani kama huko mbinguni.
Anza kuwa msafi na Mtakatifu. Acha dhambi. Samehe wote waliokukosa na kukuloga, usiwahukumu. Omba rehema kwa Mungu kwa dhambi zako zote ulizotenda unazozijua na usizozijua na pia badilika kabisa na maanisha na hata waombee wote kwenu rehema kwa zaburi ya 51 na 103.
Omba roho mtakatifu akusaidie kwa jina la Yesu. Mshukuru kwa zaburi ya 100, 113,117,150.
Na funga mfungo wa siku 3 masaa 12.
Ombea haya
1. Rehema
2.imani
3.mapenzi ya Mungu kwako yani mpe Mungu moyo wako. Ruhusu moyo wako upondeke na kuvunjika mbele ya Mungu.
Na waombee maadui zako baraka mathayo 5:44 na mathayo 7:1
Ukimaliza maombi mshukuru Mungu kwa majibu na ukuu wake. Usio wa kawaida.
Mungu akubariki sana.
Lakini pia tuna vitabu vizuri sana sana vya kiroho, roho mtakatifu, vya ndoto, kujua kipawa chako, kukuza karama za kiroho, kujua kusudi la Mungu maishani mwako, na Kujijua wewe ni nani ili uwe mkuu na nyota duniani kirahisi, maombi na mfungo sahihi, kuharibu nguvu za giza, vya utajiri na mafanikio na vya mahusiano, ndoa, malezi watoto, kutatua migogoro ndani ya ndoa na kumrudisha mwenzi mloachana kirahisi. Usivikose vitakusaidia sana kukukomboa
Kabla ya kuomba chochote Mshukuru Mungu na kwa ukuu wake na kuwa Amesha kujibu maombi yako na anakusikia na huwa anakusikia siku zote soma isaya 65:24
Baada ya shukrani. Yafaa ujioshe na kujitakasa kwa damu ya Yesu Kristo.
Pia teka fikra zako zimtii kristo na kuruhusu elimu ya Mungu na Mapenzi yatawale maisha yako hapa duniani kama huko mbinguni.
Anza kuwa msafi na Mtakatifu. Acha dhambi. Samehe wote waliokukosa na kukuloga, usiwahukumu. Omba rehema kwa Mungu kwa dhambi zako zote ulizotenda unazozijua na usizozijua na pia badilika kabisa na maanisha na hata waombee wote kwenu rehema kwa zaburi ya 51 na 103.
Omba roho mtakatifu akusaidie kwa jina la Yesu. Mshukuru kwa zaburi ya 100, 113,117,150.
Na funga mfungo wa siku 3 masaa 12.
Ombea haya
1. Rehema
2.imani
3.mapenzi ya Mungu kwako yani mpe Mungu moyo wako. Ruhusu moyo wako upondeke na kuvunjika mbele ya Mungu.
Na waombee maadui zako baraka mathayo 5:44 na mathayo 7:1
Ukimaliza maombi mshukuru Mungu kwa majibu na ukuu wake. Usio wa kawaida.
Mungu akubariki sana.
Lakini pia tuna vitabu vizuri sana sana vya kiroho, roho mtakatifu, vya ndoto, kujua kipawa chako, kukuza karama za kiroho, kujua kusudi la Mungu maishani mwako, na Kujijua wewe ni nani ili uwe mkuu na nyota duniani kirahisi, maombi na mfungo sahihi, kuharibu nguvu za giza, vya utajiri na mafanikio na vya mahusiano, ndoa, malezi watoto, kutatua migogoro ndani ya ndoa na kumrudisha mwenzi mloachana kirahisi. Usivikose vitakusaidia sana kukukomboa
Asante,amen mtumishi wa mungu
Umenitia moyo sana barikiwa
Naomba msaada wako mtumish nmeota ndoto hiz jana nmeota boss wangu amenkasirikia kama vle nafukuzwa kaz nkaanza kupiga magoti nakuomba msamaha
Mimi nikilala naota mtu anafanya uzinzi na mimi kila saa, naomba niombee tafadhali.
Mtumishi me nilishaota nimepewa nyama alfu nikatapika inamaana gani na mtu simjui
Ukombozi toka kwenye kulishwa vitu vya kichawi
Shalom , mchungaji nishaota mara mbili eti nimepostiwa mtandaoni niko uchi , nishaota mara nyingi nafanya mapenz ndotoni , nishaota mara nyingi tuu niko nakula , nakumbana na vitu vya ajabu mpaka nahisi kama nyota yangu washagaiziba kbs
Mungu aingilie Kati kwakweliunapatikana wapi pasta
naomba usaidizi wa kujua jinzi ya kufunga sababu naishiwa na nguvu ninapoanza kujiandaa na mambo ya kuombana kufunga
Kataa hiyo ROHO na usifanye mwili ukuzidi NGUVU
@@shiningstarheavenlyembassy Anakataa Kwa Jina la Yesu Kristu.amina
Nimetafta kazi sipati nifanye aje
Nilikua nakimbia nikapewa kiteri yente ina maganda na jirani yetu nyumbani🤔🤔🤔
:
Barikiwa sana tunashukuru sana kwa masomo yadoto Rohomtakatifu azidi kukupaka mafuta yake ..
Kuna mutu ana subua mimi kwadoto
MWAMBIE ROHO MTAKATIFU AMHARIBU. Na WEWE ACHA MAISHA ya DHAMBI na wasamehe WOTE waliokukosea
mtumishi