Kama una mimba na unategemea jujifungua mungu anakuonesha utazaa MTOTO WA aina GANI ila kama UPO single au HUNA mimba hii inaonesha MTOTO WA KIPEPO atakaye haribu uzazi WAKO, NDOA Yako , HATIMA Yako au MAISHA Yako. Cancel hiyo ROHO ya Giza Kwa jina la YESU KRISTO
Niliota nakojoa kwnye shamba la migomba la kwetu kuna mtu alikuwa anataka anichungulie nikamwambia sitak unichungulie akaondoka nikakojoa nikiwa na furaha kwel kisha nikawa narud nyumbn uku ninafuraha
Mim sikuota bali nilipo kua kenya nilikua usiku kama nataka kulala mpaka panya anikojolee na nikaanza kuwa na maisha magumu mpaka ndio nikaamua kusafiri
Niliota ninakojoa kwenye mkebe ndani ya nyumba na nilikuwa na mume wangu tuliyeachana miaka miwili na kushtuka nilikuwa nimejikojolea kweli. Hii ina maana gani?
Amen
Bwana Yesu asifiwe sana sana mwanangu mpaka Sasa anakojoa kitandani ana umri ya miaka 16 anaota anakojoa kitandani mpaka sasa
Asante sana ubarikiwe
ASante sana nabii wa ndoto,Ila na tamani nijuwe maana ya ndoto,kuota una zaa
Kama una mimba na unategemea jujifungua mungu anakuonesha utazaa MTOTO WA aina GANI ila kama UPO single au HUNA mimba hii inaonesha MTOTO WA KIPEPO atakaye haribu uzazi WAKO, NDOA Yako , HATIMA Yako au MAISHA Yako. Cancel hiyo ROHO ya Giza Kwa jina la YESU KRISTO
Niliota nakojoa kwnye shamba la migomba la kwetu kuna mtu alikuwa anataka anichungulie nikamwambia sitak unichungulie akaondoka nikakojoa nikiwa na furaha kwel kisha nikawa narud nyumbn uku ninafuraha
Ukionda umekojoe mkojo mwishowe ni nyeupe kama maziwa inamanisha Nn??
Bwana yesu asafiwe nimeota nakojoa juu ya kaburini but kuna mwanamke alisimama akinisubiri but chaajabu nilikojoa kweli jamani nisaidie Mtumishi
Kujikonect na NGUVU za KICHAWI na ROHO ya MAUTI na HASARA
Kataa ROHO CHAFU HARAKA
Mim sikuota bali nilipo kua kenya nilikua usiku kama nataka kulala mpaka panya anikojolee na nikaanza kuwa na maisha magumu mpaka ndio nikaamua kusafiri
MUNGU atakusaidia! Kwa jina la YESU KRISTO
Mimi naotaka maake nimekawa kukojowa naapo naenda kojowa usiku ao nilamuke niombe Mungu
Mtumishi,je ukiota unakojoa chooni kuku wanakunywa mkojo wakati unakojoa inamaana Gani?,nisaidie pls
Naomba number yako yenye naeza kupata kua mazungumzo saidi, ubarikiwe sana
+255768275795
Nimeota nmejikojolea mmevaa suruali nikachuchumaa nataka kukojoa lakini nikajikojolea
Ishara ya maish ya dhambi kukosa heshima na kupoteza thamani na uwepo WA MUNGU
Niliota ninakojoa kwenye mkebe ndani ya nyumba na nilikuwa na mume wangu tuliyeachana miaka miwili na kushtuka nilikuwa nimejikojolea kweli. Hii ina maana gani?
Mi niliota nakojoa alafu nkaashtukia nmekojoa kwa malazi ina maana gani
Niliota na kojoa kitandani
Ukiota unapewa mahindi kwa kikabu au kwa mvuko inamaana gani
Na mm ndoo ivo